Niliye andika hiyo title ni former Queen of Revenge, Nilikuwa sisamehi mtu wala sisahau kitu, Nilikuwa Kama AI yani nakuweka kiporo alafu in your lowest point I call in the truce, I usually saved m revenge COLD with cold heart, Yani hata chance ya ku-revenge ikitokea mwanzoni ambapo una nguvu sita revenge muda huo, nitakuelewa kiporo mpaka at your lowest point hapo sasa ndo na mimi nakusomea mashtaka yangu sometimes yana miaka, I WAS COLD BLOODED YAANI AMPHIBIA COLD NOT REPTILIA COLD TO BE PRECISE.
Sasa baada ya kuokoka maana kuokoka nili-OKOKA ghafla sana, sikuwa na luxury kama yenu ya kuwaza na kuwazua ni okoke au nisi okokee, Watu nilio kuwa nao yaani losers camp waliamua ghafla sana,They no longer want to be losers, so the only way out ni KU -OKOKA TU AND MAY GOD HELP US, Like you I had lots of questions and doubts, Lakini mambo yalikuwa ki-dictator, ARE YOU WITH US OR NOT ?Nikasema by then Religion is Clichee, more sinners than saints only they own their sins with their Audecity,I have been worse places Jesus can not be that bad, Niliwafata watu nje za nchi mara kibao itakuwa KANISANI, Nipooo twendeni tuka OKOKE! Praise Lord! Hallelujah!Tu!
Hio haiwezi nishinda, After-all I had an A in bible knowledge, What more can they lie to me? All 73 books zipo kwa kichwa na wanatumia 66 tu, Alafu mtu hajakaa darasani, hajaishi mtaani, ana kazi ya kusimama tu madhabauni how bad can he manipulate me?, Me, who I have been abroad and back niwe manipulated na mtu allhe knows is church to home trips, Karata zipo upande wangu.
On other hand nikawaza I know the Bible, I have known the Bible for the longest, I was a church goer, maybe not a believer but definitely I showed up on church consistently for most of my childhood lakini maisha was not maisharing, Sasa hawa wanaotaka kutumia maandiko jioni hii sidhani kama kutakuwa na jipya, Vina mda basi, Kesho tu hii ulokole Business ita wawamba na itapita na we will back on serious business,BADO NIKASEMA NIMO TWENDENI TUKA OKOKE.
Sasa katika kiwasikiliza plot yao, lengo la Kuokoka hasa ni kupata UtajirI, I knew there was definitely an angle lakini sikutegemea itakuwa this Daft, Sababu mimi Bible Knowledge nilikuwa nakuja so namjua Mungu from Doctorines, nikaona WANACHEZA, Lakini aliyeanzisha hilivaagi lote, ALIOKOKA maisha yake mazuri mpaka kesho, Wakawa wanamtumia kama CASE STUDY, Na kweli pamoja na Doctorines zangu zote that I couldn’t come up with an explanation, lakini moyoni nilijua tu KUNA ANGLE na definitely not DIVINE ONE, Lakini na mimi utajiri nautaka, Hata robo tu ya wa yule ndugu yetu!
Wapendwa tulianza kanisa la ndugu yetu tukafukuzwa hii story nilisha simulia, Wakataka kukata tamaaa, nikawaambia jamani kama mnataka ku-Quit tafuteni valid reason, Makanisa yapo MENGI SANA, MA PASTOR NDIYO USISEME, Unless hamkuwa serious na utajiri, Sitaki kuamini mlijua utakuwa rahisi, Hata utajiri wa Mganga una msharti, We keep the vison but change the mission tukabadili makanisa kama nguo, mpaka tukapata moja hilo ukishindwa basi.Tukiulizwa nani anataka kuokoka?, Wakavu wa mioyo, Tuka OKOKA, lengo letu ni KUTAJIRIKA and LIVE LARGER THAN LIFE, YESU alijionea mambo siku hio! TUKAONGOZWA SALA PALE FASTA FASTA, IT TOOK BARELY 20 MINUTES!
Baada ya kuokoka zikaanza demands sasa, acha hiki, acha kile, fanya hivi, vile usifanye, Inachoshaaa! Hasa ukiwa huna nia ya kuokoka, Lakini like kanisa lina MAGARI MAKALI ya waumini balaa,Yanakwambia kaaa kwa kutulia upo sehemu sahihi, Embu fanya unayo-ambiwa au hutaki RANGE!
YOTE KWA YOTE MIMI HAYAKUNIPA SHIDA KUACHA LAKINI LA KUSAMEHE WALIO NIKOSEA, THUBUTUUUU! ABADAN ASILANI, SIO KIRAHISI YAANI KIVIPI KWANZA ? NAANZAJEEEE? WATU NIMEWABEBA MIAKA KUMI (10) HUKO, KIRAHISI TU? KWA HILO MUNGU MWENYEWE ATANIELWA!, OOOH THEY WILL DEFINITELY PAY AND PAY DEARLY WHEN THE RIGHT TIME AND OPORTUNITY COMES, SO FOR YEARS NIKAWA NIMEOKOKA NA BADO SIJASAMEHE CHOCHOTE NA HUO MPANGO SINA KWANZA, NILIFANIKIWA KUVUKA FACED ULOKOLE STAGE MPAKA KU OKOKA REAL 100% LAKINI MSAMAHA NOOO WAY NO DAY! NANGOJA TU WAKATI NA MAZINGIRA YAWE UPANDE WANGU.
UNAWEZA JIULIZA NILIVUKAJE ULOKOLE WA KUZUGA MPAKA KUOKA KWELIKWELI, WELL BIBLIA NI ILE ILE ISIPOKUWA PENTEKOSTE WANA MLETA HOLY SPIRIT KWENYE EQUATION! NA THAT CHANGES EVERYTHING, BIBLE KNOWLEDGE NILIO KUWA NAIJUA MIMI ILIKUWA PURE SCRIPTURES AND DOCTORI NES BEHIND SCRIPTURES, NA HAIKUNIFAA SABABU HAKUKUWA NA LINK KATI YA DOCTORINES ZA MAANDIKO NA MOYO WANGU, DOCTORINES ZILIBAKIA KICHWANI KWANGU KAMA DOCTORINES NA MOYO WANGU ULIBAKIA TOXIC KAMA ANCESTORS NA MAZINGIRA YANGU.
WAPENDWA SASA THIS PASTOR ALIWEZA KUJUA NIMEKWAMA WAPI, AKA NI INTRODUCE TO THE CONCEPT OF THE HOLY SPIRIT!THEN EVERYTHING LINKED, NA MASWALI YANGU YOTE YAKAPATA MAJIBU, NA DINI IKAWA NYEPESI, WANAYOSEMA HOLY SPIRIT NI MSAIDIZI NI MSAIDIZI YAANI HASWA HASWA NA HOLY SPIRIT AKALETA DIVINE FACTOR KWENYE MAISHA YANGU IMANI, NA KAMA WANAVYOSEMA ONCE YOU GO DIVINE YOU CAN NEVER GO BACK! NEVER SCRIPTURES ARE DEVINE ON THEIR OWN, LAKINI UKI-ACESS HOLYSPIRIT DIVINE IS LIKE ACESSING NEW LEVELS OF UN-WRITTEN KNOWLEDGE AND POWERS!, YOU CAN NEVER GO BACK EVEN IF YOU FORCE YOURSELF!
HIVYO NIKAWA MLOKOLE MNAFIKlll KWELIKWELI, HUKU BWANA YESU ANASIFIWA KAMA KAWAIDA HUKU PLOTING OF REVENGE INAENDELEA KAMA KAWAIDA, MATTER OF FACT NILITEKELEZA SEVERAL REVENGE PLOTS NIKIWA NIME OKOKA NA NIKATUBU NA KUJISAMEHE BARIDA KABISAA YANI AMPHIBIA COLD REMEMBER, NA LIST ILIENDELEA KUKUA, UKIFANYA VISA KAA MKAO WA KU-COLLECT!, NI VISASI KAMA KAWAIDA, WAPENDWA KUNA MAMBO YA KUMALIZA MWENYEWE NA KUNA MAMBO YA KUMUACHIA MUNGU.
MAISHA YALISONGA, NA MUNGU NI MWENYE REHEMA, HIVYO HIVYO NA UDHALIMU WANGU AKAWA ANANIBARIKI NA KUNIPA MILLAGE, NA MIMI NUSU-MLOKOLE NUSU-QUEEN OF REVENGE, MPAKA WATU NINAOFANYA NAO BIASHARA WAKAWA WANAJUA UKIINGIA ANGA ZANGU ULOKOLE PEMBENI LAZIMA UTACHEZEA TUKIO! LAZIMA NITA RETALITE.
WAPENDWA SASA KUNA WATU WALIO-NIKOSEA NA KUNA WATU WALIOVUKA MPAKA WA KUNIKOSEA WAKAFIKA LEVEL ZA KUNIUA KABISA YAANI KILA KISASI NAONA BADO HAITOSHI NA MUNGU ALIVYO WA-AJABU KILA NIKINGOJA CHANCE LA KUWA-FYEKA, ZAMU YAO HAIFIKI NA MIAKA INAENDA, WANA NITAMBIA UBAYA WAO HAWAJALIPWA NA NAFASI YA KULIPA KISASI SIPATI BASI WAPATWE HATA KARMA TU ROHO YANGU ITAKATE, WANAZIDI KUSTAWI.
NIKASEMA SIKUBALIKI NIKASALIMU AMRI, NIKAWA NA DECLARE KISASI NI-CHA MUNGU JUU YAO BASI HATA MUNGU AWA KAANGE KIDOGO WAPI, NI WAOVU KWELI-KWELI LAKINI NI KAMA THEY HAVE DIVINE PROTECTION WHICH MAKES THEM UN-TOUCHABLE.
Nothing was working against them, Absolutely nothing, miaka imeenda, Hawajajuta wala hawana dalili ya ubadilika ndeio kwanza wanaendeleza uovu. Siku nikawazaa mpaka nika-umwaaa, Nilikuwa kijana sasa ni mzeee, AGE GO, na wale mbweha sijawatia kwenye 18 zangu mpaka muda huu, Na hii AGE GO kila siku nakuwa sio kijana tena, huenda nisipate chance ya kuwa baluzaaa mpaka maisha yajayo, au chance ikatokea nikiwa mzee sanaa nishindwe kuwa baluzaa inavyotakiwa either sababu ya umri mkubwa au lack of resources muda huo, Either way karata zilikuwa upande wao, Nala-kufanya sinaaa, Nikaanza kushtakiiina kulalamikaaa SIO FAIR! SIO HAKI!
HAWA WAUMIZE WATU WANGAPI ZAIDI NDIYO MBINGU ZICHUKUE HATUA, KATIKA HIYO KUFURU YANGU NIKAMUITA NA ROHO MTAKATIFU ANISAIDIE KUUMIZA KICHWA, NOT THAT I EXPECTED ATAKUJA! ALIKUJA NA AKANIPA MAJIBU YALIYONYOOKA SANA NA TANGU HAPO NIKAWEZA KUWASAMEHE TOKA MOYONI WAO NA WATAKAO NIKOSEA TOKA HAPO NAWASAMEHE KIRAHISI MNO.
Roho Mtakatifu alinipitisha shtaka moja moja, Kuanzia ilivYOtokea, Yale niliYo kuwa nayajua tayari, na nisiyo yajua, Kosa lenyewe na after math ya kosa, Akanipa Ufunuo wa kuona mambo kwa macho ya Rohoni juu ya suala zima, Nitawapa Ubuyu ila sio kwa order ya uchungu.
Wapendwa HR alikuwa Top of my list, Maana Alifululiza kazi kinyume cha sheria, aka zuia mafao yangu na akani-apia nikifanya kazi sehemu yoyote yeye Mbwa, Atanipa bad reviews za kufa mtu, Kuna watu afu kuna vibwengo! Ofcourse niliwafungulia case moja takatifu, Mpaka kampuni ilifilisika, maana nilidai Millions na kibaya nilikuwa na magonjwa yangu kitambo lakini nika-kandamizia na vyeti nilikuwa navyo, Alivyo-niambia nikifanya kazi yeye Mbwa, nikamwmabia HAYO MAFAO YANGU ULIYO NIZULUMU NDIYO MAHARI YAKO HUTAKAA UOLEWE AU UZAE ,UKIOLEWA NA UKIZAA NIITE MBWA, Na alikuwa 42 then alafu muhindi familia yake ilishaanza kum-depress!
YAANI NIKIWAZA HELA ZANGU NA MLAANI WEE, UKNOWN TO ME KUMBE ILE LAANA ILISIMAMA BWANA, DADA WA WATU HAKUOLEWA WALA HAKUZAA AKWA ANATAMANI KUNIOMBA MSAMAHA LAKINI WATU WANAMWAMBIA YULE WEE USITHUBUTU, ATAONGEZA DOZI, HATUKUSHAURI.
MIMI NAHANGAIKA NAYE ROHONI HUKU NA YEYE ANA ISHI KWA DEPRESSION, MPAKA AKASHINDWA KUFANYA KAZI, AKABAKIA SKELETON NA ANASHINDA NDANI FROM DEPRESSION, KAENDA MPAKA INDIA KWAO KUROGA-ROGA MAMBO YAKE YAENDE WAKAMWAMBIA PASSOWRD IKO KWANGU NA KAMPUNI ILIFILISIKA, MAFAO SIKULIPWA, YEYE ALISHADADIA TU AKIJA KWANGU ANATAKIWA AJE NA MAFAO YANGU KWANZA! ATAYAPATA WAPI?
HIVYO KUJA KWANGU ISINGEWEZEKANA KI-VYOVYOTE!, HENCE SHE WAS DEPRESSED! HUWAGA ANA MWILI-MKAVU SIKU ZOTE LAKINI KUNA SIKU KABLA YA UFUNUO MTU ALINIAMBIA KAMUONA ANA KILO 25 ANAONEKANA KAMA MBIBI LIKE SHE MUST BE SICK NILIFURAHI, NIKASEMA NA BADO LABDA USIINGIE KWENYE 18 ZANGU NITAKUZIKA HAI AND I WAS SERIOUS!, AMPHIBIA COLD!
MIMI PIA SIKULIPWA HATA 10 MAANA CASE ILICHUKUA MIAKA MPAKA KAMPUNI IKAFILISIKA, THE LEGAL FEES WERE BLOOD SUCKING KWANGU NA KWAO, NA MOJA YA SABABU YA KUFUNGA MAANA BAADA YA MIMI KILA MTU AKAANZA KUWAFUNGULIA KESI!, MWAKA MMOJA TUNA WANYOOSHA MAHAKAMANI WAZUNGU WAKAFUNGA OPERATIONS!
WAPENDWA SASA KWENYE KIKAO NA ROHO MTAKATIFU AKAWEKA KARATA ZOTE MEZANI! SAWA NILIZULUMIWA ROUGHLY OM, NA GHARAMA ZA CASE MAYBE ITAFIKA 20M, MY DIGNITY WAS DEFINITELY STRIPPED, MY EGO WAS BRUISED, LAWS WERE BROKEN, MY HEART WAS SHATTERED, MY CAREER WAS ENDED LAKINI KUTOKA NA HAYO NIKAWA SERIOUS NA BIASHARA ,I EARN 20 TIMES, NEVER NEEDED TO WORK EVER AGAIN, NIMEWEKEZA NA KUMILIKI AMBAVYO SIKUWAHI MIAKA YOTE YA KAZI, UTUKUFU WANGU NILIO-POTEZA NIMELIPWA MARA 20 ZAIDI, NA MAISHA YANGU YAMEKUWA MAZURI ZAIDI.
Aka nirejesha kwa UBAYA NILIO TENDA KWA KUSHINDWA KUSAMEHE MPAKA NIKAJIKIMBIA, SAWA HR ALI NI COST 20M, JE MIMI NIMEM-COST NINI? MAISHA YAKE YOTE BAADA YA LILE TUKIO, FURAHA YAKE NIMEICHUKUA, AFYA YAKE NIMESEPA NAYO, TUMAINI LAKE NALO NINEKOMBA CAREER YAKE MBWA KALA MBWA KAMA MIMI TU, NIMEMUACHA NA KILO 25, ANAINGIA 5TH FLOOR SINGLE, MISARABLE CHILDLESS KUTOKANA NA LAANA NILIYO MSIMAMISHIA JUU YAKE NA BADO IPO IMESIMAMA DEDEEE UNLESS NIIFUTE MAANA INA UHALALI, NIMEMUACHA LONELY, DEPRESSED AND BETTLING MENTAL HEALTH, ALL FOR WHAT EXACTLY? MAANA MAFAO HATA HAKULA YEYE ALISHADADIA TU-NISLIPWE HATA 10 ILA YAMEMTOKEA PUANI MASKINI, MIMI MUNGU KANILIPA HIYO MILLION 20 NA ZAIDI NA ZAIDI.
AKANIACHIA SWALI KATI YA SISI WAWILI NANI KAFANYA UOVU MKUBWA ZAIDI NA ANASTAHILI HASIRA ZA MUNGU JUU YAKE NA KISASI?, JIBU WEWE MSOMAJI, I AM NO LONGER AMPHIBIAN COLD!
WAPENDWA SIKU HIZI LAANA NIMEIFUTA, NAMUOMBEA SANAA SANAA AOLEWE NA AZAE TU HATA KAMA UMRI WA KURUDI KAZINI HANA APATE TU AMANI YA MOYO NA FURAHA YAKE IRUDI, ASIZEEKE BILA MUME NA MTOTO NA MIAKA NILIYOMDHULUMU MUNGU AMFIDIE NA DEVINE SPEED, KABLA YA UYUDA WAKE NA SHOW-DOWN ALIKUWA NA KIBWANA ANANIAMBIA NIOMBEE NIOLEWE NACHO, MIMI SI MTU SI MTU NI AMPHIBIAN!
HILI MOJA, LAKINI YOTE KWA YOTE SASAHIVI HATA UNIKOSEE NINI NAKUSAMEHE HAPO HAPO NIMEKOMAA NA KUJIFUNZA GHARAMA ZA KUTO-KUSAMEHE NI KUBWA SANA.