VITA KUBWA MAISHANI NI DHIDI YA NAFSI YAKO! UKISHINDA VITA HII, YOU WILL WIN EVERYTHING!
Watu wengimna hisi Vita kubwa maishani kwenu ni dhidi ya external forces lakini the dealiest wars are internal! Na ili mtu akupige akumalizeee lazima kipigo kikuingie ndaniya nafsi na kisambaratishe akili yako, only then you are defeated!
Once nafsi yako mwenyewe iki ku defeat hamna kitu wala mtu anae weza kukusaidia! Internal damage is the worst! Na Vita vya nafsilazima upigane wewe mwenyewe!, Ukiweza kuishinda nafsi yako hamna kitu kitakushinda! Utashindaaa, utashindaaa mpaka utashinda tenaaa!
Yeremia 17:9
Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote,una ugonjwa wa kufisha;nani awezaye kuujua?
Zingatia na emphasize hapo kwenye KULiKO VITU VYOTEEEE!!!Tuna onglea vitu vyote Ya Biblia! MAANA NI VYOTEE VYOTEE VYA KIMWILI NA KIROHO!
Huo UGONJWA WA KUFISHA ni kutengeneza mambo ambayo hayapooo! Unakuwekea imaginations!
VITA NYINGI ULIZO SHINDWA UMEANZA KUSHINDWA KWENYE NAFSI YAKO! NDO ZIKAJA KUJI MANIFEST NJE! HUNA MAHUSIANO SABABU NAFSI YAKO ILIKU COST UKAHARIBU MAHUSIANO YALIYO PITA! UNA MAJERAHA YA MOYO MAKUBWA SABABU ULIENDEKEZA ZINAAA KWA KUENDEKEZA NAFSI! UMEZAA NA WATU HAWAKUTAKI SABABU ILE ILE UMEENDEKEZA NAFSI! HUPATI MAHUSIANO PAMOJA NA UNAOMBA SABABU BADO NAFSI YAKO HAITAKI WANAUME ANAO WATAKA MUNGUINATAKA WALE WALE BAD BOYS ! NA WORST PART UNAIENDEKEZAAA NAFSI!
Huna kazi sababu nafsi yako inakudanganya kaaa hivo hivo kazi zitakuja tu! Kutoka wapi? Una watu in positions huwa ombi Connection sababu Nafsi yako ina kwambia acha SHOBO wewe,hio kazi hawakupi wala nini.Utajidhali isha tu!Tuliaaa kula hela za zinaaa!
Huna kazi sababu hata kuzunguka mwenyewe kutafuta kazi huwezi! Nafsi ina kwambia utajiaibisha! Sasa kuzunguka utafute kazi Angalau ndugu zako wataona una aki itimamu na mzazi wako ataona amepata! Ila nafsi yako inakwambia tulia kwenye kochi enjoy series! Pisi Kali! mzazi wako wa miaka 50 sijui60 nguvu zimeisha ndo anaenda kupambana akuletee chakula! Kweliii?
Una kazi Ya ajabu ajabu ,maisha yame kushindwa mpaka Mume kaku Chokalakini hutafuti kazi sababu Ya Jeuri tu Ya nafsi! Wanao they are ashamed of you! Kita Siku wanarudishwa ada! Nguo za uturuki hununui mitumba tu!
VYETI UNAVO VIZUR ll TU! EXPERIENCE UNAYO NZURI TU! LAKINI NDO HUJALIWALA NINI KAZI HUOMBI POPOTE HIO HIO INATOSHAAA WAJIPANGEEE!
Yeremia 17:9
Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote,una ugonjwa wa kufisha;nani awezaye kuujua?
NAFSI ,NAFSI,NAFSI MWANA HARAMUUU!
Hamna mtu nafsi imemgharimu kama mimi! Nafsi yangu ni ovu by nature tu from my ancestors! Ni watu wenye Roho Mbayaaa kweli kweli!VYA KURITHI VINAZIDII! Sasa ubaya ukakamilika baada Ya kuwa na genes za Roho Mbaya!Aki i Mungu akanipa kubwa tangu mdogo Sana,Na kuwalife coached na watu Wema sanaa!
Nikawa Maestroooo! NAPIKA SUMU HATARll! Kwa Nje sababu nimekuwa raised na Good people so Najua ni kufrontie vipiii! Nina manners na napita mule mule! Hata ukijua ni mimi nafsi yako itakwambia siweziiii na unanisingizia! NILIFIKA LEVEL ZA JUU SANAA IWAS ACTUALLY PLAYING PEOPLE LIKE CARDS! NAWACHEZA KAMA KARATA!
Nishaenda kwenye interview kiwanda cha Waarabu! Mwarabu anataka secretary! Afu pesa Ndefu!, Na ana Safari hatariii! Kazi kwenye requirement Uwe na na Passport! Niliunganishwa nashoga angu! Mwarabu Yule kazungukwa na kamati Ya roho mbaya!Wapambe nuksiii hatariii! Wana ni interview! Wananipandisha wananishushaaa! Nikijubu wanabetua midomo! Nikasema Leo nimedandia tumbwila vibwengooo!
Nikikumbuka Mwarabu Ana safari Sanaa! Na wanavojipendaa wale watu ni 5 Star Living! ROHO MBAYA YANGU INA CHEMKAAA NDANI YANGU! KAMA VOLCANO!, Nikasema hawa wapambe wameyataka wenyewe ! Ngoja ni ete MY DECEITFUL A GAME ON THE TABLE! Hawa nyau wadogo Sana’a kwangu! Nawacheza Kama karata! Kati Kati ya intevirview NIKAANZA KULIAAA! MACHOZlll NA KWIKWI! Mwarabu ana niuliza Are you okay? Wapambe hawana mbavu! Mmoja akapiga Makubwaaa!Wakagonga!
Nikwambia NO! I’m not okay! You know my parents are 60 years old and sick,but they have to do manual works and feed the fami y! Whi e Iam grown up,Al ah has given me good health,right state of mind! but I just can get any job IM SO STUPlllD! KILIO KIKAANZA UPYAAA! Najikusanya naendelea!IJUST WANT TO WOR K AND HELP MY FAMILY! MY PARENTS ARE VERY OLD! KILIOOOO CHA SG! IAM SO SO STUPlllD!
Like any good perfomer you should know when to leave the stage! Nikawaambia SORRY FOR ALL THIS BUT LIFEEE SOMETI MES IS NOT FAIR! MY PARENTS WHO ARE 60 YEARS TO FEED MEEEE??? ANYWAYS ! NIKACHUKUA MKOBA WANGU NA KUONDOKA! HUKU KILO KINAENDELEA! WATU WANA NISHANGAAA!CORRIDOR LOTEEEE!, Nafika nje kuna mtu ananikimbi ia anasema Mwarabu kasema nikupeleke kwenu,inaonekana haupo vizuri! Ni dereva!
JIONI WAKANIPIGIA SIMU KESHO NJOO U SIGN CONTRACT!, Mwarabu ananiuliza willthis help you to take care of your parents so they don’t have to work? Mpaka juzi October yule Mwarabu kanikumbuka na kunipigia tu,how are your parents? Are you stilltaking care of them?
MIMI NAWAAMBIA NENDENI DOOR TO DOOR KUTAFUTA KAZI MNALETA MAPOZI WAKATI WENZENU TULIKUWA TUNAPELEKA ART AND DRAMA THEATER INTERVI EW ROOM! ONE OF A KIND INTERVIEWEE!
Marko 7:21-23
21Kwa maana ndani ya mtu,yaani moyoni mwake,hutoka: mawazo mabaya,uasherati,22 wizi,uuaji,uzinzi,tamaa mbaya,uovu,udanganyifu,ufisadi,wivu,matusi,kiburi na upumbavu.23 Maovu haya yote hutoka ndani ya mtu,na ndio yanayomfanya mchafu.”
Yakobo 1:13-15
Kama mtu akijari biwa,asiseme:”Ninajaribiwa na Mungu.” Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu,wala yeye hamjaribu mtu yeyote.Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.Tamaa ikiiva huzaa dhambi; nayo dhambi ikikomaa huzaa kifo.
HIKI NDICHO KILICHO NIKUTAAA!, KWA NJE NILIFANIKIWAAA SANAAAA MPAKA WATU WAKAWA WANA NIOGOPA! WANANI ONA SIO MTU WA KAWAIDAAA! MAMBO YANGU SUPER! MAKUBWAA! MAMBO!
Lakini nafsi kwa ndaniina niambia HAMNAAA KITU! SAFARI BADOOO! BADO SIJAONAA, Nikaendekeza tamaaa! Mwisho nikapoteza ki a kituuu!Karma kicked in!Malipizi yakaanza !Uovu wote ukanirudi!Achenitu!, Baada ya kuwa nje ya mchezo ndo nikaanza kuona makosa yangu moja baada ya jingine.
James 3:6-8
6 The tongue also is a fire,a world of evilamong the parts of the body. It corrupts the whole body,sets the whole course of one’slife on fire,and is itself set on fire by hell.
7 All kinds of animals,birds,repti es and sea creatures are being tamed and have been tamed by mankind,8 but no human being can tame the tongue.It is a restless evi ,fullof deadly poison.