PART ONE
DAY 1:
Neno la leo ni refu kidogo hivyo, mpendwa naomba ulisome kwa makini sana kwani sio neno jepesi sana.
Ufunuo 11:4-12
4.Kwani mashahidi hawa wawili ni mizeituni miwili na vinara viwili vya taa vinavyosimama mbele za Bwana wa dunia. 5. Ikiwa mtu yeyote atajaribu kuwadhuru mashahidi hawa, moto utatoka katika vinywa vyao na kuwaua adui zao. Yeyote atakaye jaribu kuwadhuru atakufa. 6. Mashahidi hawa wana nguvu ya kuzuia mvua isinyeshe katika wakati ambao watakuwa wanatabiri na pia wana uwezo wa kugeuza majikuwa damu.Wana uwezo wa kutuma kila aina ya pigo duniani na wanaweza kufanya hivi kadri wanavyotaka.
- Mashahidi wawili watakapomaliza kuutangaza ujumbe wao, mnyama atokaye kuzimu atapigana na atawashinda na kuwaua.
- Miili ya mashahidi hawa wawili italala kwenye mtaa wa mji mkuu na mji huu unaitwa Sodoma na Misri hakika majina ya mji huu yana maana maalumu, huu ni mji ambao Bwana aliuawa.
- Watu kutoka kila asili, kabila, lugha na taifa wataiangalia miili ya mashahidi hawa wawili kwa siku tatu na nusu na watakataa kuwazika.
- Na Kila aishiye duniani atafurahi kwa sababu mashahidi hawa wawili wamekufa na watu watafanya sherehe na kupeana zawadi kwa sababu manabii hawa wawili walileta mateso mengi kwa watu waishio duniani.
- Lakini baada ya siku tatu na nusu, Mungu akawarudishia uhai mashahidi hawa wawili.Wakasimama kwa miguu yao. Na wale waliowaona wakajaa hofu.
- Kisha mashahidi wakasikia sauti kuu kutoka mbinguni ikisema,”Njooni huku juu !” Na wote wawiliwakaenda juu mbinguni katika wingu,aduizao wakiangalia wanavyokwenda.
13 Katika wakati huo huo kulitokea tetemeko kuula ardhi.Sehemu ya kumi ya mji ikateketea, na watu elfu saba wakafa na ambao hawakufa waliogopa sana na wakampa utukufu Mungu wa mbinguni.
Yamkini umekuwa ukisali na ukijaribu kufanya yaliyo ya Mungu kwa muda mrefu. Mpendwa no matter how hard you pray, fast, tithe, sacrifice, mambo ni yale yale meusi tiii katika hilo eneo yaani kila ukipambana na shetani unachezea , kila ukijiinua anakudhalilisha na kukusambaratisha.
Mpendwa unaamini sana juu ya Mungu, yes you do! and God knows you do!, Lakini kwako imekuwa nithe case of constant losing to the devil yaani unachapikaaa tu miaka saba (7) Non-stop, Hupewi hata ka-break basi, Ni losing spree and roler coaster kwako non-stop.
Hata ile nguvu ya kusema naolewa mwaka huu unaona hayaaa, nafsi yako mwenyewe ina kusuta, Not again, We have been through this! Na INCASE unajisahaulisha and God never showed up for you in all them 7 years, NOT EVEN ONCE!.
Huna kazi mwaka wa nane(8), Umeanza kuona vyeti vyako kama curse kuliko a blessing, Unaona kama it was a set-up wewe kupata degree, Na Ili udhalilike zaidi kuliko ungefelishwa tu Form 4.
Tukirudi kwenye neno letu la Ufunuo tunaona kuna mashahidi wawili(2), Unlike you, wenyewe maisha yao yote wameishi kwa ajili ya Mungu! Na kufanya yaliyo ya Mungu tu, Mpaka Mungu anawapa uwezo mkubwaaa sanaaa wa kufanya wasioweza kufanya binadamu wenzao.
Lakini just like you wanakuja kuchezea kichapo kitakatifu kutoka kwa shetani, Wana chezea kweli-kweli na nguvu zao zote na miujiza yao yote Shetani anamaliza biashara na kumaliza vita zinazo jirudia baina yao kwa KUWAUA AU KUWADEDISHA KABISA.
Sometimes you feel like maybe kwenye eneo la Mahusiano you might be dead already, Maana nothing is responding for seven (7) good years, Hamna nabii wala mtumishi wala maandiko yanayo make impact kwako eneo Hi o! No matter what hupatiiiii kazi! Umehangaikaaa mpaka roho imekutoka Ila kazini hujaingia!, Umeanza kuona it’s point Less! Shetani ashakumaliza na biashara kati yenu ishafungwa kwa wewe nikikwambia you are not dead my love, It will be cold of me and brave yet dispekable of me to look you and lie to you coldly!, I can’t even dare to try to be sentimental with you IN REALITY NOTHING IS RESPONDING TO YOUR SITUATION FOR YEARS!, WHAT ARE YOU? IF NOT DEAD IN THAT AREA? TRUTH HAS NO TEMPERATURE, UNAWEZA KUWA KWELI UMEKUFA HILO ENEO LA MAHUSINO, UCHUMI, AFYA NA UZAO.
YAANI PERFECTLY MUDERED BY THE DEVIL! AND ON HIS FINEST JOB AT HIS BEST!
LIKE I SAID NO NEED TO BE SENTIMENTAL! YOU KNOW IT! I KNOW IT!, ALL THE PEOPLE AROUND YOU KNOW IT!, GOD KNOWS IT!, EVEN THE DEVIL KNOWS IT!, HATA KAMA HATUSEMI LAKINI WE ALL KNOW IT!, IT IS WHAT IT IS!
YAANI WEWE MIAKA 38 HUNA WA KUTAKA FAMILIA NA WEWE, MIAKA 33 HUJAPATA KAZI HATA AU TOKA UAJIRIWE WEWE OFFICER TU KWELII?, HAMNA KlNACHO ENDA WALA KUELEWEKA KWENYE MAISHA YAKO.
KAMA TULIPO ISHIA KWENYE UFUNUO WALE MASHAHIDI WAWILI (2) WALIKUFA! JUST LIKE YOU MY DEAR! JINSI ULIVYOPAMBANA KWENYE MAHUSIANO FINALLY UMEKUFA HILO ENEO!, PAMOJA NA MAOMBI NA IMANI NA KILA KITU UMEKUFA, IT IS WHAT IT IS! NO AMOUNT OF UCHUNGU, HASIRA, ATTITUDE VIMEWEZA KUKUPA MATOKEO HATA MADOGO KATIKA HILO ENEO.
AND JUST LIKE IN REVELATIONS PEOPLE SAW YOU DIE! WATU WAMESHUHUDIA UMEKUFA ENEO HILO NA WAMEKUWA WAKISHUHUDIA FOR SOME TIME AND NOW YOU ARE LIFELESS RELATIONSHIP ,YOUR LIFELESS CAREER, YOUR LIFELESS ECONOMY, YOUR LIFELESS REPRODUCTIVE ABILITY.
NA PEOPLE IN REVELATION ARE SAME AS IN YOUR LIFE , WATU WATABAKIA KUWA WATU, WENGINE WANASHANGI LIA, SAWA UNA KAZI ILA NDOA NDO HUNA NA HUTAKAA UPATEEE.
UNAJISHAUA SANAA NA KIKAZI HIKO!, EEH SAWA!, SAWA UMEOKOKA UNAJITEMBEZA NA BIBLIA ILA PESA NDO HUNA YAANI MWANAUME SURUALI HATA MKEO IMEFIKA MAHALI HAKUHESHIMU TENA!.
YAANI SAWA UNESOMA MPAKA MASTERS IMEKUSAIDIA NINI?, SHEMEJI YAKO FORM FOUR (4) NDO AMEKUSTIRI CHUMBA KIMOJA CHA KUJIHIFADHI.
MPENDWA MANABII WALE WAKIWA BARABARANI, PAMOJA NA KWAMBA WASHAKUFA ILA WATU WALIWASIMANGA SIKU TATU (3), HAMNA KUZIKWA WALA NINI, STORY OF YOUR LIFE, BORA WENZIO SIKU TATU (3), WEWE MWAKA WA 4/5/ 10, PAMOJA NA KWAMBA USHAKUFA HILO ENEO KITAMBO PEOPLE CANT JUST LET IT GO! STILL THEY ARE FEASTING ON YOUR DEMISE, CAN GET ENOUGH SATISFACTION! NA KAMA WAFU WENGINE HUNA LA KUJITETEA YAANI UTAJITETEA NINI? NDOA UNAYO?, OKAY HUNA BASI UNAWEZA KUPATA? THUBUTU, UKAZAA NA MTU NAE NDO AKAMWAGIA PETROLI KWENYE MOTO WAKO!, HUNA LA KUFANYA ZAIDI YA KUTEKETEA AND WATCH THEM FEAST ON YOUR DEMISE!.
AS MUCH AS IT MAY LOOK AS THE ULTIMATE END ! IT IS NOT THE END!, HATA WALE MASHAHIDI FOR THREE (3) DAYS KILA MTU ALIAMINI KWAMBA NDO MWISHO TENA NA SHAMRA SHAMRA ZILI BAMBA
MAYBE WATU WASHAKUKATIA TAMAA, MAYBE MWENYEWE USHAJIKATIA TAMAA, MAYBE WATUMISHI WASHAKUKATIA TAMAA, IT IS NOT THE END OF YOU OR YOUR STORY!
GOD IS STILL COMING FOR YOU! GOD IS COMMING FOR YOU NOW!.
MUNGU ANAKUJA KUJITUKUZA KUPITIA WEWE NA KUPITIA STORY YAKO! NA WANAO KUJUA! WALIO KUDHARAUUUU! IN 30 DAYS DELIVERANCE PROGRAM YAANI WALIO SHEREKEA KIFO CHAKOOO! WALIO MTUKUZA SHETANI KWA ANGUKO LAKO WOTE WANAENDA KUSHUHUDIA MUNGU ALIYEJUU THE ALPHA AND OMEGAA, ELSHADAI, ADONAI, JEHOVA SHARMA, JEHOVA SHALLOM, JEHOVA JIREH, JEHOVA NISSI, BWANA WA MAJESHI ANAVOKUJA KUKUFUA NA KUKURUDISHIA UHAI WAKO HILO ENEO MBELE YA MACHO YAO!.
WATAFADHAIKA SANA WATATAZIKA SANA, WATADHALILIKA SANA! NA YOTE KWA YOTE WATAKE WASITAKE LAZIMA WATAMRUDISHIA MUNGU UTUKUFU WAKE JUU YAKO!, NA THE MEANIEST OF THEM ALL NDO WATAKUWA WA KWANZA KUKUOMBA MSAADA.
WATAENDA KUSHUHUDIA UKIENDA KUFUNGA NDOA KANISANI MCHANA KWEUPE, WATASHUHUDIA UKIINGIA OFISINI KWA MASLAHI MANONO, WATASHUHUDIA MGUMBA UKIPATA WATOTO WAKO!, YAANI MPAKA WASEME.
WATASHUHUDIA MUNGU ALIYE JUU MBINGUNI AKIKUFANYIA RESTORATION YA MIAKA YAKO ULIYO POTEZA UKIWA UMEKUFA KWA KUUAWA NA NGUVU ZA GIZA
lsaya 61:7
Badala ya aibu yenu mtapata maradufu, na badala ya fedheha wataifurahia sehemu yao, basi katika nchi yao watamiliki maradufu, furaha yao itakuwa ya milele.
DAY 2
Yohana 11:38-44
Yesu Amfufua Lazaro.
38. Yesu akafika penye kaburi akiwa amefadhaika sana.Kaburilenyewe lilikuwa katika pango ambalo mlango wake ulikuwa umezibwa kwa jiwe.
39 Akasema,”Ondoeni hilo jiwe.”. Dada yake marehemu, Martha, akasema, ”Bwana, patakuwa na harufu kali kwani siku nne zimepita tangu azikwe.”
40. Yesu akamjibu, ”Sikukuambia kama ungeamini ungeuona utukufu wa Mungu ?”.
41 Kwa hiyo wakaliondoa liLe jiwe. Yesu akaangalia mbinguni akasema,”Baba ninakushukuru kwa kunisikia.
42 Ninajua ya kuwa huwa unanisikia wakati wote, lakinini mesema hivi kwa faida ya hawa walio hapa,ili wapate kuamini ya kuwa umenituma.”
43 Baada ya kusema haya akapaaza sauti akaita, “Lazaro, toka nje !.”
44. Yule aliyekuwa amekufa akatoka, mikono yake na miguu yake ikiwa imeviringishiwa vitambaa.Yesu akawaambia, “Mfungueni awe huru!”.
Mpendwa mefika mahali badala ya kuwavutia watu kwa Mungu unawakatisha tamaa sasa.Ni una-nuka madeni matupu, kudharauliwaaa ,mpaka afya yako tu imedhoofika mpaka nguvu za kiume zimeanza kukuishia.
Tumekubaliana tunaongea kiume UCHUMI WAKO NI MZOGAAA!
That career is dead sisy before it even began! Kila siku wewe niwa kupambana watu kukushikilia kazini usifukizwe sio kwenda mbele, Yani HATA vya mbele huhitaji unachoomba usifukizwe tu kazi!, Hata hiko kidogo huna amani nacho kabisaaa! Kila linalokuja upande wako nibaya na baya ZAIDI!, Wakati wenzio career zao zinaenda juu wewe unashuka chini kwa lift any time tu, kuna uwezekano mkubwa usiwe na Career yoyote!
Vyeti unavyo lakini kazi huna! Na kama unayo niya chiniya vyeti vvako STINKING DEAD CAREER, Issue sio kuwa na Dead career!, au Dead relationship, Dead economy, Dead visions!, VITU VITAKUFA SANA TU SABABU SHETANI YUKO KATIKA UBORA WAKE NA NDIO KAZI YAKE KUUA VITU!, IT IS JUST WHO HE IS AND WHAT HE DOES!.
Yohana 10:10
Mwizi huja tu kuiba, kuua na kuharibu, mimi nilikuja ili wawe na uzima, tena wawe nao tele.
THE DEVIL WILL ALWAYS KILL AND DESTROY SABABU THAT IS HIS NATURE AND WHO HE IS, AS CHRISTIANS NI JUKUMU LETU KUFUFUA KILA ANACHO KIUA, YESU ALIKUJA KUTUREJESHEA UWEZO WA KUFUFUA VITU ILI VIWE NA UZIMA NA HUO UZIMA USIWE WA WASIWASI UWE TELEE!
YESU WA WATU KAFUFUA WATU WEEE, MWISHO TO PROVE HIS POINT KAFA YEYE MBELE YA MACHO YA BINADAMU WOTE NA KUJIFUFUA LIVE BILA CHENGA!.
Mnajua yote hayoooo! Like I said ni SUNDAY SCHOOL MATERIAL, LAKINI BADO MNAISHI NA MIZOGA KWENYE MAISHA YENU INANUKA KULIKO LAZARO! PLAYING VICTIMS!, DEAD PEOPLE WALKING WHILE STINKING, THE MILLION DOLLAR QUESTION IS WHY ??? NA BIBLE MKO NAZO KWA SIMU ZENU, MKO NAZO KWA NYUMBA ZENUUU!
SISY MAHUSIANO YAKO STINKS OF ADULTERY, DEPRESSION, FRUSTRATION, INSECURITY, EXTORTION WEWE KWELI YESU ALIKUFA MSALABANI UNUNUE MAPENZI ?!, NO MONEY NO LOVE!, UNAMEGWA KISELA NO COMMITMENT NO NOTHING.
HATA KUWA ACKNOWLEDGED PUBLICLY NI HELL NO! IN SHORT WEWE HUPENDWI PAPUCHI YAKO NDO INA PENDWAA, YAANI BLOODY STINKING RELATIONSHIP SIS!, JESUS DIDN’T DIE ON THE CROSS FOR YOU TO LIVE LIKE THIS.
BRO UCHUMI WAKO IS OOZING POVERTY!, UMEVUKA STAGE YA SISY YA STINKING WEWE UMEANZA KUTOA FUNZA KABISAA!!, UCHUMI UNANUKA UMASKINI MTUPUUU!.
I GUESS I’LL NEVER KNOW YOUR SIDE OF STORY! LAKINI NACHOONA IF YOU SPEND TIME IN STINKING SHIT LONG ENOUGH IT STOPS TO STINK UNAANZA KUONA KAWAIDA!, UKIKAA SANA NA MIZOGA INAACHA KUNUKA NA UNAANZA KUONA KAWAIDA TU, FRESH TU!
Lets assume you are born a little bit dumb, Not that smart! Hell no!, Not at all, Lakini una Common sense ya kungamua tu. Mpendwa Yesu alifufua watu na akafufuka yeye mwenyewe sasa KWANINI UNASHINDWA KUJIONGEZA KIDOGO TU! JUST A LITTLE.
KWAMBA MAYBE, JUST MAYBE, YESU SINCE HE IS THAT GOOD IN THIS RESURRECTION BUSINESS ANAWEZA KUKU-FUFULIA MIZOGA YAKO KWENYE MAISHA YAKO?
We all know Jesus! One Good fellow, Hanaga baya na mtu, Kwanini usitenge Siku 30 kwamba hizi Siku 30 najikomba komba kwa Yesu, yaani nakuwa chawa pro max mpaka anifufulie MIZOGA yangu hii miwili tu, Kazi na Mahusiano! Siwezi kufa kizembe hivi!, Haiwezekani nisome nisipate kazi na haiwezekani nisiolewe kirahisi rahisi tu!, It’s official mimi sasa hivi ni chawa wa Mbinguni!, Ziguse Mbingu umegusa jicho langu.
WAPENDWA KUJIOKOA NDIO HAMNA YAANI MNATAKA KUVUKA ILA BILA KULIPA GHARAMA!, MAISHA NI SAFARI NA MNAKULA NAULI MAKUSUDI YAANI MSHAZOEA JELA LAKINI NAWAKUMBUSHA TU FREEDOM IS FREEDOM, JELA NI JELA HATA UPEWE UNYAMPARA NA KILA KITU BADO UHURU NA AMANI UTAKOSA TU NA KAMA WAFUNGWA WENGINE LAZIMA UTADHARAULIKA.
OKAY MAYBE BEFORE ULIKUWA HUJAJIPATA, SASA NISHAONGEA NA WEWE KIUME, MAN TO MANSITUATION YAKO NIMEKUCHANA LIVE HUNA HAJA YA KUJIZIMA DATA ! MAJOKA VOTE NIME KULAMBISHA WAZI WAZI SIO PRIVATE!, WHAT TO DO ?
Leo na Siku zilizobakia 28 ! Peleka MIZOGA yako kwa Bwana Yesu, Unapo muita Roho Mtakatifu usiku sukuma MIZOGA yako mbele zake, Msihi aifufue, No matter how stinking na imeoza kiasi gani!
Maandiko yamesema Kaburi lilikuwa lina NUKA!, Hatariii! Na kilichonuka ni LAZARO mwenyewe IN THE END YEYE ALIMFUFUA MZIMA, UOZO NA HARUFU VYOTE ALIVITI BU!
MSIHI BWANA YESU LEO HII AFUFUE MAHUSIANO YAKO! CAREER YAKO! UCHUMI WAKO!, YALE MASAA MAWILI HIVI NDO VITU VYA KUJIMIMINA! MUONESHE ROHO-MTAKATIFU MAFUVU YAKO WAPI.!
DAY 3
Luka 13:31-36
31 Saa ile-ile Mafarisayo kadha wa kadha walimwendea,wakamwambia, Toka-hapa,uende mahali pengine, kwa sababu Herode anataka kukuua.
32 Akawaambia,Nendeni,mkamwambie yule mbweha, Tazama, Leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilika.
33 Pamoja na hayo imenipasa kushika njia yangu leo na kesho na kesho kutwa, kwa kuwa haimkini nabii angamie nje ya Yerusalemu.
34 Ee Yerusalemu,Yerusalemu uwauaye manabii na kuwapiga kwa mawe waliotumwa kwako, mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako kama vile kuku avikusanyavyo vifaranga vyake chini ya mbawa zake, wala hamkutaka.
35 Angalieni, mmeachiwa nyumba yenu! Nami nawaambia, Hamtaniona tena kamwe, hata mtakaposema, Amebarikiwa ajaye kwajinala Bwana
Mpendwa Mapitoooo yapoooo kwenye maishaaa!, Mapito yapo kwenye imaniii!, Nijinsi tu mambo yalivo!
Kama umesoma VITABU vya injili utajua Yesu hakuwa mtu wa kukasirika kirahisi, Wala hakuwa mwepesi kuwa provoked Na most of all alikuwa na msimamo.
Lakini unaona hapa anakuwa ingtrigued!, Ana kereka na taarifa za Herode kutaka kumuua, Mpaka anasema “NENDENI MKAMWAMBIE YULE MBWEHA!”, HERODE HUYOOO MFALME WA YUDEA, MFALME WA MAYAHUDI, MSHARIKA WA KAISARI, THE GREAT HERODE!
NA KAULI HII YESU ANAITOA HADHARANI SIO KWA KUJIFICHA NA WHAT IS MORE INTERESTING IS THE MESSAGE HE SENT BACK TO HERODE!.
Mpendwa ukisoma mistari michache nyuma utajua wakati huo Herode alikuwa mtu MBADI, Akishirikiana na Pilato ndio balaaa linakuwa zitooo kweli.
Ukirudi nyuma kidogo hiyo Luka 13,Yesu anapewa habari za Pilato kafanya ujasusi.
Luka 13:1-2
Na wakati uo huo walikuwapo watu waliompasha habari ya Wagalilaya wale ambao Pilato alichanganya damu yao na dhabihu zao.
2.Akawajibu akawaambia, Je! Mwadhani ya kwamba Wagali aya hao walikuwa wenye dhambi kuliko Wagalilaya wote, hata wakapatwa na mambo hayo?.
YAANI MUDA HUU YERUSALEMU KULIKUWA KIMENUKAAAA KWELIKWELI!, SIO HERODE, WALA SIO PILATO NI HAPAKALIKI.
Yesu anawapa ujumbe wa kumpelekea Herode kwamba hata kama mambo nime-usi kiasi gani, hakai ng’oo! Kwa taarifa yake Leo na kesho yupooo tena yupo sana na anaendelea kutoa pepo kama kawaida, Naponya wagonjwa kama kawaida na siogopi chochote Siku tatu (3) nakamilisha!.
PAMOJA NA HAYA YOTE NAFANYA LIKE NILICHOKUJA KUFANYAAAAA HIZI SIKU TATU (3), MPOOOO!, NABII HAWEZI KUKIMBIA KIMBIA NA KWENDA KUANGAMIZWA NJE YA YERUSALEMU KAMA IT IS GOING DOWN, IT SHOULD GO DOWN HAPA HAPA YERUSALEM NA NDANI YA SIKU HIZI TATU (3)!
WENGI MNAANZAGA KUOMBA VIZURI MNAANZA IBADA VIZURI MNAANZA MAOMBI VIZURI VIKIIBUKA VIKWAZO KIDOGO TU MNAISHIA NJIANI.
WEWE IMAGINE YESU ALIKUWA KATIKATI YA KAZI YAKE AND A THREAT OF HIS LIFE WAS MADE ON HIM BY A KING, RUTHLESS KING TO BE PRECISE!
Lakini It was not enough to stop his mission for God!, NOT GOOD ENOUGH, Na anaweka wazi SIO sawa kwa NABII KUKIMBIA KIMBIA kisa to a threat was made! Not an actual attack! Just a threat!.
Na kuonesha seriousness of the threat anairudia historia ya Mji wa YERUSALEM kuwaua manabii LAKINI STILL NOT GOOD ENOUGH GROUNDS TO ABORT GODS MISSION AND RUN FOR HIS LIFE!.
Nyinyi kuanza Siku 30 sio kazi lakini Kumaliza 30 ndio mtiti! LEO DAY 3 MMEANZA NA UPUUZI ! MTU ANAJIANDIKISHA ESSAY NA ESSAY!, NYARAKA KWA NYARAKA! YOTE HIYO ANATAKA KU-DROP OUT DELIVARENCE.
MNAJIDEKEZAAAA SANAA! SABABU HAMJUI MAANDIKO! N SIJUI NANI ALIWAAMINISHA DINI NI YA KUBEMBELEZANA!
LABDA KAMA KWENYE HIO DINI WEWE NI FURSAAAA UNABEMBELEZWA ULIWE SADAKA SIO UVUKE!
Wewe you are on a mission to SAVE YOURSELF wala sio hata mission ya Mungu!, YOUR OWN PERSONAL MISSION! Lakini Sasa kudekaaa kama kote YANI USIFANYE HIZI SIKU 30 NA UPATE MATOKEO PENGINE KUZIDI WALIOFANYA HIZI 30!.
Na this kind of thinking imekufikisha hapo ulipo na ime KUGHARIMU sana yaani una dharaulika na unakosa raha na huna amani, UKI DROP-OUT MAANA YAKE UMEKUBALINA NA HAYA NA KUISHI HIVI.
Lakini vipi ufanye maamuzi magumu kama Yesu!, Whatever is distracting you! WAAMBIENI HAO MBWEHA HIZI SIKU 30 NAMALIZA! NITAJITOA PEPOOO! NA NITAKAMILISHA DELIVARENCE YOTEEE KAMA KAWAIDA.
Maana mnakuwa kama Yerusalem!Kita nikijari bu kujifanyia delivarence mna-ni provoke! Mna ni-distract! Mna nitoa kwenye reli!
THIS TIME NAKAMILISHA SIKU 30! NAKAMILISHA MY MISSION TO SEEK GOD! IAM NOT DROPPING OUT!, NA UKIMALIZA HIZI 30 YOU WILL THANK YOURSELF.
NA MNAO JIENDEKEZA NA KUANZA DRAMA, SPARE ME THE SENTIMENTS!, YOUR LIFE YOUR CHOICE.
AS MUCH AS NIKISIKITIKA PAMOJA NA WEWE MATOKEO YATAKUWA HAMNA YATATOKA WAPI?, TUWE REALISTIC.
MIMI STAKI NOVEMBER NIKUSIAIDIE KUJUTAAA QUITETE AND LOSERS ARE NEVER CELEBRATED! ONLY HEROS!! ONLY HEROES! THERE IS NEVER AN AWARD FOR QUITING AND LOSING.
IF YOU QUIT ON YOURSELF NOW WHAT NEXT?, IF JESUS HAD QUIT AND RAN-AWAY WHAT NEXT?.
Distraction zipooo!, Mwenyewe Jana nilisema nasali usiku! Nikapitiliza!, Mambo ya ajabu sana na aibu so hapa nilipo nadaiwa moja ya kulipiza, Lakini naendelea na Safari!.
Mpendwa kuanguka kupooo! Kupanic kupooo!, Lakini HAKIKISHA UNAKAMILISHA SIKU 30.
IF YOU DON’T GO ON A MISSION TO SEEK GOD FOR YOURSELF WHO WILL GO FOR YOU ?.
DAY 4
Exodus 33:19
19.And he said,”I will make all my goodness pass before you and will proclaim before you my name ‘The Lord.’ And will be gracious to whom I will be gracious, and I will show mercy on whom I will show mercy.
Kutoka 33:19
Akasema, Nitapitisha wema wangu wote mbele yako, nami nitalitangaza jina la BWANA mbele yako;nami nitamfadhili yeye nitakayemfadhili, nitamrehemu yeye nitakayemrehemu.
God as God is always powerful, has always been powerful, will always be powerful.
Regardless unajiaminisha nini, Mungu SIKU zote atabakia kuwa Mungu tu!, Shida yetu wanadamu ni moja tu , Muda wote unataka kuibeba Situation yako tu, Unampima Mungu uwezo kwa changamoto zako 24/7!, WHICH BY THE WAY IS TOTAL BULLSHIT!
YAANI MMEKUWA NA VITU VYA AJABU YOUR COMMON SENSE IS NO LONGER COMMON TO YOU, MNABEBA CHANGAMOTO MPAKA MTU ANAGEUKA YEYE SASA NDIO CHANGAMOTO.
Nimeokoka zaidi ya miaka kumi (10) na nina miaka arobaini 40 sijaolewa!, Sawa, Fanya program basi!, Analipuaaa lipuaaa!, Mtumishi bado hamna hata mtu kanisemesha! Maombi hayajafanya kazi!.
Unampa program nyngine!, Kuanzia day 1, kipimo kama yale maombi yanafanya kazi ni ASEMESHWE NA MWANAUME na asiposemeshwa program haija anya kazi wala haitakaa ifanye kazi.
Lengo la kufanya program kwenu sio kutengeneza mahusiano na Mungu wala sio kumsikia Mungu analipia kwa kusema juu ya changamoto zake au kutafuta msaada hata wa malaika wamsaidie basi ku-solve hiko kikwazo, Hapana Okay basi Roho Mtakatifu akuoneshe tu!, Nope! Fine Bwana.
MNA ADOPT HII MENTALITY KWAMBA SHIDA ZAKO NDIO ZI-DIRECT IBADA ZAKO! WHICH IS TOTALLY WRONG! NA HUTAPATA MATOKEO YA MAANA.
USIPOJIA NENO HUTAJENGA DOCTORINE NA BILA DOCTORINE MAOMBI YAKO YATAKUWA BASELESS NA EVENTUALLY YATAGEUKA MALALAMIKO NA FRUSTRATIONS.
HATA-KAMA HUNA KAZI USIPIME UAMINIFU WA MUNGU KWA IBADA ZAKO KWA KUITWA INTERVIEWS AU KUAMBIWA UTUME CV.
KWANZA ELEWA UWE NA KAZI AU HUNA, UWE NA MUME AU HUNA, UWE NA WATOTO AU TASA HAIPUNGUZI UTUKUFU WA MUNGU HATA KWA NUKTA MOJA! MUNGU NI YULE YULE!, MPE HESHIMA YAKE KAMILI! YAANI CONTROL KIBURI NA JEURI ZAKO MUONESHE UNYENYEKEVU WAKO KAMILI! NA ACKNOWLEDGE UTUKUFU WAKE TO THAT EXTENT SABAU UPO TO THAT EXTENT!.
Usione sababu huna kazi you have nothing to lose, Unaenda kwa Mungu kama kwa shoga ako!, Tena ukitibuka huendi miezi mitatu(3), NDO MAANA MUNGU HAKUPI USHIRIKIANO HUNA ADABU NA HUJITAMBUI !USIPOJIPATA UTAZEEKA HIVO HIVO!, MUNGU HAWEZI KAMWEE KUSHUSHA UTUKUFU WAKE KU-ACCOMODATE YOUR STUPIDITY AND FOOLISHNESS! HATA UWE NA MIAKA 50.
KWENYE NENO LA LEO GOD WAS VERY DIRECT! YAANI HAJAPINDISHA MAMBOOO! UWEZO WA KUPITISHA MEMAAAAA YAKE VOTE MBELE ZAKO ANAOOOO! TENA ANAO SANAAAAA! LAKINI ATAMFADHI LIATAKAE AMUA VEVE KUMFADHILlll!ATA MREHEMU ATAKAE AMUA YEYEEEEE KUMREHEMU!!!
HALAZIMIKI WALA HAKUNA WA KUMLAZIMISHA YEYE KUMFADHILINA KUMREHEMU MTU ASIYE-TAKA!, IKO HIVO.
Huo uwezo na mamlaka anavyo enzi na enzi!, Na atabakia navyo na hata leo hii AKIAMUA kukurehemu na kukufadhili na kupitisha mema yake yote mbele yako ANAWEZA hamna wa kumzuia, NA AKIAMUA HUPATI KITUUU HUPATI CHOCHOTE!.
AKILI NI KUACHA KUBEBA SITUATION YAKO KWAMBA SIJAOLEWA SIJUI SINA KAZI SIJUI TASA VYOTE TUPA KULE FOCUS ON THE PRIZE KWAMBA MUNGU KAMA MUNGU AKIWA ZAKE AMETULIA MBINGUNI ANAWEZA KUPITISHA MEMA YAKE YOTEEE MBELE ZA MACHO YANGU! ANAWEZA KUAMUA TU KUNIFADHILI! ANAWEZA KUAMUA TU KUNIREHEMU KIROHO SAFI TU!.
HOW DO I GET HIM TO DO THAT TO ME TODAY?
Matatizo yako kuyabeba hayajamshawishi shetani akuhurumie ndo yamshawishi Mungu!, Thubutu, IF YOU WANT GODS ATTENTION YOU NEED TO BETTER!.
Mungu unaweza kumshawishikwa PAST GOOD TRACK RECORD OR GOOD FUTURE TRACK RECORD! Basi!
Kama huko nyuma ulifanya mema na unajiamini unasimama na andikola leo kumkumbusha Mungu kwamba Ulitoa sadaka kubwa kubwa, Ulifunga, Ulihubiri injili, Ulijenga kanisa, na Mambo kama hayo ambayo uliacha interest zako ukabeba za MUNGU!
Kama huna la maana on the past tumia nadhiri ya kwamba Mungu nirehemu na kunifadhili mimi,in Return nitafanya ibada,nitajenga kanisa,nita Support huduma zako,nitahubiri na mambo kama haya 30.
DAY 5:
Waefeso 6:12
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
2 Wakorintho 10:4-5
Maana, silaha tunazotumia katika vita vyetu si silaha za kidunia, ila ni nguvu ya Mungu yenye kuharibu ngome zote. Tunaharibu hoja zote za uongo na kubomoa kila kizuizi cha majivuno kilichowekwa kuipinga elimu ya Mungu; tunaziteka fikira zote na kuzifanya zimtii Kristo.
Mpendwa Neno la leo lipo Direct kabisaa na Program hii WENGI MNAHISI KWAMBA MAISHA JINSI YALIVYO NI COINCIDENCE TU!, HAMNA VITA YOYOTE.
Mimi mwenyewe nilipoteza miaka mingi nikijipa moyo hivyo! Kilicho ni cost ni MUDA, Na kitakacho ku-cost ni MUDA pia.
Kilicho nizindua ni baada ya kuona muda unaenda na hakuna kinacho enda ZAIDI ya umri tu, Hivyo nikaona hapa VITA IPO NA MIMI NDO NISHAPOTEZA.
Wewe unaweza kuwa una miaka thelathini (30) hujaolewa na Ukajiambia hakuna vita yoyote ila pindi ukifika miaka arobaini (40) ukakubali kabisa kuna vita imekucost miaka kumi (10) ya ujinga na ubishi, Kwani laiti ungekubali ukiwa na miaka (30) hadi ufike miaka (40) ungelikuwa na miaka kumi (10) ya ndoa na watoto watatu (3) , YAANI YOU SUCESSFULY BALANCED TIME!
Ukienda kazini na miaka arobaini (40) utakuwa na miaka kumi na tano (15) tu ya kazi ustaafu, TIME WILL HAVE ALREADY CHEATED MOST OF YOUR YOUTH, THE SOONER YOU ACKNOWLEDGE THE WAR THE BETTER FOR YOU.
KUKUBALI VITA IPO IS THE EASY PART, THE HARD PART NI KUJUA UNA VITA NA NANI? HILI NDIO THE MILLION DOLLAR QUESTION NA THE PROCESS OF FINDING OUT IS NOT EASY EITHER.
MIMI WATU WENGI WANAKUJA WANAKATA HAWAHITAJI DELIVARENCE NA HAWATAKI KUFANYA ILA WANATAKA WASAIDIWE SASA SIJUI WANAJUA VIFUNGO VYA ROHO VINAFUNGULIWA NA HEDEX AU PANADOL.
MIMI NATAKA KUWASAIDIA ILA NAKUMBUKA THE PROCESS YENYEWE YA MSAADA IS HARD, YOU HAVE TO TRUST THE PROCESS OR DIE IN THE PROCESS ILI UZALIWE UPYAA! AND THE PROCESS IS THE PROCESS!
It breaks my heart akija mtu na vifungo ambavyo vinataka delivarence lakini IT IS WHAT IT IS, Mimi binafsi bado Nina vifungo vingi tu naishi navyo kwa uvivu wa kuvitoa, Navijua na process naijua ila uvivu unanicost! Na sababu sio vikubwa havipigi interest zangu kubwa kubwa.
KIUKWELI BILA KUFANYA MAAMUZI NA KUYASIMAMIA DELIVARENCE NI UONGO!
MPENDWA MIMI NILIJARIBU KUNUNUA DELIVERANCE! SIKUFANIKIWA, SASA KAMA KITU KUJIFANYIA MWENYEWE KAZI KAMA NINI NDO UTEGEMEE MTU AKUFANYIE? THUBUTU, PESA HAIKATALIWI, ILA DELIVARENCE NDIO SAHAU.
HiLo neno la kwanza limeweka wazi kwa ujumla what are you up against!, JE, NI FALME NA MAMLAKA, WAKUU WA GIZA HILI, JESHI LA PEPO WABAYA AU WOTE WAZITO SASA WEWE MTOTO MDOGO UKAANZE VITA NA HII MI-GIANT UNADHANI ITAKUWA VITA NYEPESI?? , THUBUTU.
LAKINI MAANDIKO YAMEKUPA SILAHA ZA KWENDA VITANI, USIENDE MIKONO MITUPU MWANETU, SILAHA HIZO HAPO NA SILAHA KUU NI NGUVU YA MUNGU IWEZAYO KUHARIBU NGOME ZOTE!.
HII NGUVU YA MUNGU NI KAMA NUCLEAR WEAPON LAKINI BADO KUITUMIA ILI UWEZE KUSHINDA VITA KWANZA NI KWA KUWEZA KUI-ACCESS ILI UWEZE KUIPATA KWANZA WEWE NDIO UWEZE KUMLAMBISHA ADUI.
Hii nguvu ya Mungu huwezi kui-ACESS hovyo hovyo tu, lnataka Uwe na neno la kutosha na ujuzi wa kutosha na technical to know how to access it.
Sasa wengi hamtaki kuwekeza muda ku-achieve hili, Sababu umejua tu Nguvu ya Mungu ipo na ndio kiboko ya ngome zote, Unataka kukurupuka ukamlambishe adui, Unafika kule una dhailika unakutwa huna nguvu yoyote, na tukiacha ya Mungu hata yako binafsi huna.
Hapa ndio mtu anakuja leo anataka leo hihi-hii umfundishe kupambana na nguvu za giza, Do you have a death wish or something ?, Anakwambia mimi sina muda wa hayo mengine, Nipe silaha nijitose.
Mpendwa ndiyo maana watumishi wengine hawakufundishi, Sio kwamba ni-wachoyo, They just don’t trust your judgement with that kind of DANGEROUS KNOWLEDGE.
EVEN I DONT TRUST YOU THAT MUCH BUT I TRUST GOD THAT MUCH KWAMBA KUTAKUWA NA SOME SORT OF BALANCE SINCE I CANT HELP YOU ITS ONLY FAIR YOU ATTEMPT TO HELP YOUR SELF.
Hvyo kushindwa vita SIO mwisho wa vita, Ongeza Knowledge na rudi VITANI upya, Ukishindwa mara moja au mbili hata kumi ,It DOESNT mean anything than YOU WERE NOT PREPARED ENOUGH.
Mpendwa It’s day 5 na kuna watu wengi wa zamani wameweza na wamepata matokeo makubwa kwa sababu ni mwaka wa 2/3 wa constant prayers, WAMEWEZA KU-ACCESS NGUVU YA MUNGU NA KUTUMIA VITANI!SABABU YA UZOEFU NA NENO NDANI YAO NI JINGII.
Kuna watu wa zamani hawaja weza chochote japo wana Pambana, KEEP TRYING, Usirudi nyumaaa, Shikilia hapo hapo, ndio maana program ni siku thelathini (30) sio Siku tano (5), If you keep going uta unlock new levels.
BOTTOM LINE IS ANAYEENDA VITANI YUPO NUSU YA NJIA, NO MATTER HOW LONG WILL THE WAR TAKE, IKO SIKU YAKE, YOU WILL GET BETTER WITH TIME AND EXPERIENCE.
KUKATAA HUNA VITA HAKUIFANYI VITA ISIWEPO, TABU IPO PALE PALE, ONLY YOU ARE EITHER TOO LAZY OR TOO WEAK TO ENGAGE, HIO INAKUFANYA UKUBALI AUTOMATICALLY KUWA MTUMWA WA NGUVU ZA GIZA NA KUISHI CHINI YA UTAWALA WAO WA MABAVU KWA MDA USIOJULIKANA.MPENDWA YOUR LIFE YOUR CHOICES.
DAY 6
Marko 5:1-20
Yesu Amponya Mtu Mwenye Pepo
5 Wakafika upande wa piliwa ziwa wakaingia katika jimbo la Wagerasi. 2 Yesu alipotoka kwenye mashua, mtu mmoja mwenye pepo mchafu alitoka makaburini akaja kukutana naye.
3 Mtu huyu aliishi makaburini wala hakuna aliyeweza kumfunga hata kwa minyororo.4 kwa maana mara nyingi alipofungwa kwa minyororo mikononi na vyuma miguuni, aliivunja-vunja na hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda.5 Usiku na mchana alikaa makaburini na milimani akipiga makelele na kujikatakata kwa mawe.
6.Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia akaja akapiga magoti mbele yake. 7 Akapiga kelele kwa nguvu akasema,”Unataka nini kwangu,Yesu, Mwana wa Mungu Mkuu? Ninakusihi kwa jina la Mungu usinitese” 8. Alisema hivi kwa kuwa Yesu alikuwa akimwambia, “Mtoke huyu mtu, Wewe pepo mchafu!”
9 Yesu akamwuliza,”Jina lako ni nani?” Akamjibu,”Jina langu ni jeshi, kwa maana tupo wengi.”10.Akamwomba sana Yesu asiwapeleke nje ya jimbo lile.
11.Hapo hapo lilikuwapo kundi la nguruwe likilisha kando ya mlima. 12 Wale pepo wakamsihi Yesu, “Turuhusu tukawaingie wale nguruwe.” 13 Basi akawaruhusu.Wakamtoka yule mtu wakaenda wakawaingia wale nguruwe na kundi Lote la nguruwe wapatao elfu mbili likatimka kasi kwenye mteremko ule,wakazama ziwani, wakafa.
Huyu mtu alikuwa possed kweli-kweli na mashetani mabaya haswaa Hayataki hata akae na mtu, Yaani yeye nikushinda makaburini na wafu mwanzo mwisho na Hili lilikuwa against his will.
Na alikuwa amekaaa hapo makaburini muda KWELI KWELI kiasi kwamba kila mtu amemkatia tamaa, Na walijaribu, Walihangaikaa sana!Yamkini ni ndugu zake au majirani walijaribu kumtoa makaburini kwa kumfunga na minyororo ya chuma ila aliikata na hakukuwa na mwenye nguvu kumshinda.
Hivyo akawa mtumwa wa pepo wachafu anakaa zake makaburini na mi-imani peke yake na kujikata kwa mawe, Hayo ndio yakawa maisha yake.
Ukiangalia kwa ukaribu huyu mtu hakuwa mbaya mbaya japo alikuwa na mapepo mabaya, Hata kukubaliana na mapepo kuishi in isolation ni kuwalinda wengine asiwaumize aendelee kujiumiza YEYE na kuteswa na pepo wachafu.
JAMBO MOJA KUHUSU HUYU MTU NI KWAMBA JAPO ALITESWA NA MAPEPO HE NEVER GAVE UP ON HIMSELF! NEVER!
Na idadi yote ya mapepo ndani yake lakini anapomuona Yesu kwa mbali anamkimbilia SASA HAPA NDIO KUNA JANJA-JANJA KUBWA, MTU ANAJIFANYA MAPEPO NDIO YANAMZUIA KUSALI NA KITAFUTA MUNGU SIO KWELI, BALI NI KIBURI CHAKO NA JEURl NDIO VINAKUPUMBAZA USIFANYE IBADA!
Huyu mtu alikuwa na JESHI la mapepo, lakini aliji-nyenyekeza na kujiongeza kukimbilia kwa Yesu na kupiga magoti, KUTAFUTA MSAADA.
Anapopiga MAGOTI Yesu anaanza kuwakemea wale pepo ndio mapepo sasa yana take control na kupanic na kuanza kuhanya-anya kwamba TAYARI yapo kwenye 18 za Mwana wa Mungu.
NA STORY YA PEPO WACHAFU NA JESHI LAO NDIO IKAISHIA HAPO BAADA YA KUKUTANA NA KIBOKO YAO, HAMNA HATA KAPEPO KAMOJA KALICHO SALIA NDANI YA YULE MTU!
Wengi mna-matatizo makubwa sana ila VIBURI NA JEURI ZENU ZINA CLOUD JUDGEMENT ZENU MPAKA HURUMA.
MTU UNAISHI MAKABURINI MAYBE NOT PHYSICALLY BUT LITERALY, KILA KITU KWENYE MAISHA YAKO KIMEKUFA, HUZAI MATUNDA KATIKA ENEO LOLOTE SIO KAZI, SIO BIASHARA, SIO UCHUMI, SIO MAHUSIANO, SIO FAMILIA, LAKINI LEVEL YAKO YA JEURI NA KIBURI NI NEXT TO NONE.
KITAKACHO KUANGAMIZA SIO KWAMBA MSAADA HAMNA NI HUTAKI KUSAIDIKA KINACHO KUMALIZA NI JEURI YAKO NA KIBURI NGUVU ZA GIZA NI BONUS TU.
NA WATU TUPO HIVI TANGU ENZI ZA HUYU MWENYE PEPO, MPAKA LEO UKIJITIA JEURI NA KIBURI TUNAKUACHA MAKABAURINI, KAA HAPO TULIA NA WAFU WENZIO KIDOGO MPAKA UTAKAPO JIPATA.
Mpendwa wale watu walihangaika mpaka na minyororo walivoona imeshindikana waliendelea na maisha yao kama kawaida na walimuacha ndugu yao makaburini apambane na hali yake na vifungo vyake na mapepo yake.
Mpendwa inasikitisha lakini maisha ndiyo yalivyo na ndio yatakavyo kuwa, No body is going down with anybody, hata kama familiaaa!Wana kuacha makaburini mchana kweupe.
Juzi mjukuuu wa mama alipata red-eyes, Nyumba nzima wana mkimbia maskini, Wakimnawisha uso wanavaa gloves, Wakikaa Vyumbani wanajifungia na akishika kitasa Dada ana sanitise lakini Sasa mdogooo haelewi why everbody is running from her.
UKWELINI KWAMBA NO ONE, ABSOLUTELY NO ONE! WILL FOLLOW YOU TO THE GRAVES MAYBE JUST TO CHECK ON YOU FROM TIME TO TIME, LAKINI KUKAA NA WEWE MAKABURINI NI NEVER WATAKUACHA UPAMBANE NA HALI YAKO
MIMI NIMEKAA MAKABURINI MDA WA KUTOSHA AND I CAN ASSURE YOU ITS NOT THAT BAD LAKINI IT IS NOT A GOOD PLACE, NOTHING HAPPENS THERE!, ABSOLUTELY NOTHING! SI MNAJUA WAFU TENA!, DEAD PEOPLE TELL NO TALES!
MPENDWA NA UKIWA STAGE HIYO HAMNA KINACHOTOKEA THERE IS ABSOLUTELY NO LIFE WHAT SOEVER, SIKU TU NA CALENDAR NDIO VINAENDA ILA KWENYE MAISHA YAKO HAMNAAAA KINACHO JITIKISA, ITS LIKE YOU ARE DEAD LAKINI BADO UNAISHI.
MAKABURI SIO LAZIMA YAWE PHYSICAL! ATLEAST PHYSICAL GRAVES YOU GET TO REST IN ETERNAL PEACE! HAYA PSYCHOLOGICAL NI TORTUROUS NA MORE DEADLY.
SOME SAY WE LIVE ONLY ONCE SOME ARGUE WE LIVE EVERYDAY AND DIE ONCE, LAKINI UKIWA KATIKA PSYCHOLOGICAL GRAVE YOU LIVE IN THE MIDDLE BETWEEN THE DEAD AND THE LIVING! EVERY SINGLE DAY OF YOUR LIFE UNTILL YOU GET HELP!.
THE QUESTION IS DO YOU NEED HELP? AU BADO JEURI NA KIBURI CHAKO VIKO NUMBER ON TRENDING ?.
KAMA UNAHITAJI MSAADA NIMEKUPA KAMBA HIYO NI 30 DAYS DELIVERANCE PROGRAM, WEKA TU NIA NA IMANI YAKO.
WANAONIJUA WANAJUA MIMI SIO FAN WA DELIVERANCE, MIAKA MITATU (3) HII NI PROGRAM YA PILI (2) NATOA! GOD KNOWS NITATOA YA TATU (3) LINI, MPENDWA YA KWANZA ILIKUWA NI PART 3A NILITOA MWAKA 2022.
SASA MTU UNASHINDWA VIPI KUJICHEKI KIBURI CHAKO NA KUBALANCE JEURI ZAKO UKAFANYA PROGRAM KWA MOYO WOTE UKUTANE NA ROHO MTAKATIFU AKUFUNGUE VIFUNGO.
Mimi kuna watu nawajua mwaka wa tatu (3) yaani Mambo yao meusi ila kwa mzaha na kutonichukulia serious na waangalia, Kuna watu wapo kwenye group la above 35 yaani ni the most un-serious people you have ever seen unakuta umri wake haumstui hata kidogo! THEIR LIFE THEIR CHOICE!
ITS ABOUT TIME UWE SERIOUS NA MAISHA YAKO USHAKAA SANA MAKABURINI, NO BODY IS COMMING FOR YOU, HELL NO! IFIKE MDA UMKIMBILIE YESU!, UMKIMBILIE ROHO MTAKATIFU UKAPIGE MAGOTI MBELE YAO UPONYWE!, UWE RESTORED KUWA MTU HAI TENA NA WAKUFAA NA UTOKE HUKO MAKABAURINI!
I PROMISE YOU UKIFANYA HIZI SIKU THELATHINI (30 DAYS) KWA UAMINIFU MKUBWA, ROHO MTAKATIFU ATAKUTOA HUKO MAKABAURI NI NA KAMA ITASHINDIKANA MAKABAURINI YATATOKA YENYEWE KICHWANI KWAKO NA UTABAKIA HURU.
DAY 7
Luka 10:38-42
Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja aitwaye Martha, akamkaribisha nyumbani kwake. Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria, huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.
Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi akamwendea Yesu, akamwambia,”Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu?, Mwambie basi anisaidie.”
Lakini Bwana akamjibu,”Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi. Kitu kimoja tu ni muhimu, Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakaye mnyanganya.”
Mpendwa leo kuna mtu akasema aliyajaribu maombi, yaani amekuwa muwazi, Haniamini mimi wala maombi, ila alijaribu tu out curiousity, lli approve kama mimi na SHUHUDA zote ni ukweli au uongo. Hvyo basi wapendwa leo alikutana uso kwa uso na lile andiko gumu la:
Mathayo 4:7
Yesu akamwambia,”lmeandikwa pia’Usimjaribu Bwana, Mungu wako.’”
Katikati ya majaribio Kidole cha Pete kikaanza kuwaka moto, akachanganyikiwa kuwa haya mambo kumbe kweli ole WANGU nimeingia vita kwa majaribio hakika leo mashetani yananila mzimaa mzima.
The fact kujua spirits anazo sema HUMU katika uongo uongo wake zipo ndani yake siku nyingi kitambo, Alafu sasa YEYE ndio anajidanganya sisi ndio wa kweli, yaani BALAA ZITO alipambana kukemea hivyo hivyo na Roho Mtakatifu akaja kumsiadia It was a very Long night for her and even today will even be longer day.
Kaja nimemsaidia mawazo sababu now that is to show KWENYE MSAFARA WA MAMBA HATA KAMA WEWE NI KENGE tena Ki kenge kidogo-dogo jana mwenzio kimemkuta kitu but She will be fine though she found out the truth in a hard way.
Martha na Mary wanapata bahati ya kutembelewa na Yesu, Martha kama wengi wetu yupo focused mambo ya kidunia ya ku-make a lasting impression kwa mgeni, Yupo focused na hospitality na ukarimu kwa mgeni wao, Yaani kiufupi yupo focused na mambo mengi kidunia.
Mary alikuwa focused kujifunza neno la Mungu kutoka kwa Mwalimu wa walimu, Muda wote alikaa ametulia ku-focus na mafundisho, Hakwenda hata msalani siku hiyo, Alihakikisha yote atakayo fundisha Yesu ana-yasikiliza na kujifunza kwa makini.
Mpendwa tunaona Yesu anamwambia Martha jambo moja la msingi sana kuwa MARY AMECHAGUA KITU BORA ZAIDI AMBACHO HAKUNA MTU ATAKAE MNYANGANYA
Ni kama watu waliochuagua kufanya DELIVARENCE ya maisha yao ili kutafuta wokovu na kufunguliwa mambo yao,HAMNA MTU ATAKAE WANYANGANYA HUO WOKOVU NA HIZO BREAKTHROUGH HATA SHETANI AKIJARIBU HAWATA MRUHUSU.
Ofcourse Mpendwa ni Process ngumu na inachosha kweli kweli, kwani Tunafunga LONG HOURS, lbada yenyewe masaa mawili (2) nayo ni Long Hours lakini this is the price of un-locking new levels.
Yesu alikuwa anapita-tu kwa kina Martha kwani sio mkazi ndio maana Mary aliona NOW OR NEVER.
WAPENDWA MIMI MNANIJUA? MNAJUA KILINISIBU NINI NIKAANZA KUHUBIRI ?, MNAJUA NINA MPANGO WA KUHUBIRI MUDA GANI?, MNAJUA LINI NITAPOTEA GHAFLA TU KAMA NILIVO ANZA GHAFLA?, NAWEZA KUBADILISHIWA ASSIGMENT, SASA KWAKO WAKATI NI SASA AU NEVER.
Je, ni kuchagua Delivarence? au kufocus na kazi yake mwaya au biashara zake, Siku ya Siku analogwa kazini anapoteza kibali chake mbele ya ma-Boss anafukuzwa hio kazi au biashara inapigwa scad na kusambaratika.
ANABAKIA HANA BIASHARA WALA KAZI NA VIFUNGO KAMA VYOTE NA KWENYE MAISHA YAKE HANA IDEA AANZIE WAPI KUVIFUNGUA.
“Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakaye mnyanganya.” – Jesus of Nazareth.
HAMNA MTU ANAYEWEZA KUKUNYANGANYA WOKOVU WAKO WALA UHUSIANO WAKO NA MUNGU NA AS LONG AS UNA UHUSIANO SOLID NA MUNGU UNA UHAKIKA WA MAISHA HUBAHATISHII MPENDWA.
DAY 8
Waebrania 3:7-8
Jihadharini na Kutokuamini
7.Kwa hiyo, kama Roho Mtakatifu asemavyo, “Leo, mkiisikia sauti yake 8. Msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama mlivyofanya wakati wa uasi, siku ile ya majaribio jangwani.
Waebrania 3:12
12 Angalieni, ndugu zangu asiwepo miongoni mwenu mtu yeyote mwenye moyo wa dhambi, usioamini, unaomfanya ajitenge na Mungu wa uzima.
Wengi mna taka kukumbatia dhambi na muda huo-huo mumuone Mungu kwa ukubwa, Ndahani mpaka hapa wote tumejiridhisha, IT IS IMPOSSIBLE, YAANI ABSOLUTELY IMPOSSIBLE.
Watu wengi mnafanya mioyo yenu kuwa migumu kwa ajili ya kuikumbatia zinaa, kukumbatia wizi, kukumbatia dhambi nyinginezo.
Niliwaahidi ROHO MTAKATIFU atakuja kuwafungua kwenye HII program Lakini mwanzo kabisa kabla Ya ile post ya MTIRIRIKO WA IBADA, Nilitoa maelekezo Ya kujiandaa kumpokea Roho Mtakatifu ikiwepo NUMBER ONE (1) REQUIREMENT YA KUMKIRI NA KUMPOKEA YESU KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO.
Waliofanya zile preparations wamepokea msaada wa Roho Mtakatifu kwa ukubwa, Lakini wengine katika kuifanya mioyo yenu kuwa migumu mlidandia Day 01, Matokeo yake mmepata matokeo Papatu-papatu, Mwingine leo ndio yupo Day One (1) na ndio nanaona anaona program niliyo-itangaza for the whole 2 weeks na preparations hajafanya na hato-fanya.
Wapendwa matokeo yanaanza na kuwa na full-complete information and details, yaani ukiwa tu na in-complete information lazima uende chaka na detail ndogo tu itakutesa sana.
Kuna watu hawa-kusoma ile post ya how to ACTIVATE THE HOLYSPIRIT, yaani wameruka moja kwa moja na procedure na wanaumiza vichwa mbona kwao mambo meusi, Kumbe hawaja mu- activate Holyspirit wa Bwana.
Nikufanya tu mioyo yenu kuwa migumu KWASABABU HATA KAMA UMENIJUA LEO, HATA KAMA HUKUA ONLINE MUDA HUO YET STILL KU-SCROLL DOWN UPATE COMPLETE INFORMATION HAKUKUGHARIMU CHOCHOTE.
Sio kwamba una furaha sana au maisha umeyapatia, Basi kuifanya Roho yako kuwa ngumu tu ndio hutaki kufanya delivarence, Nawaambiaje, Watu wanaolipwa vizuri na wenye kazi zao ndo wanao-fanya program hii, kama hamna kesho, Wamezikamia hizo Million nane(8) mpaka Kumi na tano (15) na payroll balaa, By the fire by force lakini WASIO na kazi wala hawana muda huo Hawafanyi, Yaani MTU ana masaa ishirini na nne (24) ya kuomba ila ndio haombi na mwenye masaa nane (8) ndio anatengeneza muda maana schedule yake haina muda.
Mpendwa program HII haina mfano lakini wenye matatizo makubwa sasa wameifanya migumu mioyo yao, wana ngoja program iishe, Waendeleee kujilalamisha kuwa hawana matokeo, Sasa sauti ya Roho Mtakatifu wameisikia lakini mioyo yao wameifanya migumu.
TO GET RESULTS YOU NEED TO WANT TO GET THE RESULTS, WISHING AND HOPPING FOR RESULTS WILL NOT GET YOU ANYWHERE .
Wengine kisa tu kuna mambo haya kwenda sawa basi ndio kuifanya Roho yako ngumu moja kwa moja, Matatizo ndio yanatakiwa kuwa kama Engine oil ya kulegeza moyo wako sasa ili Roho Mtakatifu aingie.
Mimi sina kazi na kiukweli na moyo wa ibada ndani yangu umekufa kabisa sasa ukisusa watapata wenzio hizo kazi, THE FACT HUNA KAZI MSIMU KAMA HUU MAANA YAKE YOU CAN DO EIGHT (8) HOURS WITH THE HOLYSPIRIT, LAKINI UKO BUSY KUUFANYA MOYO WAKO MGUMU KAMA JIWE.
Mimi Nina miaka arobaini (40) sina Mume so siendi kanisani,Wanawake wengi waliokuwa makamanda wa Yesu walikuwa single women na majina yamebakia kwenye maandiko, The fact upo single maana yake you can do more for the kingdom, Lakini hapana, lazima uufanye moyo wako kamajabali.
Yaani watu kwa makusudi kabisaaa tunajitenga na Mungu na kuikumbatia dhambi the WE PUT THE ENTIRE BLAME ON GOD! KWAMBA KATUTELEKEZA!.
Upo kati-kati ya dhambi na unataka Mungu ashuke kukuokoa na kukutendea yaliyo makuu, YAANI ASHUSHE UTUKUFU WAKE KU ACCOMODATE YOUR MALICE NA UPO SERIOUS KABISA.
GOD BEING GOD, HE WILL NEVER, NOT WITHOUT SOLID GODLY CAUSE.
NDIO MTU ANATAKA NIMUONGOZE AENDELEE KUZINI NA BWANA WAKE NA MIMI KAMA ZOMBI AU MTUMISHI NJAA NISIKEMEE HIO ZINAA NIFUMBE MACHO KU-ACCOMODATE HIYO ZINAA HUKU NIKIWAPA HUDUMA KIUTU-UZIMA NA KISASA.
Mmoja anaye-tii maandiko kuliko waumini maelfu nao wapaka mafuta kwa mgongo wa chupa, Kwa-sababu Mungu hatoshuka wala Roho Mtakatifu, Kwa hali hiyo kutaka matokeo ni kujitekenya na kucheka wenyewe.
Mungu anaweza kushuka kumnyakua mtu kwenye Dhambi pale tu anapo muhitaji kwa kazi zake maalumu tu na si vinginevyo.
Sauli alikuwa mtesi wa mitume yaani muuaji na mfungaji wa mitume ilifika mahali waipoposikia Jina la Sauli waliharaa, EVIL OF EVIL NDIO ILIKUWA LEVEL YAKE, NA MUNGU AKAAMUA ANA-MHIJI KWENYE KAZI ZAKE , YAANI gahafla upofu then anapokea OFFICIAL CALL YA KUMTUMIKIA YESU.
KWA KAZI ALIYOIFANYA ILIKUWA VYEMA MUNGU KUSHUKA NA KUMNYAKUA TOKA KWA ADUI, SAULI NDIO BAADAE ANAPEWA JINA LA PAULO, THE MTUME PAUL UNAYEMJUA WEWE, PAUL ALIYETOLEWA GEREZANI NA MALAIKA, PAUL AS IN PAUL AND SILAS WALIOMBA MILANGO YA GEREZA IKAFUNGUKA, HIZO NI IMPROSONMENT MBILI (2) TOFAUTI MJUE, NA ALIENDELEA KUWA IN AND OUT JAILS KWA MDA WA KUTOSHA NDANI YA MIJI YA KUTOSHA NA MWISHO ALISULUBIWA HUKO ROMA, MIGUU JUU KICHWA CHINI.
PAULO HAKUWAHI KUWA MWANAFUNZI WA YESU WALA HAKUWA KATI YA MITUME KUMI NA MBILI (12) LAKINI ALIFANYA KAZI KUBWA SANA NA AMEACHA LEGACY KUBWA MNO.
SASA KUWAZA KWAMBA MUNGU ATASHUSHA UTUKUFU WAKE AJE AKUPE NDOA KATIKATI YA ZINAA SIJUI MWENZETU UNATUMIA REFRENCE GANI ?, ACHA KUUFANYA MOYO WAKO KUWA MGUMU SIKIA SAUTI YA ROHO MTAKATIFU NA KU-ACESS NEW DIMENSIONS ZA IMANI YAKO.
MPENDWA MOYO MGUMU UTAKUCHELEWESHA TU NA KUKUPOTEZA NJIA KUELEKEA HATMA YAKO.
KAMA MTUME PAUL ALIWEZA KUISIKIA NA KUITII SAUTI YA BWANA YESU NA KUFANYA MAKUBWA SANA NA KUIANDIKA UPYA HISTORIA YA MAISHA YAKE , WEWE PIA UNAWEZA KUFANYA HIVYO HIVYO, BASI LEGEZA MOYO WAKO SASA NA MKARIBISHE ROHO MTAKATIFU MOYONI MWAKO
DAY 9
Isaiah 42:22
22 But this is a people robbed and spoiled, they are all of them snared in holes, and they are hid in prison houses, they are for a prey, and none delivereth, for a spoil and none saith, Restore.
lsaya 42:22
Lakini hawa ni watu walioibiwa mali na kuporwa, Wote wamenaswa mashimoni, wamefungwa gerezani.Wamekuwa kama mawindo bila mtu wa kuwaokoa,wamekuwa nyara na hakuna asemaye, ”Waokolewe”.
NONE SAYTH RESTORE, HAKUNA ASEMAYE WAREJESHWE.
NONE/HAKUNA ina maana kubwa sana kwenye hili andiko, Maana yake hapo SIO WAFUNGWA WENYEWE WALA SIO WALIO WAFUNGA WENZAO NA SIO WATAZAMAJI NONE AS IN HAKUNA HAKUNA KABISA ASEMAYE RESTORE.
Mimi naweza kuwaelewa walio funga wenzao,they want them right where they are! Naweza kuwaelewa watazamaji !Wellmaybe hawafurahiii kinacho endelealakiniheeey it’s non of their business any ways.
Watu ambao sitokaa niwaelewe ni wafungwa, Wewe ushafungwa, You have nothing to lose anymore, Kwanini usijipambanie? Usipo jipambania mwenyewe nani atakupambania?.
Mimi kila siku nawaambia Usipo jipambania mwenyewe umejitelekeza mwenyewe.
Mpendwa wanaofanya program hii wana nielewa JINSI inavo chosha, Na iko kwa faidaa yako, Ingekuwa unamfanyia mtu Day 2 unaacha, Ndio uelewe usipojifanyia imeisha.
Unaweza kuwa na matatizo makubwa, mazito na unateseka sana wala SIO uongo, To be fair to you kweli unateseka LAKINI NDIO HUTAKI KUSEMA RESTORE, HUTAKI KUREJESHWA UNATAKA KUENDELEA KUTESEKA.
Kusema RESTORE SIO kutamkaaa tu, RESTORE! Imeisha, Thubutu, Ningesema RESTORE asubuhi hadi usiku.
Kusema RESTORE nikutaka urejesho kwa dhati! Kuacha yale yote yaliyo kufanya ufungweee na kuwekwa kwenye shimo.
Ni kama mtu anakuja anasema anataka kumuona Mungu eneo la ndoa takatifu, cha kwanza namuuliza ZINAA TUNAPIGAJE HAPO?, Akisema tu ITS COMLICATED na delete account, nishajua kabisa huyu kanogewa na vifungo.
Sipotezi muda wangu na WAZINZI mimi, ndio yale yale NONE SAYTH RESTORE, NILIPOKUWA NAMSOMA NABII ISAYA, SWALI LA KWANZA WORTH MILLION OF DOLLARS KUNIJIA KICHWANI NI WHY HAO WAFUNGWA HAWASEMI RSTORE JAMANI? , Mwaka wa tatu kwenye huduma nimepata majibu.
Aidha, Ni kama hapo kwenye zinaa, mtu anataka kuachana na shetani lakini aendelee kuenjoy faida zake, ni UPUUZI.
Like God said CRYSTAL CLEARY USIZINI AS NI AMRI SIO OMBI, YOU KNOW IT, GOD KNOWS IT, EVEN THE DEVIL KNOWS IT SASA TUNADANGANYA NINI?
Mtu yupo in pool of fornication, multiple partners, alafu hapo-hapo the audacity kunishirikisha hilo dimbwi kannst zinaa, Tena anapiga siwezi kuacha, hap hapo anataka umfanyie maombi saa 9 za usiku ya mumee!.
Mimi ndio maana I WORK FOR A LIVING AND I WILL WORK AS LONG AS MGONGO UPO INTACT, SIWEZI KUMTANIA MUNGU WANGU KWA KUENDEKEZA NJAA, NATAMANI KUFANYA HUDUMA FULL-TIME LAKINI THE PRICE SOMETIMES IS PEOPLES SOULS AND NOTHING CAN JUSTIFY THE PRICE OF PEOPLES SOUL.
KUNA MTU ALIKUWA HAPATI KAZI, NIMEMPA PROGRAM TATU (3) HAMNA MABADILIKO, NIKAMWAMBIA KUNA JAMBO HUSEMI KUMBE ANAJIBANZA KWA MUME WA MTU NA WANA MTOTO TAYARI, NIKAMWAMBIA SHIDA IKO HAPA, ANABISHA HAVI HUVIHUSIANI KWANI MAHUSIANO NI MAHUSIANO NA KAZI KAZI MAYBE KAMA ANGEKUWA ANATAKA KUOLEWA, ILA YEYE ANATAKA KAZI TU.
Nikamwambia mimi sitaki kupoteza muda wako na mostly wangu, Tutakuwa tunajitekenya na kucheka wenyewe, Akaniambia kuna mtumishi anamuombea, Nikasema ndio vizuri zaidi, I won’t have to worry kama utaangamia kwenye dhambi, Ananiambia kama ni SADAKA nitatoa.
Kama hujafanya HII kazi unaweza kuona watumishi ndio Ma-tapeli lakini actualy it is vice-versa, Watu ndio mnapenda kutapeliwa, Mnapenda kujidanganya Mtumishi aki-justify upuuzi na Mungu ata justify.
Ikaenda hivyo na Mtumishi anamuombea mpaka live appointments, Na Mume wa mtu hela ipo, Hizi laki 2 kwa 3 za kuteketeza tu sio haba, Mtumishi akisign in laki 3, ATAACHA KUJA AU KUKUPA APPOINTMENT? THUBUTU, NAFSI ILIYO SHIMONI YA NANI? KAKUDANGANYA NINI? WEWE MWENYEWE UMESOMA USIZINI UMEJIZIMA DATA, BASI YEYE KANG’OA SEVER KABISA.
Uliisha mwaka hana kazii na sio kuwa anampenda mme wa mtu! Kuendekeza njaa na dhikii, Akawa Depressed. Sasa akarudi tena, Anataka huduma, Nikamwambia Wembe ni ule-ule Mume wa mtu Must GO ndo no ONE (1) Haiwezekani hamna huduma.
AKANIPIGA PASSWORD WHAT IF HE GOES AND ALL THIS SHIT DOESNT BLINK ?, NIKAWAMBIA MIMI NITAKUWA SIO MTUMISHI, ANY PASTOR SHOULD KNOW HIS/HER WORD! I KNOW MINE, AKANIAMBIA YOU BETTER KNOW IT SABABU NAACHANA NAYE LAKINI MAMBO YASI POENDA, ALL HELL WILL BE LET LOSE.
Akawa kamuandikia yule Baba, SMS waachane ameamua KUOKOKA Baba anakomaa which Pastor? I can talk to them, Nilipishana na mahela mwenzenu asubuhi yaani sina bahati na Alikoomaa yule Baba alisumbua sana, Tena in a good way, Anabembeleza, He begged matter of fact, Wanaume wa zamani kwa utapeli jamani.
Mpendwa akarudia program na moyo safi SIO wa hila na hivi sasa Amepata kazi nzuri TANTROADS kwani alikuwa Engineer na vyeti vyake Straight As Hell na amepata nafasi nzuri, Anapata hela sasa hivi balaa, Kama mimi ananipa l M every now and then za ghafla ghafla tu how much is she making ?
PART TWO
DAY 11 -20 FOCUS:
Focus itakuwa kumuomba Mungu ajitukuze yeye kama yeye mbele ya adui na changamoto zako!
Mpendwa utatumia meditation method/ tafakari ya maandiko, Ambapo uta-tafakari maandiko ya siku hiyo siku nzima na kumsihi Mungu ajithibitishe kwako na kwa adui /changamoto zako sawa sawa na hilo andiko!.
Nitatoa prayer points za kukuongoza tu ila unaweza kujiongeza kutumia za kwako, Kama huna tumia hizo.
Unaweza kuona ni rahisi lakini ni ngumu zaidi na inachosha ZAIDI maana akili YAKO inatakiwa i-Focus na jambo moja zaidi Siku nzima nalo ni Delivarence.
Ukifanya mzaha unaweza kuta hujafanya lolote la msingi katika siku nzimaaa!
Maandiko na prayer points nitakuwa natoa usiku, lli uamke nazooo!
Ukifanya njia HII vizuri ina MAJIBU ya fasta fasta! Na sio impertations ni MAJIBU HALISI!
Vile Vimeo vya mda mrefu unavifungua chap-chap, Ni kuwa tu na imani ya kutosha na ku-Focus na Delivarence.
PART TWO:
DAY 11
1 SAMWELI 5
Sanduku la Agano huko Ashdodi na Ekroni 1, Baada ya Wafilisti kuteka Sanduku la Mungu,walilichukua kutoka Ebenezeri mpaka Ashdodi .2 Kisha wakaliingiza lile Sanduku ndaniya hekalula Dagonina kuliweka kando ya huyo Dagoni.
3 Watu wa Ashdodi walipoamka asubuhi na mapema kesho yake, kumbe,wakamkuta Dagoni ameanguka chini kifudifudi mbele ya Sanduku la Bwana.Wakamwinua Dagoni na kumrudisha mahali pake.
4 Lakini asubuhi iliyofuata,walipoamka kumbe, walimkuta huyo Dagoni ameanguka chini kifudifudi mbele ya Sanduku la Bwana! Kichwa chake na mikono vilikuwa vimevunjwa navyo vimelala kizingitini, nikiwiliwili chake tu kilichokuwa kimebaki.
5 Ndiyo sababu mpaka leo makuhani wa Dagoni, wala wengine waingiao katika hekalu la Dagoni huko Ashdodi hawakanyagi kizingiti.
6 Mkono wa Bwana ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi na vijiji jirani, akaleta uharibifu juu yao na kuwatesa kwa majipu.
7.Watu wa Ashdodi walipoona kile kilichokuwa kikitokea, wakasema,”Sanduku la Mungu wa Israeli kamwe lisikae hapa pamoja na sisi, kwa sababu mkono wake ni mzito juu yetu na juu ya Dagoni mungu wetu.”
PRAYER POINTS
1.Baba yetu ulie Mbinguni shughulika ,kuharibu na kutokomeza Miungu yote ilio nyuma ya vifungo vyangu vyote kama ulivyo shughulika na Dagon wa Wafilist huko Ashdodi, Shughulika na Ma Dagon yanayozuia mahusiano yangu, yanayo zuia uchumi wangu, afya yangu, biashara zangu, ajira zangu na changamoto yoyote unayotaka kuyasukuma.
2.Baba yetu ulie Mbinguni niweke huru na utawala wa Miungu na Madagon yote yanayoshikilia hatima yangu, kama ulivyo waweka wa Israel huru kutoka kwneye uonevu wa Miungu ya ki-Filist! Nirejeshee hatma yangu mikononi mwangu.
Una meditate juu ya hili jambo alilofanya Mungu kwa Wafilist, Na unamsihi alifanye juu ya hatima yako.
DAY 12
Mwanzo 30:22-24
Kisha Mungu akamkumbuka Raheli, akalikubali ombi lake na kumjalia kupata watoto.Raheli akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume, akasema, ”Mungu ameniondolea aibu yangu.”, Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Yosefu akisema,”Mwenyezi-Mungu na aniongezee mtoto mwingine wa kiume.”
PRAYER POINT
- Eee Mungu nikumbuke na ukubali ombi langu la kazi/ ndoa/ watoto/ changamoto yako.
- Eeeh Mungu naomba niondolee aibu yangu.
DAY 13
Kutoka 14:14
Mwenyezi-Mungu atawapigania, nyinyi mnachotakiwa kufanya ni kutulia tu.
Kutoka 14:14
BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
Mpendwa Translation inategemea na Biblia gani unatumia, Hili andiko ni jepesi lakini ni zito, Unaweza kusema kutulia tu au kunyamaza tu, Mbona simple.
Complication inaanza pale ambapo ukipata changamoto unataka Mungu akupiganie hapo hapo na Mungu anangoja kuona HOW WILL YOU DISPLAY TOUR FAITH NDO AKUPAMBANIE.
Mungu hajashindwa kukupigania wala hajagoma kukupambania only you wont let him either hutamruhusu akupambanie au utataka u-mcontrol akupambanie, vipi kukupa outcome unayotaka wewe SASA MAMBO HAYAENDI HIVO.
Mungu ametoa condition nyepesi sana ambayo ni tulia tuliii na funga mdomo huo UPIGANIWE.
Kutulia TULI sio kususa kufanya ibada kama Mungu hanipi kitu flani basi lbada sifanyi sikanyagi kanisani mpaka Mungu anipe Mume, How is it going for you sis!?
Kutulia TULI sio kuamua kuishi katika dhambi, Kama sipati Mume basi NAZAA tu watoto wangu maandiko haya kasema kuzaaa nje ya ndoa kuna mtetemesha Mungu, Thubutu zaa hata kila mtu na Baba ake.
Kutulia TULI sio kujaa kisirani na attitude muda wote unawafanyia watu Attitude kama wao ndo wamekunyima Mume au kazi Everyone is not safe from your attitudes.
Kutulia TULI sio kujitourte na kujimaliza kwa uchungu, Atleast wa juu ana tourte wenzie, They will surely pay for her misfortunes hawaji-tourte mwenyewe, Hapendezi, Hana raha, Hana amani, Amedhoofika, Give more of oppressed vibes.
HATA WALE WANAO JIFANYA WAKO OKAY AND UNBOTHERED NDANI YA MIOYO YAO BADO HAMNA UTULIVU, NI FUJO MTINDO MMOJA.
MPENDWA AND GOD WAS CRYSTAL CLEAR IN HIS MESSAGE KAMA UNATAKA AKUPAMBANIE UFANYE NINI.
MAANA YAKE ANYTHING LESS THAN THAT YOU ARE ON YOUR OWN SIS, IT IS THAT SIMPLE HAINA KUBEMBELEZANA TULIA MUNGU AKUPIGANIE AU PIGANA MWENYEWE.
Kuna mwanangu wa group la above 35 alipata kijana mzuri sana, Serna akafanya DRAMA na POWER GAMES mambo ya kipuuzi tu, Kijana alimpata December naa walipanga June mahari, Walikuwa mpaka wanaomba pamoja na amempenda, Juzi wame Call-it quits!
Nawajua mnataka ubuyu, Mnataka kujua Power Games gani? Drama gani? Well kifupi tu Bibi akitoka out, Girls Date na the guy akawa insecure na Kuna Trip walitakiwa waende the girl demanded Flight.
Kama mnavojua wanaume wenu wa Bongo bahiliiii hatari, Things went south, The guy ana gubu hatari and the girl kama nyie is the queen of power Games.
Akanitafuta usiku wa manane, I knew trouble was in the paradise! Amepanic. Tunafanyaje, Nikamwambia tunatulia tuli, She was like how ? Shouldn’t we fast or pray!, Nikamwambia hapana, We just relax and chill,GOD WILL FIGHT FOR YOU!
Huyu mwanaume alimpata baada ya program ya October ya LAST CALL ABOVE 35, Na haikufanya kazi kwake for some reasons, akaja kuniconfront kwamba maombi were not maombiring!
Kazi ngumu sana hii, acheni tu tule SADAKA za hapa na pale, Nikampa maelekezo afanye Partition ya APPEAL kwa Mungu, MAANA MAOMBI YANGU NA UHAKIKA NAYO NA YEYE AMEOKOKA MUDA HIVYO ALIFANYA KWA UAMINIFU NA SADAKA YAKE NILIKULA KUBWA TU!
Balaa lilikuwa zito pale ambapo angesema nirudishe sadaka sijui ingekuwaje, Sikuwa na sh 10 kipande MAOMBI had to MAOMBIRING.
MUNGU NI MUAMINIFU SANAA ILE PERTITION YAKE ILIKUWA YA MWEZI MZIMA HAIKUMALIZA MWEZI MUNGU AKAWA AMEJIBUUU! NDO KAMLETA HUYO KAKA! TULIJUAJE KATOKA KWA MUNGU.
EVERYTHING ABOUT HIM IS GODLY!, MWANANGU MWALI KIGEGO NDO NAMPA KITCHEN PARTY SASAHIVI IMEBIDI NIWE KUNGWI WAKE KUMUELEKEZA, MCHAGA YULE!.
MUNGU AKIKUPA KITU AMEKUPA HATA KAMA KAFANYA HIZO FOUL ZA KIKE, NA UHAKIKA THE GUY WILL COME ARROUND MWEZI WA 6 MAHARI TUNAYO, SIO KWAMBA NAMUAMINI KIJANA AU MWALI WANGU KIGEGO NAMUAMINI MUNGU JUU YAO, THEY ARE GOOD PEOPLE, WOTE AGE GO, ONLY THEY CANT RESIST POWER GAMES! THEY DEFINITELY SHOULD GET MARRIED.
NIMEMWAMBIA TULIA TULI SASA SIJAJUA KAMA BADO MWALI WANGU KIGEGO SHE IS HOLDING IT TOGETHER AND I WON’T BE CHEKING ON HER, HAVING YOUR PARADISE DISTURBED ON A SUNDAY THE GODS DAY IS CATASTROPHIC LAKINI WHAT DOESNT KILL HER WILL MAKE HER STRONGER.
WENGI KITULIA MUNGU AWAPAMBANIE NI MTIHANI ISSUE KAMA HII MTU ATAWAPIGIA WACHUNGAJI 20, ATA FUNGA ATA MPIGIA MPAKA EX-WAKE WAPASHE KIPORO.
MPE MUNGU NAFASI YA KUKUPIGANIA, MWACHE MUNGU AKUPIGANIE NA WEWEW INABIDI TU UTULIE.
MUNGU HAPENDI CHAOS, HUKU WEWE UNAPIGANA, HUKU YEYE ANAKUPIGANIA, UKIPATIKANA USHINDI HAPO UTAKUWA WA NANI?, WAKO AU WA MUNGU?
YAMKINI HUNA KAZI MDA MREFU, YAMKINI HUNA MUME MDA MREFU NA UMEKUWA UKITAPA-TAPA NA KUPAMBANA MDA WOTE BILA MATOKEO NI WAKATI WA KURUDI NA KUMWAMB IA MUNGU NAOMBA NIPAMBANIE SWALA LA MUME AU KAZI AU MTOTO NA MIMI NITANYAMAZA KIMYA.
NA UACHANANE NA KUTAPA TAPA NA HILO SWALA NA UMTEGEMEE MUNGU 100%
PRAYER POINT
BWANA NIPIGANIE ENEO LA MAHUSIANO NA MIMI NITATULIA TULI.
DAY 14
1 Wakorintho 2:1-5
2 Nilipokuja kwenu ndugu zangu, sikuja kuhubiri siri ya mpango wa Mungu kwa kutumia ufasaha wa kuzungumza au hekima ya binadamu.
2 Kwa kuwa niliamua kwamba wakati nikiwa nanyi nitasahau kila kitu isipokuwa Yesu Kristo; Kristo aliyesulubiwa msalabani.
3 Nilikuja kwenu nikiwa mdhaifu, mwenye woga na nikitetemeka sana.
4 Kuhubiri kwangu na ujumbe wangu haukuwa na hekima na maneno ya kuwashawishi watu, bali ujumbe wangu ulidhihirisha wazi nguvu za Roho.
- Ili imani yenu isiwe imejegwa katika hekima yawanadamu bali ijengwe katika nguvu ya Mungu.
lmani ikijengwa na hekima ya mwanadamu inakuwa ya kuyumba yumba sana na kujifosi sana,Unasikiaa tu NGUVU YA MUNGU, Miaka inaenda na kurudi lakini huioni kwenye maisha yako.
Umejikakamua kufata hekima ya wanadamu neno kwa neno,Wapi Unaona una hamfanyi kisasa tu, Ukitaka kukata tamaaa tunakwambia NGUVU IPO, WENZIO TUMEIONA MATTER OF FACT TUNAITUMIA TUTAKAVYO.
Mtume Paul wakati ana-waandikia kanisa la Korinto ali Adresse hii issue, NILISEMA SOMA PAULINE EPPLISTLES UNAJIENDEKEZA, Na ali-waambia kabisa wazi-wazi kama ninavyo kwambia leo hii.
1 Wakorintho 2:5
5 Ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali ijengwe katika nguvu ya Mungu.
Bila kukutana na nguvu ya Mungu na kupata encounter Personal imani yako itakuwa ya kuyumba yumba sana.
Utakuwa na maswali mengi kuliko maji buu, Utakuwa na limited coverage kwenye eneo la imani, Sana, ni rahisi kwangu KUAMINI sababu nimeonaaa vitu ,nimesikia vitu, nime experience vitu, Hata watu wakiniona DISHI limeyumbaaa fresh tuu hainistui sababu I know I SAW WHAT I SAW, I FELT WHAT I FELT!, WHAT DO THEY KNOW ? NOTHING!
Lakini kama hujawahi kuona au ku-experience watu wakokwambia inashikwa uchizi ujue!, WHAT DO YOU KNOW ? Nothing! Unatapata-tapa hatari.
Ukikaa unaona Mungu atakusaidia bwana,Ukikaaa unawaza mbona haaminiki sana, Ukikaaa mbona haja nisiadia tangu nina miaka 23 itakuwa leo 37, Im going nuts! Crayz!, Totaly!.
THE MILLION DOLLARS QUESTION IS KAMA HIGHER POWERS ZIPO WHY CANT YOU ACCESS THOSE POWER KAMA SISI WENGINE ? AU KUNA KA-ROSTER NA HATUKWAMBII, THERE IS NO ROSTER.
Ufalme wa Mbinguni ni Ufalme makini sana, Hauwezi ku u-Access kwa janja janja, Wala Chupli-chupli, Believe me I tried, Several attempts! Hamna rushwa kule wala kona-kona.
THE ONLY WAY UNAWEZA KU-ACCESS HIZI HIGHER POWERS NI KUJIFUNZA NA KUJIWEKA TAYARI KWA ZENYEWE KUJIFUNUA KWAKO BASI NA KUJIWEKA TAYARI AS IN MOYO WAKO WA IBADA.
NDIYO MAANA TUNAWEZA KUWA KANISA MOJA KITI HIKI NA HIKI, MTUMISHI HUYO HUYO, IBADA HIYO HIYO, MAANDIKO HAYO HAYO, MMOJA AKAJAZWA ROHO MTAKATIFU LAKINI WEWE BILA BILA.
Mnanijua enzi zangu kupenda shortcut, Nikawaza kusoma Pauline Epistles zoteee 13 alafu nikapandishia matendo ya Mitume It will take forever and I don’t have forever, Hapa la mbolea nitafute mtaalamu wa kuwajaza watu Roho Mtakatifu nipite border, Nikijazwa namaliza shida zangu!
NILIBADILI WATUMISHI KAMA NGUO SIKUWAHI KUJAZWA, MWENYEWE NILIVYO JIPATA NA KUWA ADDICTED NA MAANDIKO NA NENO LA MUNGU MPAKA WATU WAKAONA HUYU DISHI LINAYUMBA MUDA SI MUDA.
KWA MAANA NILIKUWA NAWEZA KUSIKILIZA MAHUBIRI SIKU 3 NON STOP NA BADO NA KIU.
NIKAACHA CHUPLI-CHUPLI NA KUTAKA HASWA KUJUA WAHTSUP WITH THIS KINGDOM OF HEAVENS, NASIKILIZA DOCTRINES NA DOCTRINES, I WAS CONNECTED.
NDIO NIKAANZA SASA KUJAZWAA ROHO-MTAKATIFU NA KUPEWA ZILE GIFTS NA KU-OPERATE IN BIGGER DIMENSIONS BEFORE NILIKUWA NIKISOMA ANDIKO HATA SIELEWI LAKINI NOW ANDIKO LENYEWE LIKITUA TU KWENYE UBONGO LINAJIPAMBANUA KAMA CHEMICAL EQUATION.
SASA WENGI TUKIWA WA KWELI YA KUWA TUMEFANYA HII PROGRAM SABABU YA KUTAKA KUVUKA KWENYE MAHUSIANO, KUPATA NDOA AU KAZI AU HIKO UNACHO PAMBANIA NA HUJAMPOKEA YESU KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO WALA HUJA SURRENDER YOUR LIFE TO CHRIST NA HUNA INTEREST YA HAYA MAMBO KIUKWELI.
YOU CAN WAIT UPATE HIO NDOA UACHANE NA THESE PENECOSTAL CHAOS, NI SHIDA TU, LAKINI YOU CAN’T WAIT TO GO BACK TO YOUR SIMPLE ONLY SUNDAY CHRISTIAN LIFE.
I ain’t gonna lie hata mimi shida ndio zilinileta Pentekoste lakini nilivyo vikuta huku na Dimension nilizo-fika, Even if I wanted to siwezi kurudi kama zamani, yaani How?
WENGI MMESHINDWA KU-ACCESS HIZI HIGHER DIMENSIONS SABABU ROHO ZENUUU ZINA HILA NA MBINGU SIO JINGA KWAMBA UTAZIOKOTA NI EITHER YOU DO IT RIGHT BY THEM WAJIFUNUE KWAKO AU BAKI UNASIKIA IT IS STRICTLY PREMIUM OR NOTHING.
NIMEWAONGOZA HII DELIVARENCE ,WALIO JIPATA NA KUFANYA KWA MOYO WAMEVUKA PAKUBWA SANA, WALIOFANYA HATA KAMA SIO KWA MOYO WAPO NUSU YA NJIA WANAPATA POINT ZA KUTOKEA UWANJANI SIKU 30, AMBAO HAWAJAFANYA WACHA WAJIBAMBE.
UZURI WA MBINGU NI MMOJA, UNAHITAJI CONNECTION MOJA TU, JUST 1 ONLY 1 , NA MBINGU UMALIZE BIASHARA YOTE.
HATA KAMA HUJAPATA CONNECTION SIKU ZOTE 13 UKIJIPATA NA KUREKEBISHA MAKOSA YAKO UNAWEZA KUIPATA KESHO NEVER LOOK BACK ALWAYS LOOK FOR A BETTER TOMORROW ACHANA NA UZAZWA ULIO-FANYA HIZI SIKU ZA NYUMA FOCUS NA KESHO, SHOOT YOUR SHOT.
NILIWAPA MAANDALIZI YA VITU VYA KUFANYA KABLA HUJAANZA HII DELIVARENCE LABDA ULIDANDIA TRAIN KWA MBELE, RUDIA POST BADO IPO, REGROUP NA JIPANGE UPYA KUISAKA BETTER TOMORROW, GET BETTER IN YOUR GAME.
PRAYER POINT
Baba yangu uliye mbinguni ifunue nguvu yako kwangu leo hii nisitegemee hekima ya mwanadamu, In Jesus name I ask.
DAY 15:
Yeremia 32:27
Tazama, Mimi ni BWANA Mungu wa wote wenye mwili, je kuna neno gumu lolote nisiloliweza?.
KUNA MAMBO MAWILI AMBAYO HUWA MNA-CHANGANYA, KUNA JAMBO KUKUSHINDA WEWE NA JAMBO KUMSHINDA MUNGU, HIVI NI VITU VIWILI TOFAUTI.
UNAWEZA KUONA NI JAMBO LILE LILE LAKINI NI MAMBO MATATU (3) TOFAUTI, I SAID THREE (3) SIO TYPO, PAY ATTENTION.
Jambo la kumshinda Mungu mpaka sasa HAKUNA, Yaani HAKUNA wala halijawahi kuwepo hata hayo yanayo-kuumiza kichwa bado sana kumshinda Mungu, Tena sana.
Jambo ku-kushinda wewe hiyo ni kawaidaaa sana, Tena sio jambo moja au mawili niya kutosha na hakuna la ajabu katika hilo kwani kila mtu anajua kama mambo yasha-kushinda mwenzetu, It is not news!
Mambo kushindikana pia hii dimension ipo sana tu, Mambo hayaja kushinda wewe in-such, rather YAMESHINDIKANA yenyewe yaani yapo nje ya uwezo wako, huwezi kulaumiwa wewe.
Mfano swala la mtoto, hawawezi kusema wameshindwa kupata mtoto, Ila wanasema imeshikana wao kupata mtoto kwasababu NYINYI kama NYINYI hamna say kwenye hilo la mtoto ni kudra za Mungu Inatokea tu odds hazipo upande wenu na mambo yameshindikana not anybody’s fault yanashindikana.
Hapa ndiyo balaa linapoanzia la watu kushindwa vitu, au vitu vyenyewe tu kushindikana vinapelekea mtu ankosa uelewa na kumlaumu Mungu kwamba ndo amesababisha vishindikane na Mungu kwasababu hajasababisha vishindikane ukimlaumu nikazi bure umekosea approach ya swali huwezi kupatia jibu sahihi.
Kwa mfano una miaka 40 hujaolewa, It is between the two reasons which are Either umeshindwa kupata Mume au imeshindikana wewe kuolewa zote ni possibility na Mungu hataki uolewe can never be a possibility, Yaani kwanini asitake? na alishamaliza kujibu hili kwenye several scriptures. Hivyo umehsindwa kuolewa as wewe ndo uliyetibua Bwawa, Una-record chafu ya kugawa hovyo mama huruma, Una gubu, Una hasira, Mkorofiii, Mtata, Una matusi, Malaya mchafuu, mlevi, hujitambui, HAPA UNAJILOGA MWENYEWE YAANI UJINGA UNAO MWENYEWE USITAFUTE MCHAWI NANI, JUST LOOK IN THE MIRROR.
Ilmeshindikana kuolewa as wewe ni mtu safi una kazi yako, una adabu, una hekima, Una sali zako sana, You do your part lakini the Ndoa is not ndoaring!, Watu wamejaribu kufanya matchmaking na kukuozesha lakini bila-bila hapa tunasema IMESHINDIKANA KUOLEWA, Implying forces zinazo-zuia wewe kuolewa might be EXTERNAL yaani tofauti na yule mwenzio ambaye ana INTERNAL FACTORS.
MUNGU KATIKA HII EQUATION YUPO CONSTANT NA UWEZA WAKE UPO CONSTANT EITHER IWE SITUATION NUMBER ONE AU NUMBER TWO KWAKE IT DOESN’T MATTER, JE KUNA JAMBO LOLOTE ASILO-LIWEZA?.
TUNAKUJA KWENYE MILLION DOLLAR QUESTION KAMA MUNGU ANA-NGUVU NA UWEZA WA KUKUSAIDIA KWANINI HAKUSAIDII?
MIMI HILI MOSTLY NA LIATTRIBUTE NA MAMBO HAYA MACHACHE!
1.LACK OF KNOWLEDGE ON HOW TO ACCESS GODS HELP
MUNGU AMEJIFUNUA SANA KWENYE MAANDIKO YAKE JINSI YA KUWEZA KUMU-ACCESS, AMEJIFUNUA KUPITIA SCRIPTURES NA DOCTORINES SASA KAMA HUZIJUI UTABAKIA KUKOSA CONNECTION AU KUTUMIA CONNECTION ZA KUAZIMA KWA WATU, NIMEWAAMBIA JIFUNZE KUMU ACCESS ROHO MTAKATIFU, MTU ANAONA, TOO MUCH WORK KAA BILA CONNECTION.
MPENDWA JAMBO LAKO HALIJAMSHINDA MUNGU LAKINI UMESHINDWA COMMUNICATE NA MUNGU WALA KU DISCERN MAJIBU YAKO, SOMETIMES MUNGU ANATAKA KUKUSAIDIA KWELI LAKINI LUGHA GONGANA, AKISEMA AWASILIANE NA WEWE KWA NDOTO, HUELEWI WALA HUKUMBUKI NA UKIKUMBUKA BADO HUELEWI MOJA WALA MBILI AKISEMA AWASILIANE NA WEWE KWA MAANDIKO YA BIBLIA KUSHIKA MARA YA MWISHO SIJUI LINI?, BASI UNABII HUKO KANISANI WANAKUONA BASI?, UMEJI-BLOCK KILA MAHALI KUPOKEA JIBU.
2.LACK OF CLARITY/ DIAGNOSIS OF YOUR SITUATION.
MPENDWA INAWEZA KUWA WEWE UNALIA NA NUMBER TWO SITUATION KUMBE WEWE NDO NGUVU ZA GIZA UNAZOKEMEA, SITUATION YAKO NUMBER TU AMBAYO INGEPONA KWA TOBA NA MOYO WA DHATI KUMRUDIA MUNGU, UNAPINGA NGUVU ZA GIZA BILA MATOKEO SABABU HAMNA NA UNAWEZA KUWA NUMBER TWO SITUATION UMEFUNGWA UKAKAA UNAJILAANI NA KUJIHUKUMU WEE, KUMBE NI EXTERNAL FACTORS!
Sipati kazi au mume, Kumbe either way HUPATI KITU VILE VILE, unashangaa watu wanazini wakipata tu mimba wanaolewa fasta, We unazini, mimba unapata mpaka watoto watatu lakini hupati ndoa hamna chochote!
Diagnosis Error zinaanza hutaki kumu-Access ROHO MTAKATIFU akufanyie diagnosis za uhakika una-rely kwenye Ndoto, fikra zako, unabii feki,matokeo yake unaenda Chaka kabisa.
GOD CAN STILL HELP YOU AND GOD WANTS TO HELP YOU LIKE NEVER BEFORE!, KAMA NILIVYO WAAMB IA JANA YOU JUST NEED ONE AND ONLY ONE CONNECTION NA MBINGU.
MARA NGAPI HUJAPATA, IPO SIKU YAKO AS LONG AS YOU KEEP SHOWING UP NA MUNGU ATA-UONA UAMINIFU WAKO NA ATAJITHIBITISHA KWAKO KWA UKUBWA.
PRAYER POINT
- HATA HIZI CHANGAMOTO ZANGU ( ZITAJE) UNAZIWEZA BABA KUNIVUSHA.
DAY 16
1 Wakorintho 4:20
Maana ufalme wa Mungu hauwi katika neno, bali katika nguvu.
1 Corinthians 4:20
20 For the kingdom of God is not in word, but in power.
Hii power of the Kingdom of Heaven imezungumziwa sana mpendwa. Issue sio kujua kama ipo, Unajua kama ipo, Issue ni kuweza kui-Access hii power.
Kuweza ku-tap in this power is a process which you can follow and tap!, Sio ngumu, Just follow the instructions to the end na Hapa NDIYO shida ilipo, FOLLOW THE INSTRUCTIONS.
Unakuta hii program mtu anajiamulia kuanza Day 11, Ndio kaamua Sasa na yupo serious anafanya lakini kuanzia Day 11 na amejizatiti kupata majibu.
Haya mambo yana PROTOCAL ambazo usipozifuata hutoboi, Mimi nilitoa maelekezo kabla ya program wengi hawakufata zile preliminary na sahivi wana audacity ya kuni-laumu kwamba hawaja weza kumshusha Roho Mtakatifu.
Hujampokea Yesu kwenye maisha yako, huja surrender to Jesus! Una mambo kibao, WHO do you take the Holyspirit for ?, Kumpokea Yesu na ku-surrender your life to Jesus sio lazima kanisani, Japo ni vizuri ukifanya kanisani lakini kama kanisani unaona jau what matters ni MOYO wako kufanya maamuzi na kusimamia.
BILA KUFANYA MAAMUZI NA KUFATA PROTOCAL ZA KWENYE MAANDIKO KUNA DIMENSIONS HUWEZI KU-OPERATE, HUWEZI KU-OPERATE KWA UJANJA UJANJA, HUWEZI KU OPERATE KWA TWO FACED MODE NA MOYO WA HILA.
Wapendwa kuna mtu akaniambia mbona Mimi nimeokoka muda na nishatoa maisha yangu kwa Kristo sijawahi fika hizi Dimension kabla, Nikawambia ulifanya theoretical, Moyo ulikuwa bado huja surrender na ulikuwa na hila ndani yake, Sasahivi huna na upo moyo safi ndio maana MBINGU sasa zinajifunua kwako, Issue SIO mtumishi wala SIO nini?, MOYO wako na nafsi yako zipo kwenye Mode ya utukufu?.
WENGI MMEKWAMA HAPA KUJIWEKA KWENYE MODE YA MBINGU KUJIFUNUA KWENU, YAANI HATA UMPE MTUMISHI SH NGAPI NIULIZE MIMI!, HAWEZI KUZIFANYA MBINGU ZIJIFUNUE KWAKO.
WEWE FANYA MAAMUZI LEO HII YA KUMPOKEA YESU KAMA MWOKOZI WA MAISHA YA KO NA KU-SURRENDER YOUR LIFE TO JESUS TOKA MOYONI, NI KITU UNAWEZA KUONA KIDOGO ILA KITAKUPA MILLAGE KUBWA SANA.
KUNA WENGINE MNA-PAMABANA NA KUFIKA VIWANGO VYA MUNGU KUJIFUNUA KWENU LAKINI AS SOON AS ZIKIJIFUNUA IKAANZA NEEMA KIDOGO TU, MNA RUDISHA HILA MOYONI UPYA YANI MNA-HARIBU KILA KITU NA NDANI YA DAKIKA CHACHE UNARUDI ULIKOTOKA NA WACHACHE NDO WANA JIKAZA KUDUMU NA UTUKUFU.
MIMI NAMSHUKURU MUNGU SANAA NINA MKONO WA NADHIRI NYINGI NAZO ANDIKA ZINAPITA KWA-SABABU PIA SITAKAGI NADHIRI ZA UBABAIFU PIA, ITS PREMIUM OR NOTHING NIPO STRICT KUKUBALI KUSIMAMA NA MTU AWEKE NADHIRI, LAZIMA INYOOKE.
LAKINI HAMNA ENEO NIKO DISPOINTED KAMA HILO, KATIKA KILA WATU 10 WANAORUDI KUTOA NADHIRI ZAO HAWAZIDI WA 3/4, ITS FINE SABABU MAANDIKO NAYAJUA KINACHOPATIKANA KWA PROTOCAL LAZI MA KIDUMISHWE NA PROTOCAL.
Mimi nacho umiaa ni unakuta mtu 36/37 ndo anaenda kazi ya kwanza na hana mume wala hana investment yoyote, Finaly things are working japo ndio lala salama, Badala aone amehangaika vya kutosha anyooshe kama kazi imepatikana ndoa ni swala la muda tu, watoto ni swala la muda as long as upo kwenye right Path mambo yanafunguka, Finaly, lakini yeye hila zinamrudi upya anasahau asha salimisha maisha yake kwa Yesu.
Wapendwa kuna mwanangu alikuwa kijijini faida ELIMU kitu kama hiko she is 44! Hana mume, hana watoto na ameokoka muda hakupata tu right teacher, tulipambana mpaka akapata uhamisho kwenda Chuo Kikuuu na tuli maanake YEYE.
Nilimpa maandiko kwa maandiko, ikafika mahala nikamwambia walio kufunga mafundi kweli kweli, Leta sadaka kubwa bila hivyo hii ngoma imelala, maana uhamisho ulikuja toka utumishi mpaka chuo, Chuo wakaurudisha utumishi, akatakiwa akae huko huko na nna Masters!
Akatoa hio sadaka na Dose za maandiko, Chuo ndio wakamuita na ku-reverse barua ya utumishi kwamba nafasi imepatikana na ile vita tukashinda 2022 mpaka sahivi amepata kazi mbili(2) na Mishahara miwili (2) hivyo kwenye uchumi alivuka.
Kimbembe ndoa, Tangu 2022 yupo Single na sasahivi yupo mjinii it hurts even more MAANA watu wanajua kujishaua na familia zao na tumehangaika sio kidogo, wanao mfungaga ni Majini si watu, yaani toka 2022, HII program ndio Mungu ame-muahidi atampa Mume lakini aendelee kumtumikia na Mungu akisema limeisha Namuombea tu aki-olewa akazae fasta maana she is 44 na Sina stamina ya kudeal nae tenaaa kwenye uzazi, Yupo nje ya muda kabla ya menopause, Afosi HATA apate viwili au vitatu vya Voda fasta, sasaahivi ana maternity mbili, NSSF mbili ana wasiwasi gani?
Sasa Kuna binti nilimuandikia nadhiri, hapatagi kazi lakini katika hii program kapata kazi ya kawaida sana, cha kwanza hataki kuitoa ile nadhiri of which sishangai, lakini anataka asitoe nadhiri na mimi bado nimhudumie , kwa hio akawa anatengeneza mazingira ya kwamba ana madhabu nne(4) hajui ipi imejibu, Like hawezi kutoa, Mimi nikamwambia haina shida we-toa kwingine akaseama au nitatoa 1/4 kila sehemu, Nikamwambia mimi sikusimamia nadhiri robo wakati unaweka hukujua una madhabau nne, We toa huko nimekuruhusu.
Mimi nimemuhurumia maana hio kazi ilikuwa mwanzo tu ndo kwanza vitu vimeanza, mwenzie ana kazi mbili kwa uaminifu mdogo tu na zote za MAANA, yule waleo amepata offer nne(4) na program haijaisha, vitu ndo kwanza vimeanza kufunguka, Mambo bado kwani Hana ndoa, hana mahusiano na hana hata mtoto na age go! Badala alipe nadhiri yake asonge mbele na hivi vilivyobakia mwaka umeanza vizuri kwake, Hapana lazimaaa atibueeee kila kitu, Aanze upya DONT MAKE THIS MISTAKE.
PRAYER POINT
ROHO MTAKATIFU THIBITISHA NGUVU YA UFALME WA MBINGUNI KWENYE CHANGAMOTO ZANGU KWA JINA LA YESU, I MEAN IT AND PUT IN YOUR SOUL IN IT.
DAY 17
Zaburi 68:35
Mungu ni mwenye kutisha kutoka patakatifu pako. Ndiye Mungu wa Israeli, Yeye huwapa watu wake nguvu na uwezo na ahimidiwe Mungu.
Psalm 68:35
Ooh God, thou art terrible out of thy holy places, The God of Israel is he that giveth strength and power unto his people, Blessed be God.
Hapo neno la kuzingatia ni WATU WAKE, HIS PEOPLE, Wapendwa, Mungu huwapa nguvu na uweza kina nani? WATU WAKE, JE WEWE NI MTU WAKE MPAKA AKUPE HIZO NGUVU NA UWEZA?
Kabla hujaanza kulalamika kuhusu ugawaji wa hizi nguvu na uweza, Jiulize hivi mimi KWELI na makando-kando yangu na qualify kweli kuwa HIS PEOPLE? au najizima data tu?
KWA SABABU SCRIPTURE IPO CLEAR WEWE TU UTAKE KUPINDISHA UELEWA WAKO, HE GIVES STRENGTH AND POWER TO HIS PEOPLES, IT’S CRYSTAL CLEAR, IMETULIA KAMA MAJI YA MTUNGI.
Kama sio his people maana yake YOU ARE GETTING NOTHING FROM HIM, NADAA!, SIO STRENGTH!, SIO POWER! ABSOLUTELY NONE OF THE ABOVE! TOTALY AND COMPLETELY!
Wazimu ni unajua kabisa WEWE SIO HIS PEOPLE, SIO HATA KWA MBALI, UNA RATIBA YAKO SPECIAL KABISA YA ZINAA HATA SISI TULIKUWA WASICHANA TUNAELEWA HIZI MAMBO, UNA-KA UTARATIBU KAKO KA-P2, YOU HAVE SEX TOYS, YOU HAVE YOUR COLLECTION OF X-VIDEOS, IN SHORT YOU ARE NOT EVEN TRYING BASI HATA, USHAAMUA KUISHI MAISHA YANAVYOENDA, YOUR BODY NEEDS, UNAIBA OFISINI KAMA UNACHUKUA, UONGO KWAKO KAMA MAJI, IMEFIKA MAHALI KWAKO UONGO NA UKWELI IT’S ALMOST THE SAME THING.
Zile Amri 10 za MUNGU unapangusa zote, Ku-ua (Kill) ushamalizana nayo na Abortion na sio mara moja, Dead body count ni 4 and counting.
LAKINI YOU WERE RAISED CHRISTIAN AND SUNDAY IS STILL SUNDAY, YOU GO TO CHURCH SOMETIMES UKIAMKA VIZURI.UNA SALI UKIWA NA SHIDA, UNASILIKIZA MAHUBIRI KAMA MTUMISHI HAFOKI-FOKI, NENO LA KUFOKEANA HAPANA.
MAMA ANGU ANAMSIKILIZA MWALIMU TU ANASEMA NA UTU-UZIMA HUU KUSUTWA NA KUFOKEWA SIWEZI, DINI SIO VITA, MSIMZINGATIE SANA, UZEE UNAMSUMBUA.
BOTTOM LINE WEWE BADO NI MKRISTO NA BADO HUJAREJESHA KADI YA CHAMA, BADO HUJAMKANA MUNGU WAKO KWAMBA SI MUNGU WAKO WALA NINI, NI VILE TU HUMUHESHIMU WALA NINI, LAKINI HATA USHIKIWE KISU MUNGU NI MUNGU WAKO HATA KAMA UNA-ABUDU MIUNGU MINGINE IPO SECOND IN ORDER NAMBA MOJA MUNGU NI MUNGU WAKO NA ITAKUWA HIVYO MPAKA KIFO.
Kwa hali hio inatokeaga PARADOX ya KIIMANI, Kwamba Mungu ni Mungu wako lakini wewe sio HIS PEOPLE and you exactly why, MATENDO YAKO MWANANGU, MATENDO.
THE ONLY WAY UTA-QUALIFY KU-OPERATE KWENYE DIMENSION YA POWER AND STRENGH MIXER GLORY NI ONLY IF YOU BECOME HIS PEOPLE.
NA-KUWA HIS PEOPLE WALA SIO JAMBOOO GUMU, AMEKUWEKA TOBA HAPOO, AMEKUWEKEA SALVATION WEWE TU KUAMUA KUACHANA NA MAKANDO-KANDO NA KUTUBU ,KUAMUA KWA DHATI KUACHANA NA NJIA ZAKO NA MAKANDO NA KUPOKEA WOKOVU NA KUMKABIDHI YESU MAISHA YAKO, KIGUMU HAMNA, NI MAAMUZI TU MEPESI SANA! GIVEN SITUATION UNAYO-PITIA.
MUENDELEE NA MAKANDO YENUUU NA MUNGU AWAPE NGUVU NA UWEZA WAKE HIVYO HIVYO KISHKWAMBI TU, KIUTU-UZIMA.
Mtu anaenda kwa mtumishi wa kwanza anaambiwa okoka na mkabidhi Yesu maisha yako, Akiwza makando yake anasema BADO NIPO NIPO SANA anabadili mtumishi, Imefika mahali kutokana na ugumu wa mioyo yenu Pentekoste churches wanatoa huduma ndio mwisho wanagusia tu kwa mbali KAMA UNATAKA KUOKOKA NA KUMPA YESU, MAISHA YAKO PITA MBELE, Hapo sasa ni wewe.
WAKATI ZAMANI HUWEZI KUPEWA HUDUMA YOYOTE KWENYE MAKANISA YA PENTEKOSTE BILA KUOKOKA NA KUMPA YESU MAISHA YAKO! Hll FORMULAR NDIYO ILINIFANYA NISI-OKOKE MAPEMA.
I was in the opinion kwamba nisaidiwe kwanza, nikiona nasaidika ndio niokoke yaani unataka kuniokoa fasta-fasta kivipi, uchoyo tu wa huduma.
Baadae walivyo badilika na kuanza kutusaidia watu wa mataifa bila kuokoka ndiyo nikaanza kwenda kwenye ibada zao.
LAKINI LEO NAWAAMBIA UKWELI KABISA AMBAO SIO NILI UGUNDUA KWA UTAFITI NA NILISOMA MWENYEWE KWENYE MAANDIKO KWA MACHO YANGU HATA WEWE UKITAKA UNASOMA.
ILE NJIA YA ZAMANI NDIYO SAHIHI ASILIMIA MIAMOJA (100 %) NA INA MATOKEO MAKUBWA, UKITUMIA NJIA YA PILI UNAZUNGUKA MBUYU KUNA DIMENSIONS HUTA-OPERATE BILA KUOKOKA NA KUMKABIDHI YESU MAISHA YAKO, ABADAN ASILANI.
BORA WA ZAMANI WANASEMA UKWELI BWANA, ILI UWE NA USHARIKA NA ROHO MTAKATIFU OKOKA NA MKABIDHI YESU MAISHA YAKO UINGIE NA KU-OPERATE DIMENSION MPYA ZA JUU SANA, BILA HIVO USIJICHOSHE NA TUSIPOTEZEANE MUDA, KWA MAANA HATA UKISHINDA HUMU USHINDAVYO BILA HAYO MAAMUZI UTAAMBULIA KUSIKIA LIGHA ZA KIYUNANI, KIEBRANIA NA KIYAHUDI.
MTU UNAJUA KABISA HAPA EITHER NIWE MMOJA WAO AU ILE KWANGU MAZIMA, SASA STYLE YA SASAHIVI INAITWA UTAJIONGEZA MWENYEWE,UNASHANGA KWENYE IBADA ZAOOO WANA JAZWAAA ROHO MTAKATIFU ! UNAJARIBU NA WEWE KUFOJI-FOJI MAMBO KUJINENESHA UNAKUWA HUELEWI NI KWAMBA WANA-IGIZA AU KUKU MGENI NA KAMBA YAKO MGUUNI, UKIKAA UNAONA MTU ANARUKA RUKA ASHAJAZWA ORAA! UNAWAZA SIJUI NA MIMI NIRUKE RUKE AU NIKAUSHE TU KWENYE KITI?
Kinacho umiza ZAIDI unakuta vifungo vyako visha-washinda wanadamu umebadili Ma-Pastor mpaka umebadili makanisa mpaka kumbe ni suala-tu la kuokoka na kumpa Yesu maisha yako, Hata lile kanisa lako la kwanza lilikuwa linatosha kabisa.
MIMI PIA SIWAFICHI KUTOKANA NA COMPLEXITY ZA HUDUMA MPYA NA KUTOKUJUA SANA NA MIMI NILIPITA NJIA HIYO HIYO YA WENZNAGU, SASA NINGEPITA NJIA JAMANI I WAS NEW IN THESE WATERS, NAODHA MZEE KIUMRI ILA KIHUDUMA MCHANGA.
I REALLY HOPED HII NJIA YA PILI YA KISASA INGEFANYA KAZI, I PRAYED IFANYE KAZI, LAKINI IT DIDNT, KILICHO ANDIKWA NDIO KILI-ANDIKWA TENA.
Lakini nilikuja kuona PATTERN wazi-wazi, WATU WALIO-OKOKA NA KUMPA YESU MAISHA YAO WANAPATA MATOKEO FASTA NA WANAPIGA MZIGO KIDOGO, AKIFANYA TU PROGRAM ANASHUHUDIA FASTA NILIFANYISHAGA PROGRAM YA MTU SAHIHI, WENGI WALIO-OKOKA WALIPATA WATU NA WAMEOLEWA NA WANAENDELEA KUOLEWA JUST LIKE THAT NA WANANGU AMBAO HAWAJAPOKEA YESU MPAKA KESHO WAKO PROGRAM YA KUMI NA TANO (15) KAMA WAISRAEL JANGWANI ( AS YOUR LEADER I’M ASHAMED OF MYSELF).
MWAKA HUU NIKAANZA KUREKEBISHA KOSA, NIKAGUSIA KUHUSU KUMPOKEA YESU, KUNA WATU WAKAJIONGEZA FASTA WALE WA MWANZO WAZEEE WA KUJILIPUA THEN BAADA YA KUMPOKEA NA KUMPA YESU MAISHA YAO PROGRAM ZIKAANZA KURESPOND AMBAO HAWAPATAGI KAZI WAMEANZA KUPATA, WASIOPTA WATU WAMEANZA KUPATA! NABAKI HADI WEWE UMEPATA?
PRAYER POINT
BABA NISAIDIE NIWEZE KUWA MMOJA KATI YA WATU WAKO IN THE MIGHTY NAME OF JESUS!
HII PRAYER POINT SIO KWAMBA ITAKUFANYA UOKOKE NA KUTOA MAISHA YAKO KWA YESU, BALI UKIITAFAKARI NA KUMUOMBA MUNGU KWA SIKU YA KESHO ITAKUSAIDIA KUSHINDA VISHAWISHI NA KUWEZA KUFANYA MAAMUZI UNAYO KWEPA KWEPA KUFANYA.
KUOKOKA HAIMANIISHI YOU WILL NO LONGER BE ROMAN CATHOLIC OR LUTHERAN OR ANGLICAN NA UTAKUWA PENTEKOSTE DHEHEBU! HAPANA!, NI STATE OF MIND NA MAAMUZI ZAIDI YA KUMPA YESU MAISHA YAKO NA KUWA NA USHARIKA NA ROHO MTAKATIFU AS IN THE BOOK OF ACTS , MITUME WALIVOKUWA NA USHARIKA NA ROHO MTAKATIFU , UNAWEZA KUWA PENTEKOSTE DHEHEBU NA HUNA USHARIKA NA ROHO MTAKATIFU BADO LAKINI UPO IN THE RIGHT PATH. JUST FOCUS ON YOU FINDING GOD FOR YOURSELF.
DAY 18
Matendo 1:8
Lakini mtapokea nguvu,akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu , nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.
Hivyo basicaly kwa kuanzia NGUVU HUNA, NO MATTER HOW HARD YOU TRY YOU ARE BOUND TO FAIL, WHICH IS WHAT YOU ARE DOING NOW, FAILING.
HUNA NGUVU,NDIYO MAANA MAMBO YAKO MEUSI,YOU ARE FRUSTRATED AND DEPRESSED HATA MITUME WALIJIFICHA NA KUISHI KAMA DIGI-DIGI BAADA YA ILE SHOW DOWN YA CALVARY.
Mambo japo yalitabiriwa na kufanyiwa unabii miaka na mia klakini VALI GO DOWN GHAFLA SANA.
MPENDWA UNAJUA WANAFUNZI WALIKUWA NA TICHA LA MATICHA, JESUS OF NAZARETH WAS A CHARACTER, WASHAPITIA MBILINGE-MBILINGE NYINGI SANA NA TICHA NA ZOTE TICHA ANASHINDA KIWEPESI SANA.
ASHAWATIBUA NYWELE KWENYE HEKALU WAKAMBEBA MZOBE MZOBE WAMTUPE BONDENI AKAPITA KATI-KATI YAO KAMA STERLING MWENYEWE AKAENDA ZAKE.
ASHACHUKUA PUNDA WA WATU KAMA WAKE NA AKATINGA YERUSALEM KAMA MFALME NA SERIKALI IKAJARIBU KUPIGA MKWARA, AKAICHIMBA BITI MTAWARUHUSU WAIMBE AU NIAMURU MAWE YAANZE KUIMBA?, YESU ALIKUWA ANA SHOW ZA KIBABE.
ASHAPEWA DEATH THREAT NA HERODE AKAMTUMIA UJUMBE KWA KEJELI MWAMBIENI YULE MBWEHA!, I just love this scripture! I wish niwe na utumia kwa adui zangu but I’m too coward, LAKINI YESU ALIKUWA SERIOUS MWAMBIENI YULE BWEHA SITOKI HAPA MPAKA SIKU TATU (3) NILIZO PANGA KUFANYA KAZI NIKAMILISHE just Imagine Mtu Kama Raisi wa NCHI yako, Commander of all Army, Brigedia General, JESUS WAS THE TRUE DEFINITION OF POWER, HERODE HAD ALL THE ARMY ON HIS SIDE AND JESUS HAD THE TWELVE (12) DESCIPLES AND GOD, NAWASHANGAA MUNGU KUWA UPANDE WAKO MNAONA SIO BIG DEAL.
Mpendwa kuponya wagonjwa, kugeuza samaki walili (2) na mikate mitano (5) kuwa feast, They saw all this go down, ISSUE ILIKUWA SIO YESU AMEFANYA NINI RATHER YESU HAJAFANYA NINI?
MIMI NAWA-AMBIA HATA JUDAS ALIVYOPOKEA ILE PESA ALIJIHAKIKISHIA YESU ANA-UWEZO WA KUJIOKOA KWANZA WALE WATAWALA KUANZIA MBWEHA HERODE MPAKA PONSIO WATOTO WADOGO SANA KWA MWALIMU!, AKAPIMA SHOW ZA MWALIMU AKAONA MWALIMU YUPO FIT KALKITI KUJIOKOA WACHA NIPIGE HUU MTONYO CHAAP!, TICHA MUELEWA AKISHAJIOKOA TUKIWA ZETU TUNAENDELEA NA HUDUMA NITAMUOMBA MSAMAHA, NDIYO MAANA YUDA TANGU ANAKAMATWA YESU HAKUWA NA SHAKA, ALIAMINI ALONG THE WAY ATA-TOA TU JOKERI LAZIMA KUTAKUWA NA KA- PLOT TWIST AMAIZING.
HATA ULE MTONYO HAKUWA KAUTUMIA ANASI-KILIZIA KWANZA KAMA TICHA WAS TICHARING LIKE USUAL? SAA TISA KAMILI ILIPOTOKEA UKISIKIA PAAAH!, NDO AKILI IKAMRUDI MAMBO HAYAKWENDA ALIVYO TEGEMEA? AKA PANIC !WHAT HAS HE DONE?, WHY TICHA? WHY?, MBONA HAKUJIOKOA JAMANI SI ALITEMBEA JUU YA MAJI ALISHINDWA VIPI KUSHUKA KWENYE ULE MTUTU?, AKAONA HAPA YUDA MIMI NIMEHARIBU KILA KITU NA HIZI PESA SIZITAKI TENA AKAZITUPA HEKALUNI AKAJINYONGA AWAHI KUKUTANA NA TICHA MAYBE EXPLAIN TO HIM.
SASA IMAGINE KINA PETRO NA WENZIE WALIVYOONA ILE SHOW DOWN YA CALVARY, TICHA ANAPIGWA MKUKI NA ANATULIA TULI!,THE TICHA!.
Jioni ile wanamuweka kaburini, kila mtu anajitafuta, Biashara isha isha, TICHA ndio kama utani kauwawa na adui zake, Ufalme Wake aliokuwa anauongelea wa Mbinguni haukushuka wala nini!. Yamki ni waliji-uliza huo ufalme upo kweli? Hivi kweli alikuwa Mwana wa Mungu au tulijichanganya?, Yamkini Ufalme upo ila yule Emmanuel hakuwa Masiah.
Sawa hakuwa Masiah lakini nguvu za kujiokoa mbona alikuwa nazo tu jamani, Basi HATA za kugoma kufa msalabani miaka mia nane 800 mpaka wamshushe asingekosa, Basi MALAIKA au Kina Musa na Elia wangetokea kumuombea kwa makutano jamani sisi babu zenu chonde-chonde.
MAMBO YALIKUWA GHAFLA SANA, NOTHING HAPPENED NA JUST LIKE THAT WE ARE TEACHERLESS.
Walichanganyikiwa, Wengine wakaona bora warudi KUVUA samaki tu, biashara ya kuvua watu was Not-going soo good, Samaki wenyewe hawapati, Wanakesha usiku kuchaaaa. LIFE AFTER CHRIST WAS NOT LIFING AT ALL!, HELL NO!.
JESUS KNEW HIS DISCIPLES WERE WEAK HATA MITUME WENYEWE WALIJUA HILO NDIYO MAANA WAKA-MBILIA MAFICHONI, JIJI LA YERUSALEM LILIKUWA SHWARI HAMNA MAHUBIRI YA YESU WALA NINI, HERODE ALIANZA KUNENEPA, MFALME WA MAYAHUDI WHICH? WHERE ? MFALME WA MAYAHUDI NI HERODE TU, MSHARIKA WA KASARI!, ANAYEBISHA MITI YA MSALABA BADO IPO.
THEN JESUS CAME BACK! WAOH!, FINALY NA AKAWAAMBI A KUNA NGUVU INAKUJA KUPITIA ROHO MTAKATIFU! MKISHAPATA HIYO NGUVU KAZI IENDELEE PALE PALE TULIPOISHIA HATA KIFO NISHAMALIZANA NACHO WAMENIUA LAKINI KAMA HIVI NATAMBA MTAANI KWA RAHA ZANGU, ATAWATISHA NA NINI YULE MBWEHA TU!, KAZI JAMANI IENDELEE MKASHUHUDIE KWAMBA MIMI WALIYE-NIUA NIMEFUFUKA NA NINEPIGA ROUTE DUNIANI ZA KUTOSHA.
WANAFUNZI SAWA WALIFURAHI KUMUONA YESU NA KUJuA TICHA WAO YUPO HAI, LAKINI POWER KAMA POWER ILIKUWA BADO WAKO SO WEAK AND FRAGILE. WAKAKUSANYIKA KUSALI ILI HIYO NGUVU IJE ALAFU WATAJUA BAADA YA HAPO KAMA WAENDELEE KUVUA SAMAKI AU VIPI!
NGUVU YA ROHO MTAKATIFU ILIPO KUJA NA KUWASHUKIA WEE WOTE WAKAJAWA NA UJASIRI WOTE, WAKAWA HAWAOGOPI DUDU WALA MENDE YAANI WANASHINDANA NA KILA MTU KWANI TAA IMEWAKA, NI KUTOKA NJE KIKOMANDO KUHUBIRI KILA MTU ANAENDA NJIA YAKE NA UJASIRI WAKE NA WOTE WANAMTUNISHIA HERODE MSULI.
HERODE NAYE ALI-WAFYEKA LAKINI NO RETREAT NO SURRENDAR, NI KUCHAPA INJILI MWANZO MWISHOOO!, ANA-UWA MMOJA LEO KESHO WENZIE WAPO BARABARANI, KAZI LAZIMA IENDELEE! KAFA TICHA!, STEFANO ANAPIGWA MAWEEE ANATABASAMU WALI MSTRESS HERODE MPAKA AKAJIFUNGIA NA KUPOTEA MACHONI PA-WATU KWA MUDA MREFU SANA WALIM-STRESS, SI ALIONA BORA HATA ANGEKUWEPO YULE EMMANUEL, HAWA MITUME WAKE NDO BALAAA MARA 11!
SASA MWANAGU WEWE KUNA MAENEO UMEFELI NA UMEFELI KWASABABU HUNA NGUVU, KUENDELEA KUPAMBANA BILA NGUVU NI KUENDELEA KUFELI INATAKIWA UPATE NGUVU YA ROHO MTAKATIFU UJAZWE NGUVU ALAFU NDIO URUDI KWENYE MAENEO ULIO SHINDWA TO SHUT EVERY DAMN THING DOWN! MITUME STYLE.
Wewe unajua hilo eneo miaka 10 umeshindwa mimi nikikwambia utaweza bila NGUVU MPYA TOKA KWA ROHO MTAKATIFU! Utaweza kivipi hata ukijiongeza mwenyewe?
KUMU-ACCESS ROHO MTAKATIFU NI NGUMU BUT YOU HAVE TO TRY HARDER KWASABABU WEWE KUSHINDA MECHI ZAKO INATEGEMEA UPATE POWER RECHARGE TOKA KWAKE UWEZE KUFANYA AMBAZO HUWEZI KUFANYA SAHIVI NDIYO MAANA UNASHINDWA.
PRAYER POINT
Bwana Yesu naomba kujazwa na Roho Mtakatifu nipate nguvu na maarifa ya kushinda vita zangu za kiroho.
DAY 19:
2 Wakorintho 12:9
9 Lakini aliniambia,”Neema yangu inakutosha, kwa kuwa uwezo wangu unakamilika katika udhaifu. “Kwa hiyo nitajisifu kwa furaha zaidi kuhusu udhaifu wangu ili uwezo wa Kristo ukae juu yangu.
2 Corinthians 12:9
But he said to me,”My grace is sufficient for you,for my power is made perfect in weakness.” Therefore I will boast all the more gladly of my weaknesses, so that the power of Christ may rest up-on me.
Mpendwa agano hili jipya unaweza kulisoma kwa kingereza na kwiswahili na bado ukatoka mweupe, Ukatamani hata ulisome kwa Kiyunani.
Nyie si mnajifanyaga wazee wa kuning’inia na ki-mstari kimoja, sasa kwneye HUU wa leo hutoboi bila kusoma aya nzima ya 12 yaani hutoboi maana ni mapicha-picha.
Mtume Paulo alikuwa anaongelea Vision kubwa aliyopata, Isome in Details!, Na katika hiyo visions anajiona YEYE ni mkubwa sana. Lakini anashindwa kutamba kwasababu ana msiba ambao ni watesi wa shetani, Anamuomba Yesu amtoleee huo mwiba ili aweze kutamba na Yesu ndio ana-mjibu kupitia hili andiko letu la leo.
INSHORT YESU ALIMJIBU CHANGAMOTO YA PAUL HAIONDOI NG’OO, PAUL AZOEE TU KUTAFUTA JINSI YA KUSIHI NAYO! PERIOD!, TUSIZUNGUKE MBUYU SANA WAKATI MAMBO YAKO WAZI.
THE MILLION DOLLAR QUESTION IS WHY?, ETI JAMANI SI SIMPLE TU ANA-UNYOFOA MWIBA KAZI IMEISHA! WHY DOES MWIBA HAS TO STAY?, YESU ALIKUWA NA SABABU ZAKE NZITO.
ANAMWAMBIA PAUL SIUTOI HUO MWIBA SABABU NEEMA YANGU INAKUTOSHA NA NGUVU YANGU INATHIBITIKA ZAIDI KATIKA UDHAIFU/ CHANGAMOTO, HAYA ALIYAONGEA KRISTO MWOKOZI!, PAY ATTENTION NENO LIPO KWA KISWAHILI LAKINI KAMA LIMEANDIKWA KIEBRANIA.
PAUL SASA BAADA YA KUMSOMA YESU NA KUMFAULU AKASEMA BASI KAMA NDIO HIVYO NA MIMI YAANI YEYE MTU PAULO ATAJISIFU KATIKA UTHAIFU WAKE, MAANA NEMA NA NGUVU ZA KRISTO JUU YAKE ZITAMUWEZESHA KUFAULU KUISHI NA HIZO CHANGAMOTO, MPENDWA MTUME PAUL WAS NOT A DISCIPLE OF JESUS BUT HE WAS A CHARACTER WORTH YOUR ATTENTION!
Apostle Paul was in and out jails mno, Baadhi ya Nyaraka aliwaandikia makanisa akiwa gerezani kwa Waefeso,Wakolosai, Wafilipi na Philemon, Alivyo-ongelea mwiba mchungu ulikuwa mchungu kweli-kweli, He wished hawa watawala YESU ange-deal nao, Yeye abakie anahubiri injili kwa kuji-nafasi na amani, Alichoka kufungwa.
Yesu ndipo alijibu kwa vision and in that vision akai-adresss hio kiu ya Mtume Paul ya kuondolewa mwiba kwamba MWIBA kiukweli HAUTOKI UKO PALE PALE NA KAZI LAZIMA IENDELEE.
Ndio akampanga kwamba NEEMA YANGU INAKUTOSHA MWAMBA NA NGUVU YANGU PAKIWA NA UDHAIFU KAMA HIVI SASA NDO MWAKE-MWAKE INATHIBITIKA BILA UBABAIFU.
Mpendwa Mtume Paul anamuelewa YESU, na anafunga mjadala HUU kwa kauli hii!
2 Wakorinto 12:10
10 Basi, kwa ajili ya Kristo, naridhika na udhaifu, matusi, taabu, mateso na maafa kwa maana ninapokuwa mdhaifu ndipo nina nguvu.
NAJUA HAPO JAPO MNASOMA KISWAHILI LAKINI HAYO MAANDIKO YANA SOUND KAMA MYUNANI TOKA PANDE ZA SIDON NDO ANAKUSOMEA ALICHOKISEMA PAUL IN CURRENT DAY LANGUAGE.
ILI UWE NA NGUVU KATIKA KRISTO INABIDI UONEKANE DHAIFU MNO KATIKA HII DUNIA UKIWA MBABA KATIKA HII DUNIA HUWEZI KUWA NA NGUVU ZA KRISTO NDANI YAKO. KAMA UNA NGUVU ZA KRISTO NDANI YAKO NEEMA YAKE INAKUTOSHA KUVUMILIA NA KUISHI NA MIBA YA MASIHA YAKO.
YAMKINI HUNA MUME, UNATUKANWA NA KUBEZWA KUZARAULIKA, NA UMESHINDWA KUVUMILIA KABISA AND YOU FIGHT THEM BACK OR MAKE SERIES OF STUPID DECISIONS, NEEMA YA KRISTO HAIJAKITOSHA WALA HUNA NGUVU ZA KRISTO.
MIMI WA HIVI NINA NYIE WENGI SANA, INAANZA SINA MUME INAFATA NIMEBEBA MIMBA SITOI WHICH IS GOOD THING, MTOTO ANAKATALIWA.
MNARUDI PALE PALE HUNA MUME NA UNA MTOTO MCHANGA NOT LONG AGO ILIKUWA HUNA MUME LAKINI BINTI MWENYE ENGINE YAKO MPYA HAIJAINGIA LABOR, SAHIVI HUNA MUME NI SINGLE MOTHER AU ULIKUWA SINGLE MOM OF ONE, KAMA MASIHARA UMEKUWA OF THREE (3).
WHAT APPOSTLE PAUL WAS TRYING TO SAY NI KUWA TUKUBALI KUWA DHAIFU KULIKO KUFANYA MAAMUZI YA UFYORO KATIKA HUO UDHAIFU HIVYO, KUBALIKUONEKANA MSHAMBA WA KUJA HUTOI PAPA KARNE HII YA KIZAZI CHA NYOKA, KUBALI KUONEKANA OLD SCHOOL, KUBALI KUONEKANA OUTDATED KATIKA HAYO MADHAIFU WATU WANAYO KUHUKUMU NAYO KWANI NGUVU ZA BWANA WETU YESU ZITAJITUKUZA NA KILA MTU ATABAKIA HAAMINI ANACHOKIONA.
PRAYER POINT
BWANA YESU NIJALIE NEEMA YAKO ITOSHAYO KUHIMILI CHANGAMOTO.
DAY 20:
Yohana 3:30
30 Yeye hana-budi kuwa mkuu zaidi na mimi niwe mdogo zaidi.”
John 3:30
30 He must increase, but Imust decrease.
MPENDWA ILI YESU AONGEZEKE KWENYE MAISHA YAKO LAZIMA UMTENGENEZEE NAFASI, NAFASI ITATOKA WAPI? KWA WEWE KUPUNGUZA MAMBO YAKO YA KANDO-KANDO, YESU WALA ROHO MTAKATIFU HAWAWEZI KUINGIA SEHEMU YA KUJIPENYEZA AU KUJISOKOMEZA.
WANATAKA NAFASI, NA KADRI WEWE UNAVYOPUNGUA NA KUPUNGUZA MAMBO YAKO NDIYO YESU ANAONGEZEKA NA ROHO MTAKATIFU.
NA MOYO WAKO KUWA UMEJAA IT’S NOT NECESSARILY IWE KWA DHAMBI AU UOVU, HAPANA! UNAWEZA PIA KUWA UMEJAA TU ISSUE ZAKO ZINGINE NA HAUNA NAFASI.
MOYO WAKO UNAWEZA KUWA UMEJAA KAZI YAKO MWAYA, KUNA MTU ALINIAMBIA HAWEZI PATA TWO HRS NA NI AGE GO HANA NDOA HANA WATOTO LAKINI YUPO BUSY NA KAZI YAKE MWAYA MASAA ISHIRINI NA NNE, HAWEZI PATA MASAA MAWILI YA KUSALI PROPER KUMUABUDU MUNGU NA KUMBEMBELEZA AMVUSHE KWENYE MAHUSIANO, MIMI NIKASHANGAA KWA MSHAHARA GANI NIZEEKE KWENYE KAZI YA MTU BILA MUME WALA MTOTO?, LABDA INGEKUWA BIASHARA YANGU NA HATA HIVYO BADO, HAKUFANYA HII PROGRAM NA MIMI NITAKUWA NA WAZIMU KUMTENGENEZEA MTU PROGRAM YA DAKIKA TANO (5) KUENDANA NA CAREER YAKE, IF SHE WANT’S TO BE MARRIED BY HER CAREER SO BE IT, HER LIFE HER CHOICE, SOME OF THE RETIREMENT PACKAGES ARE LARGER THAN LIFE ANYWAYS.
YAANI MASAA 24 UKOSE MASAA MAWILI, IT IS OUT-RAGEOUS! AND TOTAL NONSENCE, HUTAKI KUSALI BASI.
Kwahiyo hata Roho Mtakatifu akitaka kuku-bless na his presence haitawezekana, Maana huna muda, YOU ARE FULL OF YOUR CAREER.
Mpendwa mwako unaweza kuwa umejaa Biashara yako,kama kazi tu yaani Huna mda wa ibada.
MOYO wako unaweza kuwa umejaa uchungu na kukata tamaa, You just don’t see any point in praying no more, Kisa mwanaume kakuacha na wanaume wote Million saba (7 ) huwezi kusali kisa Mmoja (1) hujielewi na Yesu wala Roho Mtakatifu hawawezi kuongezeka, Ndio kusema waji squeeze kwenye Stress zako, Thubutu!.
MOYO wako unaweza kuwa umejaaa umbeaa tu ,Majungu na masengenyo, Hukauki page ya East na Mange, Una Like kabisa wenzio wanavyofanyiwa character assassination, Kama juzi walikuwa wana assassinate watumishi wa kiume na mtu aka nitumia, nikawaza sana kanionaje lakini.
Mpendwa nilisikitika sana , Tangu usome ule ushubwada akili yako imejaa watumishi wote Bongo (Tazania) ni Malaya tu, maana A List yangu yote imekuwa red to filthy, Sioni tena Mtumishi gani wa kumuamini, Roma kwenyewe Mapadri wanazaa huku kwingine mama Mtumishi ndo mwanga.
SASA KWELI HAPO ROHO MTAKATIFU ANAONGEZEKA WAPI KWENYE MOYO AMBAO NIJUNGU KUU, JUST BECAUSE MALAYA MMOJA KAANDIKA NIMELALA NA FLANI WEWE UMEPITA NALO.
WORST CASE SCENARIO KALALA NAO KWELI KASHA-TUBU ANAENDELEZA KUTENDA KAZI YA BWANA, WEWE MUNGU MSAIDIZI UNABAKI UNAHUKUMU KWANINI ALICHEZEE JIN LA BWANA ?, SIJAPENDAA, NONSENSE! BADALA KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE WE-UNASHINDA ZA PASTOR KWA EAST ZAKO UNAPOTEZA UBINGWA ASUBUHI, Na kama hajafanya it Even gets worse for you, UMEMTIBUA BWANA WA MAJESHI KWA MAMBO YASIYO KUHUSU.
HESABU 12:8-9
Kwake nitanena mdomo kwa mdomo, Maana waziwazi wala si kwa mafumbo, Na umbo la BWANA yeye ataliona. Mbona basi ninyi hamkuogopa kumteta mtumishi wangu, huyo Musa?
9 Hasira za BWANA zikawaka juu yao, kisha akaenda zake. 10 Kisha hilo wingu likaondoka kutoka pale juu ya hema na tazama, Miriamu akawa mwenye ukoma, mweupe kama theluji, Haruni akamwangalia Miriamu na kumwona akiwa mwenye ukoma.
MIMI MWENYEWE MIAKA HII MITATU WATU KIBAO WANANITUKANA HAWANIJUI LAKINI ANAKUTAKA HAPA, OM AU SEHEMU ALAFU ANA KU-TAG!, UNAMUACHA TU AKATE KIU YAKE, SIKU YA SIKU ANAKUJA KUKUOMBA MSAMAHA NA MSAMEHE KWANI HII DUNIA INA MWENYEWE?
KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE, ZA WATUMISHI MUACHIE MUNGU WAO KWANI HALALI, USIKAE BARAZANI KWA WENYE MIZAHA.
FOR JESUS TO INCREASE YOU MUST DECREASE LAZIMA MOYO WAKO UFANYE MAAMUZI YA KUACHANA NA HII SECULAR WORLD NA KUDEAL NA UFALME WA MBINGUNI, USIONE WALOKOLE ARE LIKE THAT NERDY AND DORK AND NOT SO FUN TO BE WITH! SABABU IT COMES WITH THE TERRITORY.
HUWEZI KUTUMIA MDOMO HUO HUO KUSHIKA MIC NA KUPIGA BJ NA KULAMBA VISIVYO LABWAAA USIKU ALAFU ASUBUHI UKO SERIOUS UNA-MUITA HOLY SPIRIT, LIKE SIS PLEASE NA UNA AUDACITY YA KUNI-DM MBONA MIMI NIKIMUITA HAJII, That mouth is nasty sis, ukiacha na na all the NASTY BIZZ, Ulimuita atakuja sababu your mouth will be sacred.
You may not be nasty and all lakini huna muda wa kutosha wa ibadaa like ni wale wa zero (0) minutes prayer, The Catholic styles, It is definitely better than a no-show no-prayer, Lakini haiwezi kukupa millage unazotaka kwa sababu fellowship with the holy Spirit inataka muda wa kutosha, Watu waliokuwa graced na his presence wanakwambia walisali masaa matatu (3) NON STOP, Sababu walitayarisha hayo mazingira, Ndio maana iliwezekana.
Sasa wewe unasali dakika 10 kabla ya kwenda ofisini, Tena uko time sensitive, utapata presence gani? au una Pose Next-Flix usali yaani akili ipo kwenye movie palepale ulipo-pose.
FOR JESUS TO INCREASE YOU HAVE TO DECREASE.
Panga ratiba ya kusali na kukaaa UWEPONI more than two (2) hours, Hata kama huna cha kusema wewe relax tu kwenye uwepo wa Mungu.
Punguza mambo ya kijinga kwenye akili yako, Unfollow account zote zinazo kup-distract na Wakwepe watu wanao kupotezea focus, Lisha ubongo wako material ambazo zitakujenga kwenye uwepo wa Bwana, EPUKA VISHAWISHI and Control your mind, lkane nafsi yako hata ikitaka makando makando usi-izingatie.
PRAYER POINT
1.YESU UONGEZEKE MOYONI MWANGU NA MIMI NIPUNGUE.
PART 3 :
DAY 21-30
Mpendwa katika sehemu hii ya tatu ( Part 3 ) ya 30 DAYS DELIVERANCE PROGRAM, Mshukuru Mungu kwa mambo yako ambayo hayajafanikiwa, Shukrani sio maombi ni hali ya moyo. Unaweza kuomba na ukawa huna shukrani, na unaweza usiombe ukawa umejaa shukrani.
HIZI SIKU KUMI (10) ,MSHUKURU NA KUMUAMINI MUNGU KWA HILO JAMBO AS IF LIMEISHA ONDOA WOGA,UCHUNGU NA MASHAKA NA AMINI HILO JAMBO UMELIKABIDHI NA ENDELEA KUMSHUKURU MUNGU KWA MOYO SIKU ZOTE KUMI (10).
SHUKRANI HUWEZI KUPEWA MISTARI YA KUKUONGOZA, KAMA NILIVYO SEMA NI MOYO WAKO NDIO UNATAKIWA KUJAA AMANI NA SHUKRANI, MUNATAKIWA KUMSHUKURU MUNGU KWA MANENO YAKO MWENYEWE.
HIZI SIKU KUMI (10) FOR ONCE MPE MUNGU NAFASI YA KUDEAL NA HILO JAMBO, MKABIDHI NA MUACHIE YEYE NAFASI YA KUJITHIBITISHA KWA UKUBWA.
TAKE A BREAK NA CHUKUA LIKIZO YA NAFSI YAKO KULIBEBA JAMBO HILO HATA KWA MBALI HIZI SIKU KUMI (10), LIWEKE MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU, MSHUKURU ASUBUHI NA JIONI NA KILA UKIKUMBUKA NA THE REST OF THE DAY ISHI KWA AMANI ZOTE NA FURAHA ZOTE KWAMBA JAMBO LAKO LIKO MIKONO SAHIHI.
Zaburi 118:24 BHN
Hii ndiyo siku aliyoifanya Mwenyezi-Mungu, tushangilie na kufurahi.