Zaburi 46:10
Asema:”Nyamazeni na kujua kuwa mimi ni Mungu! Mimi natukuka katika mataifa yote; Mimi natukuzwa ulimwenguni kote!”
Yeremia 31:34
Wala haitawabidi kufundishana na kusema: ‘Mjue Mwenyezi-Mungu’, kwa sababu wote, wadogo kwa wakubwa, watanijua mimi ni Mungu.
Kutoka 6:7
Nitawafanyeni kuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu. Nyinyi mtatambua kuwa mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, niliyewatoa katika nira za Wamisri.
Mungu anataka UJUE FOR A FACT na KUTAMBUA kwamba yeye ni Mungu wako, AS IN UTAMBUE HILO UKIWA NA AKI LI ZAKO TIMAMU, ” Be still and KNOW that I am God”, Hakusema Be still and FEEL that I am God!, Wapendwa most times we attempt to FEEL GOD, FEEL CONNECTION WITH GOD, FEEL PRESENCE OF GOD, TUNATAKA EMOTIONAL ROLLER COSTER maandiko yanakusisitiza KNOW GOD FOR A FACT sababu GOD IS NOT A FELLING RATHER A FACT, WHETHER YOU FEEL HIM OR NOT HE WILL STILL BE PRESENT AND HE WILL STILL BE THE MIGHTY GOD!
Mpendwa Feelings Good or Bad never last, Sasa ukimuweka Mungu kwenye level ya feelings zako ndo mwanzo wa KUJENGA UKUTA kati yenu, Utakuwa mwanzo wa emotional Roler Coster upande wako.
Watu wengi ibada zenu zinaenda kwa EMOTIONS, Ukifurahi unafanya ibada, Mungu anakuwa Mungu wako ukiwa na uchungu, Mungu nimbaya na mnafiki bila kusahau ana upendeleo! Hufanyi ibada yoyote, IBADA ZINAPANDA NA KUSHUKA KUTOKANA NA HOW YOU FEEL THAT DAY AND SEASON!
Msichokijua WEWE KUMKANA MUNGU SIO SHIDA ZAKE KABISAA! UNAWEZA KUMKANA NA JUA
LIKAWAKA VIZURI TU,USIKU UKAINGIA,NA MAJIRA ZIKAJA NA KUPITA KAMA KAWAIDA AS IF
YOUR BLASPHEMY MEANT NOTHING.
Shida inaanza pale wewe sasa ukiwa in your good feelings UNAANZA KUENDELEZA ULIPOISHIA KUDAI VITU KWA MUNGU! TENA UNAJI-TUTUMUA, MIMI MUNGU NIMEMUOMBA HILI SANA SANA NI KWELI, ILA KWENVE KUMUOMBA HILO JAMBO SANA,UMEMKANA MARA NYINGI SANA KWENYE HILO JAMBO KULIKO HATA YUDA NA PETRO.
SHIDA INAANZA UNAYO JIZIMA DATA NA KUJARIBU KU-FORM RIGHTIOUSNESS, AS IF MUNGU ANAKUONEA WAKATI UME MKANA MARA KIBAO.
Mpendwa siwa-laumu, Ni matokeo ya kutaka kumjua Mungu kwa hisia,Hisia zina danganya ndiyo maana Waislamu
lazima u swali mara 5 kwa Siku kutokana na muda na majira SIO HISIA GANI UNAZO MUDA HUO, Muda wa
kusali una sali whether you feel like praying or not.
MUNGU ATAKA UJUE KUWA YEYE NI MUNGU FOR A FACT HATA KAMA MAZINGIRA VANA SUGGEST OTHERWISE, HATA KAMA UWEPO WAKE KWA MUDA HUO NI QUESTIONABLE, YANI HATA HARUFU YAKE HAINUKI WEWE JUA MUNGU YUPO NA NI MUNGU WAKO FOR A FACT, SHIKILIA, NYOOSHA! SOON MUNGU ATAJITHIBITISHA KWAMBA YUPO NA YUPO IN CONTROL!
HAWA MA BIBI HARUSI 2022/2023 WALIKUWA STUPOR SINGLEEEE! WANA KAZI YA KUKESHA USIKU ! MMOJA AKANIAMBIA MAMA MIMI NIPO SINGLE MDA MREFU MPAKA NISHAZOEA KWANGU NAISHI UCHI NA CHUPI TU! NAPITA PITA, SASA NIKASEMA HUYU ANACHOKITAFUTA KUWATEGA WANGA USIKU WAMBAKE ALAFU ASEME SPIRITUAL HUSBAND
DALILIZILIKUWA HAMNAAA HAMNAAA! WENGI 2022 ILIPITA DRY! SADAKA ZAO NIMEKULAAA KWANI UONGO! NAWATOA MASHAKAAA! MUNGU YUPOOO! NA WATU MTAPATA! ACHENI ZINAAA! MSUBIRI WAUME
TATIZO ISSUE KUWA VERY SIMPLE NDO IKAWATOA IMANI KWAMBA UTAPELl lll! WANAO WAKOPA VITUMBUA HIVO HAMUONI KAMA WANA WATAPEL IMIMI NAE WAAMBIA MBANE MIGUU NDO MBAYA AU SIO?
Waliokazaa, MUNGU AMEKUJAAAA! KWA UKUBWAA SANAA! Mpaka wananiambiaile issue ya kupiga papuchi password we Never thought it will work! Mtu anapata mtu mzuriii!Mwemaaa!Anakubali NO SEX! IT IS NOT COINCIDENCE!ULIMUAMINI MUNGU WAKATI HANA DALILI ZA KUONEKANA, AKIJIFUNUA KWAKO ANAJITHIBITISHA KWA UKUBWA KAMA HIVI KUFANYA MAMBO MAGUMU YASIYO WEZEKANA KUWEZEKANA KIWEPESI SANAA!
Wengi KWELI mpo kuanzia 2022! Ila HAMJAKAZA, Kuna mtu 2022 alikuwepo ,tuna kesha nae! Tunajua mwenzetu, MARA ANA MIMBA, Kaipatajeee? Wakati mimi Najua zainaaa nime wakataza and you gave me your word!, 2023 kajifungua mtoto hana mwaka!Sahivi mtoto Ana nyonya!Ana kazi Ya kuni aumu mimi tenaaa!
Mungu amemuacha wenzie WANAOLEWA, Wakati wenzie wameweka password za chini YEYE alikuwa chanu kachanua,Muda wa kuvuna alicho panda anajizima data.
Mama nipe maombi ya express,sawa nimekosea lakini Do something, Do anything, Naumiaaa, Mtu unavuja maziwaaa muda wote, What is there to be done ? Lea mtoto Bwana tusichoshane, Uliamua kwa akili zako KUCHANUA MIGUU CHANU, Mwenzio akafunga golila ushindi! Sasa ?
KUANZIA UNA NYOAAA HUKUJUA MUNGU YUPO ? UKAPANDA BOLT KWENDA ENEO LA TUKIO, DID YOU GIVE SHIT ABOUT GOD? HELL NO? UKACHANUA MIGUU UKIJUA WAZAZI WAKO SH 10 YA MAHARI YAKO HAWAJALA, AMRI YA 6 YA MUNGU UKAIVUNJA VUNJA KWA MASAA 5 NON STOP, ROUND YA 1, UKAONA HUJATOSHEKA UONGEZE ZINGINE 2, MISAMBA KAMA YOTE!
ALAFU SAHIVI UMSUMBUE NANI? NOW YOU ARE FEELING LIKE PRAYING EEH SO NA SISI WENG INE TUJIUNGE!, THUBUTU YAKO.
Wengi Najua mnapitia mengina vingi! Kuna watu hamna kazi, biashara haziendi, mna umwa, Prayer Point hazisogei.
Zaburi 46:10
Asema: “Nyamazeni na kujua kuwa mimi ni Mungu, Mimi natukuka katika mataifa yote; Mimi natukuzwa ulimwenguni kote!”
UKISOMA KINGEREZA ANASEMA “”BE STIL” TULIAAAA TULI”, KNOW THAT I AM GOD”, JUA KUWA YEYE NI MUNGU!
Kuwa STILL kunaanza na kujua kuwa YEYE ni MUNGU, Kinacho kukosesha amani na papara ni sababu either hujui, au huamini sanaaa kama yeye ni Mungu. Haiwezekani unajua Mungu ni Mungu na unavua nguo zako ukiwa umejiandaaa na umenyoa kabisa tayari kwa uzinifu, Kama unajua Mungu ni Mungu basi SIO MUNGU HUVU TUNAE MUABUDU NA KUMUHESHIMU SISI Mungu unamjua wewe ni weak God ambae unamfanya utakavyo wewe, Sasa akiwa weak kwenye kupata kaziau ndoa UNALALAMIKA NINI?
Mungu anaweza kuwa yule yule wa watu wote, sawa unamjua LAKINI TO WHAT EXTENT? KIWANGO UNACHO MJUA NDO KIWANGO ATAKACHO JITHIBITISHA KWAKO!. Sasa kama UNAMJUA KIWANGO CHA KIUSHKAJI, Jumamosi mwendo wa misamba, Ofisini mwendo wa udokozi, Hivyo hivyo atajithibitisha kwako kwa kiwango kidogo unacho ji-limit kumjua na kuzishika amri zake!
UKITAKA AJITHIBITISHE ZAIDI KWA UKUBWA SHIKA AMRI ZAKE KWA UKUBWAAA !WEKEZA KWENYE KUMJUA KWA UKUBWA, MUNGU ANAO UTUKUFU MKUBWA SANAA NA KUPITISHA UTUKUFU WAKE KWA UKUBWA KWENYE MAISHA YA MTU ANAHITAJI WORTHY VESSEL! I lAJITHIBITISHE KUPITIA WEWE LAZIMA UWE WORTHY OF HIS GLORY!
KAMA HIVO MTU UMESTAAFU UMALAYA MIAKA 2 UKAPATA MTU WATU HAWAJAKUONA RADA ZA GUESTHOUSE AKATANGAZA NDOA WATASEMA KWA KWELI NI MUNGU TU, HAWEZI MTU KATI KATI YA UMALAYA AKUBARI KI MUME WATU WATACHANGANYI KIWA KUJUA NI MUNGU AU UMALAYA TU UME
ITIKA NA UME KUKUBALI, TO WHAT EXTENT UNAJUA MUNGU NI MUNGU WAKO NA WEWE MTU WAKE ?
KAMA KWELI UNAJUA MUNGU NI MUNGU WAKO, NA VEVE ANAJUA WEWE NI MTU WAKE KUNA MAMBO MENGI HUTAWEZA KUDHUBUTU KUYAFANYA KIHOLELAAAA! SABABU WEWE NA MUNGU MSHAJUANAAA! VEVE ANAJUA HUWEZI NA WEWE UNAJUA ANAJUA HUWEZI NA UKIDIRIKI KWENDA TOFAUTI UKIFIKA GUEST MWANAUME HAJI
NA UKIFIKA LEVEL HII HATA ULIMWENGU NA VYOTE VILIVO NDANI YAKE VINAJUA MUNGU NI MUNGU WAKO! UKISEMA KAZI ZA MA-MILLION ZINIFIKIE! ZINAANZA KUJITOKEZA KULIA, KUSHOTO, KATIKATI! UKISEMA NIPATE MTU AWE HIVI NA HIVI NA HIVI, ANAJITOKEZA KAMA ULIVO NENA!
SASA SHIDA YA DUNIA YA SASA MTU HATAKI KUJENGA UHUSIANO NA MUNGU SOLID NA KUWEKEZA MIZIZI SOLID YA KUMJUA MUNGU MPAKA MJUANE LAKINI ANA MANIFESTATIONS, ANATAKA MUNGU AJITHIBITISHE KWA UKUBWA SANA KWAKE PIA, KWA VESSEL GANI MWANANGU ?
WEKEZA KUJENGA VESSEL KUBWA, UHUSIANO MKUBWA,UELEWA MKUBWA, MSULI MKUBWA! EVENTUALLY UTAKUWA WORTHY KUPITISHA MANIFESTATION KUBWA KUBWA.