PART I : THE GOSPEL OF LUKE
Wapendwa tutasoma injili nzima ya luka, Mind you Luke is “the longest gospel of all” lakini tu “hii tutaifanya”, Wapendwa uvivu sio maisha! We will eat and leave no crumbs.
Tutasoma kama story ambayo ni first read na hii utafanya mwenyewe. Kama unasoma english version tumia “King James Version” hata english standardised version inafaa. Ukisoma kiswahili ndiyo kuna version kama zote, wewe jichagulie yoyote siyo kesi.
Tutasoma second version wote kwa mtiririko wa chapter by chapter na kuisummarise kila chjapter, We are talking 24 long chapters that Luke wrote!, He left no crumbs! and we the believers are going to read every word and may God help us!. After sucess of the long gospel of Luke, you will no longer be a pagan, as which Pagan read the gospel?, Absolutely None!.
Luka 1
1 Kwa kuwa watu wengi wamejitahidi kuandika habari za mambo yaliyotimizwa kati yetu,
2 kama vile walivyotufundisha wale waliokuwa mashahidi wa kwanza na watumishi wa neno,
3 nami nami nimeona vema, kwa kuwa nimefuatilia yote tangu mwanzo kwa bidii, kukuandikia kwa taratibu, ewe Theofilo mtukufu,
4 upate kujua hakika ya mambo yale uliyo fundishwa.
Kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji kunatangazwa
5 Zamani za Herode, mfalme wa Uyahudi, palikuwa na kuhani mmoja jina lake Zekaria, wa zamu ya Abiya, na mkewe alikuwa wa ukoo wa Haruni, jina lake Elisabeti.
6 Na wote wawili walikuwa wanyofu mbele za Mungu, wakienda katika amri zote na maagizo ya Bwana bila lawama.
7 Na walikuwa hawana mtoto, maana Elisabeti alikuwa tasa, na wote wawili walikuwa wamekwisha kuzeeka sana.
8 Basi ikawa, alipokuwa akifanya kazi ya ukuhani mbele za Mungu, kwa zamu ya kikundi chake,
9 kama desturi ya ukuhani ilivyokuwa, ilimpasa kwa kura kuingia katika hekalu la Bwana ili kufukiza uvumba.
10 Na mkutano wote wa watu walikuwa wakisali nje saa ya kufukiza.
11 Malaika wa Bwana akamtokea, amesimama upande wa kuume wa madhabahu ya kufukizia.
12 Zekaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.
13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope, Zekaria, maana dua yako imeisikika, na mkeo Elisabeti atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Yohana.
14 Nawe utakuwa na furaha na shangwe, na wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
15 Kwa maana atakuwa mkuu mbele za Bwana, hatakunywa divai wala kileo, naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mama yake.
16 Naye atawaelekeza wengi wa wana wa Israeli kwa Bwana Mungu wao.
17 Naye atatangulia mbele zake katika roho na nguvu ya Eliya, kuwarejeza mioyo ya baba kwa watoto wao, na waasi waingie katika hekima ya wenye haki, ili kumtengenezea Bwana watu waliowekwa tayari.”
18 Zekaria akamwambia malaika, “Nitajuaje jambo hilo? Maana mimi ni mzee, na mke wangu ni mzee pia.”
19 Malaika akajibu akamwambia, “Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele za Mungu; nami nimetumwa niseme nawe, na kukuletea habari hizi njema.
20 Na tazama, utakuwa bubu usiweze kusema hata siku hayo yatakapotimia, kwa sababu hukuisadiki maneno yangu, yatakayotimia kwa wakati wake.”
21 Watu wakawa wakingoja Zekaria, wakastaajabu kwa kukawia kwake mle hekaluni.
22 Alipotoka hakuweza kusema nao, nao wakatambua ya kuwa ameona maono hekaluni; naye alikuwa akiwafanyia ishara, na kubaki bubu.
23 Ikawa, siku za utumishi wake zilipokwisha, alirudi nyumbani kwake.
24 Na baada ya siku hizo mkewe Elisabeti akachukua mimba, akajificha miezi mitano, akisema,
25 “Bwana amenitendea hivi siku hizo alizonikumbuka, ili aondoe aibu yangu mbele ya watu.”
Tangazo la Kuzaliwa kwa Yesu
26 Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu mpaka mji mmoja wa Galilaya, jina lake Nazareti,
27 kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu jina lake Yosefu, wa nyumba ya Daudi; na jina la bikira huyo ni Mariamu.
28 Akaingia nyumbani kwake akasema, “Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.”
29 Naye alifadhaika sana kwa maneno hayo, akawaza moyoni salamu hiyo ina maana gani.
30 Malaika akamwambia, “Usiogope, Mariamu, maana umepata neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba, na kuzaa mwana, na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu; na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Naye atamiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.”
34 Mariamu akamwambia malaika, “Litakuwaje neno hilo, maana sijamjua mwanamume?”
35 Malaika akajibu akamwambia, “Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.
36 Na tazama, jamaa yako Elisabeti, naye amechukua mimba ya mwana wa kiume katika uzee wake; na mwezi huu ni wa sita kwake yeye aliyeitwa tasa.
37 Kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.”
38 Mariamu akasema, “Tazama, mimi ni mjakazi wa Bwana; na iwe kwangu kama ulivyosema.” Malaika akaondoka akaenda zake.
Mariamu amtembelea Elisabeti
39 Mariamu akaondoka kwa haraka, akaenda hata mji wa milimani, mji wa Yuda;
40 akaingia nyumbani mwa Zekaria, akamsalimu Elisabeti.
41 Ikawa Elisabeti aliposikia salamu ya Mariamu, mtoto akacheza tumboni mwake; Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu,
42 akapaza sauti akasema, “Umebarikiwa wewe kuliko wanawake wote, na mzao wa tumbo lako umebarikiwa.
43 Nimepataje neema hii ya kwamba mama wa Bwana wangu anijie mimi?
44 Kwa maana tazama, sauti ya salamu yako ilipoingia masikioni mwangu, mtoto akacheza kwa furaha tumboni mwangu.
45 Na heri yake aliyoamini, kwa kuwa yatatimizwa yale aliyoambiwa na Bwana.”
Wimbo wa Mariamu (Magnificat)
46 Mariamu akasema,
“Roho yangu humwadhimisha Bwana,
47 na roho yangu imemfurahia Mungu Mwokozi wangu;
48 kwa kuwa ameutazama unyonge wa mjakazi wake.
Kwa maana tazama, tangu sasa vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
49 kwa kuwa Mwenyezi amenitendea mambo makuu,
na jina lake ni takatifu.
50 Na rehema yake ni kwa wale wamchao,
kizazi hata kizazi.
51 Amefanya nguvu kwa mkono wake,
amewatawanya walio na kiburi
katika mawazo ya mioyo yao.
52 Amewaangusha wakuu kutoka viti vyao vya enzi,
akawainua wanyonge.
53 Wenye njaa amewashibisha mema,
na matajiri amewaondoa mikono mitupu.
54 Amemsaidia Israeli mtumishi wake,
kwa kumkumbuka rehema yake,
55 kama alivyowaambia baba zetu,
kwa Ibrahimu na uzao wake milele.”
56 Mariamu alikaa na Elisabeti kama miezi mitatu, akarudi nyumbani kwake.
Kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji
57 Basi, wakati wa kuzaa wa Elisabeti ulipotimia, alizaa mwana wa kiume.
58 Majirani zake na jamaa zake waliposikia ya kuwa Bwana ameiongezea rehema yake, walifurahi pamoja naye.
59 Ikawa siku ya nane walikuja kumtahiri mtoto, wakataka kumwita kwa jina la baba yake, Zekaria.
60 Mamaye akajibu akasema, “La! Bali ataitwa Yohana.”
61 Wakamwambia, “Hakuna mtu katika jamaa yako aitwaye jina hilo.”
62 Wakamwashiria babaye, apendelee kuitwa jina gani.
63 Akaomba kibao, akaandika akisema, “Jina lake ni Yohana.” Wakastaajabu wote.
64 Mara kinywa chake kikafunguka, na ulimi wake ukaachiwa, akanena akimhimidi Mungu.
65 Hofu ikawa juu ya wote waliokaa karibu nao, na mambo hayo yote yakatajwa katika milima yote ya Uyahudi.
66 Wote waliosikia wakayaweka moyoni mwao, wakisema, “Mtoto huyu atakuwa mtu wa namna gani?” Maana mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.
Unabii wa Zekaria
67 Baba yake Zekaria akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri akisema,
68 “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli,
kwa kuwa amewajilia watu wake,
akawakomboa.
69 Naye ametuinulia pembe ya wokovu,
katika nyumba ya mtumishi wake Daudi,
70 kama alivyosema tangu mwanzo
kwa vinywa vya manabii wake watakatifu,
71 wokovu kutoka kwa adui zetu,
na mkononi mwa wote wanaotuchukia;
72 ili kuwatendea rehema baba zetu,
na kuukumbuka agano lake takatifu,
73 kiapo alichomwapia Ibrahimu baba yetu,
74 atuwezeshe sisi, tukiisha kuokolewa
na mikono ya adui zetu,
kumtumikia pasipo hofu,
75 katika utakatifu na haki mbele zake,
siku zetu zote.
76 Nawe, mtoto, utaitwa nabii wa Aliye juu,
kwa maana utatangulia mbele za uso wa Bwana
kumtengenezea njia zake,
77 kuwaambia watu wake habari ya wokovu,
katika kusamehewa dhambi zao,
78 kwa ajili ya rehema za Mungu wetu,
ambazo kwazo mchana kutuzukia kutoka juu,
79 kuwaangazia wakaao gizani na uvulini wa mauti,
kuielekeza miguu yetu katika njia ya amani.”
80 Yule mtoto akakua, akaongezeka nguvu rohoni; akakaa jangwani hata siku ile ya kujionyesha kwake kwa Israeli.
GENERAL SUMMARY
CHARACTERS:
- Zechariah – A jewish Priest from the tribe of Levi, described as a righteous man.
- Elizabeth – The wife of Zechariah also a levite, described as a righteous woman.
- John – Zechariah and Elizabeth’s newborn son.
- Mary – A young woman from the town of Nazareth.She was a virgin betrothed to be married.
- Joseph – Mary’s betrothed husband (similar to a fiance’).
- Gabriel – An angel who sent from the presence of God to bring good news.
Exploring Luke Chapter 1: The Dawn of Redemption
Where It All Begins
The events of Luke Chapter 1 unfold across key locations in Israel — Nazareth, a quiet village in Galilee; the hill country of Judea, rich with ancient history; and Jerusalem, the spiritual heart of the Jewish people. Each of these places sets the stage for one of the most profound introductions in the Bible: the coming of the Messiah and His forerunner.
Outline of Luke 1
1. Introduction (Luke 1:1–4)
Luke begins his Gospel with a statement of purpose. As a careful historian and follower of Christ, he explains that many have attempted to record the events of Jesus’ life, and now he is offering an accurate, orderly account — especially for Theophilus, so he may know the certainty of what he’s been taught.
2. John’s Birth Foretold (Luke 1:5–25)
In Jerusalem, during the time of King Herod, a faithful priest named Zechariah is serving in the Temple. While he carries out his sacred duties, the angel Gabriel appears to him with an extraordinary announcement:
-
He and his wife Elizabeth, though elderly and childless, will have a son.
-
This son, named John, will not just be a prophet — he will be the one who prepares the way for the Messiah.
-
He will be filled with the Holy Spirit even before birth and will turn many hearts back to God.
But Zechariah struggles to believe the message. In response, Gabriel strikes him mute until the prophecy is fulfilled — a divine sign of the certainty of God’s plan.
After his service in the Temple, Zechariah returns home, and just as the angel said, Elizabeth becomes pregnant. She recognizes this as God’s grace in removing her shame among people.
3. Jesus’ Birth Foretold (Luke 1:26–38)
Six months later, Gabriel is sent again — this time to a young virgin named Mary, living in Nazareth.
-
Mary is engaged to Joseph, a descendant of King David.
-
Gabriel tells her she will conceive a son through the Holy Spirit, and she is to name Him Jesus.
-
Her child will be called the Son of the Most High, and He will reign forever on David’s throne.
Although puzzled at how this will happen, Mary responds with faith and humility: “I am the Lord’s servant. May it be to me as you have said.”
Her willingness to accept God’s calling marks the beginning of a new chapter in salvation history.
4. Mary Visits Elizabeth (Luke 1:39–56)
Mary hurries to the hill country of Judea to visit Elizabeth. When she enters the house:
-
Elizabeth, filled with the Holy Spirit, blesses Mary and confirms everything Gabriel told her.
-
Even her unborn child — John — leaps in the womb at the presence of the unborn Jesus.
In response, Mary bursts into a beautiful song of praise, known as the Magnificat, celebrating God’s mercy, justice, and faithfulness across generations.
5. The Birth of John (Luke 1:57–80)
When Elizabeth gives birth, the entire community rejoices. On the eighth day, during the circumcision ceremony, everyone expects the baby to be named after his father, but Elizabeth insists: “He is to be called John.”
-
The people turn to Zechariah, who confirms the name in writing.
-
Instantly, his speech is restored — and he begins to praise God.
Zechariah then prophesies, speaking of God’s salvation, the role John will play in preparing the way, and the rising hope of the Messiah.
“And you, my child, will be called a prophet of the Most High;
for you will go on before the Lord to prepare the way for Him…” (Luke 1:76)
As the chapter closes, young John grows strong in spirit and lives in the wilderness until the time comes for his public ministry.
PART II: SPIRITUAL REVIEW
CHAPTER I
Naweza kusema palichangamka mapema, Chapter 1 tu mambo yalikuwa mengi lakini muda mchache.Mambo mazito ya kiroho yalitokea hapa ndani ya muda mfupi.
1.UJIO WA MALAIKA
Wapendwa huu ujio haukuwa mwepesi, Messenger of God alitua pande za Judea kwa kuhani zaka direct kutoka mbinguni na alikuja na ujumbe mzito.
He was very very direct and went straight to business, oyaa Zakaa! maombi yako yamesikiwa na mtapata mtoto na mkeo, na sio mtoto, Toto la kinabii, Litajazwa na Roho Mtakatifu tangu tumboni kwa mama yake.
Toto lita tangulia mbele zake katika roho ya Elia! The Elijah!!! Toto litawaokoa wengi sanaa na litafanya makubwa.
Kuhanizaka wa NOT SOOOOLD! Mmmhhhh! Not 1 beat! Aka weka karata zote mezani! Veve na mkewe wote age go home! Uzazi uplll? Huu huu wa menopause? 45 yrs hedhi inakoma kuashiria hakunaaa vai lililo baki bibi wewe! Kwisha habari yako. Zakaria hakutaka kuwa muongo! Aka limwagaaaa li doubt lake! “Atajuaje neno hili?”
And for some reasons it made Angel Gabriel furious! Beyond angry! Mpaka akajitambulisha: “Mimi malaika Gabriel, nae asimama mbele za Mungu mwenyewe! You dare question authenticity of my news????” Sasa tutaharibiana kazi!!! Kula chuma hiko cha ububu sababu hujui vya kuongea mpaka nikuoneshe hii kazi kwa vitendo.
Then malaika anabuka Galilaya kwa Bikira Maria. Yule yule Gabriel on the beat. Mary nae anapewa habari nzito za kubeba mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Ana jilipuaaaa! “Iwe kwangu kama ulivonena.”
What to take from this angelic encounter
1. Mungu hafungwi na biology wala science.
Bikira na tasa ambaye age go kweli kweli is scientifically and biologically impossible!. Bikira kuzaa, na wewe kwenda kazini hakiwezekani? Bikira kuzaa, na wewe kuolewa kipi kigumu zaidi? Tasa kikongwe kuzaa, na wewe kuvuka eneo la uchumi, kipi kigumu?
By the end of Luke Chapter 1: God 2 vs Science and Biology 0.
Malaika, na not only any malaika! Gabriel asimamae mbele za Mungu alikandamizaaaa: “Hakuna linaloshindikana mbele za Mungu.”
Mungu unayeshindwa kumuamini kwa mambo madogo sanaa yanayokunyima raha, ameshafanya mambo makubwaaa, mazitoooo na ya kustaajabishaaaa kama haya ya Bikira kuzaaaa mtoto wa kiume kinyume na sayansi na baiolojia. Wewe unashindwa kumuamini kwa vitu vidogo ambavyo vipo ndani ya mfumo???!!!!!
2. The Role of the Holy Spirit
Kuna protocal mbinguni, na japo Malaika alitanguliza taarifa, ila kazi ilifanywa na Roho Mtakatifu. Kazi nzito na ngumuuu zinafanywa na Roho Mtakatifu.
Pambana ubatizwe kwa Roho Mtakatifu lasivyo dunia ya impossible utaishia kuisoma kwenye Biblia kama hivi. Usharika na Roho Mtakatifu ni muhimu sanaa.
Maandiko yanapoishia, na akili za wanadamu ndipo Roho Mtakatifu anapoanziaaa. Kama unataka kuexperience the miraculous, role ya Holy Spirit haiwezi kuwa downplayed.
Kama Roho Mtakatifu aliweza kuwa juu ya Bikira na akabeba mimba, atashindwa kuwa juu ya interviews wakuchague wewe? Atashindwa kuwa juu ya wateja wanunue kwako? Atashindwa kuwa juu ya mpenzi wako akuchague wewe kukuoa?
Any deal ikiwa na usharika na Roho Mtakatifu is a DONE DEAL.
3. Mungu anaweza kutumia tatizo lako kujitukuza
Zakaria alikuwa kuhani, na sio kuhanitu! Maandiko yananyoosha: alikuwa kuhani aliyenyooka. Wote, na mkewe, walienda vile Mungu alivotaka. Walinyooka. Ila, for some reasons, hawakuwa na mtoto na age il go home.
Ndio maana Malaika alipomwambia Zakaria kwamba watazaa mtoto, ali-panic! Maana ni jambo alishaacha kulitegemea mdaaaa. Alishakubaliana na kukosa hiko kitu na kuendelea na maisha mengine.
Sasa Malaika kusema lile jambo, sio tu Mungu anaenda kulitimiza, bali litawapatia furaha sanaa. Kwake ilikuwa ghaflaaa sanaaa. Ilikuwa ngumu kumezaaa.
Yamkini hata wewe umekuwa disappointed eneo la kazi miaka na miaka! Wenzio wameenda kazini mpaka wanakaribia kustaafu. Yamkini umeingoja ndoa tangu binti kigori, sasa ni mwanamke wa makamo! Miaka 30 iliyo changamka—wanasema watoto wa mjini: 30 ya jioniii!
Mwambie Mungu, sawa sawa na andiko hili: bado unangoja ujumbe wako kutoka kwa Malaika kuhusu hili changamoto.
Sawasawa na hili andiko, unajua ipo siku Mungu atajitukuza kupitia wewe. Hajalishi kilomita zinasoma ngapi, na jua lishakuwa la jioni au usiku kabisaaa, una mngojea Bwana kama kuhani Zakaria. Kuliko kuhanizakaria—manake yule ilikuwa ghafla, wewe upo standby for God’s answers and grace! Anavyotaka Mungu, na wewe hivyo hivyo unataka.
Badooo unaamini Mungu atakufutia aibu kama alivyomfutia Elizabeth na Sarai.
Haya maandiko ndio ya wakulungwa ku-meditateeee huku unamtukuza Bwana kwa ukuu wake regardless unapitia nini. Usifocus kwenye ukubwa wa tatizo lako, rather ukuu wa Mungu. Zaka ali-yumba kidogo, aka-focus kwenye tatizo, akapigwa ububu. Don’t make the same blunder.
Tafakari kwa ukubwa wa show aliyoifanya Mungu hapa, Luke Chapter 1, na mwambie: Itimie kama ulivyotenda juu yangu pia Baba.
Luka Sura ya 2 (UV)
1. Kuzaliwa kwa Yesu
1 Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka watu wote chini ya utawala wake wajiandikishe.
2 Ilikuwa sensa ya kwanza iliyofanyika wakati Kirenio alikuwa mkuu wa mkoa wa Siria bible.com+15biblehub.com+15bible.com+15.
3 Basi wote waliokwenda walijiandikisha, kila mtu katika mji wake alikozaliwa.
4 Yosefu alitoka mji wa Nazareti akapanda hadi Bethlehemu, mji wa Daudi, kwani alikuwa wa ukoo wa Daudi.
5 Alifika akijiandikisha pamoja na mchumba wake Maria, ambaye alipokuwa mja mzito bible.com+4biblehub.com+4biblegateway.com+4.
6 Walipokuwepo huko, siku ya kujifungua ya Maria ikaje,
7 akamzaa mwana wake wa kwanza wa kiume, akamfunika vinguo na kumlaza horini kwa kuwa hawakuwa na nafasi katika nyumba ya wageni youtube.com+15biblehub.com+15biblegateway.com+15.
2. Habari kwa Wachungaji
8 Usiku ule walikuwamo wachungaji wildani wakilinda kondoo zao.
9 Ghafla malaika wa Bwana akawatokea, na utukufu wa Bwana ukasang’azia pande zote – wakaogopa sana.
10 Malaika akawabaini: “Msiogope! Nimewaletea habari njema za furaha kuu, kwa watu wote.
11 Leo, katika mji wa Bethlehemu, amezaliwa Mwokozi – ndiye Kristo Bwana.
12 Hii ndiyo ishara: mtamkuta mtoto mchanga akiwa amefunikwa vinguo, amelazwa horini”
3. Maliku na Wasiwasi wa Mbingu
13 Mara akajitokeza wingi wa jeshi la mbingu, wakimshukuru Mungu na kusema: “Utukufu kwa Mungu huko mbinguni, na duniani amani kwa watu wanaompendeza”
14 Wachungaji wakasikia iliyoambiwa, wakae pamoja nao wakasikia, wakaenda haraka,
15 wakampata Mariamu, Yosefu, na mtoto amelala horini.
16 Walipomwona, wakasema iliwalete njia aliyoambiwa kuhusu mtoto huyo.
17 Wakati huo basi wote wakarudi wakiwa na furaha, wakamsifu na kumtukuza Mungu kwa yote waliosikia na kuona, kama ilivyoambiwa nao
4. Utokaji Hekaluni (Simeoni & Anna)
22 Baada ya kutimia kwa muda wa utakaso wa Musa, wakampeleka Yesu Yerusalemu kumtolea kwa Bwana,
23 kulingana na sheria iliyoandikwa: “Kila mtoto wa kiume wa kwanza atakabidhiwa kwa Bwana.”
24 Pamoja na sadaka – njiwa wawili au vifaranga wawili – kama agizo la Bwana
25 Huko Yerusalemu alikuwepo mzee mnyoofu na mcha Mungu, anayeitwa Simeoni,
26 Roho Mtakatifu alikuwa juu yake, na alijua huwa hangefa mpaka aangalie Kristo wa Bwana.
27 Ameongozwa na Roho hadi Hekaluni; walipoleta mtoto Yesu,
28 alimchukua mikononi mwake, akamshukuru Mungu na kusema:
29 “Sasa Bwana, niruhusu mtumishi wako aondoke kwa amani, kama ulivyoahidi,
30 kwa kuwa macho yangu yameona wokovu,
31 uliotayarishwa mbele ya mataifa, utukufu kwa watu wako Israel.”
32 Wazazi wake walistaajabu kwa maneno yaliyomzungumzwa juu ya yeye.
33 Simeoni akawabless, naye Maria na Yosefu wakayasikiliza maneno yote yasiyoyafahamu.
5. Nabii Anna
36 Kuna nabii mke, jina lake Anna, binti ya Penueli, ya ukoo wa Asheri.
37 Wakewa tangu ujana, sasa na mzazi na umri mkubwa, aliacha kuishi nyumbani, akitumikia Mungu kwa ibada, harakati na kufunga katika hekalu siku yote za maisha yake.
38 Huko karibu, alipoona mtoto huyo, alitamka shukrani kwa Mungu na kuzungumza juu ya Yesu kwa wale waliangeuka Yerusalemu
6. Yesu akakua na kukua Roho & Busara
39 Waliisha kukamilisha kila kinyume cha Sheria ya Bwana, walirudi Galilaya, jimboni Nazareti.
40 Mtoto akakua, akafundwa, akawa thabiti kwa nguvu, na hekima yake ikawa kubwa; neema ya Mungu ilikuwa juu yake
GENERAL REVIEW
CHARACTERS:
- Mary – A young woman from town of Nazareth, She was chosen by God to be the mother of Jesus the Messiah.
- Joseph – Mary’s betrothed husband (similar to a fiance’)
- Jesus – God’s Son and Mary’s child who was concieved mireculously by the Holy Spirit.
- Shepherds – Shepherds keeping sheep around Bethlehem who visited Jesus at his birth.
- Simeon- A righteous and devout man who Mary and Joseph meet in Jerusalem.
- Anna – A widow and phrophetess who served God in the Temple “with fasting and prayer night and day.”
WHERE:
-
The events of Luke Chapter 2 open in Bethlehem, the town where Jesus was born.
-
Nazareth, the hometown of Mary and Joseph, is briefly mentioned.
-
The remainder of the chapter takes place in Jerusalem, especially around the temple.
📜 OUTLINE:
✨ JESUS IS BORN (Luka 2:1–7):
-
Caesar Augustus decreed that the people of his empire should be “registered” (probably for tax purposes).
-
Joseph left Nazareth in Galilee and traveled to his hometown in Bethlehem for the registration.
-
Mary was close to giving birth when they departed.
-
When they arrived in Bethlehem, Mary gave birth.
-
There was no room in the inn, so they laid their son in a manger.
🐑 THE SHEPHERDS VISIT NEWBORN JESUS (Luka 2:8–21):
-
Following the birth of the child, an angel appeared to shepherds in the fields around Bethlehem.
-
The angel told them the newborn baby was the Savior and Christ the Lord.
-
They were told they would find Him in a manger and wrapped in swaddling cloths.
-
Suddenly a multitude of heavenly beings were visible to the shepherds and they heard them praising God.
-
The shepherds went and found the child in the manger and told Joseph and Mary what they had seen.
-
Eight days after his birth, the baby was circumcised and named Jesus according to the angel’s instruction.
🏛 JESUS, MARY, AND JOSEPH VISIT JERUSALEM TO KEEP THE LAW OF MOSES (Luka 2:22–38):
-
In order to keep some of the Old Testament commands regarding childbirth, Jesus’ family visited Jerusalem.
-
This took place approximately 1 month after Jesus’ birth.
-
They took an offering of either two turtledoves or two young pigeons according to God’s law in Leviticus 12:6–8.
-
In Jerusalem, they met a man named Simeon whom God had promised would see the Messiah before he died.
-
Simeon took Jesus in his arms and worshipped God for allowing him to see the future Savior.
-
In the Temple, Mary and Joseph met a prophetess named Anna.
-
When she saw Jesus she also worshipped God and started telling everyone about Him.
-
Following these events, Joseph, Mary, and Jesus returned to their home in Nazareth.
🔍 JESUS’ PARENTS LOSE HIM IN JERUSALEM (Luka 2:41–52):
-
12 years later, Jesus and His parents returned to Jerusalem to celebrate the Passover Feast.
-
When returning home, Jesus’ parents assumed He was with their relatives and traveling companions.
-
After a day’s journey, they realized Jesus wasn’t with them and returned to Jerusalem.
-
They searched for 3 days before finding Him in the Temple talking to the religious teachers.
-
When He was located, He asked His parents,
“Did you not know that I must be in my Father’s house?”
PART III: SPIRITUAL REVIEW
CHAPTER 2
Wapendwa Chapter 2 is all about the humble beginnings of Jesus Christ, Contrary na mategemeo na mapokeo ya Wayahudi wengi ambao walitegemea Yesu atazaliwa kwenye familia ya kifalme, like ukoo wa Herode maybe au Kayafa basi hata kwa kuhani. Yaani atakuwa na watu wazito nyuma yake, Atakuwa na supreme powers nyuma yake za dunia hii. Nepo Baby flani, Toto flani la kushua lina zaliwa na machawa wapo standby ku bobisha bobisha pale, tarambee kama zote.
Wapendwa sawa Yesu ni uzao wa mfalme wa Daudi ila siyo Daudi ile ya zama zile za mfalme tajirii suleiman lenye fahari zake, sio mwana wa Daudi washed out selemala Yosefu. Maisha yake magumu hatari, yaani anakosa hata chumba hotelini, anatandika kwenye zizi kweli??, Hata ukisoma injili ya Mathayo utaona Herode ana ambiwa kuna mfalme kazaliwa zizini and he was like, What in the hell??, Mfalme gani anazaliwa zizini?, Last time I checkedmimi ndiye mfalme wa Mayahudi, zizi na mfalme vinakaaje kwenye sentensi moja.
KUZALIWA KWA YESU: UJUMBE WA NEEMA, UNYENYEKEVU NA NGUVU YA MUNGU
Mungu alikuwa na kusudi lake maalum Yesu kuzaliwa katika hali ya unyenyekevu. Haikuwa makosa kwamba alizaliwa zizini, kwenye familia ya kawaida kabisa. Hili lilikuwa ni fundisho kubwa kwa kizazi chote.
Mwisho wa yote, Yesu alifahamika kama Mfalme — lakini hakuwa na ufalme wa kidunia wala majeshi. Alikuwa “jeshi la mtu mmoja!” Alijulikana kama mwalimu, lakini hakuwahi kuwa na shule. Alijulikana kama mponyaji, lakini hakusomea udaktari. Na tusisahau kwamba alizaliwa zizini, kwa baba seremala na mama housewife.
Maandiko yako wazi juu ya hili. Hakuna mambo ya fumbafumba au “window dressing” kwenye maandiko. Mambo yamewekwa peupe!
1. Humble Beginnings ya Yesu: Ujumbe kwa Waja wa Mungu
Unapochunguza hali aliyoanzia nayo Yesu, unagundua ujumbe mkubwa:
Unaweza kuanza na hakuna na kuwa mmoja wa wakubwa kabisa.
Ukiangalia “starter pack” ya Yesu, unaweza kukata tamaa kwa maoni ya kibinadamu. Biblia inasema:
“Yule mtoto akakua, akaongezeka nguvu, amejaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake.” (Luka 2:40)
Ndiyo hiyo tu aliyopata kutoka kwa Baba yake wa mbinguni — neema ya Mungu!
Lakini sisi leo hatuoni kama neema inatosha. Tunataka pia:
- Destiny helpers
- Wachungaji wa nguvu
- Maeneo mazuri ya huduma
- Bajeti za matangazo ya redio
- Mavazi ya kifahari ya huduma
- Magari ya bei mbaya ya kuonyesha “aura ya kifalme”
Lakini Yesu alipewa neema tu — na akaikamilisha kazi ya wokovu. “The finished work of Christ” haikuhitaji bajeti ya mabilioni. Ilihitaji tu neema na utiifu.
2. Mungu Ana Jitukuza Mwenyewe
Mungu hahitaji msaada wa wanadamu dhaifu ili kutukuzwa. Ungetegemea Yesu apokelewe na wakuu wa dunia — Herode, Kaisari, Pilato — lakini la! Malaika waliwatuma wachungaji wa Betlehemu, watu wa kawaida waliokuwa hata hawajasoma, kunukia mbolea!
Mungu alituma ujumbe: Anaweza kutumia yeyote kwa kazi yake.
Usipokuwa makini, unaweza kupishana na msaada wa Mungu kwa sababu haufanani na matarajio yako ya kifahari. Destiny helpers wako wanaweza kuja wakiwa wamechoka na kuvaa kawaida — lakini ndani yao mna msaada wako wa mbinguni!
Hata Mariamu alipata ujumbe wa ujauzito kutoka kwa Gabrieli — malaika anayeishi mbele za Mungu. Hakufikiri kupinga, alitii, akazaliwa mtoto wa wokovu.
3. Yesu Alizaliwa Kutukomboa Sisi
Kama bado huamini, basi kaa bila wokovu — lakini si kwa sababu hujaambiwa!
Katika Luka 2, jambo hili lilisemwa na:
- Malaika (Luka 2:10-14)
- Simeoni, mzee mwenye haki (Luka 2:25-35)
- Nabii Ana, mjane mzee aliyekaa hekaluni (Luka 2:36-38)
Wote walithibitisha: Yesu alizaliwa ili atuokoe.
Kwa hiyo, kama umekuwa ukisikia tu kuhusu Yesu, leo umemsoma. Unaanza kumjua uzuri wake, neema yake, na wokovu wake.
4. “Imenipasa Kuwamo Katika Nyumba ya Baba Yangu”
Yesu alipokuwa na miaka 12 alisema:
“Hamkujua ya kuwa imenipasa kuwamo katika nyumba ya Baba yangu?” (Luka 2:49)
Yesu alipenda hekalu tangu utotoni. Alikaa huko, alisikiliza, aliuliza maswali — kwa unyenyekevu. Japo alikuwa Mwana wa Mungu, hakujionyesha wala kujigamba.
Yesu alianza kujifunza akiwa na miaka 12, hadi alipoanza huduma akiwa na miaka 30. Hiyo ni miaka 18 ya kujifunza kwa kina — na huduma yenyewe aliifanya kwa miaka 3 tu, lakini akaihitimisha kikamilifu!
Leo, wengi hawataki kukaa nyumbani kwa Baba, hawataki kujifunza. Wanataka kuanza huduma leo na kesho iwe ya kimataifa. Wanaomba maono ya Musa na sauti za malaika, lakini hawapo tayari kujifunza kwa unyenyekevu.
Yatupasa sote kukaa nyumbani kwa Baba ili tufikie viwango alivyotuwekea.
Ikiwa hujui kukaa, Mungu hatakuja kukuchota porini — jifunike, tulia, jifunze. Njia za Mungu si njia zako.
Luka 3 – Yohana Mbatizaji Aandaa Njia
1. Yohana Aanza Kuhubiri
1 Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato alipokuwa gavana wa Yudea, Herode akiwa mtawala wa Galilaya, Filipo ndugu yake akiwa mtawala wa Iturea na Trakoniti, na Lisania mtawala wa Abilene,
2 wakati ambao Anasi na Kayafa walikuwa makuhani wakuu, neno la Mungu lilimjia Yohana, mwana wa Zakaria, akiwa jangwani.
3 Basi Yohana alikwenda katika sehemu zote za kandokando ya mto Yordani, akihubiri kwamba watu watubu na kubatizwa ili Mungu awasamehe dhambi zao.
4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya:
“Sauti ya mtu aliaye jangwani:
‘Itayarisheni njia ya Bwana,
nyoosheni mapito yake.
5 Kila bonde litajazwa,
kila mlima na kilima vitashushwa;
palipopinda patanyooshwa,
njia mbaya zitafanywa kuwa laini.
6 Na watu wote watauona wokovu wa Mungu.’”
2. Onyo kwa Mafarisayo na Wengine
7 Yohana aliwaambia watu wengi waliomwendea wapate kubatizwa:
“Enyi wazao wa nyoka! Nani aliyewaonya mkimbie ghadhabu inayokuja?
8 Zaaeni matunda yanayoonyesha kuwa mmetubu kweli. Wala msianze kusema mioyoni mwenu, ‘Sisi ni watoto wa Abrahamu.’ Nawaambieni, Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka katika mawe haya.
9 Hivi sasa shoka limekwisha wekwa karibu na mzizi wa miti. Basi kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.”
3. Maisha Mapya ya Watubu
10 Watu wakamwuliza, “Basi tufanye nini?”
11 Akawajibu, “Aliye na mashati mawili na amgawie asiye na hata moja; aliye na chakula afanye vivyo hivyo.”
12 Wakaja pia watoza ushuru wapate kubatizwa, wakamwuliza, “Mwalimu, tufanye nini?”
13 Akawaambia, “Msitoze kodi zaidi ya ile mliyoamriwa.”
14 Wakamwuliza pia askari, “Na sisi tufanye nini?” Akawaambia, “Msinyanyase mtu wala kumshtaki kwa uongo; ridhikeni na mshahara wenu.”
4. Yohana Aelekeza kwa Yesu
15 Watu walikuwa wakingojea kwa hamu na wote walikuwa wakijiuliza mioyoni mwao kama Yohana ndiye Kristo.
16 Yohana akawajibu wote, “Mimi nawabatiza kwa maji; lakini anakuja mwenye uwezo kunizidi mimi, ambaye sistahili hata kumfungulia kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
17 Mikononi mwake ana chombo cha kupuria nafaka, ataipura nafaka yake, atakusanya ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.”
18 Kwa maonyo mengine mengi aliwahubiria watu habari njema.
5. Yohana Afungwa
19 Lakini Herode mtawala, ambaye Yohana alimkemea kwa kumchukua Herodia, mke wa ndugu yake, pamoja na uovu mwingine aliokuwa akitenda,
20 akaongeza uovu huu kwa kumfunga Yohana gerezani.
Ubatizo wa Yesu
21 Watu wote walipokuwa wakibatizwa, Yesu naye alibatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka,
22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama hua, na sauti ikasikika kutoka mbinguni:
“Wewe ni Mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe.”
Nasaba ya Yesu Kristo
23 Yesu alipokuwa na miaka karibu thelathini, alianza huduma yake. Alijulikana kuwa mwana wa Yosefu, mwana wa Eli,
24 mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yanai, mwana wa Yosefu,
25 mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai,
26 mwana wa Maathi, mwana wa Matathia, mwana wa Shimei, mwana wa Yoseki, mwana wa Yoda,
27 mwana wa Yohana, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri,
28 mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,
29 mwana wa Yosua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Mathati, mwana wa Lawi,
30 mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yosefu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliakimu,
31 mwana wa Melea, mwana wa Mainani, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,
32 mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,
33 mwana wa Aminadabu, mwana wa Aramu, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,
34 mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Abrahamu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,
35 mwana wa Serugi, mwana wa Reu, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,
36 mwana wa Kenani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Noa, mwana wa Lameki,
37 mwana wa Methusela, mwana wa Enoki, mwana wa Yaredi, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Kenani,
38 mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Mungu.
PART IV: SPIRITUAL REVIEW
CHAPTER 3
Wapendwa neno la Mungu linamfikia Yohana mwana wa Zakaria jangwani akahubiri ubatizo wa toba uletao ondoleo la dhambi. Sauti ya mtu aliye nyikani ilisikika na unlike Jesus, John the baptist was always direct!, Never used parables, alichokisema ndicho alicho maanisha, na alichokimaanisha ndicho alichokisema.
Nyoosheni mapito yenu, sawazisheni mabonde kwenye maisha yenu. Yohana mbatizaji hakuwa na mbambamba kwenye kukemea dhambi na hiki ndicho kilikuja kumgharimu maisha yake.
Ikatokea aka mkaripia Herode juu ya mke wa kaka yake ambaye Herode kulikua na namna za ujanja.
Herode alimuweka jela Yohana Mbatizaji! Sasa, kuna siku Herode alikuwa na karamu la kukata na shoka! Binti yake akacheza vizuri sana mbele za wageni. Herode akajichanganya, akamuahidi aombe chochote atampa.
Binti akamuuliza mama yake, “Niombe nini?” Mama yake akamwambia, “Omba kichwa cha Yohana!” Binti akaomba. Na sababu mfalme alishajicommit kumpa chochote atakachoomba, ikala kwa Yohana Mbatizaji.
Prior Herode hajamuweka Yohana gerezani, Yohana Mbatizaji used to teach and baptize! Na among many, Yesu was also baptized with John the Baptist.
Ubatizo wa Yesu Ulikuwa Tofauti
Ubatizo wa Yesu ulikuwa tofauti na wengine woteee! Yesu akiwa anabatizwa, sauti ilitoka juu mbinguni kumu-endorse Yesu.
Luka 3:21
Ikawa, watu wote walipokwisha kubatizwa, na Yesu naye amebatizwa, naye anaomba, mbingu zilifunuka;
Luka 3:22
Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili, kama hua; sauti ikatoka mbinguni,
“Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu; nimependezwa nawe.”
Cha kuzingatia:
Yesu hakuanza kazi rasmi kabla ya kubatizwa kwa maji na Yohana, na kushukiwa na Roho Mtakatifu baada ya ubatizo.
Prior ubatizo huu wa Yesu, ukisoma Injili zingine Yesu alishapiga muujiza wa Cana – lakini ilikuwa bado haijawa official kwenye “live” na miujiza vile inavyotakiwa!
Watu Wengi Mnataka Kufanya Mambo Vice Versa!
Mnataka kufanya the miraculous kabla ya kubatizwa kwa Roho Mtakatifu – ndo maana mnakwama BIG TIME.
Mnakuwa mpo nje ya protocol na mfumo.
Before God anounces you publicly (iwe kazini au kwenye biashara au mahusiano), lazima kwanza ahakikishe umebatizwa kwa Roho Mtakatifu ili kuwe na mawasiliano baina yenu! Uweze ku-discern maelekezo yake.
Wengi Mnakosa Discipline na Consistency
Wengi mnakosa discipline na consistency ya kuweza kubatizwa katika Roho na kweli! Lakini hapo hapo mnatumia nguvu kubwa kumfosi Mungu awa-announce to the world!
👉 It will NEVER work!
👉 It is a LIE.
Mungu akiku-announce bila kubatizwa na Roho Mtakatifu, it is a recipe for disaster. Ni suala la muda.
Mtu, watu wataona hun majibu! Watu watakuja kwako wanataka majibuuu na wewe majibuuu hunaaaa!
Hujadhalilika mpaka hapo?
Public Announcement Without Spiritual Equipping = Aibu
Mungu akiku-announce kwamba yupo na wewe, upewe Head wa Sales! Kama umebatizwa kwa Roho Mtakatifu – haina shida. Atakupa:
-
Strategy za kupata wateja
-
Kibali cha kuridhika wateja
Kama hujabatizwa kwa Roho Mtakatifu, utaimba “Hallelujah!”
👉 Mana yake maboss wanataka MAJIBU!
Everybody wants answers from you – and you have NONE to give!
Huna mawasiliano na Roho Mtakatifu.
Matokeo yake sasa unaanza kutunga vitu.
Unaweweseka kama unaoga nje.
Roho Mtakatifu = Maisha ya Ushindi
Baada ya kubatizwa Yesu – ndo Roho Mtakatifu akamshukia.
Na baada ya hapo, ilikuwa SHOW TIMEEEEE!
Funga kazi! 🔥🔥🔥
Ni miujiza back to back mpaka siku anasulubiwa!
Madhehebu Mengi Yanadownplay Ubatizo wa Roho Mtakatifu
Madhehebu mengi yana-downplay ubatizo wa Roho Mtakatifu!
But listen to this:
HOLY SPIRIT IS THE FUTURE OF RELIGION!
Maana anakupa strategy LIVE LIVE!
Bora ukahaha hahaaaa hata miaka 5 unausaka ubatizo wa Roho Mtakatifu.
👉 Siku ukiupata kazi umeimalizaaaa! 😤💥
🕊️ Ubatizo wa Roho Mtakatifu sio luxury – ni mahitaji ya msingi ya safari ya kiroho na maisha ya ushindi.
Usikubali kuitwa hadharani kabla hujapakwa mafuta!
Luka 4
1 Yesu, akijaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho mpaka nyikani,
2 akiwa amejaribiwa na Ibilisi siku arobaini; wala hakula kitu katika siku hizo; hata zilipotimia, aliona njaa.
3 Ibilisi akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, liambie jiwe hili liwe mkate.
4 Yesu akamjibu, Imeandikwa ya kwamba Mtu hataishi kwa mkate tu.
5 Kisha Ibilisi akampandisha juu, akamwonyesha falme zote za ulimwengu kwa dakika moja.
6 Ibilisi akamwambia, Nitakupa mamlaka haya yote, na fahari yake; kwa sababu nimekabidhiwa mimi, nami humpa mtu nitakaye.
7 Basi wewe ukisujudu mbele yangu, yote yatakuwa yako.
8 Yesu akajibu, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.
9 Akamleta Yerusalemu, akamweka juu ya kinara cha hekalu, akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa;
10 kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake wakulinde;
11 na mikononi mwao watakuchukua, usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
12 Yesu akajibu akamwambia, Imenenwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
13 Ibilisi alipokwisha kumaliza majaribu yote, alimwacha hata wakati unaofaa.
14 Yesu akarudi Galilaya kwa nguvu ya Roho, habari zake zikaenea katika nchi zote zinazozunguka.
15 Akaanza kufundisha katika masinagogi yao, akaheshimiwa na watu wote.
16 Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; akaingia katika sinagogi siku ya Sabato kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome.
17 Akapewa kitabu cha nabii Isaya. Alipokifungua akakuta mahali palipoandikwa:
18 Roho wa Bwana yu juu yangu, kwa maana amenitia mafuta kuwahubiria maskini habari njema;
amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, na vipofu kupata kuona,
kuwaweka huru waliopondeka,
19 na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.
20 Akapetisha kitabu, akamrudishia mtumishi, akaketi; macho ya wote waliokuwamo katika sinagogi yakamkazia.
21 Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya yametimia masikioni mwenu.
22 Wote wakamshuhudia, wakastaajabu maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu si mwana wa Yusufu?
23 Akaambia, Hakika mtaniambia mithali hii, Tabibu jiponye nafsi yako; mambo tuliyosikia kuwa ulitenda Kapernaumu, yafanye na hapa kwao.
24 Akasema, Amin nawaambia, Hakuna nabii anayekubaliwa kwao.
25 Lakini nawaambia kweli, Palikuwa na wajane wengi katika Israeli siku za Eliya, mbingu zilipofungwa muda wa miaka mitatu na miezi sita, njaa kuu ikawa juu ya nchi yote;
26 lakini Eliya hakutumwa kwa mmoja wao, ila kwa mwanamke mjane kule Sarepta ya Sidoni.
27 Na palikuwa na wenye ukoma wengi katika Israeli zamani za nabii Elisha; wala hakuna hata mmoja aliyesafishwa, ila Naamani Mshami.
28 Wote waliokuwamo katika sinagogi waliposikia haya, wakajaa ghadhabu,
29 wakaondoka, wakamtoa nje ya mji, wakampeleka hata kilele cha mlima ambao mji wao umejengwa juu yake, ili wamtupie huko chini.
30 Lakini yeye akapita katikati yao, akaenda zake.
31 Akaenda Kapernaumu, mji wa Galilaya, akawa akiwafundisha siku za Sabato.
32 Wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa sababu neno lake lilikuwa na mamlaka.
33 Palikuwamo katika sinagogi mtu mwenye pepo mchafu, mwenye roho ya pepo mbaya; akalia kwa sauti kuu,
34 Akisema, Ah! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.
35 Yesu akamkemea, akisema, Nyamaza, mtoke. Pepo akamtupa katikati, akamtoka, bila kumdhuru hata kidogo.
36 Wote wakastaajabu, wakasema wao kwa wao, Ni neno gani hili? Kwa maana kwa mamlaka na uweza huwaamuru pepo wachafu, nao hutoka.
37 Habari zake zikaenea kila mahali katika nchi ile yote.
38 Akatoka katika sinagogi, akaingia nyumbani kwa Simoni. Mama mkwe wa Simoni alikuwa na homa kubwa, wakamwomba kwa ajili yake.
39 Akasimama karibu naye, akakemea ile homa, ikaacha. Mara akainuka, akawaendea huduma.
40 Jua lilipokuwa likitua, wote waliokuwa na wagonjwa wa maradhi mbalimbali wakawaleta kwake, akaweka mikono juu ya kila mmoja wao, akawaponya.
41 Pepo pia waliwatoka wengi, wakipiga kelele, wakisema, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu. Lakini aliwakemea, asiwaruhusu kunena; kwa maana walimjua kuwa yeye ndiye Kristo.
42 Kulipopambazuka akaondoka, akaenda mahali pasipokuwa na watu. Makutano wakamtafuta, wakamfikia, wakataka kumzuia asiende zake.
43 Akawaambia, Imenipasa kuihubiri habari njema ya ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, maana kwa ajili hiyo nalitumwa.
44 Akaenda akihubiri katika masinagogi ya Uyahudi.
SPIRITUAL REVIEW
CHAPTER 4
Yesu anakataliwa kwao Nazareth na dakika za mwanzoni kabisa wa huduma yake anawahakikishia hawajapata kitu toka kwake, hatotenda muujiza hata mmoja. Mpendwa ukiangalia juu unaweza sema mbona kama Yesu alijiwahi kuwa defensive and judgemental against the Nazarethians?!!!, ukipekenyua why?, Utaona they surely deserve what they got.
Wapendwa Yesu alichokisemani ukweli mtupu, he spoke only truth and nothing but absolute truth, Roho wa Bwana alikuwa juu yake kweli?, Absolutely! chapter 2 alijazwa roho mtakatifu.
Luka 4: 18
Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema.Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, kuwaacha huru walioteswa.
Yesu alikuwa mpyaaaa kabisa kwenye huduma! Fresh from Jordan, just anointed, akapitia wilderness, kashinda majaribu. Sasa hapa Luka 4, ni mwanzo wa huduma yake hadharani. Na wapi kaamua aanze? Nazareti! Kwao kabisa!
Yaani, kama ni “charity begins at home”—Yesu alithibitisha hilo.
Anaingia sinagogi kama kawaida yake. Anapewa chuo cha nabii Isaya. Anafungua, anasoma:
“Roho wa Bwana yu juu yangu, kwa maana amenitia mafuta… kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.”
(Luka 4:18-19)
Akamaliza kusoma, akaketi. Akasema:
“Leo andiko hili limetimia masikioni mwenu.”
(Luka 4:21)
🔥 Na hapo ndipo watu wa Nazareti wakaanza kupata pressure ya kiroho! Walianza kuhoji, “Huyu si mwana wa Yusufu huyu?” Ubabaifu ukaanza. Yaani walimsikia amefanya makubwa kule Kapernaumu na kwingine, lakini kwao hawataki hata aongee.
They just didn’t believe Him!
UBABAAIFU NI WA VIZAZI
Yesu hakustushwa! Hakushangaa! Akawachana live:
“Amini nawaambia, hakuna nabii anayekubalika kwao.”
(Luka 4:24)
Ubabaifu wao haukuwa ishu kwake. Aliwaambia wazi kabisa, veve sio wa kwanza kukataliwa kwa kwao. Wala sio wa mwisho. Ubabaifu ni hereditary dysfunction — product ya vizazi na vizazi.
Hakuwa na stress, hakuwalilia, hakufa kwa sononeko.
🔥 HANDLE REJECTION LIKE JESUS 🔥
Yesu alikataliwa Nazareti. Walitaka hata kumsukuma bondeni afe.
But guess what?
“Akapita kati kati yao, akaenda zake.”
(Luka 4:30)
Waliotaka kumtupa bondeni—walibaki wamepigwa butwaa.
Hili ni somo kwa kila mtu anayeumizwa na rejection.
You too—PITA KATI KATI YAO!
Wanaokukataa hawamalizi hatima yako. Hawawezi kufuta mwaka wa Bwana ulio amriwa juu yako!
🔁 MAHUSIANO YANAKUKATAA?
Mwanaume umempenda balaa, lakini hajakupenda.
So what? Dunia ina wanaume billion 7!
Kama huyo hakutaki, pita katikati yake, songa mbele!
Tangaza mwaka wa Bwana ulio amriwa kwenye ndoa yako.
Wewe ni nabii juu ya maisha yako.
🧳 KAZI IMEKUKATAA?
Umekataliwa kazini? Umefukuzwa?
So what? Kazi ni nyingi. Fursa zipo.
Usikubali stress za kufukuzwa zikufanye kuwa mlevi mbwa au malaya mchafu!
Hiyo ndio raha yao—kukuharibu.
DON’T GIVE THEM THAT SATISFACTION.
Tafuta kazi nyingine. PITA KATI KATI YAO.
💼 BIASHARA YAKO IMEKUFA?
Kuna mtu alikuuliza, “Biashara yako ikifa itakuwaje?”
Jibu lako linapaswa kuwa:
“Haitakuwa kitu! Nitafungua nyingine!”
Zishakufa nyingi kabla yake, bado upo.
Na bado unatamba nazo.
💍 HAKUTAKI KUOA?
Mwanaume amekataa kukuoa?
PITA KATI KATI YAKE.
Tangaza mwaka wa Bwana ulio amriwa juu ya ndoa yako.
Funga ndoa na mtu anayeona dhamani yako.
Usilalamike. Wengine wanakataliwa hata wakiwa na watoto 3,
tumbo linafunika kipapa, nyonyo ziko tumboni,
michirizi kama ramani ya kuzimu…
Hata vioo vinaogopa kukuangalia!
Still—wana watu.
Mtu anayeweza kukustiri anakwambia kafie mbele,
anachukua kitoto cha 2000!
PITA KATI KATI YA HALI HIYO.
🌪️ UZEE UNAANZIA ROHONI
Hata upake anti-aging, collagen kopo tatu kwa wiki,
ukishazeeka rohoni—imekula kwako.
Uzee huanza rohoni, si kwenye ngozi.
Ukibaki kulia why me? why now? hautaona mlango wa Mungu.
Learn from the Master himself — God Incarnate.
Yesu aliwaambia wazi, “Andiko limetimia masikioni mwenu.”
Wakapaniki! Wakauliza, “Roho gani iko juu yako? Hiyo mafuta gani? Huyo ni nani?”
📖 MAANDIKO HAYABADILISHWI NA UBABAAIFU
Yesu hakutunga neno jipya.
Alisoma kile kilichoandikwa na nabii Isaya, akasema:
“Leo andiko hili limetimia.”
Na wewe pia:
✅ Maandiko yapo juu yako
✅ Unabii umeandikwa
✅ Je, unajua?
✅ Umeyadai?
Umegoma kuyasoma.
Umegoma kuamini mwaka wa Bwana ulio amriwa juu yako.
Matokeo? Miaka inapita kama fast forward.
🎯 KUDAI ANDIKO
Kabla huja-claim neno lolote, lazima ulijue.
Na si kujua tu kwa kusikia, bali kulielewa na kulipokea.
Usicho kijua, huwezi kukidai.
Usicho dai, huwezi kukipokea.
Na usichopokea, hakikusaidii hata kidogo.
✅ FINISHED WORKS OF CHRIST
Yesu alikamilisha yote.
“It is finished!”
Ni kazi zako sasa:
-
Jua kilichokamilishwa.
-
Jua maandiko yako.
-
Yadai.
-
Pita katikati ya wanaokukataa.
-
Tangaza mwaka wa Bwana ulio amriwa juu ya maisha yako.
Kwa hiyo usikae kulia Nazareti ohhh walinikataa.
Usijieleze ovyo.
Usilazimishe kupendwa.
PITA KATI KATI YAO. UENDE ZAKO.
MAJIRA HAYAJAISHIA KWAO.
MWAKA WA BWANA ULIOKUBALIWA UPO JUU YAKO.
CHAPTER 4 …..
Yesu anaenda kufundisha hekaluni siku ya sabato na watu wana mshangaa mnoo!, kwanini? Neno lake lilikuwa na uwezo mzito sana yaani Neno lake lilikuwa linanena.
Mpendwa Neno lilinena haswaa mpaka ndani ya hilo Sinagogi kulikuwa na mtu anapepo likashindwa kujishikilia kwa kuchomwa na lile Neno likalipukaa. Yesu analikemea lile Pepo lisimwage mchele kwenye kuku wengi likamharibia mingo zake mapema mapemaa.
Mpendwa uwezo wa Yesu ulikuwa impeccable to the extent watu waka staajabu ni neno gani hili leo analohubiri, si hilihili la kila siku??, Mbona leo mpaka pepo wana mtii?. Mpendwa hii ikwambie tu kuwa there is a way haupo serious na neno ndiyo maana changamoto zina kukaziaa hazipepesi kope.
There is something you are not doing right, rudia kusoma neno ukiwa umejizatiti. Yesu anamponya mkewe Simioni, anamkemea magonjwa nayo yana tii, after that anaenda kwenye healing spree!, anaponya watu back to back na anawatoa mapepo back to back!.
Unachotakiwa kutoka nacho leo kwenye hii chapter 4, ya Gospel of Luke ni kwamba uponyaji upoo na unaendelea kwa Bwana Yesu.
Maradhi yako, Affliction zako kama zimesababishwa na mapepo au nguvu za giza zitaponywaa kwa B Bwana Yesu. Jesus healed everything and he is still in the business of healing. Sawasawa na andiko hili nenda mbele zake msihi akuponye na hiyo changamoto sasa.Kesho meditate kipande hiki huku ukimsihi akuponye na hiyo changmoto yako.
LUKA 5
Yesu awaita wavuvi wafuasi wake
1 Ikawa makutano walipomsonga wakilisikia neno la Mungu, yeye alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti;
2 akaona mashua mbili zimesimama kando ya ziwa; lakini wavuvi walikuwa wametoka, wakiosha nyavu zao.
3 Akaingia katika mashua moja, iliyokuwa ya Simoni, akamwomba aiondoshe kidogo kutoka puani; akaketi, akawafundisha makutano toka mashuani.
4 Alipokwisha kunena, alimwambia Simoni, “Ondoa mpaka kilindini, mkazitupe nyavu zenu mvue.”
5 Simoni akajibu, akasema, “Mwalimu, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazitupta nyavu.”
6 Walipokwisha kufanya hivyo, wakapata samaki wengi mno, hata nyavu zao zikaanza kukatika.
7 Wakawapungia mikono wenzao waliokuwa katika mashua ya pili waje kuwasaidia. Wakaja wakazijaza mashua zote mbili, hata zikaanza kuzama.
8 Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini pa Yesu, akisema, “Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.”
9 Maana mshangao umemshika, yeye na wote waliokuwa pamoja naye, kwa sababu ya wingi wa samaki walioupata.
10 Na vile vile Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, waliokuwa washirika wa Simoni. Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, tangu sasa utakuwa mvuvi wa watu.”
11 Hata walipokwisha kuziingiza mashua pwani, wakaviacha vitu vyote, wakamfuata.
Yesu amponya mwenye ukoma
12 Ikawa alipokuwa katika mji mmoja, kumbe! mtu mmoja aliyejaa ukoma! Alipomwona Yesu, akaanguka kifudifudi, akamsihi, akisema, “Bwana, ukiwa na nia waweza kunitakasa.”
13 Akanyosha mkono wake, akamgusa, akisema, “Nataka; takasika.” Mara ukoma wake ukamwacha.
14 Akamwagiza asimwambie mtu; ila, “Nenda ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe sadaka kwa kutakaswa kwako, kama Musa alivyotoa amri, iwe ushuhuda kwao.”
15 Lakini habari zake zikaenea zaidi; makutano makubwa yakakusanyika kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
16 Lakini yeye alikuwa akijitenga akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba.
Yesu amponya aliyepooza
17 Ikawa siku moja alipokuwa akifundisha, Mafarisayo na walimu wa torati walikuwa wameketi hapo, waliotoka katika kila kijiji cha Galilaya, na Yudea, na Yerusalemu. Uweza wa Bwana ulikuwapo ili awaponywe.
18 Na tazama! Watu walileta kitandani mtu aliyekuwa amepooza; wakatafuta njia ya kumwingiza wamweke mbele yake.
19 Na kwa sababu ya lile kundi la watu hawakuweza kumwingiza, walipanda juu ya dari, wakamshusha pamoja na kitanda chake katikati mbele ya Yesu.
20 Naye alipoona imani yao, alimwambia, “Ewe mtu, umesamehewa dhambi zako.”
21 Mafarisayo na waalimu wa torati wakaanza kuwaza, wakisema, “Ni nani huyu asemaye makufuru? Ni nani awezaye kusamehe dhambi ila Mungu peke yake?”
22 Lakini Yesu alitambua mawazo yao, akajibu, akawaambia, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu?
23 Lipo jambo lipi jepesi, kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako’, au kusema, ‘Simama, utembee’?
24 Lakini mpate kujua ya kuwa Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani ya kusamehe dhambi,” (akamwambia yule aliyepooza,) “Nakuambia, Inuka, jitwike kitanda chako, uende nyumbani kwako.”
25 Mara akaondoka mbele yao, akajitwika kitanda chake, akaenda nyumbani kwake, akimtukuza Mungu.
26 Wote wakastaajabu, wakamtukuza Mungu; wakajaa hofu, wakisema, “Tumeona mambo ya ajabu leo.”
Yesu amwita Lawi
27 Baada ya hayo akatoka, akamwona mtoza ushuru jina lake Lawi, ameketi forodhani; akamwambia, “Nifuate.”
28 Akaacha yote, akainuka, akamfuata.
29 Lawi akamfanyia karamu kubwa nyumbani mwake; na kundi kubwa la watoza ushuru na wengine walikuwa pamoja nao mezani.
30 Mafarisayo na waandishi wao wakawanung’unikia wanafunzi wake, wakisema, “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?”
31 Yesu akajibu, akawaambia, “Wenye afya hawamhitaji tabibu, bali walio hawawezi.
32 Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”
Swali juu ya kufunga
33 Wakamwambia, “Mbona wanafunzi wa Yohana hufunga mara nyingi na kusali vivyo hivyo na wanafunzi wa Mafarisayo, bali wako hula na kunywa?”
34 Yesu akawaambia, “Mwaweza kuwafanya wana wa arusi wafunge, wakati bwana arusi yu pamoja nao?
35 Lakini siku zitakuja ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao, ndipo watakapofunga siku zile.”
36 Akawaambia mfano; “Hakuna mtu ashonae kiraka cha nguo mpya katika nguo ya zamani; hila hiyo mpya huchanika nayo, wala kiraka hicho cha mpya hakipatani na ya zamani.
37 Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vya zamani; vinginevyo divai mpya huvipasua viriba, divai hutiwa na viriba huharibika.
38 Lakini divai mpya yapasa kutiwa katika viriba vipya.
39 Wala hakuna mtu atakayekunywa ya zamani na mara kutaka mpya; kwa maana husema, ‘Ya zamani yatamu.’”
CHAPTER 5
Luka: 5 : 4 – 5
Hata alipokwisha kunena, alimwambia Simoni, Tweka mpaka kilindini, mkashushe nyavu zenu mvue samaki. Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu, lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.
Kwa neno lako nitashusha nyavuu!, Wengi mmekwama eneo flani na mmeshajiwekea akilini hii ngori, hiki kipengele. Usiku wa leo bwana Yesu anasema shusha nyavuu hilo eneop acha mashaka, acha wasiwasi, acha woga!. Hata kama hilo eneo miaka na miaka unatokaga mweupe hupati kitu, Shusha nyavu acha kuogopa historia.
Mpendwa Andika/ ainisha eneo la maisha yako amabalo bila neno la Yesu nyavu hishushii. Deliverancve ya Gospel sio nyepesi,Inabidi leo usiku wote na kesho yote usimame na andiko hili kwenye hiyo changamoto yako siku nzima.
Luka: 5 : 5
Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu, lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.
Unamwambia bwana Yesu kwa neno lako nitaomba kazi tena, kwa neno lako nitajaribu tena biashara, kwa neno lako nita jaribu tena tena mahusiano, kwa neno lako nitajaribu tena uzao. You have to decree and declare this scripture all day tommorrow. Mpaka liingie moyoni mwako. The morev you declare the more utapata amani na deliverance ndiyo inafanyika.
Wapendwa isse ni ile ile faith yaani faith! and hope!. Unaweza kuwa una changamoto ndogo sana ila ika kubleed dry just because you don’t have faith, Na unaweza kuwa na changmoto kubwa lakini uka i-solve kwa imani ndogo sana.
Mpendwa watu wengi mnachanganya beleiving and wishing, Most of you just wish for things to happen, and Wishing is mere hopew that is baseless of nothing maybe just your imaginary hopes and delulu, no work is put behind the wish, no strategy, no plans whatsoever.
Like the saying goes delulu’s, not a solulu, Dlution is not a solution. Namwamini Mungu for a husband is not the same as I widh God will send me someone, Wapendwa most of you wish, ndiyo maana hata kusoma injili ni kazii!, kunfunga mdiyo kabisaa! kutoa sadaka ya ukombozi labda siyo wewe.
Ila maneno matupu sasa ya ‘Mungu nipe mume’ kama vote—na of course ni baseless kabisa katika scriptures. Just your own whinings and tatarums! Unaacha zinaa siku 2 ukiona Mungu yupo kimya, unarudi kuzini mwaka mzima alafu unatubu siku 3! Ikawa asubuhi, ikawa jioni, ikawa miaka 20 huna breakthrough eneo la ndoa.
Kuna watu niko nao kwenye deliverance—mtu ana miaka 7 hana mahusiano. Sio ajabu! Lakini ukimuuliza: “In those 7 years umefanya maombi gani exactly?”
“Ni maandiko gani ulikuwa umesimamia nayo?”
“Ni andiko gani umelishika kwa miaka yote hiyo hadi Mungu ajithibitishe?”
Miaka 7 umesoma maandiko gani? Vitabu vingapi vya Biblia umevimaliza?
Most times ni utopolo mtupu! Ufyoroo ufyoroo. Total nonsense! Na nikimuuliza mtu umefika elimu gani? Most atasema UDSM, hapo ndo na nikata maini.
Definately “wisdom is not freedom for you!” You have no wisdom whatsoever!
Ooh mimi naenda kuombewa kwenye makongamano! Unataka utoke kwako huna kazi eeh, urudi na kazi. Na hivi upentekoste umekuja na majahazi, basi tuna u-abuse kweli kweli!
Watu wananiona wananiuliza: “Mama mbona huombi kwa sauti sana?”
Najua wanamaanisha nini! Wanataka mtu anayehenya, anayelia hadi sauti ikauke, anayezungumza kwa lugha masaa 5 nonstop! Lakini usijidanganye — The approach is weak as hell and has no substance whatsoever! The wishers anthem!
Mtu kasoma vitabu 10 vya Biblia, kaja na njaa ya rohoni, kabatizwa kwa Roho Mtakatifu, si mbaya akiombewa au kutafutiwa direction. They earned it! Na hakuna kitu unaweza kumfundisha ambacho hajui tayari.
Lakini wewe? Hata kitabu kimoja cha Biblia hujasoma!
Unamaliza week hujasali. Ni mpagani uliyechangamka. Una-seek guidance ya Roho Mtakatifu ya nini?
Roho Mtakatifu huzungumza kupitia neno, na wewe huna neno hata robo ndani yako! Mnaongea nini? Mnaongea vipi?
Watu ninaowakuta kwenye deliverance ambao ni live Christians huwa wanavuka fasta!
Tulianza Agosti mwaka jana, mpaka sasa wengine wameshalipiwa mahari na wako kazini. Wale wa morning glory, safi sana! Neno linamiminika ndani yao. Magnificent!
Mtu ana neno, shida yake ni authority, unaikazia—imeisha!
Unaprophecy juu yake, reception yake ni solid. Fasta fasta mmemaliza. Mungu anajithibitisha kwa ukubwa.
Lakini wengine? “Mama, nipe unabii.” Kama sina lolote, naweza kusema: okay, I like you, so let me do you a favor. Na force unabii, nachomeka kwenye scripture halafu nakupatia.
BUT — can you receive it?
Thubutu!
SABABU HUJUI UNABII NI NINI. Kuna unabii wa aina ngapi? Unabii unafanyaje kazi? Degree unayo lakini you won’t even bother to find out!
Unataka kukimbia race kabla hujatambaaa.
Kumpa mtu kama wewe unabii ni kama kuji-shoot mguuni. Atasumbua kweli!
Mtu hana kazi, haendi kanisani, hatoi sadaka hata ya shilingi 10, hana ratiba ya ibada, hana desturi hata ya kuomba once a week!
Kusoma maandiko — aaah, ata washwa na upupu!
Na kama huna kazi, unaweza maliza Injili ya Luka siku 5. Ni vile una akili lakini huzitumii.
Believing in God means walking the path of the righteous—not because it’s simple, but because you want to please and obey God!
Unaacha zinaa sio sababu huna upwilu, bali kwa sababu unatii amri za Mungu.
Mungu ni Neno lake. Na usiposoma Neno, unamwamini Mungu yupi? Kama husomi maandiko, wewe ni mpagani kamili. Mungu hujifunua kupitia neno lake. Kama hulisomi, hamna lolote juu yako.
Mimi mtu akiniambia “niko kwenye waiting for 7 years” — I want to see scripts! Plans! Strategies! Executions!
Andiko gani umelisoma na kuli declare miaka 7? Sadaka gani umepeleka juu ya hilo andiko? Umefunga mara ngapi?
Umesoma vitabu vingapi vya Biblia?
Hii ndo intentional Christianity.
Hii ndo serious faith.
Wale wa deliverance waliokuja na akili zao timamu, miezi 3 tu — kazi imeisha. Kwanini?
Because faith executed properly has results.
Wale ndugu wa yule mtu aliyepooza kwenye Injili waliamua: Let’s get him to Jesus — that’s it!
They cut through the roof. Wakajitoa. Wakajua YESU ni mtu wa kazi hiyo.
Do you believe that Jesus is the man for your task?
Kwamba ukifika mbele za Yesu, kila lango linafunguka?
Kwamba kazi, ndoa, uzazi, kila kitu kinafunguliwa?
DO YOU REALLY BELIEVE IT?
Sadly, most of you stupidly don’t.
And yes, I used the word stupid!
I mean it. And I could say worse.
Unamuheshimu boss wako kuliko Yesu. Uko tayari kupendekeza kwa landlord kuliko kwa Roho Mtakatifu.
Zaka humtoi, lakini ukiona harusi ya rafiki umetoa laki 2!
Wewe ni cooked!
Unaomba kazi kwa Yesu ambaye hujasoma hata kitabu kimoja cha maisha yake.
Which Jesus? The one whose word you ignore?
Sis, you is cooked!
Na kazi yangu kama rafiki ya kweli ni kukubeba kama wale watu wa yule aliyepooza — kukufikisha mbele za Yesu leo hii.
Yesu siyo mwanadamu aseme uongo.
Mwanzo 2:24 — “Mwanaume atamwacha baba na mama yake, akaambatana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”
Full stop!
Scripture iko!
Huna haja ya kiraruu raruuu.
Declare that word!
Decree it!
Live it!
Sadaka zako zipitie kwenye hilo neno!
Funga kwa hilo neno!
Tembea nalo miaka 7 kama linauhusiano na maisha yako. Simamisha neno juu ya maisha yako.
If you say you believe in God for a husband for 7 years, then let it show!
Sadaka zako ziongee! Scripture zako ziongee! Declaration zako ziongee! Funga zako ziongee!
Usiruke-ruke kama kuku aliyetoka kwa kichinjio!
Mama ndoa! Mama ndoa!
But you don’t even believe in the scripture that speaks about it.
Kwa kumalizia…
Mimi ni kama wale rafiki wanne wa yule mtu aliye pooza.
Nakubeba leo!
Na kwa nguvu zote ninakufikisha mbele za Yesu!
Na ninakuambia mbele za macho yako:
“Yesu ni mtaalamu wa mambo yako.”
Kama unamwamini kweli, utapona. Utafufuka. Utaolewa. Utafanikiwa.
BUT FIRST — repent of your unbelief.
Tubu dhambi zako. Tubu kiburi chako. Tubu uvivu wako wa kusoma neno.
Na ukae kitako — usome Biblia. Simamia neno. Declare kila siku. Funga. Toa sadaka. Jenga altar. And then, watch God show up.
Mengine ni kelele tu. Na mungu haulizwi na kelele.
CHAPTER 5 ….
Watu wengi mnajaribu kuwa na mahusiano ya ghafla sana na ya zimamoto na Yesu ndiyo maana hayafiki popote. Jesus is very very different na manabii wengine na manabii wengine wote na mitume huwezi kutengeneza uhusiano wa ghafla sana na bwana Yesu from no where, Yani interview kesho leo ndiyo ujibalaguze Yesu wangu, Yesu wangu! wala havita swii! utaenda na utakosa hiyo kazi vizuri tu.
Bwana Yesu is more of longterm friend, ni mtu amabaye ukianza kujenga uhusiano neye leo unaweza usione chochote yamkini ukajiona chizi kabisaa ila he will appear when you need him most and you will know it is Jesus, Ndiyo maana watu wengi wa kuzuga zuga hawafaulugi.
Sisi tulio kwa Yesu tulikuwa luba tuu ndiyo siri ya mafanikio unaweka ratiba ya saa 9 unasali na hamna jipya na kesho una sali tena, kama hapa tupo chapter 5 tuna ua na Yesu yupo kama hayupo ila ipo siku uanishukuru.
Tofauti ya Yesu na mitume wengine na manabii? Veve alitoka kwa Baba na alimjua Baba na alichokifanya haikuwa guess works.
Manabii wengi ne hawakumjua Mungu kama Musa… katika kumsihi Mungu asiwaangamize wa Israeli mlimani, kashuka kayeyusha dhahabu zao zoteee za miungu na kuwanywesha kuanzia katoto ka miaka 3 mpaka mzee wa miaka 100 plus. That was NOT God’s way!
Nabii Elia kaambiwa nenda kajionyeshe kwa mfalme naleta mvua. Veve akaona sasa ni muda muafaka wa veve ku-settle score na Baal na manabii wake. Haiwezi mvua kuja wakati hawajamalizana! Veve sio wa kuteseka njaa afu mambo yaishe kirahisi. What does he do next? Calls fire from heaven! Commits mass murder and massacre of all Baal’s prophets! Na walikuwa 400! He made sure he murdered all 400 prophets.
Elisha? Couldn’t take a joke from young boys! Cheko kidogo kawaitia dubu wakawaua vijana wote. Kwishaaaa! Just for laughing at his upara.
Manabii wa sasa wanatenda sana dhambi? Mmmhhh! Labda kuendekeza ukware tu na njaa.
Elisha time of famine? Watu wanakula watoto wao. Na zilikuwa sio shida zakeee! Mpaka mfalme akaamua “yuko wapi yule Nabii Elisha nimchinjeee mwenyewe!” Popote nitakapokutana naye ijulikane moja kwamba Israeli hatuna Mungu wala nabii!
YESU – A DIFFERENT KIND OF PROPHET
Yesu was very, very different! Njia zake mpaka leo si za kupelekeshana na mikwaraaaa! Sio za kutishana na kuweka mtu mguu wa shingoni. Jesus was a cool prophet. A little too cool for the Jews liking.
Kama hapo alikuwa ana vibe na watoza ushuru kwenye liparty lao! Ana jiachiaaaa na wezee wa tozoooo! You may not understand whyyy? Because Jesus was all about people and their personalities not their sins.
Interaction zake na watu zilikuwa based on WHO they were, not WHAT they had done. Kama Lawi! Eventually Mathayo. Hakuwa na tabia ya ku-label watu! “Nyie wazinzi wakubwa!” “Nyie walevi!” Never that.
YESU ANAEPUSHA MAWE, SIO KUPIGA MAWE
Hata yule mwanamke aliyekutwa LIVEEEEEEE anatoa mzigo! Ushahidi kamilika! Lakini Yesu bado anakataa kumuita jina la dhambi yake. Him being Jesus watu walitegemea angemchapa bakora sio chini ya 20 na mawe 30. But nope! He acquitted her. Forgave her. And warned her.
Watu wengi tunashindwa kwenda kwa Yesu sababu ya dhambi zetu! Tunaona ni kinafiki mno. Tunaweza pigwa hata radlll. Maana kama janaba badooo bichlll kabisa.
DHAMBI HAIKUACHI – YESU NDIO MSAADA
Wengi mnajidanganya. Unataka kuacha zinaa ndo uje kwa Yesu. NO! You will never leave sin unless Bwana Yesu akusaidie. It’s human nature! You will feel upwiruuu if your reproductive system is okay!
Hata ukiingia ndani ya ndoa — wembe ni ule ule. Wembe wa ndoa ni laser! Si wax! Unaamka na huyo huyo miaka 5 — linakuchoshaaa! Ndani ya ndoa kuna majaribu mabaya kuliko uko nje. Maana viposongo vipyaaaa vina pull attention kuliko pilimzuzu wako mwenye mikojo ya Osama Bin Laden!
USIACHE YESU KWA AJILI YA NYAMA YA MWILI
Kitu pekee kitakacho kufanya usizini si kuwa umekosa upwiruu, ni kuwa na relationship thabiti na Yesu. Relationship ambayo ulichukua miaka 3 kuijenga. Umebatizwa kwa Roho. Unatembea kwenye dominion. Huwezi kuivunja kizembe tu.
Kama uhusiano wako na Yesu ni wa uzlll fasta – utafall! You can’t survive with a Jesus you barely know.
JESUS IS NOT YOUR EMERGENCY BUTTON
Yesu hataki uhusiano wa msibaaaaa. Yaani unamtafuta tu mambo yakiharibika! You must be intentional! You and Jesus time kila siku. Lisaa li moja – Non-negotiable. Soma Injili. Tafakari. Learn the Jesus of the gospels!
Talk to Him about everything. Wins! Losses! Goliaths! Mpe kila kitu. Wekeza ku-mjua Yesu! Kama huwekezi, usitarajie breakthrough za million 10!
SIKU MOJA YA YESU NI BORA KULIKO AJIRA YA UJINGA
Unaacha kazi ya manyanyaso ya laki 8 kwa imani. Wakikubeza — wewe jibu:
Romans 3:4
“Let God be true, and every man a liar…”
Sawa, utasota miezi 6. But when the door opens, utashinda wote waliokukejeli. Hata wazazi wako watasema “Flani ana Mungu yuleeeee!”
THIS GENERATION? FOOLISH!
Watu wanauza maadili yao sababu ya njaaaa. Umepewa akili timamu! Ukikataa kazi ya manyanyaso unaitwa “kichaa”! Lakini akili yako inajua Yesu hawezi kukuacha hivyo!
Holy Spirit akikupa prophecy — anatoa strategy pia! Kama hujui wapi pa kuipata, hujawekezwa kwenye mahusiano. Ndo maana wengi ne mpo clueless. Na mnaomba kazi za million 10 bila Holy Spirit. Thubutuuuuuu!
JESUS WANTS ALL OF YOU!
Bwana Yesu anataka if you win, you win together! If you lose, you lose together. Kama kuchanganyikiwa — uchanganyikiwe ndani ya Kristo!
You don’t show weakness. You rise in the face of chaos declaring:
“Nayaweza yote katika Yeye anitiaye nguvu!”
“Giza halijawahi kuishinda Nuru!”
Mshahara wa laki 8? Sipokei!
Million 10 ama nothing!
“Mungu wangu ni Mungu wa million 10 minus nothing!”
YOUR VICTORY IS IN INTENTIONALITY
Ukikaa na Yesu, usome Injili, umtafakari kila siku — utaona matokeo!
Mpaka wale waliokubeza watasema,
“Nyieeeee! Huyu ana Mungu!”
Yesu ni Bwana wa harusi, si wa misiba! Huwezi kumjua kwenye vilio tu! Jua Yesu kwa hali zote.
YESU TU! SIO HOKO KUKIMBIAKIMBIA!
Unataka ndoa? YESU.
Unataka kazi ya maana? YESU.
Unataka kusimama imara kwa usafi wa moyo na mwili? YESU.
Usitumie mafuta. Usilale kwa watumishi. Usikimbilie mimba.
Find JESUS. Build with Him. Walk with Him. Decree His word.
Weka mkutano na Roho Mtakatifu na utoboe.
When Holy Spirit gives prophecy — He gives strategy!
Without relationship, you’re chasing shadows.
LUKA 6 (Biblia – Kiswahili Union Version)
1 Ikawa siku ya sabato alipokuwa akipita katika mashamba ya nafaka, wanafunzi wake walikuwa wakivunja masuke, wakayapukusa mikononi mwao na kuyala.
2 Baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Mbona mnafanya jambo lisiloruhusiwa siku ya sabato?”
3 Yesu akawajibu, “Huku mmesoma alilofanya Daudi alipokuwa na njaa, yeye na wale waliokuwa pamoja naye?
4 Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akatwaa ile mikate ya onyesho, akala, akawapa na wale waliokuwa pamoja naye, ambayo haikuruhusiwa kuliwa isipokuwa na makuhani peke yao?”
5 Akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.”
6 Ikawa siku nyingine ya sabato aliingia katika sinagogi akafundisha. Na pale kulikuwa na mtu mkono wake wa kuume umepooza.
7 Waandishi na Mafarisayo wakawa wanamvizia, ili waone kama ataponya siku ya sabato, wapate sababu ya kumshtaki.
8 Lakini Yesu alijua mawazo yao, akamwambia yule mtu mwenye mkono uliopooza, “Simama usimame katikati.” Akaondoka akasimama.
9 Kisha Yesu akawaambia, “Nauliza, je, ni halali siku ya sabato kutenda mema au kutenda mabaya? Kuokoa maisha au kuua?”
10 Akawatazama wote pande zote, akamwambia yule mtu, “Nyosha mkono wako.” Akaunyosha, mkono wake ukapona.
11 Lakini wao wakajaa hasira, wakaanza kushauriana wao kwa wao juu ya kumfanya Yesu nini.
12 Ikawa siku zile alienda mlimani kuomba, akakaa huko usiku kucha akimwomba Mungu.
13 Kulipopambazuka aliwaita wanafunzi wake, akachagua kumi na wawili miongoni mwao, akawaita mitume:
14 Simoni, ambaye pia alimwita Petro, Andrea nduguye, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo,
15 Mathayo, Tomasi, Yakobo wa Alfayo, Simoni aitwaye Zelote,
16 Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskariote ambaye baadaye aligeuka kuwa msaliti.
17 Akashuka pamoja nao, akasimama mahali tambarare, pamoja na wafuasi wake wengi na umati mkubwa wa watu kutoka Uyahudi wote, Yerusalemu, na pwani ya Tiro na Sidoni, waliokuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
18 Na wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu waliponywa.
19 Na umati wote walitaka kumgusa, kwa maana nguvu ilikuwa ikitoka kwake na kuwaponya wote.
MAHUBIRI YA YESU NA BARAKA NA LAANA
20 Akayainua macho yake, akawaangalia wanafunzi wake, akasema:
“Heri ninyi mlio maskini, kwa kuwa Ufalme wa Mungu ni wenu.
21 Heri ninyi mnao njaa sasa, kwa kuwa mtashiba.
Heri ninyi mnaolia sasa, kwa kuwa mtacheka.
22 Heri ninyi watu watakapowachukia, na kuwatenga, na kuwatukana, na kuwatupilia mbali kama waovu kwa ajili ya Mwana wa Adamu.
23 Furahini siku hiyo na kurukaruka kwa furaha, kwa maana tazama, thawabu yenu ni kubwa mbinguni. Kwa maana baba zao waliwatenda manabii mambo kama hayo.”
24 “Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri, kwa kuwa mmekwisha kupata faraja yenu.
25 Ole wenu ninyi mnaoshiba sasa, kwa kuwa mtapata njaa.
Ole wenu mnaocheka sasa, kwa kuwa mtaomboleza na kulia.
26 Ole wenu watu wote watakaposema mema juu yenu, kwa maana baba zao waliwatenda manabii wa uongo mambo kama hayo.”
UPENDO KWA MAADUI
27 “Lakini nawaambia ninyi mnaosikia, wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale wanaowachukia,
28 wabarikini wale wanaowalaani, waombeeni wale wanaowaonea.
29 Mtu akupigaye shavu moja, mgeuzie na la pili; mtu akikuondolea joho, usimkataze na kanzu.
30 Mpe kila akuombaye, na mtu akikuondolea mali yako, usimrudishie.
31 Na kama mnavyotaka watu wawafanyie ninyi, vivyo hivyo na ninyi fanyeni wao.
32 “Kwa maana mkipenda wale wanaowapenda, mna faida gani? Maana hata wenye dhambi huwapenda wale wanaowapenda.
33 Nanyi mkifanya mema kwa wale wanaowatendea mema, mna faida gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
34 Nanyi mkikopesha kwa wale mnaotumaini kupata kwao, mna faida gani? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, wapate kulipwa sawasawa.
35 Lakini wapendeni adui zenu, fanyeni mema, na kukopesha bila kutumaini kurudishiwa; na thawabu yenu itakuwa kubwa, nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasio na shukrani na waovu.
36 Basi iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
USIHUKUMU
37 “Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa. Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, nanyi mtasamehewa.
38 Toeni, nanyi mtapewa. Kikapu kizuri, kilichosukwasukwa, kimejaa na kusukwa juu, watakipimia vifuani mwenu. Kwa maana kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.”
39 Akawaambia mfano pia: “Je, kipofu aweza kumwongoza kipofu? Je, hawa wote wawili hawataanguka shimoni?
40 Mwanafunzi hampiti mwalimu wake; lakini kila aliye mkamilifu atakuwa kama mwalimu wake.
41 Mbona waona kijiti kilicho katika jicho la nduguyo, na huoni boriti iliyo katika jicho lako mwenyewe?
42 Au wawezaje kumwambia nduguyo, ‘Ndugu, acha nikitoe kijiti kilicho jichoni mwako,’ nawe huoni boriti iliyo katika jicho lako? Mnafiki, toa kwanza boriti katika jicho lako, ndipo utaona vizuri kutoa kijiti kilicho katika jicho la nduguyo.”
MTI MZURI NA MATUNDA MAZURI
43 “Kwa kuwa hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala mti mbaya uzaao matunda mazuri.
44 Kila mti hujulikana kwa matunda yake. Kwa maana hawachumi tini katika miiba, wala hawavuni zabibu katika michongoma.
45 Mtu mwema hutoa mema katika hazina njema ya moyo wake, na mtu mwovu hutoa mabaya katika hazina mbaya; kwa kuwa mtu hunena yatokayo katika wingi wa moyo wake.
KUJENGA JUU YA MISINGI IMARA
46 “Mbona mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ wala hamfanyi nisemayo?
47 Kila mtu ajaye kwangu, na kuyasikia maneno yangu, na kuyatenda, nitawaonyesha mfano wake:
48 Ni kama mtu ajengaye nyumba, akachimba chini sana, akaweka msingi juu ya mwamba; palipotokea mafuriko, mto ukapiga nyumba ile, lakini haukuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa juu ya mwamba.
49 Lakini asiyesikia na kutenda ni kama mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi bila msingi; mto ukapiga nyumba ile, nayo ikanguka mara, na maangamizo yake yakawa makubwa.”
Luka 6
1 Ikawa siku ya sabato alipokuwa akipita katika mashamba ya ngano wanafunzi wake walikuwa wakivunavuna masuke, wakayala, wakiyapukusa kwa mikono yao.
2 Wafarisayo wengine wakasema, Mbona mnafanya yasiyofaa siku ya sabato?
3 Yesu akajibu akawaambia, Hamkusoma hata aliyoyafanya Daudi alipokuwa na njaa, yeye na wale waliokuwa pamoja naye?
4 Jinsi alivyoingia nyumbani mwa Mungu, akatwaa ile mikate ya onyesho, akala, akawapa na waliokuwa pamoja naye, ambayo haikupasa kuliwa ila na makuhani peke yao?
5 Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.
6 Ikawa siku ya sabato nyingine aliingia katika sinagogi akafundisha; na pale alikuwepo mtu ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.
7 Waandishi na Mafarisayo walimvizia, waone kama ataponya siku ya sabato, wapate sababu ya kumshitaki.
8 Lakini yeye alijua mawazo yao, akamwambia yule mwenye mkono uliopooza, Inuka usimame katikati. Akaondoka akasimama.
9 Yesu akawaambia, Nawauliza ninyi, Je! Ni halali siku ya sabato kutenda mema au kutenda mabaya? Kuokoa maisha au kuua?
10 Akawakazia macho wote akamwambia, Nyosha mkono wako. Akafanya hivyo, mkono wake ukarudi kuwa mzima.
11 Nao wakajaa wivu wakaongea wao kwa wao walitafanyaje Yesu.
12 Ikawa siku zile akatoka akaenda mlimani kuomba; akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.
13 Hata kulipopambazuka aliwaita wanafunzi wake, akachagua katika wao kumi na wawili, aliowaita Mitume;
14 Simoni ambaye alimpa jina la Petro, na Andrea nduguye, na Yakobo, na Yohana, na Filipo, na Bartholomayo,
15 na Mathayo, na Tomasi, na Yakobo wa Alfayo, na Simone aitwaye Zelote,
16 na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskariote aliyekuwa msaliti.
17 Akashuka pamoja nao, akasimama mahali tambarare, pamoja na wingi wa wanafunzi wake, na mkutano mkuu wa watu waliotoka Uyahudi wote, na Yerusalemu, na pwani ya Tiro na Sidoni, waliokuja kumsikia na kuponywa magonjwa yao;
18 na wale walioteswa na pepo wachafu waliponywa.
19 Na mkutano wote walitaka kumgusa, kwa kuwa nguvu ilitoka kwake wote wakaponywa.
20 Akainua macho yake akawatazama wanafunzi wake, akasema,
Heri ninyi mlio maskini, kwa sababu Ufalme wa Mungu ni wenu.
21 Heri ninyi mnaolilia sasa, kwa kuwa mtacheka.
Heri ninyi mnaoona njaa sasa, kwa kuwa mtashiba.
22 Heri ninyi watu watakapowachukia, na kuwatenga na kuwahukumu, na kuitupa nje jina lenu kama ovu, kwa ajili ya Mwana wa Adamu.
23 Furahini siku ile, mkashangilie; kwa kuwa tazama, thawabu yenu ni kubwa mbinguni; maana baba zao waliwatenda manabii vivyo hivyo.
24 Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri! Kwa sababu mmeipata faraja yenu.
25 Ole wenu ninyi mnaoshiba sasa! Kwa kuwa mtaona njaa.
Ole wenu ninyi mnaocheka sasa! Kwa kuwa mtaomboleza na kulia.
26 Ole wenu watu wote watakaposema mema juu yenu! Maana baba zao waliwatenda manabii wa uongo vivyo hivyo.
27 Lakini nawaambia ninyi mnaosikia, Wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale wanaowachukia.
28 Wabarikini wale wawaalaani, waombeeni wale wanaowaonea.
29 Mtu akupigaye shavu moja, mgeuzie na la pili; na mtu akuondoleaye joho, usimzuie na kanzu.
30 Mpe kila akuombaye; na mtu akikuondolea vitu vyako, usimtake akurudishie.
31 Na kama mnavyotaka watu wawatendee ninyi, nanyi watendeeni vivyo hivyo.
32 Na mkiwapenda wapenzi wenu, mna fadhila gani? Kwa maana na wenye dhambi huwapenda wapenzi wao.
33 Na mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mna fadhila gani? Kwa maana hata wenye dhambi hufanya hivyo.
34 Na mkikopesha kwa wale mnaotumaini watarudisha, mna fadhila gani? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, wapate kulipwa vile vile.
35 Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha bila kutarajia kupata malipo; na thawabu yenu itakuwa nyingi, nanyi mtakuwa wana wa Aliye juu; kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasio na shukrani na waovu.
36 Basi iweni na rehema, kama Baba yenu alivyo na rehema.
37 Msihukumu, wala hamtahukumiwa; msilaumu, wala hamtalaumiwa; achilieni watu huru, nanyi mtaachiwa.
38 Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kiasi kizuri, kilichoshindiliwa, kilichotikiswa, kinachofurika, watamwangia vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho, ndicho mtakachopimiwa.
39 Akawaambia mfano, Je! Kipofu aweza kumwongoza kipofu? Je! Wote hawataanguka shimoni?
40 Mwanafunzi hampiti mwalimu wake; lakini kila mtu atakapokamilika atakuwa kama mwalimu wake.
41 Mbona wajitia kuchungulia kijiti kilicho jichoni mwa nduguyo, na boriti iliyoko jichoni mwako mwenyewe huiangalii?
42 Au wawezaje kumwambia nduguyo, Ndugu yangu, niache nitoe kijiti kilicho jichoni mwako, na wewe mwenyewe huioni boriti iliyoko jichoni mwako? Mnafiki! Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako, ndipo utaona sawasawa kulitoa kijiti kilicho jichoni mwa nduguyo.
43 Kwa kuwa hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya; wala mti mbaya uzaao matunda mazuri.
44 Kwa kuwa kila mti hujulikana kwa matunda yake. Maana watu hawachumi tini katika miiba, wala hawavuni zabibu katika kichaka.
45 Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema; na mtu mwovu katika hazina mbaya hutoa yaliyo mabaya; kwa kuwa mtu hunena yaliyomo moyoni mwake.
46 Mbona mnaniita, Bwana, Bwana, wala hamfanyi nisemayo?
47 Kila mtu ajaye kwangu, na kusikia maneno yangu na kuyatenda, nitawaonesha mfano wake mtu huyu ni mtu wa namna gani.
48 Mfano wake ni wa mtu ajengaye nyumba, aliyeyumba chini akachimba chini sana, akaiweka misingi juu ya mwamba; na palipokuja gharika, mto ukaipiga nyumba ile, haukuweza kuitikisa; kwa sababu imejengwa vizuri.
49 Lakini yule asikiaye lakini asiyetenda, ni mfano wa mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi pasipo msingi; ambayo mto ulipoipiga mara ikaanguka; maangamizo ya nyumba ile yakawa makubwa.
CHAPTER 6
Wapendwa kama nilivyo waambia Jesus is so different than all other major and minor prophets, He was all for the people not traditions. Yesu alikuwa na wanafunzi wake na wamechoka hasaa, anavunja desturi za kiyahudi for his people na alikuwa na options mbili aangalie traditions au watu, na akachagua watu like always.
Jesus always so the best in people ndiyo challange kubwa aliyotuachia, kuona mema katika watu regardless, if they are not even trying, regardless how imperfect they are.
People are not perfect and never will be, People will always be people, Yesu aliona wanafunzi wanaendekeza njaa kuliko Sabato!, It’s not like Jesus gave them the green light sasa jinomeni masuke hayoo mtakavyo, mjijambie, Hapanaa! wanafunzi walijichetua na Yesu aka ignore..
Mafarisayo walitegemea Yesu ndo awe mstari wa mbele kukemeaaaa uroho na ulafiii!
Lakini Yesu so the best in people kwamba wale sio waroho na walafi, ila njaa tu ndo imewazidi. Aka waachia watulize njaa zao… After all, veve ndo alikuwa ana wapigisha mzigo back to back. 😤😤®️!
Mafarisayo ni kama wengi wetu…
We will NEVER see the good in people! Neverrrrrr!
Mtu atafanya mema mia moja, ila tutabeba balaa moja hadi kaburini. We don’t give second chances. We don’t give room for growth. Judgement is our full-time ministry.
Na kama Mafarisayo, tunatumia maandiko au morals kujustfy hukumu zetu. “Amefanya au hajafanya?”
Let me spill…
Kuna ndugu yetu alienda kwa mume wa dada yake akiwa na miaka 19. Ilibainika ametembea naye. Dada yake maybe 30, mume wake maybe 40s. Sasa hapo wa kulaumiwa ni nani?
Mtoto wa miaka 19 au jitu la 40 lina itafuta 50?
It’s over 10 yrs now. Yule binti yupo kwenye 30s, but bado hapokelewi mahali popote kwenye “wanaume wa watu.” Na ni mtu wa upendo sanaaaa. Lakini watu zimeshika bango!
Even serikali inaangalia mtu alitenda kosa akiwa na umri gani! Sio sisi.
At 19, I don’t even think she knew the gravity of what she was doing. And she never even benefited from the sin!
We play God. And we lose!
Mtu alikukosea miaka mitano iliyopita? Basi roho inalo!
“Mimi sitaki mahusiano na toxic people!”
Asha alinifanyia hivi, basi SHOBOKA KWENDA ZAKO. Tuna choma madaraja bila kusita.
But guess what?
Yesu hakuwahi kumjudge mtu.
Aliona mema. Na hata alipokemea, alifanya hivyo kwa hekima na huruma.
Hakuwahi beba bango: “Weeee, nyaku nyaku! Mchawiiii!”
Me? I was naturally born rude!
Sisahau jamboooo! Roho ya kusamehe sinaaaa! Mtu wa vinyongo hatarllll.
Heshima naitaka dada!
Usipo nipa, naichukua kwa nguvu. Sitoi second chance.
Unanifanyia unafiki? BYEEEEE!
Na haya yoteeee ndo yalinifanya nisifike popote kwenye maisha yangu.
Shetani alinijulia mapungufu.
Akaanza kunipa kamba najinyonga mwenyewe.
Alipoona mtu anaweza kuwa destiny helper wangu, alimtumia kunisema.
Maneno hayana maana? Nitachoma daraja!
Ntakuita mbwa! Ntakushushia maneno kama gas cooker ya Kariakoo!
Important connections? I lost them all!
BUT GOD… 🙌
Niliokoka. Nikabatizwa kwa Roho.
Na nikaanza kuona tofauti…
Nimevaa ngozi ya KOBE.
I play the fool’s card!
Najipeleka matekaaaaa. Na imenilipaaaaa! 🙏
Sasa hivi?
Nawapa watu nafasi ya pili, ya tatu, ya tano!
I never give up on people.
Najua biashara ni uwanja wa unafiki — penye riziki hapakosi vita.
Lakini najichoma kama kubwa jinga.
And it works for me!
Hood wisdom…😎
Watu wananijua.
I’m from the hood.
Na reward disloyalty HAAAAAANDSOME.
Ukinitunza, nakutunza.
Ukini betray, na smile. Ushahidi unajitosheleza?
I still smile.
Wanakaa wakidhani nitatibuka, na mimi nachoma shoo kama haijaja kwa specs.
Nachekaaa. Kama KUBWA JINGA.
Wanakata tamaa.
Na wakija kuni-confront?
Nawajibu: “I heard, but sikudhani kama ni hivyo. Maybe mlichosema ni opinion yenu by then. I took that info to show you more good in me.”
Mambo yameisha!
Key: Be the big fool. It’s a winning card.
Huu mji ni mgumu.
Connections ni kila kitu.
Ukitaka kuingia kwenye cycles, lazima mtu wa damu na damu akutambulishe.
Mungu akaniinua kupitia rafiki wa kishua.
Mi nilikuwa low, yeye high.
Hakuwahi nifanya nijisikie mnyonge.
Tulienda China, akani kopesha, akanidhamini…
Mpaka biashara yangu ikasimama!
Baadaye, viwavi jeshi wakachomeka.
“Mtu huyo anakua sababu analoga!” 😳
Na watu wakaanza kunisema kila mahali.
Mama akaniambia:
“Nenda kajipendekeze. Usipoenda, nitaenda mimi mzazi wako!”
Nilijitoa kimasomaso.
Nilienda. Nika act kama Kubwa Jinga mbele yao.
Wakaona hawajaniweza.
Na rafiki yangu mpaka leo anafungua milango kwa ajili yangu.
Na yule aliyesema namloga? Leo ananitafuta mimi!
HAKUNA ALIYEKUWA MJINGA KAMA MIMI — na ndio maana MUNGU alinisafisha!
Final wisdom: DON’T PLAY GOD.
Ukienda kisheria sana, utaishia peke yako.
Relationships need grace.
Zikikosewa, kumbuka mazuri zilizokuwa nazo.
Opportunity cost ya kuvunja urafiki ni kubwaaa!
Usikunjie boss uso kama jino limevunjika!
Cheka. Bebea begi.
Show up early, go the extra mile — prove him wrong.
Unapenda mtu?
Usitake apite bila mapambano.
Sio kwa kugombana, bali kwa kuprove you’re the right one.
Men consider options — kama wewe unavo consider pia.
Don’t be bipolar.
Ukipata mwanaume mzuri, JITOFautISHE na visorokokwi wengine.
Usikate tamaa mapema — Dhoruba ni FURSA.
Umeachwa juu ya “hajibu message”? Kudadadekizenu!
Maybe ni kipindi.
Na wewe ndo ulikuwa nafasi sahihi, lakini ukaanzisha vita over nonsense!
Unataka ndoa?
Kaa kimya.
Teka mji.
Tumia fool’s card.
Watakukubali, watakuonea, lakini mwishowe watasema — huyu dada, ni mrembo na mwenye akili ya kushinda.
🎯 LESSON: Play the fool. Love big. Forgive hard.
Na usicheze nafasi ya Mungu.
Jesus never judged. Na wewe usijifanye God.
Grow. Learn. Love. SMILE kama Kubwa Jinga! 😎
Nikitakie neema ya kubeba roho ya kustahimili kama ya Yesu.
Kuna nguvu katika kusamehe na kunyamaza.
There is promotion in looking foolish.
KUBWA JINGA WINS.
CHAPTER 6…
Wapendwa people who don’t like you yaani hwahitaji sababu za msingi, This I learned the hard way in life, Usipojua utahangaika sana lakini ukijua utaishi kwa amani sana, sasahivi nikijua mtu ananichukia najiuliza tu nimemkosea nini?, What did I do to them?, kama hakuna basi wakafie mbele.
Wapendwa hiki kitu nimejifunza kwa Yesu, there was nothing bad he was doing to anyone ila hata wema mwingi alio utenda ulimuongezea maadui wapya kila siku. The guy only wanted to be good. Kuna mtu aliniambia nimetenda mabaya mengi yamenirudi nataka nibadilishe upepo nitende tende mema you know yaani kujitakasa tu!, Nikasema moto wa huku niwa gas maana unao watendea mema ndiyo wanakulipa ubaya ubwela, maumivu yake ni mara 1000 zaidi.
Wengi wetu dhambi nyingi tunatenda under the influence of people.Unawaza watu watasemajee?, Like any good has ever come from people. Wapendwa single mother wengi wa kwetu unashangaa, she can’t resist any change ya kumuachia mtoto, unaona kabisa she was not ready for a baby! wala hajatamani mtoto wala chochote.Unamuuliza kwanini umezaa under age 7 ooh!, Niliona mwanaume anatamani mtoto nimzalie, foolish little girl and poor baby maana wazazi madish yameyumba.
Na sio single mother tu msisimamishwe mishipa ya shingo hata wanawake sisi unakuta mtu mzima kabisaa, unataka ustaafu kumegwa kiselaa, unawaza i am for christ sake!!, How can I pull a no sex untill marriage??. I have been to the labor room 3 times for 3 men how can I pool a no sex till marriage?, I don’t wanna sin, truly I don’t God knows it, The devil knows it bt my past is conflicting me.
Wapendwa hata kazini umbea umbea haupendi wala majungu sio tabia zako lakini you like money, You like kupewa safari, you like promotions, you like soft life, so you sell your soul to the Boss to the enhance your career growth. You snich on ever living soul, Ikibidi kutembea na Boss wako sio shida zako anything to break the generational curse by sleeping your way the top.
Unaharibu na kuchezea hatma za wenzio kazini kama mdakoo wa kupanda chuki na uharibifu wa kuhakikisha hawaendi popote labda kama umekatika ulimi na hata kama umekatika ulimi you can still write an email labda uwe six feet under their only hope.
Most of you lazy women!! linerated free spirited kama ingekuwa hamna scrutiny! ndoa sio mambo yenu ni independent women lakini sababu ya voimdomo domo vya waja mnataka kuolewa not because it is your call rather to shut the hell up thy people. Unataka ndoa to rub it in their faces kwamba ukitaka ndoa unaipata.
Unakuta mtu yupo in her late 20’s already doing the mighty wonders, ana stable career already earning 5 million and above!, amejenga nyumba ana gari new model la million 60 kwenda juu. she is going to the top, dalili ya mvua ni wingu na tayari limetanda jeusii.
Anaanza kuhadaika na ndoaa!, Sisi tunamwambia you don’t need ndoa you need to find your soulmate, You have earned yourself and you officially afford to find love.Tafuta mtu ambaye mtapendana ataku-elevate kufika ule ukuu Mungu aliokukusudia.Anauliza mbona nyie hamkufata ushauri wenu?, Mpee! fosi ndoa uone kilichomtoa nyoka pangoni.
Akipigwa matukio mwezi tu ndani ya ndoa anakonda kama ka katautumbo. One year in the marriage, she has lost in her job muda wote anawaza amemkosea nini Mungu kikubwa hivyo to deserve son of the devil as a husband, hajali tena kuhusu kazi na kampuni inaona pale kwake ilijichanganya big time.
Anakuwa misarable all her remaining life anaishi na mtu amabaye hamopendii, huyo mtu wala huyo mtu hampendii. Hana amani ya Moyo maana anajiuliza aliishiaje hapoo?, akiondoka ndiyo ana watoto wawili tayari. Kazini ashaingia gundu.
Anarudi kutuuliza nyie mmewezaje ku-survive na kutoka on top of the things?, I’m sinkoing! aah sahivi ndiyo unataka ushauri? vumilia mtoto wa kike jikaze ki-kike! ushakosea hesabu upo kwenye lose lose situation, you can win by losing. Wewwe huwezi sababu you are not a foolish girl na hakuna jambo gumu kama mwanamke mwenye akili ku-play foolish,utapasuka sababu kila kitu unakiona waziwazi unakuwa mjinga vipi sasa?, una IQ kubwa hamna detail hutaiona.
Na worse enough you have your own mind, hauwezi kushikwa akili, wenzio tukiwaambia ruka kushoto as long as tumesema sisi na wanatuamini wataruka kushoto as long as tumesema sisi na wana tuaminix, wataruka kushoto hata akili yao iki challange vipi neno letu ndiyo watalifanya.
Any man can be tamed by any woman, she just needs to know the rules and play ny the rules and the rules are hard but bibi zetu waliweza ndiyo maana kila mwanaume alikuwa mume na talaka zilikuwa hamnaa.The golden rule was be really stupid to the stupor ukiweza add being foolish on top, sasa wanawake wenye akili hawezi, abadad asilani.
Watoto wa Magomeni anayeforce ndoa akiambiwa mjingaa wee! anasema ni kweli mume wangu, mimi mjinga kabisaa hadi familia yangu wajinga!. Huna akili kabisaa, ni kweli mume wangu wewe ndiyo mwenye akili kwa muda aliyopanga kuitumikia ndoa kabla haja wapurusaa mpaka vijiko akija kujifidia, kwenye talaka anafanya lolote muda wowote, Mpaka wakwe wanakuwa fooled, kumbe wenzao yupo on mission impossible on how to become rich by working smart and not hard.
Mtu akienda kuforce ndoa anajua kabisa kama anaenda jeshi la kujenga ukoo. Ashajiandaa kisaikolojia kabisa!, mnampa surivival 101 manual. Akikupa jikinge never hit back, jifanye umekufa kabisaa, Never talk back, akibweka kaa kimyaa. Apologise for everything hata makosa yake wewe omba msamaha, Usibishane nayee, anavyotaka ndiyo hivyoo. Jifanye mjinga hata ukiona au ukihisi vitu vipotezee tu. Aki kuprovoke jifanye zumbukuku kweli-kweli, Train Moyo wako kuweza kubeba vitu vizitoo kama insults, deception, betrayal na uwe sugu haswaa. Akirudi asubuhi unacheka cheka na chai nzitoo unaandaa. Akitaka kujieleza unamwambia haina haja nilijua umekufa kama upo hai kwangu inatosha, you out do yourself.
Kwa manual hii hata shetani unaishi nalo hata miaka 20 yaani vizuri kabisaa., Labda wewe utake kutoka sasa na kudai talaka na 50% of what you didn’t learn ukaanze sasa kusaka true love.
Na siku sasa ndiyo umeondokaa hakuna atakaye vaa viatu vyakoo. Hakuna maana hivyo viaturaizoni namba saba (7), Wiki tu ata mshindwaa na kukumbukaa zumbukuku wakee.Atakuja mapaka na wazazi wakee, atampatawapi mtu mwenye manual ya how to live with the devil?
Kuna rafiki yangu kaka wa marekani kamchukua binti wa kinondoni alafu ana manual, aah! wamehangaika kumtoa lakini wapi, nikamwambia huyo tulieni tu atatoka mwenyewe mpeni muda, ila nyie kumtoa sahauni!!!, kaka yao alizaa na mke wa kwanza mtoto mmoja 1, akasema hazai tenac, mpaka moto kafika 18, huyu udugu wetu wa kino wana miaka mitano tu na hajafunga naye ndoa wana watoto watatu tayari, ka reverse vasectomy mwenyewe, he is tameed tamed, kamuweka kiganjani kajaa. 3 Kids Marekani akija kudai child support is not a joke.
LUKA 7
-
Alipokwisha kuyasema maneno hayo yote mbele ya watu, aliingia Kapernaumu.
-
Na mtumishi wa akida mmoja, aliyekuwa mpenzi wake, alikuwa hawezi karibu na kufa.
-
Aliposikia habari za Yesu, alituma kwake wazee wa Wayahudi, akamsihi aje amponye mtumishi wake.
-
Nao walipomfikia Yesu, walimhimiza sana wakisema, Amestahili wewe kumfanyia jambo hilo;
-
maana huyo huwapen da taifa letu, naye ndiye aliyetujengea sinagogi.
-
Yesu akaenda pamoja nao. Naye alipokuwa ha mbali sana na nyumba, akida yule alituma rafiki zake kwake, akamwambia, Bwana, usijitaabishe; kwa maana sistahili wewe kuingia chini ya dari yangu;
-
kwa hiyo sikujiona kuwa na kustahili kuja kwako; lakini sema neno tu, na mtumishi wangu atapona.
-
Kwa maana mimi, ingawa ni mtu niliyewekwa chini ya mamlaka, nina askari chini yangu; nikimwambia huyu, Enenda, huenda; na mwingine, Njoo, huja; na mtumwa wangu, Fanya hivi, hufanya.
-
Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, Sijapata imani kubwa namna hii, hata katika Israeli.
-
Nao wale waliotumwa waliporudi nyumbani, wakamkuta yule mtumwa hawezi.
-
Hata siku ya pili yake alikwenda mpaka mji uitwao Naini; na wanafunzi wake wengi na mkutano mkubwa waliandamana naye.
-
Alipokaribia lango la mji, tazama, alikuwako maiti amechukuliwa nje, ni mwana wa pekee wa mamaye, naye alikuwa mjane; mkutano mwingi wa watu wa mji ule walikuwa pamoja naye.
-
Bwana alipomwona alimhurumia, akamwambia, Usilie.
-
Akakaribia, akauguza jeneza; nao waliokuwa wakimchukua wakasimama. Akasema, Kijana, nakuambia, Inuka.
-
Yule maiti akaketi akaanza kunena. Akamtoa kwa mamaye.
-
Hofu ikawapata wote, wakamtukuza Mungu wakisema, Nabii mkuu ameinuka kwetu, na, Mungu amewajilia watu wake.
-
Habari hii ikasambaa katika Uyahudi wote na katika nchi zote zilizokuwa kandokando.
-
Wanafunzi wa Yohana wakamweleza habari za mambo hayo yote.
-
Yohana akawaita wawili miongoni mwa wanafunzi wake, akawatuma kwa Yesu, akisema, Je! Wewe ndiwe yule ajaye, au tumtazamie mwingine?
-
Hao watu walipomfikia, wakasema, Yohana Mbatizaji ametutuma kwako, akisema, Je! Wewe ndiwe yule ajaye, au tumtazamie mwingine?
-
Saa ile ile aliwaponya watu wengi magonjwa na taabu na pepo wachafu; akawapa vipofu wengi kuona.
-
Yesu akajibu, akawaambia, Enendeni mkamweleze Yohana mambo mliyoona na kuyasikia; vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, maskini wanahubiriwa Habari Njema;
-
heri mtu yule asiyejikwaa kwa ajili yangu.
-
Wajumbe wa Yohana walipokwisha kwenda zao, alianza kuwaambia makutano habari za Yohana, Akasema, Mlitoka kwenda nyikani kuona nini? Unyasi ukining’inizwa na upepo?
-
Lakini mlikwenda kuona nini? Mtu aliyevikwa mavazi mororo? Tazama, walio na mavazi mazuri na kula kwa anasa wako katika nyumba za kifalme.
-
Lakini mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, nawaambia, aliye zaidi ya nabii.
-
Huyu ndiye aliyeandikiwa, Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, Atakayeitengeneza njia yako mbele yako.
-
Nawaambia, Katika wazaliwa wa wanawake hakuna aliye mkuu kuliko Yohana; lakini aliye mdogo katika ufalme wa Mungu ni mkuu kuliko yeye.
-
Na watu wote waliposikia, na watoza ushuru pia, walimhesabia Mungu kuwa mwenye haki, kwa kuwa walikuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.
-
Lakini Mafarisayo na waandishi walilikataa shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.
-
Basi Yesu akasema, Nimfananishe watu wa kizazi hiki na nani? Wanafanana na nani?
-
Wanafanana na watoto walioketi sokoni, wakisema wenzao, Tumewapigia filimbi wala hamkucheza; Tumeomboleza wala hamkulia.
-
Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuja hali ya kufunga chakula wala kunywa divai, nanyi mkasema, Ana pepo.
-
Mwana wa Adamu amekuja anakula na kunywa; nanyi mkasema, Tazama, mtu mlafi na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi!
-
Hekima imehesabiwa kuwa na haki na watoto wake wote.
-
Akamwomba mmoja wa Mafarisayo ale pamoja naye. Akaingia nyumbani mwa yule Farisayo, akaketi chakulani.
-
Na tazama, mwanamke mmoja katika mji ule, mwenye dhambi, alipopata habari ya kuwa ameketi chakulani katika nyumba ya yule Farisayo, alileta chupa ya marimari yenye marashi,
-
akasimama nyuma karibu na miguu yake, akilia, akaanza kuzimwagia miguu machozi yake, na kuifuta kwa nywele za kichwa chake, na kuibusu busu miguu yake, na kuipaka yale marashi.
-
Basi yule Farisayo aliyemwalika alipoona hayo, alikisema moyoni mwake, Mtu huyu kama angekuwa nabii angalimjua mwanamke huyu amgusaye ni nani na jinsi alivyo; maana ni mwenye dhambi.
-
Yesu akajibu, akamwambia, Simoni, nina neno la kukuambia. Akasema, Mwalimu, sema.
-
Mtu mmoja alikuwa na wadeni wawili; mmoja alikuwa na deni la dinari mia tano, na mwingine hamsini.
-
Nao walipokuwa hawana cha kulipa, aliwasamehe wote wawili. Basi, ni yupi katika hao atakayempenda zaidi?
-
Simoni akajibu, akasema, Nadhani ni yule aliyesamehewa nyingi. Akamwambia, Umepatia haki.
-
Akamgeukia yule mwanamke, akamwambia Simoni, Waona mwanamke huyu? Naliingia nyumbani mwako, huku nipa maji ya kuniosha miguu yangu; bali huyu amenimwagia miguu machozi, na kuifuta kwa nywele za kichwa chake.
-
Hukunipa busu; bali huyu tangu nilipoingia hajaacha kuibusu miguu yangu.
-
Hukunipaka kichwa changu mafuta; bali huyu amenipaka miguu yangu marashi.
-
Kwa hiyo nakuambia, Dhambi zake, zilizo nyingi, zimeondolewa, kwa kuwa alimpenda sana; lakini mwenye kusamehewa kidogo, hupenda kidogo.
-
Akamwambia, Umesamehewa dhambi zako.
-
Wale walioketi chakulani pamoja naye wakaanza kusema mioyoni mwao, Ni nani huyu anayesamehe dhambi pia?
-
Akamwambia yule mwanamke, Imani yako imekuokoa; enenda zako kwa amani.
CHAPTER 7
SEMA NENO MOJA TU, ROHO YANGU ITAPONA
Wapendwa huu mstari Romans wana utumia sana kwenye ekaristi wkati wa misa zao lakini I know most if you had no idea, origin yake ni andiko gani na what went down. Na real context ya hili andiko ni imani ya yule akida, aliamini uwezo wa Yesu kumponya mtumwa wake bila kufika alipo mgonjwa, wala kumuona, aliamini Yesu akisema Neno tu basi mgonjwa kapona.
Jesus further proves to be astoned na imani ya yule mtu mpaka anasema sijaona mtu mwenye imani kama hii. Wapendwa most of us we like to see inorder to believe contrary na huyu akida. Mtu unamwambia Jumatatu kuwa Mungu tunayemtumikia atakupa kazi anaitikia amina vizuri. Jumatano anakwambia mama niombee issue ya kazi, Wapendwa inakata sanaaa sanaa….
Wapendwa wngi wetu ni vigeu geu wa imani, 2 minutes we believe…, 2 Minutes later we don’t, We are more interested on the show business kuliko uweza wa Mungu, ili uamini Mungu amekusikia to mcovise you it will take, wewe uende kwa mtumishi mwezi mzima, na ilihali anaomba maombi yale-yale jana, leo na keshox, hii yote ni kabla roho yako haijaridhika na ibaya hiyo.
Wapendwa na mtumishi anakuendeleza kwa sababu anajua imani ni haba sana, kuna watu wana amini ya mume walau miaka mitatu ndiyo yata swiii. Hawa amini unaweza kuomba Mume ndani ya miezi sita (6) ukawa umeolewa, who do you take God for?
Kuna watu bila wao kufunga na mtumishi afunge ikiwezekana na wana kwaya wafunge juu yake ndiyo kwa mbali wanaona kidogo wanaanza kusikilizana na Mungu. Kuna mtu ana amini bila mtumishi kumuombea hawezi kitu! yaani kivipi?, Maandiko yapo wazi ila hayaamini kabisa.
Wapendwa kwenye hili andiko Yesu ameonesha flexibility ya hali ya juu sana, Mja anavyotaka na yeye ndiyo anataka, Akida alikuwa na imani ya juu saana, Kwamba siyo lazima Ysu aje live eneo la tukio ndiyo healing ifanyike aliamini popote alipo Yesu akisema neno moja tuu juu ya mgonjwa suala limeisha. Wapendwa hii ni tofauti na wengi tunavyo muomba Mungu kwenye changamoto zetu we like and expect to see hatua kwa hatua, the minute huoni dalili unapoteza imani kabisa.
Kama unaomba Mume mwezi ukiisha hujatongozwa unaacha program. Kwanini sioni dalili zozote, Mungu atakuwa hanisikiii, The program is weak as hell and whack!!!, something is wrong with me, Yaani una tatarika kama POP CORN kwenye sufuria, unataka mpaka kumfundisha Mungu kazi. Sometimes you have a script in your head on how things should go down, una series zako za events.
Wapendwa akida anamwambia bwana Yesu haina haja ya kuja mpaka huku, wewe toa neno huko huko na mambo huku yatakuwa sawa, We mtu mzito bwana, mtu wa command tu na maajabu yako. Mimi kidampa natoa oda zinafanyika fastaa itakuwa wewe mwana wa Mungu? command uponyaji ufanyike huku, mimi sina wasiwasi na uwezo wako yaani nina uhakika mgonjwa atapona tu hukuhuku.
Wengi wetu tungekuwa kama yule Akida to be convised ingelazimu Yesu aje live eneo la tukio, amuwekee mkono mgonjwaa na atamke maneno ya kimbingu ambayo hatuelewi, he had to give us a good show, ndiyo kwa mbali tungeona kweli Yesu kazi kaifanya na kaifanya kwa ukubwa.
Mpendwa hata leo hii ili uwe convised Yesu atakupa Mume labdaa, nasisitiza labdaaa, mtumishi a prophecy kati-kati ya ibada akutaje majina yako matatu, amtaje huyo mume majina matatu na tarehe yenu ya ndoa, na hata hapo bado huta amini nakujua, utawaza what if he is justr blaffing me??, uta place more demands kwa Yesu, labdaa huyo mtu aje anitongoze, atakuja na bado htua amini.
Utawaza what if ana wanawake wngine?, What if he has kids?, What if he is a serial killer? I know nothing about him, I can’t just marry him. Kuna mtu ni mshangazi mfuasi wangu sana na namuita mshangazi cause ti is the truth and truth shall set us free, yaani she is 36/37 yaani hana watoto wala hana buzi maana nilimchimba biti, tabia za umalaya ndiyo zina worsen the situation, akawa kaacha kabisaa.
Sasa this month she was so down na hizi injili, zina choma choma kama pasi I give it to you raw gospel, siwapi hopes or nothing mnakula injili kavu kavu. Akawa amekata tamaa ila hawezi kuniambia sababu sio vitu napenda kusikia nitamuona anajiendekeza, lakini akasema liwalo na liwe kama nimekata tamaa ndio nisiseme??.
Nikamwambia ask God why? ask God When?, You are dealing with the wrong person, wewe panda juu ukazibe panapo vuja huko. Akaniuliza how I ask? akanikuta nikiwa kwenye mood ya mtoto akililia wembe mpe, mtoto kalilia wembe nikampa pangaa.
Kauliza like two (2) weeks hamna jipya, kaniambia sioni nikijibiwa, nikamwambia wewe tuliaa unyolewe lazima utajibiwa leo kaniambia mimi sio mtu na sifai hata kwa mbolea. hanitaki hanitakii!, nikajua tayariii kashajaa kwenye mfumo wa Mbingu.
Leo out of the blues kapigiwa simu na old co worker like alikutana naye akiwa na 23 Years akamuuliza umeshaolewa? akamwambia badooo! akamwambia kuna mtu wa maana ana akili na visenti senti nataka nikupe mume. Wewe mtawezana maana yeye ni age go na wewe ni mshangazi, yaani wote mshamaliza mihangaiko muonane msije kuzeeka peke enu kwa kuchagua sana.
Wapendwa akajikuta ana kataaa, Yule kaka kasema lazimaa niwakutanishee, Msinitaniee, Bi kidawa kapanic! anawaza yeye anaghorofa je huyo kaka anan nini? nikamwambia wewe umejuaje kama yeyey hana ghorofa., Yaaani ikawa basi anainua vikwazo kama vyote hataki kwenda kwenye hiyo blind date! ooh kaka aliniona nikiwa slim sasa hivi mshangazi, nikamwambia anza drift.
Wapendwa huyu ndiyo mtu ambaye last week alikuwa naajiliza kachoka upweke yaani kapewa pasi ya kisigino ana gwaya gwaya na alikuwa anataka mwanaume mchaga na huyu ni mchaga, It is an Odd request ila wachaga waoane kwa wachaga wanawezana ubahili wao.
Ananiambia after everything I just want to love God alone sitamtikisa Mungu, nimekomaa.. nitasubiri wakati wa Mungu, huyu mail order husband is giving me the creeps, Yaani hata simuelewi elewi!!! kwenda blind date ataendaa, If she want to love only God baada ya blind date not before.
Wapendwa kuna watu wanasoma hizi review sababu ya hizi story ninazo weka humu, Waumini yaani sinaaa sinaaaa…
Wapendwa kama mtu huyu angekuwa muumini wa kweli na sio wa mchongo kama yule leo angeshinda anamshukuru Mungu kwa sababu kama Mume wa express kashapatikana na anataka kuoa na destiny helper kashapatikana, kilichobakia ni kumshukuru Mungu, yani inabidi utimie uwe halisi na nile mebgu mimi ya harusi.
Lakini alivyokubwa kisheti, anawaza what if it is a coincidence, you asked God for 2 weeks what a coincidence?, Mtu hamjawasiliana since 2012 leo ni 13 Years kakutafuta kwa jambo unalomuomba Mungu what a coincidence?
She is doing everything to downgrade the Groly of God and Mgnify her fears, no wonder mitume walimwambia Bwana Yesu tunaomba umuongezee imani. for real niko chini ya magoti naomba Bwana Yesu awaongezee imani kwa kweli.
CHAPTER 7….
Luka 7:11-17
Katika kitu kimoja Yesu alicho demonstrate over and aover ni huruma ya kweli juu ya watu regardless status ya yule mtu!, awe mkubwa au maarufu kama yule Akida wa last time ambaye mtumwa wake, alikuwa anaumwa au mtu wa chini kama huyu mjane mwenye mtoto mmoja.Yesu hakubagua watuu! he was for everbody.
Hii nature ya Yesu ikwambie kwamba unless other pillars od christianity Jesus is the only one who can feel your real pain and wont judge you. Sisi watumishi ni very judgemental and 2 faced. Hata tukikutia moyo unakuwa huelewi elewi is it how we can real see things au tunaendekeza njaa na kulinda ugali. You know, if we are honest tutajikuta hatuna waumini. na waumini nao ni 2 faced na mnajiuliza does she real care about me or it all about the cheque. and the line is too thin and blurry most of times.
Jesus on the other hand has no catch, he doesn’t need your money nor nothing, he never judges like never, Imagine mwanamke kaletwa kwake na janaba mamba kwa ushahidi na ushahidi ulikamilika lakini he didn’t judge, that was a close call
Watu wengi mna jaribu kumjua Mungu kupitia watumishi! Sababu tunavaa bendera ya mbinguni, mnadhani tuko juu kidogo—tunastahili kuaminika! But the truth is, thubutuuu yetu haijatosha! 😤
Watumishi wa mchongo wameharibu wokovu wa wengi kuliko hata shetani mwenyewe. Ukimuamini mtumishi halafu yeye ndiye anakukanyaga kichwani, hiyo huuma mpaka rohoni. You trusted them to lift you up, but they stomped on you instead. Inaumaaa!
Some people try salvation just to prove their theory that the church is rotten to the core. And truth be told—sometimes it is! That’s why Yesu hakusema “mitume ndio truth, way na life.” Alijua kabisaaa, hao jamaa walikuwa vessels tu! Chombooo!
Mitume Walikuwa Na Drama!
Paul—the great Paul—alikuwa na dogo Mark (yes, the one who wrote Mark’s Gospel). Dogo alikuwa miyeyusho kweli kweli. Alichomoka kimya kimya wakianza kusulubiwa. Paul akakataa kuendelea nae safari nyingine. Aka mwambia, “Go die in front!” 😂
Lakini wengine wakampa second chance na akaendelea na huduma. That’s grace!
Mummy Ministry Na Kingasti
Let’s talk real. Mtu ukimuamini sana halafu allegations za kingasti zinamvaa bungeni—you break. Unakufa kiroho. Mimi iliniuma kumuona mummy wangu akihusishwa na hiyo issue. Hata kama ni allegations tu—zinachafua mafuta.
Lakini kiukweli—hakukuwa na evidence! Hakukuwa na video, picha, juicy chats—hakuna! Just lies tu za kumdhoofisha. Na even if ilikuwa kweli, God still uses broken vessels. Kama alimtumia Peter aliyemkana, na Judas alieiba hazina, atamtumia yeyote anayempa moyo wake.
Mimi nikasema, “I’ll listen to her more than before!” Sababu kama shetani anapambana kumzimisha hivo basi hiyo ni dalili kuwa kuna kitu kikubwa ndani yake! 🔥
Jenga Imani Juu ya Yesu Peke Yake!
Usijenge imani yako juu ya watu! Shetani atakuletea ushahidi wa kweli au wa uongo kwamba hakuna hata mmoja wa kweli. Utachoka wewe. Build your foundation on Jesus—you won’t need to worry about news leaks, betrayal or judgment. He is the only one you can trust!
💔 Yule Mama Mjane (Luke 7:11–17)
Imagine mama mjane ambae tayari amefiwa na mume, halafu na mtoto wake wa pekee anakufa. The grief! The hopelessness! Mpaka watu wakaanza kumuhurumia, maana amekuwa fungu la kukosa.
BUT YESU…
Hakuhitaji aombwe, hakuhitaji drama, hakuhitaji kukunja uso, alimwona tuu! Akasema, “Usilie!” 🙌🏽
Hakusema, “Jipe moyo mama, mtoto yupo makao mazuri.” Hapana. Hakutafuta sifa. Hakuitisha sadaka. Akaamsha kijana pale pale, akamrudisha kwa mama yake! That’s my Jesus!
Sasa Angalia Watumishi Wa Leo
Wewe ukimwambia mtumishi shida zako:
-
Anaanza kuulizia malimbuko na fungu la kumi
-
Anasema, “Tuko wengi kwenye line ya kazi dada.”
-
Au anataka uokoke kwa installments hadi umalize miaka 30
Unaambiwa, “Mwanangu, wakati wa Mungu bado.” Excuse tu hizo!
Lakini Yesu akikuona na uchungu halisi—hakupi lecture, anakupa muujiza. Hakulazimisha mjane asubirie season. Ali-remove grief moja kwa moja.
🙏🏽 Prayer Based on Luke 7:11–17
“Bwana Yesu, mimi bado mwanafunzi juu yako, lakini andiko hili nimepata leo kibahati bahati. Nimeona hujadharau yule mama mjane, hukuwa political wala sentimental nae. Ulimfanyia kitu halisi kilichoondoa grief.
Fanya hivyo pia kwangu Bwana Yesu.Moyo wangu umevunjika, nimesalitiwa, nimeshindwa, nimesengenywa, nimebaki na grief. Lakini wewe unaujua uchungu wangu. Usiniache hivi.
Kama ni mtu nilimkosea—nisamehe! Kama ni laana—ulishaichukua msalabani (Wagalatia 3:10–13).Fanya kazi ya uponyaji ndani yangu. Uondoe grief yangu. Kama ulivyomponya yule mama mjane—niokoe pia mimi.”
🎯 Conclusion: Don’t Let Grief Define You
Wanaume wamekudhalilisha? Mahusiano yamekuumiza? Kazi imekushinda? Utumwa wa kimwili na kiroho umechoka?
Yesu yupo still in the business of relieving grief! Na hataki malipo, hataki kufahamika—anatibu moja kwa moja. Nenda kwake.
Yesu ni mume wa roho yako. Rafiki asiyekusaliti. Mtumishi asiyekutumia. Uponyaji wako wa kweli!
Ndio maana leo nasema:
“Yesu, fanya kwangu kama ulivyomfanyia yule mama mjane.” 🙌🏽
CHAPTER 7…
LUKA 7:37-50
Mpendwa issue sio kurudi kwa Mungu issue ni kwanini unarudi na unarudijee? watu wengi hapa ndipo mnapokoroga mambo na kujikuta manaenda kwa shetani na kurudi kwa Mungu mara 100,100 mpaka mnashindwa kujielewa mpo upande gani?
Kwanini unarudi kwa Mungu ina determine kama utadumu au utaondoka tena.Wengi mna attempt kurudi kwa Mungu kwa sababu shetani amewakataa, yaani mfano halisi umeona unazeeka hauoleki uko tu nyumbani unaamua labda nibadilishe upepo nirudi kwa Mungu au umeona kazi inaisha mkataba na zaka zote zote umekula unaona nirudi tu kwa Mungu nita dhalilika.
Sasa namna ya kurudi ina matter sana, yaani je unarudi kama mwana mppotevu kwa kujishuku au unarudi kama mkubwa wa maadui abusing Gods Kindness no renorse whatsover au unarudi kama yule mtu aliyeenda hekaluni akasimama na kusema mimi ni mwenye dhambi unarudiije?
KUBWA LA MAADUI NA LAANA YA CAIN: THE REALITY OF FAKE RETURNING TO GOD
UKIRUDIKWA KUTAKA KITU AU ON PERSONAL AMBITIONS KAMA KUTAKA NDOA HUWEZI KUDUMUUU. SABABU UTAWATIBUA WOTEEEE – MUNGU NA SHETANI – KWA MPIGOOO. KIUKWELI, UTAJIKUTA JUDAS KAMILI! Na mbaya zaidi, SIO MBINGU, SIO KUZIMU – hakuna upande unao ku-back up! Maana upo kwa Mungu kwa kutaka ndoa tu. Ukishapata una-move on! Na Shetani anakuchukia kwa kwenda kwa Mungu bila msimamo! Wewe ni binadamu wa wapi??? 🤷🏾♀️
But listen…
UKIRUDI KWA KUJITAFAKARI na KUTAMBUA UKUU WA MUNGU, uta-DUMU SANAAAA. Maana YOU HAVE TASTED HELL! YOU HAVE TASTED HEAVEN! And you chose heaven – and you’ll RECOMMEND HEAVEN ALL DAY EVERY DAY!
Ulishaamua MAGUMU kabisa kwamba, “MIMI MISRI BAAAAAS!” Na huwezi kurudi nyuma hata mvua ya dhahabu inyeshe. Hata kama huku kwa Mungu kuna ugumu – hutaondoka mpaka kuku ueee! No matter how imperfect – utakuwepo tuuu.
But ukirudi kwa PERSONAL AMBITIONS, lazima utarudi na STYLE ZA KUBWA LA MAADUI. Wewe ni yule yule MUOVUUU – tofauti ni kwamba sasa una shida. But rohoni? Still BLACK. Hakuna hata chembe ya nia ya kubadilika. Uta-manipulate watumishi. Uta-taka mambo yaende vile unataka. Na ole wake mtu akupinge!
Ukirudi kwa KUJUTA MATENDO YAKO, utarudi kwa UPOLEEEE. UTAJIFUNZA kwa moyo. Uta-sahihisha makosa. Utafundisha wengine wasi-pite njia zako. Ukiambiwa kitu? UTATIII! Na utaishi na kujishuku kama kweli Mungu amekusamehe. Hutaacha kufanya MALIPIZI kwa dhambi zako. Hii ni juu ya RETRIBUTION!
THE WEIGHT OF BLOOD: KUJIDANGANYA KUWA UMESAMEHEWA
Mimi nakutana na watu wengi. Wanatamani kurudi. Wana jaribu kurudi. BUT most of them wana hidden agendas. Hawawezi kujikunja, kubend back to earn God’s forgiveness.
On Deliverance… Nimejionea MAMBO. Hawa kubwa la maadui ninaoo wengi!
Mtu ana ABORTIONS 3 kwenda juu alafu anasusa kwanini Mungu hajampa mume. TOBA YA MCHONGO MCHONGO. Ukimwambia dhambi hiyo nzito, anauliza: “Unajuaje kama Mungu hajanisamehe?”
Kwa sababu – amekulaani! Laana ya Cain inakumaliza! Una-tangatanga, maskini, unakataliwa kila mahali.
I asked her:
-
Toba ulifanya lini?
“Siku moja.”
-
Malipizi gani umefanya kwa hizo abortion zote?
“Malipizi gani? Kwani kuna malipizi?”
“That’s Catholic staff! I’m Lutheran.”
Okay, Madam Lutheran.
Nikamwambia: “Why do you think God has forgiven you?”
“Because nilitubu.”
Hiyo toba ya siku moja?? 🙄
Nikampa Zaburi 51 siku 30. Nikamwelekeza scriptures nyingine. Ilikuwa one-to-one deliverance. Nikampa challenge ya kureflect how God felt kuona viumbe vyake vikiuawa! Nikamfafanulia GRAVITY ya situation yake.
Iligeuka kuwa toba ya miezi 6 – na retribution. It broke her to pieces.
Akaniambia, “Mama mimi ni mtu mbaya sana. Hivi Mungu atakuja kunisamehe kweli?” Nikamwambia: YES, atakusamehe – kwa sababu umejua makosa yako.
Kadri alivyoendelea na deliverance, laana iliisha, rejection ikalala!
Wanaume wakaanza kuja na malengo. Leo hii katolewa mahari.
Na I CAN TESTIFY – sio yule mwanamke aliyetoa mimba 4!
She is BORN AGAIN.
KUBWA LA MAADUI NI HALISI!
Bado ninao! Wanavuruga akili.
Unampa mtu maombi CUSTOMISED for her – haombi. MJINGA NI MIMI NILIYEYATENGENEZAAA!
Maisha safari, na hapa nauli nimekulaaaa!
Ni kama wengi wenu mnataka YESU AKUSAIDIE – but hamtaki hata kusoma Injili moja!
Unaomba msaada uwe mkubwa – lakini Injili moja hutaki kusoma.
Yesu gani ambaye humjui atakusaidia kwa ukubwa?
TOTAL NONSENSE.
THE WOMAN WITH THE ALABASTER JAR: DRAMA YENYE MAANA
Huyu mwanamke alikuja kwa Yesu – alikuwa DRAMA QUEEN! Na watu hawakumuelewa.
Walijua historia yake – alikuwa MALAYA, KAMASUTRA WA KUDUMU!
Alimwendea Yesu bila kujali umati. Alianguka, akamwaga machozi, akaosha miguu ya Yesu kwa nywele zake, akampaka mafuta. Scene ilikuwa ya kushangazaaa!
Watu walimwona kama mdangaji anataka “kuharibu brand ya Yesu”.
But Yesu hakumuangalia kwa historia yake. Alimwangalia kwa HALI YA MOYO WAKE mda ule – toba, majuto, na desire ya kubadilika.
BRANDS ZA WATU ZINAZOTU-DEFINE LAKINIIII…
Na hata sisi?
Tuna brand zetu:
-
Brand ya mtu mzima asiye na mume wala mtoto
-
Brand ya single mother of 1, 2, 3
-
Brand ya divorcee
-
Brand ya widow
-
Brand ya jobless
-
Brand ya mdangaji
BUT JESUS SEES BEYOND ALL THOSE BRANDS!
Yule mwanamke maarufu kwa uzinzi aliingia kwa Yesu na akasamehewa MCHANA KWEUPE!
Wewe unasubiri nini?
ONLY NEW LIFE IN CHRIST CAN SHUT PEOPLE UP!
Once you are rightious again, na maombi yako yanapita, utakutana na overflow ya maisha mapya!
Hii NEW LIFE ndiyo tunayopigania:
-
New life without old brands
-
New life without the stigma
-
New life without pain and agony
New life ndiyo itawanyamazisha watu!
-
Ukiolewa, basi! Mta heshimiana.
-
Ukipata kazi, basi! Hutaitwa jobless tena.
-
Ukiolewa tena, divorce ni historia.
-
Single mother? Second marriage ni charm!
ONLY NEW LIFE GIVES YOU NEW BEGINNINGS.
✝️ GO TO JESUS LIKE THAT WOMAN DID.
✝️ LET THE GUILT EAT YOU UNTIL YOU SURRENDER.
✝️ AND LET GOD GIVE YOU NEW LIFE, NEW BRAND, NEW TITLE.
LUKA 8
1 Ikawa baada ya hayo, Yesu alikuwa akizunguka mjini na katika vijiji, akihubiri na kulitangaza lile Habari Njema ya Ufalme wa Mungu; na wale kumi na wawili walikuwa pamoja naye,
2 na wanawake kadha wa kadha waliokuwa wameponywa roho waovu na magonjwa, Mariamu aitwaye Magdalene, aliyekuwa ametokwa na pepo saba,
3 na Yoana mkewe Kuza, aliyekuwa wakili wa Herode, na Susana, na wengine wengi waliomhudumia kwa mali zao.
4 Na mkutano mkuu wa watu ulipokusanyika, na watu walipomjia kutoka kila mji, alisema kwa mfano,
5 Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu yake; na alipokuwa akipanda, nyingine zilianguka karibu na njia, zikakanyagwa, na ndege wa angani wakazila.
6 Nyingine zilianguka juu ya mwamba; na baada ya kuota, zikanyauka kwa kuwa hazikuwa na unyevu.
7 Nyingine zilianguka kati ya miiba, ile miiba ikamea pamoja nazo, ikazisonga.
8 Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikamea, zikazaa matunda mara mia. Alipokuwa akisema haya, alipaza sauti yake, akisema, Aliye na masikio ya kusikia, na asikie.
9 Na wanafunzi wake wakamwuliza maana ya mfano huo.
10 Akasema, Ninyi mmepewa kujua siri za Ufalme wa Mungu; bali kwa hao wengine husemwa kwa mifano, ili wakitazama wasione, na wakisikia wasielewe.
11 Basi, mfano huo maana yake ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.
12 Wale walioko kando ya njia ni wale waliosikia, kisha huja yule Ibilisi, akaliondoa neno mioyoni mwao, wasije wakaamini na kuokoka.
13 Wale walioko juu ya mwamba ni wale waliosikia neno, wakalipokea kwa furaha; lakini hawana mizizi, huamini kwa kitambo, na wakati wa kujaribiwa hujitenga.
14 Lile lililoanguka kati ya miiba, ni wale waliosikia, na katika kwenda kwao hukanyagwa na shughuli na mali na anasa za maisha haya, wakaondoka, hawakuzaa matunda kikamilifu.
15 Na lile lililoanguka katika udongo mzuri, ni wale ambao kwa moyo mwema na mwaminifu wamelisikia neno, wakalishika, na kuzaa matunda kwa kuvumilia.
16 Hakuna mtu awaaye ye yote aliyewasha taa, akaifunika kwa chombo, au akaweka chini ya kitanda; bali huiweka juu ya kiango, ili waingiao wapate kuona nuru.
17 Kwa kuwa hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa ambalo halitajulikana na kudhihirika.
18 Angalieni basi jinsi msikiavyo; kwa kuwa aliyonayo atapewa, na yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang’anywa.
19 Basi, wakamjia mama yake na ndugu zake, wala hawakuweza kumkaribia kwa ajili ya mkutano wa watu.
20 Akaletewa habari akisema, Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wataka kusema nawe.
21 Akawajibu, akasema, Mama yangu na ndugu zangu ni hawa walisikiao neno la Mungu na kulitenda.
22 Ikawa siku moja alipanda chomboni, yeye na wanafunzi wake; akawaambia, Na tuvuke mpaka ng’ambo ya ziwa. Wakaanza kuvuka.
23 Hata walipokuwa wakisafiri, akalala usingizi; ikatokea tufani ya upepo ziwani; chombo chao kikawa kinajaa maji, wakawa katika hatari.
24 Wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Mwalimu, Mwalimu, tunaangamia. Akaamka, akaikemea ile pepo na msukosuko wa maji; vikakoma, kukawa shwari.
25 Akawaambia, Imani yenu iko wapi? Wakaingiwa na hofu, wakastaajabu, wakisemezana wao kwa wao, Ni nani huyu, basi, hata anaamuru upepo na maji, navyo vinamtii?
26 Wakafika nchi ya Wagerasi, iliyo kinyume cha Galilaya.
27 Na aliposhuka pwani, alikutana na mtu mmoja wa mjini aliyekuwa na pepo tangu zamani nyingi, wala hakuwavaa nguo, wala hakukaa nyumbani, bali makaburini.
28 Alipomwona Yesu, alipiga kelele, akaanguka mbele yake, akasema kwa sauti kuu, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu, nina nini nawe? Nakusihi, usinitese.
29 Kwa maana alikuwa akimwamuru yule pepo mchafu amtoke mtu huyo. Maana mara nyingi alikuwa amemvamia; naye alifungwa kwa minyororo na pingu, akalindwa; akavivunja vile vifungo, yule pepo akamchukua akaenda zake nyikani.
30 Yesu akamwuliza, Jina lako ni nani? Akasema, Legion; kwa kuwa pepo wengi walikuwa wameingia ndani yake.
31 Wakamwomba asiwaamuru kwenda ziwani.
32 Na huko palikuwa na kundi kubwa la nguruwe walikuwa wakilisha mlimani; wakamwomba awaruhusu waingie kwa hao; akawaruhusu.
33 Pepo wakatoka kwa yule mtu, wakaingia katika wale nguruwe; nalo lile kundi likatelemka kwa kasi gengeni, likaingia ziwani, likazama.
34 Wachungaji walipoona lililotendeka walikimbia, wakapashana habari mjini na vijijini.
35 Watu wakatoka kwenda kuona lililotendeka; wakamjia Yesu, wakamkuta yule mtu ambaye pepo walikuwa wamemtoka, ameketi miguuni pa Yesu, amevaa nguo, ana akili yake, wakaogopa.
36 Nao waliokuwa wameona walikuwa wakiwaambia jinsi yule aliyekuwa na pepo alivyoponywa.
37 Mkutano wote wa watu wa nchi ile ya Wagerasi wakamwomba aondoke kwao, kwa sababu waliogopa mno. Akaingia chomboni akarudi.
38 Na yule mtu ambaye pepo walikuwa wamemtoka alimwomba akae pamoja naye; lakini Yesu alimrudisha, akisema,
39 Rudi nyumbani kwako, ukawaambie watu jinsi Mungu alivyo kutendea mambo makuu. Akaenda zake, akihubiri katika mji wote jinsi Yesu alivyomtendea mambo makuu.
40 Yesu aliporudi, mkutano mkuu wa watu ulimkaribisha; kwa maana wote walikuwa wakimngojea.
41 Na tazama, akaja mtu mmoja jina lake Yairo, naye alikuwa mkuu wa sinagogi; akaanguka miguuni pa Yesu, akamsihi aingie nyumbani kwake,
42 kwa kuwa alikuwa na binti mmoja, mwana pekee, mwenye umri wa miaka kama kumi na miwili, naye alikuwa akifa. Na alipokuwa akienda, makutano walimsonga-songa.
43 Na mwanamke mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa kutokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, ambaye alikuwa ametumia mali zake zote kwa waganga, wala asingeweza kuponywa na mtu ye yote,
44 akaja nyuma yake, akaugusa pindo la vazi lake; na mara hiyo hiyo kutoka damu yake kukakoma.
45 Yesu akasema, Ni nani aliyenigusa? Na walipokuwa wakikataa wote, Petro akasema, Mwalimu, makutano wanakusonga na kukusukuma.
46 Yesu akasema, Mtu mmoja amenigusa; kwa maana nalijua ya kuwa nguvu zimeondoka kwangu.
47 Yule mwanamke, alipoona ya kuwa haikufichika, alikuja akitetemeka, akaanguka mbele yake, akaeleza mbele ya watu wote sababu ya kumgusa, na jinsi alivyoponywa mara hiyo.
48 Akamwambia, Binti, imani yako imekuponya; enenda zako kwa amani.
49 Alipokuwa bado akisema, mtu mmoja akaja kwa mkuu wa sinagogi, akisema, Binti yako amekufa; usisumbue Mwalimu.
50 Lakini Yesu aliposikia hilo, akamjibu, Usiogope, amini tu, naye atapona.
51 Alipofika nyumbani, hakumruhusu mtu kuingia pamoja naye, ila Petro, na Yohana, na Yakobo, na baba yake yule mtoto, na mama yake.
52 Watu wote walikuwa wakilia na kumlilia; lakini Yesu akasema, Msimlilie; hakufa, bali amelala tu.
53 Wakamcheka kwa kumjua ya kuwa amekufa.
54 Lakini yeye akamkamata mkono, akaita, akisema, Mtoto, inuka.
55 Roho yake ikarudi, akasimama mara; akaamuru apewe chakula.
56 Wazazi wake wakastaajabia mno; lakini aliwaamuru wasimwambie mtu lo lote lililotendeka.
CHAPTER 8
LUKA 8:22-26
Wapendwa sheria ya dhoruba ni kutulia tulii, watu wengi wana angamia kwa kiraru raru cha dhoruba kabla hata ya dhoruba yenyewe.
Wapendwa atu wengi wanaogopa dhoruba ya kuzeeka bila kuolewa kisha wanapanic na kupatwa na kiraruu raru cha kufosi kumzalia mtu, some they sell themselves short of their actual value, anakubali kuolewa na mtu beneath her resulting to un-happily ever after, wengine wanakuwa weardos anakutana na mtu week hii ana muuliza utanioa?, come on!!!
Hata dhoruba yenyewe kufika haijafika lakini the thought of it gives you the greeps, fear fill your soul, you wanna run for your life, Leo Yesu anatoa password kupitia dhoruba.
MDA WA DHORUBA NI MDA WA KUTULIAAAA! (FAITH OVER PANIC)
Mda wa dhoruba ni mda wa kutuliaaaa tuliiiii kama umekufaaa!
Ni mda wa kutumia imani yako zaidi kuliko akili! Maana akili itakuponza. Mambo ni mengi, mda ni mchache sanaaa, na akili kufanya kazi kwenye mazingira hayo ni UONGO!
Wewe upo 40!
Unaambiwa menopause ni 45 – sasa unataka usitakeeee. SAYS WHO? Prof wa Havard? DR kwa taarifa yako!
Ukiangalia huna mume kwenye list ya midanga yakoooo!
Huna hata father figure. Ndo unaanza kuona kuwa single mother siyo mbaya kihivoooo! It is manageable!
Hata mzazi wako anakwambia:
“JUST DO IT! Don’t make me repeat myself!”
The thought kwamba all will soon be over is a very very bad feeling!
Mitume walivyo-mkurupusha Mwalimu wao!
Analala vipi kivipi??? Mbona anakua na roho mbaya sanaaaa? 😤
PANIC VS PURPOSE — DON’T LOSE YOUR MIND
Mimi naijua hii!
Mtu akija jua la jioni, anachotegemea ni:
“Uta mwambia tufunge wote siku 90!”
Lakini mtu ana peptic ulcers!
Hata kufunga kwa ajili yake hawezi.
Ukimwambia soma Injili anakwambia:
“Nisaidie kwanza! Nitasomaga tu.”
Mhhhh!
Ana expect umwambie:
“Week ijayo utaolewa!”
DHORUBA INATAKA MTU ASIMAME NA KUTULIA KAMA AMEKUFA
Sinachii ni 41 ndo ameolewa – ndoa ya kwanza!
Imagine after decades and decades of singing to God!
Alianza kuimba akiwa msichana mdogo – sasa ni mwanamke wa makamo.
And she is always on stage – and pepo la watu midomoni!
Ame-kaza hadi 41 ndo juzi ameolewa rasmi.
Kama angekata tamaa?
Angekuwa na watoto hata 3 na baba watatu tofauti.
Ila alituliaaaa. Na dhoruba ikapita.
Na ameshinda kwa kishindoooo!
JAMBA JAMBA YA DHORUBA HUANGUSHA MAISHA YAKO
Dhoruba huwa inakuja kukutia jamba jamba, kukupa hofu, upanic, na ufanye maamuzi ya utumbo.
Halafu baadaye, ujutie maisha yako yote na usiweze kurudi nyuma.
Maana zege ukishalikoroga, halirudi kuwa cement.
Mtu ukishazaa, hurudi kuwa kigori!
Hata ukitooooo mimba, you may fool the flesh world —
but in the spirit world: You’re a mama wa marehemu. Mama ni mama!
THE ONLY GUARANTEE: TULIA. STAY CALM. DON’T GIVE IN.
Okay, let’s say uko 40 kweli – na hakuna wa kukuoa.
People are just not feeling you – at least not on the level of happily-ever-after vibes!
Hamna anaye-lipia mahari wala kutuma mshenga!
It is what it is – kwamba umedodaaa dada.
It is cruel – na ni dhoruba hasaaaa.
THE WRONG WAY ya ku-deal na hii dhoruba ni:
Kwenda kwa mwanaume ambaye alikuwa very clear kwa matendo na maneno — na kumtegea mimba!
Muooaji angebaki muoaji.
Ashasema ana mtu wake – na sio wewe.
Hata at 40 unaanza nightmares za single mother:
“Mtoto baba ake nani? Yuko wapi? Kwanini hampo pamoja?”
And of course — we listen and we judge.
THE RIGHT WAY: TULIA, REFLECT, SOLVE THE WHY
The right way ya ku-deal na hii dhoruba ni kutulia.
Kubali — no matter how serious your age sounds — the truth is: no one wants you. At least not yet.
Anza kujiuliza:
WHY?? Why do people not want you?
Ukisolve hicho kipengele cha “WHY?” — people will start coming!
Eventually, the right person will come.
You are too old to panic and act naïve.
Mimi na-deal na age group hiyo.
I always tell it as it is – all cards on the table.
Akitaka kuleta pupaaa namwambia kabisa:
“You think 40 is old? Try 50. It will feel much younger!”
YOU CAN’T FOOL THE SPIRIT WORLD
Kuna wengi wanajichetuuaa kutaka “kufaulisha mambo”!
Lakini kama Injili hujasoma, hata uwe 60 –
you can’t fool the spirits!
Kwenye ulimwengu wa roho —
utaonekana ni mweupeee peeee!
If you want to marry like YESTERDAY —
Wenzio tukisoma Injili miezi 3, wewe soma siku 3!
Si umedhamiria?
The sooner you solve why men don’t favor you — the better for you.
Solving equations inataka utulivuuuu, concentration.
Ignore fujo zote za dhoruba, focus na Mungu.
Specific issue yako — patia majibu.
IGNORE THE DRAMA — MAKE STRATEGIC PLANS
Ukiwa glued kwa drama ya dhoruba — hutafika popote.
Juzi nime-post yule mwali wangu aliyekuja 2023 —
juzi ndo sherehe yake!
Watu kama nyuki! Na wewe unatamaa — “na mimiii nataakaaa!!”
Utawezaaa!?
Watu wamefungua mikoba yao ya zaka — hatariii.
Hivi kuona mwenzio kavuka, na wewe ulipie zaka —
sio sababu Mungu kaagiza!
Ni kwa sababu unataka ku-imitate results kweli?
Harusi zote? Waombaji wote wana harusi?
Sasa uta-dataa! 🙄
Ignore the drama — make strategic plans!
Kama mwenzio tangu 2023, mwaka huu kavuna!
YESU YUPO KWENYE CHOMBO — USIPANIC!
They called Jesus — and He was baffled na panic yao.
Like:
“Calm down peeps! Calm down! Si dhoruba tu hii? It’s not that serious!”
“IMANI YENU IKO WAPI?”
Bwana Yesu alituliza upepo — but He was still baffled by their lack of faith.
Yuko humo humo chomboni!
How dare you mna jamba jamba?
Mmesahau mimi ni nani?
Mna-jizima data tu?? 🤦🏾♀️
WATU WANAMFIKIA YESU KWA TAHARUKI
Na wengi mna fanya huu ubabaifu na Bwana Yesu.
Mna ngojea dhoruba ndo muende kwa Yesu — na kwa taharuki.
Na issue si kwenda —
ni kwamba hamna utulivu wala capacity ya kumsikiliza mda huo.
It is already going down!
Yaani mtu kwenda kwa Yesu katika dhoruba na atoboe?
Ni nadra sanaaa!
Na ndio maana watu wanaona Ukristo ni uongo na ujanja ujanja.
Timing yao can never be worse!
MTAFUTE YESU WAKATI UPO TULII — SIO PANIC MODE
Mtafute Yesu ukiwa tulii na una akili zako timamu.
Utampata.
Utasoma maandiko — kichwa kimetulia.
Utaelewa hadi kupata Ufunuo.
Usingoje dhoruba ndo ufanye maamuzi magumu.
Dhoruba ikija ikukute — una imani thabiti!
Sasa ndiyo unai-exercise kwa ukubwa ule —
mpaka mbingu zinasema: “Tumekupa lift!” Sasa unataka kupiga honi!!
DAI FIDIA! NEGOTIATE PACKAGE YAKO YA LATE DELIVERY
Kama uko 40 — na bado upo kwenye imani —
sio tena mda wa kuomba mtu sijui nini.
Maandiko yako upande wako!
Na hujatendewa haki!
Kilichoahidiwa hakijaja kwa wakati!
Sasa:
Ni mda wa kudai fidia.
Ni mda wa restoration.
Ni mda wa ku-negotiate terms za huu mda uliobiwa.
If you are to marry at 40 — it can’t be the same package as 25.
Mungu wako lazima akufidie huu mda hapa kati.
-
Kama utazaa mtoto 1 — awe genius!
-
Au upate mapacha!
-
Kama ni mume — akupe furaha kweli kweli
to cover miaka 15 ya upweke since 25!
HAMTULIIII! HAMNEGOTIATE! MNAONA MUNGU ANA UPENDELEO!
Watu hamtuliiii mbele za Bwana.
Hata mkitulia — ni kimchongo mchongo.
Ham-negotiate package zenu za late delivery.
Halafu wenzenu wakibargain mambo yao yapite, yanyooke —
Mnaanza kuona Mungu ana upendeleo. 🙄
CHAPTER 8…
LUKA 8:27-40
Wapendwa this is a pure story, inafahamika sana yaani ipo mpaka kwenye movie ya Yesu, The movie was insightful so sitarudia the obvious, nitarukia the most overlooked part.
Mpendwa atu wengi wanafocus na what Jesus did which was awesome by the way, He defeated a legion of demons, not small thing ooh!!, Jaribu kutoa pepo moja la mahaba tu ndiyo utajua uzito wa jjambo Yesu alifanya. Mimi leo nitaforcus na victim zaidi kuliko Yesu. Nataka kumdissect huyu victim zaidi maana anahusiana na sisi moja kwa moja na most of times anakuwa overlooked or under reported.
Mapepo ni kitu kibaya sana, Neno la Mungu linaweka wazi the guy was lonelly! alikuwa anaishi makaburini peke yake.He just didn’t blend in. He was violent, Really violent mpaka anakata minyororo. Kuna watu mnapenda kuwa wapweke hamtaki kukaa na watu for no reason madai yenu introvents, hiyo ni dalili ya mapepo na kuwa possessed by evil spirits.
YOU ARE POSSESSED, MY LOVE — NA SIYO KWA MCHEZO!
KUNA WATU MNA MIDOMO MICHAFUUU YA UCHONGANISHI — WATU WANA WATENGA!
You are possessed, my love.
Maana hata ukitaka kuacha huweziii!
Ubuyu ukiupata tu — lazima uusambaze ndo upumue.
Kuna watu mna gubuuu! Haiwezekani kuishi na nyie. Hamna jema!
Mda wote ni kujilalamisha na kuleta hila hila.
Mwanaume kuishi na nyie haiwezekanliii!
You have trust issues, jealousy issues.
Wanawake wenyewe tunajikaza tu kuishi na nyie.
VITABIA VYA SHETANI — NA VILE VYA KUTIWA
Watu wengi ambao wameshindwa kupata kazi au kuolewa,
wana tabia flani ambazo wanajienedeza nazo
na shetani anazitumia kama fimbo kuwapiga.
Tabia kama:
-
Uongo uliopitiliza (a man meets you today, within a week ashapigwa uongo hadi anatetemeka)
-
Kukosa kitu lakini mkali kama pilipili kichaaa
-
Unaomba msaada lakini wewe ndo una dictate masharti za kusaidiwa
Lucky for them mimi najua why!
Watu wengine wanajifunga wenyewe kwa roho za udikteta, control, unclean anger.
Some are control freaks!
They just need to be in control!
Kudumu na mwanaume ni ngumu kama huwezi ku-compromise.
PEPO HAZIONEKANI LAKINI ZINAJULIKANA
Watu wengi mnakataaaa katukatu kwamba hamna mapepo,
lakini mnamanifest dalili zote za mapepo.
Maybe not serious demons kama yule mtu wa Luke 8,
lakini it’s evident you are possessed by evil spirits of some kind.
Umalaya leo unapumzika, lakini huwei kuukosa.
Sio kwa upwiiiruuu unaosikikaaaa.
Yule mtu wa Luke 8 hakuwa mtu mbaya,
ila miroho ndani yake ndo ilimfanya aonekane mbaya.
Watu wote wakamtenga.
Wengi wenu kama watu wengine wakiulizwa juu yenu…
Watakuwa na mengi ya kusema ambayo si mazuri kabisa.
Sio yote kweli — lakini baadhi yake ni kweli mbaya!
“Yule dada ni mkali kama pilipili kichaaaa!”
“Jichanganyeee!”
“Yule dada ni jeuri kuliko Ali Kiba na Ali Salehe combined!”
“Ana dharauuu. Hujapata kuona. Mkorofiiiii! Kupigana sio shida zake.”
YOUR REPUTATION PRECEDES YOU — AND IT’S NOT CUTE
Your reputation precedes you.
Mtu hata kama alikuwa na feelings na wewe —
wanamtishaaa.
Na hata akijizima data, itachukua wiki 2 tu wewe ku-confirm his worst fears.
It’s not you — it’s the spirits and demons in you.
Shetani hakuzuii kuolewa kwa kuweka stop order mahakamani.
Anaweka maroho yatakayokufanya mwanaume yoyote akimbie asubuhi kweupe.
Na wanaume wanaojitia sugu, watakiona cha moto.
DELIVERANCE WORKS — IF YOU COMMIT
Mimi nakutana na watu kwenye deliverance hizi.
Nawapa customised prayers wafanye kila siku to cast out demons.
Wanao fanya kwa moyo, they get redeemed.
Na once wakipona bipolar, wanaume wanapangana.
Wasiofanya — I know why.
Nikiongea nao najua kabisa bipolar wana tamba navooo
na mimi mama yao najua kabisa: “Maisha safari na kwa mwanangu yule, naulinimekulaaaaa.”
CASE STUDY: MZEE WA MIAKA MITATU ALIKUWA AMETOKA!
Kuna mwanangu nilimfanyia deliverance August.
Alikuwa na mtu for 3 years — haondoki! Ila haolewi!
Nikampa file lake — kutwa mara 3.
Juzi February, mwanaume akamwambia:
“Nataka kutoa mahari!”
Akashangaaa sanaaa!
Maana prior alikuwa amefunga, ametoa zaka, sadaka ya kuteketeza —
lakini hata kope haikutikisika!
Of course alikuwa na bipolar!
Nani ata-oa bipolar???
Baada ya maombi na deliverance — she cast out all evil spirits in her.
It took 6 months of commitment — asubuhi na jioni.
She started changing for the better.
Mwanaume alianza kumuona anew.
Wivu ukamtoka, akawa matured, akawa the woman the man was looking for.
Na mwaka huu November — tuna harusi!
THE SOONER YOU ADMIT YOU HAVE DEMONS — THE BETTER
The sooner you agree kwamba una mapepo
ndo yana kubadilisha —
the better for you and everyone around you.
Kukataa huna pepo — will just prove kwamba you are possessed with the worst kind.
Because I know you!
You know you!
You know I know you —
most of the things you do, you are not proud of them.
You just can’t handle what the world is dishing out —
so you panic and do some even crazier stuff.
OUR FRIEND WHO TURNED TO WOMEN AFTER FIGHTING MEN
Kuna this friend of ours, she is 40 going 50, divorced with adult kids —
cause she married extremely young — maybe at 17.
Aliruka stage.
After successful, rich and wealthy divorce — amejipataaaa.
Na pesa ako nayo — ndefuuuuu!
Lakini men are still bitter with her.
Kahangaaika na wanaume weeee!
Mwisho akasema ameona ajaribu wanawake.
Hehehehehehe!
Tukamwambia:
“Utamaliza mabucha — nyama ni ile ile! Hakuna jipya!”
Alichukua mwanamke siku moja — akamfukuza usiku usiku!
Why exactly?
Me and you will never know — and I didn’t ask!
I spared myself the awful details.
DUNIA HADAAYA — ULIMWENGU SHUJAA! NJOO KWA YESU!
Njoo kwa Yesu my wangu!
Dunia hadaa — lakini ulimwengu ni shujaa kuliko wewe!
Bado hujaonaaa kitu.
Ukijaribu kupambana na maisha kwa akili zako —
this world will turn you into something else that you never wanted to become.
Kama huyu mama mtu mzima — she is not a bad person at all.
She only failed to handle rejection and betrayal.
And she is devastated and definitely not thinking straight.
She married at 17 — who knows what the husband did to the small girl?
All we see are consequences.
SOMETIMES YOUR GRAVE IS YOUR REPUTATION
Dunia hadaa — lakini ulimwengu shujaaa!
Life happens!
Na ukipitia life halafu hakuna wa kukutibu —
you may evolve into a beast — slowly.
Kama yule mtu wa Luke 8.
He was not created a beast.
But the spirits turned him into one — living in graveyards.
Sasa wewe makaburi yako sio lazima yawe yale ya Kinondoni.
Yawezekana:
-
Ni mambo unayoruhusu watu wakufanyie mwilini mwako lakini huwezi sema
-
Ni jinsi watu wanavyokuona
-
Ni matendo yako ya zamani (kama kulala na mume wa mtu) ambayo watu hawajakusamehe
Watu washa kutenga zamani sanaaa.
NJOO KWA YESU — UKOMBOLEWE
Njoo kwa Yesu utolewe hayo maroho — so that you can heal and act normal.
People recognize a dormant threat!
Wakiona you’re no longer a threat — watajirekebisha na kukuheshimu.
All spirits do is make the situation worse:
-
“You don’t need people!”
-
“You are fine alone!”
-
“You got this!”
-
“Jeshi la mtu mmoja!”
-
“People don’t deserve you anyways!”
Hizi zote ni tactics za kukuweka kwenye isolation ili zikutawale vizuri.
BAADA YA KUPONA — STAY AT JESUS’ FEET!
Yule mtu wa Luke 8 baada ya kupona — alikaa miguuuni kwa Yesu!
Hakusema:
“Sasa nimepona, Yesu wa nini?”
Hakusema:
“Nishaolewa, Yesu wa nini?”
Hakusema:
“Nisha pata kazi, Yesu wa nini?”
Alikaa miguuuni pa Yesu mpaka mwisho.
Yesu anapoondoka — anamwambia bakiii.
Yesu alijua alivyo teseka na yale madude.
Akamwacha akawe mfano hai wa mtu aliefunguliwa.
Wewe ukifunguliwa:
-
Umeolewa?
-
Hutaki kutoa picha!
-
Kushuhudia ndo kabisaa!
-
Ukipata tarehe ya harusi — unamtupa Yesu dole la kati.
Unamkosea sanaa Yesu aliyekufungua.
NEEMA YA KUINGIA HAITOSHI — KAA KWA YESU!
Neema iliyo kuingiza kazini sio itakayokufikisha director level.
Neema iliyo kuingiza kwenye ndoa sio itakayokufanya udumu na ufurahie ndoa hiyo.
Neema ya kuanzisha biashara sio itakayofikisha biashara hiyo kwenye utukufu Mungu alikusudia.
Kaaaa kwa kutulia miguuuni kwa Yesu.
Shuhudia yale Mungu amekutendea — ili akutendee makubwa zaidi.
Luka 9 (SUV)
-
Akawaita wale Thenashara, akawapa nguvu na mamlaka juu ya mashetani wote, na ya kuponya maradhi.
-
Akawatuma wahubiri ufalme wa Mungu, na kuponya wagonjwa.
-
Akawaambia, Msichukue kitu kwa safari yenu, fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala fedha; wala mtu ye yote asiwe na kanzu mbili.
-
Na kila nyumba mtakayoingia, kaeni humo, na kutoka humo nendeni zenu.
-
Na wowote wasipowakaribisha, mtakapotoka katika mji huo, yakung’uteni mavumbi ya miguu yenu kuwa ushuhuda juu yao.
-
Basi wakaenda, wakapita katika vijiji, wakihubiri habari njema, na kuponya huko na huko.
-
Basi Herode, mfalme, akasikia habari zote zilizotendeka, akahangaika sana, kwa sababu baadhi walikuwa wakisema, Yohana amefufuka katika wafu;
-
na wengine walisema, Eliya ameonekana; na wengine, Nabii mmoja wa zamani amefufuka.
-
Herode akasema, Yohana nilimkata kichwa; basi huyu ni nani, ambaye nasikia habari zake hizi? Akataka kumwona.
-
Mitume waliporudi wakampa habari walizozifanya. Akawatwaa, akaenda zake kwa faragha mpaka mji uitwao Bethsaida.
-
Na makutano walipoyatambua hayo, wakamfuata; akawakaribisha, akawaambia habari za ufalme wa Mungu, akawaponya wale waliomhitaji.
-
Hata jua lilipoanza kuingia, wale Thenashara wakamjia, wakamwambia, Uage makutano, waende katika vijiji na mashamba ya pande zote, wakafanye maskani, na kujipatia chakula; kwa kuwa hapa tu katika mahali pasipo na watu.
-
Akawaambia, Wapeni ninyi chakula. Wakasema, Hatuna zaidi ya mikate mitano na samaki wawili, tusije tukaenda sisi kununua vyakula kwa ajili ya watu wote hawa.
-
Maana walikuwako karibu wanaume elfu tano. Akawaambia wanafunzi wake, Wakalishe makundi ya watu wapate kuketi, kila kundi lilikuwa na watu kama hamsini.
-
Wakalifanya hivyo, wakawakalisha wote.
-
Akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akavibariki, akavimega, akawapa wanafunzi wake wawapelekee makutano.
-
Wakala wote, wakashiba; wakakusanya vipande vilivyowasalia, vikapu kumi na viwili.
-
Ikawa alipokuwa akiomba peke yake, wanafunzi wake walikuwapo pamoja naye, akawauliza, akisema, Makutano hunena mimi kuwa ni nani?
-
Wakamjibu wakasema, Yohana Mbatizaji; wengine wanasema, Eliya; na wengine kwamba nabii mmoja wa zamani amefufuka.
-
Akawaambia, Nanyi mnasema ya kuwa mimi ni nani? Petro akajibu, akasema, Ndiwe Kristo wa Mungu.
-
Akawakataza, akawaamuru wasimwambie mtu neno hilo;
-
akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kupata mateso mengi, na kukataliwa na wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.
-
Akawaambia wote, Mtu ye yote akitaka kunifuata na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, anifuate.
-
Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; lakini mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, huyo ataipata.
-
Kwa maana, itamfaidia nini mtu akiupata ulimwengu wote, lakini yeye mwenyewe hupoteza au kujidhuru?
-
Kwa kuwa mtu atakayenionea haya mimi na maneno yangu, Mwana wa Adamu atamwonea haya mtu huyo, atakapokuja katika utukufu wake, na wa Baba, na wa malaika watakatifu.
-
Lakini nawaambia hakika, wako baadhi ya watu waliosimama hapa, hawataonja mauti, hata watakapouona ufalme wa Mungu.
-
Ikawa, yapata siku nane baada ya maneno hayo, alitwaa Petro na Yohana na Yakobo, akakwea mlimani ili kuomba.
-
Ikawa alipokuwa akiomba, sura ya uso wake ikabadilika, mavazi yake yakawa meupe yenye kung’aa.
-
Na tazama, watu wawili walikuwa wakizungumza naye, nao ni Musa na Eliya;
-
waliotokea katika utukufu, wakasema habari za kufa kwake, atakakokwenda kukutimiza huko Yerusalemu.
-
Naye Petro na wenziwe walikuwa wamelemewa na usingizi; lakini walipoamka kabisa waliona utukufu wake na hao watu wawili waliosimama pamoja naye.
-
Ikawa hao walipokuwa wakiagana naye, Petro akamwambia Yesu, Bwana, ni vema sisi kuwapo hapa; na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya; asijue asemalo.
-
Alipokuwa akisema hayo, likatokea wingu, likawatia uvuli; wakaogopa walipoingia katika lile wingu.
-
Sauti ikatoka katika wingu, ikisema, Huyu ni Mwanangu, niliyemchagua, msikieni yeye.
-
Sauti hiyo ilipokwisha, Yesu alionekana akiwa peke yake. Nao wakanyamaza, wala hawakumwambia mtu siku zile lo lote waliloliona.
-
Ikawa siku ya pili yake waliposhuka mlimani, mkutano mkubwa ukamlaki.
-
Na tazama, mtu mmoja katika mkutano akapaza sauti, akasema, Mwalimu, nakuomba umwangalie mwanangu, maana ni mwanangu pekee;
-
na mara kwa mara pepo humshika, humlaza ghafula, naye hupiga povu, husaga meno, hukauka; nami namlilia wako, wala hawezi kumponya.
-
Nami naliwaomba wanafunzi wako wamtoe, wasiweze.
-
Yesu akajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, kilichopotoka, nitakaa nanyi hata lini, nitawavumilia hata lini? Mlete mwanao hapa.
-
Alipokuwa akija, pepo akamwangusha chini, akamtikisa sana; Yesu akamkemea yule pepo mchafu, akamponya mtoto, akamrudisha kwa baba yake.
-
Wakashangaa wote kwa ukubwa wa Mungu. Na walipokuwa wakistaajabu mambo hayo yote aliyoyafanya, Yesu akawaambia wanafunzi wake,
-
Wekeni maneno haya masikioni mwenu; kwa maana Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu.
-
Lakini hawakuelewa neno hilo, maana lilikuwa limefichwa kwao wasilitambue, nao waliogopa kumwuliza habari ya neno hilo.
-
Wakaingia majadiliano kati yao, kwamba ni nani aliye mkuu zaidi miongoni mwao.
-
Lakini Yesu, akijua mawazo ya mioyo yao, akatwaa mtoto mdogo, akamweka karibu naye,
-
akawaambia, Mtu atakayempokea mtoto huyu mdogo kwa jina langu, anipokea mimi; na mtu anipokeaye mimi, ampokea yeye aliyenituma; kwa maana aliye mdogo kuliko wote kati yenu, huyo ndiye aliye mkuu.
-
Yohana akajibu, akasema, Bwana, tulimwona mtu mmoja akitoa pepo kwa jina lako, tukamkataza, kwa sababu hakufuati pamoja nasi.
-
Yesu akamwambia, Msimkataze; kwa kuwa mtu asiye kinyume nasi yupo upande wetu.
-
Ikawa ilipotimia siku za Yesu kupaa mbinguni, alikaza uso wake kwenda Yerusalemu,
-
akatuma wajumbe mbele ya uso wake; nao wakaenda, wakaingia katika kijiji cha Wasamaria, ili kumwandalia.
-
Lakini hawakumkubali, kwa sababu alikaza uso wake kwenda Yerusalemu.
-
Wanafunzi wake, Yakobo na Yohana, walipoona hayo wakasema, Bwana, wataka tuagize moto ushuke kutoka mbinguni uwaangamize?
-
Akageuka, akawakemea.
-
Wakaenda zao wakaingia kijiji kingine.
-
Ikawa walipokuwa wakisafiri njiani, mtu mmoja akamwambia, Nitakufuata kokote uendako.
-
Yesu akamwambia, Mbweha wana mapango, na ndege wa angani wana viota; lakini Mwana wa Adamu hana mahali pa kulaza kichwa chake.
-
Akamwambia mwingine, Nifuate. Lakini yule akasema, Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.
-
Yesu akamwambia, Waache wafu wawazike wafu wao; lakini wewe, enenda ukatangaze ufalme wa Mungu.
-
Mwingine akasema, Nitakufuata, Bwana, lakini niruhusu kwanza niwaage wale wa nyumbani mwangu.
-
Yesu akamwambia, Mtu akiutega mkono wake kulima, kisha akatazama nyuma, hafai kwa ufalme wa Mungu.
CHAPTER 9
LUKA 9:1-6
Wapendwa Jesus was against gate keeping hasahasa kwenye Neno la Mungu, Neno la Mungu siyo uganga kwamba ubanebane usije kukuta wameaminsha mganga wako. Wapendwa Neno la Mungu linafanya kazi contrary na uganga, the more you share the more revelations you get.
Hamna watu wenye roho za kutu kama wafanya biashara hawana shukrani muda wote wanataka kuwa juu yako.Yaani hata katoto kana anza biashara leo, roho nyeusi kanataka kuwa juu ya vigagula leoleo, she is scamming and plotting already, We binti wewe si tumeanza biashara hujajua hata kufua nguo yako ya ndani ikatakakata.
Lakini mimi najitahidi ku-operate kwa roho kubwa kadri niwezavyo, I share ideas, opinions and strategy kadri Mungu anavyonifumulia and in sharing Mungu ndiyo ananipa revelations zaidi na zaidi na uzuri watu hawa amini kama unaweza kuwaambia kirahisi, Majibu yako mbele yao lakini, they choose to be blind and seek for answers. Jesus was designed to be shared.
YESU HAJA DESIGNIWA KUM-GATEKEEP!
YESU hakudesigniwa kuwa gatekept, kubinafsishwa, au kuwa wako peke yako! Hatakuwa mkubwa kwenye maisha yako vile unavyotamani kama bado unamfungia ndani kama personal plug yako ya breakthroughs tu. YESU SI PLUG YAKO! Yesu ni Bwana wa WOTE! Na anafanya kazi kwa upana wake si kwa ubinafsi wako.
Yesu ni mtu ambaye akikupa kazi, anataka umshuhudie kwa watu kama 20. Ukimshuhudia anakuinua zaidi. Ukitangaza zaidi, anakupa zaidi. Kama PYRAMID SCHEME ya mbinguni lakini isiyo na tamaa—more sharing, more glory!
The beauty of grace is that it’s SUFFICIENT FOR EVERYONE! Wewe ukibarikiwa haizuii mimi kubarikiwa. Wala haizuii yule mwingine. Tunaweza kubarikiwa wote na bado baraka zikabaki zinamwagika! HENCE, no need for competition. JESUS IS ENOUGH FOR EVERYONE.
Na funny enough, my best ideas sijapata kwenye meditation, nimezipata kwenye conversations na watu wengine—na wengine wana roho mbaya hadi inatisha! Ila ndio hivyo, naishi nao. Nitawafanyaje?
Kama umepata doctrines nzuri au maandiko yaliyofanya kazi kwako—PASS THEM AROUND! Don’t GATEKEEP. Neno la Mungu halikudesigniwa kubinafsishwa. Halikuletwa ili iwe secret weapon yako. Ukigatekeep maandiko au mafundisho, hupati next revelation. Itafunga milango ya mbinguni kuendelea kukufunulia!
WITO NI WA KILA MTU! Watu wengi wanadhani kuna watu specific ndio wameitwa kuhubiri injili—SI KWELI! Kila mtu ameitwa. Kila mtu ana nafasi yake, hadhira yake, watu wake. Hata kama hujaitwa vijijini, umeitwa mtaani kwako. Umeitwa kwa WhatsApp yako. Insta yako. InstaStory yako. LinkedIn yako. Ofisi yako. Ndio hapo hapo unatakiwa kueneza injili.
Mimi? Wito wangu ni ku deal na MAKURUBEMBE YA MJINI. Mtumishi wa shamba hawezi nyie! YOU WILL EAT HIM ALIVE. Mimi ndio SIZE yenu. Tunajua jiji hili. Tunajua taa zake. Tumezaliwa nyumba la mihangaiko. Corridor zote za uovu wetu tunazijua. Kila hadhira ina fanani wake.
Jogoo la mjini haliwaki kijijini. Na wala halipaswi! Mimi ukinikuta kijijini, hata funza natetemeka naye! Hiyo ni hadhira ya mtu mwingine. Mimi nimeitwa kwa jiji, kwa streetwise, kwa watu wa bar na maofisini, kwa biashara na vichwa ngumu. Kila mtu ana niche yake ya kuhubiri.
Kuna watu wakiona wewe tu wamebarikiwa. Hawajui hata nini lakini ukisema “Mimi ni mtumishi wa Mungu,” basi walishakubali. KUKUBALIKA NA WATU NI DENI. Unatumiaje kibali hicho?
USIDHARAU PLATFORM YAKO. WhatsApp status yako ni mimbari. Insta yako ni madhabahu. Share scripture. Share testimony. Tumia platform zako kumtangaza Yesu. Kama umepost ushuhuda bila sura, ni nusu ya kazi. Ukipost na sura yako na identity yako—IMPACT INAONGEZEKA.
Yesu anaonekana zaidi kwa watu unapokuwa real. Usijifiche! Uokoke hadharani! Wapagan wameokoka kwa faida za wokovu tu. Wanajua ukibeba brand ya Yesu, hakuna mtu atakudharau. Na kweli, mkiwa na brand ya wokovu, NO ONE DARES BULLY YOU.
MAMLAKA TUMEPEWA WOTE. Sema nimeshikwa na hamu ya kuhubiri lakini sina mamlaka? Pole yako. Mamlaka tayari ulipokea siku ulimpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi. Hapo ndipo unapoweza kui-activate mamlaka ya mbinguni juu ya maisha yako.
Ukimpokea Yesu, you no longer live by bangi zako au emotions zako. Unaishi kwa ajili ya KRISTO. Kazi yako iwe ya haki, mahusiano yako yawe safi, uongozi wako uwe wa kumtangaza Yesu.
MY BRAND IS JESUS. Tangu niookoke, napata sana biashara kwa sababu ya BRAND YANGU—MLOKOLE. People trust that I will never run them dirty. Wanajua ninaogopa Mungu kuliko serikali. I’m trusted to the core! I get paid before delivery. Nikichelewa, they give me benefit of the doubt.
Nimejijengea BRAND ya KIUNGU. Hata mtu akinitongoza, anaanzia wapi? Mama Mtumishi? Unanitongoza kweli kweli? ICARRY THE GLORY OF GOD. All day. Every day.
WOKOVU HAUFICHWI. Kuna mwanangu alikula vikumbo kazini. Nikamwambia: “Acha kuwa undercover. Come out clean. Wambie uko saved.” Akajitambulisha rasmi: “Mimi ni mtu wa Mungu, naelekea Kanaani!”
Wakamcheka. Wakamuona bluff. Ghafula wakaona: headphones – mahubiri. Saa 6 na saa 9 – maombi. Biblia – pembeni. Ukikaa vibaya jirani yake – UNAKULA NENO BILA TAAARIFA.
UloKole wa kweli haufichiki. Watu wakaanza kumuogopa, kumpa heshima, na kumheshimu. PROMOTION aliyonyimwa kwa miaka yote—akaipata. Hadi walioshindana naye wakaanza kusema “Mungu wake sio wa kumjaribu.”
WOKOVU NI NGUVU. Mimi natumia wokovu wangu hadi najihisi kama na abuse. Kitu kidogo, lazima nimwingize Mungu. Na nikisha sema: “KAMA MUNGU AISHIVOOO…,” basi vita inakwisha. Wanarudisha kilicho changu fasta fasta. Hawataki tabu.
Kuna siku tulidhulumiwa. Watu kibao. Nikawaambia, “Haki yangu nitaipata. Labda kama sio mimi.” Nikafika pale nikasema: “Mimi ni mtumishi wa Mungu aliye hai.” Hapo hapo nikapewa changu!
BRAND YA YESU ITAKULIPA. Build a Christian brand around your name. Tangaza wokovu wako hadharani. Kuwa mwaminifu kazini. Kuwa tofauti. Ukitangaza Yesu kwa watu, Yesu atajitokeza kwenye maisha yako.
Na ukipingwa? Wakufukuze! Wakupinge! It’s okay. Kata mavumbi nenda zako. Even Yesu hakufanya muujiza hata mmoja Nazarethi. Usishangae ndugu zako kukukataa. YESU NAYE WALIMKATAA.
Kaa na maandiko haya:
Luka 9:5 – “Na wowote wasipowakaribisha, mtakapotoka katika mji huo, yakung’uteni mavumbi ya miguu yenu kuwa ushuhuda juu yao.”
Umeskia? Usikubali kuvunjwa moyo. Unabeba YESU. Tembea kifua mbele. Shuhudia. Hubiri. Post. Tumia platform yako. JESUS IS YOUR BRAND. And He will REVEAL HIMSELF THROUGH YOU.
Amen!
CHAPTER 9 ……
Yesu anawachukua wanafunzi wake kupanda mlima, maandiko hayaweki wazi huo mlima, Je ni milima ya ukubwa gani unaweza kudhani ni kilima flani hivi unaweza kupanda na kushuka chap, well uki-google utajua kuwa ni mlima wa kupanda kwa hamna hamna ni siku tatu (3).
Kwanini achague watu wachache na why wapande mlimani?, ukisoma maandiko unaweza kuona link ya milima na network ya kuongea na Mungu, Musa alipanda mlimani akashuka na amri 10 za Mungu, Elia alipanda kilimani kuomba mvua inyeshe, Yesu naye anapanda mlimani tena.
Lengo la Kupanda Mlimani lilikuwa lile lile kuomba na akiwa anaomba maandiko yanasema ” sura yake ikageuka na mavazi yake yakawa ya kumeta meta”
Kitu ambacho watu wengi wanashindwa ku-read between the lines ni kwamba Yesu wakati anaomba alipanda relims, ali inukaa kiroho na kuwa uweponi kwa yeye ku-interact na viumbe wa ulimwengu wa roho ambao ni Elia na Musa.
PRAYERS CHANGES THINGS! – MAOMBI NDO RELIM ZA KUPAA
Pale mlimani walikuwepo watu wanne—Yesu na wanafunzi wake watatu: Petro, Yakobo, na Yohana. Lakini cha kushangaza ni kwamba, Yesu peke yake ndiye aliyekuwa anaomba, na ndiye pekee aliyefanikiwa kupaa kiroho hadi katika ulimwengu wa roho na kuweza ku-interact na roho za Eliya na Musa.
Maandiko yako wazi kabisa—kabla ya interaction hiyo, Yesu alibadilika sura, na mavazi yake yakawa yanang’aa kama kung’aa kwa umeme. Hii inatufundisha kuwa Yesu haku-interact na Musa na Eliya katika form aliyoipanda nayo mlimani. Maombi yalimwingiza kwenye realm nyingine kabisa ya rohoni. Ni realm ambayo haifikiwi kwa macho tu, bali kwa maombi!
WANAFUNZI WALIONA – LAKINI HAWAKUINGIA
Wanafunzi waliona tukio lote, walishuhudia kwa macho, lakini hawakuweza kuingia kwenye interaction hiyo ya rohoni. Sababu? Wao hawakuomba! Walizubaa, wakaendekeza usingizi. Walikuwepo kimwili tu mlimani, lakini rohoni walikuwa kwenye relim za chini.
Walipokuja kustuka—YESU ALIKUWA TAYARI YUPO KATIKA ENCOUNTER LIVE! Wao bado walikuwa relim za kimwili. Petro akajaribu kuingilia scene, akapiga mchongo na kusema, “Tujenge vibanda vitatu…”, lakini hakuna aliyejibu! Sio Yesu, sio Musa, sio Eliya. Hakukuwa na response kwa sababu Petro alikuwa kwenye relim ya chini. Hali yake ya kiroho haikumruhusu zaidi ya kuona tu—lakini sio kuingiliana!
WINGU LINASHUKA – NA SAUTI INAONGEA
Kisha wingu likatoka mbinguni, likawafunika, na sauti ilisikika:
“Huyu ni Mwanangu mpendwa, niliye pendezwa naye; msikieni yeye.”
After that? Tukio limekwisha. Encounter imefungwa. Musa na Eliya wameondoka. Yesu anarudi katika sura ya kawaida. Game over kwa waliolala.
Password Yesu Aliyo Fungua? PRAYER!
PRAYERS CHANGES THINGS! Maombi ni mlango wa kuingia katika dimension nyingine ya kiroho. Maombi siyo ritual—ni njia ya kubadilishwa kutoka hali ya kawaida hadi hali ya kiroho yenye uwezo. Maombi yalimbadilisha Yesu hadi sura na mavazi vikang’aa. Wale watatu waliokuwa naye eneo lile lile? Hakuna kilichobadilika kwao! Sio sura, sio nguo—waliendelea kuwa vile vile walivyoingia.
Ujumbe upo wazi:
“Regardless ya watu wangapi mpo kwenye situation moja, kama hutafanya maombi, hakuna jipya litakalotokea!”
Na kama mmoja tu wenu ataomba, yeye tu ndiye ataingia kwenye realm ya kubadilika!
Maombi Ndo Tofauti
Unashangaa kwanini ofisini mko wote, na wote mna vyeti sawa, lakini mmoja anang’aa na kuonekana tofauti? Yule anayeomba ndivyo anavyotofautishwa! Hata kama wote mpo sehemu moja, ibada na maombi yanabadilisha mazingira. Either yatakubadilisha wewe kuwa version ya ushindi, kama Yesu alivyo badilika, au yataibadilisha mazingira yakubebe! Kama lile wingu lilivyofunika Petro na wenzake na Mungu akawapa instruction: “Msikieni Yesu.”
Nguvu ya Maombi Haihitaji Upendeleo wa Kibinadamu
Unaweza kuwa unaona kila nafasi inatolewa based on “who you know, who you sleep with, or who worships who”. Lakini ukimuomba Mungu—HAITAJI HATA WINGU KAMA LILE!
Ataweka jina lako tu kwenye akili za decision makers. Watajiuliza kwa nini unawajia akilini kila mara—divine orders baby!
Watafanya maamuzi hata wakikuonea wivu, hata wakikuchukia. Watakupa nafasi na bado wakuchukie! Kwanini? Kwa sababu Mungu ameagiza!
Ni Aidha Umuombe Mungu, au Utaanza Kuomba Watu
Hii ndo maisha ya kweli.
Ama unaomba kwa Mungu, au utabaki kuwa ombaomba kwa wanadamu.
Mimi? MUNGU ndo chaguo langu – all day everyday!
Kwa sababu Mungu hana kona kona. Yeye ni mwaminifu, yupo straight na hana double standards.
Watu wengi wenye uwezo, hata ndugu zako, marafiki, watu wa status, huwa hawapendi mtu ambaye ha-wa-worship.
Ukishindwa kuwa-abudu, wanajisikia threatened. Wanaapa huwezi pita njia yao.
Kwa hali hiyo—I better worship God properly, or I’m cooked!
Na ninapomwomba Mungu kwa bidii, ninaona mkono wake.
Miaka inapita, lakini sijapungukiwa na kitu.
Everytime I need Him, He shows up!
Nimejua – PRAYER CHANGES THINGS
Tangu nimejua hii password—kila changamoto huwa nakomaa nayo kwenye maombi.
Zikigoma? Maombi yatabadilisha mimi—niwe form mpya ambayo hizo changamoto zinaonekana ndogo mbele yangu.
JUST PRAY TO GOD – AND WATCH HIM PLAY YOUR GAME MAJESTICALLY.
Usibishane, usilambe miguu ya watu, usibembeleze – MWOMBE MUNGU!
Ndiyo njia ya kweli.
CHAPTER 10
Yesu awatuma Wanafunzi Sabini
-
Baada ya hayo Bwana aliwachagua wengine sabini, akawatuma wawili wawili mbele ya uso wake, waende kila mji na kila mahali alikokusudia kwenda mwenyewe.
-
Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake.
-
Enendeni; tazama, nawatuma kama wana-kondoo katikati ya mbwa-mwitu.
-
Msichukue mfuko, wala mkoba, wala viatu; wala msimwamkie mtu njiani.
-
Na nyumba yo yote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu.
-
Na kama akiwapo mwana wa amani, amani yenu itakaa juu yake; la, hayupo, itawarudia ninyi.
-
Kaeni katika nyumba iyo hiyo, mkila na kunywa vile walivyo navyo; maana mtenda kazi amestahili posho yake. Msiende kutoka nyumba hii hata nyumba hii.
-
Na mji wo wote mtakaouingia, nao wakiwapokea, kuleni waliowekewa;
-
waponeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Mungu umewakaribia.
-
Na mji wo wote mtakaouingia, nao wasipowapokea, tokeni humo, mkatangaze hata mavumbini ya mji wenu yaliyoambatana nasi twawapangusa; lakini jueni haya, ya kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
-
Nawaambia, katika siku ile itakuwia Sodoma afadhali kuliko mji ule.
Ole kwa miji isiyotubu
-
Ole wako, Chorazini! Ole wako, Bethsaida! Maana kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika Tiro na Sidoni, wangalitubu zamani kwa kuvaa nguo za magunia na kuketi katika majivu.
-
Lakini hata Tiro na Sidoni itakuwia afadhali kuliko ninyi katika hukumu.
-
Nawe Kapernaumu, je! Utainuliwa hata mbinguni? Utashushwa mpaka kuzimu.
-
Asikiaye ninyi, anasikia mimi; naye awakataaye ninyi, anakataa mimi; naye anayekataa mimi, anakataa yeye aliyenituma.
Wanafunzi Warudi kwa Furaha
-
Wale sabini walirudi kwa furaha, wakisema, Bwana, hata pepo wanatutii kwa jina lako.
-
Akawaambia, Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme wa radi.
-
Tazama, nimewapa uwezo wa kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui; wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
-
Lakini msifurahi kwa sababu pepo wanawatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.
Yesu Afurahi kwa Roho
-
Saa ile ile Yesu alishangilia kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na akili mambo haya, ukawafunulia watoto wachanga; naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.
-
Vyote vyangu vimekabidhiwa na Baba yangu; wala hakuna mtu ajuaye Mwana ni nani ila Baba, wala Baba ni nani ila Mwana, na mtu ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
Herini Wanaoyaona
-
Akawageukia wanafunzi wake kwa faragha, akasema, Heri macho yanayoyaona mnayoyaona ninyi;
-
Kwa maana nawaambia ya kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi, wasiyaone, na kuyasikia mnayoyasikia ninyi, wasiyasikie.
Mfano wa Msamaria Mwema
-
Na tazama, mtaalamu wa sheria alisimama ili kumjaribu, akasema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?
-
Yesu akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje?
-
Akajibu akasema, Mpende Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako.
-
Akamwambia, Umejibu vema; fanya hivyo, nawe utaishi.
-
Lakini yeye, akitaka kujithibitisha mwenye haki, akamwambia Yesu, Nani basi ni jirani yangu?
-
Yesu akajibu, akasema, Mtu mmoja alishuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko, akaangukia mikononi mwa wanyang’anyi, wakamvua nguo, wakamtia jeraha, wakamwacha karibu ya kufa.
-
Ikawa kwa bahati, kuhani mmoja alishuka njia ile; naye alipomwona, alipita upande wa pili.
-
Vivyo hivyo Mlawi naye alipofika pale, akamwona, akapita upande wa pili.
-
Lakini Msamaria mmoja alipokuwa akisafiri, alifika alikokuwako, na alipomwona alimuhurumia,
-
akakaribia, akamfunga jeraha zake, akimimina mafuta na divai; akamweka juu ya mnyama wake mwenyewe, akampeleka nyumba ya wageni, akamtunza.
-
Hata siku ya pili alitoa dinari mbili, akampa mwenye nyumba, akamwambia, Mtunze huyu; na lo lote utakaloongeza, mimi nitakapokuja nitalipa.
-
Je! Katika hawa watatu, ni yupi wa hao alionekana kuwa jirani yake yule aliyeangukiwa na wanyang’anyi?
-
Akasema, Ni yule aliyemwonea huruma. Yesu akamwambia, Nenda, ukafanye vivyo hivyo.
Yesu kwa Martha na Maria
-
Ikawa walipokuwa wakisafiri, yeye aliingia katika kijiji kimoja; mwanamke mmoja aitwaye Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
-
Naye alikuwa na dada yake aitwaye Maria, ambaye alimketi miguuni pa Yesu, akisikiliza maneno yake.
-
Lakini Martha alisongwa na shughuli nyingi za kuhudumu, akamwendea, akasema, Bwana, hivi hufahamu ya kuwa dada yangu ameniacha nihudumu peke yangu? Mwambie basi anisaidie.
-
Yesu akamjibu, akamwambia, Martha, Martha, wasumbuka na kufadhaika kwa mambo mengi;
-
walakini kitu kimoja kinahitajika tu; na Maria amelichagua fungu jema, ambalo halitaondolewa kwake.
SPIRITUAL REVIEW
Watu wengi wanahisi Luka 10 ni kwa ajili ya watumishi pekee, well ni kwa ajili ya watumishi na waumini ili mjue jinsi ya kuishi na watumishi, Otherwise you will just assume and hope the man of God burns in hell while he will continue being blessed from groly to groly.
Kristo ndiyo kiongozi wa kanisa, his words stick all time, issue ni kwamba maagizo yake yanakata kuwili unlike wengi mngetamani mmkalie mtumishi kichwani na kuchukua godoro kabisaa mkamkalia na asiwe na cha kufanya, well vya kufanya vipo na bwana Yesu ameweka wazi.
Maelezo ni muhimu ila mimi nitafocus na machache ya msingi amabayo yatakusaidia upate huduma na uipate kikamilifu.
-
Watenda kazi ni wachache.
Hapa Yesu alishakupa angalizo kwamba work with what’s available, do your best usiwe among the rejections za mtumishi, dont be too choosy kwa sababu hakuna enough choices anyway kuwa muelewa na mwepesi kupatana na mtumishi wako sababu unaweza kujikuta huna mtumishi hivi hivi, wewe kumsusa mtumishi haimaanishi atakosa kondoo, kondoo ni wengi my love wachungaji ndiyo wachache.
Hii ndiyo kauli ya kwanza bwana Yesu anawaambia mitume wake
ALIJUA UGUMU WA HUDUMA!
Na inshort alitaka watumishi wake wasiendeshewe na waumini wababaifu! You don’t have to slave or sell yourself short ili uumbakize kondoo. Mavuno ni mengi! Piga mzigo — Mungu atakupa kondoo mpaka utawakimbia. And He later spelled this out! Haku fumba fumba maneno.
MIMI MWENYEWE I LEARNED THIS THE HARD WAY! ORAAAA!
Nishafukuzwa kwenye huduma! Nisha kuwa black listed!
Bora kufukuzwa — unajua moja! Kuwa black listed ni ile mtumishi anakutabasamu usoni ila moyoni anasema: “I will bend backwards if I may kabla sija msaidia huyu kiumbe!” Hiyo imeenda.
Watumishi wanaona rohoni na mwilini! No disrespect can pass them unnoticed! Hata ukiwa nafiki-a, you won’t seat well with the Holy Spirit in them! Mimi klisha nirambaaa! Nili chanwa live — wewe binti mnafiki sanaa.
Of Recent…
Nilikuwa naongea na mtu, kawa completely ignored na mtumishi! Actually veve ndo alitu introduce kwa Mama! Ni mtu ana tuzaa kabisaaa! Ana wajukuu wapo chuo! Afu ni Mpareee — to make things worse!
Sababu: Alikuwa anamjua Mama wakati kachoka choka, anafanya huduma bure au kwa ok, akawa anamletea mazoea. Mama kibali kimetokaaa — sahivi 24/7 yupo Canada, Europe, USA — anafanya huduma analipwa Dollars na Euro. Wenzie tuli ji ongeza — si watoto wa mjini! Tuka jazi bahasha and showed her the new respect she commands. Veve akajitia nunda.
Mama na Karama ya DIVINE MONEY (Hapo hakuna utani)
Mama karama yake ipo kwenye kuombea biashara! Hakuna biashara inasumbua mbele za Mama! Mimi mwenyewe mgumu kweli kweli, lakini Mama alifufua biashara yangu moja — I made DIVINE MONEY.
The business was dying! Nisha jaribu kuifanya ikafa kabisaaa! Nikasema second time is a charm! Wapi — ikawa ICU! My sis akasema labda muite mazeee aip e upako! Maana hapa hamna kituu!
Mama akaja pale, akasema:
“Hapa hakifi kituuuu! Mambo nayao yapendaaa! Kwanza hii biashara naona ina hela ndefuuu ya hatarí — ya kubadilisha maisha yako!”
Mind you the business was dead dead! Nikasema:
“Mamaaa prophecy!!! Unavo taka na mimi nataka hivo hivo.”
Akaomba maombi nusu saa haikufika! Andiko mistari sijui 2! Kama mifupa mikavuuu ile biashara ilikuja kwa kasi!!! NILIKOGA MAPESAAA! DIVINE MONEY! You do absolutely nothing — lakini jina linakua na pesa inamiminika!
People were talking: “Hii biashara ya kichawiii!” I made money! DIVINE MONEY! Those 15 minutes were really divine.
Na sio hii tu! Biashara nyingi! Tatizo Mama yupo nje ya nchi 24/7! Na hata akiwa, she has to really really like you kuja kwako sababu list ni ndefu sanaaa.
This Loser Friend of Mine…
Somehow got on her bad side! How foolish!?? The woman makes money rain — how can you make her mad? She did! Akawa blocked namba zote.
Kuna kipindi biashara yake ikafa kabisaaa kabisa mpaka kooi ikamshinda — akarudi nyumbani, akaanza kutuomba tumuombe Mama msamaha! NANIIII!!!? THUBUTUUUU!
Mama ambae makes the money rain! Abadan asilani. Hata kama veve ndo katu plug! Pesa sio mambo ya kuleta mazoea. Apambane na hali yake.
Kuna kipindi jeuri yake ilikuwa 200% — basi ana shobokea ma pastor wa Instagram hatarííí! Mara Morning Glory! Ka hahaaaa! Na ile biashara? Mwisho wa siku pastor gani wa Instagram atakuja kwenye biashara yako kiholela tu? Tena bi mkubwa ni very humble — anakuja na daladala kwa upendo.
Sisi tulimwambia: “Huko Instagram wenzio ndo tuli koanzia. Kwa huyu Mama hatutokiiii ng’ooooo! Hata mje na winch — hatutokiiii.”
Sahivi anatseka kweli kweli! She is really struggling! Na ni jambo la Mama ku solve chaaap! Mpaka anakaribia kuweka nyumba yao ya urithi bank! Ila sioni kama atatoboa biashara even with bank financing!
Analalamika hatarííí: Usimpe mtu connection ya mtumishi wako!
Anadai sisi ndo tumeleta inflation na kupandisha bei ya mtumishi! Sisi wapi? Hao wa Canada, Europe, UK, USA wanaotoa sadaka kwa $$$ na Euro?
Sisi tumemwambia: Wewe kwa Mama unapa jua— nenda pale, kade ki na kufagia nje, pika chai, akiamka unampigia magoti — atakusamehe na kukusaidia! Mgumu kama jiwe! Acha ale jeuri yake.
Usipokuwa makini unaweza kumpoteza mtumishi mzuri sanaa sanaa kwa mambo ya kijinga jinga — uka teseka sehemu ambayo sio ya kuteseka.
Bora ujifanye mjinga kama wenzio ulio wakuta — ili mambo yako yaende.
Luka 10:3
“Enendeni, angalieni, nawatuma kama wanakondoo kati ya mbwa-mwitu.”
USIWE MBWA MWITUUU.
2 — Watumishi Wameruhusiwa Kula Vya Waumini!
Watu wengi hii mnalikataaa wakati lipo wazi kwamba watumishi wanakula kwa niaba ya Mungu. Ukim-starve mtumishi you have to starve God first. Ukimkomoe mtumishi lazima umkomoe Mungu kwanza. Too bad.
Mbingu hamna bank wala mawakala wa fedha! Lakini Mungu aliagiza sadaka zake zitolewe na zipelekwe wapi, na nani ale hizo sadaka, na kwanini.
Luka 10:4
“Msichukue mfuko, wala mkoba, wala viatu; wala msimwamkie mtu njiani.”
Watu wengi wanaumia: Kwa nini mtumishi anakulaaaa???!!!
They wish mtumishi afanye kazi bureee bureee. Mtu ana nia ya kumpa Mungu, ila akiwaza mtumishi ata jinoma jasho lake — anapunguza kiasi mpaka yanabaki makombo.
Hapa watu ndo wanapishana na maagizo ya Mungu! Kama Mungu kaagiza ibada flani iende na sadaka au zaka au matoleo — hata kama mtumishi ni generous vipi, ibada haita kamilika na haita pita yakikosekana matoleo yaliyoagizwa.
Sababu? Mtumishi atakuwa anatafuta sifa za kijinga kwa kwenda contrary na maandiko.
Yesu anamwona mjane hekaluni akitoa kidogo alicho nacho!
Kwanini hakusema: “Wewe mjane usitoe Bwana! Wewe nenda zako tu bi mkubwa!”
Ana-second kitendo cha bi mkubwa kutoa na anamsifu — katoa kuliko wote.
Watu wengi wanapishana na baraka za Mungu kisa wanazingatia sanaa “mtumishi anakula jasho langu kivi piiii” — lakini? Mungu alikuagiza kutoa! Ukitoa umetimiza wajibu!
Wapi yanaenda matoleo yako hilo muachie Veve mwenyewe.
One Time… (Program ya “Sadaka Kubwa ya Kuuma”)
Tulifanya program ambayo mtumishi was frank: inataka sadaka kubwa ya kuuma! Na tulikuwa tunaomba vikubwa kwelikweli. Na alisema toka mwanzo.
Ilipofika muda wa kutoa — watu wakaingia mitini! Na program wamefanya!
Tulitoa wachache mnooo! It was heartbreaking!
Tena watu wanalalamika na balance sheet kabisaaa:
“Kama sadaka ni million 1 tupo 100 — atapataje million 100 hivi hivi! This is extortion! The heavens are not greedy! Tusitoeee!”
The heavens are not greedy — wewe unaomba mbingu umiliki gari ya million 40 — is that not greedy? Tena 10% yake ni 4M! The pastor was generous after all.
Watu 10 tulitoa — tukaumia na million zetu hatarííí! Trust God and the process, they said. Tukapata maombi yetu kiwepesiii sanaaa!
Shogaree akaja kuniuliza: “Ulitoa kweli ile millionoooo!”
Nikamwambia: “Nilituma na ya kutoleaaa — huwezi amini!”
Ana haha na kuweweseka tu! Mimi bila bila mpaka sasa!
Sasa hujatoa sh 10 — isiwe bila bila vipi wakati ibada huku kamilisha — uliishia nusu? Na matokeo ndo yanaishia nusu!
Ana weweseka: “We unayo ndo maana ulitoa!”
Nikamwambia:
“Hata kama ningekuwa sina, ningekopa nit oe! Maisha safari — siwezi kula nauli nibakie nilipo! Laki si pesa, milioni deni shoga angu — ningekopa na ningelimudu kulilipa! Pesa inatafutwaaa — ila anointing ya mtumishi haiuzwi dukani!
Asiponufaika na anointing yake atanufaika na nini? Kwendraaaaa! Kujiende keza ubahili! Kula chuma hiko!”
Luka 10:7
“Basi, kaeni katika nyumba iyo hiyo, mkila na kunywa vya kwao; maana, mtenda kazi amestahili kupewa ujira wake. Msihame-hame kutoka nyumba hii kwenda nyumba hii.”
3 — USIMPROVOKE MTUMISHI YOYOTE.
It is okay kutobarikiwa na mtu flani kwa sababu zozote zile. It happens! Kila mtu ana kondoo wake ambao Mungu ndo ame mpa. Watenda kazi ni wachache tayari — no need to run them extinct!
Ukiona mtumishi hakubariki — just avoid them big time!
No need for confrontation! No need ya kumwambia jinsi gani humkubali! Haina haja ya kumkausha mafuta yake madogo aliyonayo!
Wale watu anao wahudumia na unacho kiona wewe upuuzi — ukipewa uwahudumie wewe kuwezaaa?
Luka 10:10–11
“Na mji wo wote mtakaouingia, nao hawawakaribishi, tokeni humo, nanyi mkipita katika njia zake semeni, ‘Hata mavumbi ya mji wenu yaliyogandamana na miguu yetu tunayakung’uta juu yenu.’ Lakini jueni hili, ya kuwa Ufalme wa Mungu umekaribia.”
Haina haja ya kufika huku.
Kisa: Rafiki Yangu, The Catholic Husband, na Pastor aliyelia Madhabahuni
Nina rafiki yangu alikuwa na mumewe na wana watoto wa 4! Best husband ever. The marriage was to die for!
Lakini mke akapelekwa kijijini kikazi, akawa halali — ana kabwaaa na mambo ya giza na hapo kijijini kuna kanisa moja tu la wokovu — Assemblies nadhani! So she joined the church! Mpaka akabatizwa!
Sasa the husband is Catholic Catholic! Weeeee! It didn’t sit well with him! Akaenda kanisani na kuzua zogo la maana!
He abused and bullied the man of God! Pulled his wife from the church! Threatened the church! Slandered the Pentekoste ideology! Declared kwamba Catholic is the only true church la kitumeee!
You know Catholics and their Church! The hubby did the most!
It is rumoured the pastor cried on his altar from the abuse and disrespect!
Now they are divorced! Kila mtu yupo upande wake! Watoto wamegawanyika kwa bibimzaa baba na mama! Nothing is working! Wanapigana vita kama Israel na Palestina!
Mama wa binti kila siku anasema:
“Itakuwa yule mtumishi ali wakung’utia mavumbi yake nini?”
Yaani wamemaliza ngazi zote za Catholic huko praying for the union — lakini wapi! Walienda mpaka Pugu kwa Bikira Maria sijui hija sijui Catholic stuffs gani! Haijasaidia kitu!
Talaka nginja nginja! Na wote sahivi wapagani wazuri tu! Wana miaka mlangoni wa kanisa hawaujui!
4 — Mtumishi Akisimama Kwenye Nafasi Yake Kama Mtumishi, Mbingu Zinaenda Nyuma Yake
Wote tulipewa authority sawa sawa! Tofauti inakuja kwenye “practice makes perfection!” Veve authority yake anaifanyia mazoezi 24/7 — hence anakuwa more experienced.
Luka 10:16
“Awasikilizaye ninyi anisikiliza mimi, naye awakataaye ninyi anakataa mimi; naye anikataa mimi amkataa yeye aliyenituma.”
Ukimsikiliza mtumishi kama mtumishi — utapiga hatua kwenye huduma anayo kupa.
Lakini ukisikiliza kama ndugu yako, rafiki, baba, familia, au mtu flani unaye mjua — hamna huduma. Hakuna huduma, kuna ushkajiii!
Lakini ukimsikiliza kama mtumishi wa Mungu, kiongozi wa kanisa, kuhani wa maandiko — na ukampa nafasi yake kama mtumishi kukuhudumia — basi huduma utapata na itakuwa halisi.
Yesu alimaanisha atakaye wasikiliza kama mitume wake, wanafunzi wake — na sio kama Petro mvuvi, Mathayo mtoza ushuru, Yuda mwizi, au mitume wengine wakiwa nje ya utume.
“Mtumishi flani ndugu yangu nitakuunganisha nae! Hachomoiii!”
Huduma hakuna hapo! Ni nepotism 100%!
Kisa: Bi Dada — Mke wa Mchungaji — na “Nakuja Kama Muumini, Sio Kama Mke”
Kuna bi dada alikuwa mke wa mchungaji na life wa tough!
Akiona kondooo wanabarikiwa hatarííí! Ila veve muda wa kuokota mizungu kitandani — anam pa style zote anamuambia:
“Muombee mdogo wangu apate kazi!”
Miaka inapita — dogo yupo nyumbani!
Biashara zake haziendii! Akimwambia “omba hapa mambo yafunguke” — hamna kituuu! Basi awaombee wazazi wake (ambao ndo wakwe zake mchungaji) walau maradhi yaachie! Hamnaaa kituuu! Ikawa ugomviii balaaa.
Siku hiyo watu wakamsanua:
“Wewe unamuomba kama mumeo au mchungaji? Wenzio hapa tunajimaliza na bahasha zilizotuna! Tukimuona tunacheka cheka kama chizi kaona jalala jipya! Tunampa heshima yake kama kiongozi wa kanisa — kuhani wa maisha yetu! Akisema ruka tunauliza kulia au kushoto! Wewe yule mumeoo — tafuta mchungaji bwana! Usituchosheee!”
Siku ya siku — kawahi kutoka kwenye ibada, kapika chakula kizuriiii, katoa vyombo vya wageni kabatini, kamuandalia msosi wa maana!
Mume kaja — kamwambia:
“Usivue viatuuu! Ingia na viatu! Leo umekuja humu hata kama kwako — kama mtumishi wa Mungu, sio mume.”
Mume kajionea maajabu ya Musa na Pharaoh! Akaingia! Kala kashibaaa!
Mke kaleta sadaka kwenye bahasha, kapiga magoti mbele ya mumewe:
“Niombeee na niwekeee mikono kama muumini wako sio mke! Dogo apate kazi — haliya nyumbani sio nzuri! Sadaka yangu hii hapa!”
Mume kaomba kama mchungaji wa kondooo na mtumishi wa Bwana — na maombi yakapita mbele za Mungu — yule dogo alipata kazi.
CHAPTER 10 ………..
Authority au Mamblaka kwa kiswahili ndiyo mpango mzima na kwenye dini mamlaka ndiyo kila kitu, encounter kwenye ulimwengu wa roho zinaletwa na vitu viwili, nguvu ya Mungu na mamlaka ya kuzi-release.
Luke 10 : 19
19. I have given you authority to tremple on snakes and scorpions and to overcome all power of the enermy, nothing will harm you.
Ukiisoma kwa kiingereza unaipata kwa nguvu zaidi, Yesu anatoa mamlaka I quote “Overcome all the power of the enermy” na ana sisisitiza “Nothing will harm you”
Sasa why do you seem so powerless?, Mapenzi tu yana kuumiza hatari, unateseka kwa sababu huna authority yoyote, kazi zina kutesaa, uchumi una kudhalilisha, mahusiano yana kunyanyasa. The enermy is flourishing in all areas of your life, where is your authority??.
SOURCE YA AUTHORITY YOYOTE YA KANISA NI YESU!
Ndo maana Alisisitiza: kujaribu ku‑access mamlaka kwa kum‑bypass ni wazimu!
Luka 10:22
Akasema, Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
ANY AUTHORITY ANY MAN CAN RECEIVE lazima itoke kwa YESU KRISTO!
Maana Veve ndo ali kabidhiwa “vyoteee na Baba yake.” So whatever authority you may require from God He is already given!
Further aka tusanua: “Hakuna amjuaye Baba yake ambaye ni Mungu wetu ila Mwana na hakuna amjuaye Mwana ila Baba mtu.”
Hii ni kusema kujaribu kwenda kwa Mungu directly na kum‑bypass Yesu — utatwanga maji kwenye kinuuu sababu wewe humjui Mungu kama Veve Yesu anavyo mjua, na Yesu ana uwezo wa kukufunulia ukamjua Mungu vizuri zaidi kuliko uwezo wako, na Mungu hakujui kama anavyo mjua Yesu. Yesu anaweza kukufunulia dimension kubwa zaidi za Mungu — ukauona ukuu na utukufu Wake kwa viwango vingine.
Hence ndo maana mnaona maombi mengi “kwa Jina la YESU” ni muhimu sanaa. Maombi yakipita kwa YESU mambo yanakuwa MUKIDEEE.
Watu wengi wanajaribu kubumbaaa bumbaa authority — lakini wapiii!
Sababu authority inatoka kwa Mungu kupitia kwa Yesu Kristo.
Sasa injili hujasoma na Yesu humjui! Authority gani ambayo wewe utapewa? Nani atakaekupa wakati mtoaji wa hio authority humjui halujui???
Uivieeee kwenye authority inatakiwa uivieee kwenye Injili na Agano Jipyaaa kweli kweli!
Umjue Yesu kiundani na umpokeee kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako! Yesu akiingia maishani mwako automatically na authority itakuja maishani mwako.
Yesu aliwasisitiza: msifurahi tu kwa sababu mpaka pepo wanawatii…
…bali mfurahi kupokea wokovu wa dhambi, kuishi maisha ya ushindi, na kwenda mbinguni in the end!
Pepo kukutii is just the tip of the iceberg! There is more to authority from God than kuwatetemesha mapepo. There is much much more.
Luka 10:24
Kwa kuwa nawaambia ya kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia ninyi wasiyasikie.
Before JESUS…
Mungu alikuwa hafanyi kazi na kila mtu! Alikuwa na watu wake special — manabii wake tuuu!
Ukitaka kumuuliza Mungu kitu lazima uishi vizuri za nabiii!
Akitaka kukujibu kitu atawaambia manabii waje wakup e khabari zako toka juu! Na huna jinsi ya wewe kama wewe kwenda mbele za Mungu na ku‑interact Naye directly kwa maswali na majibu.
Roho Mtakatifu alikuwepo ila alifanya kazi na watu wachache sanaa — manabii, makuhani, waamuzi, na sometimes wafalme! Baaasss!
Kama mtu ndo nabiii na hupatani nae kama Elia na Ahabu — ndo Elia anafunga mvuaaa miaka 3 na hamna wa kufungua kudadadeki zao!
Lakini YESU alileta MAPINDUZIIII!
Alitoa access ya Roho Mtakatifu kwa mtu yeyote aliye serious na anayetaka fellowship na mbingu.
Yesu alileta mapinduzi — mtu yeyote anaweza kuwa nabiii wa Bwana na mtu yeyote anaweza kutembea na mamlaka akiwa serious.
Na kweli Mfalme Ahabu ange shukuru kuwepo kipindi cha Yesu maana Elia alivyo funga mvua veve mwenyewe ange ifungua chaap kwa haraka.
HOW DO YOU EXERCISE THE AUTHORITY GIVEN TO YOU BY JESUS OVER YOUR LIFE?
1) Soma vitabu vyote vi 4 vya INJILI
Uwe full equipped na maandiko juu ya Yesu Kristo!
Navosema Injili moja is a bare minimum! Huwezi ku‑exercise authority na Injili moja! Pepo zitakuumbua mchana kweupeee! Injili moja ni ya matumizi binafsi, sio ya ku‑exercise authority.
2) Mpokee YESU kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako!
Ni ngumu Yesu awe nje yako alafu authority yake iwe ndani yako! No Jesus in you, no authority my love! Wanakuja in a package! Yesu ndo chemu chemu ya mamlaka.
Ukimpokea Yesu na wokovu utabaptizwa kwa Roho Mtakatifu! Na Roho Mtakatifu ndo nguvu yenyewe iliyo nyuma ya mamlaka na authority yako.
Authority ni Authority endapo mtu akigoma kutii kuna SERIOUS CONSEQUENCES!
Kama pepo ukiliambia tokaaa! lazima kiwe na uhakikaa — likikugomea, Moto wa Roho Mtakatifu utahusika dhidi yake!
Lakini somehow likijua huna connection ya Roho Mtakatifu — linaweza kukunasa makofiii kabisaaa!
Mapepo hayakutiii wewe — ila mamlaka iliyo nyuma yako iliyokupa authority!
Sasa kama nyuma yako ni peupeeee — umeishaaaa.
Na sio tu swala la mapepo — hata swala la BIASHARA yako!
Kama una authority unaweza command wateja waje kama woteee!
Sasa kama authority ina‑command spirit beings — je human beings si easy as pie????
Hata kazini unaweza ku‑exercise authority! Uka ji‑promote — na wakikataa unaweza kufunga nafasi isikaliwe na mtu yeyote asie wewe.
Unatumia mamlaka tu ku‑command kwenye ulimwengu wa roho hiyo nafasi hatakaa mtu mwingine kustawiii isipokuwa wewe. Kama Jimbo la Kilwa!! Jichanganye uchukue fomu!
Kisa: Mwanangu na Promotion ya “Games of Throne”
Mimi alishakuja mwanangu ana ombea promotion flani — dakikaaa za jioni waka mchakachua na kumpa mtu mwingine! Akaumiaaa sanaaa!
Nikamwambia: “Mimi si nilikuambia utakaa wewe? Siongeagi mara 2! UTAKAAA! Kuwa tu mpoleee.”
Akasema: “Wamempa mtu mwingine tayari!”
Nikamwambia: “Hakaaaa!!! Na sio huyo tuuu! Nafasi nimeifunga duniani mpaka ahera baby! Special for only you and you only! Let the games of throne begin!”
Mwaka mmoja walibadilika watu kama nguo! Nafasi haikalikiii! Ya motoooo! Mwisho wakamwambia: “Kaaa tu dada! You have made your point.”
Ma‑boss wanamuogopaaa kama ukomaaa. Hakunaaa anayeingia kwenye 18 zake. Vyeo sio virahisiii wakua che uk aetu kirahisiii. Thubutuuuu! You have to make your statement crystal clear!
Hata wezi unaweza kuwafunga vizuri tu kwa kutumia mamlaka ya mbinguni!
Mimi sina walinzi wala sina bimaaa! Gari na nyumba yangu nazifunga kinyume na roho za wizi duniani mpaka mbinguni! Na namshukuru Mungu sijawahi kuibiwa.
Gari nikinunua jipya — cha kwanza nalifunga na roho za ajali, roho za wizi, roho za garage garaje kila week, roho za uharibifu! Nalifunga hasa hasaaaa!
Gari nilio navo mwaka wa 5 huu — service kwa mwaka mara 2, haijawahi pata ajali, haijawahi patwa na bal aa lolote, haili mafuta na ni engine kubwa na ina bomba 2! Ni gari inayonipa amaniii na furaha na kumshukuru Mungu kila wakati.
I built my mum a house!
Big investments! Life savings consumed! Ipo sehemu nzuri sanaaa! Lakini nikasahau kuifunga!
Na we took all precautions mpaka kuhamia kimya kimya — no house warming nothing! Nyumba haikalikii dada!
Picha linaanza: bi mkubwa kapata ajali, kapasuka kichwa, na kushonwa nyuzi 8! Bal aa lil ikuwa zitooo! Akasema: “NARUDI MAGOMENI!” Hatarííí!
Nikamwita bi mkubwa yule wa maombi, akasema:
“Hii ardhi ina madeni!”
Na ardhi tume nunua kwa Waarabu proper wale! Jicho likanitokaaa!
Akasema:
“Shughuli ya hapa sio ndogo! Inatakiwa tuchimbie maandiko ya nene kinyume na madeni ya ardhi!”
Nikamwambia: “Bi mkubwa, do the necessary! (Don’t try this at home) Hii issue ina ibada yake maalumu na sio andiko MTAKATIFU!”
Akaja, akawa anai fanya ile ibada — mimi nausomaaaa ule mchakatooo! Alichimbia maandiko ma 2 tu! Na mambo yakawa shwarili shwarinaaa!
Kesho yake alisepa Canada mpaka mwakani ndo anarudi!
Sasa mimi yale mamlaka nimeyakubalii! Najifuaaaa: nataka nirudie ile ibada kwanza niongeze maandiko pale home yafike walau ma 5! Na nataka kila ardhi navo miliki nichimbie maandiko mwanzo mwisho. Sicheki na wowote. NAILINDA yangu investment.
Bila AUTHORITY uta teseka sanaa sanaa!
Imagine una invest kwenye nyumba yako — watu wanaamua hutaishi sasa kwa taarífa yako!
Unajifanyia kazi yako kwa moyo — wanaamua utastaafu ofisaaa! Hakuna kupandaaa cheo!
Una jifanyia kabiashara kako — wanaamua hakuna kuuz aaa kudadeki zako — utakufa na madeni sasa.
Watu wana mamlaka na maisha yako kuliko wewe mwenye maisha yako — na umekaa umetulia — wanakupangia maisha, unafata!
MIMI NILICHOKAAAA UJINGAAA NA UPUUZI!
Nikasema: “Si only 4 books of Gospel? Sio kesi! Naruka navyo liveeeee! What else? Kum pa Yesu maisha tuuu?”
Maisha haya ambayo yasha nishindaaa kitambooo? Achukueeer tu!
I have nothing to lose anymore — I have lost everything already!
Kumpokea Yesu kama Bwana na Mwokozi wa maisha yangu tuuu? Namkataaa vipiii wakati maisha yenyewe siyaelewi — hayana dira wala muelekeo? Aje tu aniongoze.
CHAPTER 10…………
MPENDE BWANA MUNGU WAKO KWA NGUVU ZAKO ZOTE
Wapendwa kumpenda Mungu ni kazi nzito na sio kazi ndogo kabisa na kwa wakati mmoja. Lakini ni suala la maamuzi tu, Ukiamua kwa roho ya kweli kumpenda Mungu ni rahisi tuu kwa sababu Mungu hana demands kubwa wala nini, na ukiamua kutompenda lazima uteseke kwa sababu utajikuta unamuhitaji na huwezi kumpata.
Kumpenda Mungu ni suala moja, lakini kwa kiasi gani ni suala jingine kabisaa.Hai ishii kwenye kumpenda tu bali ni kiasi gani ndiyo issue kubwa zaidi, watu wanasema mimi Mungu nampenda sana tu mbona lakini ya mdomoni, akisali sala kwa siku ni moja (1), nayo ni kudemand tu, zaka hulipi, sadaka hutoi, neno husomi, ufalme hujengi. Sasa sijui huo ni upendo wa kichina ulio nao wewe, yaani so FAKE.
“Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote”, NO FAKE ZONE my beloved, yamkini unampenda ila sio kwa moyo wako wote which again ni ubabaifu.
Mungu ana version nyingi, usipokuwa makini utajikuta kuna some of his versions unazipenda kama promotions, paid travel na some hutaki hata kumsikia kama kuambiwa subiria mtu atoke kwa Mungu kukuoa na una miaka 40 uko kufuta 50.
“Love God with all your heart not choosing”
MFALME DAUDI NA MAMLAKA YA UPENDO KWA MUNGU
Mfalme Daudi alikuwa na baadhi ya askari mashujaa zaidi kuwahi kutokea katika historia ya Biblia. Askari wenye ujasiri na nguvu kiasi kwamba adui zao walitetemeka kwa hofu! Lakini jambo moja ambalo Daudi hakuwahi kuchanganya, ni hili: alijua na kuelewa kwamba ushindi wote unatoka kwa Mungu peke yake.
Kuna kikosi cha pekee cha Mfalme Daudi kinachoitwa The Three. Wakati fulani Daudi alikuwa amejificha mapangoni, lakini akatamani maji kutoka kisimani kilichokuwa katikati ya kambi ya Wafilisti – kisima kilichokuwa hot zone ya maadui! Wale askari watatu wakapita katikati ya jeshi la Wafilisti, wakapambana, wakachota maji na wakamletea Daudi. Na kumbuka, wakati huu Daudi hata hakuwa mfalme bado!
Lakini Daudi hakuyanywa yale maji. Alimwaga yale maji chini kwa heshima, akasema haya ni damu ya mashujaa wangu. Unajiuliza – “oooh, mimi nina watu?” Watu gani wewe? Daudi alikuwa na watu – acha kabisa!
Alikuwa na kamanda anayeitwa Eleazari, ambaye alishika upanga wake na kupigana na Wafilisti mpaka upanga wake ukashikamana na mkono wake! Aliushikilia muda mrefu sana kiasi kwamba haukuweza kutoka mkononi baada ya vita. He had highly skilled men for shizzo!
Lakini pamoja na askari wake wenye nguvu, Daudi katika Zaburi zake zote alimpa sifa Mungu pekee – mwanzo hadi mwisho. Zaburi 23 aliimaliza kila kitu:
“Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu!”
Upendo Wetu kwa Watu Badala ya Mungu
Sasa watu wa leo hamumpendi Mungu kwa moyo wenu wote. Mmebaki kujikomba-komba kwa watu mnaofikiria watakuwa msaada wenu.
Mtu anaweza kuamka asisali hata dakika 5, lakini akaenda kusimama kwenye foleni kwa mtumishi masaa 10 bila kulalamika! It makes you wonder – kwenye rank, nani ni mkuu? Mungu au mtumishi?
Munalipa zaka sio kwa sababu ya upendo kwa Mungu, bali kwa hofu kwamba mtumishi au kanisa litawakataa – labda hata hawatawazika kama hamna “connection”!
Mtumishi anaweza kuwatisha, lakini sio Mungu! Mungu humuogopi hata robo! Ila mtumishi anawafanya mkae mnyonge – hatariii! Mnaenda kanisani sio kwa sababu roho zenu zipo kwenye hali ya ibada, bali kwa sababu mnajua mtumishi akikukata, unakuwa umeisha! It is safe to say – unampenda mtumishi kwa moyo wako wote.
Kama kweli ungempenda Mungu, ungetengeneza muda kwa ajili Yake. Hata kama huna muda kabisa, ungeu“manufacture” muda kwa Mungu! Huwezi ukaishia wiki nzima hujasali, it’s impossible.
Kwanini Hatumpendi Mungu kwa Moyo Wetu Wote?
Sababu kubwa ni kwamba upendo wako kwa vitu vingine – tamaa, starehe, umbea, udokozi – umekupofusha. Unashindwa kumchagua Mungu kwa dhati. Unapanga ratiba kati ya Mungu na dhambi zako.
Yesu alisema “mpende jirani yako kama nafsi yako.” In sound easy, right? Lakini trick iko pale Yesu alipoeleza jirani yako ni nani – yule usiyempenda, yule anayekupa kichefuchefu!
Mfano wa Msamaria Mkarimu
Mfano ule ulilenga kutufunza kwamba jirani yako ni mtu yule ambaye ungependa hata asikuwepo. Yule anayekupima imani 24/7.
Luka 10:31
“Kwa nasibu kuhani mmoja alishuka kwa njia ile; na alipomwona, alipita kando.”
Leo hii watu wanalia – wametumia mamilioni kwenye kanisa, lakini pale wanapopitia changamoto, kanisa ndo la kwanza kujiepusha nao!
Wa pili kupita alikuwa Mlawi.
Luka 10:32
“Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapita kando.”
Lakini Msamaria – mtu wa rank ya chini kabisa – ndiye aliyesaidia kwa moyo wote.
Kuwapenda Watu Bila Kubagua
Mungu anaweza kuweka majibu ya maombi yako kwa mtu ambaye wewe unamdharau!
Kuna kisa cha dada mmoja aliyekuwa boss ofisini. Alikuwa na kiburi, dharau, na nyodo hadi ofisi nzima wanamchukia. Lakini alipokuja mwanaume wa kuoa – a gentleman – alikuwaga busy kujipendekeza. Sasa guess what? Mama wa huyo binti aliyemnyanyasa ofisini ndo mama mkwe wake!
Ameshikwa pabaya. Mama akasema “hapana, huyu simtaki hata kwa kushikiliwa bunduki!” Dada akalia machozi ya damu, lakini ikashindikana. Alimkosa jamaa mazimaaa.
Bipolar na Ndoa
Wengi wenu mnashangaa – “mimi mzuri sana, lakini hakuna mwanaume anayenifuata.” Lakini kweli, nani atakufuata na hiyo bipolar yako ya kujitakia?
Hata ukikuta mfanyakazi wa kike bank au ofisi za serikali – ukiangalia tabia zake na ucheshi wake – lazima ameolewa. Watu wazuri, wenye utu na upole, hupendwa na jamiii nzima.
Lakini wale wenye kiburi na dharau, 99% ni single, divorced, au single mothers. Na sio kwamba hawajui Mungu – wengi wameokoka. Lakini bipolar iko pale pale.
Kubadilishwa na Mungu
Unapompenda Mungu kweli, unajifunza tabia yake – huwezi kuwadharau watu. Kwa sababu tabia zako zinawakilisha Mungu wako.
Ndiyo maana watu wakianza kumjua Mungu kweli, maisha yao yanapanda viwango:
-
Kazini wanapandishwa vyeo.
-
Mahusiano yanafunguka.
-
Jamii inawasamehe.
Watu wanakupa second chance, kwa sababu Mungu ameanza kufanya kazi ndani yako.
CHAPTER 10….
WATU WENGI TUNAHANGAIKA NA DUNIA NA TUMECHAGUA FUNGU LISILO JEMA
Wapendwa wengi wetu ni Martha mpaka leo hii, actually mpaka kesho mpaka mfike miaka 60, We all know Yesu yupo hai ameketi kuume kwa baba yake ambaye ni Mungu wetu, It is common sunday school knowledge.
Lakini pamoja na kujua yesu yupo 24/7 anakungoja wewe tu ukae magotini pekee akunyooshee mambo yako, hutaendaa!, upo radhi ukapige magoti kwa uncle wako, ulale na watu wenye umri wa baba yako mzazi yaani hawatazamiki, ujikeshe kwa class mate wako, unaomba kama kajibwa fulani hivi na kujikomba komba kufata watu wakupe kazi. Unaweza kufanya au kufanywa lolote na yoyote ili upate kazi ila sio kwenda kwa Yesu yaani kwako mpaka dunia iumbwe upya.
Upo radhi mwanaume aku – abuse na kuku-treate kama lidudu hivi, akiamua anakuchekea akiamua anakuchunia yaani upo kama mwana sesere, ana wapanga hata ishiribi na wote mnajuana, sometimes mwanaume mwenyewe ni kubwa jinga to you sell yourself short kwa kujitoa akili ili uweze kumatch ukubwa jinga wake ili tu muweze kuendana, lakini bnado mwanaume hakutaki na upo naye mpaka akuue na sio kwenda kwa Yesu.
MWANAMKE NA MAHUSIANO: KWA NINI TUNAMTELEKEZA MUNGU NA KUMPA MWANAUME KITI CHA ENZI?
Mwanamke anaweza kutumia mamilioni kuhonga mwanaume, kununua mapenzi ya muda mfupi, lakini hawezi hata kutoa senti mia kwa Mungu. Lakini ikifika siku za stimu za kulanduka zikimshika, mara moja anamkimbilia Mungu kulia na kulalamika eti afanye kitu kwa mahusiano yake. Mahusiano yapi? Mahusiano ambayo umemweka mwanaume kama mungu wako na Mungu wa kweli amebaki kuwa kama “jibwa” kwako? 🤷🏽♂️
Ukimwona mwanaume akifanya kitu kidogo, unayapiga radhi, unayasherehesha kana kwamba yeye ndiye aliyeumba mbingu na dunia. Lakini Mungu anakusubiri bure tu.
YESU ANA MAMLAKA, NA UNAIKOSA!
Kuanzia Luka 1–10, Yesu alisema mara nyingi: “Mimi ndiye Mwana wa Mungu.” Yeye ana password zote za Baba wake, amepewa mamlaka juu ya ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili. Hata mamlaka aligawa kwa wanafunzi wake, wakaifanyia kazi hadi Shetani akaanguka kama umeme, na Yesu akamwona live! 🔥
Lakini wewe? Badala ya kushikamana na Yesu, unajitupa kwa watu, kwa mapadre, kwa wachumba, kwa vibe za kidunia. Kwanini unajitesa? Kwa nini unakuwa kama Martha — uko kanisani kila siku, lakini kichwani huna kitu?
KANISANI HUKO KWA AJILI YA YESU AU WATU?
Wengi mnakaa kwenye mabenchi ya kanisa, mnaimba kwaya, mnajulikana kwa wachungaji, lakini injili hata moja hujasoma. Yesu unamjua vipande vipande, Roho Mtakatifu hujamsikia. Lakini ukulize kuhusu katiba ya kanisa, mashughuli ya wachungaji, majina ya wake zao na tabia zao — wewe ni encyclopedia ya kanisa.
Unajua nani anatembea na nani, nani analala na nani, nani ni “mtakatifu feki.” Na unajifanya kama unafanya kazi ya Yesu, kumbe unajipendekeza tu kwa mtumishi. Hakuna tuzo mbinguni kwa hilo.
WATU WANAKUJA NA DEMANDS ZAO KWA SPEED DIAL
Mimi kila siku nakutana na watu wanaokuja na list ndefu ya matarajio:
-
“Mama, naomba kazi ya maana. Kwetu hakuna aliyeajiriwa vizuri!”
-
“Nataka kuolewa mwaka huu!”
-
“Nataka kujenga mwezi huu!”
-
“Nataka nyota mbili au tatu juu ya jina langu, Mama.”
Lakini swali ni: Mungu atoe wapi? Wapi imeandikwa kwamba ukishikwa stimu za maombi ya dharura, Mungu anakimbia haraka kukupa kila kitu? THUBUTU!
UJINGA WA MAOMBI YA TAMAA
Wengi mnasema: “Imeandikwa, ombeni nanyi mtapewa.” Lakini unajua nani alisema hayo? Umeelewa context? Hapana. Unataka tu kunukuu Biblia kama Instagram quote.
Angalia Yakobo 4:3:
Tena, mnapoomba hampati kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya; mnaomba ili mpate kutosheleza tamaa zenu.
Andiko hili hamtaliona kamwe, kwa sababu mnataka Mungu awe ATM ya tamaa zenu.
HAUMSIKII YESU, NA YESU ANAJUA
Yohana 10:27-30 inasema:
Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata.
Lakini wewe? Kondoo? Hapana. Hata sauti ya Yesu haisikii tena. Umekuwa kiziwi sugu.
Na bado unasema: “Ombeni nanyi mtapewa.”
Wewe na hiyo show ya maombi ya tamaa ni burudisho kwa roho za giza.
MAMBO YA MBINGU HAYAFANYIKI KWA UBABAIFU
Ndiyo, kwa Mungu yote yanawezekana. Lakini inategemea nani anaomba.
Kama wewe ni rafiki wa Shetani, unategemea nini? Mungu akupe? Asilani!
Mpaka uachane na Shetani, na vitu vyake vyote, na fahari zake zote, ndipo utaanza kuona mlango wa baraka unafunguka.
AMRI 10 ZA MUNGU
Mungu alitoa amri zake 10 tu. Hakusema ni option, hakusema ni preference. Alisema: “Hizi ni amri.” Lakini wewe unataka usizishike na bado umdai Mungu akufanyie mambo? Huo ni wazimu mtupu.
UKIPENDA, KUJIPANGA, UTAONEKANA
Kuna wanawake wanakuja kwangu na list ndefu ya mahitaji. Na mimi napenda watu wanaojua thamani yao. Lakini huwa nawauliza:
“Kwa mkeo wa kesho umejipangaje kuishangaza mbingu? Unasoma injili ngapi? Unajua Paulo aliandika barua ngapi? Unaelewa majina ya manabii wakuu na wadogo? Unajua hata vitabu vya Musa?”
Ukiangalia wengi hawajui hata sura moja. Wamebaki na ujinga wa kidini badala ya maarifa ya kiroho.
UNAPIGANA NA SHETANI KWA UPANGA WA MAZIWA?
Wewe unataka kumshinda shetani kwa ujinga huu? Unapigana vita ya nuclear na mkuki wa kijiji?
“Ondoka mbele yangu, Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu…” (Mathayo 16:23)
Yesu mwenyewe alikemea mawazo ya kibinadamu. Na wewe bado unataka kushindana bila silaha ya neno? Wewe unachekesha.
WATUMISHI WAKUBWA HAWAKUOKOI
Ninawajua watu wanaopiga picha na maaskofu wakubwa, wanaenda lunch na manabii, lakini maisha yao hayajabadilika. Kwa nini? Kwa sababu hawasomi injili hata moja.
Bishop hatakupatia upako kwa Bluetooth au Wi-Fi. Soma neno.
UKOO WA PEPONI NA UKOO WA UTUMWA
Wengine mnakuja mkilia, mna majeraha ya rohoni, mna ndoa za mapepo, maagano ya kifamilia. Hii ni vita ya kweli. Haitatoka kwa ubabaifu.
Kuna watu wengine wanajitoa kwa moyo wote, wanaanza kusoma injili zote nne kwa bidii, wanapiga maombi kama maisha yao yanategemea hilo — na matokeo yanakuja. Lakini wewe unajifanyia kama mchezaji wa muda.
MUNGU ANAANGALIA CHAGUO ZAKO
Mungu ametupa uwezo wa kuchagua mema na mabaya.
Ukichagua zinaa bila ndoa — utavuna uchungu. Ukichagua kuacha kusoma Biblia — utavuna uchochole wa kiroho.
Chaguo moja rahisi — kutosoma Biblia — linaweza kukuangamiza.
CHAPTER 11
Luka 11
1 Ikawa alipokuwa mahali fulani akiomba, alipokwisha, mmoja katika wanafunzi wake alimwambia, Bwana, tufundishe kuomba, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake.
2 Akawaambia, Mnapoomba, semeni:
Baba yetu uliye mbinguni,
Jina lako litukuzwe,
Ufalme wako uje,
Mapenzi yako yatimizwe,
hapa duniani kama huko mbinguni.
3 Utupe kila siku riziki yetu.
4 Utusamehe dhambi zetu,
kama sisi nasi tunavyowasamehe wotendao dhambi juu yetu.
Na usitutie majaribuni.
5 Akawaambia, Ni nani kwenu mwenye rafiki, atakayekwenda kwake usiku wa manane, akamwambia, Rafiki, niazime mikate mitatu,
6 kwa kuwa rafiki yangu amefika kwangu safarini, nami sina chakula cha kumwekea;
7 na yule wa ndani akajibu akisema, Usinisumbue; mlango umekwisha fungwa, na watoto wangu wamelala kitandani pamoja nami; siwezi kuondoka nikakupa.
8 Nawaambia, Ingawa haondoki akampa kwa kuwa ni rafiki yake, lakini kwa vile aombavyo bila haya, ataondoka na kumpa kadiri ya haja yake.
9 Nami nawaambia, Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa.
10 Kwa maana kila aombaye hupokea; na atafutaye huona; na abishaye atafunguliwa.
11 Je! Kuna baba yupi kwenu ambaye mwanawe akimwomba samaki, atampa nyoka badala ya samaki?
12 Au akimwomba yai, atampa nge?
13 Basi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema, je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu wale wamwombao?
14 Naye alikuwa akitoa pepo, naye alikuwa bubu. Ikawa alipokwisha kutoka, yule bubu akanena, makutano wakastaajabu.
15 Wengine wao wakasema, Atoa pepo kwa Beelzebuli, mkuu wa pepo.
16 Wengine wakamjaribu, wakitaka ishara itokayo mbinguni.
17 Lakini yeye akijua mawazo yao, akawaambia, Kila ufalme uliofitinika wenyewe kwa wenyewe hufanyika ukiwa; na nyumba juu ya nyumba huanguka.
18 Basi, ikiwa Shetani naye amefitinika juu ya nafsi yake, ufalme wake utasimamaje? Kwa kuwa ninyi mnasema ya kwamba mimi natoa pepo kwa Beelzebuli.
19 Basi, ikiwa mimi natoa pepo kwa Beelzebuli, wana wenu huwatoa kwa nani? Kwa sababu hiyo hao ndio watakaowahukumu.
20 Lakini, ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umewajia.
21 Mtu mwenye nguvu, aliyejihami, akiulinda ukao wake, mali zake zi salama;
22 lakini mtu mwenye nguvu kuliko yeye akimshambulia na kumshinda, humnyang’anya silaha zake zote alizokuwa akizitegemea, akagawanya nyara zake.
23 Asiye pamoja nami yu kinyume changu, na yeye asiyekusanya pamoja nami hutapanya.
24 Pepo mchafu amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali pa kupumzika; asipopata husema, Nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka.
25 Naye afikapo huikuta imefagiwa na kupambwa.
26 Mara huenda, akachukua pepo wengine saba, waovu kuliko yeye, wakaingia wakaikaa humo; na hali ya mtu yule huwa mbaya kuliko ya kwanza.
27 Ikawa alipokuwa akisema maneno hayo, mwanamke mmoja katika mkutano akapaza sauti yake, akamwambia, Heri tumbo lililokuzaa, na maziwa uliyonyonya!
28 Akasema, Afadhali, heri wale walisikiao neno la Mungu na kulishika.
29 Na makutano walipokuwa wakimkusanyikia, alianza kusema, Kizazi hiki ni kizazi kibaya; kinataka ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya Yona.
30 Maana kama vile Yona alivyokuwa ishara kwa Waninawi, ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu kwa kizazi hiki.
31 Malkia wa kusini atafufuka siku ya hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki, naye atawahukumu kuwa na hatia; kwa sababu alikuja kutoka mbali, hata ncha za dunia, kuja kusikia hekima ya Sulemani; na kumbe hapa pana mkuu kuliko Sulemani.
32 Watu wa Ninewe watatokea siku ya hukumu pamoja na kizazi hiki, nao watakihukumu kuwa na hatia; kwa sababu walitubu kwa mahubiri ya Yona; na kumbe hapa pana mkuu kuliko Yona.
33 Hakuna mtu awashaye taa na kuiweka mahali palipofichika, wala chini ya pishi, bali huweka juu ya kiango, ili waingiao wapate kuona mwangaza.
34 Taa ya mwili ni jicho lako; jicho lako likiwa safi, mwili wako wote una mwanga; likiwa bovu, mwili wako nao una giza.
35 Jihadharini basi, mwanga ulio ndani yako usiwe giza.
36 Basi mwili wako wote ukiwa na mwanga, wala usiwe na sehemu yenye giza, utakuwa mwangaza wote, kama vile taa iangazavyo kwa kung’aa kwake.
37 Alipokuwa akisema, Farisayo mmoja alimkaribisha ale chakula kwake; akaingia, akaketi chakulani.
38 Farisayo alipoona hayo, alistaajabu kwamba hakunawa kwanza kabla ya chakula.
39 Bwana akamwambia, Ninyi Mafarisayo mwasafisha kikombe na sinia kwa nje, lakini ndani yenu mmejaa unyang’anyi na uovu.
40 Enyi wapumbavu, Yeye aliyeifanya nje, je! Hakufanya na ndani pia?
41 Lakini toeni sadaka vitu vilivyomo, na tazama, vyote huwa safi kwenu.
42 Lakini ole wenu ninyi Mafarisayo! Kwa kuwa mnatoa zaka ya minti na ruda na kila mboga, na kuyacha yaliyo ya maana katika torati, hukumu, na upendo wa Mungu; hayo imewapasa kuyafanya, wala yale mengine msiyaache.
43 Ole wenu ninyi Mafarisayo! Kwa kuwa mwapenda viti vya mbele katika masinagogi, na kusalimiwa masokoni.
44 Ole wenu! Kwa kuwa mmekuwa kama makaburi yasiyoonekana, nayo watu hupita juu yake wasiyajue.
45 Mmoja wa wanasheria akajibu akamwambia, Mwalimu, kwa kusema hivyo unatukana na sisi.
46 Akasema, Nanyi wanasheria, ole wenu! Kwa kuwa mnawatwika watu mizigo migumu isiyochukika, wala ninyi wenyewe hamgusi mizigo hiyo kwa kidole chenu.
47 Ole wenu! Kwa kuwa mwajenga makaburi ya manabii, na baba zenu waliwaua.
48 Basi, mmeshuhudia na kupenda matendo ya baba zenu; kwa kuwa wao waliwaua, nanyi mwajenga makaburi yao.
49 Kwa hiyo na hekima ya Mungu ilisema, Tazama, nitatuma kwao manabii na mitume, nao baadhi yao watawaua na kuwafukuza;
50 ili kwamba damu ya manabii wote iliyomwagika tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu itakwe juu ya kizazi hiki;
51 tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na hekalu; naam, nawaambia ya kwamba itatakwa juu ya kizazi hiki.
52 Ole wenu ninyi wanasheria! Kwa kuwa mmeondoa ufunguo wa maarifa; ninyi wenyewe hamkuingia, nao waliotaka kuingia mmewazuia.
53 Alipokwisha kusema maneno haya, Mafarisayo na waandishi wakaanza kumsonga sana, na kumzungusha ili wamnase katika maneno ya kinywa chake,
54 wakimvizia, ili wapate neno litakalowashitaki.
A FRIEND !!! RAFIKI !!!
Wapendwa KEY WORD ni “FRIEND” Neno “RAFIKI” limetajwa kama mara zotee, Limetajwa na limetajwa tena mpaka limewekewa msisitizo ulio-pitiliza.
Lakini Somehow watu either!! hawalioni hili neno kabisa au hawalizingatii somehow lakini the rest of the message wanaipata bara bara. Shida inaanza mtu anaruka live na ujumbe uliofuata bila kujali kama “URAFIKI” upo baina yake na hao anaowaomba. Yesu hakusema ushikwe stimu za kulandukwa uparamie dynasties to demand for things, huwajui hawakujui, he was crystal clear ” FORM FRIENDSHIPS AND MAKE SURE YOU ARE DEALING WITH YOUR FRIENDS, LIKE YOU KNOW THEM, THEY KNOW YOU”
SIJIZIME DATA KABISA!
“IT IS WRITTEN”—BUT DID YOU READ IT PROPERLY?
YESU HAKUSEMA ULANDUKWE USIKU UKAGONGE KWA WATU WASIOKUJUA KUTAKA WAKUPE VITU VYAO KICHWA KICHWA!
UKIFUKUZWA UJIZIME DATA KABISAA Q!Q!Ql! UTA PIGWA RISASlll UJE UMLAUMU YESU OOHHH IMEANDIKWA!
Of course it is written, but YOU DIDN’T READ PROPERLY!
Luka 11:5
“Akawaambia, Ni nani kwenu aliye na rafiki, akamwendea usiku wa manane, na kumwambia, Rafiki yangu, nikopeshe mikate mitatu…”
ZINGATIA 👉 “ALIYE NA RAFIKI!”
RAFIKI YANGUUU!
JE MUNGU NI RAFIKI YAKOOOO????
MNA UHUSIANO NAE WA KARIBUUUU?
MWANZO WA BALAA
Ni pale unajua kabisa umeharibu, umemchoma Mungu bila aibu—alafu unajizima data na kurudi kichwakichwa kujaribu kupita na maandiko nusu nusu!
Unajua wewe ni mzinzi mzuri tuuu, muabudu miungu kama VOTE, kanisani huendi, ibada hufanyi, mwizi kazini hatariii, mla rushwa, muongo professional.
Amri 10 za Mungu hazikusumbui kabisa!
Mungu si rafiki yako, wala huhitaji ukaribu Naye! Kusali hata kwa kujifosi umeacha kitamboooo.
Lakini ikifika siku ya shida, stimu zinakulanduka, and suddenly you try to make this scripture work for your favor uso mkavuuu.
IT NEVER WORKS!
Not because God lied.
Not because the writer lied.
Not because Jesus hyped things!
It never works because IT IS YOU, THE SINISTER, TRYING TO FINISH THE SCRIPTURE!
Wewe unaona hapo andiko linahusu marafiki, na wewe unajijua ni adui na toto potevuuu!
Instead ya kuchakachua andiko, repea relationship yako na Mungu uliyoiharibika!
UKIMKOSA MUNGU, UMEPOTEA
Anytime ukiona mpo mbali na Mungu—just know it is NOT God aliyedraft distance hiyo!
Ni wewe uliondoka!
Andiko litafanya kazi liko wazi, lakini lazima “urafikiiii” uwepo! Na wewe ndo uliharibu mambo!
REKEBISHA!
HAINANAMNA INGINE!
TUBU NA NYOOSHA MAPITO!
URAFIKI UKIRUDI, ANDIKO LITATIMIA KWAKO!
WANAKUJA KUOMBA USHAURI – MAHUSIANO, DOA, KAZI, BIASHARA…
Watu wana nifuata:
“Mama, tunahitaji guidance kuvuka eneo la mahusiano…”
“Tunahitaji Mungu atende kwa ukubwa…”
But bado wanamaintain SINISTER lifestyle ile ile!
Na mimi nasemaga tu:
“DON’T WASTE MY TIME.”
Wananiangalia kama KAVUUU sanaaa!
BIBLIA HAIBADILIKI
Biblia ina miaka 2000, haijawahi kubadilika kuaccommodate ushenzi wa mtu yeyote.
Hata wafalme, hata mamlaka!
Itabadilika kwako leo? REALLY?
Mfano: Mfalme Henry wa 8 wa UK alitaka Papa achakachue maandiko kidogo tu afute ndoa yake ya Queen Catherine kwa sababu hakuzaa mtoto wa kiume.
Papa akamkatalia!
Mfalme akaanzisha The Church of England na kujiweka kama kiongozi lakini akapikika kila kitu cha Waromaaa.
If maandiko haya kubend kwa Wafalme wa Dunia… Haya bend kwako wewe kweli shoga angu???
NEVERRRRRRR EVERRRRRRR!
Wewe ukijizima dataaaa, mbinguni wanachomoa saver kabisaaa na kung’oa main switch!
BORA UJUE HII…
Isaiah 59:2
“Lakini maovu yenu yamewatenga ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hatasikia.”
Mtu anataka Mungu ampe mume kutoka kwake, huku anaendelea kuzini kwa raha zake.
Anaiba kazini, anaishi maisha yote yanayomchukiza Mungu.
Anataka kupanda vyeo, mafanikio, lakini zaka halipi hata shilingi 10, sadaka hafanyi, kile Mungu alimuamini nacho—ana rushaaa chote.
Anaenda mbele za Mungu kuomba vingine… lakini anatolewa KAVUUU VILE VILE.
MAHOJIANO NA MUNGU?
Kwanza timiza maandiko.
Kama hujatimiza andiko, unauliza nini?
Jihoji ubabaifu wako kwanza!
Yesu alisisitiza—KAMA una urafiki na Baba yako wa mbinguni, una haki ya kuomba na kukomaaa mpaka akupe!
As long as una tll maagizo ya Mungu…
DOOOOONT TAKE NO FOR AN ANSWER!
LUKA 11:9-13
9 “Basi mimi nawaambia: Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa.”
10 “Kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.”
13 “Basi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema, je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu wao wamwombao?”
Lakini tena, Yesu alisema “BABA YENU”…
Kuomba, kujibiwa, kufunguliwa milango KUNAHITAJI MAHUSIANO YA “UBABA” KATI YENU!
NDIO MAANA…
Dini kama Roman, Lutheran, Anglican, ibada zao ni 95% mafundisho ya maandiko, kumtolea Mungu, kumwimbia, kumheshimu, na only 5% ni maombi.
Kwa sababu wanajenga urafiki na Baba yao kwanza, wanajua kwamba maombi ya kujibiwa ni matokeo ya urafiki uliowekwa imara.
WANAODANDIA DINI…
Watu wanaodandia dini ndio mnaoharibu.
Hutaki kumjua Mungu wala kujenga urafiki, unachotaka ni kumpelepesha Mungu upate vyako uendelee na upagani wako.
“Mimi sitaki kuokoka, nataka tu neema wanazopata walokole!”
Yaani unataka quarter the efforts, rip triple the rewards?!
STIMU ZA KULANDUKAA NI NINI SASA?
WALOKOLE WANATESWA
Walokole wamekauka kwa upwiiiruuu wa miaka, wamezeeka kwa mikesho na kufunga zisizo na idadi, wamejimaliza kwa sadaka!
Wewe unataka uruke process yote hiyo, upwilu wako unakata kiu yako, unaiba, unazini, unaongopa, unabaki kujifunika kwa maandiko nusunusu!
But once you start kutii maandiko, utaelewa kwanini watu wana kesha, wanafungaaa, wanatoa sadaka bila kusita, hawaruki zaka hata mojaaa.
FINALLY…
Wakivunaaa, si rahisi kupoteza mavuno kijinga—they earned it!
With blood and sweat!
Wanajua process waliopitia kupata hivyo vitu.
Ndiyo maana huwezi kukuta mtu kaokoka, kapata ushindi, halafu akarudi nyuma—NAVERRRR!
Kinachobakia ni:
UTUKUFU MPAKA UTUKUFU!
🕊️
If you’ve read this far, this is not the time to switch off your data.
This is the time to switch back your relationship with God!
CHAPTER 11 …..
MAONO YAKO NI YAPI?
Wapendwa tunaona mwanamke anamsifia Yesu kwamba kheri mama yake. Yesu anamsahihisha na kumwambia heri mtu anayelisikia neno la Mungu. Wapendwa hii ni tabia ya watu tangu kale kuwa focused na messenger rather than a message, Yaani utakuta wakristo na waislamu tunashupazana shingo kubishana who was true last messenger? Jesus or mohammed
GIZA LIPO NDANI YAKOOO!
YANI MTU ANA AMINI AKIKUTANA TU NA NABIII MAMBO YAKE YATANYOOKA KAMA RULER!
HASOMIII INJILI! HASALI!
JAPO KUMSIFU MUNGU KWA NYIMBO HAKUNAAA!
He has no interest in God whatsoever…
Ila yupo VERY VERY interested matatizo yake kumalizwa na nabiii.
Haijalishi kama nabii ni vessel – basi wewe ndo abiria wa hiyo vessel!
SOMETIMES it costs a fortune kumuona nabiii!
Na no matter nabii awe anointed kiasi gani, kama huna base, hutapata chochote kutoka kwa anointing yake.
Na utajikuta una kata tamaa mapema sanaa! ASUBUHIII!
YESU ANAZUNGUMZIA THE SAME ISSUE…
Kwamba Yeye yupo!
Na yupo 24/7 sahivi…
Lakini watu wako focused na wrong things.
Anasema:
Malkia wa Kusini alisafiri masafa kusikia hekima ya Suleiman
— ndo kama wewe unavyojipakatanisha mikoa na nchi kuwasikiliza manabii —
Wakati Yesu yupo ANDIKO MOJA mbele yako
Na ni MKUBWA kuliko manabii woteee!
Aka sema:
Wakati wa hukumu, kizazi cha Ninawi kita tuhukumu.
Kwa sababu, kwa mahubiri ya mchongo mchongo ya Yona, wao walitubu!
Lakini sisi — pamoja na Injili zote nne — bado hatutubu mtu!
Bado hatutaki kusikia!
Labda tupewe ishara atiii?!
Na Yesu kanyoosha:
“Hakuna ishara yoyote zaidi ya ishara ya Yona.”
Sababu:
Yona alikuwa ishara kwa watu wa Ninawi — na wakatubu!
Sasa kizazi chetu, ishara yetu ni MKUBWA zaidi ya Yona,
Na ndie YESU KRISTO MASIAH!
USIPO TUBU KWA MAFUNDISHO YA YESU… IMEKULA KWAKOOO!
Yesu anazungumzia MWANGA wa ndani ya mtu.
“Mwanga wa ndani ya mtu ni maono aliyonayo mtu ndani yake.”
Kama mtu ana maono ya ushindi ndani yake,
Basi atapata mawazo na akili ya kuvuka na kushinda!
Lakini kama ana maono ya giza na kushindwa,
Basi mwili na akili yake vita sinyaa,
Na anakosa maarifa mpaka mwisho kushindwa kabisaaa!
Yesu anatutaka kuondoa maono yote mabaya kwenye maisha yetu,
Na kuhakikisha hakuna giza lolote linabakia ndani yako.
Unataka kumtumikia Yesu —
Ila bado unataka kuendelea kuiba ofisini!?
Hali ngumu…
Utafanyaje?
Maono ya GIZAAA hayo!
Na giza litaambukiza maeneo mengine ya maisha yako.
Unataka kumtumikia Mungu na kungoja mwanaume atokae kwake!
Lakini UPWIRUUU una ku-pwiruaa hatariiii!
Inabidi ujipozeee pozeee on the meantime
Na wanaume wasi otoka kwa Mungu —
Not because you enjoy…
Your body needs it!
GIZA LIPO NDANI YAKOOO!