PART 1
Wengi mmeshukuru kunijua na kumjua Mungu sababu mmepata kazi, ndoa, mahusiano, biashara etc! Glory to God, Lakini hata ningewapa Nini kama sitowasaidia kupata WOKOVU nitakuwa sijawasaidia chochote, Mlivyopata ni-end products za wokovu, kama nyama zilizowindwa, lakini muda umefika nataka KUWAFUNDISHA KUWINDA WENYEWE!, Kwa anayetaka kwenda mbali kuliko alipo.
Mimi binafsi kilicho niokoa si kingine ni TAMAA TU!, Kutaka mambo makubwaaa ya kutetemesha !, SASA KUNA LEVEL BILA WOKOVU HUWEZI KUINGIA.
Niliona watu wanafanya mambo SUPERNATURAL, na nilijiongeza kwamba hizi sio juhudi za binadamu, Kuna mambo yanafanyika alafu siyajui, Na sababu siyajui nakuwa second rated, Sikujua issue ya WOKOVU nilijua tu wale watu wanachotumia wamekipata kanisani.
Wokovu in general nilikuwa naujua sababu nimesoma Bible Knowledge O-Level, So general Doctorine naijua from back then, LAKINI HOW TO TRANSFORM HIYO DOCTRINE KUTOKA KWENYE MAANDIKO KUJA KWENYE MAISHA YANGU NA IKAISHI NA WATU WAKAONA NDIYO KIPENGELE NA HAPO NILIPATA TOTAL FAILURE, Yule Padri aliyetufundisha Bible Knowledge ange nifuma angenichapa makofi, Na alikuwa gaidi KWELI-KWELI.
SO DON’T MAKE MISTAKE YA KUJIFANYA UNA-UJUA WOKOVU GENERALLY NITAKWAMBIA NINI?, SAWA MIMI SINA LA KUKWAMBIA LAKINI MAISHA YAKO YANA KWAMBIA TULIA MTOTO MDOGO WEWE KIROHO UJIFUNZE, HUNA UNALO LIJUA, ON SERIOUS NOTE INAWEZA KUWA UNAJUA NUSU NA KATIKA KITU HUWEZI KU-OPERATE NA NUSU INFORMATION NI WOKOVU! MAMBO YATAANZA KWENDA NA KUKWAMA MPAKA UTA-DATA.
MIMI NILISHANGAA SANAA KAMA DOCTRINES NAZIJUA MPAKA CHETI NINACHO NA GRADE A KABISAA, NAJUA MAANDIKO YOTE YA WOKOVU LAKINI SIKUPATA TRANSFORMATION YOTOTE MAISHANI.
NIKAJIFANYA MJINGA KABISAAA NA KUJIFUNZA UPYA, MWANZO KABISA, NA KATIKA KITU WATUMISHI WA BONGO HAWAFUNDISHI NI WOKOVU, SINA UHAKIKA KWANINI! WATAKUFUNDISHA KWAMBA UNATAKIWA UOKOKE, WATA KUSAIDIA SALA YA KUMPOKEA YESU MAISHANI MWAKO AMBAPO NI SAWA-SAWA, LAKINI HAWATOKA KUKUPA NA KUKUFUNDISHA FRAME WORK YA WOKOVU UI-OPERATE MWENYEWE, NO MATTER HOW MUCH YOU BEG.
YAANI WANA CREATE DEPENDENCY STRUCTURE KWAMBA UKITAKA KUVUKA ENEO UENDE KWAKE AKUPE MAOMBI AMBAYO MOSTLY ANAYATOA KWENYE HIO FRAME WORK!, MAKANISA MENGI YA WOKOVU HAWA-WASADII WAUMINI KUISHI KWA WOKOVU BALI WANAKUWA DEPENDENT KWA WATUMISHI, SIJUI SABABU ZAO NA SITAKI KUSPECULATE!
MIMI NILIFUNDISHWA ROBO YA STRUCTURE LAKINI KAMA MNAVO NIJUA NILICHIMBAAA MPAKA NIKAIPATA YOTE, UZURI IT IS 2020’s WATUMISHI WA KIZUNGU SIO WACHOYO WAMEANDIKA MAVITABU KIBAO, YOUTUBE VIDEOS KIBAO YAANI MAMBO WAMEYAMWAGA HADHARANI, KIU YAKO TU KUYAPATA, SASA MIMI NA UVIVU WANGU KUFATANA FATANA SIO MPANGO, AFTERALL WHY SHOULD I KEEP YOU DEPENDENT?, MIMI NAWAFUNDISHA FRAME WORK ZIMA, MU-ACHIEVE KULIKO NILIVYO ACHIEVE MIMI NA MFIKE MBALI KULIKO NILIPO FIKA MIMI!
MIMI KWENYE MAISHA YANGU NILISAIDIWA TU NA WATU BAKI, AMBAO WALI-NISAIDIA TU MAANA WALIAMINI NITAFIKA MBALI, NA SIJA WAANGUSHA WALA SITA WAANGUSHA NA SINA CHA KUWALIPA MAANA WAKO MBALI TANGU ENZI HIZO LAKINI NAWEZA KURUDISHA FADHILA KWAKO, WEWE ILI NA WEWE UJE URUDISHE FADHILA KWA WENGINE WANAO HITAJI HEKIMA YAKO NA UNA AMINI WATAFIKA MBALI!
MPENDWA I WANT YOU TO FLY LIKE EAGLES NA MSINI ANGUSHE, MAYBE FAMILIA YAKO NA WATU UNAO WAAMINI ON SEVERAL COUNT WAMESEMA NA KUSISITIZA YOU WILL BE NOTHING KWENYE HAYA MAISHA, NA MAZINGIRA YAME THIBITISHA KAULI YAO, MIMI BADO NAAMINI KWAMBA UNAWEZA KUWA SHANGAZA!
BINAFSI KISA CHA KUSAIDIWA NA WATU BAKI NISABABU WATU WANGU HAWAKUWA NA IMANI NA MIMI, NILISHANGAA HAWA WATU BAKI WAMEJICHANGANYA NINI ?, LAKINI NILIKUJA KUJUA WATU WANGU HAWANA LOLOTE, HAWAJAONA LOLOTE, HAWAJAENDA POPOTE SO JUDGEMENT YAO JUU YANGU ILIKUWA LIMITED ON THEIR LIMITED PERSPECTIVE!
MIMI NAKUAMINI WEWE, KWAMBA YOU CAN DO THIS, OTHERWISE NISINGEKUWA NAKUJA HAPA KILA SIKU KUKUHIMIZA, PIA NAMUAMINI MUNGU KWAMBA ANA UWEZO WA KUKUTENGENEZA UPYA NA JIWE ULILO KATALIWA NA WAASI UWE JIWE LA MSINGI, UNACHOTAKIWA TU NI KUINGIA KWENYE MFUMO WAKE! I HAVE SENT HIM WORSE PEOPLE THAN YOU NA AKANISHANGAZA.
MTU AKI-KUAMINI UNATAKIWA UAMINIKE, WOKOVU WATU WANAKUITISHA TU, NI MGUMU MAANA NIKO-COMPLICATED HAMNA LOLOTE, EITHER HAWATAKI AU HAWAJUI KUUFUNDISHA AND I AM A GOOD TEACHER
WOKOVU/ SALVATION
What is Salvation?
Waefeso 2:8-9
Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; wala si kwa matendo, tuM awaye yote asije akajisifu.
MUNGU NDIYE ANAYE OKOA WATU KWA UPENDO NA REHEMA ZAKE, MTU HAWEZI KUJIOKOA LAKINI ILI MUNGU AMUOKOE MTU KUNA MAMBO AMEYAWEKA WAZI KWENYE MAANDIKO YAKE LAZIMA MTU AYATIMIZE, NITAYAWEKA WAZI HAYO MAANDIKO!
Kwanini mtu anahitaji wokovu?
Mwanzo 6:5
Mwenyezi-Mungu alipoona wingi wa uovu wa binadamu duniani, na kwamba kila analokusudia binadamu moyoni mwake ni ovu daima.
Zaburi 14:1-3
Wapumbavu hujisemea moyoni:”Hakuna Mungu.” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema!
Warumi 3:10-18
10 Kama Maandiko yasemavyo:”Hakuna hata mmoja mwenye haki; 11 hakuna hata mmoja mwenye kuelewa, hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.12Wote wamepotoka na kwa pamoja hawana thamani yo yote; hakuna atendaye mema hata mmoja. 13 Makoo yao ni kama makaburi wazi,wanatumia ndimi zao kudanganya.Kwenye midomo yao mnasumu kama ya nyoka. 14 Vinywa vyao vimejaalaana na ukali. 15 Miguu yao huenda mbio kumwaga damu 16 njia zote wanazopita huacha uharibifu na huzuni kuu, na 17 wala njia ya amani hawaifahamu.18 Kumcha Mungu hakupo machoni pao.”
Romans 5:12-14
Death in Adam, Life in Christ
12 Therefore, just as sin came into the world through one man, and death through sin, and so death spread to all men[a] because all sinned- 13 for sin indeed was in the world before thelaw was given, but sin is not counted where there is nolaw. 14 Yet death reigned from Adam to Moses, even over those whose sinning was not like the transgression of Adam,who was a type of the one who was to come.
MPENDWA WOTE TUMETENDA DHAMBI NA TUNA ENDELEA KUTENDA DHAMBI MPAKA SIO POA, SAWA ADAMU NDO ALIANZISHA NA MKEWE LAKINI KILA MMOJA WETU ALIMPOKEA SHOW NA AKA UKIMBIZA MWENGE KWELI KWELI KUANZIA ZINAA ZA MIAKA 10 NA MPAKA KIUNGO KIMECHAKAA, UONGO,WIZI,KUISHI KAMA HAKUNA MUNGU, MSINICHOSHE KILA MTU MIDHAMBI YAKE ANAIJUA NA MINGINE KAISAHAU NA KUJISAHAULISHA.
SASA MTU UMETOKA FRESH FROM SINNING MATTER OF FACT UNA NUKA JANABA BICHI UNAKURUPUKA KUTAKA MAHUSIANO MAKUBWA NA YA UHAKIKA NA MUNGU TENA AKUTI MIZIE HAJA ZAKO, KIVIPI? HILI ZIGO LAKO LA DHAMBI INAKUWAJE? UHALALI SHETANI ALIO PATA KUKUKOMESHA KUPITIA DHAMBI ZAKO?
INAKUWAJE SHOGA ANGU? MASHATAKA YAKO KUTOKANA NA KUWATENDEA WENZIO NDIVYO SIVYO YAPO MBELE YA MUNGU YA MOTO YANA SHTAKI, UNAANZAJE KUJIZIMA DATA NA KUTAKA MBINGU ZIFUNGUKE NA MALAIKA WASHUKE KIWEPESI TU WAKATI MASHTAKA YAKO TU COUNTER BOOK 7, AIBU WANA ONA MALAIKA NA MIMI MTUMISHI WAKO JINSI ULIVYO MKAVU.
KWA MAMBO ULIVYO YAPELEKA NA YALIVYOENDA NA JINSI FILE LAKO LILIVYO JEKUNDU KUJIZIMA DATA IS NOT A WAY TO GO, NA UKIFOSI UTAKUWA FRUSTRATED, MAMBO HAYATAKUWA RAHISI KWAKO HATA KIDOGO, UTAOMBA LAKINI WASHTAKI WAKO WATASHI NDA KILA SIKU NA UTABAKIA HAPO HAPO.
Ayubu 31:35
“Laiti kama angekuwepo mtu wa kunisikia.Tazama sasa ninatia sahihi kwenye utetezi wangu, Mwenyezi na anijibu, mshtaki wangu na aweke mashtaka yake kwenye maandishi.
LUCKY FOR YOU YESU ALIKUJA KUTUOKOA NA Hll SITUATION MIAKA 2000 ILIYOPITA, KWA KIASI CHAKE UNAJUA LAKINI UNAJUA JUU NA KUOKOLEWA DHAMBI KWELIKWELI INABIDI UJUE KIUNDANI NA KUAMINI KWELI KWELI ILI MAANDIKO YAISHI KUPITIA WEWE.
Usijue juu-juu, Yesu alikufa msalabani na kutukomboa na dhambi tupate uzima wa milele kama toto la Sunday school, IT IS DEEPER THAN THAT, NIMUDA AKILI YAKO UIWEKE SAWA SAWIA MAANA MIDHAMBI TAYARI UNAYO NA MAANDIKO YAKO WAZI.
Romans 6:23
23 For the wages of sin is death;
NA SHOSTI NDIO USHAPOKEA MSHAHARA WAKO WA DHAMBI WAMEKULIPA NA PENSION KABISA MAHUSIANO YAKO YASHAKUFA ZIPO FUNZA TU, UCHUMI UMEKUFA UMEVUKA STAGE YA FUNZA UPO MIFUPA MIKAVU, AFYA NAYO USHAKUWA MGONJWA, UZAO WATOTO WASHAKUSHINDA KILICHOBAKIA UFE TU MWENYEWE KUKAMILISHA OBITUARY!, THE ONLY CHANCE YOU HAVE NI KUMPOKEA YESU MAANA YESU PEKE YAKE NDIO ALIZISHINDA DHAMBI, AKASHI NDA MAUTI NA KUWEKA FRAME WORK YA WOKOVU ILI TUWE HURU NA DHAMBI NA KUPATA UZIMA WA MlLELE!
John 14:6
6 Jesus answered,”Iam the way and the truth and the life.No one comes to the Father except through me.
HII NI SEQEL/ SERIES NITAJITAHIDI KUIKIMBIZA KABLA YA MKESHA.
PART 2
KWANINI YESU ALIKUJA DUNIANI?
Najua wengi kama umepita-pita Sunday school, you have small idea and it is good, Wengi hili andiko mnalijua !
Yohana 3:16
16 “Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
YES IT IS 100% TRUE BUT IT IS DEEPER THAN THAT!
Ukitafakari bila kujua kiundani unajiuliza HOW?, Jesus died more than 2000 years ago! MAKE IT MAKE SENSE!, Hapa kwenye make it make sense ndo utajua kutofautisha utumishi wa ufunuo na wa kusomea!
CHA KWANZA CHA KUELEWA NI KWANINI MUNGU ALIAMUA KUMTUMA MWANAE!
Part 1, Tuliishia kila mtu ametenda dhambi za kutoshaaa, Na Adamu ndiyo alianzisha sisi wengine tukamliza, Na agano lote la kale Mungu alituma MANABII wakubwa wa nne(4) na wadogo kumi na mbili (12), Na bado watu walikuwa wagumu.
SABABU HASA ZA MUNGU KUMTUMA MWANAYE YESU KRISTO NA SIO MANABII
1.KUWEKA AGANO JIPYA!
Kama ambavo maandiko yamejigawa AGANO JIPYA na AGANO LA KALE! Ili ujue agano jipya lazima ujue aganola kale, FYI Agano jipya na la kale sio LIST YA VITABU, AGANO LA KALE ni makubaliano kati ya Mungu na Waisrael, kwamba atakuwa Mungu wao nao watakuwa watu wake na wata mtii!
Soma KUTOKA 20 yote. Kifupi Mungu alianza na Ibrahim, lsaka na Jacob akawakuza wakawa taifa kubwa, Na agano lao ni hilo! Marufuku wao kuwa na Miungu mingine yoyote, Wakimtiii ata wabariki wakizingua atawaangamiza YEYE mwenyewe, Soma Kumbukumbu 27-28 upate undani wa maelekezo yake!
Mpendwa sasa ikaonekana Watu kumkosea Mungu na kujutia wakafanya kama tabiaaa, Mtu anakosa akiona anakaribia kuangamizwa anajuta na Kutubu, Miyeyusho haija-anza leo.
MUNGU AKAWAWEKEA UTARATIBU WA KUJITAKASA KWA SADAKA KILA WANAPO HARIBU, UKIONA UMEKOSEA KABLA HUJAENDA MBELE ZA MUNGU UNATEKETEZA KITU KILICHO NONA KUJITAKASA, MTAONA WAISRAEL KILA MARA WAKITIBU LAZIMA KWANZA WATEKETEZE NDIYO MUNGU AWAS KILIZE HOJA ZAO NA KUJIBU.
Hizi sadaka zilikuwa zinatoa utakaso TEMPORARY tu, na ili lazimu watu KURUDIA-RUDIA kujitakasa, Akaweka kwa kuwa ORDAIN MAKUHANI, MANABII na mfumo mzima wa kusimamia hili ambao watu wakitoa sadaka na ibada zingine ONLY MAKUHANI ndio wanaenda mbele za MUNGU kwa niaba yao, Watu wa kawaida kumkaribia Mungu ilikuwa NEVER, Ukifosi kuingia patakatifu pa Watakatifu umeisha, SHOBO na Holy of Hollies ili wacost watu wadaku.
NDIO UJUE UHUSIANO NA MUNGU SIO JAMBO JEPESI LA UBAHILI NA KUZEMBEA, UTAJIKUTA UNA UHUSIANO PEKE YAKO.
Pamoja na yote kwa yote watu kama kawaida mi-dhambi mfululu, Mungu akawatelekeza BABELI, Ambapo walikaaa MIAKA 400, Manabiii aliwapelekea, Kina Jeremiah, Micah Nehemiah, Daniel etc.
NABII JEREMIAH ANA PROPHECY UJIO WA AGANO JIPYA
Yeremia 31:31-34
Mwenyezi-Mungu asema: “Siku zaja ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na watu wa Yuda. Agano hili halitakuwa kama liLe nililofanya na wazee wao nilipowatoa kwa mkono wangu kutoka Misri;agano hilo walilivunja, ingawa mimi nilikuwa Bwana wao.
Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.Baada ya siku hizo, nitafanya agano lifuatalo na Waisraeli, Nitaliweka sheria yangu ndani yao,na kuiandika katika mioyo yao. Mimi nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.Wala haitawabidi kufundishana na kusema: ‘Mjue Mwenyezi-Mungu’, kwa sababu wote, wadogo kwa wakubwa,watanijua mimi Mungu. Maana nitawasamehe makosa yao,wala sitazikumbuka tena dhambi zao.”
HAYA MANENO NABIIJ EREMIAH ANA MNUKUU MUNGU MWENYEWE, AMBAPO MUNGU ANA SEMA WAZI WAZI KATIKA AGANO JIPYA:
1.ISRAEL ITAFANYIWA UREJESHO.
2.FINALLY DHAMBI ZITA SAMEHEWA !( NDIO MAANA YESU ALIVOKUWA AKIWAAMBIA WATU UMESAMEHEWA DHAMBI ZAKO WAYAHUDI WALITAHAMAKI HAKUKUWA NA HUO UTARATIBU AGANO LA KALE.
3.WATU WATAMJUA MUNGU DIRECTLY ITAKUWA SIO TENA LAZIMA KUPITA KWA MANABII AU WACHUNGAJI, NI WEWE UNAJILIPUA FACE TO FACE TO MBELE ZA MUNGU! HATARI.
4.SHERIA ZAKE WATU WATAZIANDIKA MIOYONI MWAO KWA KUWA WAO KWA HIARI YAO WATA TAKA KUMUABUDU, NO MORE KUBEMBELEZANA AU KUADHIBIANA.
MPENDWA TOPIC NI NDEFU SANA LAKINI KWA KIFUPI TU YESU ANAKUJA KUKAMILISHA AGANO LA KALE NA KUWEKA AGANO JIPYA AMBALO NABII YEREMIA ALI PROPHECY AMBAPO WOKOVU WA DHAMBI UTAWEZEKANA, NABII NYINGI ZILIZO KUWA HANGING KWENYE AGANO LA KALE ZINA TIMIZWA KWENYE AGANO JIPYA.
MPENDWA UKISEMA WEWE NI MRISTO BILA AGANO JIPYA KIVIPI SASA WAKATI KRISTO KWENYE AGANO LA KALE ALI KUWA PASSIVE?, UKRISTO NI AGANO JIPYA BEBE!
Agano la kale linaonesha HISTORY OF PEOPLE (ISRAELITES) wakati agano jipya ENTERLY FOCUSES ON ONE PERSON AND ONE PERSON ONLY, JESUS CHRIST THE SON OF GOD MASSIAH.
USIPOSOMA AGANO JIPYA UKRISTO WAKO UNA MASHAKA! VITABU VINGI VYA AGANO LA KALE WAISLAMU WANAVO! WAYAHUDI PIA WANAVO! NA NIWAISALMU NA MAYAHUDI SIO WAKRISTO! UKRISTO IS MAINLY ABOUT KRISTO MWENYEWE HENCE NEW TESTAMENT!
2.YESU ALIKUJA DUNIANI KU-REVEAL TRUE NATURE OF GOD!
Mungu alishafunuliwa kwa watu huko agano la kale kupitia manabii lakini kulikuwa na misconceptions nyingi ziLizoletwa na hawa manabii, Watu WALISHINDWA kumuelewa Mungu viLe Mungu alitaka watu wake wamuelewe.
Kuna instance Mungu alionekana kama MKALI-MKALI, Kama Nabii Elia kuwafungia watu mvua miaka mi 3 kidogo njaa kali imuue na yeye aliyefunga mvua, Kuna instances watu waliona Mungu yupo SERIOUS SANA, Kama Yona aliye waambia msipotubu Jiji hili lina angamia nawaambia, KUNA OCCASSION NYINGI ZILIWAACHA WATU NA MASWALI MENGI NA MASHAKA BILA MAJIBU SAWA MUNGU TUNA MTUMIKIA LAKINI NI MUNGU WA AINA GANI? MUDA WOWOTE ANAFANYA LOLOTE!
HIVYO MPENDWA YESU ALIKUJA KU-REVEAL TRUE NATURE OF GOD YA UPENDO MKUBWA, NA LENGO LAKE LA KUTAKA MAHUSIANO NA WATU WAKE, LENGO LAKE NI WAWE NA UZIMA WA MlLELE NA WAWE NAO TELE.
Yohana 10:10
Mwizi huja tu kuiba, kuua na kuharibu; Mimi nilikuja iliwawe na uzima,tena wawe nao tele.
NA YESU ALIFANIKIWA SANA KWENYE HILI MPAKA WATU MWISHO WAKAONA WANA MMUDU MUNGU SASA!
3 YESU ALIKUJA KUISHINDA DHAMBI!
Mambo yalianza na Adam baada ya hapo Man and Sins ikawa kama 5 na 6!, Binadamu zake dhambi kama kalambwanda!, Sasa Yesu angezishinda dhambi akiwa kwenye nafasi ya Mungu, tungesema Ndo maana, Si yupo in Godly state, Ndiyo ikalazimu AWE BINADAMU KWANZA KAMA SISI ALAFU AZISHINDE DHAMBI, Ndio tujiridhishe YEYE KUWEZA.
Yohana 1:14
14 Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu akiwa amejaa utukufu na kweli.Tuliona utukufu wake,utukufu wa Mwana pekee wa Baba.
KWA HILO PIA ALIFANIKIWA 100% NA AKAWEKA FRAME WORK YA MTU YOYOTE ALIE SERIOUS KUZISHINDA DHAMBI KWA KUFUNDISHA NINI BABA YETU ALIYE MBINGUNI ANATAKA TUFANYE, TUISHI VIPI ILI KUMPENDEZA MUNGU, FRAME WORK NZIMA YA MAISHA YA USHINDI!
4.YESU ALIKUJA KUFUNGUA VIFUNGO NA KUWAWEKA WATU HURU KUTOKA UTUMWA WA SHETANI!
Kabla ya ujio wa Yesu shetani alikuwa ana Tamba sana sanaaa duniani, Haswaa sababu manabiii walikuwa niwatu ambao hawajatoka Mbinguni,Walipata ufunuo wa hapa na pale kuhusu MBINGU lakini clear Picture hawakuwa nayo!
Yesu Akitoka juuu na mchongo mzima wa Shetanialikuwa anaujuaaaa ndo kuwafungulia wanadamu password JINSI gani ya kumuepuka na kuishinae.Utawala wote wa giza ulikuwa unamjua Mwamba katoka juu na nigenuine, Sasa Yesu ndo AKAWEKA FRAMEWORK na PASSWORDS za kupambana na utawala wa giza face to face!, AKAGAWA POWERS AND AUTHORITY JUU YA UFALME WA GIZA!
Luka 10:18
18 Akawajibu,”Nimemwona shetani akianguka kama radi kutoka mbinguni.
KAZI ALIZOFANYA YESU DUNIANI MNAZIJUA ZIPO DIRECT KWENYE INJILI SO TUTARUKA NA NEXT TUTA -ANGALIA KWANINI ILI LAZIMU YESU AFE NDIO WOKOVU UKAMILIKE! ( KAMA MNATAKA KUDEKA TUPITIE KAZI ZAKE COMMENT BELOW.
PART 3
KAZI ZA YESU/ WORKS OF CHRIST
Kuna muda nahisi mnajifanyisha upagani lakini kuna muda naingia wasiwasi huenda ninyi ni wapagani kweli. Wapendwa Yesu alifanya kazi nyingi sana, Sita zitaja kwa mtirirko maana itakuwa kuwaendekeza UVIVU wenu, Kuna VITABU VINNE (4) vya injili for Christ sake, kila uandishi una-otaka upo.
Kuna watu hamjui kuna VITABU 4 VYA INJILI and you are already 30 na kwenda MEMKWA ( Elimu ya watu wazima) ya biblia hamtaki, IT SHALL BE WELL!
Kuna VITABU 4 VYA INJILI ambavyo ni Mathew (Mathayo), Mark (Marko), Luke (Luka), Yohana ( John) au (MAMALUYO).
INJILI NI SAWA NA NI TOFAUTI KUTEGEMEANA NA MUANDISHI, TOFAUTI NI ZA KIMTINDO TU YAANI ALL 4 BOOKS ZIMEPEWA UZITO SAWA KWENYE MAANDIKO, NDIYO MAANA MTUMISHI HATA WEWE UNAWEZA RUKA NA YOTOTE ILE, NA ZOTE ZIME FOCUS NA MAISHA YA KRISTO NA KAZI ZAKE!
Utofauti wa ki-uandishi unaweza ku-infuluence uta-enjoy injili ya nani ZAIDI, kutegemea na personal yako msomaji, Mpendwa lnjili ya Mathayo iliandikwa na Mtume Mathayo mtoza ushuru ambaye alikuwa Bega kwa Bega na Yesu kwenye mchongo mzima, So in literature tunasema his information is primary/ first-hand kwa sababu alicho-kiandika alikiona kwa Macho yake. Mathayo pia yuko very detailed akifatiwa na Luke, Ambao wana matukio ambayo huyakuti kwa John or Mark in their literature.
Mathew alikuwa myahudi na kwenye injili yake alifocus sana kuwashawishi wayahudi kwamba Yesu ndiye Masiah,Ndiyo maana anaanza na linage ya uzao wa Yesu kisha ana-establish sana link ya Torati na Maandiko ya wayahudi na kuja kwa Yesu ndio kutimia kwa yale maandiko na nabii za nyuma za kiyahudi yaani He is well REFERENCED and LIKED!
Mpendwa aliiji-kita kuunganisha agano la kale na jipya, Kama ni mtu wa agano la kale Mathew is your man. Mathew portrayed Jesus kama MFALME WA MAYAHUDI, Mwanzo Mwisho, Na alifocus sana na MAFUNDISHO YA YESU, MESSAGE ZAKE.
Injili ya MARKO/MARK ndiyo fupi kuliko zote, Marko aliandika injili hii kama secondary literature maana alisimuliwa na Peter, Kama ilivyoandikwa Peter/Petro yaani NO SCHOOL in the head, Mvivu wa samaki tena anajua kutupa nyavu.
WRITING not so much, So alimsimulia Marko akamsaidia kuandika, lnjili niya Peter lakini mwandishi ni Marko, Sasa kisa cha kuwa fupi haifahamiki kama Peter alisimulia kwa ufupi au Marko aliamua ku summarise.
Mpendwa Mark katika Injili hii, WAS VERY DIRECT TO THE POINT na Inasemekana ufupi wa injili hii ulitaka kuleta wepesi wa kukumbuka na kushika, Unlike Mathew who was all for the Jews, Mark alitarget wider audiance yaani Jews and non Jews, Mostly Non-Jews ukiisoma yaani Bro hated the Jews and was very prejudiced on my view, So Non-Jew to be precise.
Mark alikuwa Mtume baada ya Yesu kufa, Alifanya kazi na Paul na baadae Peter, Mark katika fasihi yake ana mpotray Yesu kama Mtumishi na Mwana wa Mungu aliyeteswa sana-sana na kunyanyaswa na Mayahudi, Unlike Mathew who was all linage and Kingdom, Mark is allaction, Anafocus na matendo ya Yesu mwanzo mwisho yaani HAPA KAZI TU, Mtiririko wa Mark pia umeenda shule, Ukiwa mvivu na unataka kuzijua kazi za Yesu fasta-fasta MARK IS YOUR GUY.
Mpendwa Injili ya Luka imeandikwa na Luka kwa kusimuliwa na Mtume Paul na possibly Mitume WENGINE, Wote Paul na Luka hawakuhudumu kipindi cha Yesu. Gospel of Luke is the LONGEST OF THE 4 GOSPELS, MATTER OF FACT IT IS THE LONGEST BOOK IN THE ENTIRE NEW TESTAMENT yaani Mwana alijua kuandika.
Mwana alipangilia vitu in CHRONOLOGICAL ORDER, He was an historic writer, Kazi yoyote Mtume Paul akitajwa kuhusika jua IMENYOOKA!
Mpendwa Luke alikuwa mtabibu/ daktari kimtindo enzi hizo na pekee hakuwa myahudi katika waandishi wa injili na alitarget watu wa mataifa SISI to be precise, Ndiyo maana katika uandishi wake matukio ya UPONYAJI yalizingatiwa sana, Daktari tena! he was writing from experience.
Luke katika fasihi yake ali-mpotray Yesu kama MWOKOZI WA WOTE NA MATAIFA YOTE yaani kama MPONYAJI, msaidizi , mwenye huruma, in Short kimbilio la wote, Kama unapenda Details, hutaki ubabai, Luke is your Guy!
lnjili ya Yohana iliandikwa na Mtume Yohana mwenyewe kama primary Writer, Alikuwa na Yesu na alishuhudia alicho-kiandika. Mpendwa Mtume John ana-mpotray Yesu kama MUNGU mwanzo na mwisho kwenye VITABU vyake vyote kuanzia cha injili mpaka Ufunuo, Kwa Yohana Ufalme, utumishi, Mwokozi SIO shida zake, Kwake Yesu ni MUNGU full-stop.
Na mostly katika uandishi wake ana tushawishi wasomaji Yesu ni MUNGU, Focus ya lnjili ya John ni MIUJIZA YA YESU mwanzo mwisho, Plot ya Yohana Mtume kwenye fasihi yake ni YESU NI MWANA WA MUNGU ALIEKUJA KUPINDUA UTAWALA WA SHETANI, THIS GOSPEL IS REALLY UNIQUE AND MYSTERIOUS! Ukianza tu kusoma Yohana 1:1 lazima utajuaa hapa kazi itakuwa pevu.
Yohana 1:1
Hape mwanzo alikuwako Neno, huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Akili lazima ikukae sawa, Yohana habari nyingine na pia Yohana alifocus ZAIDI NA ISHARA NA KAULI ZA YESU!
Mpendwa Controversy nyingi za lnjili zinatoka kwa Yohana,Ali-andika sanaaa kama Luke na Mathew japo hakufipisha kama Mark lakini aliyo-andika ni MAZITO NA MAZITO TENA.
Kama bado una mashaka and you are not sold yet kwamba Yesu ni MUNGU, John my sister is your Person, Na ni kitabu kizuri sana kama unataka kumfaidi Yesu with his MIGHY, POWERS AND GLORY! Haya sasa ndo ilikuwa Focus ya Yohana, Story Story no! UTUKUFU, NGUVU NA UWEZAAA? Swadaktaaaa!
Mpendwa Personaly napenda VITABU vyote, Mostly Mathew sababu napenda Old Testament, Alafu fasi hi yake laini, Siku nataka kustua ubongo nakuja kwa Yohana, Anivuruge.
Japo kwa watumishi John ndo kitabu cha kufa-nacho, maana kimeeleza kwa kina Yesu ni MUNGU kivipi, kupambana na nguvu za giza codes ZIMEFUNGUKA, Authority of Jesus pia imefundishwa kwa Kina.
SASA MPAKA HAPO USIPOONA MUANDISHI WA KUMSOMA BASI TUFANYE NIMESHINDWA MIMI NA NIME KUKOGA KABISA SIO KUNAWA MIKONO.
BILA KUJUA MAISHA YA YESU NA KAZI ZAKE WOKOVU WAKO UTAKUWA BATILI NA UONGO MTAKATIFU ! UNAMPAJE MAISHA YAKO MTU HUMJUI WALA HUNA IDEA ALIKUJA KUFANYA NINI DUNIANI! WOKOVU WA USHABIKI SIO ISSUE ZANGU KABISA!
KAMA UNATAKA KUOKOA KABLA SIJAKUONGOZA SALA YA KUMPA YESU MAISHA YAKO LAZIMA UWE UMESOMA WALAU KITABU KIMOJA CHA INJILI CHOTE,CHAGUA MWEYEWE, UKIJIPENDEKEZA NIKUCHAGULIE SOMA YOHANA !
IT IS MANDATORY USOME KWA AKILI ZAKO UNAWEZA KUGHAIRI, JE ? MSIPENDE KUSHIKWA SHIKWA MASIKIO, KAMA NAWADANGANYA NA KUWAOKOTA AKILI? MUNGU AMEKUPA ELIMU FOR ONCE, ITUMIE KWA UTUKUFU WAKE, SOMA KITABU KIZIMA CHA INJILI, HATA KAMA UVIVU OUR GUY MARK HAS YOUR BACK, FEW PAGES JUST TO SUIT YOUR UBABAI AND LAZZYNESS! OR JUST READ 1 WHOLE GOSPEL BOOK FOR CHRIST SAKE!
MPENDWA KAMA HUMJUI YESU NA UNAMPOKEAJE NA KUMKABIDHI MAISHA YAKO? EMBU TUWE SERIOUS NA MAISHA KIDOGO.
KAZI YA YESU IN SUMMARY
1.TEACHER!
Alikuwa mwalimu wa neno la Mungu na muda mwingi alifundisha kwenye masinagogi na mihadhara! Alifundisha kwa miaka 3 duniani, Mostly kuhusu dunia na Mbingu Na Uhusiano wa watu na Mungu! Alifundisha Nini na wapi ?, Kwenye andiko gani? SOMA INJILIA CHA UBABAI.
2.HEALER!
Aliponya maradhi ya mwili na Roho!, Alitibu magonjwa, viungo mpaka ROHO za watu na Kuanzia viziwi,vipofu, viwete,walio-pooza mwili mzima, wanao-toka Damu miaka na miaka,Wenye maradhi mpaka wenye ALIMPONYA NANI NA WAPI ? SOMA INJILI ACHA UBABAI!
3.MIUJIZA!
Mpendwa nayo aliitenda! Kugeuza maji kuwa wine, Samaki 2 na mikate 5 kulisha halaiki, Rusheni Nyavu zenu upande wa kulia, Kutoa hela kwenye domo la samaki na kulipa kodi, KUFUFUA wafu, Kutembea kwenye maji, Ku-ulaani mtini uka-kauka, Kama miujiza tu Yesu alifanya labda kingine! HII ni nje ya uponyaji wa ki-miujiza unao ingia point ya 2!
4.UTUMISHI NA UNYENYEKEVU!
Yesu alipenda watu, alitumikia watu, alijichanganya na watu sana sana! He was ALL FOR THE PEOPLE, Alikuwa mkarimu kwa maskini na wagonjwa, Alipenda watoto! Hakuwa mtu wa KUHUKUMU, Even at people’s worst he was there for them, Hata yule mwanamke mzinzi alivyopelekwa kwake alifanya busara, HE WAS NEVER JUDGEMENTAL.
Watu wengi hamjamsoma Yesu na kumjua matokeo yake mna-athirika na UBINAFSI WETU WATUMISHI, na kukaa mbali na Mungu, We project our fears and insecurities most times and not the ACTUAL MESSAGE OF GOD, Sasa Kama hujui maandiko first hand unaweza kukata tamaa na Mungu! Kabisa, SOMA INJILI ACHA UBABAI.
Imagine BBC walivyo-kosea kumnukuu Papa kuhusu watu wa upinde, Waumini walibakia na maswali mengi kuliko majibu, Bora alivyokuja kuweka record straight.
NI MUHIMU SANAA USOME MAANDIKO WEWE KAMA WEWE ILI UKIWEKA MSIMAMO UNA SOLID REFERENCE.
PART 4
KIFO CHA YESU
Mpendwa kwanini Yesu alikufa? Wengi mtaruka na sababu wayahudi walimuua!,Amateures! Ofcourse wengi mnajua alikufa ndio and tunasherekea Pasaka kila mwaka Ofcourse asingeweza kufufuka bila kufa, Then WHY DID JESUS HAD TO DIE ? Hapo ndio utajua kichwani KWEUPE na wokovu una ninginia, NA KILA KITU KIMEANDIKWA.
KUJUA YESU ALIKUFA JUU-JUU HAITAKUPA MATOKEO MAKUBWA WHATSOEVER, LIKE I SAID EVEN PAGANS KNOW JESUS WAS KILLED BY THE JEWS NA HAMNA WALiCHO NUFAIKA NA HIYO INFO!
Wakolosai 2:14-17
14 baada ya kufuta kabisa hati ya mashtaka iliyokuwa inatukabili na kutupinga pamoja na masharti yake; ali-iondoa akaipigilia msalabani. 15 Na baada ya kuvunja nguvu na mamlaka ya shetani, Mungu alim fedhehesha hadharani kwa kuonyesha ushindi wa msalaba juu yake.
Kifo cha Yesu kiliwezesha KUFUTWA KWA HATI ZA MASHTAKA YA MTU, MASHTAKA ni mambo ulifanya kabisa na yakatoa uhalali juu YAKO kwa Ulimwengu, Mfano umechukua Mume wa mtu na mtu mwenyewe maandiko yamelala kichwani, Ngoja nichane na HUU mfano maana mtaandika mashataka sahihi as of now, Na habari za wokovu mtaniachia mashataka kwanza wokovu baadae.
Okay mfano mwanaume kakupa mimba 4 mkawa mnazitoa wewe mwanangu kubwap-jinga na mkwe WANGU hamnazo, Baadae akaoa mtu mwingine SABABU ana-mimba, Wewe mwanangu ukashtaki KAMA HAKUNITOA MIMI MIMBA BASI KWENYE HIO NDOA WAZAE NA MUNGU AWABARI KI LAKINI KAMA MIMI ALINITOA MIMBA 4 , BASI UZAO WAKE KWENYE HIO NDOA UKA UNGANE NA WALIPO WATOTO WANGU, SHITAKA LINA RINDIMA ULIMWENGU WA ROHO, UHALALI UPO TELE KAMA NDIO UNEOLEWA UTACHEZEA MISCARRIAGE MPAKA SIO POA! HUNA KOSA NAO! HUJUI WALIVO TOANA MIMBA, ILA UTAVUNA MSHITAKA.
SNIPPET YA KUDEAL NA MASHTAKA IMETOLEWA KIDUCHU TU KWENYE WAKOLOSAI BARELY 2 LINES, LAKINI HIZO 2 LINES CAN SAVE YOUR LIFE . Wapendwa wengi mpo kwenye MASHTAKA MAZITO ya waume za watu, Wake zao washa andika mashtaka kwa taarifa yenu hati za mashtaka zipo katikati ya biblia kabla haja-lala anashtaki na akiamka anashtaki. KAMA ALITEMBEA NA MUME WANGU na wewe ulilala naye kabisa na wengine unalala na mchungaji kabisa.
HIVYO KAMA HUJUI YESU ALIKUFA KUONDOA HATI ZA MASHTAKA NA MASHTA KA UNAYO ENDELEA KUSHTAKIKA, YESU ALIPOSEMA NIMEKUJA ILI MUWE NA UZIMA WA MILELE MUWE NAO TELE ALIKUWA SERIOUS SANA KWA WALIO SERIOUS.
Wagalatia 3:13
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu;maana Maandiko yanasema:”Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.
YESU ALIKUFA I l KUTUKOMBOA NA LAANA YA SHERIA, MAMBO YA LAANA-LAANA ZOTE ZENYE UHALALI NA ZINAZO RINDIMA JUU YA MAISHA YA MTU VIZAZI VI 4 HAPA NDIYO PASSWORD ILIPO ONDOKA, SASA KUJUA YESU ALIKUFA KWA KUULIWA NA WAYAHUDI UTAZEEKA NA LAANA ZAKO, BIBI ALIHARIBU HUKO WAJUKUUU KIZAZI CHA 3 UMERITHI JINA NA MALAANA KAMA YOTE NA UKIFUNGULIWA UFAHAMU LEO 2024 KWAMBA MIAKA 2000 ILIOPITA YESU ALIKUFA MSALABANI NA AKAWEKA FRAME WORK YA WOKOVU WA HIZI LAANA ZA KlPUUZI UTAKOMAA NA YESU AMBE ALIFUFUKA NA KUPAAA MBINGUNI YUPO KUUME KWA BABA HII 2024 ATAKUWEKA HURU NA HILO ZIGO LA LAANA.
Warumi 5:8
8 Lakini Mungu anaudhihirisha upendo wake kwetu kwamba: tulipokuwa tungali wenye dhambi, Kristo ali kufa kwa ajili yetu.
Mpendwa kabla ya Kristo utaratibu wa kusamehewa dhambi haukuwepo yaani Dhambi zilikuwa MWENZIE MAUTI.
Ezekiel 18:4
Behold, All souls are mine; as the soul of the father, so also the soul of the son is mine: the soul that sinneth, it shall die.
Mpendwa Zamani ukitenda dhambi ukataka kurudi kwa MUNGU lazima ufanye utakaso, Damu imwagike na muda wa utakaso ulitegemea umri wa mnyama wa sadaka, Kama kondoo ana mwaka utakaso ni mwaka full-stop, Kabla hujatenda dhambi kizembe angalia zizi lako kwanza, Sadaka zilizo nonaaa zipo?. MPENDWA ZAMANI DHAMBI ILIKUWA NA GHARAMA KUBWA!
Walawi 17:11
ltakuwa hivyo kwa sababu uhaiwa kiumbe umo katika damu. Nimewaagiza kuitolea damu madhabahuni ili kufanya ibada ya upatanisho kwa ajili ya roho zenu; kwa sababu damu hufanya upatanisho maana uhaiumo katika damu.
LAKINI YESU DAMU YAKE INA MWAGIKA KUWEKA AGANO JIPYA LA MSAMAHA WA DHAMBI KWA WATU WOTE NA KUKAMILISHA HILI AGANO LA KALE LA UPATANISHO KWA DAMU ZA WANYAMA.
Matayo 26:27-29
27 Kisha akachukua kikombe, akashukuru, akawapa akisema, “Kunyweni nyote katika kikombe hiki. 28 Hii ni damu yangu ya agano ambayo inamwagika kwa ajili ya wengi iliwasame hewe dhambi.29 Ninawahaki kishia kuwa sitakunywa tena maji ya mzabibu mpaka siku nitakapoyanywa pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu.”
MPO? VITU MNAVIJUA KWA KUEGESHA- EGESHA HALAFU SHETANI AKI WACHALLANGE LAZIMA WEWE NA MAANDIKO MPOTEANE.
WAPENDWA BAADA YA YESU KUFA MSALABANI MIAKA 2000 ILIO PITA ALIACHA Hll FRAME WORK YA MSAMAHA WA DHAMBI, AMBAPO UKIUJUA HUU UKWELI YALE MAUTI NA MALIPIZI YA MIZAMBI YAKO YALIYO KUKALIA KOONI HUEMI UNAWEZA KUJISALIMISHA KWA YESU NA KU PLEAD SALVATION!
UKATUMIA HII FRAME WORK KUOMBA MSAMAHA WA MI-DHAMBI YAKO NA KUMPOKEA YESU KABISA KAMA MWOKOZI WA MAISHA YAKO ILI USIRUDI ULIKOTOKA, Shetani atabakia anasema Bahati yako, Na ngoja urudi kenge wewe, Nitakumaliza, Komma hapo hapo chini ya msalaba.
Mimi mwenyewe SABABU kubwa siwezi acha wokovu Leo wala kesho ni mashtaka pending nilio faoulisha kufutiwa. LAANA nilizofutiwa wakati ukomo Wake bado, Mauti na malipizi yaliyo pending kwa dhambi nilizo toroka kulipa kwa kuplead msamaha wa dhambi. Nika ikwepa adhabu iliyo bakia.
UKIOKOKA YOU BECOME UNTOUCHABLE, YOU BASICALLY GET A NEW IDENTITY IN CHRIST, A NEW LIFE OUT WITH THE OLD IN WITH THE NEW.
CHOCHO ZOTE NAZIJUA UTANIAMBIA NINI? OFCOURSE WATU WENGI WANAONA IS NOT FAIR TO GET AWAY WITH THE SINS AND THE CONSEQUENCES AND THE MAUTI, THAT IS WHAT JESUS DIED ON THE CROSS FOR, TO SET AS FREE! TUAMINIO TUOKOKE AU TUNAACHAJE KUAMINI KUKIMBIA MAUTI NA MALIPIZI, WE ARE ALL FOR THE SOFT LIFE! SALVATION IS SOFT, YOU GET THE HEAVENS ON YOUR SIDE TO RIDE AT DAWN FOR YOUR ENEMIES WITH THE ENTIRE HEAVENS ARMY ON YOUR SIDE WHAT MORE CAN YOU ASK FOR IN THIS LIFE?
MPENDWA WATU WASIO OKOKA WANAPENDA SHIDA NA MATESO KWELI JAMANI FRAME WORK LIPO UNAACHAJE KULITUMIA, UNLESS UNAPENDA KUTESEKA
IWISH NIRUDIE KUKIRI IMANI YANGU YA UKRISTO.”NAMKATAAA SHETANII NA MALIZAKE ZOTE,NA ANASA ZAKE ZOTE ,NA MAMBO YAKE YOTE SITAKI, SITAKI, SITATAKII!.
NDUGU YANGU KATIKA KRISTO KAMA DHAMBI KUTENDA UMESHATENDA MALIPIZI NDIO YA MOTO NA MAUTI ZISHAANZA ZA MAHUSIANO, KAZI, NI SWALA LA MUDA ITAFIKIA YA ROHO! IT IS ABOUT TIME UFANYE MAAMUZI MAGUMU.THE FRAME WORK IS THERE! ONLY YOU KUWA SERIOUS!
Wafilipi 2:8-9
Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa,hata kufa msalabani. Kwa sababu hiyo Mungu alimkweza juu kabisa, akampa jina lililo kuu kuliko majina yote.
Yesu alikuwa mtiii mpaka mauti, Aliji nyenyekeza mpaka kufa bila kumkosea Mungu, AKAWEKA FRAME WORK KWAMBA MAISHA BILA KUMKOSEA MUNGU YANAWEZEKANA KABISA MAISHA YA USHINDI.
Sasa hayawezekani HIVI-HIVI, Thubutuuu! Ndo maana najua unatamani uishi bila dhambi lakini mchana hufiki Ushafyatua dhambi kama 8 HIVI, YANAWEZEKANA ONLY THROUGH CHRIST!
UKISHA MPOKEA YESU KWENYE MAISHA YAKO ATAKUBADILISHA NA KUKUPA NEW IDENTITY IN CHRIST ONLY THEN YOU MAY ACHIEVE VICTORIOUS LIFE!
Wagalatia 2:20
Nimesulubiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai; wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu ,ambaye alinipenda, akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu.
KUNA DHAMBI HUTAKAA UWEZE KUZISHINDA MPAKA YESU AWE ANAISHI NDANI YAKO, KUNA ADDICTIONS ZITAKUTESA MPAKA SIKU UTAKAYO MPOKEA YESU KWENYE MAISHA YAKO!
YESU ALISHINDA DHAMBI AKIWA DUNIANI NA HATA AKIWA MBINGUNI BADO DHAMBI SIO SHIDA ZAKE! AKIWA NDANI YAKO DHAMBI HAZITAKUWA SHIDA ZAKO TENA.
HAPA KWENYE KIFO CHAKE KUNA KAZI NZITO, YALE MAMBO MLIODANDIA YA DAMU YA YESU, PLEAD THE BLOOD OF JESUS! NDIYO HAPA SASA, WAKAVU SANA KU-PELAD BLOOD OF JESUS FROM NO WHERE NA HATA SHETANIANA WASHANGAA, HAPA NDO DAMU ILIMWAGIKA NA BASIS YA WOKOVU WA KWELI IKO HAPA, HAPA NDUGU ZANGU TUTAKESHA!
KULE KWENYE KAZI ZAKE KAZI PIA ILIKUWEPO LAKINI NIMEWAPELEKA MPERA-MPERA KWANZA NA KUWAPA HOME WORK MSOME KWANZA WALAU KITABU KIMOJA CHA INJILI! NIKIRUDI NITARUDI NA LUKA! AU YOHANA KUWAKOMOA TU! YAANI KAMA UPO SERIOUS NIMEKUPA BREAKDOWN KILICHOBAKIA WEWE TELEZA TU NA VYOTE VINNE KILA KITABU KILIMUELEZA KRISTO KWENYE ANGLE FLANI, KUJUA ANGLE ZOTE NDO KUWA DON DADA SASA WA INJILI.
MUNGU AWABARIKI WALE MNAO NGOJA SUNDAY WORD, NIKIJISAHAULISHA MNA MIMI! WENGINE MNANICHANA HATUJAENDA CHURCH TULIKUWA TUNALITEGEMEA HILO NENO INAKUWJAE?, SAHIVI NAWEKAAA WAKUU!
NA SADAKA MTOE ILI NENO LIWAFAE, KANISANI NENO MWENZIE SADAKA! SASA HAPA MNATAKA KUFANYAJE? ITIFAKI IZINGATIWEE!
PART 4B
KIFO CHA YESU KINATAKIWA KIKUFUNDISHE NINI KWENYE SAFARI YA WOKOVU?
SAFARI YA WOKOVU NI SAFARI BINAFSI!
Yesu alikuwa na mitume 12 na halaiki ya wafuasi,Umati wa uhakika. Marafiki wengi lakini wakati wa msalaba na kifo WOTE WALIPOTEA, Petro wa kumkana YESU mara 3 kweli of all people ?, Wapendwa mpaka YESU mwenyewe anakubali show ya usaliti kwa kusema Ufalme wangu sio wa dunia hii, ingekuwa wa Dunia hii watu wangu wange-nipigania.
John 18:36
36 Jesus said, “My kingdom is not of this world. If it were, my servants would fight to prevent my arrest by the Jewish leaders.But now my kingdom is from another place.”
UJUE KABISA KAMA UTAAMUA KUOKOKA, SAFARI YAKO YA WOKOVU NI WEWE NA YESU NA BABA YAKE NA UFALME WAO WA MBINGUNI, SISI WATUMISHI NI ZAIDI YA PETRO!, TUNA HISTORIA HIO! PETRO NDIO MWAMBA NA NDIO ALIJENGA KANISA WHAT DO YOU EXPECT FROM US ?
On serious note, Safari ya wokovu ni safari binafsi ndio maana una-muhitaji Roho Mtakatifu kuliko chochote, Maana kwa duniani most-times utabakia na maswali mengi kuliko majibu.
Usitegemee sana kupata company, Support au watu wa kuku-unga mkono kwenye safari yako, Matokeo yakija watu ndio watakuja, lakini mwanzo watu wata kukataaa, watacheka, watakubeza na kukuvunja moyo.
Unavyosema upo tayari kumpa Yesu maisha yako, Maana yake uko tayari kujitwisha msalaba wako na kusulubiwa kama YESU ikibidi kulinda wokovu wako. Walio msulubu YESU ndio watakao kusulubisha wewe, YESU alisulubiwa kwa dhambi za wengine, Na wewe utasulubiwa kwa dhambi za wengine vile-vile THE QUESTION IS UPO TAYARI KUULINDA WOKOVU WAKO KWA GHARAMA YOTOTE?
SALVATION IS THE DECISION AND COMMITMENT TO FOLLOW CHRIST JESUS ALL YOUR LIFE! IT IS NEITHER A CHEAP COMMITMENT NOR AN EASY ONE, Kusema nimesha amua na ukafanya sala ya wokovu is the EASY part, the hard part ni kuweka UPWIRU wako where your commitment is kuweka your money where your commitment is, kuweka your entire life where your commitment is.
Yesu alilinda integrity yake na ya Mbinguni mpaka kifo chake, He never bent, Mijeledi bado anakomaa, MIMI NI MWANA WA MUNGU!, Taji la miba, kebehi, Matusi, fedheha ya kuzungushwa mji mzimambele ya wale wale alio-waponya na kuwasaidia muda huu wapo serious sana, TUFUNGULIE BARABA, MSULUBISHE, MSULUBISHE, YESU ALIKAZA MPAKA MWISHO LIWALO NA LIWE MIMI NDIE MWANA WA MUNGU, MFALME WA MAYAHUDI, IKO HIVYO, ISHINI NAVYO.
SASA WEWE KIDOGO TU MIAKA 38 WAKI-KUBEEP TU HILO AGE GO SHELA HALIJA ONJA, HAPO HAPO UNA PANICK HATARI UNA VURUGWA UNAANZA KU-QUESTION IMANI YAKO, UNA QUESTION UWEPO WA MUNGU NA UHUSIANO WAKO NA MUNGU KAMA YUPO. UNA SUSA IBADA, UNAMKASIRIKIA MUNGU, UNA-ACHA WOKOVU NA UNARUDIA NJIA ZAKO CHAFU ZA BOOTY CALLS.
MPENDWA UNASAHAU KWAMBA UMEMPA YESU MAISHA YAKO NA KUM-DECLARE KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO, KUOKOKA SAWA LAKINI KUSULUBIWA NA YESU MSALABANI KULINDA WOKOVU WAKO AAH!.
Mimi nimeona watu tangu 2022 hawa uki sababu wana Rudia patterns zile zile, Wamegoma kusulubiwa na YESU msalabani, Jesus took the cross like a pro! Kwa kuanzia Yesu alikuwa Mungu so kama ni kufedheheka yeye ndo yeye ndo angetakiwa kugoma! Mimi Mungu kabisa mna nifedhehesha kivipinyie binadamu? Lakini HE TOOK THE CROSS LIKE A PRO KUONESHA MISALABA MIDOGO-MIDOGO SIO SHIDA ZAKE, LESSON WELL LEARNT NA MITUME, AMBACHO NAO WAKACHUKUA MISALABA LIKE PROS.
NILICHO-KIONA KWENU MTU KUANZA IBADA SIO SHIDA! SHIDA NI KUKAZA NA KUJITWISHA MISALABA NA KUSULUBIKA KULINDA WOKOVU WAKE !MAJARIBU KIDOGO HAMNA MLOKOLE!
NIMEFANYA GROUP 2 ZA ABOVE THE 30 NA 35 NA SITAKAA NIJE NIFANYE TENA, WHY ? AGE IS NOTHING BUT A NUMBER, PAMOJA NA UMRI NA MASIMANGO WANAYOPITIA NA KILA KITU BADO WATU HAWAKUWA TAYARI KUBEBA MISALABA YAO KUKAZA KUSULUBIWA KWA MUDA ALAFU UVUKE KWA USHINDI YANI MNAANZA VIZURI LAKINI VITA ZIKIANZA KUIBUKA SI MNAKUWA MMETIBUA MAMBO MTU BADALA NDIO AKAE NA KUKOMAA NDO ANAKATA TAMAA KABISA, MTU ANAKWAMBIA NIMEOMBA MIAKA 10 NDO HII ANAOMBA NUSU VITA IKIIBUKA ANAKIMBILIA MAFUCHONI, KUSULUBIWA MSALABANI HAPANA KWA KWELI, IKIPOA ANARUDI, ANA CHOKOZA UPYA.
WATU WENGI WANANIFATA LAKINI HAWAPO SERIOUS, KUNA WATU 48 WALIKUJA 45 LAKINI VILE VILE BADO HAWAPO SERIOUS NA WOKOVU WAO WALA KUVUKA VIFUNGO VYAO, NAWAANGALIA TU.
MMOJA AKANIAMBIA MAMA UNA-DHARAU SANA NATOA SADAKA KWAKO HATA HUNITHAMINI, NIMEPOTEA HATA KUNITAFUTA, MJAMANI IWORK FOR A LIVING, NA KITU SITAKAA KUJA KUFANYA NI KUMDANGANYA MTU JUU YA HATMA YAKE KWA GHARAMA YOTOTE ILE, HIO SADAKA IS NOT WORTH ANOTHER LIE OVER YOUR LIFE, BORA NIKWAMBIE UKWELI NIFE NJAA.
WOKOVU UNA GHARAMA NA GHARAMA YAKE NDO MSALABA, MAMBO YA NEW IDENTITY IN CHRIST, TRANSFORMATION NA EMPOWERMENT NILIO WAAHIDI YATAKUJA KWELI LAKINI ENDAPO TU UTALIPA GHARAMA ZA KUSULUBIWA NA YESU KWENYE MAMBO KADHA WA KADHA KWENYE MAISHA YAKO KULINDA WOKOVU WAKO KWA GAHRAMA KUBWA.
WENGI WOKOVU WAO WANAISHIA KUMPOKEA YESU BASI, KUFA NAYE MSALABANI INAPOBIDI KULINDA WOWKOVU HAPANA NA MAISHA YAO YANAISHIA KUMPOKEA YASU ALAFU BASI, HAKUNA TRANSFORMATION WALA EMPOWERMENT YOTOTE WANAYOVUNA KWENYE MAISHA YAO HALISI!
KUFA NA YESU MSALABANI KIVIPI TENA?, YESU SI-AMESULUBIWA MIAKA 2000 ILIO PITA LAKINI?, Kufa na Yesu msalabani ni pale watu wanapotaka kuua part of you or sacrifice part of you unakubali for the sake ya kulinda your new found salvation na mahusiano yako na Mbingu na sio kujiokoa nafsi yako at the expense of your new found salvation.
Ni Kama watu wengi akiomba anakuja mwanaume unamkuta ni mzuri wa sura mpaka roho, Sio yeye anakutamani wewe, Wewe ndio umefika bei hujielewi na hujiwezi juu yake, Mchezo unaweza kuu-Omba wewe Kama Mbingu zisipo-ingilia kati, The minute mwanaume akisema SUUU, Wokovu tupa kule.
YESU utanisamehe SIJUI NILITENDALO AU SIO, AMEBANA AMEACHIA KWISHA KAZI, MBINGU ZINAONDOA USHARIKA NA WEWE KWENYE HILO PENZI, KIJANA ANAVYO BADILIKA HUTA AMINI MACHO YAKO KAMA NI YULE ULIE SACRIFICE WOKOVU JUU YAKE.
KUFA NA YESU MSALABANI NI PALE KIJANA UNAMPENDAAA LAKINI YESU UNA MPENDAAA ZAIDI MAHUSIANO YAKO NA KIJANA UNAYATAKA LAKINI MAHUSIANO YAKO NA MBINGU NDIO UNAYA TAKA ZAIDI, UPO BEGA KWA BEGA NA YESU MSALABANI KWENYE HILI, JESUS DID NOT DIE ON THE CROSS FOR YOU TO BE A FORNICATOR!
BINTI MLOKOLE UNATOA HUTOI? SITOii! BASI MIMI KAMA VIPI TUACHANE, MTU UNA MTOTO HUTOI KIVIPI SASA YANI? SITOI ADIOS AMIGO, TUACHANE, OFCOURSE PART OF YOU WILL DEFINATELY DIE LAKINI UNAKUFA KIUME, HUENDI MBELE ZA MUNGU KIJINGA JINGA KUJILIZA MA MIAKA YAKO 38, UNA MIAKA 15 YA KUPOTEZA CONSECUTIVELY NA UMEKUWA UNAENDA KULALAMIKA NA KUKUFURU MBELE ZA MUNGU,MWAKA WA 16 BADILISHA STRATEGY, LET PART OF YOU DIE ITS FOR A GOOD COURSE, TAKE ONE FOR THE KINGDOM!
PAMOJA NA KUACHWA OGA, FANYA IBADA LIKE NOTHING HAPPENED! CONSIDER IT THE PRICE FOR YOUR SALVATION, ILI YESU AONGEZEKE KWENYE MAISHA YANGU MIMI NATAKIWA KUPUNGUA, NDIO KAMA HIVYO KlPANDE CHA MOYO KIME PUNGUA NAKUHAKIKISHIA UKI-SURVIVE SCAD KUBWA KAMA HILO VIDOGO VIDOGO HAVIWEZI KUKUSHINDA WHAT DOESN’T KILL YOU WILL DEFINITELY MAKE YOU STRONGER.
MIMI NINA WATU WANGU WAMENICHAGUA NIWAONGOZE , NIKISIKA MAMA YULE KIJANA KAPOTEA, NAJUA TUUU! TAYARI, IT IS GOING TO BE VERY LONG YEAR KWANGU NA KWAKE! NAMWAMBIA JITIE MOYO MWANANGU GOLIGOTA SIO MBALI, USHINDI UPO KARIBU KULIKO UNAVYODHANIA, ANAKWMABIA MAMA ALUTA CONTINUA NA MIMI NAUONA USHINDI WAZI WAZI LAKINI NIKISIKA MAMA NIMEACHWA TENA CHOCHOCHO MAMA NATAKA ARUDI MIMI NIMEWAKOSEA NINI MBINGUNI, KWANINI KILA SIKU MIMI? MBONA WENGINE WAZINZI KUNILIKO WANA-OLEWA?
HAPO NAONA KABISA MWALIKAKIMBIA NA SHANGA ZA KUNGWI, KAZI IMENISHINDA NI MUDA WA KWENDA KULIMA VIAZI ULAYA, BIASHARA HAMNA, NI SWALA LA MUDA TU MLOKOLE ANAUTELEKEZA MSALABA NA WOKOVU ANAMKIMBIZA BWANA MSITU WA CONGO NA SHETANI YUPO KWENYE KONA, ANGUKO NALIONA WAZIWAZI, IMETOKA HIO IKIRUDI PANCHA! MAMA SIKUWA ONLINE TANGU JUNE 2023 NDO NARUDI ONLINE WEEK HII HAMNA HAYA WALA HAMJUI VIBAYA, NIMEKUJA TUANZE UPYAA.
KUFA MSALABANI NI PALE UNA AMBIWA ULALE NA MA BOSS UPATE KAZI, UNA KAZA YESU HAKUFA MSALABANI MIMI NIFANYE KAZI 2 KWA MSHAHARA MMOJA, MAANA UKILALA NA BOSS KUINGIA UJUE KUBAKIA KAZINI UTAENDELEA KULALA NAE, NDIO UTUMWA WA NGONO WENYEWE, KUNA MUDA ATAKWAMBIA LALA NA RAFIKI ZAKE SI UMEAMUA KUWA SEX-SLAVE ? ITA SLAVIKA HASWAA.
NILIKIMBIA KAZINI HUU UJINGA NIKAJUA KWENYE BIASHARA HAUPO, WEMBE NI ULE-ULE, NA HUKU SIO WEMBE NI FYEKEO, WANAUME KUKUSAIDIA LAZIMA WAGONGE TBS, KWA NANI? AND THIS SHIT NEVER ENDS, UOLEWE, UZAE, UWE MJANE, UTALIKIWE, UFIKE MIAKA 60 UTUMWA WA NGONO NA RUSHWA YA NGONO IKO PALE-PALE!
UNAKATAA, MWILI WANGU NI HEKALU LA ROHO MTAKATIFU! KAA HAPO UCHINE, NDIO NIMEANZA BIASHARA HAPO MTU MWANZO ANAKUJA MOTO ANATAKA KUKUSAIDIA! UKIMNYIMA, ANAANZA KUSHABIKIA UFELI, ASHAGEUKA ADUI YAKO TAYARI, UNAJIULIZA KWA KIFAA GANI CHA KUWATOA ROHO KIASI HICHO?
WENZAKO WANAO GAWA-GAWA HOVYO UNAONA HAO, WANAKUPITA, MARA CROWN, MARA APPARTMENT! MARA WAKO TAGGED INSTAGRAM, WANAKUSHAURI TUMIA KIFAA CHAKO KIKUSAIDE! KARIAKOO HII, UTAPAUKA, KISIPO KUSAIDIA KITUMBUA CHAKO KITAKUSADIA CHA NANI? , UNAKAZA ROHO YANI SIKUFANYA UMALAYA MAKAZINI HUKO KWA INTELLECTUALS NIJE KUFANYA UMALAYA KWA HAWA LAY MEN NA HELA ZAO ZA KAFARA NA UCHAWI?, YESU HAKUFA MSALABANI NIPIGWE MTUNGO HAPA KARIAKOO. UNAZIDI KUPAUKA, NDIO, UMECHINA, SAWAAA, HUNA NYOTA MASKINI NI KWELI, WEWE NAWE KWANI KINAISHA SI WANA-ONJA TU UTAZEEKA KABLA YA UMRI, WENYEWE TUME OKOKA KIMTINDO USIWE SERIOUS SANA NA MAISHA, JARIBU KU BALANCE, ACHA NIZEEKE.
HAKIISHI LAKINI MIMI KAMANDA WA YESU SIWEZI KUMUACHA YESU MSLABANI PEKE YAKE AKIPAMABANIA WOKOVU WANGU NIKAENDA KWENYE BOOTY CALLS, KULIKO NIKOSE WOKOVU BORA NIKOSE CROWN ATHLETE NA SUBARU, YESU AONGEZEKE MAISHANI MWANGU NA MIMI NIPUNGUE NA VIGIMBI NIOTE KWA KU-DOWNLOAD MILAGE.
BAADAYE SASA NEW IDENTITY IN CHRIST IMETOKA, MUNGU KAMA MUNGU ANAKUFANYIA TRANSFORMATION NYOTA YA JAA, INAWAKA SIO POA, GHAFLA SANA UPEPO WA BIASHARA UPO KWAKO, WALE-WALE WANAANZA KULALAMIKA MBONA SISI TUMEOKOKA HAMNA KITU, MNAVYO-TELEKEZA MISALABA NA KUIKIMBIA ?
KIPIMO CHA KWELI CHA WOKOVU NI JINSI UTAKAVO HANDLE VIPIGO NA VIFO VYA MSALABA VITAKAVO AMBATANA NA FEDHEHA, UCHUNGU, UPWEKE, MATESO NA MAUMIVU YA NAFSI NA KUFANIKIWA KUILINDA IMANI YAKO, KUKIRI WOKOVU WAKO NA KUTUNZA MAHUSIANO YAKO NA MBINGU.
MIMI NIMEOKOKA LAKINI SABABU NINA UMRI MKUBWA SIPENDI KWENDA KANISANI SABABU WATU WANA NINYIMA RAHA KWA KUNISENGENYA SIJAOLEWA NA SIJAZAA, NASHINDWA KUMTUMIKIA MUNGU SABABU YA Hii CONDITION YANGU, SASA MANENO TUUU NDO YA KUKUFANYA UKIMBIE MSALABA MCHANA KWEUPE, BADO HUJAOKOKA VIZURI MY WANGU! YANI KWAKO AKIWAZACHO BINADAMU JUU YAKO KINA NGUVU KULIKO AKIWAZACHO MUNGU JUU YAKO? HAUPO TAYARI MUNGU KUJITUKUZA KUPITIA WEWE, WEWE UPO MAFICHONI GHAFLA MUNGU AJE MAFICHONI KUJITUKUZA KUPITIA WEWE, WALE WA KANISANI WATA AMINI VIPI KAMA NI MUNGU?
UNATAKIWA UWEPO PALE KANISANI MSTARI WA MBELE UNAHUBIRI, UNAIMBA KWAYA AU UNA HUDUMU HIVYO HIVYO SINGLE BIBI,UNAWAMBWA MSALABANI KILA JIMAPILI NDIO MFANO TENA WA NDOA KUCHELEWA, HUMKAUKI PASTOR MDOMONI, NA WEWE NDIYO UNAKUFA NA KRISTO TENA MSLABANI TAG KILA JUMAPILI! UNATOKA KWAKO UNAJIANDAA KABISA KISAIKOLOJIA DEATH BY CRUCIFICATION CAN BE A POSIBILITY THIS SUNDAY, UNA PENDEZA KABISA FOR ANOTHE SHOW DOWN, AMBAO HAWAJAOLEWA WAJE MBELE, SEXY BIBI KAMA KAJALA UNAENDA TEKE TEKE.
SIKU MUNGU AKIJITUKUZA KUPITIA WEWE MTU KATOKA ULAYA KALIPA MAHARI NDO UANENDA NAYE KUISHI HUKO KILA MTU KANISANIANAKUBALI GLORY TO THE AL-MIGHTY GOD, MSULUBISHO WAMEUONA NA WAMERIDHIKA NA KILA MTU ATAKUBALI KWAKO TU JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.
PART 5
UFUFUO WA YESU
Mathayo 28:6
Hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. Njooni mkaone mahali alipokuwa amelala.
WAPENDWA KUJUA KUHUSU UFUFUO NA KUAMINI KUHUSU UFUFUO NI MAMBO MAWILI (2) TOFAUTI, WENGI KUJUA MNAJUA KWAMBA YESU ALIFUFUKA NA UFUFUO UPO LAKINI KUAMINI KUHUSU UFUFUO WENGI SIO KIVILE, NDIYO MAANA VITU VIKIFA MNALIA KWA UCHUNGU SANA MAANA MNACHOAMINI ULE NI MWISHO WA KILA KITU.
NA BASIS YA WOKOVU IPO KWENYE UFUFUO, AS LONG AS HUAMINI KWENYE UFUFUO SUALA LA WOKOVU KWAKO LITASHINDIKANA, VERY UNFORTUNATELY.
Warumi 10:9
Kwa sababu,ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
Wapendwa kukubali kufa sio rahisi endapo huna uhakika wa KUFUFUKA NA HAPA NDIPO WOKOVU UNAKUWA MGUMU KWELI-KWELI!
WAPENDWA PAMOJA NA YESU KUSISITIZA KWAMBA ATAKUFA NA KUFUFUKA MARA NYINGI BADO MSIBA WAKE ULIKUWA MZITO SANA KWA MITUME WAKE, MPAKA YUDA AKAJINYONGA , NAHISI SIKU 3 KWAO ZILIKUWA KARNE SABA (7), YAMKINI WAKAJIPA MOYO KAMA ALISEMA KUFA NA KAFA BASI KUFUFUKA ATAFUFUKA.
Yohana 11:25-26
25 Yesu akamwambia, “Mimi ndiye ufufuo na uzima; mtu akiniamini mimi, hata akifa ataishi; 26 na yeyote anayeishi akiwa anani-amini hatakufa kamwe. Je, unaamini haya?”
HUU MSTARI BAADA YA KIFO CHA YESU WAS NO LONGER MSTARING KWA MITUME.
Mathayo 20:17-19
Yesu alipokuwa anakwenda juu Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili (12) faraghani, na njiani akawaambia, “Sikilizeni, Tunakwenda Yerusalemu, na huko Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na waalimu wa sheria, nao wata-mhukumu auawe; Watamkabidhikwa watu wa mataifa mengine ili adhihakiwe, apigwe viboko na kusulubiwa;lakini siku ya tatu atafufuliwa
Mpednwa Bwana Yesu aliwaandaa kisaikolojia mitume na wanafunzi wake lakini HAIKUSAIDIA kitu, Uchungu ulikuwa mzito sana hofu ili-taradadi, Panic yao ilikuwa EPIC, HIVYO KUJUA WALIKUWA WANAJUA KWAMBA UFUFUO UTAKUWEPO LAKINI KUAMINI KWAMBA UFUFUO UTAKUWEPO NA ATAFUFUKA KWELI ILIKUWA NGUMU SANA, NDIYO MAANA WANAFUNZI NA MITUME ZILE SIKU TATU (3) ALIZOKUWA KABURINI WALIPOTEANA NA HAWAKUFANYA LOLOTE LA MAANA, NA WEWE UNAWEZA KUJUA UFUFUO UPO NA YESU ALIFUFUKA KIMTINDO LAKINI USIPO AMINI KWAMBA ALIFUFUKA KWELI HAITAKUSAIDIA KITU KWENYE SAFARI YAKO YA WOKOVU.
MPENDWA WANAFUNZI BAADA YA KUJIRIDHISHA MWANA WA MUNGU, TICHA KAMA TICHA AMEKAA KABIRINI SIKU TATU (3) NA KATUSUA KWELI NA YUPO HAI!, YUPO LIVE DUNIANI, BASI KUANZIA HAPO IMANI YAO ILIKUWA UN-SHAKABLE, HAWAKURUDI TENA NYUMA KIIMANI, MAANA WALIAMINI YESU AMBAYE NI BWANA WAO WANAEMJUA MUNGU ALIMFUFUA TOKA WAFU, HAKUNA KILICHO WABAISHA! HAKUNA!, KUANZIA HAPO WAKAWA WAMESHAFANYA MAAMUZI YA KUPOKEA SALVATION.
YESU ANAWA-BOOST TU KWA KUWAONGEZEA NGUVU TOKA KWA ROHO MTAKATI FU ILI SASA WAKA-KAMILISHE KAZI ALIYO-IANZA YA KUTANGAZA WOKOVU KWA MALAIKA.
Ukija kusoma Matendo ya Mitume Utashangaa watu wale wale HAWAOGOPI yani HAWAOGOPI chochote wala yoyote, Herode anachinja mmoja leo, kesho wengine wanatoka kama hamna kilichotokea! DEATH NO LONGER FRIGHTENED THEM, NOT FOR ONE (1) SECOND.
Matendo 7:54-60
Wale wazee wa Baraza waliposikia hayo,- walighadhibika sana, wakamsagia meno kwa hasira. Lakini Stefano akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akatazama juu mbinguni, akauona utukufu wa Mungu na Yesu amekaa upande wa kulia wa Mungu. Akasema, “Tazameni!, Ninaona mbingu zimefunuliwa na Mwana wa Mtu amesimama upande wa kulia wa Mungu.” Hapo, watu wote katika kile kikao cha Baraza, wakapiga kelele na kuziba masikio yao kwa mikono yao. Kisha wakamrukia wote kwa pamoja,wakamtoa nje ya mji, wakampiga mawe.Wale mashahidi wakayaweka makoti yao chini ya ulinzi wa kijana mmoja jinalake Saulo. Waliendelea kumpiga Stefano kwa mawe huku akiwa anasali: “Bwana Yesu, ipokee roho yangu!” Akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa: “Bwana, usiwalaumu kwa sababu ya dhambi hii.” Baada ya kusema hivyo, akafa.
WEWE MTU WANAMPIGA MAWE DOUBLE DOUBLE KUHUSU HUYO HUYO YESU HABABAIKI WALA HASHTUKI NDIYO KWANZA ANASALI KWA HUYO HUYO YESU, KIFO SIO SHIDA ZAKE.
Matendo 12:1-2
Karibu wakati huohuo, Mfalme Herode alianza kuwatesa baadhi ya Wakristo. Alimuua kwa upanga Yakobo, ndugu yake Yohane.
Wapendwa Huyu Yakobo alikuwa miongoni mwa Mitume 12, Herode kamfyeka na Panga, Lakini Kina Petro Wembe ni ule-ule wa kuitangaza injili!
HAWA WATU WALIO-POTEANA SIKU YESU AMETANGAZWA KUFA KWA KUSULUBIWA HOW LIKE HOW DID THEY GRADUATE TO THIS LEVEL OF UN-STOPPABLE?
MPENDWA WALITHIBITISHA KWAMBA YESU AMEFUFUKA TOKA WAFU NA TANGU HAPO WAKA-OKOKA NA KUWA UN-STOPPABLE, NAJUA UNAJIULIZA YESU SI MUNGU JAMANI LIKE A WHOLE SON OF GOD TO BE PRECISE SO KUFUFUKA KWAKE NI EASY PEASY SASA MIMI BINADAMU NAINGIAJE HAPO KWENYE KUAMINI UFUFUO WA YESU NA KUWA SAVED ?
GOOD QUESTION, TUNARUDI PALE- PALE MIAKA 2000 NYUMA YESU ALIKUJA KUWEKA MFUMO WA WOKOVU, GOD WANTED TO PROVE SOME POINTS, GOD WANTED TO SET THE RECORD STRAIGHT ON SOME MISS-CONCEPTIONS, GOD WANTED TO ESTABLISH A NEW COVENANT WITH PEOPLE.
Kama umeanza Mwanzo wa hii series nime-elezea kwanini YESU alizaliwa kama MTU!. Mpednwa Yesu hakuwa binadamu wa kwanza KUFUFUKA, Not long ago Lazaro alisha-fufuka kwa kufufuliwa na YESU, Agano la kale Elijah alimfufua mtoto wa yule Mjane wa Serepta, Elisha alimfufua mtoto wa mwanamke Mshunami, Elisha anafanya ufufuo mwingine BABA LAO huo Kai’s one mwenyewe ufaidi.
2 Wafalme 13:20-21!; YESU pia anamfufua mtoto wa mjane toka Nain, Anamfufua Binti Jairo! na YESU hakuwa wa mwisho kufufua watu pia Petro anamfufua Dorcas/ Tabitha na Paul anamfufua Eutychus!
TOFAUTI YA WOTE HAWA YESU ANAFUFUKA NA KUPAA MBINGUNI EVENTUALY WAKATI WALE WENGINE WANAFUFUKA NA KUFA TENA WAKATI MWINGINE!
Yohana 20:16-18
16 Yesu akamwita,”Mar iamu.” Ndipo Mariamu akamgeukia Yesu,akamwambia kwa Kiebrania,”Rabboni!’17 Yesu akamwambia,”Usin ishike kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba.Lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninakwenda kwa Baba yangu na Baba yenu,kwa Mungu wangu na Mungu wenu.” 18 Kwa hiyo Mariamu Magdalena akaenda akawakuta wanafunzi akawaambia,”Nimemwona Bwana!”
Matendo Ya Mitume 1:9-11
9 Baada ya kusema haya,wakiwa wanatazama,alichukuliwa juu, na wingu likamficha wasimwone tena. 10 Walikuwa bado wakikaza macho yao mawinguni alipokuwa akienda, ndipo ghafla, wanaume wawili waliovaa mavazi meupe walisimama karibu nao,11. Wakasema, “Ninyi watu wa Galilaya, mbona mnasimama hapa mkitazama mbinguni? Yesu huyu huyu aliyechukuliwa mbinguni atarudi tena kama mlivyomwona akienda mbinguni.”
Romans 10:9
9 that if you confess with your mouth the Lord Jesus and believe in your heart that God has raised Him from the dead, you willbe saved.
Zingatia BELIEVE IN YOUR HEART, Kusoma huu mstari nikuufahamu tu na kuujua, SIO KUAMINI! Nawajua wabishi hatari, Mtakuwa NAAMINI kweli Mtumishi Yesu alifufuka toka Wafu, mie wa kubishana na maandiko? Watu tu si-bishani nao yatakuwa maandiko?
KUAMINI MUNGU ALIMFUFUA YESU TOKA WAFU SIO SWALA LA JUU-JUU TU NA POLITICAL, NI SUALA LA KIROHO NA LINA DIMENSIONS PANA SANA NA UKIWEZA KUMUAMINI MUNGU KWENYE HILI HAMNA UTAKAPO KWAMA KUAMINI KWENYE WOKOVU WAKO, UFUFUO NI PURELY SPIRITUAL RELIM NA MUDA WOTE UKIPATA KU-OPERATE KWENYE HII DIMENSION YOU MUST BE CAPABLE IN SPIRITUAL RELIM I ILI IWE HALISI KWENYE FLESH RELIM KUAMINI KWAMBA MUNGU ALIMFUFUA YESU TOKA WAFU KUNAENDA NA KUAMINI MAMBO KADHAA KAMA IFUATAVYO:
1.BWANA YESU ALIISHINDA MAUTI NA KWA KUPITIA YEYE AMEWEKA MFUMO WA KUSHINDA MAUTI ZA AINA ZOTE;
Mauti siyo lazima wewe ndiyo ufe mazima, Bora ukifa mazima uta-rest in eternal peace, Upo hai na MAENEO KARIBIA YOTE YA MAISHA YAKO YAMEKUFA! Mahusiano yamekufa, Uchumi umekufaaa! Afya imekufaaa, Ndiyo unakuta mgonjwa anasema nicheni nikapumzike, Kuishi ni msalaba kuliko kufa
Wapendwa Ukiamini Mungu alimfufua YESU toka Wafu utakuwa mwepesi Mungu kukufua kutoka Usimbe, kutoka umaskini, kutoka Afya mgogoro na kutoka eneo lolote utakalo-ona limekufa kufa na Kama nilivyowaambia kwenye wokovu Death by Crucification is part of the journey!.
ILI KULINDA WOKOVU WAKO YOU MUST BE READY TO DIE NOT ONCE NOT TWICE, AS MANY TIMES AS NECESSARY, SASA KAMA HUAMINI KWENYE NGUVU NA UHAKIKA WA MUNGU KUKUFUFUA TENA HILO ENEO HUTOKUBALI KUFA AU NDIYO UTAKUWA UNAKUFA KIUME KUKU-UA IFANYIKE KAZI PEVU.
WAPENDWA KUNA MUDA UNA MAHUSIANO YAKO YA MIAKA MITANO (5) UNAMPENDA MWENZIO LAKINI NDO ZINAA IMEWATAWALA, MUNGU ANAKWAMBIA ACHANA NA HAYO MAHUSIANO! WE! KAMA HUNA UHAKIKA WA MUNGU KUKUPA MENGINE HUWEZI KUYAACHA, KUNA MUDA HATA NDOA ZINAGEUKA HQ YA SHETANI.
YAANI MUME ANATAKA MPALANGE, HUWEZI KUJIBALAGUZA HII NDOA TAKATIFU SIWEZI KUONDOKA UTULIE UTATULIWE MARINDA?; MPENDWA ILIKUWA TAKATIFU IMEGEUKA CHAKA LA SHETANI, SO UNATAKIWA KUCHAGUA UNALINDA WOKOVU OR YOU GO TO HELL WITH YOUR HUSBAND, HAPO ANAKUAHIDI GARI NA MAVITU MAZURI MAZURI.
EITHER WAY UKIMTII MUNGU PART OF YOU WILL DIE, UKIMTII SHETANI PART OF YOU WILL DIE ALSO! TOFAUTI NI MUNGU ATAKUFUFUA UPYA HILO ENEO NA SHETANI MWISHO NI UHARIBIFU
MPENDWA ONCE YOU ARE SURE OF RESSURACTION ALL FEAR OF DEATH IS GONE AND DEATH BECOMES AN EASY GAME! KAMA UNA UHAKIKA WA UFUFUO HUWAZI MARA MIWILI (2) KUFA ENEO LOLOTE NI CHAP KWA HARAKA, MTU ALIYE OKOKA HABABAIKI NA KAZI KUISHA, MKATABA KUISHA, BIASHARA KUFA KWA YEYE KULINDA IMANI YAKE, ANA UHAKIKA ATAPATA ZAIDI YA KILICHO KUFA.
LAKINI WEWE AMBAYE HUJAOKOKA KULINDA HIO KAZI UTALALA NA MA BOSS WOTE,WAGANGA WA 3, MA CHAWA WA MABOTA PAMBANIA HIYO KAZI MPAKA IKUUE NA MWISHO UNAFUKUZWA NA UNA BAKI UNAWAZA NINI SIKUFANYA? MBONA DHAMBI ZOTE NILIMALIZA?
KAMA HUNA UHAKIKA WA UFUFUO HUWEZI KUKUBALI KUFA KIZEMBE, UKIAMBIWA MSHAHARA MZIMA TOKA SADAKA, HUTOI UNAONA NI EXTORTION, KUTOA ZAKA KUBWA UNAONA SI NITAKUFA NJAA, Hll LAKI 3 INAGAWANYI KA VIPI KWA MFANO MPAKA ITOKE 30,000 KAVU?
HESABU ZA ZAKA SIO ZA DUNIA HII, MIMI WAKATI SITOI ZAKA HATA KULA NIKASHIBA ILIKUWA KAZI, LEDGER ZA MAHESABU NAANDIKA MATUMIZI YOTE NA BADO NAKOPA, TANGU NIANZE KUJILIPUA NIKIKOPA NIMEAMUA TU KU EXPAND SIO NIMEPUNGUKIWA CHAKULA NA MATUMIZI MUHIMU, NATOA PESA NYINGI NAWAPA WATU AMBAO WANA PESA NYINGI NA SIJALIWALA NINI NA SIWAZI MARA MBILI (2) KAMA INGEKUWA UTAPELI NINGEKUFA NJAA NA NILIKUWA TAYARI KUFA NJAA ILA NITIMIZE AGANO NA MUNGU, NJAA WANASHINDA NAYO KINA MANGE KUPATA KI-BODY NDO INIZUIE KUKUA KIROHO THUBUTU, NA TANGU HAPO SIJAWAHI KUBABAIKA NA SIJAWAHI KURUDI NYUMA, MUNGU ANA NIBARIKI MWAKA HADI MWAKA, NAINULIWA UTUKUFU MPAKA UTUKUFU!
PART 5 B
UFUFUO WA YESU
2.UFUFUO UNATHIBITISHA YESU NI MUNGU!
Mpendwa kwenye maisha yako ya wokovu several times vitatokea vitu vita kufanya kama huna msingi mzuri ubakie una wonder IS CHRIST REALLY GOD?, Sasa kama mweupe wa haya maandiko ya KUFUFUKA na KUPAA JUU na Malaika kuwauliza Watu wa Galilaya kilichowasibu mpaka wanazikodolea Mbingu na kutumbua mimacho yao, Itakuwa ngumu kwako kuamini YESU ni MUNGU.
Warumi 1:1-4
1.Kutoka kwa Paulo, Mtumwa wa Yesu Kristo na mtume niliyechaguliwa na kuitwa kuhubiri habari njema ya Mungu. 2. Habari hii ali-ahidi tangu zamani kwa njia ya manabii wake katika, Maandiko matakatifu. 3. Habari hii njema ni kuhusu Mwana wa Mungu ambaye kimwili alizaliwa katika ukoo wa Daudi. 4 Na ambaye alidhihirishwa kuwa Mwana wa Mungu kwa uwezo wa Roho wa utakatifu kwa kufufuliwa kutoka kwa wafu.Yeye ndiye Yesu Kristo Bwana wetu.
Unaweza kuwaza okay, MAYBE JESUS IS REALLY GOD!, SO ? INANIHUSU KIVIPI SASA ?
If Jesus is God means he has Goldly powers, He is seated in the right hand of God! HE CAN HELP YOU! Sababu katika mafunzo yake alisisitiza sanaaa swala8 la kutusogeza kwa Baba, Kutupa supernatural access to God because he is his son! Ni kama kumiliki mpambe Mbinguni!. If Jesus was not proven God manake YOTE aliyo-fundisha na kusema yangekuwa tantalilaa, Kama ASINGE FUFUKA NA KUPAA MBINGUNI MKEKA WOTE WA INJILI UNGECHANIKA.
So kwa KUFUFUKA NA KUPAA MBINGUNI kwake inakupa confidence ya kutumia maandiko ya injili kwa kujiaminina kuamuamini alie-andikwa kwa ukubwa, MAANA ALIYENUKULIWA NI RELIABLE NA CREDIBLE, MAANA KABLA HAJAPAA MBINGUNI WATU WALI KUWA NA MASHAKA KAMA KATOKA MBINGUNI KWELI AU MIPANGO? WALIVOONA KARUDI MBINGUNI KWELI KWA BABA YAKE UTATA ALIUMALIZA, UKISOMA MAANDIKO YAKE HASA KATIKA INJILI YA YOHANA YATA MAKE MORE SENSE UKUJUA ALIE NUKULIWA ALIPAAA MBINGUNI NA AME CHILL KUUME KWA BABA YAKE
3 UFUFUO WA YESU UNA THIBITISHA MAMLAKA ALIO NAVO YESU!
Yesu alisema ana mamlaka mengi lakini mamlaka zilizokuwa controversial ni mamlaka za juu kusamehe dhambi na Mamlaka juu ya kifo na ufufuo, UKISOMA, 1WAKORINTO15; MTUME PAUL AMEMALIZA KILA KITU KWA KINA!
4 TUKIWA NDANI YA KRISTO TUNAHAKIKISHIWA USHINDI
Yohane 14:1-6
Yesu aliwaambia,”Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia. Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi;kama isingekuwa hivyo,ningalikwisha waambieni. Sasa nakwenda kuwatayarishieni nafasi. Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu,ili nanyi muwe pale nilipo mimi. Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.” Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda,tutawezaje basi,kuijua hiyo njia?” Yesu akamjibu,”Mimi ni njia,na ukweli na uhai. Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu.
1 Wakorintho 15:21-22
21 Kwa maana kama vile kifo kilivyokuja kwa njia ya mtu mmoja, vivyo hivyo, ufufuo wa wafu umekuja kwa njia ya mtu mmoja. 22 Kwa kuwa katika Adamu watu wote hufa, vivyo hivyo katika Kristo wote wata fanywa kuwa hai.
Warumi 8:11
11Na ikiwa Roho wa Mungu ambaye alimfufua Yesu kutoka kwa wafu anaishi ndani yenu, Mungu aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataipatia uzima miiliyenu ambayo hufa, kwa njia ya huyo Roho wake ambaye anaishi ndani yenu.
BAADA YA KUFUFUKA YESU ANA WAAHIDI WANAFUNZI WAKE UJIO WA ROHO MTAKATIFU! AMBAYE ATAKUWA MSAIDIZI WAO. SASA WATU WENGI WAMEKUWA WANA JARIBU KUPATA ENCOUNTER NA ROHO MTAKATIFU BILA KWANZA KUKIRI WOKOVU WAO NA IMEKUWA NGUMU!
ROHO MTAKATIFU ANAKUJA KUKAMILISHA MAMBO ALIO ANZISHA YESU, SASA KAMA HUJAMPOKEA YESU AMBAYE NDIO MWANZILISHI KUMPOKEA ROHO MTAKATIFU KWENYE MAISHA YAKO NI KIPENGELE UTAMU-ACCESS NA ATAKUHUDUMIA KUTOKA PORTAL YA MTU MWINGINE!, KAMA MTUMISHI AKIKUWEKEA MKONO UTAPATA IMPERTATIONS NA UTAKUWA UNDER THE INFLUENCE KWA MUDA ULE AMBAO YULE MTU ANA MINISTER THROUGH THE HOLYSPIRIT! AKIACHA BASI, ENCOUNTER ZAKO ZINAKUWA VERY LIMITED!
WATU WENGI WANAO SHUKIWA SOLO WASHA-OKOKA ZAMANI YAMKINI WAMESAHAU AU WALIKUWA DORMANT TU LAKINI WASHAKIRI WOKOVU, KUKIRI WOKOVU KWA KINYWA CHAKO MAANA YAKE NI KUMKARIBISHA YESU KWENYE MAISHA YAKO NA KUMPA YESU MAISHA YAKO MAANA YAKE UTAISHI KAMA ALIVYO ELEKEZA YESU KWENYE MAFUNDISHO YAKE YA INJILI NA WALIVYOFUNDISHA MITUME WAKE.WAPENDWA NILIWAAMBIA KUHUSU KUWA SAVED BELIEVER NA TRANSFORMED BELIVER NI MAMBO MA 2 TOFAUTI AMBAPO KUWA-SAVED MANAKE UTAMPOKEA YESU, NA TRANSFORMATION ITALAZIMU UPATE ACCESS YA HOLY SPIRIT!
MPENDWA SASA HAYA MAMBO HUWEZI KUFOJI WALA KUFOSI KINGI, KWA SABABU BILA KUPOKEA SALVATION NA KUMPA YESU MAISHA YAKO WHAT BUSINESS DO YOU HAVE WITH THE HOLY SPIRIT? NA BILA HOLLY SPIRIT UKRISTO WAKO UTAKUWA VERY LIMITED! UTAKUWA MTUMWA WA KUPATA MAJIBU KWA WENGINE.
KUNA MAMBO GENERAL YAMEANDIKWA NA KUNA MAMBO YAKO UNAHITAJI MAJIBU KWA MUNGU NA HATA KAMA YAMEANDI KWA VITABU 73 MCHEZO USEME USHIKE VYOTE
BILA ROHO MTAKATIFU MAISHA YA WOKOVU NI MAGUMU SANA, UTABAKIA NA MASWALI MENGI BILA MAJIBU, UTAKUWA FRUSTRATED!
NITA POST SALA YA WOKOVU KAMA UTAAMUA KUMPA YESU MAISHA YAKO LEO AU SIKU YOYOTE UKIAMKA VIZURI!
WAPENDWA NA ISSUE SIO SALA NI GENERAL KNOWLEDGE YA NINI UNAFANYA NA KWANINI NA IMEANDIKWA WAPI? SIO KUPELEKWA PELEKWA TU! NIME-KUPELEKA MDOGO MDOGO MPAKA TUMEFIKA HAPA.
NAKUKUMBUSHA USIPO-POKEA SALVATION SAHAU KUHUSU TRANSFORMATION NA EMPOWERMENT!
USIKURUPUKE KUPITA NA SALA YA WAOKOVU BILA KUWA NA MSINGI WA WOKOVU, TAKE YOUR TIME KUSOMA HII TOPIC YA SALVATION MDOGO MDOGO, UKIWA NA SWALI NIULIZE, UKIWA HUJAELEWA MAHALI ULIZA WEKA MSINGI MZITO.
TAKE YOUR TIME KUWAZA KAMA UKIMPA YESU MAISHA YAKO UTAKUWA SERIOUS? WILL YOU LIVE TO KEEP YOUR WORD? KAMA BADO HAUPO TAYARI TAKE YOUR TIME, MPAKA UPATE AMANI.
UKIWA MWEPESI WA MAAMUZI THE SOONER YOU GIVE YOUR LIFE TO CHRIST THE BETTER! THE SOONER YOU COMPLETE SALVATION THE EALIER YOU WILL ACHIEVE TRANSFORM.
FINAL PART
SALA YA WOKOVU/ KUMPA YESU MAISHA YAKO
Pray this aloud: ”Lord Jesus, I repent of my sins and surrender my-life.Wash me clean. I believe that Jesus Christ is the Son of God.That he died on the cross for my sins and rose again on the third day for my Victory,Ibelieve that in my heart and make confession with my mouth, that Jesus is my Savior and Lord.I receive eternal-life In Jesus name, Amen.”
TAMKA KWA SAUTI: BWANA YESU NINA UNGAMA NA KUTUBU DHAMBIZANGU ZOTE LEO Hiii NA KUKUPA MAISHA YANGU KUANZIA SASA, NIOSHE NA KUNITAKASA NA UOVU WANGU, NAKIRI KWA KINYWA CHANGU KWAMBA YESU KRISTO NI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI , AMBAYE ALIKUFA MSALABANI KWA AJILI YA DHAMBI ZANGU NA KUFUFUKA SIKU YA 3 KWA AJ ILIYA USHINDI WETU. NAAMINI HILO MOYONI MWANGU NA KUKIRI HILO KWA KINYWA CHANGU KWAMBA YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU KUANZIA SASA, NAPOKEA UZIMA WA MILELE KUPITIA VEVE KUANZIA SASA KWA JINA LA YESU! AMEN!