Divine Intervention for 30 and above people
14 DAYS SPECIAL PROGRAM – PRAYER & FASTING FOR MARITAL BREAKTHROUGH
Naelewa marital delay is frustrating, umefanya almost everything, umehama mtumishi kwa mtumishi, kanisa kwakanisa yote ni katika kumtafuta Mungu zaidi katika Hilo eneo. Ni maombi yangu kwa Mungu safari hii Mungu ajifunue kwakokatika Hilo eneo la mahusiano Na ndoa. Maana iko yanasemaukiutafuta uso wangu kwa bidiii utauona. Mungu akayaoneshemahusiano yako uso wale in the mighty name of Jesus.
Nilipromise simple and light program. Lakini Roho Mtakatifuameniongoza inabidi KUFUNGA! Siku 14
Leo na kesho tutaweka tu misingi
SILAHA ANAZOTUMIA SHETANI KUKUFELISHA KWENYE HII SAFARI
Sara alikuwa hana mtoto mpaka uzeeni, anapoambiwaatapata mtoto mwanzo Anaona Yale yale tu. Lakini anajuaMungu ni muaminifu, anfanya maamuzi Magumu ya kumuamini na Mungu anamfanyia kicheko. Na weweukimuamini Mungu ukafanya maamuzi magumu hakikaMungu atakufanyia kicheko Na watakao sikia watachekaNa wewe.
SILAHA 3 ZA KIROHO KUKUWEZESHA KUMALIZA PROGRAM
Mwanzo 18:14 Je, kuna jambo lolote lisilowezekana kwaMwenyezi-Mungu? Nitakurudia wakati uliopangwa, wakatikama huu mwakani, na Sara atakuwa na mtoto wa kiume.”
Linalokushumbua kichwa wewe kwa Mungu ni dogomnoooo
3. Mungu anakuwazia mambo mema Sanaa. Na anatakauolewe na kuwa na familia yako.
Yeremia 29:11 Maana nayajua mawazo ninayowawazianinyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si yamabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za baadaye.Lolote linalokuja akilini kwako kwamba Mungu hakutakiiimema ni Shetty tu huyo. Mkemeee hivo vitu vi 3 vipenyeze kwenye akili yako vikae na kutulia
SABABU KUBWA KWANINI NYUMA HUKUPATA MATOKEO
Methali 3:5-8 Mtumaini Mwenyezi-Mungu kwa moyo wakowote, wala usitegemee akili zako mwenyewe. UmtambueMungu katika kila ufanyalo, naye atazinyosha njia zako. Usijione wewe mwenyewe kuwa mwenye hekima; mche Mwenyezi-Mungu na kujiepusha na uovu. Hiyo itakuwa dawamwilini mwako, na kiburudisho mifupani mwako.
Proverbs 3:5-8
5 Trust in the Lord with all your heart and lean not on your own understanding.
6 in all your ways submit to him, and he will make your paths straight.
7 Do not be wise in your own eyes, fear the Lord and shun evil.
8 This will bring health to your body and nourishment to your bones.
MUAMINI MUNGU KWA MOYO WAKO WOTEEEEEE WALA USITEGEMEE AKILI ZAKO MWENYEWE
HAPAAAAA HAPAAAA NDO BALAAA LILIPO MPO 50/50 HUKU UNAOMBA MUNGU HUKU UNAJIPAMBANIA MWENYEWE UMTAMBUE MUNGU KATIKA KILA UFANYALO NAE ATAZINYOOSHA NJIA ZAKO KUBALI KWAMBA MPAKA UMRI HUO KAMA NJIA ZAKO UNETUMIA ZA KILA AINA NA MATOKEO UNAYAJUA. THIS TIME MTUMAINI MUNGU PEKEEE KWA HABARI YA NDOA YAKO! MUACHIE PENI SIO KILA MDA UNAPORA PENI UNATAKA KUFANYA AKILI ZAKO ZINAVOKUTUMA USICHOSHE AKILI YAKO KUJARIBU KUELEWA COMPLEX ISSUES KWAMBA KWANINI HUJAOLEWA NA UMEOKOKA, HUNA MAHUSIANO ZAIDI YA MIAKA MI 5 NA BADO NDOMA NGUMU, UMEMALIZA WACHUNGAJI ETC! USITEGEMEEE AKILI NA UELEWA WAKO! WEWE MTAMBUE MUNGU KWAMBA ANAWEZA KUFANYA MABADILIKO YA HIO SAFARI
LEO TUNAISHIA HAPA! UTAFAKARI HUO MSINGI
Kesho ndo tunaanza kufunga. Kufunga ni muhimu maanaunapokea majibu haraka Zaidi. Usipofunga utapata majibu ilaitachukua mda. Ukifunga unakuwa focused! Hata majaribuyanapungua. Si mnamjua shetty! Ukijifanya unakula na kuombaataleta nyege hujawahi jisikia. Utazini siku 8! Na mchezoutaishia hapo. Shetty sio wa kumu underestimate. Ukifungahuwezi hisi nyege zozote hata ukutane Na Romeo. Pia utaepukadhambi nyingi nyingi na kufanya mfungo wako uwe strong.
Fomart itakuwa Sala 3 kwa siku.
Program Ita-deal na maombi yafutayo
MUNGU ANATAKA AKUPE MUME WAKO, AKUPE NYUMBA YAKO NA FAMILIA YAKO HIZI WEEK 2 BUT UNAHITAJI KUMUHAKIKISHIA UPO TAYARI KAMILI GADO! KWA KUONESHA JUHUDI YAKO YA KUMCHAGUA MUNGU DHIDI YA MADHABAU ZA UKOO NA FAMILIA (UNAVOZIPELEKEA MOTO BAADA MUDA WOTE HUU MANAKE UNAFANYA CHOICE YA KUSIMAMA NA MUNGU) UNAMUONESHA MUNGU YOU ARE WORTHY AND READY FOR BLESSING! MUNGU AKIZIONA JUHUDI ZAKO! MAMBO YANAFUNGUKA MPAKA WATU WATASHANGAA MBONA GHAFLA HIVO! HAWATAJUA UMEENDA KUZIMU KUPORA FUNGUO NA KURUDI
ANZA TOBA LEO NA ZABURI YA 51
SAA 6 USIKU TUNAANZA MAOMBI YA DAY 1
Kabla ya kuanza jambo moja ni muhimu sanaaa uelewe
Ndoa inatoka kwa Mungu na kwa juhudi zako, wala si kwanguvu zako, Wala manuva manuva.
Mithali 19:14 Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwababaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.
Mungu ndo humpa mtu mke. So Mungu ndo atakupeleka kwamume wako
Unaweza shangaaa mbona umepambania kombe mpaka basi, umepambanaaa kweli kweli. Lakini bila bila. Wengine mpakammejaribu kuoa bila mafanikio. Unamuhudumia kijana kilakitu, unampa mpaka unakuwa mjinga lakini bado hataki kukuoa. Game plan yako ilikuwa wrong. Na mkakati wako haukuwamadhubuti.
Principle ndo hio MKE MWEMA ANATOKA KWA MUNGU – ALL YOU NEED TO DO NI KUMSHAWISHI MUNGU WEWE NI MKE MWEMA ATAKUPELEKA KWA MUMEO
Methali 3:5-8 Mtumaini Mwenyezi-Mungu kwa moyo wakowote, wala usitegemee akili zako mwenyewe. UmtambueMungu katika kila ufanyalo, naye atazinyosha njia zako. Usijione wewe mwenyewe kuwa mwenye hekima; mcheMwenyezi-Mungu na kujiepusha na uovu. Hiyo itakuwa dawamwilini mwako, na kiburudisho mifupani mwako.
MAOMBI YATAKUSAIDIA NINI KWENYE SUALA ZIMA LA KUFIKIA NDOA??
Maombi ya usiku yana pande 2, Masomo na maombi pitia haya maandiko yanayokuhakikishia ni mpango wa Mungu uolewe.
Mwanzo 1:27-28
Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfanowake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke. Mungu akawabarikina kuwaambia, “Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi nakuimiliki; muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”
Tangu mwanzo Mungu alipanga kila mwanamke aoleweaijaze dunia. Ni Mandingo ndingo ya shetani tu yamefanyauwe bado hujafanikisha. Na Mungu akisha andika hageukigeuki maandiko yake. Na imeandikwa tayari. Upate mumemzae Na kuijaza dunia. So Mungu Kama Mungu ni furahayake ukitimiza maandiko yake.
Mhubiri 4:9-12
Ni afadhali kuwa wawili kuliko mtu kuwapeke yake. Kwa sababu wawili watapata tuzo la kazi yao. Ikijatokea mmoja akaanguka, huyo mwenzake atamwinua. Lakini ole wake aliye peke yake akianguka! Huyo hatakuwana mtu wa kumwinua! Hali kadhalika, wawili wakilalapamoja watapata joto; lakini mtu akiwa peke yake atajipatiajejoto? Mtu akiwa peke yake aweza kushindwa na adui, lakiniwakiwa wawili watamkabili na kumshinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki kwa urahisi.
Mwanzo 2:24
Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yakena mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwamwili mmoja.
NDOA NI MPANGO WA MUNGU JUUYAKO!, Sasa unawezaje kuona Mungu anakuhujumu na hataki uolewe? Mungu ni muaminifu mpaka ameandika kwenye maandikoyake, kwamba wewe kuolewa ndo haswaaaa jambo litalompendeza Na kumfurahisha.
Marko 10:9
Basi, alichounganisha Mungu, binadamuasitenganishe.”
Waefeso 5:21-33
Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababuya heshima mliyo nayo kwa Kristo.
Wake wawatii waume zaokama kumtii Bwana. Maana mume anayo mamlaka juu yamkewe, kama vile Kristo alivyo na mamlaka juu ya kanisa; naye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili wake. Kama vile kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo, wake wawatii waume zao katika mambo yote. Nanyi waume, wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa, akajitoa mwenyewe sadaka kwa ajili yake. Alifanya hivyo ilikwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada yakulifanya safi kwa kuliosha katika maji, kusudi ajipatie kanisalililo takatifu na safi kabisa, kanisa lisilo na doa, kasoro au chochote cha namna hiyo. Basi, waume wanapaswakuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. (Hakuna mtuyeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunzakanisa, maana sisi ni viungo vya mwili wake). “Kwa sababuhiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.” Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naonakwamba yamhusu Kristo na kanisa lake. Lakini yanawahusunyinyi pia: Kila mume lazima ampende mkewe kama nafsiyake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe.
LEO UMEJUA UKWELI, ADUI YAKO ALIEKUCHUKUA MATEKA NI SHAITWAN!!!! SI MWINGINEEEE! NA UKICHEKA NAE HUNA BAHATI!
Unatakiwa ukasirike kweli kweli maana amekuibia ndotozako za kuwa biharusi mdogo mdogo, mzuriiii, kuolewa Na kuwa na familia yako Na kuishi HAPPILY EVER AFTER! Ameichukua hio ndoto ameikanyaga kanyaga Na kukugeuzakitu cha ajabu. Umekuwa mwanamke wa wanaume kupasiana, umezalishwa na mtu asiekutaka, umekataliwa bilasababu, huna jema, umekuwa Aibu kwa familia. Umekuwamfano wa kutokuigwa. Kituko mbele ya jamiii. Once you were that little happy girl! Then Akaja Yule muovu Na maovuyake kakuachia makovu. YOU SHOUL BE AGRY! Really really angry! Tunavoenda kusali kumbuka kabala ya Yule muovu ulikuwa Na ndoto gani! Then washaaaa motoooomsituuuu kweli kweliiii! Moto wa nuclear!
DAY 1
Tunaanza maombi day 1 saa sita usiku kwa kuwa ndio mudaamabo siku mpya inaanza.
Yakobo 4:7
Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, nayeatawakimbia.
MAOMBI
Baba yetu ulie Mbinguni, nakushukuru kwa taasisi ya ndoa, naNina kiri Ndoa hutoka kwako tu na si vingine. Baba yangu, naomba muongozo wako na uelekeo wa kupata mwenza,Nina uhakika baba utanifanyia njia pasipo Na njia, najua utaniongozavyema. Baba natanguliza shukrani zangu.
Imeandikwa Mithali 16:9-10
Moyo wa mtu huifikiri njia yake; Bali BWANA huziongoza hatua zake.
Baba ninakushukuru maana najua utaziongoza hatuazangu kufukia ndoa, sitapotea njia katika jina la Yesu. Leo na declare mbele ya Mbingu na hii dunia, Mungu aliwekataasisi ya ndoa kwa wema na sio ubaya. Ndoa sio idea yanguwala binadamu yoyote ila Mungu tu. Nakiri hili toka chini yaMungu wangu na sitasahau kamwe kwa Jina la Yesu.
Mungu wangu kwa moyo mmoja na declare utiiii kamilifu juuya mipango yako ya ndoa yangu. Kupitia Roho Mtakatifunifundishe kuwa tayari, na jinsi ya kumvutia mwenza sahihi wamaisha yangu katika Jina la Yesu. I declare in the mighty name of Jesus Ndoa yangu itafanyikabaraka.
Mungu baba sawa sawa na 1 Petro 5:6-7
Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa enzi wa Mungu, iliawainue wakati ufaao. Mwekeeni matatizo yenu yote, maanayeye anawatunzeni.
Baba naweka mbele zako mashaka Na mzigo wote wakuchelewa kuolewa, najua unanijali Na upo kazini juu ya hatmayangu ya ndoa. Mipango yako juuu yangu itafanyika in the mighty name of Jesus.Kama Daudi alivosali, na Mimi nasali, wasiwasi ukinijia, moyowangu ukizimia na nikianza kukata tamaa kuhusu ndoa nitulizebaba Na kunifanyia tumaini jipya Na furaha. Ruhusu amaniyako ipitayo amani zote, Na uelewa viongoze moyo wangu in the mighty name of Jesus.
Mungu nivikie kujiamini, imani Na supernaturaljoy inayotambua kwamba wewe Baba ndo umeshika control mdawote in the mighty name of Jesus (Zaburi 94:19)
I declare saWa na 2 Wakorinto 4:17 Taabu tunayopata ni kidogo, tena ya muda tu; lakini itatupatia utukufu upitao matazamioyote, utukufu ambao hauna mwisho.
Tabu hii ya kuchelewa ndoa Ni tabu ndogo Sanaa kwako baba, Na utaitatua. Najitamkia kuanzia sasa nitapumzika kwa Mungu na ahadi zake. Hatoniangusha Na kuruhus nivunjwe moyo tena. Nakemea mapepo yote ya wasiwasi Na mashaka mashakakutoka maishani kwangu Na kutokurudi milele. Natangaza urejesho kamili juu ya mahusiano yangu, afya, uchumi na familia. Nadai urejesho kwenye maeneo yote yamaisha yangu. Nadai kutokea halisi kwa ndoa yangu, in the mighty name of Jesus.
Baba nasiki vitu vingi vibaya juu ya taasisi ya ndoa, Leo hiibaba natamka huo sio mpango wako na Hilo halitakuwa fungulangu in the mighty name of Jesus.Baba najua umebariki taasisi ya ndoa kutimiza mpango wakokuijaza dunia,Leo hii naikabidhi ndoa yangu mikononi mwako, mawazo yangu, matamanio yangu, idea zangu zote juu ya ndoanazikabidhi kwako na ninaomba uziweke sambamba na mapenziyako juu ya ndoa yangu in the Mighty name of Jesus.
Imeandikwa kila zawadi nzuri inatoka kwa Mungu, kila zawadinjema inatoka kwake, sababu ni baba wa Mwanga na hakuna mabadiliko wala kivuli cha kugeuka ndani yake, kwa hio nadeclare kwamba MUNGU BABA ATAMLETA MWENZA WA MAISHA YANGU. ZAWADI NJEMA TOKA KWAKE KUJA KWANGU IN THE MIGHTY NAME OF JESUSRUDIA RUDIA HAYA MAOMBI HATA MARA 20 MPAKA MOYO WAKO UPATE AMANI NA YAKUINGIE.SO HII PART 1 LALA NAYO NA UTASHINDA NAYO, ikifika saa sita kamili mcha utasali kwa nafasi then utaendelea MPAKA SAA 9 Alasiri ukiwa unasubiri maombi ya saa 9
DAY 1 – MAOMBI YA SAA 9 MCHANA
MAANDIKO
Yohana 9:1-25
Mtu aliyezaliwa kipofu apata kuona
Mafarisayo wauchunguza uponyaji
Wanafunzi waliuliza swali la msingi ambalo hata weweunajiuliza mda mwengine. Kwanini safari yako ya mahusianoimekuwa hivo? Je ni wewe ulitenda dhambi Sanaa au ni wazaziau bibi zako ndo waliokucost?
YESU anajibu kwamba baadhi yenu sio dhambi zenu walaza wazazi wenu ila unapitia hayo ili KAZI YA MUNGU IZIHIRISHWE KUPITIA WEWE. MUNGU ANATAKA KUJITUKUZA KUPITIA WEWE
Yoel 2:21-27
Usiogope, ewe nchi,bali furahi nakushangilia,maana Mwenyezi-Mungu ametenda makuu.
22. Msiogope, enyi wanyama.malisho ya nyikani yamekuwamazuri,miti inazaa matunda yake,mizabibu na mitini zinazaakwa wingi.
23. “Furahini, enyi watu wa Siyoni,shangilieni kwa sababu yaMwenyezi-Mungu, Mungu wenu,maana amewapeni mvua za masika,amewapeni mvua ya kutosha:Mvua za masika na mvuaza vuli kama hapo awali.
24. Mahali pa kupuria patajaa nafaka,mashinikizo yatafurikadivai na mafuta.
25. Nitawarudishia miaka ile iliyoliwa na nzige,kila kitukilicholiwa na tunutu, parare na matumatu,hilo jeshi kubwanililowaletea!
26. Mtapata chakula kingi na kutosheka;mtalisifu jina la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu,aliyewatendea mambo yaajabu.Watu wangu, kamwe hawatadharauliwa tena.
27. Mtatambua kwamba mimi nimo miongoni mwenu,enyiWaisraeli;kwamba mimi Mwenyezi-Mungu,ndimi Mungu wenuwala hakuna mwingine.Watu wangu, kamwe hawata dharauliwa tena.
Mungu ameahidi mkielewana kukurudishia miaka ileiliyoliwa Na nzige Na kila kilicholiwa kwake ni jambo dogo. HUJACHELEWA CHOCHOTE NI WEWE TU KUWA TAYARI ANAKURUDISHIA VYOTE
ZABURI 42,86,30
MAOMBI
Mungu baba nakuja mbele zako leo hii kuleta suala langu la ndoa mbele yako, naingia kupitia sifa Na kuabudu kwenyembingu zako tukufu, nikijifunika kwa damu takatifu ya Yesu. Najibatiza kwa moto wa roho mtakatifu, nafunika anga lote Na moto wa Mungu
Nateka kila mamlaka , nguvu za giza, nguvu zinazotawala eneo,Na kila falme na tawala zisizo zako Mungu. Naziangusha chiniNa kuazizuia zisiinuke tena dhidi yangu wala dhidi yamahusiano yangu wala Safari yangu ya ndoa in the mighty name of Jesus Christ. Nina maisha ya Kiungu ndani yangu kwa Jina la Yesu.
Kwa jina la Yesu lipitalo majina yote natubu dhambi zangu zoteLeo hii, Na ninaomba rehema Na msamaha wako baba. Kwa moyo wangu wote nawasamehe Na kuwaachilia wale wotewalionikosea kwa jina la Yesu sitaweka kinyongo dhidi Yao. Naililia damu ya Yesu juu ya dhambi zangu za mababu zangu.
Navunja maagano yote ya kipepo, makibaliano, biashara, mikataba yote isiyo ya Mungu iliofanyika juu ya maisha yangu ,roho yangu , mwili wangu Na mazingira yangu kwa Damu yaYesu. Katika jina la Yesu nafutaaaa yoteee sasa. Namiminadamu ya Yesu kubatilisha hayo yote in the mighty name of Jesus.
Navunja kila uhalali wa shetani kunishikilia kwa damu ya Yesu,Yule mshitaki wa wenye haki asiwe Na lolote dhidi yanguninapokuja mbele zako baba katika Jina la Yesu, Shetani hatoweza kukwamisha wala kuchelewesha maombiyangu sababu najua mimi ni Nani.Mimi ni mtoto wa Munguaketie mahali pa juu. Mimi ni mtoto wa ufalme. Mimi nimtumishi wa bwana nilie okolewa toka makucha ya shetani kwadamu ya Yesu.
Na declare madhabahu zote za shetani, falme za giza, milki za kipepo, mamlaka ya kipepo, nguvu za giza, wat swala wait gizani, malkia wa bahari, wachawi Na washirikina, waganga, majini, mizimu, vibwengo Na washirika wote wa shetaniHAMTAKUWA NA NGUVU TENA JUU YA MAISHA YANGU! MAHUSIANO YANGU, WALA SAFARI YANGU YA NDOA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS! NATANGAZAAA SHETANI WALA WASHIRIKA WAKO HAMTANINYANYASA TENAAAAA!
Leo hii napokea divine intervention ya kuweza kuomba. Sitaomba bila majibu. Sitaomba vibaya. Maombi yanguyatapokea majibu Na matokeo nayokusudia. Naamuruchemchem ya maombi kufunguka sasa Na kukbubujikamaishani kwangu. Naamuru Malaika wa kivita wa Mungu aliejuu washuke na kunipigania hii vita ya mahusiano Na safari yangu ya ndoa. Kila mda, kila dakika kila sekunde nayotumiakwenye maombi, itavuta Divine intervention. NatangazaMbingu zilizo wazi kwa maombi yangu, Mungu wa Mbingu Na dunia atashuhulika Na swala langu.
Maombi yangu ya Leo yatazigusa mbingu kutenda kwa niabayangu kuleta shuhuda kubwa, matokeo makubwa, miujizaaaa ,uponyaji, urejesho, ishara, mpenyo, Na maajabu yatafuatia hayamaombi Na maisha yangu hayatakuwa yalivokuwa in the mighty name of Jesus
Mungu Nina kushukuru kwa kuwa baba yangu Na rafiki yangu, nashukuru kwa kukufahamu na kufahamu nguvu ya ufufuko waKristo Yesu mwanao, nakushukur kwa kuwa na Mimi kilawakati hata pale napokosa shukrani. Nakushukuru kwa mambo makubwa unayofanya kwenye maisha yangu. AMEN
OMBA KWA KURUDIA RUDIA KADRI UTAVOJAALIWA
DAY 1 – MAOMBI YA SAA 12 JIONI
Isaya 42:13
Mwenyezi Mungu ajitokeza kama shujaa; kamaaskari vitani ajikakamua kupigana. Anapaza sauti kubwa ya vita, na kujionesha mwenye nguvu dhidi ya maadui zake.
MAOMBI
Nguvu zozote zinazosimama kinyume Na mahusiano yangu Na ndoa yangu shindwa kwa jina la Yesu. Busara nayotakiwakuonesha kabla ya ndoa ijitokezeee kwangu kwa jina la Yesu.
Kila Mali ya shetani kwenye maisha yangu inayozuia mpangowa ndoa yangu, Shika moto kwa jina la Yesu.
Kila kikwazo cha shetani kilichowekwa kwenye mahusianoyangu kuzuia ndoa yangu tokaaaa sasaaaa na unica hoe hurukwa jina la Yesu. Baba naomba unisaidie nipate kilanachotakiwa kupata kufanikiwa kuolewa kwa jina la Yesu. Kila silaha inayozuia mahusiano Na ndoa yangu yeyuka kwa moto in the mighty name of Jesus. Kila tatizo lililowekwa kunivurugaNa kunifanya kituko, nakukataaaa kwa jina la Yesu.
Navunja Na kujitenga Na kila mpango wa ndoa za kipepo namizimu katika Jina la Yesu. Nakataaa kila ofa ya shetanikuolewa Na mtu ambae sio sahihi katika Jina la Yesu.
Baba naomba utayari katika maeneo yote ya maisha yangukabla ya ndoa yangu.Damu ya Yesu nena kwa habari ya ndoa yangu Na mwenzawangu katika Jina la Yesu. Kila adui wa mpango wa Mungu juu ya ndoa yangu aibika sasakwa jina la Yesu. Mungu naomba uchumi utaonifanikishakwenye ndoa kwa jina la Yesu.
Mpango wa Mungu juu ya ndoa yangu toa matokeo halisi naonekana.Baba nifanye nitambue utukufu wako kabla ya ndoayangu katika jina la Yesu.Baba naomba tukaendane Na mwenzangu Na kuelewana kwajina la Yesu, Mungu nipe chaguo lako sahihi kwangu ambaeatanikamilisha Na kuniletea furaha katika jina la Yesu.Babandoa yangu ikafanyike baraka maishani mwangu katika jina la Yesu.
AMEN
DAY 2– KUBADILISHA MTAZAMO WAKO
(Kama kawaida masomo & maombi ya siku mpya tunaanzasaa 6 usiku)
Mithali 23:7
Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo.
Unachowaza nafsini wako ndio utachokuwa au kukipata. Ukiwaza siwezi kuolewa, sio mzuriii, Nina laana, nimelogwa, sina Bahati ndo hivo hivo utavokuwa.Ukiwaza wao waolewe wana nini Na Mimi nibaki Nina kasorogani? Huu mwaka lazima niolewe sisikiii la muazini wala mnadiswala nishaamua. Mimi mwenzenu afe kipa afe Beki lazimaniolewe. Ndivo hivo hivo itavokuwa
Ayubu 3:25
Lile nililokuwa naliogopa limenijia; lile nililokuwaninalihofia limenipata. ONDOA HOFU NA MASHAKAAA KABISAAA! YASIJE KUKUTA YA AYUBU! MUNGU BADO YUKO ENZINI WASIWASI WAKO NI NINI? UNAJIWAZIA MAMBO MABAAAAYAAA! KWANINI?
Past experiences zinakatisha tamaa sanaaa, Na wanasemaukishangatwa Na Nyoka hata ukiguswa Na majani utastuka. Huwezi kurudi nyuma kubadili yaliyotokea ila unawezakupambania future yako, Shetani anapenda Sanaa kukushikilia kwenye past yako! Yaaani hakupi nafasiii. Usipo HEAL from the past huwezikufaulu kwenye future yako. Inatakiwa ukae utibu majerahayako, yasifumuke huko mbeleni. Bila hivo hata ukipata mtumzuri lazima utamtafuta ubayaaa tu. Si unajua ukitoka vitanilazima vita inabaki kichwani kwako. Asipopokea simu kosaaa la jinai. Akifanya kosa dogo unalipuka Na kumblock. Past ndoinasababisha uonekane haupo tayari kwa ndoa. Inakufanyaunakuwa unalipuka lipuka Na kuonekana haupo matured.Mungu ndo anaweza kukutibu majeraha yako yakaponakabisaaa mpaka ukajisikia kweli nimekuwa mpya. Munguanaweza kukuumbia moyo mpya kureplace huo uliojaa majerahaNa makovu.
Kumbukumbu la Torati 31:8
Naye BWANA, yeye ndiyeatakayekutangulia, atakuwa pamoja nawe, hatakupungukia walakukuacha; usiogope wala usifadhaike.
Mithali 29:25
Kuwaogopa wanadamu huleta mtego; Bali amtumainiye BWANA atakuwa salama
Isaya 43:1-7
Mwenyezi Mungu aliyewaumba enyi watu waYakobo, yeye aliyewafanya enyi watu wa Israeli, asema: “Msiogope, maana mimi nimewakomboa; nimewaita kwa jinananyi ni wangu. Mkipita katika mafuriko, mimi nitakuwapamoja nanyi; mkipita katika mito, haitawashinda nguvu. Mkitembea katika moto, hamtaunguzwa; mwali wa moto hautawaunguza. Maana mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Munguwenu, Mungu Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi wenu.
Nitaitoa nchi ya Misri iwe fidia yenu, nitaitoa Kushi na Seba ilimwachwe huru. Kwa vile mna thamani mbele yangu, kwa kuwanimewapa hadhi na kuwapenda, mimi nawaacha watu kusudiniwapate nyinyi, nayaachilia mataifa badala ya maisha yenu.
Msiogope maana mimi nipo pamoja nanyi. “Nitawarudishawazawa wenu toka mashariki, nitawakusanyeni kutokamagharibi. Nitaiambia kaskazini, ‘Waache waondoke’, nakusini,‘Usiwazuie’! Warudisheni watu kutoka mbali, kutokakila mahali duniani. Kila mmoja hujulikana kwa jina langu, niliwaumba wote na kuwafanya kwa ajili ya utukufu wangu.”
Isaya 41:10
usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kulia wahaki yangu.
Warumi 8:15
Hamkupewa Roho anayewafanya kuwa tenawatumwa wa hofu. Lakini mmepokea Roho anayewafanya kuwawana. Na kwa Roho huyo tunaweza kumwita Mungu, “Abba! Baba!”
2 Timotheo 1:7
Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali yanguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.
MAOMBI
Baba nashukuru kwa kunipa roho ya upendo, nguvu Na uelewa. Nashukuru kwa kuniweka huru kupitia Kristo Yesu, na kuniokoakwenye roho ya hofu Na mashaka.
Mungu najua Siku zote uko Na Mimi, Na hutaniacha kamwe, nadeclare kuanzia Leo hii sitaogopa chochote. Sitaki was na hofuya kutokuolewa tena wala kuolewa Na mtu atakaenitesa kwajina la Yesu.Kuanzia Leo natangaza ushindi dhidi ya kukata tamaa, kuvunjika moyo, huzuni, Na msongo wa mawazo katika Jina la Yesu. Na funga roho zote za woga Na mashaka ya kutokuolewa Na kuzitupa nje ya maisha yangu kwa Jina la Yesu.
Najitoa kwenye mitego yote niliyoingia sababu ya kupanic nawoga kwa Jina la Yesu. Na declare kuweka imani Na tumaini langu kwa Mungu, nitakuwa salama chini ya mbawa zako baba hidi ya makuchaNa hatari zote.
NDOA YANGU ITAFUNGWA NA UTUKUFU WOTE UTARUDI KWA MUNGU BABA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS. AMEN!
Omba kwa kurudia rudia mpaka upate amani, Na uchungundani yako uishe
DAY 2 – SAA 9 Alasiri
Tumia maombi na masomo hayo hayo ya saa 6 usiku
DAY 2 – SAA 12 JIONI
Habakuki 1:5 Mungu akasema:
“Yaangalie mataifa, uone! Utastaajabu na kushangaa. Maana ninatenda kitu ukiwa badounaishi, kitu ambacho ungeambiwa hungesadiki.
Soma ZABURI 19,29,30,75,78
MAOMBI
Baba Leo nimekuja kwenye uwepo wako, kuleta maombi namahitaji yangu yajulikane kwako. Sitazuiwaaa walakucheleweshwa, maana najua nafasi yangu kwako baba. Mimi nimwana wa ufalme, nimezaliwa upya katika roho, Na kuokolewana damu takatifu ya Yesu Kristo. Natembea katika mamlaka Na naishi bila wasiwasi kwa kuwa nimepewa nguvu na mamlaka sawasawa na andiko la Luka 9:1
Leo naposali katika uwepo wako baba, najifunika kwa damu yaYesu,Na najivika ngao takatifu ya Mungu ya Kivita Na nainukadhidi ya wafalme wa kiajemi wanaozuia Na kucheleweshamajibu yangu, nawateka kwa nguvu iliopo kwenye damu yaYesu Kristo. Nawafunga Na kuwatuma kwenye shimo la kuzimumsizuie wala kuchelewesha majibu yangu kwa jina la Yesu.
Nainuka dhidi ya mamlaka Na nguvu za giza zinazopambanakukwamisha maombi yangu , naziteka leo hiii kwa nguvu iliopokwenye damu ya Yesu . Nazifunga Na kuzitupa kuzimu katikajina la Yesu. Nainuka dhidi ya watawala wa nguvu za giza ,dhidi ya maajenti wa juu wa shetani Na ushurika wao, nawatekawote kwa nguvu iliopo kwenye jina la Yesu Na nawafunga Na kuwatupa kuzimu. Nainuka dhidi ya hofu Na udhaifu wakibinadamu, nawafunga Na kuwatupa kuzimu kwa Jina la Yesu. Nawatokomeza toka kwenye maisha yangu in the mighty name of Jesus. Nainuka dhidi ya roho zote za kutanga tanga kwawanaume na kukosa nyumba yangu, dhidi ya roho za uharibifukufanya mambo yangu yaharibike, nakuteka Leo kwa nguvuzilizopo kwenye jina la Yesu, nakufunga Na kuwatupa kuzimuin the mighty name of Jesus.
Leo napokea upako wa kuomba Na kupata matokeo yangu, majibu yangu hayatazuiwa wa kucheleweshwa sababu Yesu niBwana wangu, nitaomba leo Na kupata matokeo nayotaka Na kutegemea. Naatamia Mbingu zilizo wazi kwa maombi yangu, najibatiza katika moto wa Roho Mtakatifu hivo basi nitakuwawa kuunguza kwa adui zangu kuthubutu kunigusa tena,Maombiyangu leo yatavuta Mbingu kuingilia Kati kila sekta ya maishayangu Na kunisaidia kupata ndoa. Ishara Na maajabu yatafatabaada ya maombi haya, shuhuda kubwa zimetengenezwa Leo kwa maombi haya, sifa na utukufu zitarudi kwa Mungu peke yake in the mighty name of Jesus
Nafunika maombi yangu kwa damu ya Yesu sawasawa Na nenola Mungu, nimeomba Na nitapokea. Nimebisha Na nitafunguliwa, nimetafuta Na nitapata in the mighty name of Jesus.”
Imeandikwa uta decree kitu Na kitafanyika.Kama nilivoongeakwenye maombi yangu itakuwa hivo. Maombi yangu yataletamiujiza inayo tarajiwa. Maombi yangu yataleta shuhuda zinazotarajiwa katika Jina la Yesu.
Roho za mahali nilipo Na nguvu za anga hili hazitaweza kuzuiawala kuchelewesha maombi haya. Dhambi za mwili hazitawezakuzuia maombi haya. Imefanyikaaa. Imepigwa muhuri wa damuya Yesu Na nimekabidhiwa matokeo yangu katika Jina la Yesu. Amen.
DAY 3 – WAKATI WA MUNGU (Masomo na maombi – Kuanzia saa 6 usiku)
Isaya 40:31
Lakini wote wanaomtumainia Mwenyezi Mungu, watapata nguvu mpya. Watapanda juu kwa mabawa kama tai; watakimbia bila kuchoka; watatembea bila kulegea.
MUNGU HAKAWIII WALA HACHELEWI! ANAKUJA WAKATI MUAFAKA.
Wafilipi 4:6
Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila nenokwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu nazijulikane na Mungu.
Warumi 12:12
Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zakeMungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, yakumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. Wala msifuate kanuni za dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upyania zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.
1 Wakorintho 13:4-5
Upendo huvumilia, upendo hufadhili; upendo hauna wivu au majivuno.Upendo hauna kiburi nahaukosi kuwa na adabu. Upendo hau tafuti kujipendeza nafsi; haukasiriki upesi, hauweki orodha ya mabaya.
Zaburi 37:7-9
Tulia mbele ya Mwenyezi-Mungu, mngojee kwasaburi; usihangaike juu ya wale wanaofanikiwa, watuwanaofaulu katika mipango yao mibaya. Epuka hasira walausiwe na ghadhabu; usihangaike maana hiyo huzidisha ubaya. Watu watendao mabaya wataangamizwa, bali wanaomtumainiMwenyezi-Mungu wataimiliki nchi.
Waebrania10:35-36
Basi, msipoteze uhodari wenu, maanautawapatia tuzo kubwa. Mnahitaji kuwa na uvumilivu ilimuweze kutimiza matakwa ya Mungu na kupokea kilealichoahidi.
KAMA UNAONA UPO TAYARI MSIHI MUNGU KWAMBA NIPO TAYARI. WAKATI WAKO BABA ULIOSUBIRI NIWE TAYARI NI SASA. NA MUNGU HADANGANYIKI MPAKA AJIRIDHISHE UKO TAYARI KWELI. INSTEAD YA KUPAPARIKA LINI LINI MBONA HAIFIKI HAIFIKINITUMIE CHUPLI CHUPLI GANI WEWE FANYA YANAYOTAKIWA KUWA TAYARI MUNGU AKIONA UPO TAYARI ATATENDA! MOJA YA SABABU HATENDI NI HAUPO TAYARI ANAKUPA MDA WA KUJITAYARISHA. TAKE TIME TO REFLECT ENEO GANI HAUPO TAYARI! MUOMBE ROHO WA MUNGU AKUONGOZE ENEO GANI BADO LINAHITAJI KAZI! AZUNGUMZE NA WEWE KWA LUGHA RAHISI SANAAA!
MAOMBI
Baba leo naomba, kwa nguvu yako tukufu zuia mimi kujishikaNa mtu atakaenitumia bila malengo sababu ya desparation. Nisaidie nisiingie kwenye mahusiano nisiyopendwa Bali kutumika tu. Mahusiano ya mazoea, wala toxic relationships, wala mahusiano ya bora liende kwa Jina la Yesu.
Baba kwa moto wa roho mtakatifu simamisha mahusiano yote ambayo ni mitego itakayonipotezea mda Na kuchelewesha mimikukutana Na Mume wangu katika Jina la Yesu.
Imeandikwa Yakobo 1:5, 7, 8
Lakini kama mmoja wenuametindikiwa hekima, basi, anapaswa kumwomba Munguambaye atampatia; kwani Mungu huwapa wote kwa wingi nakwa ukarimu. Lakini anapaswa kuomba kwa imani bila mashaka yoyote.
Baba naomba hio hekima Na nguvu ya kuachilia mizigo Na majeraha yote ya mahusiano ya nyuma. Baba nitayarishe kwaajili ya Mume ulie nichaguliea. Eneo lolote ambalo Sipo tayarinijulishe na nitayarishe katika jina la Yesu.
Baba nisaidie kuondoa papara Na malengo yasiyo endana Na mpango wako yatayonisababishia disappointment. Niwezeshekukubaliana tu Na matakwa yako tu yatayonifikishakwenye ndoa yangu. Ng’oa kila mawazo na fantasies yasiyo sahihi toka kwenye akiliyangu, fanya mawazo yangu yajae unyenyekevu Na kuiamininjia yako Na wakati wako kwa Jina la Yesu.
Leo naongea na ngome za uovu, fantasies, insecurities, lust, ubinafsi, Na mihemuko iliyo pandwa kuharibu maisha yangu Na kuleta uharibufu ivunjike kwa Jina la Yesu.Nakabidhi mategemeo yangu kuhusu Mume, boresha mawazo yangu, niwezeshe kukubaliana Na mipango yako katika Jina la Yesu.
Baba najikabidhi kwenye kazi za Roho Mtakatifu , nakuombaRoho mwema, nibatizeee na utulivu. Ondoa papara zote za ndoaaa. Nipe furaha nikingoja wakati wa Mungu kwenye jambolangu la Mume.
Na declare kuanzia leo sitapaparika kuhusu ndoa wala Mumemtarajiwa. Sitakwazika wengine wakiolewa kwa sababu wotehatma zetu ni tofauti. Mungu baba naomba neema ya kupenda kwa vigezo vyako, kuweza kusamehe,Na kuwa mnyenyekevu kusubiria wakatiwako ulioamuru. Nijalie kuwa na furaha na mkarimu kwa wengine nikisubiriwakati wako ulio amriwa ambapo ndoa yangu itakuwa halisi in the mighty name of Jesus.
AMEN
KUMBUKA MIPANGO YA MUNGU NI MIZURI KULIKO YAKO
DAY 3 – SAA 9 ALASIRI
1 SAMWELI 30
Daudi alipiza kuharibiwa kwa Siklagi
Ikawa, Daudi na watu wake walipokuwa wamefika Siklagi siku ya tatu, hao Waamaleki walikuwa wameshambulia Negebu, naSiklagi, nao wameupiga Siklagi, na kuuchoma moto; 2 naowamewachukua mateka wanawake waliokuwamo wakubwa kwawadogo; hawakuwaua wowote, ila wakawachukua, wakaendazao. 3Basi Daudi na watu wake walipoufikia mji, tazama, ulikuwa umechomwa moto; na wake zao, na watoto wao, wanaume kwa wanawake, wamechukuliwa mateka. 4 NdipoDaudi na watu waliokuwa pamoja naye wakapaza sauti zao nakulia, hadi walipokuwa hawana nguvu za kulia tena. 5 Na haowake wawili wa Daudi walikuwa wamechukuliwa mateka, Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili, aliyekuwa mkewe Nabali, wa Karmeli. 6 Naye Daudi akafadhaika sana; kwa sababu watuwalikuwa wakisema kwamba apigwe kwa mawe, kwa maanahao watu wote walisononeka, kila mtu kwa ajili ya wanawe nabinti zake; lakini Daudi alijitia nguvu katika BWANA, Mungu wake.7 Kisha Daudi akamwambia Abiathari, kuhani, mwana waAhimeleki, Tafadhali niletee hapa hiyo naivera. Naye Abiathariakamletea Daudi naivera huko. 8 Daudi akauliza kwa BWANA, akasema, Je! Nikiwafuata jeshi hili, nitawapata? Naye akamjibu, Fuata; kwa kuwa hakika utawapata, nawe hukosi utawapokonyawote. 9Basi Daudi akaenda, yeye na wale watu mia sitawaliokuwa pamoja naye, nao wakakifikia kijito Besori, ambapowale walioachwa nyuma walikaa. 10Lakini Daudi akaendeleakuwafuatilia, yeye na watu mia nne; kwa maana watu mia mbiliwalikaa nyuma, ambao walitaka kuzimia hata hawakuwezakukivuka hicho kijito Besori. 11 Nao wakamkuta Mmisrinyikani wakamleta kwa Daudi, na kumpa chakula, naye akala; nao wakampa maji ya kunywa; 12 kisha wakampa kipande cha mkate wa tini, na vishada viwili vya zabibu; naye akiisha kula roho yake ikamrudia; kwa maana hakuwa amekula chakula walakunywa maji, siku tatu mchana na usiku. 13Ndipo Daudi akamwuliza, Wewe ni mtu wa nani; na umetoka wapi? Nayeakasema, Mimi ni kijana wa Misri, mtumishi wa Mwamalekimmoja; bwana wangu aliniacha, kwa sababu tangu siku hizi tatu nilishikwa na ugonjwa. 14 Sisi tulishambulia Negebu yaWakerethi, na ya milki ya Yuda, na Negebu ya Kalebu; na huomji wa Siklagi tukauchoma moto. 15Daudi akamwambia, Je! Wewe utaniongoza chini hadi nilifikie jeshi hilo? Naye akasema, Uniapie kwa Mungu, ya kwamba hutaniua, wala kunitiamikononi mwa huyo bwana wangu, nami nitakuongoza chinihata kulifikia jeshi hilo. 16 Na hapo alipokuwa amewaongozachini, tazama, hao walikuwa wametawanyika juu ya nchi yote, wakila na kunywa, na kufanya karamu, kwa sababu ya hizonyara kubwa walizochukua katika nchi ya Wafilisti, na katikanchi ya Yuda. 17 Naye Daudi akawapiga tangu ukungu wa jionihadi jioni ya siku ya pili; hakuna aliyeokoka, ila vijana mia nnewaliopanda ngamia na kukimbia. 18 Daudi akawapokonya wotewaliokuwa wamechukuliwa na Waamaleki; naye Daudi akawaokoa wakeze wawili. 19Wala hawakupotewa na kitu, mdogo wala mkubwa, wana wala binti, nyara wala chochotewalichojitwalia hao; Daudi akavirudisha vyote. 20Naye Daudi akatwaa makundi yote ya kondoo na ng’ombe, ambaowaliwatanguliza mbele ya wanyama wale wengine, wakasema, Hao ndio nyara za Daudi.21 Kisha Daudi aliwafikia wale watu mia mbili, waliokuwawametaka kuzimia, hata wasiweze kumfuata Daudi, wale waliowaacha wakae karibu na kijito cha Besori; nao wakatokanje ili kumlaki Daudi, na kuwalaki hao watu waliokuwa pamojanaye, naye Daudi alipowakaribia hao watu, aliwasalimu. 22 Ndipo watu waovu wote na wale wasiofaa, miongoni mwa haowaliokwenda pamoja na Daudi, wakasema, Kwa kuwa watuhawa hawakuenda pamoja na sisi, hatutawapa kitu chochotekatika hizo nyara tulizozitwaa tena, isipokuwa kila mtu atapewamkewe na watoto wake, wawachukue na kwenda zao. 23Ndipo Daudi akasema, La, ndugu zangu, msitende hivyo katika hizonyara alizotupa BWANA, ambaye ndiye aliyetuhifadhi, akalitiamikononi mwetu lile jeshi lililokuja kinyume chetu. 24 Tena ninani atakayewasikiliza ninyi katika jambo hili? Kwa kuwa kamalilivyo fungu lake yeye ashukaye vitani, ndivyo litakavyokuwana fungu lake huyo akaaye karibu na vyombo; watagawiwasawasawa. 25Basi ikawa hivyo tangu siku ile na baadaye; akaiweka iwe amri na agizo la Israeli hata leo.26 Basi Daudi alipofika Siklagi, aliwapelekea wazee wa Yuda, rafiki zake, sehemu ya nyara, akasema, Angalieni, zawadi yenukatika nyara za adui za BWANA; 27 yaani, kwa hao wa Betheli, na kwa hao wa Ramoth-Negebu, na kwa hao wa Yatiri; 28 nakwa hao wa Aroeri, na kwa hao wa Sifmothi, na kwa hao waEshtemoa; 29 na kwa hao wa Rakali, na kwa hao wa miji yaWayerameeli, na kwa hao wa miji ya Wakeni; 30 na kwa hao waHorma, na kwa hao wa Korashani, na kwa hao wa Athaki; 31 nakwa hao wa Hebroni, na kwa hao wa kila mahali alipotembeleaDaudi mwenyewe na watu wake.
Leo neno refuuu ila HAKIKISHA UNASOMA ANDIKO LOTE NENO KWA NENO
Session hii focus kusoma Hilo neno tu
DAY 3 – SAA 12 JIONI
Neno Hilo la Daudi inatakiwa ulitafakari kwa kina. Daudi alikuwa kipenzi cha Mungu. Kipenzi haswaaa haswaaa. Lakinihaikuzuia yeye kupigwa Na adui tena alipigwa kwenye mshono. Manake wake zake kabisaaa wa 2 walitekwa. Na mji ambao ndomakazi pendwa ya Daudi wanao kaaa wakeze ukatiwa kiberiti
Kana kwamba haitoshi wake na mabinti wa wananchi wake wakatekwa vile vile Na mali za watu zikatekwa nyara. Lawamakila Kona.
Daudi anasikitika lakini humskiii hata mara moja Ana mlalamikia Mungu mbona hivi? Mimi best yako lakini kwaniniumeruhusu hili? Haingiiii kwenye panic Na pity party yakujilaani Na kumlaani Mungu kwanini imetokea vile, kwaniniwewe, kwanini kila kitu Na kila mda.
Mimi nasali baba kila Siku. Natoa sadaka sana, sikuibiii baba, nimemfanyia mtumishi flani kitu flani. Nimefanya kitu flanikwenye huduma. Nimepanda mbegu kwa binti mlokole mbonahaya kunipata. Unajimalizaaa kweli kweli
Juzi niliwaambia Shetty ameruhusiwa kutujaribu na Hana kazimbovu. Anakujaribu pale pale kwenye mshono. Anagongakwenye mfupa
Alimajaribu Mtumishi wa Mungu Ayubu mpaka akapanic. Itakuwa wewe?
As long as unamtafuta Mungu Shetty ataendelea kuwa anakujana majaribu kwenye mshono na kupya. Sitaki kuwadanganya. Yesu alipotoka kufunga 40 kavu alikutana Na Shetani Na akamjaribu
Wengi hapa ndo mnakata tamaa, Na kisususa au kujikatiatamaaa na kusikia kufaaa kufaaa au kudata. Na kinachokuumaunemeshinda njaaa, umejitoaaa. Yaaani.
Kwa hio muelewe majaribu ya shetty hayahusiani Na ibada yakoNa Mungu wala kwamba wewe ni muovu Sanaa au una gunduau Mungu hakupendi. Ni shetty tu katika ushetani wake. Na akijua usiminywe kidogooo ume react atakuwa anakuminyaminya Kama ndizi Mbivu. Mpaka uwe mkomavuuu. Ndomajaribu yatapungua Na kuacha kabisaaa.
LA KUZINGATIA BAADA YA MAJANGA DAUDI ANAFANYA NINI
Kwanza watu wanataka apigwe mawe, mfalme gani wake zakewanatekwa. Ni Kama watu wanavokupiga mawe nonstop kwanini umechelewa kuolewa, kwanini hujazaaa mpaka umrihuo, yani nyumbani mawe, ofisini mawe, mtandaoni mawe, hadikanisani mawe. Ukiinama jiwe ukiinuka jiwe. Mpaka unashindaunatafakari DHAMBI GANI KUBWA ULIOFANYA ISIYO SAMEHEKA! Unaletewa moto moto kweli
Neno linasema giza lilipokolea ogopa watu wameliaaa mpakahawana nguvu ya kulia tena. Daudi anafanya nini? DAUDI ANAJITIA NGUVU KATIKA BWANA!
Kama kulia umeliaaaa sanaaa, godoro ramani tupu za machozi. Kilichobaki jitie tu nguvu katika Bwana.
KWENYE MAIN POIT YA HABARI
Daudi anamuita kuhani wajadiliane! Alete kwanza Niveraukisoma bible ya Kingereza inaitwa Ephod uki google utajua niVazi la kikuhani. Yaani alimwambia kuhani aje rasmi Na mavaziyake manake Kuna kikao rasmi baina Yao Na Mungu
Kikao cha dharura. Na anapofika kwenye uwepo haanzi Na lawama wala sononeko wala hata kwanini inekuwa hivo baba. Anakuwa staregic Na kwenda direct to the point. BABA NIKIWAFATIA HAWA WATU NITAWAPATA AU SIWAPATI?
Mda mwingine hupokei majibu sababu you keep asking wrong questions. Unamuuliza Mungu sana ila una muuliza maswaliyasiyo Na msingi. Ni Kama Sasa unatakiwa kuuliza MUME NITAPATA AU SIPATI?
Au unaauliza NI MUME AU TAPELI? Sio unaanza Vizuri je nisahihi kabla hujajibiwa unaanza Kama sio sahihi mbona alikujanilivofunga mtu sahihi? Na Kama ni sahihi mbona haeleweki. Unauliza na kujijibu
Mungu alikuwa brief tu Na specific. Fata na kwa hakikautawapata na kuwapokonya. Kivipi hakuweka wazi. Ila Daudi Hilo jibu tu linamtosha.
Ni Kama uneomba ishara Kama ndie apige simu. Anapiga. Ila mjaribu ya shetty yanakushinda nguvu
Safarini wanaibuka wavivu, Daudi anakuwa focused na missonyake Ana wabwaga njiani
Niwatie nguvu KOMAENI HII SAFARI MFIKE MWISHO MAANA MUNGU AMESHAJIBU KWA HAKIKA UKIWAFATIA ADUI ZAKO UTAKOMBOA NDOA YAKO NA NYARA ZOTE ULIZOPORWA MIAKA YOTE HII
UKIPORWA KITU USIKAE UNAJISKITIKIA, UNADEKA, UNAJILIZA LIZA NI KUTAFUTA MTUMISHI STRONG ANE JITOA KWAKO, NIKO HAPA NA NIVERA NISHAIVAAA WIKI HIZI 2 NA KUWAFATIA ADUI ZAKO UKOMBOE VYAKO UISHI HAPPILY EVER AFTER
DAY 4 – KUVUNJA VIZUIZI VYA KIFAMILIA NA UKOO
Masomo & Maombi ya Saa sita usiku
Kuna Muda ukiwaza sanaaa kiukweliii hakuna ulilofanya baba sanaaa kustahili unayopitia. Huoniii sababu. Na kweli sababu siolewi.
Kuna makosa wanafanya wahenga yana gharimu vizazi 4 mbelena Zaidi. Mfalme Hezekia anafanya mistake ya kupokea wagenikutoka utawala wa mwingine Na unavojua tena wanamletazawadi. Baadae anaambiwa Na nabiii kwamba Munguhajafurahi kabisaaa Na wale wageni watakuja kuvamia Na kubeba kila kitu hamna kitachosalia. Na watu Pia watebebwavile vile wakawe watumwa huko Babylon. Balaaa zito. Guess Hezekia Ana lipi la kusema juu ya blander yake. Kabla aliuguaakaambiwa atakufa Na nabii isaya, weka mambo vizuri mdaumefika. akamsihi sana Mungu, alimuomba Munguamuongezeee tumaisha kidogo, maana bado kuna mambo hajamalizia malizia kuyaweka sawa. Mungu anamsikia, Ana mtuma nabiii Isaya kwamba atamuongezea maisha miaka 15, yafurahaaa Na mafanikio akamilishe kila kitu. Akampa Na Ishara. Kwa hio ilikuwa Done deal!
Sasa ndo akaja kufanya blander la Wa Babeli. Nabii Yule YuleIsaya akamletea habari zijazo. Kwamba mambo yatakuwa siosio.
Anacho uliza ni JE HUO UVAMIZI WA HAO WA BABELI UTAKUWA KWENYE ILE MIAKA YAKE 15 YA DONE DEAL AMA? MAANA WANA MAKUBALIANO MIAKA 15 YA AMANI SASA ITAKUWAJEEEE? MAKUBALIANO SI YAPO VILE VILE? ANAAMBIWA YAKE 15 KAMA KAWAIDA PEACE AND LOVE TU! NI DONE DEAL! ILA WAKATI WA UTAWALA WA WANAO DAMU YAKO KABISAA WATAPELEKWA BABELI UTUMWANI. AKASEMA KAMA NI HIVO BASI NENO HILO NI JEMAAAAAA!!! MAADAMU 15 YANGU BARIDAAA! FRESH TU!
Isaya 39:8
Ndipo Hezekia akamwambia Isaya, Neno la BWANA ulilolinena ni jema. Tena akamwambia, Maanaalifikiri, kutakuwapo na amani na usalama katika siku zangumimi.
WAISRAEL WANAKAAA UTUMWANI BABELI MIAKA 400 KWA KOSA LA HEZEKIA KUJISHAUA NA HAZINA
Hamna rangi hawakuona BABELI. Mwanae Hezekia anawekaagerezani BABELI miaka 37. Kosa la muhenga
Kuna BABELI unapita wewe kwa kosa la wahenga wako. Usipogundua ukajikomboa inaku cost
Yeremia 52:31-34
Mnamo mwaka wa thelathini na saba tangu Yehoyakini mfalme wa Yuda alipopelekwa uhamishoni,siku yaishirini na tano ya mwezi wa kumi na mbili, Evil-merodaki mfalme wa Babuloni, mwaka uleule alipofanywa mfalme, alimsamehe Yehoyakini mfalme wa Yuda, akamtoa gerezani.
LEO TUNAOMBA UKUMBUKWE KAMA YEHOYAKINI UTOLEWE KWENY HILO GEREZANI YAMKINI UMETUMIKIA MIAKA 10, 15,20,30 LA KUTOKUOLEWA KATIKA UJANA WAKO. MUNGU AINUE MTU AKUKUMBUKE NA KUKUTOA KWENYE HIO BABELI IN THE MIGHTY NAME OF JESUS
Yeremia 52:32-34
Aliongea naye vizuri na kumpa nafasi yaheshima kuliko wafalme wengine waliokuwa pamoja nayeuhamishoni huko Babuloni. Basi, Yehoyakini alibadili mavaziyake ya kifungoni, akawa anapata chakula chake daima mezanikwa mfalme. Daima alipewa posho na mfalme wa Babulonikulingana na mahitaji yake ya kila siku, mpaka alipofariki.
HILI NDO TUNALOPAMBANIA LEO! SAWA MUHENGA ALIFANYA BLANDER KAMA HEZEKIA ILA USHAKAA SANA GEREZANI NA CHUNGU YA BABELI UMEIONA YA KUTOSHA, SASA MUNGU AKUFANYIE MANUVAAA UTOKE GEREZANI NA UKAKETI KWENYE MEZA YA WATEULE TENAAA KAMA WATEULE WENGINE NA UPATE SITAHIKI ZAKO KAMA MTEULE MPAKA KUFA KWAKO
Wagalatia 3:13-14
Kristo alitukomboa kutoka katika laana yasheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maanaMaandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabaniamelaaniwa.” Jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka aliyopewaAbrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine kwa njia yaKristo, na ili kwa imani, tumpokee yule Roho ambaye Mungualituahidia.
Ezekieli 18:20
Atakayetenda dhambi ndiye atakayekufa. Mtotohatawajibika kwa uovu wa baba yake, wala baba hatawajibikakwa uovu wa mtoto wake. Uadilifu wa mwadilifu utamfaa yeyemwenyewe: Na uovu wa mwovu ataubeba yeye mwenyewe.
Huu mstariii Leo na kesho komaaaa naoooo mpaka Mfalme ajekukutoa Gerezani Babeli. Yaaani rudia hamna hamna Mara 30 kwa kumaanisha ukimsihi Mungu Kama ni makosa ya wahengahili neno likuweke huru
Maana IMEANDIKWA HIVO sasa kwanini unalipia dhambi za mababu zako
MAOMBI
Baba ulie mbinguni ninaomba huruma yako napochukua hatuaza ndoa yangu, nisiwe muhanga wa makosa na uharibifu wafamilia yangu katika Jina la Yesu.
Nasimama kwenye pengo la familia yangu Na kuomba toba kwaniaba ya mstari mzimaaa wa familia, kuanzia vizazi vya nyumampaka vya sasa, katika uovu wote waliotekeleza kuanziamaagano yote ya kishetani, Na dhambi zote zinazoleta vikwazovya kiroho kwa wanafamilia.
Baba naomba rehemu familia yangu Leo hii katika Jina la Yesu.
Baba najua dhambi inafungua mlango wa mapepo kufanya kazikila mahali, lakini sa hii hii baba kwa Damu ya Yesu napokeamsamaha wa familia yangu. Na funga milango yote mapepowanayopitia kufanya kinyume Na Mimi na familia yangu katikaJina la Yesu.
Leo naililia damu ya Yesu, juu yangu Na familia yangu nzima, nafunga mapepo yote yanayofanya kazi kinyume Na familiayangu kwa misingi ya makosa ya nyuma ya familia yangu. Naamuru mapepo hayo yatokeee Leo Na kurudi kuzimu katikJina la Yesu.
Naziamuru ngome zote Na mambo yote ya giza yalio rithiwakizazi Na kizazi ndani ya familia yangu viwake moto leo kwaJina la Yesu.
Mapepo ya kunichanganya, kuchelewesha, umaskini, woga, mateso, ndoa kuvunjika, uzinzi, yanayofanya kazi kinyume Na familia yangu nawafunga Na kuwatupa kuzimu kwa Jina la Yesu.
Leo na vunja kabisaaa uhalali wowote wa ADUI kunishikiliamaisha yangu Na familia yangu kwa Jina la Yesu.
Naamuru kila muovu mwenye nguvu mwanaume au mwanamke, wanaotekeleza maagano ya nguvu za giza Namaamuzi ya vizazi vilivopita kwenye maisha yangu Na shikamoto Na utoke kwenye familia yangu kwa Jina la Yesu.
Navunja kila kiini cha kuchelewa Na kukatishwa tamaaa yakuolewa kwa Jina la Yesu.
Na decree uponyaji na urejesho kamili, kutoka kwenye kilauonevu katika maisha yangu, Na familia yangu, vinavotokanaNa mababu kwa Jina la Yesu
Kila laana ya ukoo, Na maagano ya ukoo yanayosimamakinyume Na ndoa yangu haribika Leo kwa Jina la Yesu. kilanadhiri, ahadi au kiapo kilichoandiwa kupingana na kuzuia ndoayangu nafuta vyote kwa Jina la Yesu.Nafunga roho zote za kuoaNa kuolewa wake wengi, talaka,uasherati Na uzinzi, kukosamaadili nazingoa kutoka kwenye familia yangu Na kuzitupakuzimu kwa Jina la Yesu.
Na decree hizi dhambi hazitajirudia kwenye familia yangu walamaisha yangu kwa Jina la Yesu.
Baba namuachilia mwenza wangu toka kwenye kila uchawi, au kifungo cha nguvu za giza sasa katika Jina la Yesu.
Naamuru mwenza wangu aachiwe huru kutoka kwenye laana za ukoo wao Na maagano yanayo zuia tusikutane Na kuanzishamahusiano katika Jina la Yesu.
Leo hii natangaza sababu nipo ndani ya Kristo mimi ni uumbajimpya, Sipo tena kwenye laana za ukoo Na vizazi. Nipo chini yaagano jipya lililo anzishwa kwa damu ya Yesu.
Nimewekwa huru Na laana zote.
Natembea katika baraka za Mungu baba kila siku
Nakataaa msingi ya urithi wa familia juu ya maisha yangu katikaJina la Yesu.
Asante Yesu.
DAY 4 – SAA 9 ALASIRI
Neno la Leo ni fupi sana ila zito sanaaaa! Ndo moja ya password ilipo Tofauti Na Siku hizi 3 za nyuma, session ambapo unafanyamaombi mengi mazito ya mapambano. Leo unafanya maombiya utulivu, kutafakari, Na kuzamaaa kwenye uwepooo! Mtu 2 tuwewe n Mbingu. Una wasilisha jambo lako.
KUMBUKUMBU LA TORATI 2:1-3
Ndipo tukageuka, tukashika maisha ya jangwani kwa njia ya Bahari ya Shamu, kama alivyoniambia BWANA; tukaizunguka milima ya Seirisiku nyingi. 2BWANA akasema, akaniambia, 3Mmeuzunguka mlima huu vya kutosha; geukeni upande wa kaskazini.
UNA WASILISHA HOJA YAKO KWAMBA UMEZUNGUKA HUO MLIMA WA KUTAFUTA MUME VYA KUTOSHAAAA JAMANIIII! AU SIO! MIAKA NA MIAKA, MTUMISHI KWA MTUMISHI, PAGE KWA PAGE, PROGRAM KWA PROGRAM, MAOMBI KWA MAOMBI, ANDIKO KWA ANDIKO! IMETOSHAAAAA!
MSIHI MUNGU SAWASAWA NA ANDIKO HILI MARA HII TU MOJA MARA HII TU AKWAMBIE KASKAZINI YAKO NI IPI UKAFANIKISHE KUVAAA SHELA, KUPATA NYUMBA YAKO NA WATOTO WAKO!
KAMA NI WATUMISHI UMEMALIZA WANAOJULIKANA MPAKA KINA BINTI MLOKOLE WASIOJULIKANA WALA NINI WEWE KWAKO FRESH TU MAADAMU MAANDIKO NI YA MUNGU. SAFARI HII UNAOMBA KUSIKIA KWAKE BABA AKETIE MAHALI PA JUU KASKAZINI YAKO NI WAPI?
KAMA VILE MUNGU ALIVOANGALIA KUZUNGUKA KWA WAISRAEL JANGWANI NA KUONA IMETOSHA UNASIAMAMA KWELIKWELI NA HILI ANDIKO KWAMBA HATA KWAKO AONE IMETOSHAAAAAA NA AKWAMBIE KASKAZINI YAKO NI ILE NENDA UKAFIKE NCHI YA AHADI IN THE MIGHTY NAME OF JESUS.
Usipanic wala nini maana. Najua inatia uchungu Na kuwezakusababisha uwe emotional. Nimewaambia vita haitaki hisia. Inataka strategy! Ukiwa calm utazungumza Na Mungu Na mtaelewana.
Anza kuzungumza Na Mungu wako, saa 12 nitakuongozamaombi.
Ukishaomba na kumuliza. Tulia umsikilize kwa mda. Kaskaziniyako inaweza kuwa Mtu , akawambia nenda kwa Rhoda kamsalimie huko ukakutana na kaka Roda mambo yakabakiastory. Anaweza kuwa Ex , ukamkunbuka tu, na baadaeakakupigia the rest ni historia. Inaweza kuwa location ukaambiwa nenda Dodoma kesho au ukatokea uhutaji uweDodoma kesho maybe interview Na huko ukaikutaKASKAZINI. Mungu Ana njia nyingi Sanaa. Unaweza itwaharusini Leo Na kaskazini yako ukaikuta huko harusini. OMBA KWA KUMAANISHA TEGEMEA KUSIKIA JIBU USIWEKE WALAKINI KWAMBA HIO NORTH IKO WAPI AMBAPO WEWE UTAOLEWA. MUNGU ATAKUONGOZA
DAY 4 – SAA12 JIONI
MAOMBI
Mungu baba nakuja mbele zako leo hii kuleta suala langu la ndoa mbele yako, naingia kupitia sifa Na kuabudu kwenyembingu zako tukufu, nikijifunika kwa damu takatifu ya Yesu. Najibatiza kwa moto wa roho mtakatifu, nafunika anga lote Na moto wa Mungu
Nateka kila mamlaka , nguvu za giza, nguvu zinazotawala eneo, Na kila falme na tawala zisizo zako Mungu. Naziangusha chiniNa kuazizuia zisiinuke tena dhidi yangu wala dhidi yamahusiano yangu wala Safari yangu ya ndoa in the mighty name of Jesus Christ. Nina maisha ya Kiungu ndani yangu kwa Jina la Yesu.
Kwa jina la Yesu lipitalo majina yote natubu dhambi zangu zoteLeo hii, Na ninaomba rehema Na msamaha wako baba. Kwa moyo wangu wote nawasamehe Na kuwaachilia wale wotewalionikosea kwa jina la Yesu sitaweka kinyongo dhidi Yao. Naililia damu ya Yesu juu ya dhambi zangu za mababu zangu.
Navunja maagano yote ya kipepo, makibaliano, biashara, mikataba yote isiyo ya Mungu iliofanyika juu ya maisha yangu ,roho yangu , mwili wangu Na mazingira yangu kwa Damu yaYesu. Katika jina la Yesu nafutaaaa yoteee sasa. Namiminadamu ya Yesu kubatilisha hayo yote in the mighty name of Jesus.
Navunja kila uhalali wa shetani kunishikilia kwa damu ya Yesu, Yule mshitaki wa wenye haki asiwe Na lolote dhidi yanguninapokuja mbele zako baba katika Jina la Yesu,
Shetani hatoweza kukwamisha wala kuchelewesha maombiyangu sababu najua mimi ni Nani. Mimi ni mtoto wa Munguaketie mahali pa juu. Mimi ni mtoto wa ufalme. Mimi nimtumishi wa bwana nilie okolewa toka makucha ya shetani kwadamu ya Yesu.
Na declare madhabahu zote za shetani, falme za giza, milki za kipepo, mamlaka ya kipepo, nguvu za giza, wat swala wait gizani, malkia wa bahari, wachawi Na washirikina, waganga, majini, mizimu, vibwengo Na washirika wote wa shetaniHAMTAKUWA NA NGUVU TENA JUU YA MAISHA YANGU! MAHUSIANO YANGU, WALA SAFARI YANGU YA NDOA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS! NATANGAZAAA SHETANI WALA WASHIRIKA WAKO HAMTANINYANYASA TENAAAAA!
DAY 6 – KUINUKA DHIDI YA VIKWAZO VYA KIROHO(SAA SITA USIKU)
1 Wathesalonike 2:18
Kwa hiyo tulitaka kuja kwenu, naam, mimi Paulo, nilitaka kujamara kwa mara, lakini Shetani akatuzuia.
Paulo alikuwa anataka kwenda kwenye kanisa la TesalonikeMara nyingi tu lakini INASHINDIKANA! Kumbuka Paulo nimtume A list! Aliomba gereza likafunguka ila kufikaTesalonike ilishindikana Mara kadhaaa Na maombi yakemnayajuaaa sio ya mchezo mchezo. Alivo jemedari na Kamandawa Kristo hasemi basi bwana ishashindikana Kama vipi. Anaandika barua 2 kwenda kwenye Hilo kanisa. Wathesonike 1 Na 2.
HATA WEWE UMEJARIBU KUOLEWA AU KUPAMBANA MTU AKUOE MARA KADHAAA ILA HAIKUWA RIZIKI
Ukisoma Utaona Paul Mtume anajaribu analipambania sanakanisa la Thesalonike. Pamoja Na kutimuliwa hakati tamaaa.Mpaka linakuwa moja ya makanisa makubwa sana. Shetanialimpiga pini pini haasaaaaa. Lakini hakati tamaaa Na watesalonike.
Hata wewe shetani kukupiga pini issue yako ya ndoa haponyuma, isimanishe do mwisho, uzeeke peke yako Na upweke. No way no day! Shetani ashashindwa huko nyuma Sanaa tu. Wakwanza Mtume Paul Na wengine wengi.
2 Wakorintho 10:3-5
Kweli tunaishi duniani, lakini hatupiganivita kidunia. Maana, silaha tunazotumia katika vita vyetu sisilaha za kidunia, ila ni nguvu ya Mungu yenye kuharibu ngomezote. Tunaharibu hoja zote za uongo na kubomoa kila kizuizicha majivuno kilichowekwa kuipinga elimu ya Mungu; tunaziteka fikira zote na kuzifanya zimtii Kristo.
Luka 10:19
Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka nange, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitukitakachowadhuru
Luke 10:19
I have given you authority to trample on snakes(A) and scorpions and to overcome all the power of the enemy; nothing will harm you.
Waefeso 6:10-18
Hatimaye, nawatakeni muwe imara katikakuungana na Bwana na kwa msaada wa nguvu yake kuu. Vaenisilaha anazowapeni Mungu mpate kuzipinga mbinu mbaya za Ibilisi. Maana vita vyetu si vita kati yetu na binadamu, bali nivita dhidi ya jeshi ovu la ulimwengu wa roho; tunapigana nawatawala, wakuu na wenye nguvu, wanaomiliki ulimwengu huuwa giza.Kwa sababu hiyo, vaeni silaha za Mungu ili siku ileitakapofika mweze kuyapinga mashambulio ya adui; na mkishapigana mpaka mwisho, mtakuwa bado imara. Basi, kaeni tayari.
Yakobo 4:7
Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, nayeatawakimbia
Warumi 8:31
Basi, tuseme nini juu ya hayo? Mungu akiwapoupande wetu, ni nani awezaye kutupinga?
1 Yohana 4:4
Lakini ninyi watoto wapendwa, ni wa Mungu, nanyi mmekwisha kuwashinda; kwa maana yeye aliye ndaniyenu ni mkuu kuliko yule aliyeko duniani.
Isaya 54:15
Tazama, hakika ikiwa utashambuliwa na yeyote, haitakuwa kwa shauri langu. Yeyote atakayekushambuliaataanguka kwa ajili yako.
Isaya 54:17
Kila silaha itengenezwayo juu yako haitafanikiwa, na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumukuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, nahaki yao inayotoka kwangu mimi, asema BWANA.
MAOMBI
Baba katika Jina la Yesu, nashukuru kwa kunipa mamlaka yakunyaga nge Na nyoka, Na mamlaka dhidi ya adui, na hamnakitu kwa namna yoyote ile kitanidhuru.
Ninakushukuru kwa kuwa chochote nitakachofunga dunianikimefungwa Mbinguni, Na chochote nitakacho ruhusu kitakuwakimeruhusiwa Mbinguni.
Baba Leo hii nasimama Na Kristo Na kujivika ngao yote yaMungu, najifunga Kiuno changu Na ukweli, navaa ukandaa Na utii begani, navaaa ngao ya imani, na helmet ya wokovu Na viatu vya injili ya Kristo.
Nanyanyuka Leo Na kupambana Na mishale yote ya adui dhidiya ndoa yangu Na maisha yangu.
Leo hii natangaza hukumu juu ya mamlaka zote Na nguvu za giza, watawala wa gizani Na wamiliki wa kiroho wa uovu katikanafasi za juu.
Nateka nakuhukumu kila viashiria viovu dhidi ya ndoa yanguNa nyumba yangu kushuka kuzimu kwa Jina la Yesu.
Na declare kuachiwa kwa upepo wa Ki Mbingu kufatilia kikaochochote kilichokaliwa au kitakacho kaliwa dhidi yangu, kuzuiaharusi yangu, familia yangu Na hatma yangu Na kuvisambaratisha kwa Jina la Yesu.
Sababu Mungu yupo Na Mimi hakuna kitu wala mtu anawezakupingana Na Mimi katika Jina la Yesu.
Mipango yote ya wale wanao niwazia uovu mimi Na ndoayangu iharibike. Uovu wao ugeuzwe Kwako wenyewe.
Naamuru kila kikwazo Na kizuizi cha ndoa yangu kiondoleweLeo Na hata milele katika Jina la Yesu.
Leo kwa Jina la Yesu nawafunga waangalizi wote wa kipepo, wanaofatilia ndoa yangu kwa Jina la Yesu.
Navunja kila roho za kukaribia kupata Na kuishia kuaibika.
Na declare ndoa yangu itafanyika Na itadumu Na kushangazamategemeo ya binadamu.
Navunja kiini cha kutokufanikiwa Na kufa mapema kwa ndoayangu. Navunja kila mpango wa kiroho wa kudhoofisha ndoayangu.
Nageuza Na kurudisha kwa mtumaji mishale yote miovu dhidiya ndoa yangu.
Na declare hakutakuwa Na bahatimbaya tenaaa kwa habari yandoa yangu Na nyumba yangu kwa Jina la Yesu.
Na declare yote haya Leo hii kwa Jina la Yesu.
Mwenza wangu aliepangwa Na Mungu atajitokeza, tutakutanaNa mioyo yetu utajua.
Nitaolewa kwa utukufu na ndoa yangu itavuta neema kubwa Na baraka toka kwa Mungu.
Ndoa yangu itafungua milango mipya ya mafaniko Na neema kwa wote watakao Shikamana Na Mimi.
Ndo yangu haitarithi uovu wa familia zetu. Uchumi wanguhautaporomoka baada ya ndoa.
Ndoa yangu itakuwa habari ya ushindi. Wakwe zanguwatafanyika baraka kwangu. Uchumi utakuwa mwingi. Mipangoya harusi yangu itakuwa mororo katika Jina la Yesu.
Vazi za aibu, kucheleweshwa, kuonekana mjinga, kuchanganyikiwa liondolewe juu yangu, ndoa yangu Na maishayangu kwa Jina la Yesu. Disappointments zote zigeuke baraka kwa Jina la Yesu.
Malaika wa Mungu wanitambulishe kwa mchumba wangu nakutukutanisha katika njia ya ajabu kwa Jina la Yesu.
Leo na declare Mungu amebeba vita yangu, ni kiongozi wamipango ya ndoa yangu Na maandalizi.
Ndoa yangu itafanyika, Na utukufu utakuwa kwa Mungu peke yake katika Jina la Yesu.
Nainuka dhidi ya kila shambulio la kiroho Na mwili dhidi yandoa yangu. Navunja agano lolote linalojulikana Na lisilojulikana linalo pinga hatma ya ndoa yangu kwa Jina la Yesu.
Najitenga na connection yoyote ovu ya kiroho au kimwiliinayohusika kuchelewa na kukawia kwa ndoa yangu kwa Jina la Yesu.
Nateka kila wazo kuanzia leo kuendelea kufanya kazikunifanikisha katika Jina la Yesu.
Baba naomba huruma zako na rehema zinene kwa habari ya past yangu.
Makosa yangu ya nyuma yasisimame kunihukumu dhidi ya ndoayangu. Kumbuka Rehema baba.
Alama yoyote niliyowekewa juu ya maisha yangu Na ndoayangu kutokana Na makosa ya nyuma, Mungu baba naombaDamu ya Yesu iondoe Leo kwa Jina la Yesu.
Kila habar mbaya zinazo enezwa nisiolewe Na kunitenga Na watu zibadiishe kuwa favor kwangu kwa Jina la Yesu.
Na declare kuanzia hapa hakutakuwa na uhalali dhidi yangu Na hatma ya ndoa yangu kwa Jina la Yesu.
Mungu anafanya jambo jipya maishani mwangu Na ya kale yamepita.
Mimi ni mpya kimawazo, bora kwenye subira Na utiii, mwenyehekima kwenye kuamua, Na tayari kwa matokeo halisi yamwenza wangu katika Jina la Yesu.
AMEN
Day 5 – Somo la mchana
Jamani wale wa Delay spirit ndo vikwazo vya kiroho
Kama unaota ndoto za shule, mitihani hujajiandaaa, hujuimaswali, uko kijijini au nyumba ya zamani ushatoka huko mdaSanaa. Zote hizo ni delay spirit.
Simama Na vifungu vya Jana, Na maombi ya Jana kweli kweli.
Na usipokuwa makini panakushilia kweli kweli Kama maanakuna ile roho ya almost! Unakaribiaaa kabisaaa process za ndoa. Au mnaenda vizuriii mpaka mnazaaa mtoto familia zinajuana ilandoa ndo kigongo kilipo! Unapoteza mda mwingi kuona hunatatizo. Bado kidogo tuuu! Wewe unakuwa nae miaka 4,5 mpaka10, na watoto umezaaa mkipishana kidogo tu anaoaaaa mwakahuooo au 2 haipiti. Na huko anatupa will you marry me hovyohovyo ni vile zingine zinakataliwa lakini kwako shetani 24/5 yuko nyuma yako kuhakikisha hapenyi mtu. Na utashangaaa siomwanaume mmoja woteeee unaokuwa nao kabla wanakuwa big catch kila mtu anakupongeza, kila mtu anaona Wivu baadaeanakufujaaaa Na kukunyanyasa kweli kweli, ukimuacha Anaoafasta Na huko anakuwa bonge ya mume. Tatizo sio wanaume. Ni wewe. Maana wote mwisho wanakuwa Kama ndugu kwakukutenda yale yale. Mtu kabadilika kuzimu ile ile. Ni shetanianawatumia kukuumiza wakiwa Na wewe. SO ONCE AND FOR ALL DEAL NA SHETANI MUWEKANE SAWA AACHANE NA WEWE!
Anakuacha wewe anaenda kuoa mwanamke wa ajabu ajabumpaka mwenyewe anashangaaa imekuwajeee? Mbona wewehuna tatizo. Ni mwema. Na akiulizwa flani alikufanya niniHAKUNA!! HAKUNA SABABU ZA MSINGI! Ila ndomshakosa wote.
SASA UMEKUBALI HIO HALI TANGU UNA 25 MPAKA LEO! IMETOSHAAA! NA KINACHOKUUMA YOU ARE TRYING YOUR BEST ALWAYS KUWA MWEMA! NAKUELEWA! NDO MAANA MUNGU KANITUMA NIJE NIKUPE PASSWORD! INATAKIWA MKABANE NA SHETTANI LEO MPAKA UMFURUSHE TOKA KWENYE MAISHA YAKO NA TAKA TAKA ZOTE ILI ASITHUBUTU KUKUWEKEA VIKWAZO VYA KIROHO TENAAAA!!!
Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, nayeatawakimbia.
Leo ndo umpinge kweli kweli mazoea mazoea Na mahusianoyako Full Stop!
ZAMA KWENYE MAOMBI LIKE NEVER BEFORE! MPAKA AKIMBIE! UWE HURU!
Kwa hio tumeelewana lakini ukiamua kwa dhatiii kabisaaa kuwajasiri unaeleweka ulimwengu wa roho. Wazungu wanasemaCOURAGE IS THE BIGGEST MAGIC OF THEM ALL! Ukiwa jasiri kuthubutu Na kuweka nia ni zaidi ya uganga. Hakunaaa wa kukuzuiaaa! Hata wakuu wa anga watabakiakukuangalia unavoondoka gerezani.
DAY 5 saa 9 Alasiri
MAOMBI
Leo ni Siku ya wokovu wangu, Leo Mungu wa Mbinguniataharibu kila roho ya ucheleweshaji , mitego ya kiroho navizuizi vya kiroho katika Jina la Yesu. Kuchelewa kunakatishasana tamaa, maandiko yako yanasema
Mithali 13:12 Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima. Baba hatmayangu ya ndoa imechelewa, moyo wangu unaugua, kwa nguvuya ufufuo wa Kristo nateketeza kila aina ya vikwazo vya kirohoinayonishikilia in the mighty name of Jesus. Kila roho yakuchelewa Na kuzuiwa kufika hatma yangu naitupa kuzimu kwaJina la Yesu.
Kila nguvu inayorefusha safari yangu ya kufukia hatma yanguya ndoa anguka chini Na ufe kwa Jina la Yesu.
Kila tatizo niliojiletea maishani kuruhusu vikwazo vya kiroho navizuizi vya kiroho yeyuka sasa kwa Damu ya Yesu. Navunjaharakati zozote Na nguvu zozote za vikwazo vya kiroho kwenyemaisha yangu kwa Jina la Yesu.
Navunja Na kufuta maagano Na laana zote za roho za kucheleweshwa katika Jina la Yesu. Matokeo yoyote ya vikwakoNa vizuizi vya kiroho futika sasa kwa Jina la Yesu.
Roho zote za kunirudisha nyuma Na kuzuia matokeo yangushika moto wa Mungu sasa Na teketea kwa Jina la Yesu.
Mungu baba nakataaaa roho ya kukataliwa. Kwa neema za Mungu sitokula makombo ya baraka kwa Jina la Yesu.Nakataaaa baraka zisizo Na mifupa kwa Jina la Yesu. NKilaroho ya kunikeraa Na kuninyongonyeza safishika sasa kwa Jinala Yesu. Kila maelekezo maovu, unabiii muovu ulio achiliwa juuya hatma yangu kwamba nitaenda kwa speed ya Konokonofutika sasa kwa Damu ya Yesu.
Nakataaa roho ya kushika Mkia, nadai roho ya kuwa kichwa Na sio mkia kwa Jina la Yesu. Roho zote za mimi kuwa wa mwishokuolewa Leo hii zishike moto ulao Na kuteketea kwa Jina la Yesu.
Napokea usafiri wa malaika kufika Mungu aliponikusudia hatmayangu kufika.
Mungu baba nirushe kwenye juuu wako kama ulivomvushaDaniel ndani ya Babeli.
Nakataaa baraka za msimu nakusihiii unibariki baraka za kudumu kwa Jina la Yesu.
Nakataaa roho ya kukata tamaa kwa Jina la Yesu. Mungu baba sambaratisha adui zangu wote wanaoniwekea vikwazo vyakiroho Na ngome zao zote vipande vipande kwa radi yako kwaJina la Yesu.
Napokea uhuru wangu sasa Na utakuwa wa kudumu in the mighty name of Jesus.
AMEN
DAY 5 Saa 12 jioni
Kama tulivokubaliana kutokana na unyeti wa hiki kipengele, Tu focus sanaaa kumsihi Mungu.
So mda huu utasimama Na huu mstari Na kuzama kwenyemaombi ya saa 9 tenaaa! Omba kadri uwezavyo! Omba Kama ambavo hujawahi omba maishani mwako.
Danieli 9:19 Ee Bwana, usikie; Ee Bwana, usamehe; EeBwana, usikilize, ukatende, usikawie; kwa ajili yako wewe, EeMungu wangu; kwa sababu mji wako na watu wako wanaitwakwa jina lako.
DAY 6 – Midnight prayers
Zaburi 32:8-9
Nitakufundisha na kukuonyesha njiautakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama. Msiwekama farasi wala nyumbu, Walio hawana akili. Kwa matandikoya lijamu na hatamu Sharti kuwazuia hao, au hawatakukaribia.
NAWAPONGEZA LEO TUMEMALIZANA NA VITA RASMILEO TUNAANZA MAOMBI YA KUMSIHI TU MUNGU NA KUJADILIANA NAE JINSI GANI ANATUKABIDHI HILO TAJI!
HIZI SIKU 5 NI MAOMBI TU YA KUTENGENEZA NA MUNGU ADUI TUSHAMALIZANA NAE, TUSHAMKATAAA HADHARANI. THEN ZILE 4 ZA MWISHO TUTAKUA TUNA PROVOKE DEVINE INTERVENTION SIKU HIO HIO! LIKE MKESHA! MAJIBU YA WAKATI HUO HUO, ISHARA, MAAGANO, NADHIRI VILE VITU MNAPENDA TO SEE ACTION
LEO TUNAOMBA DIRECTION/ UELEKEO NA BUSARA TOKA KWA MUNGU! Uelekeo taji liko wapi la ???! Sawa umeshatoka shimoni unashangaa shangaaaa! Unaombamuongozo toka juu Wapi nielekeeee nikachukue taji langu.
Lile swali lenuuu pendwaaaa! The milliondollar question IS HE THE ONE? Leo ndo mahali pale
Niwe muwazi direction ina gharama zake. Kuna milango Munguataifunga ghafla sanaaa! Na Kuna milango ataifungua ghaflasana vile vile. Ndo uelekeo huo. Usifadhaike Kama lango lako la Dear Ex litavopigwa kufuli aina ya Solex! ndo lango la dear Hubby litafunguliwa waaaaah! Kama Lango la gereza la Paulo na Sila! Kuwa tayari. Wale drama queen sijui itakuwaje? Ila mtafika tu!
Isaya 30:21
Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako, likisema, Njia ni hii, ifuateni; mgeukapo kwenda mkono wakulia, na mgeukapo kwenda mkono wa kushoto.
Mithali 16:9-10
Moyo wa mtu huifikiri njia yake; Bali BWANA huziongoza hatua zake.
Mithali 2:6
Kwa kuwa BWANA huwapa watu hekima; Kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu
MAOMBI
Baba yetu ulie mbinguni Leo hii nadeclare kwamba nakuaminikwa moyo wangu wote sitaki kutegemea uelewa wangu binafsi.
Naji commit kutambua uweza wako kwenye mambo yangu yote, Na nakuamini kuninyooshea njia zangu za kupata mwenzasahihi w kufikia hatma yangu ya ndoa katika Jina la Yesu.
Baba nakumbushia ahadi yako ya kuniongoza, kunifundisha njiaya kuelekea, Na kunishauri kwa jicho lako juu yangu. Nakushukuru kwa ahadi hii ya kuniongoza katika Jina la Yesu.
Mungu naweza kuona njia zote ni sahihi mbele zangu, Na Mara nyingi sishauriki Na nina udhaifu wa kutoona makosa yangu, Leo hii najikabidhi kwako, uondoe mawazo yote mabayayatayonipoteza Na kuniumbia mawazo mapya ya kukupendezapale napotafuta mwenza sahihi katika Jina la Yesu.
Bwana Yesu katika swala la hatma yangu ya ndoa, nina saliKama ulivo sali ukiwa duniani, hutafuti mapenzi yako Bali mapenzi ya alie kutuma yatimizwe, Bwana nataka kutimizamapenzi yako. Nijulishe mapenzi yako kwa Jina la Yesu.
Bwana ulisema ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa. Leo hii naomba muongozo wako, natafuta kujua mapenzi yako juu ya hili Na nagonga mlangowako.
Bwana nisaidie kupokea, kupata Na kunifungulia mlango kwaJina la Yesu.
Baba ulisema utawafundisha wanyenyekevu njia zako, Na kuwaongoza njia sahihi.
Wewe ni Mungu wa wokovu wangu. Nifundishe njia zako Na kweli yako. Bwana nijulishe mwenza wangu tutaefikia hatua yandoa.
Ongoza hatua zangu kukutana Na mtu sahihi ulimteua kwa ajiliyangu. Na nitapo muona Huyo mtu nipe uwezo wa kutambuaHilo katika Jina la Yesu.
Baba kuna matamanio mengi moyoni mwangu, nayakabidhiyote Na kukuachia uniongoze.
Hata nikiwa napanga mandingo ndingo yangu bila kujijua nirehemu Na ongoza njia zangu katika Jina la Yesu. Leo naharibunguvu zozote zitakazo kwamisha Mimi kutambua na kuolewa namume mteule toka kwa Mungu kwa Jina la Yesu.
Kila roho ya ulaghai Na udanganyifu iliyo elekezwa kuzuiahatma yangu ya ndoa nainuka dhidi yako Leo hii. Nakufunga Na kukutupa kuzimu kwa Jina la Yesu.
Bwana, fichua kila kilichofichwa kitakachonisaidia kufanyamaamuzi sahihi kwenye mahusiano yangu katika Jina la Yesu.Nafunga kila roho ya makosa, Na nadecree makosa yangu yanyuma hayatasimama dhidi yangu kuzuia hatma yangu ya ndoakatika Jina la Yesu. Nafunga roho ya woga, mashaka, wasiwasi, kiburi, kujiona sifai Na sistahili kwa Jina la Yesu.
Nadecree Leo hii sitadanganywa Na washauri wabaya walaunabiii wa uongo, ndoto feki Na maono ya kuni poteza katikaJina la Yesu.
Nikimuona mume wangu mtarajiwa nijalie niwe na amanimoyoni mwangu na unipe uhakika, kwamba hii ndo njiaunayoniongoza Bwana.
Na declare ndoa yangu itamtukuza Mungu katika Jina la Yesu.
AMEN!
DAY 6 – saa 9 Alasiri
SOMO & MAOMBI
Isaya 34:16 Someni katika kitabu cha Mwenyezi-Mungu: “Hakuna hata kiumbe kimoja kitakachokosekana, kila kimojakitakuwako na mwenzake.” Maana Mwenyezi-Mungumwenyewe ametamka hivyo, roho yake itawakusanya hao wote.
Si mama na neno Hilo na tumia maombi ya Jana usikukumsihi Mungu akupe uelekeo Na busara
DAY 6 – Saa 12 Jioni
MAOMBI
Kadri navotayarisha akili yangu kwa ajili kwa ajili ya ndoa, baba naomba roho wako aniongoze kutambua ukweli Na uongo. Bwana niwezeshe kuangalia mbali na muonekano wa nje, Na nisikie Sauti yako moyoni mwangu kwa Jina la Yesu.
Baba naomba Mbingu ziingilie Kati, kunikitanisha Na mtu maalumu ulie niandalia. Niokoe na vyote vingaavo ila sio vyaki Mungu maana najua vingaavyo vyote sio dhahabu. Nisidanganyike Na maneno matupu kwa Jina la Yesu.
Baba nibatize Na namna yako ya Kufikiria, kuongea, Na hekima zako katika safari ya kutimia ndoa yangu kwa Jina la Yesu
Neno lako linasema 2 Timotheüs 1:7 Mungu hajatupa roho yawoga Bali upendo, nguvu na akili timamu. Hivo basi na declare katika Jina la Yesu Nina akili timamu, Na Nina jitambua.
Nafuta aina yoyote ya kuchanganyikiwa kwenye akili yangukwa Damu ya Yesu. Na naik ataaaa roho ya woga, katika Jina la Yesu.
Nina akili na ulimi wa mtu mwenye wokovu.
Najua cha kunongea mbele ya mtarajiwa.
Najua chakuongea mbele ya wakwe.
Najua cha kuongea mbele ya Marafiki.
Najua cha kusema mda wowote kuanzia nakutana Na muhusikampaka ndoa yetu. Sita ropoka lolote la kuharibu katika Jina la Yesu.
Mungu amenipa ulimi wa wakovu kwa Jina la Yesu.
Mwanga wa Mungu unaniangazia uelewa wangu, hamna gizawala kivuli tena. Na hamna kuchanganyikiwa kuanzia Leo kwenda mbele katika Jina la Yesu.
Nimeumbwa kwa mfano wa Mungu, nimepokea hekima yaMungu, sitachanganyikiwa tena. Na sito kwama tena katika Jinala Yesu.
Kama ambavo Mungu ambavo kamwe hatokuwa mpweke Na alietengwa hata mimi sita tengwa Na kutelekezwa katika Jina la Yesu.
Sitakosa mwenza kwa Jina la Yesu.
AMINA
Sasa maombi ya leo wengi mmenishirkisha Mungukuwasemesha mnapokosea
Wengi ni wazinzi. Watu wa mechi za ugenini Sanaa, mixer kuchepuka. Mixer mafiga matatu. Mungu anataka hiocommitment UTAACHA au wembe ule ule? Kama ukimshawishi Siku zako za kuwa waziri wa mambo ya njezimeisha. Atakupa mtu wako. Kumbuka Mungu anaonampaka rohoni!
DAY 7 – MIDNIGHT
Leo tunaendelea na Kutengeneza na Mungu. Tutasimama Na. AYUBU 22:28
Ayubu 22:28 Nawe utakusudia neno, nalo litathibitika kwako; Na mwanga utaziangazia njia zako
Soma Pia ZABURI 91 na ujikusudie wewe na mwenza wako. Na declare ulinzi, uchumi Na afya tele
UTAKUSUDIA / DECREE NDOA YAKO!
Tshafuta futa mambo mabaya uliyokuwa umekusudiwa, tumevunja vunja kila kitu. Kupo kweupeeee. Ni sasa muda wakupitisha jambo lako
SASA USIJE KUKUSUDIA MAMBO MADOGO KUTOKANA NA KUKAA SHIMONI MDA WENZIO WAKAKUSUDIA DUBAI WEDDINGS BAADAE UKAANZA KUINAMA MOYO. NAWAELEWA BY NOW MTU UNASEMA MUME YOYOTE TU MRADI ANAZALISHA MI FRESH TU! Hapanaaa hapaanaaa hatwendi hivo Ndoa Ni kitucha milele so kusudia vizuri kweli kweli
MAOMBI
Mungu baba, nasimama Na zaburi ya 91 na kudeclare Devine protection kwa mwenza wangu. Uwalinde watokapo nawaingiapo kwa Jina la Yesu.
Nadecree mwenza wangu hatakuwa victim wa strange men and strange women. Nawatenga Na mahusiano yote waliopo hukoyasiyo ya KiMungu yanayo wazuia tusikutane Na kukamilishahatma Yetu kwa Jina la Yesu.
Nainuka dhidi ya magonjwa, mashambulio, Na vifo vyamapema ambavo anaweza kuwa amekusudiwa katika Jina la Yesu
Nadeclare Mwenza wangu atabarikiwa uchumi Na hatutahangaika Na uchumi kwa Jina la Yesu.
Baba nasali kwamba nitakuwa mtu sahihi kwa mwenza wanguna atanikubali na kunipenda kwa Jina la Yesu. Baba nioneshekila nachokosea kwenye vitu navo fanya au kuongea vinavochelewesha ndoa yangu katika Jina la Yesu.
Ng’oa kila pando linalosababisha mawazo hasi, hisia, drama, power games, kibri, dharau ambavo vina muogopesha au kumkatisha tamaa mume wangu mtarajiwa kimwili Na kirohokwa Jina la Yesu.
Leo nahitomisha madhara ya maneno mabaya dhidi ya ndoayangu kwa Jina la Yesu.
Nadeclare Mwanga wa Mungu kwenye maisha yangu, Na nadeclare kwa usaidizi wa Kimbingu nitakutana Na ku connect Na mwenza wangu kwa Jina la Yesu.
Imeandikwa nitakusudia jambo litathibitika na Mwanga utaangazia njia zangu Ayubu 22:8
MIMI ………….(TAJA JINA LAKO) NAKUSUDIA MBELE ZA MBINGU NA DUNIA KWAMBA UPENDO UTANIFUATA! NA NITAFUNGA NDOA NA MUME MTEULE TOKA KWA MUNGU NA TUTAJENGA NDOA NA FAMILIA YA MFANO.
NA DECLARE HAKUTAKUWA NA KUKATALIWA TENAAAA! DISAPPINTMENTS NA DELAY HAZITAKUWEPO TENAAAA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS.
KWA KUWA IMEANDIKWA kwenye Waebrania 10:37 Kwa kuwa bado kitambo kidogo tu, “Yeye ajaye atakuja walahatakawia.
NDOA YANGU HAITAKAWIAAA TENAAAA KATIKA JINA LA YESU!
MIMI NA MTARAJIWA WANGU TUNAPOKEA USAIDIZI WA KIMUNGU KATIKA YOTE YATAYO FANIKISHA NDOA YANGU.
MIMI NA MTARAJIWA WANGU TUTAKUWA MWILI MMOJA TUMEUNGANISHWA KATIKA KUSUDI BILA UTENGANO, TUKIINUANA, SABABU WAWILI NI BORA KULIKO MMOJA KWA JINA LA YESU.
AMEN
DAY 7 – SAA 9 ALASIRI
Jana niliwaongoza sala ya kukusudia. Ulikuwa unafatisha script! Mchana huu kusudia vya kwako! Tamanio la moyo wako! Vile vyako personal sasa
Mfano nakusudia nipate mtu tajiri au mpoleee niwenamuendesha ?! Au HB! Awe Na Jokeri libeberu la kueleweka? Asiwe mfupi! Asiwe bahili! Iwe kabla ya december mahariunelipiwa. Wewe weka zile personal touch zako. Ambazo ndohaswaaa haja ya moyo wako! Yaani details flani extra extraunazohitaji Mungu azizingatie pia. Huwezi jua! Ombi lakolinaweza pa juu kama ubani likatua mezani kwa bwana, akaamua kuku bless kukushangaza
TUMIA STARI ULE ULE WA JANA
DAY 7 – SAA 12 JIONI
MAOMBI YA KU DECLARE FAVOR
Zaburi 5:12
Maana wewe Mwenyezi-Mungu wawabarikiwaadilifu; wawakinga kwa fadhili zako kama kwa ngao.
Psalm 5:12
Surely, Lord, you bless the righteous; you surround them with your favor as with a shield.
MAOMBI
Eeeh Mungu nifunike Na fadhili zako Kama ngao, nisababisheniwe sehemu sahihi, kwa wakati sahihi nikiwa najiandaa Na harusi yangu.
Nioneshe kila nachojitaji kuwa tayari kwa ndoa yangu, nijaliehekima Na neema ya kuvikamilisha kwa Jina la Yesu.
Leo na decree na kudeclare nina fadhili/ favor toka kwa Mungu. Nitapata fadhili Na kila mtu ataefanikisha ndoa yangu. Nitapatafadhili kwa mchumba wangu kwa Jina la Yesu
Nadeclare kwamba Mungu atainuka Na kunirehemu kwa kuwamda wa kunifadhili ndoa yangu umewadia katika Jina la Yesu.
Nadeclare kwa Fadhili za Mungu, napokea majibu yangu ya kilamaombi niliyo omba nyuma, Na napokea mavuno ya kimuujizakwa kila mbegu niliopanda kwenye ufalme wake katika Jina la Yesu.
Na decree Leo kwamba nitapata fadhili kwa wakwe zangu, nafamilia ya ukweni. Kama Mungu alivokuwa na Yusufu ndoatavokuwa na mimi, ni Yule Yule juzi, Jana Na Leo katika Jinala Yesu.
Leo naitokomeza roho ya uchungu, ukatili, wivu, Na husda dhidiyangu in the mighty name of Jesus Christ.
Kuanzia leo najitangaza mshindi Na sio mhanga wa mahusiano, kwenda mbele toka utukufu hadi utukufu. Kazi ya Mungu ipojuu ya maisha yangu. Mimi sio mvivu, siko idle Na sitakuwaidle, mimi ni mwenye thamani katika Jina la Yesu.
Nafanya mambo yatokeee. Napokea neema ya Mungu kutimizayote alionikusudia kutumiza katika Jina la Yesu.
Kila attitude adui alio ipanda ndani yangu Na kusababishanisifanikiwe ku fadhilika ingoke kwa Jina la Yesu.
Kuanzia Leo kwenda mbele, fadhili zitazungumza juu yangu, asubuhi, mchana Na jioni katika Jina la Yesu.
Kila mtu ambae sio sahihi kwenye maisha yangu, anaezuiahatma yangu kutimia, Na mtu sahihi kuja maishani mwangu, nawafukuza kwa Jina la Yesu.
Kuanzia leo nitavutia watu sahihi na breakthrough kwa Jina la Yesu.
DAY 8 – MIDNIGHT
Tutaombea UREJESHO! RESTORATION!!! CHOCHOTE ALICHOKUIBIA ADUI MUNGU AREJESHE
SASA KWA KESI YA UREJESHO SITAWAONGOZA NENO KWA NENO KWA KUWA CASES ZINATOFAUTINA SANA!
CHOCHOTE CHA KWAKO KILICHOPOTEA AU KUIBIWA NA ADUI MUNGU AKUREJESHEEE! UKILIA NA MUNGU VIZURIII HAPAAAAAAA! AAAAAAH SIO MWENZETU! YAAANI IKIWEZEKANA KAAA KWENYE MAJIVU KABISAAAA!
MAANA KAMA KIBALI CHA NDOA WAMEKIZIKA HUKO KIJIJNI KWENU ULIKIGALAGALA MASAA 24 TU HAYA VIZURIII! MUNGU ANATUMA MALAIKA WANAENDA KUKIFUKUA NA KUKUKABIDHI! GHAFLA TUUU YAANI GHAFLAAA MTOTO WA MAMA MKWE ANGANGANIA, ANALIAAAA ANAKOMAAA ANATAKA KUKUOA KESHO KESHO HATAKI KUSUBIRI! RAHA YA UREJESHO ANAFANYA MUNGU!
ILI UREJESHO UFANYIKE LAZIMA UWE NA IMANI YA KUHAMISHA MILIMA! UKISOMA BIBLE MUNGU HATA SIKU MOJA HAFANYI UREJESHO AT YOUR LOWEST POINT
UREJESHO HAUJI UKIWA UMEKATA TAMAAA!
KILA AINA YA DEVINE INTERVATION INA MAZINGIRA YAKE KUI ACTIVATE!
UKIWA UMEKATA TAMAA USIHANGAIKE NA UREJESHO MAZINGIRA YATAKUANGUSHA OMBA REHEMA NA HURUMA! SABABU HATA UKISOMA BIBLE AKAMPIGA GOLIAT SHETANI ANAKWAMBIA HUYO NI DAUDI KUNIPIGA MIMI SAHAU! UMESHINDWA MARA NGAPI? SAHAU! UNAYEYUKA KAMA BARAFU! KWA STYLE HIO UTAFIKA!
UKIWA FITI KALIKITI! IN YOUR SPIRIT YANI UKO VIBE UKOO MOTO UKO FULL CHARGE! YAANI UMEWAKAAA! HATA UKISOMA BIBLE AKAMPIGA GOLIAT UNARUKAAA SAFIIII SANAA! VERY GOOD! MUNGU AKAWAPIGA WAFILISTI UNAITIKIA GOOD! THATS MY LORD! HATA UKISEMA AREJESHEEEEEE CHOCHOTE ALICHONIIBIA UNAAMINI NA KUKIONA KINARUDIIII LIVE! YOU FEEL IT COMMING BACK! HATA SHETANI MWENYEWE ANAJUA YOU MEAN BUSINESS! ANASEMA CHUKUA MAMA!
KUKATA TAMAA HAIJAWAHI KUWA SILAHA YA USHINDI SIKU ZOTE NI NGAO YA SHETANI KUKUSHINDA! ANAJUA AKIKUSHINDA HAPO HUWEZI KUINUKA KISAWASAWA DHIDI YAKE!
MUNGU ANA NGUVU NA NENO LAKE LINA NGUVU SANAAA! ILA PASSWORD YA KU ACTIVATE HIO NGUVU NI IMANI YAKO!
IMANI YAKO INATAKIWA ISHINDE DOUBTS ZOZOTE ULIZONAZO NA FOR ONCE UIAMINI NGUVU YA NGUVU BILA MASHAKA YOYOTE! NDO ITAFANYA KAZI KWENYE JAMBO LAKO!
SASA HAPA KAMA UPO KWENYE PITY PARTY NA KUKATA TAMAAA ITAKUWA NGUMU! BORA UJIZIME DATA TAMAA UTAKA KESHO KUTWA! KWANI UMEKATA MARA NGAPI? FOR ONCE KUWA SERIOUS BASI, MEAN BUSNIESS KUDAI VYAKO!
MAANDIKO YA KUSIMAMIA
2 Wakorintho 5:17
Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristoamekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama! Yamekuwamapya.
Yohana 10:10
Mwizi huja tu kuiba, kuua na kuharibu; miminilikuja ili wawe na uzima, tena wawe nao tele.
Ezekieli 36:26
Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatiaroho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndaniya mwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama.
Yeremia 30:17
Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponyamajeraha yako, asema BWANA, kwa sababu wamekuita, mwenye kutupwa, wakisema, Ni Sayuni, mji ambao hakuna mtuautakaye.
Isaya 61:7
Badala ya aibu yenu mtapata maradufu, na badala yafedheha wataifurahia sehemu yao; basi katika nchi yaowatamiliki maradufu; furaha yao itakuwa ya milele.
Yoeli 2:25-27
Nitawarudishia miaka ile iliyoliwa na nzige, kilakitu kilicholiwa na tunutu, parare na matumatu, hilo jeshi kubwanililowaletea! Mtapata chakula kingi na kutosheka; mtalisifujina la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, aliyewatendea mambo ya ajabu. Watu wangu, kamwe hawatadharauliwa tena. Mtatambua kwamba mimi nimo miongoni mwenu, enyiWaisraeli; kwamba mimi Mwenyezi-Mungu, ndimi Munguwenu wala hakuna mwingine. Watu wangu, kamwehawatadharauliwa tena.
Maandiko yote hayo Mungu anaongea jambo moja tu!!! KUMREJESHEA MTU KITU MARA DUFU KULIKO ALICHOIBIWA KWAKE NI JAMBO DOGO SANAA!
Amezungumza Hilo swala tena Na tena. Kama Hana nia yakukurejeshea asingerudia rudia. Mungu sio mtu adanganyekwamba anaweza kurejesha afu awe Hana mpango huo. Kuhisihatorejesha ni dhambi kubwa sana. Kwanini uhisi Munguataenda kinyume Na maandiko yake? Sio nature yake.
MAOMBI!
Baba nakuja mbele zako kukurudishia sifa Na utukufu, napoenda kuomba urejesho wa vyote nilivoibiwa Na adui, baba naomba encounter yako, naomba nioneshe kwamba restoration imefanyika.
Baba neno lako linasema adui huja ili kuiba, kuua, Na kuharibu. Baba adui ameniibia mahusiano yangu, ndoa yangu, nyumbayangu, familia yangu, mume wa ujana wangu Na malengoyangu. Adui ameua furaha yangu, imani yangu, matumainiyangu, Na malengo yangu Na ameharibu majira za maishayangu.
Baba neno lako linasema Yesu alikuja ili tuwe Na uzima, tenatuwe nao tele. Leo hii nasimama mbele yako kwa habari za urejesho wangu. Baba kwa Jina la Yesu Na mamlaka yaliopokwenye ufufuko wake naomba kila alichoniibia adui maishanimwangu Devine intervention inisaidie arudishe Mara dufu sawasawa na neno lako katika Yeremia 30:17 kwamba utatibumajeraha yangu. Baba mahusniano yangu yamejeruhiwa tena Na tena. Leo hiii nakomesha kabisaaa roho za kuvunjwa moyo kwaJina la Yesu. Sitajeruhiwa tena kwa Jina la Yesu. Na Furahayangu ilio Ibiwa na adui na kuniachia majerehaaa kwa nguvu za ufufuo wa Bwana wetu Yesu Kristo nairejesha Leo hii Mara dufu kwa Jina la Yesu.
Mungu baba nirejesheee mahusiano yangu Na kibali changu cha kukubalika Na kupendwa, miaka yangu ilioliwa Na nzige kwakukaa bila mahusiano au kwenye mahusiano mabovu irudi Mara dufu kwa Jina la Yesu.
Baba nakusihi unirejesheee heshima yangu Na kibalikilichoibiwa Mara dufu sawa sawa na neno lako kwenye Isaya61:7 in the mighty name of Jesus. Baba heshima yangu itarudiNa itarudi maradufu Na nitaheshimishwa kwa kuolewa ndoaTakatifu kwa Jina la Yesu.
Baba wewe ni Alfa na Omega ni Mungu urejeshae, nakusihi Leo hiii nikapokeeee urejesho wa kila alichoiba adui kuzuia au kuchelewesha ndoa yangu kwa Jina la Yesu. Arejeshe leo hiimaa dufu nikakamilishe hatma yangu ya kufunga ndoa in the mighty name of Jesus.
Bwana Yesu Kama ulivomfufua Lazaro, kwa nguvu ile ilenakusihi ufufue vyote adui alivoua kwenye mahusiano Na maisha yangu kuzuia au kuchelewesha ndoa yangu. Leo hiiichochote alichoua adui kifufuke Na kurejeshwa kwangu kwaJina lako Yesu.
Natumia funguo ya Daudi kufungua kifungo chochotekinachozuia hatma yangu ya ndoa kwa moto in the mighty name of Jesus.
Kwa Damu ya Yesu nalipa madeni yoteeee Na kuvunja uhalaliwa kushikilia vitu vyangu. Kwa Damu ya Yesu vyotevinavoshikiliwa Na maagano Na uhalali kwa nguvu za gizavitarejeshwa kwangu Leo hiii kwa Jina la Yesu.
Narejesha mpango wa Mungu juu yangu ulio ibiwa Na shetanikwa Jina la Yesu.
Kila kilicho changu ambacho Mungu amenikusudia Na kipomkononi mwa adui nakirudisha sasa kwa Jina la Yesu.
Napokea upako wa Restoration kwa Jina la Yesu
Mungu rejesha juhudi Na jitihada zangu zilizo potea kwa Jina la Yesu.
Neno lako linasema kwako Mungu vyote vinawezekana, Na Urejesho wangu unawezekana kwa Jina la Yesu.
Baba achilia urejesho kamili juu ya maisha yangu sasa, maanawewe ni Mungu urejeshae Na unaenda kunirejesha Mara dufukwa Jina la Yesu ninaomba huku nikiamini.
Kila Mlango uliofunga mbele zangu unaenda kufunguka kwaJina la Yesu Na ninaenda kupita.
AMEN
DAY 8 – mid day yote
SOMO & MAOMBI
Sasa Mchana huu mpaka saa 12 kuna process za urejesho zinatuhusu sisi Na zingine Mungu
MWANA MPOTEVU
Mpaka adui amefanikiwa kuiba maana alikushinda nguvu. Kuna mahali ulienda sivo ukampa uhalali
Zinaaaa kuogopa kuonekana mshamba, usuria, udangaji, mitaaala kuwa na mafiga ma 3, waume za watu, kulala nawanaume hovyo hovyo , kwenda kwa waganga, abortion navyote ulivofanya kwenye hustle zako! Kidunia uliona you need to do what you gotta do! Kiroho ulimsinya Mungu.
Marko 3:27
Hawezi mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtumwenye nguvu, na kuviteka vitu vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu; ndipo atakapoiteka nyumba yake.
LUKA 15:11-32
MWANA MPOTEVU Soma yote)
REFLECT JINSI CHOICE ZAKO ZA MAISHA ZILIVOMKOSEA MUNGU NA KUKUSABABISHIA KICHAPOOO KITAKATIFU! UMEKOSA HESHIMA YA NDOA UNABAKIA KUISHI NA MINGURUE TU YA KIUME, INAKUTUMIA TU KUKUOA HAITAKIIII, MARA IKUONE WEWE WA KUIZALIA TU ILA UBAKI HUKO HUKO KWENU, HESHIMA KWAKO NI NO NO!
UMEWASINYA WAZAZI WAKO, WANABAKIA KUJIKAZA TU, UMEJISINYA MWENYEWE SABABU SIO KUSUDI LAKO KABISAAA MAMBO KUISHIA HIVI! HAIKUWA LENGO HATA KIDOGO!
TAKE TIME KUTAFAKARI KWA KINA SAFARI YAKO! KAMA YULE MWANA MPOTEVU! SIJASEMA ULIE ULIEWAKATI UNATENDA ULIKUWA MTOTO MDO ILA JASIRI KWELI KWELI! SAHIVI NAPO INABIDI UWE MTU MZIMA KILEJA ILA JASIRI PIA!
KWAMBA KIUKWELI NILIKOSEA SANAAAA! ILA SIWEZI KUENDELEA KUISHI NA NGURUE! BABA YANGU ALIE MBINGUNI ANA KILA LILILO JEMA! NITARUDO KWA BABA NA KUMWAMBIA NIMEKOSA MBELE ZAKE NA MBELE ZA HII DUNIA! BORA NIWE HATA MTUMISHI WA MUNGU KULIKO KUBAKI HAPA!
NENDA NA MOYO ULIOVUNJIKA NA KUPONDEKA MBELE ZA MUNGU! USIJIHESABIE HAKI! KWELI POMBE ULITEKETEZA, ZINAAA NDO USISEME NA VINGINE SASA HAKI GANI UNAYO JIHESABIA? MWAMBIE BABA KWELI NIMEZINGUA NIREHEMU TU MAANA KULE NIMESHATESEKA KULIPIA! NIREHEMU!!!!
MUNGU AKIKUREHEMU NA KUKUREJESHA UPANDE WAKE RESTORATION NI AUTOMATIC
Roho Mtakatifu amenisemesha mambo kadhaaa. KuhusuRestoration kwanini wengi mnakwama
UZEMBE NA KUTUPA MANENO HOVYO HOVYO! SHETANI ANAYATUMIA KUKUSHTAKI!
Bora nizae tu wanangu, Sina shida ya ndoa mimi najimudu. Maneno hayooo umeyatupaa.
Na focus kwenye career yangu mume wa kazi gani nini?
Mimi sitakuja kuolewa niteseke thubutuuuu!
Mimi Sina dhiki ya ndoaaaaa! Unajimalizaaaa mwenyewe kwaraha zako out of emotions.
Kiukweli watu wakukuzonga zonga about marriage inaboaaaSanaa tu, sio kwa ubayaaa unatupa tupa mineno Kama self-defense. Sasa Yule muovu anakushtaki nayo.
Hajaishi Kama ulimaanisha au uliropoka tu Ila maneno yanaumba na yaliumba li chatu limekumeza
Ukisoma Maandiko
Waamuzi 11:30-40
Ni habari ya Jefta yupo vitani midadiimempandaaa Kama yote, Ana vibe la Mungu hatariii. Ana tupamaneno kwa kujiapiza Kama Mungu akiwasaidia wakashindabasi chochote cha kwanza kitakacho toka ndani kwakeatakaporudi anakitoa sadaka kwa Mungu. Mungu akafanyayake, wakashinda. Anarudi nyumbani ambako Ana binti mmojatu ndo roho yake, Na ndo wa kwanza Kumlaki. Yaaaaaniiii! We acha tu. Soma mwenyewe ujioneee.
Waamuzi 11:36
Binti yake akamwambia,Baba yangu, weweumemfunulia BWANA kinywa chako; basi unifanyie sawasawana hayo yaliyotoka kinywani mwako; kwa kuwa yeye BWANA amekulipia kisasi juu ya adui zako, hao wana wa Amoni.
Mathayo 14:6-16
Binti herode Ana nengua kweli kweli katika birthday ya baba yake. Kila mtu anakubali show. Out of emotions Na vibe Herodeanamwambia omba lolote mwanangu Na Mimi nitakupatia. ANAYATUPA MANENO! Hovyo hovyo. Na mvinyoumemkolea. Binti anaenda kwa mama yake ana muuliza niombenini? Mama anamwambia OMBA KICHWA CHA YOHANA MBATIZAJI KWENYE SINIAAAA!!! Binti anaomba mbele yaumati. Herodeeer Ana umiaaaa sanaaa snaaaaa. Ila ndoalishayatupa maneno tena hadharani. Soma uone ili ilivo kuwa. Binti MWANAHIZAYA KWELI YULE MJAA LAAN!
Wengi mmeyatupa meneno kwa vibwana vyenu vya usichanawenu kwa kurudiaaa rudiaaa Shetty anayo nukuu kwenye diary!
Mimiiii usiponioa weweee nitakufa bila kuolewaaaa! Naaapaaa! Unajiapiza mwenyewe Kama Jinga. Mimi ukiniacha wewe sitaki tena wanaumeeee. Mahusiano mimibaaas! Mimi sitakaaa kuja kukutoa moyoni mwangu! Wewe tenaaaaaunatupa maneno kwa raha zako.
OMBA TOBA YA UZEMBE WA KUTUPA MANENO NA VIAPO HOVYO HOVYO! NA HAKIKISHA HATA UWE EMITIONAL VIPI HATA AKUCHOKOE VIPI HUTUPI MANENO!
PLAN B BADO MNAZO!!! BADO MNA PLAN B ZENU JAPO MNAENDELEA NA MAOMBI MAMBO YENU YA 50/50
Roho Mtakatifu kanisemesha kwamba wengi bado mna plan B Na bado mpo kwenye state ya 50/50 yaaani 50% mnaamini this time uwezekano ni mkubwaaa baadhi mmefika 80/2?! Lakini bado suala la kuwa na matumaini huko nyuma afu vi Puto vya matumaini vikakutana Na bikari ya Shetty bado trauma ipo kichwani. Mwingine unajisemea Siku nikivaaa shela ndo nita-amini!
Unfortunately imani ni kitu ambacho inakubidi upambanemwenyewe Na kudhamiria kufika level za juu. Hata mtumishihawezi kukuongezea imani. Msiniangusheee jamaniii.
We mpaka umri huo umefanya Plan A uko Z Na bila bila. Sasakweli huu mda ni wa wewe kucheza karata ya plan kweli??? Sasa hizo plan zote zimefeli what make you think hio ulio nayosahivi itafanya kazi? Embu kemea roho yako iwe serious for once!
FOR RESTORATION MUNGU ANAHITAJI UWE LEVEL YA MOYO ULIOVUNJIKA NA KUPONDEKA NDO AREJESHE!
MOYO ULIOVUNJIKA NI MOYO AMBAO UMESALIMU AMRI NA UMEKUBALIIII PLAN ZOTE ZOTEEE ZIMEFELIIIII! MUNGU TU AINGILIE KATI KUKUOKOA YEYE!
HATA WATU WA NJE WAKIKUONA WANAONA KWELI HUYU MTU AMEFIKA MWISHOOO WA UJANJA WAKE! HUNA TEGEMEO WALA TUMAINI NI MUNGU TU NDO WA KUKUOKOA!
HUTEGEMEI PESA YAKO BANK, NAFASI YAKO OFISINI, UWEZEKANO WA KUFANYA IVF KUPANDIKIZA, KUTAFUTA MWANAUME UMUOE, HUTEGEMEI CHOCHOTE WALA HUNA MPANGO WOWOTE! NI MUNGU TU NA AKIKUKALIA KIMYA IMEKULA KWAKO MAAN KWA HAKIKA UMEFELI NA UMEFELI KABISAAA! HUNA LA KUFANYA UNANGOJA TU MSAADA WA MUNGU!
BE REAL WITH GOD, HUNA HAJA YA KUJITUTUMUA MBELE ZA MUNGU! MWAMBIE TU MUNGU WANGU INGILIA KATI, NIMEKWISHAAA, UMRI UMENITUPA MKONO, FAMILIA IMENIGEUKA, JAMIII INANIDHARAU NA KUNIONA KITUKO, NIMEOMBA KILA AINA YA MAOMBI, NIMEFANYA KILA KILICHOPO KWENYE UWEZO WANGU, NIMETOA KILA NILIVHOJALIWA NA NIMEPITA MAPITO BABA, BADO NIPO KWENYE MAPITO,
USIPOINGILIA KATI BABA KWELI MIMI NITAKUFA HIVI? NIMEJARIBU KUKUTAFUTA BABA KWA UWEZO WANGU WOTE NA USICHANA WANGU WOTE! NINI BADO SIJAFANYA? MTUMISHI GANI SIJAENDA? MFUNGO GANI SIJAFUNGA? LEO BABA NIKUMBUKE NA MIMI!
USIPONISIKIA BABA NIMEISHAAA SINA TEGEMEOOO, SINA PA KUKIMBULIA, SHETANI NISHAMTUKANA, NI WEWE TU BABA SINA MWINGINEEE!
NENO LAKO LINASEMA MOYO ULIOVUNJIKA NA KUPONDEKA EE MUNGU HUTAUDHARAUUU USIDHARAU MOYO WANGU LEO HII NA UNIFANYIE UREJESHO
Isaya 42:22
Lakini hawa ni watu walioibiwa mali na kuporwa! Wote wamenaswa mashimoni, wamefungwa gerezani. Wamekuwa kama mawindo bila mtu wa kuwaokoa, wamekuwanyara na hakuna asemaye, “Waokolewe!”
Isaiah 42:22
But this is a people robbed and spoiled; they are all of them snared in holes, and they are hid in prison houses: they are for a prey, and none delivereth; for a spoil, and none saith, Restore.
Ukisoma kwa kingereza unapata maana vizuri zaidi.
So kupata RESTORATION LAZIMA UOMBE NA UMAANISHE!
Nabii Isaya anasema kabisaaa kuna watu wameibiwa Mali Na kuporwa, wako shimoni Na gerezani. Wamekuwa nyara. LAKINI HAKUNA YAAANI HAKUNAAA ANAESEMA REJESHA!
Ndio nyinnyi sasa ambao bado mna plan zenuuu mnazo zijuawenyewe B mpaka Z! Hamsemi wala ham maanishi kupokeaurejesho
Leo session ya saa 12 Kuna maombi ya kinabiii Sasa inabidiwatu wote muwe sehemu tulivu ili muweze kuzingatiaa.
Kama utainua sadaka nwishoni, japo sadaka sio lazima huu nimda muafaka kuiandaa! Hata kwenye maandiko watuwaliokuwa wanatoa sadaka walikuwa wa ajiandaaa siokukurupuka.
Jitahidi kutoa sadaka ya kuuma Na ya kupendeza Mungu. MpeMungu the best Kama huwezi bora usitoe utatoa utakapo kuatayari.
Kaini asingeenda kutoa sadaka Siku ile aka mute tuyasingemkuta yaliyo Mkuta.
Kutoa sadaka bila maandalizi kuli Mcost Na Mimi ndo maananasisitiza SADAKA SIO LAZIMA! KAMA HAUPO TAYARI USTITOE WALA NINI UKAHARIBU MCHAKATO WAKO MZIMA! UTAWEKA TU NADHIRI NIKIWA TAYARI NITATOA AU MUTE TU! SADAKA NI HIARI! MUNGU HAJAWAHI LAZIMISHA MTU AU WATU WAMTOLEEE SADAKA! KWA HIARI YAO WALITOA! NA SABABU NI HIARI NDO MAANA HATEGEMEI MIYEYUSHO
Tunahitimisha Restoration. Kuna parts ulisimama wewe, Kuna parts za mimi sasa kusimama! Kama nilivokwambia nimeshavaaa nivera.
Part ya mwisho ni NENO LA MTUMISHI / NABII LA KUKUVUSHA. Kuna situation hutoboi bila neno la unabiii.Unabiii ndo unakupa push
2 WAFALME 6
Muujiza wa shoka
1Kisha, wana wa manabii wakamwambia Elisha, Angalia basi, mahali tukaapo mbele yako ni padogo kwetu. 2Basi twendempaka Yordani, twakuomba, tutwae huko kila mtu mti mmoja, ili tujifanyie huko mahali pa kukaa. Akajibu, Haya! Nendeni. 3Mmoja wao akasema, Uwe radhi, basi nakusihi, uende pamojana watumishi wako. Akajibu, Nitakwenda. 4Basi, akaendapamoja nao. Nao walipofika Yordani, wakakata miti. 5Lakini mmojawapo alipokuwa katika kukata boriti, chuma cha shokakikaanguka majini; akalia, akasema, Ole wangu! Bwana wangu, kwani kiliazimiwa kile. 6 Mtu wa Mungu akasema, Kiliangukawapi? Akamwonesha mahali. Akakata kijiti, akakitupa pale pale, chuma kikaelea. 7Akasema, Kiokote. Basi akanyosha mkono, akakitwaa.
Umepoteza mambo ma 3! umepoteza watu, vitu Na mda
Sasa Kama wanafunzi wa Elisha Shoka limezama ndani ya maji. Ukisema ulizamie kuna kufaaa, kuna mamba kuna vikwazo tele Kama vyote.
Wewe Kama wewe huoni njia, maombo tight kweli kweli mdaunaenda kila unalofanya halileti nafuuu. Ndo maana Kuna usemikila nabiii na zama zake!
Kuna zama unahitaji mtu anae jua njia, anaejua strategy na plan la kuweza kukuvusha. Na kutatua jambo.
Ndo maana wale watumishi wanakimbilia kwa Nabii Elisha. Maana wanajua Elisha atajua la kufanya. Wanamwambia bwana lile shoka tulio liazima limezama. Sasa itakuwaje?
Nabiii alijua cha kufanya. Akawauliza tu limeanguka wapi, akatupa kijiti, likapanda juu! Akamwambia liokote.
Yamkini wewe umehangaika kusaka ndoa yako iliozama miakaNa miaka, mkakati kwa mkakati! Kama Mungu aishivo Leo neno la kinabiii linaenda kuipandisha juuu kokoteilikozamishwa na kokote ilipo fichwa au kufukiwa itatoka in the Mighty Name of Jesus Na kuelea kuja ulipo Na utaichukua kwaurahisi kabisa.
Kama shoka lilivorejea kwa kuelea juu kinyume na laws of Physics, Na principles za dunia hiii, kwa neno la kinabiiii Ndoayako Na chochote adui alichokuibia kina enda kurejea kwakuelea juuu maji mpaka ulipo. Chenyeweeeee in Jesus name.
Nehemia 5:11-13
11Naomba, warudishieni hivi leo mashambayao, mashamba yao ya mizabibu, mashamba yao ya mizeituni, nyumba zao, lile fungu la mia la fedha, la ngano, la divai, na la mafuta, mnalowatoza. 12 Ndipo wakasema, Tutawarudishia, wala hatutataka kitu kwao; tutafanya hivyo, kama ulivyosema. Kisha nikawaita makuhani, nikawaapisha, ya kwambawatafanya kama walivyoahidi. 13 Tena nikakung’uta nguoyangu, nikasema, Mungu na amkung’ute vivyo hivyo kila mtunyumbani mwake, na kazini mwake, asiyeitimiza ahadi hiyo; naam, na akung’utwe vivyo hivyo, na kuwa hana kitu. Mkutanowote wakasema, Amina; wakamhimidi BWANA. Nao watuwakafanya kama walivyoahidi.
Eeee baba ulie Mbinguni, ulisema utarejeshaa baba! Uliesemautarejesha sawasawa Na neno lako la Yoel 2:25-27! Baba warejesheee watu waliondoka maishani mwao, vituvilivoondoka Na mda uliopotea Leo hii kwa Jina la Yesu.
Neno lako lako linasema
Hosea 12:13
Na kwa nabii BWANA alimtoa Israeli katika Misri, Na kwa mkono wa nabii alihifadhiwa.
Baba Leo hiii sawasawa Na neno la Nabii Elisha wavushe watuwako kutoka katika changamoto zao Na wafanyie urejeshokamili in the Mighty Name of Jesus Christ. Warejesheee ndoazao, mahusiano yao, nyumba zao, familia zao Na muda wao Na sawasawa Na neno la nabiii Elisha lile shoka lilielea kuwafata. Na vitu vyao vilivoibiwa na adui vieleeee kuwafata Walipo in Jesus name.
Baba katika Jina la Yesu warudishie furaha zao, matumaini Yao Na imani zao. Warejesheee watu wao, vitu vyao Na mda wao
Baba nakuja mbele zako kukusihiii uwaabariki NEEMA YAKO YA DEVINE SPEED KWENYE MAHUSIANO YAO!
Mambo yao yanaenda kwa kuchelewa, na umri wao umekwenda tayari.
Baba yetu ulie Mbinguni, katika ulimwengu wa roho, kwa nenola kinabiii na decree Na kudeclare DEVINE SPEED KATIKA HATMA ZAO ZA NDOA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS!!! SPEEED! DEVINE SPEED! TAKE THAT SPEED! DEVINE SPEEN BE UPON YOUR RELATIONSHIP! DEVINE SPEED YA NABII ELIJAH JUU YA MLIMA IWE JUU YA MAHUSIANO YAKO NA HATAMA YA NDOA YAKO KWA JINA LA YESU! DEVINE GRACE FOR SPEEED BE UPON YOU TODAY! MAHUSIANO YAKO NA HATMA YAKO YA NDOA VIKASHIKE KASI NA KUSIWE NA CHA KUKUZUIA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS!
YEYOTE ULIYE KWENYE GROUP HILI LEO HII SIKIA NENO LA KINABIII NA UPOKEEE NEEMA YA DEVINE SPEED KWENYE MAHUSIANO YAKO KWA JINA LA YESU!
HATMA YAKO YA NDO IKASHIKE KASI YA 4G! MBINGU ZIKAKUSAIDIE KUTIMIZA UNABIII HUUI NA KUKUFIKIA HATMA YAKO YA NDOA!
MKONO WA MUNGU UTOAO SPEED UWE JUU YAKO LEO HII KWA JINA LA YESU! KATIKA JINA LA YESU NAKUJA NA NENO LA KINABIII SIKIA NENO LA MUNGU NA POKEA NEEMA YA DEVINE SPEED NA MINYORORO YOYOTE INAYOZUIA KUSHIKA HII SPEED KATIKA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS!
KWA NENO LA KITUME NA KINABIII NA DECREE NA KUDECLARE DEVINE SPEED JUU YAKO, MAHUSIANO YAKO NA MAISHA YAKO KWA UJUMLA!
KILA KIKWAZO KINACHOKUZUIA SIKIA NEEMA YA MUNGU INAYOLETA DEVINE SPEED NA UACHIE SASA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS
MILANGO YOTE ILIOGOMA KUFUNGUKA KWAKO! MILANGO YA NDOA! MILANGO YA KAZI, MILANGO YA AFYA MILANGO YA KINABIII! MILANGO YA KITUME IN THE MIGHTY NAME OF JESUS EPHATAAAAA!!! FUNGUKA SASAAAAA! EPHATAAAA! FUNGUKA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS!
KILA KILICHOPOTEA KWAKO NA HAKIKUTAKIWA KUPOTEA KWA NGUVU ZA KINABIII NA KITUMEE, NAMUITA MUNGU WANGU ALIE HAIIII JUU YA JAMBO LAKO! KUANZIA SASA MPAKA DECEMBER KWA DEVINE GRACE UWE UNEREJESHEWA KILA ULICHOIBIWA NA ADUI MARA DUFU IN THE MIGHTY NAME OF JESUS! REJESHEWAAAAA! REJESHEWAAA!
NA YEYOTE MWENYE KITU CHAKO NA AMEGOMA KUKIACHIA NAMUITA MUNGU WA YESHURUNI SAWASAWA NA NENO LAKO
Kumbukumbu la Torati 33:26 Hapana aliyefanana na Mungu, Ee Yeshuruni, Ajaye amepanda juu ya mbingu ili akusaidie. Na juu ya mawingu katika utukufu wake. Akufanyie urejesho Mara dufu in the mighty name of Jesus.
Kila mahusiano ulioanza Na yanagoma kufikia hatama ya ndoasikia neno la Mungu sasa
Zekaria 4:9 Mikono yake Zerubabeli imeiweka misingi yanyumba hii, na mikono yake ndiyo itakayoimaliza; nawe utajuaya kuwa Bwana wa majeshi amenituma kwenu.
In the mighty name of Jesus.
Ninatamka mwaka 2022 ndo mwaka wa mambo yakokukamilika Na ndo mwaka wa wewe kupokea.
Kila destiny helper anaetakiwa kuja maishani mwako kukusaidiakufikia hatama yako atakuja kwa msaada wa Devine favor of Grace.
IN THE MIGHTY NAME OF JESUS I SPEAK AND DECLARE MWAKA HUU UTAREJESHEWA MARADUFU NA UTAINULIWA!
I DECREE AND DECLARE BY THE POWER OF THE HOLLY SPIRIT IN THE NAME OF JESUS CHRIST YOU WILL BE RESTORED IN FULL! AND THE GOD OF ISRAEL WILL GIVE YOU AN ENCOUNTER!
AMEN!
Day 9 – SOMO LA SADAKA NA MAOMBI YAKE
SADAKA INAYOLETA MATOKEO! (MSIE MPENDA KAJA)
JAMANI SADAKA SIO LAZIMA YA PESA! ALAFU NDO FASTEST NA EASIEST WAY OUT! UNATEKEKETEZA ASUBUHI UNASUBIRI MUUJIZA WAKO! STAY TUNED!
Sauli aliambiwa na Samweli Nabii kuwa watatoa wote sadakakwa Mungu. Walikubaliana vizuri kama sisi. Sasa Saul kafikakule Nabii akachelewa hakuja mda walio kibaliana. Watuwakaanza Kuchonga. Sauli bado mgeni kwenye ufalme kijanamdogo akaona si sadaka tu, akitoa Nabii aunikitoa mimi siimefika tu!
Weeeeeee! Akatoa bwana Yule! YALIYOMKUTA SOMA MWENYWE UONE.
MTUMISHI SADAKA ZANGU HAZIJIBIWI, NATOA SANAA SIPOKEIIII, SAULI MWENYEWE ALIVUNA HASARA KWA KUKOSEA MAELEKEZO YA KUTOA SADAKA
1 Samweli 13:13
Naye Samweli akamwambia Sauli, Umefanyaupumbavu; hukuishika amri ya BWANA, Mungu wako, aliyokuamuru; kwa maana BWANA angaliufanya ufalme wakokuwa imara juu ya Israeli milele.
1 Samweli 13:14
Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababuwewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru.
SADAKA ILE ILE, MUNGU YULE YULE, MFALME YULE YULE SAULI! KILICHOKOSEWA NI MAELEKEZO JINSI BWANA ALIVOTAKA ITOLEWE! ALITAKA NABII WAKE MTEULE SAMWELI NDO AMTOLEEE!
MAELEKEZO MADOGO YANAMGHARIMU UFALME
NA YANASABABISHA MUNGU ASIPOKEEE ILE SADAKA KABISAAA NA KUCHIA ADHABU JUUU
TOKA NITOE MTUMISHI MAMBO NDO MABAYAAA MABAYAAA! SADAKA NI HIARI SAWA ILA INATAKA UMAKINI SANAAA! KAMA HAUPO TAYARI BIRA USITOE KABISAA MPAKA UWE TAYARI
KUNA SADAKA NA SADAKA INAYOLETA MATOKEO!
Sasa ili sadaka ilete matokeo lazima MAELEKEZO YOTE YAFATWE! Nimewapa mfano wa Saul alikosea maelekezo!
Ibrahim pia alielekezwa kichaka cha kutoa sadaka ambachoMbuzi alikuwa amenasa. Asingafatiza Na kwenda kichakakingine unadhani ingevuruga kwa kiasi gani mipango ya MunguSiku ile.
KUNA SADAKA MUNGU ANATOA MAELEKEZO KABISA WATU WANGU WANITOLEEE ALAFU WEWE MTUMISHI PELEKA SEHEMU FLANI!
KAMA HAPA MUNGU KANIELEKEZA KABISA KUNA WATU WAPO MAHOSPITALINI MDA MREFU WANATAKIWA KUFANYIWA OPERATION LAKINI PESA HAWANA! WAKALIPIWE WATIBIWE WARUDI KWENYE FAMILIA ZAO WAKATI WAO WA KUTOKA HOSPITALI UMEFIKA!
BASI HAPO WENGINE MLIJUA PASTOR ANAJIBAMBA NA SADAKA YANGU! WAPIIIII!!!
SASA WENGINE MSHAANZA NATAKA NIPELEKE HUKU SADAKA, NATAKA NIPELEKE KULE! MAOMBI UMETOA HUKO? USIPOJIBIWA UNAKUJA KUULIZA HUKU HUKU!
BORA KAMA UNAONA MAELEKEZO HUJARIDHIA JIBAMBEEE TU NA SADAKA YAKO MAANA USIPOFATA MAELEKEZO NDO HATARI ZAIDI.
WENGI HAPA NDO MNAKOSEA! HUFATI MAELEKEZO! SAWA SABABU SADAKA YAKO NDO UKURUPUKE NA KITU UNACHOAMUA NA KWENDA KUPELEKA UNAKOTAKA, MDA UNAOTAKA ALAFU BAADAE UNAMUULIZA MUNGU MBONA HUNIJIBU?
AU UNAALIKWA MAOMBI UNASHIRIKI MPAKA MWISHO AFU SADAKA UNAENDA KUTOA KANISANI KWAKO AMBAKO HAWAJUI HATA KAMA KUNA SADAKA YA KUTOA! WE UNAVODHANIA MUNGU ATABARIKI SADAKA YA DESIGN HIO? JIBAMBE TU NA SADAKA YAKO SABABU UMESHA INAJISI.
UNATAKIWA HATA KAMA SADAKA NI YAKO UMSIKILIZE MUNGU AKUELEKEZE NINI CHA KUTOA NA WAPI PA KUTOA NA MDA GANI WA KUTOA, NA. ANI ATOE, NANI APOKEE!
Mungu alimjaribu Abraham anaweza kuku Jaribu hata wewe! Nitoleeee kitu flani! Manake ukitoa chochote kuzunguka Hikokitu ushafeli.
Mungu anajua balance yako bank! Anajua Kama unacho au huna! Sasa Yale mazoea ya kutoa kidogo ka punje tu, ndo iliomcost Kaini. Bora usitoe.
Kutoka sadaka Ni kuingia agano Na Mungu. Sasa Munguhapendi anae jaribu kumtapeli. Unajaribu kumdanganya yaaaniutoe 10k wakati bank una balance ya 17,000,000 afu upo serious kabisaaa unataka Mume wa mfano . Balance yako unatakakununua Crown mwenyewe. Unadhani Mungu anawezakujicommit katika Hilo agano. Crown utapata new model sababu ndipo hazina yapo ilipo. Ila mume sio kwa agano la sadaka. Hakuna agano.
Lakini kama una 20k kwenye kibubu. Ukawaza kweli hazinayangu iko kwenye ndoa. Natoa 10k hii Mungu anibariki Mumemwakani mda Kama huu niwe nafanya ibada Na mume wangu. Agano Kama hili Mungu Ana Ingia.
MAZINGIRA YANAPISHANA MTU NA MTU ILA NAJARIBU KUWAELEWESHA GENERALLY! ILI UJIPIME MAZINGIRA YAKO! NA UTENDE SAWA SAWA
TWENDE KWENYE MAANDIKO
Warumi 8:32
Yeye ambaye hakumhurumia Mwanawake mwenyewe, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote, atakosaje pia kutupa chochote kingine pamoja naye?
Mungu Kama Mungu jinsi alivo serious na mambo ya Sadakaanaonesha mfano kwa kumtoa mwanae wa Pekee! Kwa ajili yawokovu wetu
Kumbuka sisi ni waovu na uovu ulikuwa mwingi kweli kweli. Mungu kwa kuupenda ulimwengu anamtoa mwanae. Maanamanabiiii ilikuwa hawasikilizwi. Na mnaona tunachomfanyamwanae pale Calvary!
Sasa kwa ajili yetu na wokuvu wetu God offered his best ilikufanyike agano la ukombozi.
Sasa Na wewe ili uingize agano la ukombozi wako na Mungu, akupiganie, awe upande wako, utumie rasilimali za mbinguniKama zako kuwateketeza adui yako elewa nature ya maaganoanayoingia Mungu. Nothing but the absolute best. Utaonaukuuu wake.
Hakuna Mtu yoyote aliewahi kuingia agano la kimagumashi Na Mungu. Hakuna.
Na AGANO ni makibaliano rasmi. Sio tena 50/50! Ni uhakika! UKIFANYA PART YAKO ABC MUNGU KWA UPANDE WAKE ATAFANYA DEF!
Na Mungu Kama mnavojua anaaminika 100/100! Ila hatosogeampaka wewe umefanya part yako. Na Kama offer yakoulioweka mezani ni TAKATIFU! Hujachakachua chakachuamambo! Kujaribu kumtapeli. La sivo Pia hasogei.
Mimi nashukuru Mungu nimejifunza principles za sadaka Na namuonaaa Mungu Sanaa express kupitia sadaka.
Hata wewe ukirekebisha mfumo wako utafanikiwa Sanaa katikasadaka. Na maandiko yako wazi.
KWENYE SADAKA MANENO UNAYOTAMKA HAYANA NGUVU SANAAA KAMA MAANDALZI, UTARATIBU WA KUTOA NA DHIMA YA KUTOA VISIPONYWA INAVOTAKIWA!
NDO MAANA LEO NIMETUMIA MDA MWINGI KUFUNDISHA MISINGI KESHO TUTA BASE KWENYE ANDIKO MOJA MOJA NA TUTAKUWA NA CASE STUDY 3 ZA SADAKA ZILE MAARUFU ZILIZO PITA NA ZILIZO KWAMA! TUTAZAMA NDANI KUONA WALIPATIA WAPI NA WALIKWAMA WAPI!
IBADA YA SADAKA HAINA MAOMBI YALE YA KUONGOZWA NENO KWA NENO IPO KWENYE TECHNICAL HIZI ZA MAANDALIZI, UTOAJI NA MAANDALIZI YA NAFSI!
Kwanza kabisaa wengi hambarikiwi sababu mnahisi ukitoamaybe unasupport huduma ya Mungu, Like Mungu anahitajimsaada wako. HAKUNA KITU KAMA HIKO!
Mungu ndo original creator wa UTAJIRI Na HESHIMA!
Mithali 3:16
Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.
Sasa wewe unamsaidia vipi kwa mfano? HUDUMA HAIKUTEGEMEI WEWE WALA MIMI! UTOE USITOE HUDUMA ITAENDELEA TU AS LONG AS MUNGU NDO YUPO NYUMA YAKE! Futa wazo kwamba una changiahuduma Na inaku hitaji.
Namtunza Mtumishi, anajitoa sanaaa.Ni jambo la heri ilahumsaidiii. Usipontunza wewe Mungu atainua mwingine Ata mtunza. Mungu anatunza watumishi wake vizuriii sanaaaa! Kama ni mtumishi wa kweli wa Mungu lazima Ufaidi. Siosadaka lakini. Uko jikoni kabisaaa unashindaje njaa? Password zote zinapita kwako unaacha vipi kuzitumia? Yaani ukiwamtumishi unaengoja sadaka hujafika viwango bado. Yesu Rabi na Mwalimu wetu alikuwa anachukua chochote Na popotesababu alikuwa na Siri za umiliki so automatically hata chakokilikuwa chake. Kuna Siku alidaiwa kodi , akawaambia tupeninyavu. Samaki Kama woteeee! Waka wauza Na kulipa kodi. Simple yani. Sasa Mtumishi wa Teacher unaazaje kukosamaarifa. Yesu mwenyewe kuna Siku alibanwa kwenye angle akasema sio kesi. Akazidisha Mikate na Samaki live!
Hivo basi hutoi sadaka kwa ajili ya KUMSAIDIA MUNGU, WALA HUDUMA YA MUNGU, WALA MTUMISHI, WALA HUSAIDIII CHOCHOTE! Je kwanini unatoa?
UNATOA KWA AJILI YAKO MWENYEWE KUTENGENEZA UHUSIANO WAKO NA MUNGU! Kama hutoi kwa sababu hii kupokea ni ngumu Sanaa.
SADAKA YAKO MTOLEE MUNGU WAKO KUTENGENEZA UHUSIANO WENU! Details Nani kapokea, kapeleka wapi haikuhusuuu.
Kama umempa Mungu agano lako na yeye lipo intact na hikindo tunapigania na Ana mda wake kudeal Na ufedhuli wa ndaniya Nyumba yake. Wale Vijana wa Kuhani Eli kina Fineasi, walikuwa fedhuli haswaaa! Na baba Yao aka angalia pembeni. Nini kiliwakuta? Walikufa Siku moja, Na baba Yao akavunjikashingo Siku hio hio. 1 Samweli 2:12- 36! Mimi napenda Sanaa kutoa lakini watumishi wananikatisha tamaa. Wewe toa tengeneza Na Mungu Siku ya kuvunjika shingo huku kwetu ndotutajua.
Kunatabia unatoa ili mtumishi akuone,au kumhadaaa mtumishiuwe nae karibu si mnajua tena church politics. Yeye yupoKaribu na Mungu na wewe upo nae sambamba. Hapo unampaBINADAMU. Utavuna tunu ndogo ndogo kwa kiasi kile kileambacho ungempa Mungu ingekuwa breakthrough ya maana. Nasisitiza MTOLEE MUNGU SADAKA YAKO! NA IKIWEZEKANA MTUMISHI ASIJUE NI WEWE UNAE TOA AKAWA INFLUNCED!
Kama unamtolea Mungu kwa faida yako, kutengeneza mambo yako kwanini utoe makapi? Mungu alimfanya Kaini mfanooomwanzooo kabisaaa wa bibilia.
Mungu ni Mungu wa haki Siku zote. Kama unataka vikubwa, toa vikubwa. Sio swala la kubembelezana na mtu. Neno la Mungu lipo waziiiii kabisaa
Mathayo 6:21
Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
Kama moyo wako ukiwa kwa Mungu basi hata hazina yako kwaMungu utaweka kubwa. Moyo wako ukiwa kwenye Crown ndohivo Crown 17m kwa Mungu 10k. Ni maamuzi tu mbona. Kumbuka Mungu ni Mungu wa haki atakupa haki yako yenyethamani hio.
WAISRAEL walikuwa very smart! Walikuwa wanajua chochotewanachotaka Mungu anacho. CHOCHOTE! Wakionawamezingua amekaaa kimya wanakimbilia kutoa sadaka za agano. Mradi tu wapate commitment yake. Na walikuwawanateketeza kweli kweli.
2Mambo ya Nyakati 7:5
Naye Solomoni alimtolea Bwana ng’ombe 22,000 na kondoo 120,000. Hivyo ndivyo Solomoni nawatu wote walivyoiweka wakfu nyumba ya Mungu.
Suleiman alikuwa mtoajiii mnooo kwa Mungu na aliishi kwafahari kuliko wafalme wote.
Malaki 3:10
Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakulakatika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asemaBWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha yambinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi yakutosha, au la.
Madirisha ya mbinguni!!!! Kumiminiwa baraka! Sadaka hio nazaak kamili. Mungu aseme nini tena?
SADAKA YA UKOMBOZI /DELIVERANCE SACRIFICE
Kuna aina nyingi sadaka, soma kwa mda wako, uzijue, uzitumiena ule mema ya nchi.
Leo kwa jambo letu hili la DivineIntervention tutafocus Na ainamoja tu ya sadaka nayo ni SADAKA YA UKOMBOZI Siokwamba sadaka zingine zisinge faaa hili jambo. La hasha sadakazote ni njema mnoo!
Kutokana Na aina ya matokeo tunayotegemea hii SADAKA YAUKOMBOZI ndo yenyewe kabisaaa. Mathubuti kukamilishajambo letu kwa kishindo. Hii ni sadaka ambayo usha haribumambo so unatoa kutengeneza mambo. Yaani inafahamikaKabisa ukisha ya vagaa basi hii sadaka ndo Kimbilo. Kina sadaka Kama Sadaka ya malimbuko ni za kutoa mwanzo bilalengo. Kuna Sadaka za kujiongeza Kama Sadaka ya Mbegu, Sadaka za shukrani. Kwa hali yetu wenyewe mtakubaliana Na Mimi best fit ni Deliverance Sacrifice.
Zaburi 50:5
Nikusanyieni wacha Mungu wangu Waliofanyaagano nami kwa dhabihu.
Psalms 50:5
Bring my faithful people to me those who made a covenant with me by giving sacrifices
Hili suala la sadaka za ukombozi lipo tangu Enzi Na enzi. Na Lina nguvu mnoooo.
SITAKI KUWAFUNDISHA COMPLEX MATERIALS KAMA MNASOMEA U PASTOR!! NAWAFUNDISHA BASIC MTAZO ZITUMIA KILA SIKU MAMBO YENU YAPITE. HATA CHOICE YA MAANDIKO NIMEZINGATIA SIMPLE IS SMART!
LA MUHIMU UELEWE NA KUWEZA KU APPLY! NA SIO TU KUAPPLY NA KUPOKEA MATOKEO! UVUKE NA KUWEZA KUJIKOMBOA KWA SADAKA KILA UNAPOHITAJI.
SADAKA YA UKOMBOZI SIO LAZIMA UINGIE AGANO LA KUTOA PESA! Unaweza toa chochote cha thamani kwaMungu Kama muda wako. Sometimes Muda una thamani kulikopesa. Unaweza toa vyote muda Na pesa. Kama Mimi. Unawezatoa Ujuzi wako kumfanyia Mungu jambo lake. Unaweza kujitoawewe kwenda hospitali kuwaombea Na kuwafariji wagonjwa. Unaweza kujitolea utumishi wako madhabauni. Kama mtumishiwangu, anajitoa Sanaa binti yule. Mungu ambariki. Mchangowake kwenye hii huduma ni zaidi ya pesa. La msingi toa ulichonacho na utoe the best of what you have.
SADAKA YA UKOMBOZI INAKUWAJE?
Agano Kama agano ni makubaliano ya pande 2 juu ya jamboflani yanayoweka wazi kila upande utahusika vipi Na utapatanini kwenye hayo makubaliano.
SADAKA YA UKOMBOZI ni agano Kati yako Na Mungu juuya kitu ambacho wewe unakihitaji toka kwa Mungu na Mbinguzikusaidie kukipata, lakini na wewe utawajibika kuweka kitumezani Kama sehemu ya agano. SADAKA INAANZA KUTOKA ALAFU MUNGU NDO ANAFANYA. ISIPOTOKA SADAKA MUNGU NAE ANATULIA. SADAKA YAKO NDO INA ACTIVATE HILI AGANO.
Pande 2 zote lazima zitoe. Huwezi Kufanya ukombozi wasadaka bila sadaka! Fanya tu aina nyingine ya deliverance. Je Kama Sina inakuwaje?
Kunaoption ya kuweka NADHIRI! Kwamba Munguakikufanyia kitu flani kwa kiasi flani basi utamtolea kitu flaniAu utafanya kitu flani. HII UNATOA PALE TU UNAPOPOKEA MAJIBU YAKO!
Ipo ina nguvu zaidi?
Zote zina nguvu ila nadhiri Mungu atazingatia uaminifu wakokwanza. So Kama huaminiki imekula kwako. Lakini Sadaka yaukombozi hata kama huaminiki ukiwek shekeli zako mezaniumetimiza agano mambo yanaanza chaaap
Waisrael zilikuwa zao kutoa kutoa hizi sadaka mnooo. Wakiharibu tu wanakimbilia msamaha Na kuambatanishamatoleo.
Mwanzo 22:13
Mungu mwenyewe alimjaribu Ibrahimuamtoleee Mwanae Isaka. Baadae akauona uaminifu wale nakughairi basi usitoe mtoto wako. Lakini ila sadaka ikamilikeMungu hamwambii nenda nyumbani , anamuonesha mnyamaalienasa kwenye kichaka na Ibadahim akamfanya sadaka. SO BILA SADAKA IBADA YA SADAKA HAIWEZI KUKAMILIKA.
SADAKA YA UKOMBOZI INAFANYA KAZI GANI
1. INAGEUZA MATOKEO YA TUKIO! MFANO ILIKUWA UKOSE SADAKA YAKO INABADILI MATOKEO. IN ACTUAL SENSE MUNGU SI ANA MOVE IN YOUR FAVOR KWENYE HILO JAMBO UNAKOSAJE SASA?
2. INABATILISHA ZA GIZANI!! KUFUNGA NA KUKUIBIA AU KUKUTEKA LAZIMA WABAYA WAKO WALIACHILIA SADAKA KUPATA UHALALI. SASA WEWE USIPOACHILIA SADAKA KUJIKOMBOA NI HATARI SANAA. UKIACHILIA SADAKA INAKUWA VITA YA MADHABAU YA MUNGU NA MADHABAU YA ADUI. Ukisoma 2Wafalme 3:24-27 utagundua Israel walishawapiga wamoabu Na walikuwa bado kidogo tu washinde hio vita. LakiniMfalme wa Moabu fedhuli Yule akachilia sadaka Nono la kumchinja mwanae kipenzi wa kwanza kwa mungu wake Kemosh. Na huyu kemosh anaipokea ile sadaka na kuwapaushindi mnono. Sasa kupambana vita Na mtu anae teketezamasadaka wakati wewe huteketezi mamboz ukombozi wakoutakuwa mgumu Sanaa.
3. INAMUITA MUNGU HARAKA LIKE EXPRESS CALL AKUPE ATTENTION YAKE! Kuna watu wana uhusiano naMungu 24hrs wapo uweponi Kama sisi watumishi. So tukimuitaMungu ni kawaida maana ni part of day to day. Lakini weweuna misimu ya kuwa uweponi Na kutoka. Sasa ghafla tuunaanza kuita hamna mazoea hayo. Inabidi utumie Sadaka. Mara zote Mungu alipoitwa kwa sadaka alikuja upesi. Ukisoma1SAMWEL 6,7! Utaona jinsi ambavo wasirael wanapigwa Na wafilist Na kuporwa Mpaka Sanduku la Agano, Mungu Ana fight mwenyewe huko kwa Wafilist ana muangusha Dagon nakumvunja vipande vipande anawatandika na magonjwa namikosi mpaka wafilist wanaamua kurudisha Sanduku la Agano.
Waisrael wanafadhaika kuhani kafa Na wanae siku moja, sanduku limeondoka Na kurejeshwa Na adui zao Na sadaka juuya upatanisho. Walikuwa Na hali mbaya kuliko yako. Samwelianajitolea kuwapatanisha na Mungu katikati ya Upatanishowafilist wanaibuka tena. SAMWELI ANAINUA SADAKA YA KUTEKETEZWA NZIMA! ANAMLILIA MUNGU! MUNGU ANAWAPIGA RADI HILO SIO LA NCHI HII WAFILIST HAWAWASUMBUI WAISRAEL TENAAAA MPAKA SAMWELI ANAMALIZA UAMUZI. UKISOMA UFUNUO 14 HILI RADI LIMEJADILIWA MULE!
1Samweli 7:6-12
Wakakusanyika huko Mispa, wakateka majina kuyamimina mbele za BWANA; wakafunga siku ile, wakasema huko, Tumemfanyia BWANA dhambi. Samweliakawaamua wana wa Israeli huko Mispa. 7Hata Wafilistiwaliposikia ya kuwa wana wa Israeli wamekusanyika hukoMispa, wakuu wa Wafilisti walipanda juu ili kupigana na Israeli. Nao wana wa Israeli waliposikia, wakawaogopa Wafilisti. 8 Wana wa Israeli wakamwambia Samweli, Usiache kumliliaBWANA, Mungu wetu, kwa ajili yetu, kwamba atuokoe namikono ya Wafilisti. 9 Ndipo Samweli akatwaa mwana-kondoomchanga, akamtolea BWANA sadaka ya kuteketezwa nzima; Samweli akamlilia BWANA kwa ajili ya Israeli; BWANA akamwitikia. 10 Hata Samweli alipokuwa akiitoa hiyo sadaka yakuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Israeli; lakiniBWANA akapiga ngurumo, mshindo mkubwa sana, juu yaWafilisti siku ile, akawafadhaisha; nao wakaangamizwa mbeleya Israeli. 11Nao watu wa Israeli wakatoka Mispa, wakawafuatia Wafilisti, wakawapiga, hadi walipofika chini yaBeth-kari. 12 Ndipo Samweli akatwaa jiwe, na kulisimamishakati ya Mispa na Sheni, akaliita jina lake Ebenezeri, akisema, Hata sasa BWANA ametusaidia. 13 Hivyo Wafilistiwalishindwa, wasiingie tena ndani ya mipaka ya Israeli; namkono wa BWANA ulikuwa juu ya Wafilisti siku zote za Samweli.
SASA SISI TOKA DAY 1, TUMETUBU, TUMEMKATAAA SHETANI NA MAMBO YAKE YOTEEE, TUMEZIWASHA MOTO MADHABAU ZA KWETU HUKO, TUMEJITENGA NA MAMNDINGO NDINGO YA UKOO!
KAMA TU WAISREAL WALITUPA MIUNGU YAO, NA KUJINYENYEKEZA KWA MUNGU WA ISRAEL!
1 Samweli 7:4
Ndipo wana wa Israeli wakayaondoa Mabaali naMaashtorethi, wakamtumikia BWANA peke yake.
KUVUKA UMEVUKA MPAKA HAPA! SHIDA NI KUWA KAMA WAFILIST CHANGAMOTO ZINA TABIA YA KUJIRUDIAAA! NDO MAANA UNAPAMBANA UNAVUKA KIDOGO UNAKUTA UMERUDI. LAZIMA ZITAINUKA TENA DHIDI YAKO KAMA WAFILIST!
NDO MAANA KUHAKIKISHA HAZIINUKI TENAAA NA HURUDIII HAYA MAOMBI TENA ( NI MAOMBI YANGU MTU YEYOTE ASILAZIMIKE KURUDIA HII PROGRAM TENAA MAANA KUTOBOA HII MARA YA KWANZA TU KUDRA ZA MUNGU) LAZIMA TUACHILIE SADAKA YA KUTEKETEZA NZIMA ILI MUNGU APIGE TU HUO MRADI WAKE WA UHAKIKAAA ATOKOMEZE KABISAAAA KABISAAAA MPAKA VYANZO VILIVOSHINDIKANA VINAVOSABABISHi TATIZO KUJIRUDIA!
YAANI INATAKIWA HAPA KWENYE SADAKA TUSIMPE SHETANI NAFASI KABISAAA! UNAACHILIA SADAKA YA UKOMBOZI WA RADI! KAMA WAFILISTI WALIVOPOA NA KUSHIKA ADABU KUTOSHA THUBUTU KUWAGUSA WAISRAEL TENAAAA NA WEWE INATAKIWA MAMBO YA NDOA NA MAHUSIANO YASIWE CHANGAMOTO YAKO TENAAAA! HILO ENEO IPIGWE RADI MOJAAAA MATATA NA KUKUWEKA HURU MAISHA YAKO YOTE!
KAMA NI CHANGAMOTO ZIWE ZA ISSUE NYINGINE SIO MUME WALA FAMILIA WALA WATOTO!
NDO MAANA UKOMBOZI WA NAMNA HIII SADAKA YAKE INATAKIWA KUJIPANGA!
KUKUBALIANA NA MUNGU NIKO TAYARI KUPOTEZA PESA AU MUDA AU CHOCHOTE CHA THAMANI ILI NIPOKEEE MUME NA FAMILIA ! NA NIMEPIMA NACHOTAKA KUPOKEA NAONA NIKO RADHI KUTOKA HIKI JE OFA YANGU BABA NI HALALI AU BATILI! ( ATAKUJIBU MUNGU KAMA SAWA TOA AU HAPANA ACHA CHUPLI CHUPLI WE BINTI, AU ONGEZA, AU PUNGUZA MWANANGU KIASI FLANI TU NDO NATAKA, AU SITAKI PESA NATAKA UMSAIDIE MTU FLANI KITU FLANI, AU NIFANYIE KITU FLANI)
WENGI HUWA MNAJIPANGIA NATAKA HIKI NATOA HIKI NA KATIKA OFA ZENU MNAHAKIKISHA MME MLOWBALL MUNGU KWELI KWELI NDO ILE UNA MAMILIONI UNATOA 10K HATA UKIULIZA MUNGU NITOE WAPI HAJIBU! ANASEMA WEWE KAAA NAYO KULA CHIPS KUKU SHUSHIA PEPSI BARIDI UONGEZE KILO! UKIWA SERIOUS MUNGU NAE ANAKUWA SERIOUS. HATA KAMA HUMSIKIAGI AU KUMUELEWA UKIWA SERIOS ATASHUKA LEVEL YAKO YA KUMUELEWA. ILA UKILETA MZAHA NDO BASI TENA!
MSIMAMO WANGU NI ULE ULE SIO LAZIMA UJIKOMBOE KWA SADAKA, LAKINI UKIAMUA KUJIKOMBOA KWA SADAKA FANYA INAVOTAKIWA! UMESHINDWA ACHA! SIO LAZIMA KUNA AINA NYINGI ZA UKOMBOZI FANYA HIZO!
KWA UMRI WAKO NA MAWE UNAYOTUPIWA NA KIU ILIOPO NDANI YAKO YA KUFIT KWENYE VIPIMO VYA JAMIIII MIMI SIONI KWANINI USIJIKOMBOE NA SADAKA!
MIMI SIONI KITU CHENYE THAMANI KULIKO FURAHA NA AMANI YAKO! HATA UWE NA MIGARI 10, MIGHOROFA KAMA HUNA FURAHA NI UZEMBEKWA KWELI! NA UPUUZI! YAANI WOKOVU WAKO UKO NAO MKONONI SHETANI ANAUTUMIA KAMA KAMBA KUKUFUNGA NAO? YOU SHOULD DO BETTER!
KAMA HUNA PIA NI UZEMBE! UMEPEWA OPTION YA KUWEKA NADHIRI! KAMA UNACHO UNAWEKA NADHIRI MUNGU ATASIKITIKA! ILA SINAAAA! YAANI NITAJIMALIZA KWENYE HIO NADHIRIIII! UWIIII! HATA MUNGU AKINISACHI SINAAAA! NDO TIKETI YANGU YA KUPATA NITIMIZE NADHIRI!
MIMI NAWAPA LIVE HII NDO EASIEST PLUG YA KUPATA UNACHOTAKA! IMAGINE KUTOA TU ULICHO NACHO NA KUKUBALIANA NA MUNGU MWAKANI MDA KAMA HUU NIWE KWA MUME WANGU WA NDOA NA NYUMBANI KWANGU! NA MUNGU ANAKAMILISHA!!!! ???! LABDA KAMA HAUPO SERIOUS! ILA KAMA UPO SERIOUS JAMBO DOGO SANAA HILI!
JITAFAKARI KWELI KWA ULIYOPITIA NI HALALI WEWE KUENDELEA KUKAZA UZIDI KUZAMA KWENYE UPWEKE, AU FOR ONCEUJIFANYIE KITU SAHIHI? UCHUKUE HATUA KUIPATA FURAHA YAKO? CHAGUO NI LAKO!
KWA MTAKAO CHAGUA KUENDELEA KUTOA HIO SADAKA YA UKOMBOZI NITAREJEA NA MAANDALIZI YAKE!
KWA SASA ANZA KUMUULIZA MUNGU NIKUTOLEEE NINI UNIVUSHEEEE? SITAKI KUKUYEYUSHA SAFARI HIII! SEMA WEWE BABA OFA YAKO KAMA ULIVOMPA IBRAHIM NA MIMI NITAIFIKIA (UWE TAYARI KWELI KUIFIKIA)
MKUMBUKE PIA JEPHTA ALIJIMALIZA KWA VIBE LA KUTAKA KUOMOLEWA! TULIA TAFAKARI. UKIONA OFA YA MUNGU NAWEZA NIKAZINGUA TOA YAKO KWA MAKINI NA UWE MAKINI KUITIMIZA.
KAMA NADHIRI USIWEKE KWANZA BADO SOMO HALIJAKAMILIKA ANZA TU KUWAZA NIWEKE NINI MIE MWANA WA ADAMU!
SADAKA TUTATOA SIKU YA 14, ILA KUANZIA LEO TUTAANZA KUIANDAAA NA KUWA UNAIOMBEA KILA SIKU!
MAANDALIZI
1. Kuwa clear kwanini unatoa hio sadaka. UNAHITAJI UKOMBOZI. Usiwe mnafiki! Baba nakushukuru kwa yote najua utafanya.Baba natoa sadaka kwa sababu Mtumishi wakoyule mlokole anajitoa sana! Nitueeee! kuwa muwazi Baba akoakusaidie. BABA NAINUA SADAKA HII NAHITAJI NDOA MPEMA NIMEPANIC, NIMECHOKA, NIMEKATA TAMAAA! KUWA SPECIFIC!
2. kuwa clear unatoa nini Na unatarijia kupata nini. Natoa kituflani nikikusihiii unifanikishie kitu flani mfano mwakani mudaKama huu niwe nyumbani kwangu Na Mume wangu. Au niwenimelipiwa mahari. Wewe tu. Hapa muulize roho Mtakatifu utoenini Na utoe wapi. Hata ukipanga muulize ni sawa au nimejimaliza Sanaa? Au nimepunja sana. Nimwekea Siku 5 za maandalizi ili usipate sababu. Inamaana una Siku 5 za kutafakarikwa kina.
3. SPECIFY MUDA WA AGANO! Ndani ya mda flani uweumeona matokeo. Usiweke infinity. Na usiweke unrealistic timelines. Like niwe nimeolewa in a week! ?! Ndani ya hiimiezi mi 3 nikutane Na mtu sahihi Kama hatujakutana, Kama tayari azungumze kunihutaji na mwakani mda Kama Huu niwenimelipiwa mahari maybe mwakani Niwe November bride. Jipemda wa kuziona hatua za Hilo jambo likikamilika.
4 MDA WA KUTOA NI SIKU YA 14 NA SIKU YA MWISHO YA PROGRAM
5. JENGA IMANI YAKO MUNGU ATAFANYA. Ondoa doubts Kama Mungu hakutapeli sadaka ya Suleiman ilivo nono ajeatapeli yako kweli? Do better Na jitie moyo he must come through for you. TOA KWA IMANI.
6. UKISHAIJUA ISEMESHE! IOMBEEE KILA SIKU ASUBUHI NA JIONI HIZI SIKU 5. NAKUPA MISTARI! MAOMBI YA SIKU 1 SIO SAWA NA SIKU 5! USILETE MAZOEA UKAWA HUIOMBEI UKAZIMA MOTO! Hata zilesession zako za kulia usiku unashika bahasha unaliaaaa weeee. Afu unarudisha kabatini.
MAOMBI YA KUOMBEA SADAKA YAKO KILA SIKU!
Hagai 2:8-10
Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa majeshi. 9 Utukufu wa mwisho wa nyumbahii utakuwa mkuu kuliko utukufu wake wa kwanza, asemaBwana wa majeshi; nami nitawapa amani mahali hapa, asemaBwana wa majeshi.
Zaburi 50:14
Mtolee Mungu dhabihu za kushukuru; MtimizieAliye juu nadhiri zako. Ukaniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawewe utanitukuza.
Mengine ya kwako jazia jazia.
SADAKA NI IBADA BINAFSI KATI YA WATU WA 2 TU WEWE NA MUNGU! KWENYE AGANO LENU MIMI SIPO!
MIMI NAINGIA SIKU YA UTOAJI KUKUONGOZA KUTOA NA KUPOKEA KWA NIABA YA MUNGU KILE UTAKACHO KIINUA.
KAMA USIPO SIMAMA PART YAKO VIZURI PART YANGU HAITAKUWA YA MAAJABU!
UBORA WA MATOKEO UNATEGEMEA UBORA WA SADAKA, NA UBORA WA MAANDALIZI, NA UBORA WA UTOAJI. ITS A FULL PACKAGE!
NDO MAANA NIMEFUNDISHA MAPEMA NA KUKUPA MDA MWINGI WA KUJIANDAAA NA KUONGEZA UBORA! SIO KUKUPA NOTICE FUPI UFANYE BORA LIENDE.
SIKU YA 14 NDO TUTAFANYA MAOMBI YA PAMOJA NA TUTATOA SADAKA KWA WALE WALE WATAO KUWA WAMEJIANDAAA NA WAPO TAYARI KUTOA!
DAY 10- Mid night
PROVOKING FAVOR – DIVINE FAVOR/ FADHILI / UPENDELO
Zaburi 90:17
Na fadhili za BWANA, Mungu wetu, ziwe juuyetu, Na kazi ya mikono yetu uifanye thabiti, Naam, kazi yamikono yetu uifanikishe.
Psalm 90:17
May the favor[a] of the Lord our God rest on us; establish the work of our hands for us yes, establish the work of our hands.
Mithali 8:35
Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Nayeatapata kibali kwa BWANA.
Proverbs 8:35 (NIV)
For those who find me find life and receive favor from the Lord.
Yaani FAVOR kwenye kiswahili imetafsiriwa Kama Fadhili Kama Kibali. Ina tafsiri nyingi kidogo. Ila kwenye English bible favor is favor! Sasa maishangae mbona kibali, mbona fadhilimbona upendeleo. Maana ni ile ile Favor
DIVINE FAVOR NI KIBALI AU UPENDELEO WA WAKIMUNGU UNAOKUSABABISHA UPATE ZAIDI YA WENZIO BILA SABABU. MUNGU TU ANAAMUA KUKUFEVA! ANAKUINUA JUU YA WENZIO NA KUKUPENDELEA!
Esta 2:17, Esther found favor in the eyes of the king. Kwa Kiswahili Esta alipata kibali mbele za mfalme. Na akapendwakuliko wanawake wote wa mfalme. Na walikuwa wengi kwelikweli.
Sometimes kwenye safari yako unakuwa umekosa kibali. Unampata mfale ila FAVOR /KIBALI sasa. Mnaishi Na kuishi. Lakini wapiiii. KIBALI CHA KUWA MKE HAKITOKI
MUNGU AKIAMUA KUACHILIA FAVOR/ KIBALI CHAKE MAMBO YANAKUWA BAM BAM! HUTOSUMBUKAAAAA!!! WATAINUKA WATU KUPIGANIA KUFANIKISHA JAMBO LAKO! DIVINE FAVOR!
Leviticus 26:9-10 “‘I will look on you with favor and make you fruitful and increase your numbers, (A) and I will keep my covenant(B) with you. 10 You will still be eating last year’s harvest when you will have to move it out to make room for the new. (C)
Walawi 26:9-10 Nami nitawaelekezea uso wangu, na kuwapauzazi mwingi, na kuwaongeza; nami nitalithibitisha agano langupamoja nanyi. 10Nanyi mtakula akiba ya zamani mliyoiwekasiku nyingi, tena hayo ya zamani mtayatoa, ili myaweke yaliyomapya.
GOD CAN FAVOR YOU MY FRIEND!!! Yaaani vya zamanihavijaishaaa utavitoa nje iingie hazina mpya. FAVOR! UnaombaMume tu yoyote, Mungu anaweza kukufeva Mume kijana dada, mume tajiriii, mume mpoleee, mume HB, Mume mume kweliiii. Mpaka watu wanauliza namba ya mtaalamu. DIVINE FAVOR! INAKUWA KAMA NDIMU! INAKATA SHOMBO SHOMBOZOTEEE KWENYE UKOO! KILA MTU ANAKAA KWA KUTULIA.
Mzeee, hatopata mtu, amezalia nyumbani, amechelewa, amechagua Sanaa, labda asitirike tu, watu wa maana wameishaoa atapata wapi, labda apate Ben 10. FAVOR INATAKATISHA SHOMBO SHOMBO ZOTE HIII NA KUWEKA FULL STOP!
Situation zenu zinahitaji FAVOR sana maaana Kama watuwameungana vile Na kupitisha unabiii flani wa kipuuzi kwambakiukweli bwana UMECHELEWA Na matumaini yashafifia. kubali kutoa jokeri Hilo mchezo unaisha mda wowote. Utalalanalo. REDUCE EXPECTATIONS AND STANDARDS. Ndugu, jamaa Na marafiki. UKisema mama hata wewe si uliniambianijitunze. Kweli mwanangu lakini nataka kumuona mjukuuukabla sijafa. Au unangoja Nife mwanangu ndo uzae? Usipokuwamakini unakubaliana nao.
Mungu bado ni Mungu. Ndo maana sababu wamekuandamasanaaa sanaaa inatakiwa umuombe FAVOR kuwa prove wrong Na kwamba Mpango wa Mungu haunaga dosari. Na Wakati waMungu ndo wakati sahihi. Uombe kwa moyo sanaa MUNGU AKUINUE JUU YAO MPAKA WAJUTIE VITU WALIVOKUSEMA AU KUKWAMBIA.
Mwanzo 26:12-13
Mwaka huo Isaka alipanda mbegu katikanchi ile, akavuna mara mia zaidi, maana Mwenyezi-Mungualimbariki, 13naye akatajirika. Alizidi kupata mali hadi akawatajiri sana.
Genesis 26:12-13
Then Isaac sowed in that land, and received in the same year an hundredfold: and the Lord blessed him. 13 And the man waxed great, and went forward, and grew until he became very great:
UKISOMA ENGLISH VERSION UTAONA ISAC ALIPANDA MBEGU NA AKAVUNA MWAKA ULE ULE (IZINGATIA MDA) MARA MIA (ZINGATIA IDADI)
Nataka Na wewe ukavune Ndoa mwaka huu huu unaosali in Jesus Name. Kama ni kukutana mkutane mwaka huu huu. Kama unakaaa nae hajatamka Atamke mwaka huu huu. December isipindue. Kama haeleweki mwaka huu huu aeleweke in the name of Jesus Christ
Psalm 102:13
Thou shalt arise, and have mercy upon Zion: for the time to favour her, yea, the set time, is come.
Zaburi 102:13
Wewe mwenyewe utasimama, Na kuirehemuSayuni, Kwa maana ndio wakati wa kuihurumia, Naam, majirayaliyoamriwa yamewadia.
MAJIRA YA MUNGU KUKUSIMAMA NA KUKUFAVOR UFIKIE HATMA YAKO YA NDOA YAMEFIKA MAJIRA YALIO AMRIWA WEW KUPATA NDOA YAKO, NYUMBA YAKO NA FAMILIA YAKO YAMEWADIA.
MAOMBI
Baba fungua mlango wa rehema, mlango wa feva, mlango waupenyo/ breakthrough.
Baba yetu uketie Mbinguni ambae huwaonesha watu wako usowako nao wana pata kibali machoni Pako Na machoni pa watuLeo hii nakusiii nioneshe uso wako in the Mighty name of Jesus.
Baba achilia feva juu yangu, juu ya maisha yangu, juu yahatama yangu ya ndoa. Kama ulivomsaidia Esta kupata kibalimbele ya Mfalme, naomba na Mimi nikapate kibali mbele yaMwenza wangu wa maisha in the mighty name of Jesus.
Baba Leo hii nafungua malango yangu kuruhusu fevazimiminike toka kwako in the mighty name of Jesus. Kama ambavo ulimfeva Isaka , alipanda mbegu mwaka ule na akavunamwaka ule ule. Baba achilia feva ya hatma yangu ya ndoa. Nimeomba mwaka huu , Na mwaka huu huu ukanishangazebaba. Ulimbariki Isaka Mara Mia, baba nibariki Na Mimi in the mighty name of Jesus.
Baba unajua hali yangu Na mategemeo yangu Na familia yangu. Baba nipe favor ya kurejesha nyumbani heshima iliocheleweamda mrefu. Baba yangu ulie Mbinguni, prove them wrong kwakuni favor mbele ya macho ya adui walio nisinya, walio nidoubt, walio nisema vibaya Na kuona kwamba haiwezekani. Baba kwa binadamu haiwezekani Ila Kwako yote yawezekana in the mighty name of Jesus.
Baba neno lako linasema utainuka , Na kunirehemu Sayuni, mdawa kunifeva umewadia, ndio mda wa kunifeva.
Mda ndoa sasa, katika Jina la Yesu achilia feva juu ya maishayangu Na juu ya ndoa yangu. Wakati ulioamriwa ni sasa baba kanioneshe uso wako na nipate kibali machoni pako na watuwako.
Lango linalo zuia feva katika maisha yangu EPHATAAAA! FUNGUKA SASA Na achilia feva zimiminike. NatangazaFEVAAAA! FEVAAAA juu ya maisha yangu Na hatama yangu.
Nawaita destiny helpers wote wanaotakiwa kunipa feva Na kunifanikisha wainuke sasa, wasikie neno la Mungu majira ilioamriwa ni sasa Na waanze kutokea maishani mwangu sasa in the Mighty name of Jesus.
Baba nadeclare open heavens juu yangu kwa habari za divine favor, Natangaza kuisha kwa msimu wa misfortunes Na kuanzamsimu mpya wa favors. Favors za kunifanikisha maisha yangu n hatama yangu ya ndoa in the Mighty name of Jesus Christ.
Ninaomba nakushukuru katika Jina la Yesu.
AMEN
DAY 10 – Eveving Prayers
Marko 7:34
Kisha akatazama juu mbinguni, akapiga kite, akamwambia, “Efatha,” maana yake “Funguka.”
Sasa mchana wa Leo mtasimama na hii declaration kwa moyo
LORD OPEN DOOR OF MERCY, DOOR OF FAVOR DOOR OF BREAKTHROUGH
MUNGU FUNGUA MLANGO WA REHEMEMA, MLANGO WA KIBALI, MLANGO WA UPENYO.
SEMA MARA NYINGI KADRI UWEZAVYO UNTIL UISIKIE AMANI
Hapa kwenye favor hamna general rule kwamba Kama sadakaimetimiza vigezo automatic inapokelewa
Hapa ni juhudi binafsi za wewe Na Mungu, Hakuna general rules za Mungu kumvafor mtu. Ndo maana nimekuongoza Mara 1. Wewe kwa situation yako, jitihada, matoleo, mkumbusheMungu, MSIHI, muombe, mradi tu akupe favor.
Leo tumefocus na GODS FAVOR.
USIKU NA KESHO TUNA FOCUS NA KUPATA FAVOR FROM PEOPLE.
DAY 11 – MID NIGHT PRAYERS
UNAWEZA KUWA NA FAVOR KUBWA SANAA KUTOKA KWA MUNGU ILA USIWE NA FAVOR /KIBALI CHA KUKUBALIKA NA WATU, UNFORTUNATELY NDOA INA MAANA LAZIMA WATU WA MJI MWINGINE WAKUCHUKUE NA UTAINGIA VIPI KWENYE MJI WAO WAKATI HUKUBALIKI, HAWAKUTAKI HATA KUKUSIKIA
KUNA WATU WAMEOKOKA, WANA NENA KWA LUGHA, WANA MAONO MPAKA UNABIII, UCHUMI WAO NI EXCELLENT ??? THEY REALLY HAVE FOUND FAVOR WITH GOD! LAKINI SI OFISINI, SI MTAANI, SI MAHUSIANO HAWANA KIBALI HATA KIDOGOOO! HAWAKUBALIKI HATAAAA!
NDO MAANA WEWE UNAWEZA KUPAMBANA UKAPAMBANA UKAMPATA MTU VIZURI MPAKA PENGINE MKAZAAA LAKINI FAVOR IN THE EYES YA UKOO WA BWANA HARUSI HIJAWAHI PATA. NO MATTER UJISHUSHE VIPIIII, HUJAWAFANYA CHOCHOTE MUNGU SHAHIDI ILA NDO TATIZO YOU DIDNT FIND FAVOR IN THEIR EYES. KIBALI NAO DADA HUNAAA!
Esta 2:15
Naye huyu Esta alikuwa amepata kibali machoni pawote waliomwona.
Esther 2:15
And Esther obtained favor in the sight of all those who looked upon her.
Ukipata favor machoni pa watu, ni jambo zuriiii mnooo! Watuwatakupambania. Watu watabeba issue yako Kama ya kwao. Watu wataenda mstari wa mbele kwa ajili yako. Na watu ndokila kitu. Wakiamua halishindikani.
Unaweza kuhisi watu hawakubabaishi wajibambeee ila siokwenye NDOA! Watu ndo kila kitu. Wakikupendawatakulazimishia kwa ndugu Yao atake a sitaki. Wakikukataaawatakungoa kwa gharamaaa yoyote. Hiii siasa lazima uichezevizuri. YES KWA HILI WATU WANA USEMI JUU YA HATAMA YAKO! TENA MKUBWA KULIKO WA KWAKO.
Unaweza kuwa mtu mzuriii Sanaa lakini unfortunately watuhawazi hivo juu yako. Na wanachowaza watu ndo kitakachosimama. Neno Lao ndo Sheria.
Wakisema Hufaiaaa, kila mtu akikuhitaji akiambiwa Yule HAFAI. Imeishaaaa. Anakuja vizuriii anapopotea hutajua. Watuwashamuaminisha hufai. Sasa Kama una vitabia unakuta watuwa 4 wote akiwauliza juu yako wote huna kibali nao. Hawajuanilakini msimamo wao mmoja juu yako ndio JEURI NA UNA DHARAU. BADILIKA!
Kuna mabinti hata kanisani wana vibaliii kila mtu ana muulizaumeolewaaa? Umeolewaaa? Una mtu?! Yaani kila mtu anatakaamvute aingie kwenye ukoo wao. Yaani akiambiwa Ana mtuanasikitika. Wa mama wanawaambia vijana wao nenda kwaflani pale kuna mke. This kind of favor should locate you in the mighty name of Jesus.
MJUMBE HAUWAWI TULIENI TU NIWAPE DOSE IWAINGIE. WENGI NI NUNDA KWELI KWELI HAKUNA ANETHUBUTU KUWAAMBIA KITU! KWANI HAJIPENDI. ?!!! MNA MAJIBUUU NA KURARUAAA KAMA SIMBA! JAMANI SI MIMI ILA NAFASI YANGU YA KITUMISHI INANILAZIMU NIWAPE UKWELI ILI MPONE!
Sio kwa ubaya ila wengi ni WAKALI KAMA SIMBA, MISIMAMO SASA UNACHO AMUA WEWE HIKO HIKO, ATTITUDES SASA HAMPENDI KUAMBIWA UKWELI, WAJUAJI, DHARAU KAMA ZOTE UNAMSILIZA ALIE KUZIDI MAISHA TU, MSAMAHA KWENU NI MWIKO, UJASIRI WA KIPUUZI NDO SILAHA YENU, KULIKO UOMBE SAMAHANI BORA UHUSIANO UFE, UZUNGU FEKI UNATAKA UDEAL NA MWANAUME TU BILA NDUGU ZAKE, HAMJALI WALA NINI.
SASA KWA TABIA HIZI UTAISHI NA NANI? UTAPATA VIPI KIBALI KWA MTU. JIULIZE MTU MWENYE TABIA ZAKO WEWE UTAWEZA KUISHI NAE?
SABABU NI MBABE WATU WATAKUOGOPA, WATU WATAFANYA UNAVOTAKA, WATU WATAKUJESHIMU ILAAAAAA HUTAPATA KIBALI KWAOOO. HAWATAKUPA CHAO HATA KIDOGO. NA UTAKUWA MPWEKE SANAAA SANAAAA. ILE STORY YA THE BEAUTY AND THE MONSTER WEWE SASA NDO KIDOGO KIDOGO BILA KUJUA UNAGEUKA MONSTER! NDANI NI MTU MZURIII SANAAA NA UNA ROHO NZURI ILA HUJUI JINSI YA KUISHI NA WATU WAKA KUELEWA.
Kuna binti alichelewa kuolewa mama yake akawa anahangaikanae kwa wachungaji mnooo. Haanguki pepo Yule binti. Anaombewa masaaa Na masaaa. Na mama yake alikuwa pesaipo basi watumishi wanamuonea huruma mtu ila dada jeuriiikweli kweli.
Wote wakamshindwa, Siku akaingia kwenye 18 zangu na Mimi Sikuwa mtumishi bado nilikuwa najitafuta. Nilimchambaaa kwaSauti ya ustaarabu na bila emotions. Kichambo cha taratibuNashushia soda.
Nilimwambia don’t be selfish, unamtesa mama yako. Watumishiwatakuombea sababu mama yako anatoa sadaka za maana. Ila Mimi na wewe tunajua huna pepo. Umelelewa hovyo hovyo tu.Kwenu wanakupa kila unachotaka. Lakini huwezi kufika mbalikwenye maisha.
Anajitetea, sio mimi dada. Wanaume hawanitaki. Nikamwambiakwasababu ni jeuri, kiburi, hujielewi. Huo mzigo wataubebawazazi wako nao wamechoka ndo maana wanakuburutakanisani.
Sisi wote tunakupenda ila hatuwezi kukusaidia unless wewemwenyewe kwa dhati yako uamue YOU ARE TRIED OF YOUR OWN SHIT! AND YOU WILL DO BETTER!
Hata sisi tunajisikia kujibu hovyo, kufanya attitude lakini we do better. Sababu hatutaki kuwa monsters.
CHANGE FOR YOU! KWA FAIDA YAKO! Aliliaaaa Yule dada. Mpaka mama yake akaanza kunifokea umemwambia nini? Imagine dada wa miaka 35 naulizwa mimi? Mchungajiananiuliza umemwambia nini ?! Nikamwambia muulizemwenyewe.
Alibadilika Yule binti. Akaacha shobo zoteee. Akaacha utoto. Alikuwa mropokaji hatari. Akawa kimyaaaa hasemi kitu. Alikuwa muchknow akawa tu sawa, ndio. Anasalimia kila mtuwakati alikuwa hasalimii, Kila mtu akawa anasema yule kaponamapepo yake. Nyie mapepo mabaya! Kumbe binti mzuri tu.
Mama yake aliniweka Kona wewe umemuombea maombi ganiYule mpaka kafunguliwa. Mchungaji nae Kama deniumemuombea maombi gani amabyo wote tumeshindwa. Nikawaambia muulizeni. Mchungaji anasema hata kazini kwaowanaulizia nini kimemfungua.
Mwaka haukuisha kazini kwao akaja kijana ambaehakumuonaga akiwa motooooo. Akampenda watu wanasamehe. Wakamwambia kwa zamani alikuwa na pepo ila tangu aombeweNa kufunguliwa ni mtu poa sanaa. Walifunga ndoa Na yule kaka.
SO WENGINE KINACHOFANYA MSIOLEWE NI TABIA ZENYUUUUUU HAZIRIDHISHIIII
ONLY YOU CAN SAVE YOU! UKIJIENDEKEZA KUFANYA BANGI ZAKO ZINAVOKUTUMA WATU WATAENDELEA KUKUKATAAAA! UTAKUWA MPWEKE SANAAA! IFIKE MAHALI UCHOKE UPUUZI WAKO NA KUAMUA TOKA NDANI YAKO I CAN DO BETTER. I WILL DO BETTER. UTAJISHANGAAA! NA MDA MFUPI UTAWASHANGAA WATU JINSI WATAVOBADILIKA NA KUWA WEMA KWAKO.
Tunaweza kuomba, kukemeaaaa mpaka shetani akakaaapembeni, kufungua milango, kuinua sadaka AKAJA MTU PONTENTIAL!
Lakini wiki 2 wewe mwenzetu una mjibu kunya, utoto mwingi, attitudes ndo usiseme, kiburiii. Cold hearted, Drama Kama zote.
Sasa hapo utakuwa unarogwa Au wewe ndo mganga mwenyeweunajiroga mwenyewe?
Chunguza watu friendly, bubbly, a bit dull, watiii, wepesikusamehe, watu wa kujichanganya. Wana olewa hata mara 2 mpaka 3. Something about their personality inamfanyamwanaume awe comfortable kuona YES, I CAN LIVE WITH HER AND BE HAPPY!
Lakini unaweza kuta binti Ana kila kituuuu. Lakini hata Marioowanamuogopa. Wakimuangalia alivo na personality ya Osama bin Laden hata wanaume wanakuwa hawakutongozi achia ndoa. Unaonekana pasua kichwa.
Hao watu wa bubbly personality, kuna mmoja alikuwa Na watoto wa 2 bwana. Akaolewa Na ndugu yangu kwanza mdogokwa mwanamke na Hana mtoto. Upinzani ulikuwa mkali. Wananiambia wewe si mtumishi huoni ndumba kabisaaa hizi, fanya mandingondigo. Kila nikiomba hamna ndumba.
Wakaoana bwana, kaka alitia msimamo. Na baadae wotetulikubali alikuwa bonge moja ya mke. Mtu mmoja Na rohoyake safi Sanaa. Wakawa kukwaruzana. Sasa kwenye kikao Bro akashangaaa wote Tupo upande wa mkewe. Akasema nyie simlikuwa hamtaki nimuoe? Hio zamani bro. Mkeo haondokilabda uondoke wewe.
Mwanzo kwa macho hakupata kibali kwetu, lakini alijua kuishiNa sisi vizuri tukasahau Kama mzeee, Kama Ana watoto 2. None of that mattered.
Ukiishi Na watu vizuri hata mambo yanayokuuumiza kichwawatu wanakusaidia.
TONIGHT, REFLECT TAFAKARI KWA KINA TABIA ZAKO AMBAZO ZINAFANYA USHINDWE KUISHI NA WATU. JIAMBIE UKWELI!
KAA KIKAO NA NAFSI YAKO. JIAMBIE UKWELI KWAMBA HAPA NA HAPA NAZINGUA.
WEKA NADHIRI YA KUJIWAJIBISHA! NA KUTOJIENDEKEZA! NA DHAMIRIA KWA DHATI MIMI SIKU ZANGU ZA UGAIDI ZIMEFIKIA KIKOMO!
SITAKI KUISHIA PEKE YANGU KWA MAMBO YA KIJINGA. NIMEJIREKEBISHA KABISAA. KUJIBU FULLSTOP! DRAMA FULL STOP, POWER GAMES FULLSTOP, UTOTO FULL STOP!
I WILL DO BETTER! SIWEZI KUJIKOSESHA HAPPILY EVER AFTER! KAMA NIMESHINDA NJAAA KUMUWAJIBISHA SHETANI MIMI NANI NISIJIWAJIBISHE. WAO WAWEZE KUISHI NA WATU VIZURI MIMI NANI NISHINDWE. SIKIO HALIWEZI KUZIDI KICHWA! NITAJIWEKA KWENYE MSTARI ULIO NYOOKA!
UKIKUBALI UKWELI NI RAHISI KUVUKA! SABABU UKO NUSU YA NJIA! UKIKATAAA TATIZO NI TATIZO KUBWA ZAIDI.
MAANA UTAENDELEA KUJIKWAMISHA. NA UHUJUMU BINAFSI HATA WATUMISHI HATUWEZI KUKUVUSHA! TUTAKUSIKITIKIA TU!
SHETANI AKUSIMBUE NA WEWE MWENYEWE UJISUMBUE KWELI?
KESHO NITAKUPITISHA KWENYE MAANDIKO KWANINI USIPOKUWA TAYARI KWA NAFASI YA MKE MUNGU ATAENDELEA KUICHELEWESHA HIO NAFASI
MKE MWEMA ANATOKA KWA MUNGU!!! Mwemaaaaa! Sio mwenye kiburi, sio mwenye attitude, sio stone cold, sioselfish,
HATA UJITAYARISHE KIROHO KIASI GANI USIPOKUWA TAYARI KIMWILI NAFASI ITAZIDI KUCHELEWA. NDO MAANA KUNA WATU HAWASALI SANAA LAKINI WAMEJITAYARISHA KIMWILI NA KUTOSHA HIO NAFASI MUNGU ANAWABARIKI KIROHO SAFI
TUTAPITIA NAFASI YA MKE NA JINSI GANI MUNGU ANATEGEMEA UJIKAMILISHE KWENYE HIO NAFASI KABLA HAJAKUPA.
DAY 11 – MID YA TO EVENING (SOMO)
SOMA ESTA 1:9-22 , 2:1,4,17 – ni habar ndefu kidogo, isome yote.
Malkia Vashti alikuwa JERURI KWELI KWELI, humpati hatarobo. Unaambiwa alikuwa MZURIIII PISI YA UHAKIKAAA mpaka biblia inasisitiza MZURIIII kwenye manadiko wa uso. Na mfalme akataka kuwaringishia wenzie pisi yake ya hajaaaa. Akaagiza aje asalimie wageni muhimu wa kitaifaaa. Tena ajeamependeza fulll na mavazi ya kimalkiaaaa. Asije sije tu.Bwana weeeee kwani alikuja sasa? Kiruuuuuu! Mbele za ugeniakagomaaaa. Lahaulaaaaa la Kwata. Mfalme Ahasuero alijuakudhalilika Yule baba.
KUNA MAMBO UKIMKATALIA MWENZIO YA KIPUUZI TU KAMA HAYA YA AHASUERO YANAWEKA UFA MKUBWAM MNOOO MOYONI MWA MWENZIO NA KWENYE MAHUSIANO.
SIKU ANAYO AMUA WEWE SIO MKE SIO SIKU MNAYOACHANA. SIKU TU YA KIPUUZI HUKO NYUMA ULIFANYA JAMBO LA KIPUUZI KAMA VARSHTI LIKAHARIBU KILA KITU
Mfalme ana ghadhabika kweli kweli na hasira ina waka ndaniyake. Wanajadiliana wanaamua sasa Kama Malkia ndo hivi , je sisi wake zetu watatutiii kweli. Si itakuwa SIJI BABU WEEEEE, KAGOMA KUJA VASHTI ITAKUWA MIMI? Wakakomaliaaa mfalme achukue hatua. VASHTI OUT OF JUMBA LA KIFALME. VASHTI AKAVULIWA UMALKIA NA KAPIGWA STOOOOOOP KUINGIA KWA MFALME MAANA WALIJUA HASHINDWI KWENDA KUTUMIA UANAMKE WAKE AKAFIKA KWA MFALME BILA NGUO MAAKIDA WAKAUMBUKA! NA HIVI PISI KALI. AKAE MBALIIII KABISAAA. (Hapo kufika bila nguo nimetiachumvi. Aliambiwa tu asifike tena)
Wakapitisha Na sheria kila mwanaume asikubali ubwege Na atawale nyumba yake.
Ukisoma Esta 2:1 Mfalme hasira zinavopoa anamkumbukaVashti maskini. Alikuwa anampenda na indut I wake hivo hivo. Lakini sasa ashajitutumua nchi nzima kwamba Vashti asijehuku. Watamuelewa vipi?
Wapambe nao wanaweka nguvu wa shingo, Vashti harudiiiii. Kama vipi tutaleta mabikra nchi nzima utabadilisha kila Siku no sweat ila lile jeuri Vashti hapanaaa.
Huo ndo ukawa mwisho mbaya wa kiburi cha Vashti. Ndoikaishia hapo, Umalkia ukaishia hapo, Na maufundi ya Mfalmeyakaishia hapo hapo.
Aliofanya Vashti Na tunayofanya sisi mbona Vashti hatukutiii. Kukataaaa tu kwenda jamani. Mbona dogo Sanaa Hilo
KEY POINTS 3 ZINAZOKUHUSU KWENYE HII HABARI YA VASHTI!
1. Mungu anaweza kukupa mtu mzuri Na nafasi nzuri Sanaa. Akakupa mwanaume mzuri Sanaa, Ana kila unacho hitaji. ILA UKAHARIBU KILA KITU NA UPUUZI WAKO. UKASHINDWA KUIKALIA NAFASI VIZURI. Vashti alipatafavor ya Mungu, lakini aliharibu favor yake kwa watu wamumewe Na wakahakikisha anangoka mapemaaa.
2. Makosa yana gharama. Unaweza kuwa unatenda dhambi Na ubadhirifu kwenye mahusiano yako ukaona Mungu yupo kimyahakuingiliii. Jua yatakugharimu. Makosa yanatoa mwanya washetani kukuangamiza. Pale unapokesa tu anapanda doubts kwenye moyo wa mwenzio, wasiwasi, Kusita sita Na kuuakabisaa lengo la kukuoa wewe.
3. Makosa yako ndo yanampa nafasi mwenzio. Mwanzoalikuona wewe. Ulivopwaya ndo akawaona wengine. Kwaniwakati anakutongoza wengine hawakuwepo??? Kwani wakatimfalme yupo Na Vashti mabikra hawakuwepo? Walikuwepo. Ila nafasi Vashti alipewa na Mungu. Alipofanya makosa, akapotezanafasi yake kwa Mungu, kwa Mfalme na kwa Jamiii. SINGLE MOMS NA DIVORCED hii ya kwenu hiii. MTU HAONDOKI BILA SABABU! IT TAKES 2 TO TANGO! Ulianza kufanyakinyume Na matarajio yake kwako, ndo Na yeye nae akaanzayake. Inaenda mnakuta mpo mbali mbali. WALE WA KUOMBA MZAZI MWENZIO ARUDI. Maombi peke yake hayawezikumrudisha manake kuna makosa ulifanya. Anawezakukumbuka Kama Mfalme alivomkumbuka Vashti ilaakikumbuka UPUUZI wako. Anakuwa kama anarudi Kama
Anaondoka. Mpaka Siku utambue makosa yako Na kumhakikishia hutarudiaaa and you will do better ndo atarudi.
Na msijidanganye Mungu akikupa mtu au mume basi ni wakowa milele. Ukifanya makosa dada huna bahatiiii. MAKOSA YA VASHTI NDO YALIMPA ESTA NAFASI NA MUNGU HUYUHUYU ALIBARIKI ESTA KWELI KWELI.
UKIFANYA MAKOSA YOU ARE ON YOUR OWN MY DEAR!
SIFA ZA MKE MUNGU ANAZOTAKA
(WATU MUNGU ALIOWAPA WAKE, HAO WAKE WALIKIWA NA SIFA GANI? NDO NA WEWE UKIWA HIVI LAZIMA ATAKUPELEKA KWA MUMEO)
Wengi kiroho mko tayari mda mrefuuuu Sanaa ila kimwili badomnazingua. Lakini Leo ndo mwisho wa mizinguo yenu in the mighty name of Jesus. Mtaelewa Na mtakubaliana Na ukwelimchungu Na kubadilika.
1 Petro 3:6
Sara kwa mfano alimtii Abrahamu na kumwita yeyebwana. Nyinyi mmekuwa sasa binti zake kama mkitenda memabila kuogopa tisho lolote.
Mwanzo 24
Rebeka anamtiii Yule kijakazi wa Ibrahimu bilakumjua ni Nani wala atapata faida gani. Kunywesha ngamiawote wale sio mchezo Na wanavobwia maji sasa.
Kitabu cha Esta
Esta alikuwa mtiii sana akapata kibali cha mfalme na wote ndaniya lile Jim a.
Kutoka 2:25-11
Siporah alikuwa binti wa kuhani wa Midiani. Alikuwa mtulivu Na mchapakazi. Analea wadogo zake 6 wakike. Wanafanya kazi zote za kiume maana hawana kaka Na baba Yao ni mzee. Wakawa wanaonewa. Musa kakimbia soolake la kuua Misri huko, akawakuta kisimani akawasaidia. Baadae baba Yao akamkaribisha nyumbani kwao na kumpaSiporah Kama mke. Na Musa anaishi nao miaka 40. MpakaMusa akiwa na 80 ndo Mungu anamuita aka deal Na Pharaoh. Je siporah angekuwa jeuri na haja enda kisimani angempata Musa?
Mwanzo 29:15-30
Rachel anapendana na Yakobo. Lakini baba yake anakuwa gaidiii kweli kweli Na kuinua vikwazo kumpamiaka 7 angoje aolewe. Rachel ana tii. Baadae baba yakeanaongeza 7 tenaaaa lahaulaaa. Na Dada yake waolewe nae. Bado anakuwa mtiii pia.
Mtu jeuri anapewa Mume pale tu Mungu anapokuwa Na kusudilake maalumu. Kama Gomeri alishindikana kweli kweli. NabiiHosea anambiwa akamuoe Gomeri kwa kazi maalumu.
Ukiacha ujeuri pia Mungu anakupa mume. Rahabu alishindikanakweli kweli, aliupiga mwingi lakini anakuja kubadilika. Na kuwa mwema kweli kweli. Ukisoma
Mathayo 1:5
Nashoni alimzaa Salmoni, Salmoni alimzaa Boazi(mama yake Boazi alikuwa Rahabu)
Rahabu anapenya kwenye Royal Family ya ukoo wa Masiah!
SO, ITS NOT TOO LATE FOR YOU! HUJACHELEWA BADO! UKIBADILIKA UKAACHA NJIA ZAKO MBOVU MBOVU MUNGU ATAKUTENDEA JAMBO
JE NENO LA MUNGU LINASEMA MKE AWE NA SIFA GANI? NA JE HIZO SIFA UNAZO?
1 PETRO 3:1-2
Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwamwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno; 2 wakiutazamamwenendo wenu safi, na wa hofu.
Mtume Petro hakuoaaa. Aliamua tu kutokuoa. Lakini anatoahayo maelekezo Kama Mungu alivohitaji yatoke.
Hii ikwambie MUNGU HAWEZI KUYAKANA MAANDIKO YAKO KU ENDORSE UPUUZI WAKO. NEVER! Amesemawanawake wa tiii waume zao. Sasa Kama wewe ni Jeuri, jikeshupa, super woman boss lady huambiwi kitu Na mwanaumehakuendeshi. Mungu anakupeleka vipi kwa Mume na hizo tabia chafu?
Maana Mungu mwenyewe kasema wanawake wa watiii waumezao. Anakuja wewe sio mtiii hata kidogo. Katika utukufu wake hawezi kukusaidia akupeleke ukamlipukie mwenzio. Unless ubadilike Ngoma itakuwa ngumu upande wako.
Mithali 19:14
Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwababaye;Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.
Mithali 18:22
Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatiakibali kwa BWANA.
Verse zote 2 MUNGU AMEWA AHIDI WANAUME ATAWAPA WAKE WEMAAAAAA! NO EXCEPTIONS! NO DISCUSSION! MKE MWEMAAAA!
Unaweza kuwa unasali sanaaa, unateketeza masadaka Na masadaka, kwa Mungu uko ? mda wote ila kwa binadamuwenzio wewe ni ? . Let’s say uko mbali kabisaaa na definition ya MKE MWEMA!
Sasa Mungu hawezi kubatilisha haya maandiko yake akufanyiemandingo ndingo na uthalimu wako akupeleke kwa mume. Atakuongezea mda wa kusubiri ujitambue Na kujipanga.
UNFORTUNATELY, WENGI HAPA NDO MMEKWAMA! HAMNA PEPO MASKINI YA MUNGU, HAMNA MIZIMU WALA MADHABAU! MMESHIKA KAMBA NA KUJIFUNGA WENYEWE.
SIO WATU WABAYA LAKINI MNAKOSA MAARIFA MADOGO TU NA KUJIKUTA UNAANGAMIA.
UNTILL UWE COMMITED LIKE REALLY REALLYCOMMITTED KWAMBA UTAENDA KUKAAA KWA BUSARA, UTII, HESHIMA NA MOST OF ALL KUTIMIZA KUSUDI LA MUNGU KWA MTOTO WA MAMA MKWE MUNGU HATOKUPA HIO NAFASI. ATAICHELEWESHA MPAKA BASI.
WENGI NDANI NI SELFISH, SANAAA, UNATAKA UOLEWE VILE UNASEMWA SEMWA, UNAONEKANA SECOND GRADE SO NDO UNATAKA UTOE TU NUKSI.
LAKINI NIA YA DHATI KUTIMIZA MAKUSUDI YA MUNGU YA MKE KWENYE NDOA HUNAAAA! KWANZA HUYAJIIIII KWA KUANZIA.
SASA KAMA HUJUI MAKUSUDI YENYEWE UTAYATIMIZA VIPI????
Waefeso 5:33
Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewekama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe.
LAZIMA AMUHESHIMU MUMEWE! Sio ombi ni amri. Shoga angu ukute bwana mwenyewe Choka mbaya una msapoti. Hio heshima labda waingize mkono tumboni kuivuta nje. Inatokaje kwa mfano?
Utazeeka nyumbani shoga angu mi nakupenda nakwambiaukweli. Pasipo heshima hata mwanaume Hana 100 hakuoi. Utaishi na Mali zako tu. Hujalogwa. Heshima tu ndo huna. Na wanaume Mungu amewaumba kudemand heshima. USIPOMUHESHIMU UMEHARIBU KILA KITU. Ni jinsi tuwalivoumbwa.
Wakolosai 3:18-19
Enyi wake, watiini waume zenu, kwanindivyo apendavyo Bwana.
Mungu anaweka wazi ANAPENDA NINI MKE AFANYE? Unajua kusoma. Sasa usipofanya anavopenda unadhani itakuwavipi kwa mfano.
Waefeso 5:22-23 22
Wake, watiini waume zenu kamamnavyomtii Bwana. 23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkekama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwiliwake, naye mwe nyewe ni Mwokozi wa kanisa.
Mwanaume ni kichwa, hata kama una mleaaaa! Maandiko dada. Kiukweli ukienda kinyume Na maandiko huwezi fika mbali. Hizi technical ndogo ndogo zinakufelisha. Wanaumewameumbwa kuongozwa. Kutiii sio lazima ukubaliane nalo but maana yake fanya anyways. Unataka Au hutaki wewe fanya.
1 Wakorintho 11:3-17
Lakini napenda muelewe kwamba Kristoni kichwa cha kila mwanamume, kama vile mume alivyo kichwacha mkewe, na Mungu ni kichwa cha Kristo.
Jitahidi uelewe hivo.
1 Timotheo 2:12
Mimi simruhusu mwanamke amfundishe au amtawale mwanamume; anapaswa kukaa kimya.
Wewe huyu huyu ukae kimyaaa! Thubutuuu! On serious note ukitia kidomo domo tenaaa baada ya hii kitchen party bilavyombo we all tried.
MAANDIKO YANAKUPA MSIMAMO WA MUNGU JUU YA NAFASI YA MKE KWENYE NDOA NA INATAKIWA UJIPIME KAMA UTATOSHA KWENYE NAFASI HIO AU VIPI.
MBONA UNATOSHA KABISAAA. KUKAA KIMYA TU, KUTIII, KUTOMTAWALA MUME, MBONA VINATEKELEZEKA KABISAAA
NAHITIMISHA KWA KUKUJUZA NAFASI 3 ZA MKE AMBAZO MUNGU ANATAKA UWE TAYARI NDO AKUPELEKE KWA MUMEO
Kabla sijahitimisha nakwambia kabisaaa wale wa kujifanyahujawahi kosea ila wewe tu ndo unakosewa MOYO NI MDANGANYIFU. Ukiufata moyo hutavukaaa. Sababuutaendelea Na mambo yako Yale Yale. Inabidi uuambie moyotuliaaaa. Hatutakiwi kwenda hivi ushaona miandiko Kama yote afu wewe unataka kunipoteza. Safari siongozwi na moyonaongozwa na kichwa
Yeremia 17:9-10
“Moyo wa mtu ni mdanganyifu kuliko vituvyote; hauwezi kuponywa, hakuna awezaye kuuelewa!
NAFASI 3 ZA MKE KWA MUMEWE AMBAZO MUNGU ANATAKA AKAZIKABE!
1. MZAZI
Hii ipo direct kabisaaa. Ni mwendo wa kwenda kuijaza dunia. Wale career woman hapa ndo mnapishana Na Mungu. MawazoCareer yangu itakuwaje? Si ndo maana kuna maternity leave. Ambition isikufanye ukwepe hili jukumu. Na mpaka ukibalikwamba ukienda kwa mume utazaaa na kuijaza dunia Munguatakufanyia wepesi.
Na kuzaaa sio tu kuleta watoto afu basi. QUALITY YA MALEZI MUNGU ANAZINGATIA SANAA! Kama utazingatia utu na ukarimu. Uta take pride kuelea familia yakoinavotakiwa Na ku give your all. Anaangalia Sanaa kama ARE REALLY PASSIONATE ABOUT FAMILLY au ndo unatakaharusi utoe nuksiii basi. Bado hujamaliza kula maisha na kula bata au kupambania vyeo. Ukijisachi na kuona ni mda sasa Na uko tayari kuacha vyoteeer ufanye hili jukumu toka ndani yamoyo wako atakufanyia njia.
2. KUHANI WA FAMILIA.
Wengi you can’t wait Uvae shella uni unfollow. Umechoshwa natoo much prayers vile basi tu. You can’t wait all this to be over urudie njia zako. Utasugua benchi la reserve. All this is LIFE!
We unahisi Mungu anaweza kumpenyeza mfuasi wa shettykwenye ndoa alio I ordain yeye takatifu. Haweziiii! Mpakakutoka ndani yako uamue kwa dhati Mungu akinipa hio ndoaforever team heavens. Nitapambana Navoweza kuhakikishafamilia anayonipa inaenda kwa misingi yake mpaka mwishosababu kanitoa misri. Siwezi kuzingua. Kama upo tayarimwambie Mungu navaa naivera mwenyewe Shusha ndoa Hilo nifanye vituz vyangu.
Kama una u Jezebel ndani yako, you still toxic Munguhatokupeleka kwa mume sababu unaweza usimfrustrate ila ukaMPOLUTE. Mfalme Ahazi alikuwa mtu mzuri ila Jezebel mkewe ali mpolute. Mfalme Suleiman wake zake wali mpoluteakaabudu miungu ya kigeni. Na wafalme wengi walikuwawanaharibiwa na wake zao. Hata Adam ali ponzwa Na Eve. Anania aliponzwa na mkewe Safira wafiche pesa za nyumbakidogo, mwisho wakafa.
Sasa Mungu anaijua nguvu ya mwanamke kuwaharibuwanaume. Ili Mungu akupeleke to. Godly man lazima uwe msafina umenyooka. Ndo maan nakuhakikishia usipo badilika safari yako itakuwa ngumu sanaaa.
Lakini ukibadilika Na kuwa mwema na ukaweka nia utakuwamshauri mzuri kwa mumeo, Mungu akakupima na kuona kweliatakupeleka to a Godly man. Na ndoa yako itakuja haraka sanaa.
ACHANA NA UDANGANYIFU WA MOYO JIPIME ULIPO PWAYA AHIDI KUBADILIKA NA BADIILA TOKA NDANI YAKO!
JIPIME KWENYE HIZO NAFASI 3 UNAKWAMA WAPI? OMBA TOBA NA JI COMMIT
MWAMBIE MUNGU UMEJUA LEO NA UPO TAYARI KABISAAA KWA NAFASI YA MKE! KAMA BADO KUNA ENEO UMEJIZIMA DATA ROHO MTAKATIFU AKUKUMBUSHE!
DAY 12 – Midnight
MALANGO
Doors ni authorized entry! Ili uingie sehemu lazima malangoyawe wazi ili upite. Ukipita dirishani utaingia ila bila ruhusu. Au upite darini bado hujaruhusiwa kuingia
Hata misimu katika maisha yana malango yake. Lazima yawewazi ili uweze kuingia msimu mpya. Yakifungwa yanasababishamsimu unaotakiwa uishe uendeleee mpakaaaa. Kama msimu wausichana ukipita unatakiwa kuingia msimu wa mke, malangoyakipita unabakia msichanaa weee mpaka mwanamke wamakamo. Msimu wa mke unatakiwa ufungue malango ya msimuwa Mama Na familia. Unaweza kuwa mke ila malango ya uzaziYakafunga ukanasa hapo Mke weeee.
Malango yakichelewa kufunguka yana Leta delay, frustration, disappointments Na kukata tamaaa kupelekea mtu sasa kutumiamadirisha Na dari kuingia.
1 Wathesalonike 2:18 Kwa hiyo tulitaka kuja kwenu, naam, mimi Paulo, nilitaka kuja mara kwa mara, lakini Shetaniakatuzuia.
Shetani anaweza kufunga malango yako kabisaa kabisaaa. Kama alivompiga pini Mtume Paul kule Thesalonike. KumbukaMtume Paul maisha yake yalikuwa kumkimbiza shetanimchakamchaka mwanzo mwisho. Lakini anapiga pini malangoya Thesalonike.
Lakini humuoni Mtume Pau akisusa, au akiziraaaa, au kujisononesha au kumkasirikia Mungu. Sasa Shetani kukupigapini dogo tu la kuchelewa kuolewa basi unachafua hali ya hewambinguni Na kujiunga nae.
Sometimes kumshinda shetani it takes patience.
Unaweza kuwa unaota ndoto za ndoa, shella, mahari, sherehevyote vinaashiria msimu mpya uko tayari lakini shetty kapigaSOLEX Hilo lango. Na funguo katulia nayo kuzimu.
Kukasirika Na kususaaa kufanya dhambi kubwa Na nyingi zaidihakumfanyi akuhurumie hata kidogo. Ndo anaongeza Solex tu
Mwanzo Ulikuwa maybe just lonely , kwa hasira unapata Mtuanaomba video call ya utupu. Ukiwaza Mungu akujali, kwenuwanakusimanga, kwanza ulikuwa unaimba kwaya ila badohukuonekana. Unamkubaliaaa
Baadae anakwambia ili nisivujishe hizi video kwa Mange mshahara wako wote nipe mimi. Unarudi tena kwa Mungu. Baba yangu nihurumie.shida kubwa zaidi inayeyusha uchunguwa shida ndogo. Mpige Radi Yule mbwa.
Ufunuo 3:7 “Kwa malaika wa kanisa la Filadelfia andika hivi: “Mimi niliye mtakatifu na wa kweli, ambaye nina ule ufunguowa Daudi na ambaye hufungua na hakuna awezaye kufunga, hufunga na hakuna awezaye kufungua
UFUNGUO UPO RELAX!!!
1 Wakorintho 16:9
kwa maana nimefunguliwa mlangomkubwa wa kufaa sana, na wako wengi wanipingao.Unaweza kufunguliwa mlango kabisaaa , tena mkubwa kwelikweli ila wakaibuka wengi kupinga entry yako.Ndo unakuta una mtu wako mnataka kabisaaa kuoana. Ila wawapingao sasa Kama woteeeeMoja ya mbinu kubwa ya Shetani ni kujua Mungu kakuahidinini, alafu anaanza kupanda doubts, wasiwasi, mashaka. Mpakapamoja Na ahadi mkononi, na unabiii, Na maandiko still una muamini shetani.
Mathayo 7:7
“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombayehupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.
GONGENI NA NYINYI MTAFUNGULIWA MAANA KILA AGONGAE HUFUNGULIWA. KILA AGONGAE MANAKE HATA WEWE SIO WATUMISHI TU, SIO MITUME, SIO WANA MAOMBI TU! KILA AGONGAE HUFUNGULIWA
Luka 11:5-13 Kisha akawaambia, “Tuseme mmoja wenu ana rafiki yake. Akamwendea usiku wa manane akamwambia, ‘Rafiki, nikopeshe mikate mitatu. 6 Nimefikiwa na rafiki yanguakiwa safarini nami sina chakula cha kumpa.’ 7 Yule aliyekondani akajibu, ‘Usinisumbue! Nimekwisha kufunga mlango. Na mimi na watoto wangu tumelala. Siwezi kuamka kukupa chochote.’ 8 “Nawaambieni, hata kama huyo mtu hataamka nakumpa mikate kwa sababu ni rafiki yake, lakini kwa sababuameendelea kuomba bila kukata tamaa ataamka ampe kiasianachohitaji. 9 Kwa hiyo nawaambia, ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni, nanyi mtafunguliwa mlango. 10 Kwa kuwa kila anayeomba hupewa; naye atafutaye, hupata; nakila abishaye, hufunguliwa mlango.
HII NDO KANUNI YA KUDEAL NA MILANGO ILIOFUNGWA!
YESU ALIJUA KUNA MILANGO YA WATU ITAFUNGWA AKATOA HII PARABLE USIKATE TAMAAA ENDELEA KUGONGA NA KUGONGA MAANA YESU MWENYEWE ALISEMA KILA AGONGAE ATAFUNGULIWA!
Yeremia 6:16 16 Bwana asema hivi, Simameni katika njia kuu, mkaone, mkaulize habari za mapito ya zamani, I wapi njia iliyonjema? Mkaende katika njia hiyo, nanyi mtajipatia raha katikanafsi zenu.
TAFUTA NJIA SAHIHI ITAKUPELEKA KWENYE FURAHA YAKO!
SEHEMU YENYE FURAHA YAKO IPO! NI KWAMBA TU HUIJUI NJIA BADO. SASA USIKAE BILA RAHA!!! NENDA NJIA KUU KAULIZE NA KUTAFUTA NJIA YA KWENDA KWENYE FURAHA YAKO, NA NENDA NA HIO NJIA UTAPATA FURAHA YAKO
Wakolosai 4:3 mkituombea na sisi pia, kwamba Munguatufungulie mlango kwa lile neno lake, tuinene siri ya Kristo, ambayo kwa ajili yake nimefungwa
Huu waraka unaandikwa na Mtume Paul akiwa gerezani. JAIL PEPOLE! Lakini mnaona ambavo waraka wake hauna simanziNa umejaaa imani tele.
MAIN POINT
KUNA MILANGO AMBAYO MUNGU PEKEEE NDO ANAWEZA KUIFUNGUA KWA MAOMBI TU!
LORD OPEN DOOR OF MERCY, DOOR OF FAVOR, DOOR OF BREAKTHROUGH
Yakobo 5:17
Elia alikuwa binadamu kama sisi. Aliomba kwamoyo mvua isinyeshe, nayo haikunyesha nchini kwa muda wamiaka mitatu na miezi sita.
Elia alifunga majira za hali ya hewa kwa miaka mitatu na nusu. Iliendelea majira moja tuuu ya jua nonstop. Hamna vuli walamasika. Na likuwa Binadamu.
Kama binadamu akiomba kwa moyo anaweza kufunga majirabasi vile vile hata binadamu akiomba kwa moyo anawezakufungua majira
Yakobo 5:18
Akaomba tena, mbingu zikatoa mvua, nayo nchiikazaa matunda yake.
Zaburi 24:7
Inueni vichwa vyenu, enyi malango, Inukeni, enyimalango ya milele, Mfalme wa utukufu apate kuingia.
Yoshua 6:1
Milango ya kuingilia mjini Yeriko ilikuwaimefungwa imara kwa ndani kuwazuia Waisraeli wasiingie. Hakuna mtu aliyeweza kuingia wala kutoka katika mji huo.
Kuna malango YANAFUNGA KWELI KWELI! Mpakaushushe ukuta mzimaaa ndo uingie.
Isaya 45:2 Nitakwenda mbele yako, na kupasawazisha mahalipalipoparuza; nitavunja vipande vipande milango ya shaba, nakukata-kata mapingo ya chuma;
Anza mdogo mdogo kugongaaaa Hilo lango la ndoa, ukionavipi tumia funguo ya David kufungua hayo malango, ukionahamna kitasa tumia Andiko la kuyangoa, ukiona bado MuiteMungu aje avunje vipande vipande malango ya Shaba Na kukatakata mapingo ya Chuma.
It’s not a onetime thing. Unakesha Nalo Hilo la kupambana nalo machana kutwa. Wale wa kunena kwa lugha hii ndo Siku yenyewe haswaaa
Unavopambana Na lango Hilo unalilegeza nikija kesho saa 12 kazi inakuwa imebakia ndogo tu, Na Mimi natia neno langu la kitumishi. Tunamaliza kazi.
Sasa Kama umeomba Siku nzima unakuwa Relim ya juu sanaa, nikitamka tuuu unadakaaa. Ila Kama ndo unatusindikiza mpakaSiku ya 12 tunashukuru.
Maombi ya watu wa 2 sio sawa na mmoja. Kazi kubwaunatakiwa umefanya wewe. Mi nakuja tu kumaliza decree Na declaration.
Nawategemea sanaaa. Nisameheni kuwa Brutal mchana kwakuwapa Makavu. By any means necessary ndo ile. Chungulakini dawa. It shall be well!
Anza kugonga gongs hapo lango hilooo.
Day 12 – Mid day
Muendeleee kuziombea sadaka zenu. Ukiona unapata urahisi, Jua haufanyi serious enough.
Wale wa ndoto za sherehe nyumbani, kus sign vyeti, mmevaaashella , watu wa pembeni wanakutabiria, unapewa unabiiikwamba mambo tayariiii tayariii. Inaonesha majira tayari! Yamefikaaaaa!
Sasa be very serious Na commited kufungua Hilo langu tule ubwabwa sisi.
Kuna watu walikuwa mizimuni huko kwenye madhabau, Mashimoni, makaburini, wame toka huko wako serious wamekukuta mlangoni Na wakuache kweli.
Believe me Kama mtu kajitoa mashimoni alipokuwa matekaanalindwa hashindwi kupiga mlango teke ukashangaaa yupondani. Wewe una deka deka hapo hapo mlangoni.
WALE AMBAO MUNGU HAJA WAJALIA SADAKA MSIWE NA WASIWASI HUDUMA IMEINUA SADAKA KWA AJLI YENU!
KUMGUSA MUNGU MDA MWINGINE SIO KUPIGA MAYOWE YA SHIDA ZAKO BINAFSI! MSAIDIE MWENZIO KUMUONA MUNGU KUPITIA WEWE
YESU ALIKUWA ANAPENDA SANAAA KUOMBEA WAGONJWA! NA MIUJIZA MINGI ALIFANYA KWA WAGONJWA!
MITUME WALIJITOA SANAA KWA WAGONJWA! HATA WALE WALIOTENGWA NA JAMII!
HATA WEWE UNATAKIWA KUFANYIKA BARAKA KWA WAGONJWA
IBADA YA SADAKA INATAKA SADAKA! HAKUNA CHA KUSEMA SINA! UKISEMA HUNA UJUE UMEJIONDOA KWENYE IBADA.
ELIA ANAENDA KWA MJANE ANAMWAMBIA UNA NINI? IMAGINE MJANE ANA KOZI MOJA TU YA UNGA NA MAFUTA ALE NA MWANAE WAFE. ANA MWAMBIA KAMA UNATAKA KUPONA NA UKAME SADAKA KWANZA NITENGEZEEE MIMI KWANZA NILE ALAFU KIKIBAKI NDO WEWE NA MWANAO. NA WANAVUKA KWELI UNGA HAUISHIIII. ILA HAPO MWANZO WEWE KUWEZA!
KIKUBWA SIKUTAKA MJIDANGANYE KAMA SINA NAOMBA HIVO HIVO. HAPANA. KAMA HUNA MWAMBIE TU MUNGU KWELI SINA ILA IANGALIE SADAKA YA HUDUMA MAANA IMETOLEWA KWA NIABA YA WOTE AMBAO HAMNA!
SO KWENYE MAOMBI YAKO INUA SADAKA HII!
WALE WA NADHIRI NI KAMA HUNAAAAAA TU! SIO UNAYO AFU MPAKA MUNGU AFANYE HAIPO HIVO!
HANA ALIWEKA NADHIRI YA MTOTO SABABU MUDA ANAWEKA ILE NADHIRI ALIKUWA HANA YULE MTOTO ASINGEWEZA KUMTOA MDA ULE IKAMLAZIMU NADHIRI.
SASA HUO UTARATIBU MUNGU NDO AANZE KUKUPA NDO UTOE SIJAONAGA UKIFANYA KAZI.
DAY 12 – EVENING
MAOMBI YA KUFUNGUA MALANGO
Zaburi 44:3
Maana hawakuitwaa nchi kwa upanga wao, Wala hawakupata ushindi kwa mkono wao; Bali mkono wako wakulia, naam, mkono wako, Na nuru ya uso wako, kwa kuwaulipendezwa nao.
My God, in the name of Jesus the grace for open doors rest upon you, upako wa malango yaliyo wazi uku locate sasa. Upako wamalango yaliyo wazi ya ndoa uwe juu yako sasa, uwe juu yakosasa, In the mighty name of Jesus.
By the powers of prophetic and apostolic I Deeree and declare open doors for your marriage. Your marital door shoul open now for you to walkin. Malango yako ya ndoa ya yafunguke sasa Na upite in the name of Jesus.
Kila Milango ya Shaba, Na Chuma , sawasawa Na neno lako la Isaya 45:3 yangoe sasa Na kuuavunja vunja vipande in the mighty name of Jesus.
Kila gereza linalo Shikilia yeyote mateka baba, tuma Malaika wako akawaokoe Kama ulivomtuma Malaika akaendakumuokoa Petro, na akawaokoa Paulo na Sila in the mighty name of Jesus.
Bwana Yesu ulisema gongeni nanyi mtafunguliwa, baba tunagonga hio milango ya ndoa Leo hii, Tu fungu lie bwana sawa sawa na neno lako kwa hakika kila agongaye hugunguliwa.
Yesu ulisema wewe ndo ufunguo wa Daudi. Tunakusihiiiufungue hizi eccient doors zilizoshindikana.Bwana umriumeenda , familia zinaugua. Ulisema tuombe chochote kwa Jinalako tutapata Tunaomba favor ya kufunguka kwa lango la ndoa.
In the might name of Jesus, I stand by the prophetic and appostolic powers and decree and declare ALL CLOSED MARIATAL DOORS EPHATA! EPHATA!
IN JESUS NAME WE PRAY!
DAY 13 – MIDNIGHT
DIVINE HELPERS – (SOMO & MAOMBI)
Kuna sehemu ili ufike unahitaji Devine helpers kukamilishahatma yako. Kuna watu wanajua njia wakikushika mkono nifatser.
Esta alikuwa hajui Kama Kuna tamko la Mfalme kuhitajimabikra. Modekai ndo alikuwa devine helper wake alie msanuahio issue sababu alikuwa anafanya kazi ikulu.
Unahitaji watu wataje Jina lako kwa wema sehemu wewe badohujafika. Watu watoe toe hio namba ya simu Na kukupiga debe unafaaaa kuwa mke. Mambo ya namba yangu kakupa Nani? Huyo Nani huyooo ndo Devine heleper.
Naomi alikuwa devine helper wa Ruth kwa Boaz. Anampamandingo ndingo ya kumnasa Boaz. Bila Naomi pale Ruth ngoma ishakuwa nzito
Yule mtumishi wa Ibrahim ndo devine helper wa Rebbecca. Alivoona yeye Rebecca anafaaaa the deal was done. Isaka yeyehakuwa Na la kusema.
Mungu akuinulie mtu mwenye influence atakae ona utafanyikabaraka kwa familia ya Mume wako.
Baraka inatoka kwa Mungu lakini inapitia kwa binadamu. Mungu hawezi kukushia Mume usiku. Mume hayupo Mbinguni, kule wako kina Mikaeli na Gabriel tu. Mume yupo hapa hapaduniani, ni vile tu hamjakuna.
Sasa Devine helpers ni wale wataosaidia nyie kukutana, Na watasimama Na wewe mpaka uvae shella.
Modekai ali simama na Esta kidete mpaka akampenyeza kwenyekasri la mfalme. Isingekuwa kwa Modeki Esta asingetoboa pale.
Haggai anampa Esta mafuta apakeee mwaka mzima yakumdatisha mfalmeee. Esta kufika kwa King kitu pwani. Divine helpers.Na wewe Kuna sehemu ulikosa Modekai wako wakukupambania.Kuna watu ni watu zao milango wa mahali. Wasipo kupendahupitiiii huo mlango, wala huingiii ule mji. MAMA MKWEEEEEE!
Hawa unawahitaji wakupende ndo uvuke. Yusufu asingeweza kuwa mkubwa Misri Kama Pharaoasinge mkubali Na kuagiza aitwe mbele yake Na kupata kibalimbele yake
UNAHITAJI DESTINY HELEPER WA AINA 3
Sasa Leo Utajadili Mbingu, zikunyanyulie DIVINE HELPERS WA KUTIMIZA HATAMA YAKO YA NDOA
Kuna tofauti Kati ya kuomba Na kujadili.
Kujadili Na wewe unaweka input yako. Kuomba nikukubaliana Na chochote utachopewa. Sasa Leo utajadilianana Wakubwa Mbinguni Kuna watu wewe unajua kabisaaaYule akiwa upande wanguu Yule mama baaaaas ule mjinimeingia. Sasa muombe Mungu awe divine helper wako. Yule WiFi jeuriiii Kweli Kweli asietaka hata kukusikia, ageuke divine helper wako. Yule Yule Goliat wakoaliekufungia mlango ageuke Divine Helper
Kama huna mtu maybe, Muombe Mungu akuinulie devinehelpers watakao kukutanisha Na Mume wako.
Kama una Cruuuuuuushhhhh Leo ndo Leo muombe Munguakuinulie devine helpers wa kukufikiaha kwa Crush uliposhindwa kufika.
OMBA MUNGU AKUINULIE WATU WOTE MUHIMU WATAKAO SAIDIA WEWE KUFIKIA HATMA MAANA UMEKUWA UNAKUTANA NA UPINZANI MKALI KULIKO DIVINE HELPERS. LEO HABARI IBADILIKE UKUTANE NA DEVINE HELPERS ZAIDI.
DAY 13 – EVENING
HONGERENI KWA KUMALIZA MFUNGO SIKU 13 SIO MCHEZO
NAONA MNASTUKA KUMALIZA KIVIPI?
SIKU YA SADAKA SIO SIKU YA KUFUNGA
IBADA NYINGI ZA SADAKA WATU WANAKUWA HAWAJAFUNGA NA NI IBADA AMBAYO NA KUFUNGA TOFAUTI.
KWANZA UNATAKIWA UWE IN HIGH SPIRITS, UWE NA VIBE UWE FULL SHANGWE! UWE EXITED! SASA KUFUNGA KUNA DRAIN, UTAKUWA DOWN
KINGINE, KUFUNGA NI IBADA NA SADAKA PIA NI IBADA YA KUJITEGEMEA! SO KESHO TUNA FOCUS NA IBADA YA SADAKA
KUHITIMISHA KABLA SIJAANZA PART YA SADAKA
KAMA CHETI CHA KUPAMBANIA NDO KINGEKUWEPO LEO UNGETUNUKIWA. UMEPAMBANAAAAA KWA UWEZOOOOO WAKO, VITA UMEVIPIGAAAA SHOGA ANGU! HIZI SIKU 13 HAZIKUWA RAHISI HATA KIDOGO.
PROGRAM NYINGI UMEFANYA ILA SIO INTENSIVE KIASI HIKI. FOR EFFORTS TU UMEPATA A! KIKWELI KWA UPANDE WAKO UMEONESHA NIA KUBWA. KILICHOBAKI MUNGU AJIDHIHIRISHE KWAKO TU
MUNGU NI MUAMINIFU SANAA! AMEIONA IBADA YAKO! HATA SHETANI AMEION IBADA YAKO! UMEPIGA IBADA NZITO!
SASA KIFUATACHO NI KUAMINI IBADA YAKO!
KIVIPI?
AMINI TOKA NDANI YA MOYO WAKO KWAMBA MUNGU AMEIONA IBADA YAKO NA AMAIPOKEA!
KAAA MKAO WA KULA! KAA KUPOKEA MAJIBU!
HATA MOYO UKITAKA KUSITA NA KURUDI NYUMA UKUMBUSHE IBADA YOTE ILE HAIWEZEKANI MUNGU ASITUZINGATIE. TUMETIMIZA VIGEZO. MOYO TULIAAAAAA!
MIMI NAWAHAKIKISHIA DECEMBER HAITAFIKA HIVO ULIVO! WENYEWE MTAANZA KUSHUHUDIA KUSHOTO NA KULIA! HAMTA AMINI. MAMBO YANAENDA KUWA MEPESI MPAKA UNAHISI MBONA KAMA MBINGU ZINANIPENDELEA SANAA
ANZA KUFURAHI MAPEMAAAA!!!! ANZA LEO LEO!
DAY 14 – SADAKA YA UKOMBOZI
PRAYER POINTS 3
1.UTUKUFU WA MBWANA UWE JUU YANGU (UTUKUFU WA BWANA UKIWA JUU YAKO VITU VYOTE VIBAYA VINAONDOKA
2. BWANA UNIINUE NIFIKIE HATMA YANGU YA NDOA ULIO NIKUSUDIA!
3. SHOW ME BETTER DAYS (NIONESHE SIKU NJEMA ZAIDIII)
TUMIA HAYA MASAA MA 3 UIBEBESHA SADAKA YAKO MAMBO YAKO YOTE, MACHUNGU YAKO YOTE NA DEPRESSION ZOTE
1WAFALME 18:30-35 Kisha Eliya akawaambia watu wote, Nikaribieni mimi. Watu wote wakamkaribia. Akaitengenezamadhabahu ya BWANA iliyovunjika. 31 Eliya akatwaa mawekumi na mawili, kwa hesabu ya makabila ya wana wa Yakobo, aliyejiliwa na neno la BWANA na kuambiwa, Jina lako litakuwaIsraeli. 32 Naye akaijenga madhabahu kwa mawe hayo katikajina la BWANA; akafanya mfereji, kama wa vipimo viwili vyambegu, ukiizunguka madhabahu.
33 Kisha akazipanga zile kuni, akamkata yule ng’ombe vipandevipande, akaviweka juu ya kuni. Akasema, Jazeni mapipamanne maji, mkayamwage juu ya sadaka ya kuteketezwa, na juuya kuni. 34Akasema, Fanyeni mara ya pili. Wakafanya mara yapili. Akasema, Fanyeni mara ya tatu. Wakafanya mara ya tatu. 35Yale maji yakaizunguka madhabahu; akaujaza mfereji maji.
HUU NDO MDA WA KUMIMINA TABU, MAJONZI, AIBU, SONONA, KILA KITU JUU YA HIO SADAKA.
ILA MUNGU AKIJA KUONDOKA NA SADAKA ANAONDOKA NA HIZO PROBLEMS ZOTEEEE.
TAKE YOUR TIME
SAA 6 KAMILI USIKU NAKAMILISHA NENO LA KUPOKEA THEN UTAANZA KUTOA. NAMBA HII HII0713144639 TIGO PESA FELISTER MGAYA! UNAWEZA TOA MDA WOWOTE MPAKA KESHO JIONI SAA 11 NA NUSU.
THEN TUTAINGIA AGANAO NA MUNGU KWA KUTUMIA SADAKA ULIO TOA! THEN TUTAHITUMISHA
NAWAOMBA RADHI MAPEMA KAMA MTU ATA TOA PENGINE NI VYEMA SANAA. NA MUNGU NI YULE YULE
LAKINI AGANO LINATAKA FACTS! SO ITANILAZIMU KATIKA AGANO HILO NI COMMIT FUNDS ZOTE ZILIZOTOLEWA SADAKA HAPA (SASA KAMA HUJATOA HAPA HAITAKUWA PART YA AGANO JAPO WEWE KAMA WEWE UTAJIUNGANISHA) NA KWA PAMOJA TUCOMMIT KWAMBA ZINAENDA SEHEMU FLANI KUTIMIZA KITU FLANI ALICHOAGIZA MUNGU MPAKA SENTI YA MWISHO (HAPO NDO MJUI SIPATI HATA SENT 5 MAANA MIAMALA YOTE ITAKUWA COMMITED KWENYE AGANO. NIDOKOE KWENYE AGANO SIJITAKII)
NDO MAANA NAKUHAKIKSIHIA UKITOA HAPA LAZIMA SADAKA ITAJIBU MAANA MIMI NDO NITASIMAMIA KUTIMIA KWA AGANO UPANDE WETU! HAKUNA WA KUCHAKACHUA HATA 100. SIKU 13 SIO MCHEZO UNAOMBA SAA 24. ZITAFIKA ZINAKOTAKIWA KUFIKA MPAKA SENTI YA MWISHO!
NA KATIKA AGANO HILO TUTAMSIHI MUNGU ATIZAME SADAKA YA WOTE WALIOTOA MAANA WAMETIMIZA UPANDE WAO, NA KWA KUWA YEYE NI MUNGU MUAMINIFU ATIMIZE UPANDE WAKE WATU WAENDE KWA WAUME ZAO, SHELLA HIZO ZIVALIKE KUANZIA MWAKA HUU HUU!
KATIKA MAOMBI YAKO YA MAANDALIZI LAZIMA UINUE SADAKA!
NDO MAANA NIKASEMA KAMA HUNA UMEJISACHI HUNAAAA SIO, HATA MATEGEMEO YA KUPATA HUNAAA USISONONEKE WALA USIENDE KUIBA!
HUDUMA IMEINUA SADAKA KUBWA YA KUTOSHA, ILIO NONA, NDO MAANA NIMEWEKEA EVIDENCE SIO MANENO MATUPU, USIJE KUWA UKO 50/50 HUDUMA IMEINUA SADAKA KWELI KWA AJILI YANGU, AU NDO WANANIPA MOYO ?! KUWA NA AMANI! HUDUMA IMEINUA SADAKA NONO JAPO HAIJAFIKIA YA MFALME SUILEIMAN ?KWA AJILI YAKO WEWE.
SO WEWE KATIKA MAOMBI YAKO UNATAKIWA KUINUA SADAKA YA UKOMBOZI USIANZA SINA SADAKA. MAANA MAOMBI YA UKOMBOZI WA SADAKA YANAYATAKA SADAKA WALA HAYATANIII. HAMNA SADAKA HAMNA UKOMBOZI.
WITH CONFIDENCE KABISAA SEMA NAINUA SADAKA ILIOTOLEWA NA HUDUMA HII YA BINTI MLOKOLE, IKANIKOMBOE NA X,Y,Z
KAMA UNA YA KWAKO SEMA NAINUA SADAKA YANGU TAJA KIASI IKANIKOMBOE NA XYZ!
1 WAFALME 18:36-39 Ikawa, wakati wa kutoa dhabihu yajioni, Eliya nabii akakaribia, akasema, Ee BWANA, Mungu waAbrahamu, na wa Isaka, na wa Israeli, na ijulikane leo ya kuwawewe ndiwe Mungu katika Israeli, na ya kuwa mimi nimtumishi wako, na ya kuwa nimefanya mambo haya yote kwaneno lako. 37 Unisikie, Ee BWANA, unisikie, ili watu hawawajue ya kuwa wewe, BWANA, ndiwe Mungu, na ya kuwawewe umewageuza moyo wakurudie. 38 Ndipo moto waBWANA ukashuka, ukaiteketeza sadaka ya kuteketezwa, nakuni, na mawe, na mavumbi, ukayaramba yale majiyaliyokuwamo katika mfereji. 39Na watu wote walipoona, wakaanguka kifudifudi; wakasema, BWANA ndiye Mungu, BWANA ndiye Mungu. 4
ROHO MTAKATIFU AMERUHUSU TUTOE SADAKA ZETU!
Mithali 19:17
Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA; Naye atamlipa kwa tendo lake jema. Kukumbushana tu
Mathayo 6:3
Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyokwamba hata mwandani wako asijue ufanyalo.
SADAKA YAKO MTOLEE MUNGU, UKISHATUMA MUNGU AMEONA NA JIONI TUNAFANYA AGANO!
MUITIKIO NI MKUBWA SANAA, WENGI MMENITUMIA MIAMALA SASA SMS SIJAZIFUNGUA SABABU HATA MIMI SITAKIWI KUONA UNATOA NINI NA KWANINI ILI KUHAKIKISHA UBORA WA SADAKA SITAKI YULE MUOVU AJIPENYEZE DAKIKA ZA MAJERUHI.
SO KAMA SIJIBU SMS YAKO USIJISIKIE VIBAYA, SADAKA YAKO IMEFIKA NA KWENYE AGANO IPO NA WEWE NI SEHEMU YA AGANO!
ROHO MTAKATIFU AMENISEMESHA KWA HABARI YA UBORA WA SADAKA! HATA KAMA ULISHATUMA SMS KWANGU SABABU HUKUJUA HILI NENO HAPO KABLA HALITAKUHUKUMU.
MDOGO MDOGO TUMALIZIE MALIZIE MAOMBI YETU
2 Samweli 24:24 Lakini mfalme akamwambia Arauna,La, sivyo; lakini kweli nitavinunua kwako kwa thamani yake; walasitamtolea Bwana, Mungu wangu, sadaka za kuteketezwanisizozigharimia. Hivyo Daudi akakinunua hicho kiwanja cha kupuria na wale ng’ombe kwa shekeli hamsini za fedha.
SALA YA AGANO
1Wafalme 8:22-23 Sala ya Solomoni
(2Nya 6:12-42)
22Kisha Solomoni alisimama mbele ya madhabahu yaMwenyezi-Mungu, naye, akiwa mbele ya jumuiya yote yaWaisraeli, aliinua mikono yake juu, 23akasema, “
‘Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, hakuna Mungumwingine kama wewe, juu mbinguni, ama chini duniani! Weweu mwaminifu, kwani umetimiza agano lako na kuwaoneshafadhili zako watumishi wako wanaoishi wakikutii kwa moyowao wote.
SALA YETU KWA MUNGU
Na sasa baba uwatimizie watu wako Kila mmoja kusudio la moyo wake, kwa maana walisikia Sauti ya mtu aliae online, wakati uliomariwa wao kuolewa umewadia, wakiacha njia zao, watafunga na kuomba haya maombi kwa moyo wao wote weweMungu utatenda jambo juu yao Na utawaokoa. Na wameinuasadaka Yao ilio njema kuomba agano. Eeeh Mungu pokeasadaka yao Na ukatimize ahadi yako ya kuwaokoa kwenyemajonzi Yao Na kuwapeleka kila Mtu kwa Mume wake Na kwamkono wako wafikie ahadi ya ndoa takatifu.
Na sasa nakusihi ee Mungu ulithibitishe neno lako la
Isaya 34:16 Tafuteni katika kitabu cha BWANA mkasome; hapana katika hao wote atakayekosa kuwapo, hapana mmojaatakayemkosa mwenzake; kwa maana kinywa changukimeamuru, na roho yake imewakusanya. Baba ukaitizamesadaka Yao na kuwakutanisha na wenza wao mapemaaa maanawamengoja hio ahadi muda mrefu. Na wakawe wenza wanaohitaji ndoa na watakao wapa faraja na furaha.
Baba itazame sadaka Yao ya Leo Na ukumbuke kitabu chakocha kumbukumbu sawa sawa na neno lako
Malaki 3:16
Ndipo wale waliomcha BWANA waliposemezanawao kwa wao. Naye BWANA akasikiliza, akasikia; na kitabucha ukumbusho kikaandikwa mbele zake, kwa ajili ya haowaliomcha BWANA, na kulitafakari jina lake. 17Iliandikwa hivi: Mwenyezi-Mungu asema:“Hao watakuwa watu wangu. Watakuwa urithi wangu maalumu siku ile nitakapoinukakufanya ninalokusudia.
Sitawadhuru kama vile baba asivyomdhuru mwanaweanayemtumikia.
Sawa sawa na neno lako Hilo wako baba wanao kutumikia mdamrefu kwa uadilifu wakingoja hio ahadi yako ya ndoa Yao takatifu, Na uite kitabu chako cha kumbukumbu, inuka nauwatendeee ulilo kusudia.
Baba tazama sadaka na ibada Yao hiii walio kuinulia naukuwalipie sadaka zote zilizoteketezwa kwenye madhabau Na kuinuliwa dhidi Yao Na kutoa uhalali wa hizo madhabaukuwashikilia Na kuzuia ndoa zao. Baba sadaka ikalipe hayomadeni na kuwaweka huru na uwafanikishe kwenda kwenyendoa zao kuanzia sasa.
Baba ukapokeee sadaka hiii na kusamehe makosa na dhambizote zenye uhalali wa kuzuia hatama Yao ya ndoa kutimia. Hatapale walipo pwaya ukaitazame sadaka hiii Na kuwajazia Na kuwarehemu wapate kutimiza hatama Yao ya kufunga ndoa.
Baba tazama sadaka Yao hiii ni ukawape upendeleo wakuwafungulia lango la ndoa Na kuwawezesha kupita nakufanikiwa kufunga na kuishi katika ndoa zao.
Baba itizame sadaka hiii na kuumaliza msimu wao wa upwekeNa kutanga tanga. Leo Siku waliokuinulia sadaka iwe Siku yamwisho wao kuwa wapweke. Wafungulie msimu mpya wa ndoa na familia.
Baba hata wale waliopwaya kwenye maombi, tazama sadaka hiiiNa kawarehemu na pale maombi yao yaliposhindwa kufikasadaka Yao ikapige kelele Na ukaizingatie Na kuwatendeajambo waifikie hatma Yao ya Ndoa takatifu.
Baba huko Mbinguni uyasikie maombi yao Na kuzingatia kilaalie kuinulia sadaka hiii kusudio la moyo wake Na ukampesawasawa Na moyo wake wala lisipungue kwa kuwa wewe niMungu unae washangaza waja wako.
Nikisimama Kama mtumishi wao Leo hii, nawakabidhi kwakobaba Na sadaka zao walio kuinulia Na makusudi ya mioyo yao
Naomba Na huku nikiamini in the Mighty Name of Jesus Christ