Mpendwa Ofcourse kila mtu anajua Pasaka ni Siku Ya 3 aliyo-fufuka Bwana Yesu. Kama tulipoishia Ijumaa kuu kwamba ALl-ISHINDA MAUTI!. Kufufuka kwa Bwana Yesu hakuwezi kuwa na MAANA kubwa sana ikiwa huku Angalia maisha ya huyu Mwamba Son of the living God kwa Jicho la 3, Wengi wenu mpo like sawa kafufuka so what? Bado sina Ndoa! Bado sina kazi, Hamna jipya kwenye Maisha yangu anyways! NEXT!
NI KWELI JIPYA HAMNAAA NIWE TU MUWAZI, MTU HAJAKUFA AKIWA HAI NDIYO ATAKUFA KWA KIFO CHAKE? THUBUTU! USIPO ELEWA MAISHA YA YESU NI NGUMU SANA KUELEWA KIFO CHAKE NA UFUFUKO WAKE.
Watu wanasema ufufuko wa Yesu ndo kila kituuu katika hii equation nzima, lakini mimi kwa Mtazamo wangu kufufuka nijust a cherry on top!, Msingi wote upo kwenye maisha ake aliyo-ishi na impact na Legacy aliyo-acha! Kwa aina ya Maisha aliyo-ishi yule, Mwamba there is no way angeshindwa kufufuka, Kupaaa Mbinguni was just a Bonus Kama ume-pay attention to details za maandiko kufufuka kwa Yesu sio jambo la kukushangaza.
Ukiangalia Yesu aliyezaliwa Kama sisi tu kwenye familia zetu za HOHE-HAE tusifumbe fumbe mambo, Baba Seremala, Kweli jamani, He had nothing to get him started, Absolutely nothing! Na kibaya zaidii alikuwa hapendi kaziii kabisa za mikono, Ni kushinda hekaluni muda wote na kusoma maandiko, Katoto kadogo lakini hukatoi hekaluni.
Mama mimi natokea maisha ya chini mnooo Sina Pa kuanziaaa kabisaaa!, SO DID JESUS! Lakini that didn’t stop him from launching his GRAND MISSION TO SAVE THE WORLD AT ONLY 30 YEARS.
MATERIALLY AND PHYSICALLY JESUS HAD ABSOLUTELY NOTHING, TOTALLY AND COMPLETELY. BORA HATA WEWE WALAU UNA KA DEGREE FLANI JAPO KA PASS, UMEPITA PITA SKULI HATA KAMA MAMBO YAKO BADO SIO MAZURI, JESUS HAD NOTHING PHYSICALLY AND MATERIALLY! HATA MENTALLY ILIKUWA UTATA SABABU ALIKUWA HAPENDI KAZI ZA MlKONO KABISA WHICH BY THEN TIMES ILIKUWA RED FLAG KUBWA SANA.
Ukisoma Luka 2:41-52 Utaona Yesu anatafutwa na wazazi wake Galilaya kumbe kamebakia hekaluni YERUSALEM kama gonga maandiko na wazeee wa hekalu, Mtoto mdogo! anaona wana mbanaaa bana. Tuki Fast-foward alipotimiza miaka 30 kama yako, HE STILL HAD NOTHING WITH HIM PHYSICALLY AND MENTALLY AMBAVYO UNGESEMA VIME MUANDAAA FOR HIS GRAND MISSION. HE WAS ONLY A 30 YEARS OLD MAN IN THE MIDDLE OF JEWS WITH NOTHING AND NO ONE OF POWER TO BACK HIM UP IN THIS WOR LD! JUST LIKE YOU DEAR !JUST LIKE YOU!
TOFAUTI YENU NA YESU ,NI YEYE ALIKUWA STRONG SPIRITUALLY TANGU MDOGO! MUDA MWINGI WAKATI WENGINE WANA JIJENGA PHYSICALLY AND MENTALLY VEVE ALIJIJENGA SPIRITUALY, ALI INVEST IN HIS SPIRITUAL SPHERE TANGU MDOGO SANA NA WAZAZI WAKE WALI INVEST PIA. MIMI NAWASHANGAA HUNA PHYSICAL WALA MENTAL BASE NA KUJI-INVEST SPIRITUALLY HUTAKI YOU ARE GOING NO WHERE IN LIFE!
Jesus SPIRITUAL investment eventualy paid-off GREATLY!
1 ALIKUBALIK KAMA MFALME llihali hakuwa na eneo lolote physicalyla kutawalalenye mipaka geographical! Hakuwa na JESHI wala watumishi. NIKISEMA HE HAD NOTHING TANGI BLE SIJUI MNA NIELEWA Mpaka wafalme Wale Proper wenye Mi ki zao natawala zao Kama Herode na Kaisari walikuwa wana muharaaa .Anawatetemesha hatari.
2 ALIKUBALIKA KAMA MWALIMU! Jesus had no any education qualifications whatsoever! Zamani elimu ili kuwepo nawasomi walikuwepo! Ndo maana Maandiko hali kuwepo as in kusoma na kuandika kulikuwepo Tayari huko uyahudi! Na Ranks zilikuwepo! Usomi wako niwa kiwango gani hamna ubabai! Ofcourse Yesu alijua kusoma na kuandika sababu alisoma maandiko several times hekaluni.There is no way angeweza kama hakujua kusoma. Na wakati walipo mleta yule mwanamke mzinzi Yesu aliandika chini kwenye udongo! Means he could write! Jesus was literate? Absolutely, Lakini as a TEACHER? How? Hakuwa na track record yoyote ilio m-qualify kufundisha chochote!, He had no PHOD whatsoever even in theology, Hakupitia mafunzo hata ya ukuhanilabda kwamba Kasomea Taurati ya Musa, Hapana HE WAS SELF TAUGHT, GHAFLA SANA AKAANZA KUCHAMBUA MAANDIKO FROM NO WHERE IN A CAPACITY NO ONE COULD COMPREHEND!
Imagine in the world of Academics people are all for reference,background check,qualification validation! Wewe ni nani na mwalimu wako ni nani? . MPENDWA REGARDLESS YESU ALIFUNDISHA SANAA TENA SANA BILA CHOCHOTE NA WATU WALIMKUBALI KAMA TICHAAAA KUTOKANA NA CONTENT ZAKE!
3. HEALER/ MPONYAJI!, Again Jesus had no medical degree nor background whatsoever Lakini aliponya magonjwa Physical, Mental mpaka Spiritual, Alio operate eneola afyaaaa sana kwa raha zake, Alitambaaa haswaaa He messed with medical laws like never before, Wataaalamu wa afya hawakuwa na hamu nae. Hospital ziLikosa wateja, Watu walikuwa wanakombizana na Yesu na uponyaji wake wa kimiujiza.
4. LORD/ BWANA, Yesu hakuwa tajiri, hakuwa na Mali yoyote whatsoever alio imiliki kwa Jina lake. Hata Pa kuishi tu alikuwa hana. Yeye popote Kambi lakini alipewa heshima ya LORD, Mpaka Leo hii. Tunakomaa Jesus MY LORD! YESU NI MWOKOZI NA BWANA WA MAISHA YETU!, FA-MASIHALA NINI!, LORD IMEKAA IMETULIA!
Yesu ali-Operate sehemu kubwa sana ya maisha yake duniani CONTRARY na how the world operates back then , even now! AND HE WAS VERY SUCCESSFUL!. Whatever he lacked physicaly na materialy he compensated it spiritual! His investment in the spiritual world ndiyo ilio mfanya akafaulu kwenye physical world kwa ukubwa sana.
Tatizo kubwaaaa la watu sahivi wana invest sanaaaa kwenye physical na material world na ku beep beep eneo la spiritual world na wanataka matokeo makubwa! It will never happen! Ndo maana wengi mko frustrated! yaani mnataka kuzipiga mbingu tukio, Uweke kidogo afu upate kingi!matokeo yake kila mwaka unapata ulicho weka ambacho nikidogo then you become mad of your on nuisance!. THE CYCLE WILL REPEAT ITSELF OVER AND OVER.
Mtu anakwambia nimetafuta Sana Ndoa kanisani zaidi ya miaka 10 sijapata, Nimekata tamaa, Namwambia tuachane na miaka 9 , huo mwaka jana tu umewekeza nini , kwenye ulimwengu wa Roho? MATERIALLY!!? Hamna kituu! Labda malalamiko na feelings.
Mwaka Jana kuna mtu na Shoga yake, Walipata pesa sawa sawa mmoja akawekeza kujenga nyumba, SMART MOVE! Mwingine akawekeza kwenye dDeliverance na kumu-impress Mungu, December ikahamia kwake, mwingine ana-andaaa harusi yake, Kila mtu amevuna alichopanda! Fair-deal!
Jesus was able to manipulate the laws of this world sababu alikuwa well equipped na the laws of the spirit, Ali invest muda wake mwingi duniani kwenye hilo, It just didn’t happen!, Ukimtafuta yesu kwenye maisha ya kidunia hakuwepo kihivo, Alienda harusi moja tu ya kana na akatenda muujiza tu, Imagine! Muda mwingi he was all about the kingdom of heavens, Sasa wewe kingdom of heavens jumapili kwa jumapili afu untaka kumanipulate laws of this world labda kama unataka kuwa delulu is not a solulu.
To Manipulate anything kwanza inabidi ukijue kiundani kina function vipi alafu ndo upite chocho kama hujui hiko kitu kitaishia Kuku manipulate wewe Bure na kukudhalilisha. At one point Yesu alikuwa vibayaaa kuliko wewe, hana Pa kuishi, hana ndugu, hana certicate, hana ujuzi, hana chochote zaidi ya MBINGU tu upande wake na kwa hizihizi MBINGU ali-fanikisha mambo makubwaaa sana.
Kwenye swala la kukosa na kuwa huna mbele wala nyuma ushafaulu kwa ukubwa, Bado tu kujikita ku-invest kuzitafuta mbingu na kuzifauluu ziweze kukufanikisha kufanya yale makubwa ulio kusudia kama zilivo mfanikisha yesu!
Mimi kila pasaka nakumbushia once upon a time jesus manipulated every living law of this world effortlessly, Na kama alivyosema kama yeye kafanya na sisi tukizingatia mafundisho yake tutafanya! Nipo site nazingatia mafundisho! So can you kama Ukiamua!
Quality posts iss the important to be a focus for the people
to visit the site, that’s what this web site is providing. https://lvivforum.Pp.ua/
Quality posts is the important to be a focus for
the people to viisit the site, that’swhat this web site is providing. https://lvivforum.Pp.ua/