QUESTIONAIRE / MASWALI ELEKEZI
Ambayo lazima uyajibu kabisaaa!!
UkiJA UNAKUJA NA MABIBU KABISAAA!
Maana majibu muda mwingine ya kufukunYUA KWANZA!
Tumia hii wiki nzima kujaza questionaire yangu na kutafuta ukweli —
haijalishi deliverance ya uchumi au mahusiano!
(UkiJA na gaps itaonesha hujali hatma yako kabisaaa! Ndo maana nimekupa siku 7!)
Kwa haya maswali nimekuwa kama Dr Love @®!
Maswali Nayaweka kwa English
Sababu nataka upate message navyoikusudia, hoja yangu isipotee kwenye tafsiri!
1.
What kind of bondage are you facing?
(Fears, depression, voices in your mind, mental torment, spiritual torment, etc.)
Mahusiano yako yana changamoto gani haswaaa?
Hutongozwi kabisaaa? Huonekani? Hudumu na watu?
Mtu yupo ha propose? Wapi haswaa ulipo kwama kwenye mahusiano?
2.
Do you remember when the bondage started?
What was happening around the time this bondage started?
Lini hasaaa hili balaa lilianza? Ukiwa na miaka mingapi uliAcha tu kutongozwa?
Maybe uligombana na mtu?
Au ulienda kijijini kwenu?
Au uliachana na bwana akasema “UkipatA mtu mimi mbwaa tena Snoopy Doggy Doggy!!”
Kumbuka ni majira gani hii shida ilianza!
3.
Can you see any ‘open doors’ where the bondage may have entered through?
Kama kuna Bubabaa ulifanya likafungulia hii mikosi — kuwa muwazi uponeee!
Kama ulilala na mme wa mtu, sema uponeee!
Kama ulimuahidi mganga kipochi manyoya ukifanikiwa afu ukamblock, semaa!
Kama unahisi chanzo cha tatizo kitakuwa flani, kiseme tu — tutaweka sawa!
4.
Have you or your ancestors been involved in the occult or any false religions?
Including seeking occult power or knowledge from others, such as having a fortune told, etc.
Je wewe na wazazi wako mmewahi kushirikiana kwenye mambo ya shirki na kutafuta usaidizi wa vilinge?
Kama kusafisha nyota, kuchanjwa, kutumia TV ya asili, na shirki shirki zozote zile?
Kama una chale, sema: “Mimi mtumishi nina chale kadhhaa!”
Uliza kabisa walikuchanja za nini? Upate story kamili — kama ni tiba au ilikuwa aje!
5.
Do you have ancestors or family members who have suffered from a similar kind of bondage?
Je wewe pekee yako ndo una hilo tatizo au na wengine kwenye familia?
Wewe tu hujaolewa au watoto wote bila bila?
Je mashangazi wameolewa?
Mama wakubwa na wadogo?
Uje na facts za ukoo wako wote!
6.
How do you see yourself?
(Do you feel guilty, low self-esteem, confident, etc.)
Unajisikiaje hasaa moyoni mwako kutokana na hii changamoto unayopitia?
Una matumaini?
Unahisi kukataliwa? Kukata tamaa? Kuonewa?
7.
Is there anything in your life that has been or is currently troubling you?
Je kuna jambo umelibeba moyoni mwako?
Were you abused by men?
Au kuna chochote ulifanyiwa ukiwa mdogo na umeshindwa kuachilia?
Funguka kwa kinaa — nijue nakusaidiaje?
8.
Do you feel truly loved by God for who you are?
(Be honest!)
Kuwa tu mkweli my wangu! No judging I promise.
9.
What things have negatively impacted your life?
(Traumatic experiences, deeper sins, bad relationships, etc.)
Hii namba 9 tofauti yake na namba 7 ni kwamba hapa hata kama kuna vitu umesha samehe na umevuka, unatakIwa ufunGuke!
Namba 7 ni ambavyo unaenda navyo kaburini!
Hapa ni yale mapito uliopitia na umeweza ku move on!
Mimi vya nini hasa???
Okay — ni kwa ajili ya ku-access milango gani vilifungua kwenye maisha yako na shetani ana itumia kukuweka mateka wake!
Nikivijua nitajua ni milango gani iko wazi na utaifunga vipi!
10.
What was your relationship with your parents like when you were growing up?
Umekulia mazingira gani katika utoto wako?
Umekua mazingira ya upendo? Umekulia vitani?
Umekua na single parent? Umekua yatima? Umekua kwa ndugu? Funguka!
Kuna muda hivi vitu ni patterns za muda mrefu!
Unakuta wewe ulikuwa na single mother, ukakataliwa na baba yako, na tayari una mtoto ambaye asha kataliwa na baba yake!
Kuna patterns za kuvunja — sio mere deliverance!
Inatakiwa uzao wako ukombolewe!
Kama wazazi walikufa ukiwa mdogo, kuna issue ya premature death kwenye bloodline yako — kuna hati hati ya pattern ya ujane!
11.
Umewahi kutoa mimba maishani mwako? Mimba ngapi? Kwanini?
12.
Ukoo wenu una madhabahu active?
Wewe unashiriki matambiko na mila za kwenu?
Mara ya mwisho umeshiriki lini na mila gani?
Ulivyo kuwa mdogo ulifanyiwa mila?
13.
Wewe kama wewe umewahi kujenga madhabahu ya Bwana juu ya maisha yako?
Je ipo active? Una itolea sadaka?
14.
Unaota unafanya mapenzi?
Unaota umeolewa na unaishi na mtu?
Unahisi pete kidoleni? Kidole cha pete kinawaka moto wakati wa maombi?
Unaota unafunga ndoa na watu hujui na mazingira huya jui jui?
15.
Una soul ties?
Je kuna jitu mshaachana kitambo lakini moyoni mwako limejaa tele — na moyo wako umemshikilia kwamba atarudi na ipo siku mtakuwa pamoja?
16.
Have you been divorced before?
Umewahi kuachika? Kwanini? Nini hasa kilitokea kati yenu?
Has either of your parents been divorced? Remarried?
Are your parents divorced?
Sometimes talaka ni pattern!
Usipo vunja utaachika hata mara 5!
Hujafungwa usiolewe — umefungwa usidumu!
17.
Have you ever made vows or agreements with somebody in effort to strengthen the relationship or commit yourself to each other?
Je una viapo na mtu?
Enzi za penzi lenu hukuapa kuto muacha kaka wa watu kabla hujaenda chuo?
Nyinyi pia mliolipiwa mahari mkavunja mahusiano bila kurejesha mahari za watu mpo hapa!
Madhabahu za mchumba wako zinakungoja — mke wao uende!
18.
Do you see any ungodly relationships in your past where gifts were exchanged?
(Are you holding onto something that was given to you from somebody you had an adultery with, etc.)
Bwana ume muacha kiwanja umeGoma kurejesha, gari la watu umeGoma kurejesha!
Madai yako — mafao ya umalaya!
Tangu lini umalaya ukawa na mafao?
Bora wano teseka na viwanja, wengine bikini ya elfu tatu tu ya mpenzi aliyo kupa kuichoma umeshindwa!
Naipenda sanaaa!! Fungukaaa hapo kwa kina!
19.
Have you ever spoken something negative about yourself that has came to past?
For example: “I’m sick and tired…” or “Mimi sitokuja kuolewa?”
Mimi nitazaa tu wanangu…”
Funguka!
20.
Has your parents, or those in authority over you spoken out a curse over you?
For example:
“You’ll never amount to anything!”
“You’ll never get out of debt!”
“You’re so dumb!”
“Hutaolewa wewe mvivu sanaa na husikii!”
Funguka na Mlokole binti — tuifanye kazi nyepesi!
Mzazi hata mlezi, mama wa kambo, shangazi, bibi — vuta kumbukumbu!!
21.
Have you ever wished to die? Have you ever said it?
Je umewahi seriously kuwaza kuliko mapito unayopitia bora kifo?
22.
If you have made any vows or oaths, what are they?
Kama una viapo — ni chane live tu!
23.
Do you have any idols, occult rings, or anything that could hold evil spiritual value in your home?
If so, what?
Any objects that hold evil spiritual value must be destroyed.
Una mambo yoyote toka kuleeee kwa kalmanzila!
Sawa huendi tena ila bado unachooo!
24.
Have you ever had incest or ungodly sexual relations with somebody related to you?
(See Leviticus 20:19-21, as this can cause a curse to land upon you which needs to be broken)
Umewahi kulala na ndugu zako?
Kwenye kombolela hukooo! Fungukeni tu!
MWISHO WA MAELEKEZO
Navosema jaza questionaire, naomba ujaze kwa maandishi!
Mimi mwenyewe nimeandika hapa!
Mambo ya kusema utajibu kwa mdomo muda ukifika — waulize walio fungwa mdogo kwenye deliverance ya kazi!
Acha ubabai, nyoosha maelezo!
UkiFika cha kwanza unaweka questionaire mezani, nijue na deal na mtu wa aina gani?!
Mchawi mchawiii kashindikana kwa vilinge, muuaji na mmwaga damu za vichanga, mtu mwenye jini mahaba lake, mke wa spirit — or who am I exactly dealing with!
Nawazingua tu 😅
Mungu anatambua kwa majina yetu na sio dhambi zetu!
Ukiwa muwazi ina rahisisha kujua mzizi wa tatizo na kuufyeka mambo yawe sawa kabisa!
Jaza questionaire hiyo kwa muda wako — uwe nayo standby!
UkiJA Jumatatu, uje nayo DM!
Nitakuwa DM tu! Tukutane hilo week.
