Mpendwa huna tofauti na mtu aliyepewa talanta akaenda kuzifukia, Kwenye dunia iliyo jaa machizi, matahira na wenda wazimu, WEWE MUNGU KAKUUMBA MZIMA NA BUHERI WA AFYA. Kwenye dunia ya watu wanazaliwa na extreme medical conditions ambazo wakifanya kazi kidogo tu wanalazwa au kufa ina walazimu waishi kwa huruma za watu wengine.THEY WISH THEY COULD WORK, LORD KNOWS THEY WISH!, Riziki yao ni kupokea makombo ya watu wengine, Kuna walemavu wamezaliwa na mapungufu ya viungo wapo very limited hata kujibu dunia wao, kuna walio pata AJALIwalizaliwa wazima lakini ndiyo hujafa hujaumbika.
WAPENDWA IN A LIMITED WORLD MUNGU AMEKUPA KILA KITU YAANI FULL, KINAFANYA KAZI KIKAMILIFU NA SHUKRANI YAKO KWA MUNGU NI KUISHI KWA KUDANGA-DANGA NA KUPIGWA MASHINE KISAWASAWA, UNATUMIA KIUNGO ALICHOKATAZA KISITUMIKE, ALIVYO SISITIZA UVITUMIE AAH!.
Kwenye dunia ya watu walio zaliwa yatima au waliofiwa na wazazi wakiwa wadogo sana,waka lelewa ki msaada,waka ishi majumba ya watu utoto wao wote ambapo they passed THROUGH HELL for YEARS and ¥EARS, walikuwa molested, emotional tortured, traumatized, wakateseka na mpaka kesho wanaji uliza WHY ME LORD? Lakini hii imekuwa chachu kwao KUPAMBANA KUFA NA KUPONA ili watoto wao wasi-ishi kwa watu wengine wala wasiombe-ombe kwa watu wengine.
Wewe KENGE MKUMBWA, umepata neema ya kuishi na wazazi wako mpaka wana-staafu, umepewa best education mzazi wako aliyo-afford, best meals, best clothings, best holidays, YOU LACKED NOTHING, Shukrani yako kwa Mungu na Wazazi ambao ni Mungu wako wa duniani NIKUTO-TAFUTA KAZI, KUENDEKEZA UVIVU NA KUISHI KI-HASARA HASARA, NA MIAKA YAKO UNAIKIMBIZA HIYO AROBAINI (40)?, MBURU KENGE WEWE.
Wenzio achievement zao wanaenda kwenye KABURI kuongea na udongo na mifupa mikavu, THEY WISH WASIKIE AU WAONE hata kwamba THEY DID THEM PROUD, And they can be proud of them popote walipo. Wana hamu ya kuwashirikisha wazazi wao mafanikio yao, Christian Ronaldo anasema hamna kitu kina muuma kama Baba yake kufa haja onja hata sh 10 yake, Anatamani kama kungekuwa na bus linaenda kwa Wafu walau hata amtumie mapema, Ndo hakuna.
Mpendwa wewe Mungu amekupa neema wazazi wako wapo wote wa 2 au hata 1, lakini all you show them is SHEGE and HELL, Vyeti unavyo kabatini vinapigwa vumbi na mavi ya mende, Okay basi kazi umeshindwa kupata OLEWA ili kazi yako iwe kupewa mimba za majanini na kuja kuzaa hapo watoto walio kataliwa na baba zao, Unamfanya Bibi wa watu awaze anasemaje umezaa kwenye group la ukoo na umezaa na nani? ndivyo alivyokulea hivyo?, Katika dunia ya leo ya kuzuia mimba hata baada ya masaa 72 baada ya ZINAA, Umeona utumie mtoto kumshika mwanaume matokeo yake unajishika mwenyewe na wale wastaafu maskini, Una wadhalilisha na kuwa vya nguo waonekane hawajui kulea.
Mpendwa mpaka Mzazi sasa anajuta kuishimaisha marefu kama maisha yenyewe ni kuona usenge wako mwanzo mwisho, Anatamani hata ange pummelt na Baba zake kabla ya huuu upuuzi wako yaani MZAZI ANAJIULIZA WHY ME LORD?, NINI SIKUMPA? KITU GANI SIKUMFANYIA?, MBONA ADA NILIJINYIMA NIKALIPA? KANISANI NILIZINGATIA, ZAKA NIMELIPA MAISHA YANGU YOTE? NINI SIKUKUFANYIA MUNGU WANGU?
Mzazi ana kazi ya kuandika NIKIFA NYUMBA HII ISIUZWE NILI-ITAFUTA KWA JASHO LANGU SIKUSAIDIWA NA MTOTO YOYOTE NAOMBA WAJUKUU WANGU WAJE WAISHI, ATAKAYE KIUKA HAYA MAAGIZO ANIFATE KWA WAFU hii inamaana anaona kwa WATOTO hamna kitu, Bora ajaribu kwa wajukuu tu yaani bora kizazi kijacho.
Sasa kama wewe mwenyewe ushakuwa mzazi na bado HUNA AKILI mzazi wako anaona kabisa, Siku hayupo wajukuu watapata tabu sana,sana! Anaanza kuweka mifumo mapema, Unajipa moyo kaka zangu wana maisha, Maisha yao na wake zao na watoto, Wewe utapambana na wifi yako mtu anaifinyia kwa ndani usiku?, Siku wazazi wako hawapo gate la kaka yako utaliona kama kituo cha polisi, Nyumba unayo jipa moyo watakuachia itakuwa ya kwanza kuuzwa maana ipo sehemu nzuri yaani kama sisi Magomeni pale tushapata mteja Mwarabu ambaye atakuwa hana nyumba ataenda kupanga, Mwanao ukijiloga umpeleke kwa kaka yako, anakutana na mtoto wa kaka yake WiFi ana kazi ya kubakwa tu na kutisha, Ali waza kukwambia anaona huna hata pakuishi atakuvuruga tu, ANATUMIKIA UDHAIFU WAKO TU NA KULIPA BLANDER ZAKO KIKAMILIFU, MZAZI UMEJILEGEZA UTASABABISHA MTOTO AJIKAZE.
Wapendwa Kuna mdogo wetu Kaolewa sehemu, akamchukua mdogo wetu wa kiume wanaishi nae na Mumewe, Mume naYe kamleta mdogo wake wa kike, AGE GO, Alizaa nyumbani akakatiza masomo, baadae akapita vi-diploma ndiyo sasa yupo chuo lakini AGE ALREADY GO, Maana ni rika la shemu, Walivokutana na dogo ndani ya ndoa ya watu ikawa COLLABO wanamaliza wote chuo mwaka huu, DADA KABEBA MIMBA NA KAZAA, WAKWE WADOGO WANAKOMALIA AOLEWe MAANA AGE GO ANA MTOTO MWINGINE HANA BABA NA HUYU TENA ?
Dogo anataka kukimbilia CANADA anasema haoi age go, Ana Demu wake Canada wana mipango, llikuwa makubaliano n0 STRINGS ATTACHED, Tukamuuliza dada yako UNA-MUACHAJE?, Dogo KAUZU kasema SIJALI lakini SI OI SINGLE MOTHER AGE GO, Wakati anazama chumvini kila Siku usiku alikuwa anakuona Kama kigori, Tunamuuliza mtoto je?, Anasema nimekataa watoto kibao, Wembe ni ule ule, Anaeteseka ni dada mtu, Wakwe wanashikilia yeye afanye afanyavyo Binti AOLEWE.
MTU MZAZI WAKOO ALIKUWA BOSS MKUBWA TU , ALITOKA KIJIJINI KASOMESHWA KWA MSAADA WA KANISA KAJA MJINI NA RAMBO KAPAMBANA MPAKA AMEPATA MAISHA NA NAFASI OFISINI.
Lakini Wewe hutaki kufanya interviews unachotaka uambiwe kesho ingia kazini?, Kwenye dunia hii ya AI? Thubutu, For Christ sake baba yako amekupa SIR-NAME yake which is everything, Lakini hutumii umekaa kama mjinga, SIR NAME ina-expire!
Wapendwa kuna mtoto wa shemeji yake Marehemu Aunty yangu, Kazi zikatangazwa wizara Aunty alikuwa katibu, Nikamwambia Omba sababu Sir Name yako kama ya Aunty, Maana Aunty alitumia Sir name ya alipo olewa, Kaomba utumishi, Wakampigia simu Boss Mkubwa wewe mtoto wa mama flani? Kasema NDIYOO. Akamwambia yule mama alinisaidia sanaa, sikuwahi kumlipa chochote, nimefurahi Leo namlipa kwa wewe mwanae, nitakupambania upangwe sehemu nzuri sana, Sasa hivi anakula maisha, Kama Jacob, SIR NAME, Watoto wa Aunty wapo nje hawajui kama baraka zao tuna zi binafsisha.
Kuna mtu marehemu baba yake alikuwa Board Member wa BANK kubwa tu, Nikamwmabia peleka CV Jina wanalijua hilo, Akasema Mzee si amepumzika kwa amani? Nikamwambia kaacha Jina hilo, Aka peleka tu, Kesho yake wakamuita interview peke yake, Waka muajiri assistant manager, Wamempandisha sahivi yupo Level za Director
2 Sam 9:1-10
Kisha Daudi akasema, Je! Amesalia mtu mmoja katika nyumba ya Sauli, nipate kumtendea mema kwa ajiliya Yonathani?
WEWE KWA UVIVU NA UBABAI HUO LEGACY GANI UTAWAACHIA WANAO ACHILIA UKOO? EEH! LEGACY YA KUPELEKEWA MASHINE NA WAJINGA WAJINGA NA MIMBA ZA MAJANINI, KAZI ZIPOOOO NI WEWE NDIYO SIO MFANYAJI KAZI, UVIVU NA JINGA LA KUTUPWA. UTAFUTAJI WA KAZI HAUJAWAHI KUWA RAHISI TANGU ENZI ZA YOHANA SUALA LA RIZIKI NI SUALA LA KUPAMBANA KUFA NA KUPONA, YESU MWENYEWE ALIJIFUNZA USEREMALA NA AKAFANYA HIO KAZI AKAPATA RIZIKI YAKE KATIKA HIYO KAZI MPAKA ALIVYOFIKA MIAKA 30 NDIYO AKAANZA HUDUMA.
MZAZI WAKO ALITOKA KIJIJINI KATIKA KUTAFUTA MAISHA AKAJA MJINI AKAFANYA U HOUSE GIRL KWENYE NYUMBA ZA WATU HUKU ANASOMA YOTE NI KUSAKA MAISHA UNAPIGA DEKI NA KUFAGIA UWANJA NDIYO UNAENDA SHULE UKIRUDI ANAPIKA NA KAZI ZOTE ZA NYUMBANI NA BADO UNA FAULUU.
Wapendwa kuna ndugu yetu alitoka kijijini huko, Mzazi wake alikuwa mwalimu, KAITWA INTERVIEW UTUMISHI, Na wenzie wanakuja wana nuka ng’ombe ng’ombe, Mpaka tukamnunulia Deodorant. Mtoto wa kiume lakini akiamka ana deki, anapika chai, nje ashafagia, madirisha kafuta, Mama anasema huyu kijijini harudi na ana degree hapo, Kuna Dada yetu wa U.S.A anasema huyu namtafutia VISA naondoka naye.
Mchana wenzie wanakuja wana discuss maswali ya interview za utumishi ya miaka ya nyuma kwenye hiyo fani yao, Wana solve past papers week nzima, UTUMISHI HIYOOO, Kaenda KAITWA oral kazini, Sasa mtu anaenda interview za utumishi bila maandalizi kweli? Ukapambane na hawa wanao-tegemewa na kijiji? Thubutuuu yako, Wana kudhalilisha Mchana kweupe, Wanajibu swali mpaka kwenye mifupa.
Tena kama ORAL sio swala la kupatia jibu au Kukosea, NI SWALA NANI AMEJIBU SAHIHI ZAIDI? WHO KNOWS THIS BUSINESS MORE? NANI AME-EGESHA EGESHA?, HAWAWEZI KUMUACHA BWANA SHAMBA NYAMKICHWA WAKUCHUKUE WEWE ULIYE-EGESHA VITU UNAJUA JUU-JUU KAMA BRAKE YA NDEGE.
Interview za Millioni 10 inabidi uwavue nguo interviewers na kuwadhalilisha, Mimi dada yangu wali muuliza systems za hiyo profession yao, Wenyewe walikuwa wanaijua Edition ya 2017, wakati hiyo interview ilikuwa 2018 na Feb 2018 ilitoka edition mpya, Yeye anajua wao hawajui alafu wabishi, MD akawaambia msimkoseshe kwa ubabai wenu fungueni Google tujiridhishe, WALIDHALILIKA yani waka poteana the rest of the interview.
WAKAMFANYIA KUSUDI KUTOMTUMIA APPOINTMENT LETTER ILI IONEKANE ALIITWA HAKUJA, SASA SISY NI MTOTO WA MJINI ANAJIAMINI ANAJUA NA SHE ACED THE INTEVIEW KAWAVUA NGUO KABISA, AKATAFUTA E-MAIL YA MD AKAMUANDIKIA RE: INTERVIEW FLANI, AKAMPA APPOINTMENT, AKAWA ONYA HR, KUNA WATU WA KUWACHEZEA SIO HUYU MWANAMKE, ANAONEKANA KWENDA TAKUKURU SIO SHIDA ZAKE, WAMPE APPOINTMENT! WAKATOA APPOINTMENT WAKAWEKA MSHAHARA 10M GROSS. HILA ZA MWANADAMU!, AKARUDI KWA MD, MD AKAWAAMBIA WAMPE OFFER YA MSHARA ULIOTANGAZWA LAASIVYO YEYE BINAFSI ATAMPA NAMBA YA MUHUSIKA TAKUKURU WAJIELEZE WALITANGAZAJE 10M TAKE HOME AFU WAIPINDUE GROSS, NDIPO WAKAMPA KISHINGO UPANDE.
“KNOWLEDGE IS POWER! SCHOOL IS NOT SCAM!!.”