OPEN DOORS / MALANGO YALIYOWAZI – DAY 5

Matendo 16:25-26

Karibu na usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakisali na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwa wanasikiliza. Ghafla, kulitokea mtetemeko mMkuu wa ardhi ambao uliitikisa misingi ya gereza. Mara, milango yote ikafunguka na minyororo iliyowafunga hao wafungwa ikaachana.

 

Mpendwa Sali  kwa moyo wako woteee  siku hii, huku uki-reference Mungu alicho watendea  Paul na Silas akutendeee  wewe, Sali mpaka malango yote ya mMagereza yako yafunguke  na Minyororo ya uchumi, kazi, mahusiano ikiachie siku ya kesho, Sali kama ambavyo  hujawahi sali maisha yako.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Scroll to Top