Wapendwa wengi tunajua Ijumaa Kuu ni siku ya kuadhimisha kifo cha Bwana Yesu, Like he died ,but was madered actualy, kwa kusulubiwa msalabani and he died, Ofcourse because of our sins definitely.
YAANI WENGI MNAJUA KAMA HAMJUI ILA MNAJUA PENGINE HAMJUI
Kifo cha Yesu Siku ile pale Calvary kilitukata watu wengi maini na figo, Mitume mpaka Mwalimu anazikwa walikuwa hawaamini kama TEACHER!, THE TEACHER IS GONE, TICHA LA KUTEMBEA KWENYE MAJI, TICHA LA KUPONYA VIZIWI, VIWETE, VIPOFU, TICHA LA MA-WINE NA KULISHA UMATI, HOW COULD HE JUST DIE LIKE THAT? KAMA MNYONGE FLANi HIVI ASIYE NA UFALME WAKE, BUT YESU ALIKUFA MSALABANI KU PROVE JAMBO MOJA TU na Jambo lenyewe ni DEATH IS NOT FINAL! YAANI KIFO SIO MWISHO na alituhakikishia kwamba KIFO ni State tu ya mambo, lakini SIO FlNAL, ikalazimu AFE KWANZA ALAFU ARUDI MZIMA Ndiyo tuamini.
Angesema ahubiri bila vitendo, tusinge muelewa kabisa!, Tungeona hana-lolote anaogopa kufa anatupanga, Ndiyo maana akakubali kufa hadharani mbele ya kila mtu ili kila mtu ajiridhishe kwamba mmmmh kweli kafa teacher! Hata akifufuka kusiwe na ubishani kwamba hakufa kwa kuanzia ni mistake tu za taarifa, Na unaweza jiuliza sawa kama anaweza kufufuka why akae Siku 3 zote jamani si angerudi kesho yake asubuhi basi ,wanafunzi wake walipaniki sana!
Mpendwa tunarudi pale pale alikaa Siku 3 mji-ridhishe kwamba KAFA kweli, Maana angerudi asubuhi mngesema alizimia tu jamani ndugu wayahudi, Siku 3! Kila mtu alihakikisha kafa KWELI. Hakuna watu waliopigwa na kitu kizito kama mitume, Wale walikuwa wapambe wa Mwalimu na ulikuwa huwaambi kitu juu ya Yesu kama followers wa Nifa na Kojie, Kwao Mwalimu alikuwa UNSTOPPABLE, Walikaaa naye, Wakaona mengi, Uwezo wali-uonaaa kwa KWELI!.
Mpendwa yaani ile safari ya Calvary walikaaa mkao wa PLOT-TWIST muda wote, Wakajua mbele lazima TICHA atafanya tukio, Yamkini atashusha hata maradi Non-stop! Au atapaaa basi kurudi kwao lakini USHINDI KWA MAYAHUDI MWIKO NA UFALME WA MBINGUNI USHINDI NI LAZIMA YAANI UHAKIKA Mungu VsWanadamu kuna cha kujiuliza ku-bet?
Mpendwa ukisoma ile Safari ya Mateso ya Bwana Yesu, Mitume walikuwa wanafatilia kwa ukaribu bila woga wala mashaka, Kama Petro alikuwa busy kumkana Bwana Yesu mara 3 akijua Bwana hili Goma la kitoto halikeshi, TICHA ndiyo kisima cha MIUJIZA na In no time atamalizana na hawa Mayahudi nitampanga na kumuomba radhi.
Yuda mwenye Eskariot zake alikula ile pesa yamkini akijua anawapiga Mayahudi tukio!, Aliwa profile akaona hawa washamba washamba napita na kitita hiki cha shekeli lakini kwa ninavyomjua Ticha wana twanga maji kwenye kinu, They are no match for him!, Absolutely not!, Watasulubiwa wao ngoja aliite JESHI lake la malaika watajua hawajui kitu, YULE NDIYO MFALME WA MAYAHUDI, MFALME KAMA MFALME KWENYE UFALME WAKE!.
Na ukitaka kujua hilo Yuda alitulia na ule mtonyo hakuonja hata shekeli moja!, Alikuwa amekaaa ki-Plot twist!. YAANI PICHA LINAUNGUA NA KUWA GIZA TOTORO SASA 9 MCHANA, ESUS OF NAZARETH THE SON OF THE GOD AS IN ALFA AND OMEGA WAS PRONOUNCED DECEASED, DEAD, IT WAS OFFICIAL AS IN BURIAL DOCUMENTS ZIMETOKA! AZIKWE.
Yuda ndIo wa kwanza kudata, How as in how TEACHER, THE SON OF THE LIVING GOD, JESUS OF NAZARETH died? HOW PEOPLE??? Okay basi angekufa ghafla tunge-elewa! Lakini sio kinyonge namna ile!, WHAT HAVE I DONEEEE??? NIMEFANYA NINI YUDA MIMI? AU I WAS DE -LULU KWAMBA MWAMBA ANA UFALME WAKE NA JESHI LA MALAIKA SASA KWANINI ASIWAITE WAMUOKOE? WHY DID HE HAVE TO DIE LIKE THAT ? HOW????! NAISHIJE NA HILI SASA ?
Basi hata hizo shekeli sizitaki tenaaa!, Nazitupa hekalunI, Ngoja nijinyonge nikikutana nae huko tutamalizana, I can’t live with this guilty!, Sawa nilimsetup lakini nilijua uwezo wa kujitoa anao yule.
Mpendwa ukisoma matendo ya Mitume utawapatia picha kina Petro siku ya Leo ilikuwa ndefu mnooo kwao, Kwanza TICHA ndio kasulubiwa mbaya na kuuwawa pamoja na wezi WENGINE!, Yamkini bado hawajajua kwanini hakujiokoa, wanasikia Yuda amejinyonga Hekaluni huko!, Kana kwamba haitoshi wapi DILEMA, UFALME WA MBINGUNI UPO KWELI AU HAUPO?, WAENDELEE KUHUBIRI AU WARUDI KUVUA SAMAKI NA KULIMA ? SIKU ILIKUWA NDEFU MNO KWAO, FROM MWAMBIENI YULE MBWEHA NITAKUWA HAPA SIKU 3 TO UFALME WANGU SIO WA DUNIA, HII INGEKUWA WA DUNIA HII WALIO WANGU WANGENIPIGANIA! ILIKUWA GHAFLA SANAA! MAMBO YALIKUWA MENGI MDA ULIKUWA MCHACHEE.
MPENDWA YESU ALITAKA KUMALIZIA KU-PROVE POINT MOJA KUBWA, KWAMBA HATA KIFO KWAKE BADO SANA KUMZUIA, BADOOO YANI BADO, NDIO AKAAMUA KUFA KIFO CHA AIBU WALICHOTAKA WAO,WALIVO TAKA WAO, YAANI KWA PIGIA MULE MULE KWENYE MCHEZO WAO WENYEWE AKAFANYA ILE KWAMBA SI WAMEJITIA KUMUUA HADHARANI SASA ANAKUFA HADHARANI NA KUFUFUKA HADHARANI.
WAKATI WA UHAI WAKE ALISHA PROVE POINT NYINGI MNO KUHUSU UFALME WA MBINGUNI, ALISHATEMBEA KWENYE MAJI, KAPONYA, KAFUKUZA PEPO, KALISHA WATU MA-ELFU, NA MAMBO KIBAO!, LIKABAKIA HILO MOJA KUBWA KAZI YAKE IKAMILIKE!.
NDIO MAANA HAKUFANYA PLOT TWIST WAKATI WANA MUUA SABABU PLOT TWIST ILIKUWA KUFUFUKA NA KU PROVE AMEKISHINDA KIFO LIVE. HII INA MAANISHA NINI KWAKO? Mpendwa hii kwako ikwambie DEATH IS NOT FINAL, KIFO SIO MWISHO WAKO, BWANA YESU ALIKISHINDA KIFO LIVE BACK THEN NA HATA SASA ANAKISHINDA KAMA KAWAIDA.
MPENDWA SIO KIFO CHA UCHUMI, KIFO CHA NDOA, KIFO CHA AJIRA, KIFO CHA MUHUSIANO, KIFO CHA AFYA, KIFO CHA UFAHAMU AU KIFO CHOCHOTE KWENYE ENEO LA MAISHA YAKO KINAPIGWAA TENA LIVE NA BWANA YESU HATA SASA, UNLESS WEWE UAMUE NI SAWA IWE FINAL, LAKINI KAMA UMEGOMA KUFA HILO ENEO NJIA IPO AMBAYO NI UKWELINA UZIMAAA NAVO NI YESU KRISTU,MASIAH MFUFUKA!
MPENDWA KUJUA KUWA YESU ALIKISHINDA KIFO NI PART 1 NA KUAMINI KUWA YESU NDIO MKALI WA KUSHINDA VIFO NI PART O!, UNAWEZA KUJUA LAKINI USIAMINI NA UNAWEZA KUWA UNA AMINI LAKINI USIJUE UNACHO AMINI KWA UNDANI.
Eneo lolote kwenye maisha yako unalo-ona limekufa Limeishaaa na kuoza, Leo hii Bwana Yesu ana kukumbusha kwamba linaweza kufufuliwa nalika-ishi tenaaa!, Na lika-stawi na kuchanua, Sasa kama YEYE a whole Person and God alikufa mpaka mkaridhika na akafufuka Siku Ya 3 tu as in 72hrs itakuwa hako ka-eneo ka maisha yako ilhali wewe mwenye eneo upo haiii? Mbona jambo dogo sana kwa Yesu?
Tunarudi ubaoni kwamba unaweza kuwa una Amini Yesu kafufuka sawa ila huamini kama ana nguvu ya kufufua mahusiano YAKO, kazi YAKO, ajira yako, uchumi wako na afya yako! HAVITAFUFUKA!
LAKINI UKIMUONA YESU KATIKA UKUU WAKE, UTUKUFU WAKE, FULL CAPACITY YAKE YA KUTAMALAKI NA UFALME WAKE WA MBINGUNI NA KUMUAMINI JUU YA HILO ENEO LILILO KUFA KWAMBA
YEYRE NDIYO MTAALAMUNA WA KUKISHINDA KIFO, UKAMKABIDHI HILO ENEO AKUSHI NDIYE USHINDI NI LAZIMA HILO ENEO LAZIMA LIFUFULIWE!, KILA IJUMAAA KUU TUNASHEREKEA KWAMBA YESU ALl ISHINDA MAUTI TENA MAUTI YA MSALABA NA KITUWEKA HURU.
SASA SIJUI WEWE MWENZANGU LAKINI AS FOR ME KWENYE HILI NIPO NA BWANA YESU, DEATH WAS DEFEATED WHEN JESUS ROSE FROM THE GRAVE! MECHI ILIPIGWA MAUTI IKASHINDWAA NA YESU ALISHINDA WE ARE NO LONGER DIEING!!!!! ANY DEATH IN ANY AREAS OF OUR LIFE HAS NO AUTHORITY OVER US!
MPENDWA KAMA BWANA YESU ALIFUFUKA NA KUISHINDA MAUTI IN THE MIGHTY NAME OF JESUS HILO ENEO LILILO KUFA MAISHANI MWAKO LITAFUFUKA NA KUSTAWI BWANA YESU ATAKUSHI NDIA HIO MAUTI YA HILO ENEO HATA SASA